Ukitaka kujua MUME mwenye UPENDO wa KWELI au Mme utaona muonekano wao unakupa picha hakika Hon.magoti ni MUME MWEMA Kwa mkewe ,MUNGU AWATUNZE NA AMEMTAMBULISHA VYEMA MKEWE ALL THE BEST 🎉
Wifi YANGU JOICE NYOTA YA MBINGUNI IMEKUANGAZIA.MTUNZE MH. MAGOTI .shukrani ziwaendeee wote mpaka akina baba mkwe na mama mkwe kutoka mbali pokeeni maua yenu.🎉🎉🎉
Mwanamke mnyenyekevu Sana Mungu akubark joys
Nimefurahiii mno na mtiririko wa maelezo yako Magoti wewe uko vizuri....mama samia asante kwa malezi ya mh..Dc..mungu akulinde kibali ni chako..
Du mi sina ka kuongeza hongereni saana mmenisisimua mungu awabariki sana
Good work brother
Be blessed always comred
Safi sana kipenzi Magoti Mungu akuongoze kwa yote utakayo tenda maishani mwako
Ukitaka kujua MUME mwenye UPENDO wa KWELI au Mme utaona muonekano wao unakupa picha hakika Hon.magoti ni MUME MWEMA Kwa mkewe ,MUNGU AWATUNZE NA AMEMTAMBULISHA VYEMA MKEWE ALL THE BEST 🎉
Naamini siku Moja utakuja kuwa kiongozi mkubwa sana.
Hongera sana Petro tunakuombea kwa Mungu akuongoze na ndoto yako itimie.
Hongera sana
Nakupenda sana Mr Magoti hongera
Mh. Hongera sana
amazing speech
Lakini watu wa itifak kwan hamkufahamu maumbile ya Magoti?? Ndio nini kumuwekea Podium ndefu?
Asante baba mungu akuzidishie khikma. Akupe kila la kheri
Congratulations Mr.Magoti,well done ✅
Wow! Ukawe kioo kwenye sehemu ya uongozi wangu 😊
Mwenyezi mungu awalinde ktk ndoa yenu
Mama samia ni mtu Muhmu sana amekuwa kiongozi bora mwadilifu sana mwenywe huruma na msimamo ilov❤ mr magot mungu atunze kaka
Umeongea vema hongera kaka
Ongera Mh.
Jambo zuri sana
Safi sana!
WATU WA PROTOCOL NI PISIII
Wifi YANGU JOICE NYOTA YA MBINGUNI IMEKUANGAZIA.MTUNZE MH. MAGOTI .shukrani ziwaendeee wote mpaka akina baba mkwe na mama mkwe kutoka mbali pokeeni maua yenu.🎉🎉🎉
Jamani hadi raha saha.
🙏🙏
Amen amen mungu mwema ninawapenda familia yote amen
🎉🎉🎉🎉
Magoti be blessed
Asante
Watu wa protocal
❤❤❤❤❤❤
Mwanamke amekuaaa mmama had rahaa
Yuko vzr
Peleka maji visegese na umeme utapaa zaidi
mbona sauti kama ya magufuli jmn
Kweli
HONGERA SANA SANA
Uyu dada alikuwa mzur msahana sema uzazi umemfanya amekuwa kibonge sema bado mrembo tu
Joyce amefituka bhaaaaaaah
Kibaha
Huyu dada kwenye ndoa yake alikuwa mwmbamba kazuri hapa nimemkumbuka mwanya tu
Hiyo podium kwa ndg yetu ni ukatili pia. Mkijua mna watu wenye changamoto muwatendee haki
Jamani huyu kaka wa shati la mistari kavamia familia hata hjtambulishwa pekeake
Anaongea kama mzee magu
Anaongea busara sana
Mh ndio kujiachia gani hukoo uzuri wotee umepotea.
Punguza Menu
Hongera
Amekuwa chibonge kwakweli kupendwa raha sana
Dah niliimis sana hii copy jmn nawapenda Sana 🎉❤
Copy ya nini?
😂😂
@@bonvivant3704 wabongo bhana na kiingereza, eti couple ndio copy😃😀😀
Tumsamehe itakua typing error😩
Mgawa sumu Katika ubora wake
Ameharibika wapi jameni?😮
Inatakiwa tuishi hivi
Huyu mwanamke ulivyo muowa alikua mzuri jamani uzazi ndio umemuaribu sana
Uzazi unabadilisha
Itakua mimba
Uzur Hana shida ndogo ndogo huyo mwanamke mumewe pesa ipo
Bado mzuri sana
Karidhika tu kanenepa
Nasikia una ua watu
NAONA ULITAKIWA KUWA PADRI LAKINI MAGOTI ULIKATA KONA
Protocol safi
Hivi watu wa protocol ndo watu gani naomba kujua
@@stewardlwimbo3944 nikiwemo na mimi watujuze
Badala ya kuleta wazazi wake yy kaleta wakwe
Jamani wazazi majaaliwa kwa mfano mimi hapa nilikuwa na wazazi ila sasa hivi sina wameshafariki
You never know labda walishafarikii
Km wamefariki? Let's not be quick to judge
Wazazi wote ni wazazi tu
Msikariri Magoti siyo mjinga kiasi hicho Hadi ashindwe kuwatambulisha wazazi wake, inawezekana Hana wazazi.
Broo Magoti wazazi wako hujawaalika
Labda Hana wazaz
Kwani niki wa pili sahv yuko wapi si ndo alikua mkuu wa wilaya ya kisarawe
Alikuwa mkurugenzi
Yupo kibaha ndio mkuu wilaya ya kibaha
Ni mkuu wa wilaya ya Kibaha
Analeta wakwe wazazi wake wako wapi 😮😮😮
Wamemzalia chombo
Walishafariki hana wazazi kalelewa na kanisa zaidi
Jamaniii
Nikwakiwa WOOTE aliowatambulosha ni watumishi WA serikali ukiacha watoto
Mushimiwa umeme kijiji cha kisangile tafadhali
Akashughulikie migogoro ya ardhi
Safi sana