#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 135

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 Před 12 dny +11

    Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud
    2.Nishaachana nae Ft Phina
    3.Namuachia Mungu Ft Appy
    4.Naskia Harufu ft Chid Benz
    5.Nakuja Kwako ft One Six

  • @BingwaboyPepeleboy
    @BingwaboyPepeleboy Před 4 dny +1

    big artistes in rap

  • @KenedyKazana
    @KenedyKazana Před dnem

    Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d Před 10 dny +1

    Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před 7 dny

    Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AndreaBalintanzeko-vd8yw
    @AndreaBalintanzeko-vd8yw Před 11 dny +1

    🎉🎉

  • @KelvinBushesha
    @KelvinBushesha Před 9 dny +1

    Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10

  • @basilvenance1368
    @basilvenance1368 Před 3 dny +1

    Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 Před 12 dny +2

    11:28

  • @imammwasanyamba9715
    @imammwasanyamba9715 Před 11 dny +1

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 11 dny +2

    All the time = wakati wote

  • @millardGaiga-vh9yh
    @millardGaiga-vh9yh Před 11 dny +2

    Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "

  • @silvanusmasawe
    @silvanusmasawe Před 6 dny

    Love you kaka ❤❤❤❤

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum4416 Před 11 dny +1

    Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Před 11 dny +2

    Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki

  • @dreamz_d
    @dreamz_d Před 3 dny

    Bro 😎

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ Před 11 dny +2

    dk 46

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Před 10 dny +1

    Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana

  • @chrispinegervas1681
    @chrispinegervas1681 Před 12 dny +2

    Super

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 11 dny +1

    tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 10 dny +1

    Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti

  • @HamisiWilson-kb2bj
    @HamisiWilson-kb2bj Před 10 dny

    Roma salute _$

  • @eliahswai1607
    @eliahswai1607 Před 11 dny +1

    Big up to you bro since day one hujawahi kukosea

    • @princessplatnum4416
      @princessplatnum4416 Před 11 dny

      Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před 7 dny

    Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josephbuddoh1577
    @josephbuddoh1577 Před 10 dny +1

    Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před 10 dny +1

    Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote

  • @joelandekile3933
    @joelandekile3933 Před 11 dny +1

    HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m Před 8 dny

    Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 7 dny

    Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara

  • @jeromejanson3003
    @jeromejanson3003 Před 8 dny

    Is name’s jay polly

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 9 dny

    Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYA Před 11 dny +1

    Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks

    • @joshuanyaulingo4109
      @joshuanyaulingo4109 Před 10 dny

      an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing

  • @brudatv3539
    @brudatv3539 Před 8 dny

    Walioanza kukimbilia comment

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 7 dny

    Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu

  • @idrisandaka2198
    @idrisandaka2198 Před 7 dny

    Huyu ni mwamba na nusu

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před 10 dny

    Huyu dogo anachokonoa hatari

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh Před 11 dny +1

    Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani

    • @juliusmix
      @juliusmix Před 10 dny

      Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?

  • @ORG960
    @ORG960 Před 8 dny

    Roma ameamza kuzeeka sikuizi

  • @RamadhanHaruna
    @RamadhanHaruna Před 12 dny +8

    Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo

  • @MponelaJuma
    @MponelaJuma Před 11 dny +1

    we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali

  • @user-wy5zv2qw6t
    @user-wy5zv2qw6t Před 8 dny

    Ramadhan na ww unauliza nn ss

  • @DitrickKidagayo-cj1cj
    @DitrickKidagayo-cj1cj Před 11 dny +3

    Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe

  • @VitukoKiwanga
    @VitukoKiwanga Před 12 dny +1

    Mwana, halakati huyoo!!

    • @ThousandPhase
      @ThousandPhase Před 11 dny

      Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake

  • @user-rk9sd4kc4d
    @user-rk9sd4kc4d Před 6 dny

    Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera

  • @chrismwanjalika9892
    @chrismwanjalika9892 Před 9 dny

    Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.

    • @brain_ujazo
      @brain_ujazo Před 8 dny +1

      Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.

  • @OscarPilla-oy2rc
    @OscarPilla-oy2rc Před 11 dny +1

    Ww 🎉❤mwamba

  • @robartifabiani
    @robartifabiani Před 11 dny +1

    Tano nyingi mpaka sugu

  • @MohamedBakari-lb5mk
    @MohamedBakari-lb5mk Před 12 dny +1

    Mwana harakati mmoja

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 7 dny

    Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha

  • @Black-sound24
    @Black-sound24 Před 11 dny +1

    Roma 💥

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Před 12 dny +1

    Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Před 12 dny +18

    Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂

    • @emmanuelchacha6718
      @emmanuelchacha6718 Před 12 dny +2

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @angelsblackboard8008
      @angelsblackboard8008 Před 12 dny +13

      Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?

    • @NorascoKipeto
      @NorascoKipeto Před 12 dny +3

      hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 Před 12 dny

      @@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎

    • @TIMOTHEOALFREDI-zf2te
      @TIMOTHEOALFREDI-zf2te Před 12 dny +1

      Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga

  • @ThousandPhase
    @ThousandPhase Před 11 dny +1

    Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia
    IPO Moro na mwanza

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c Před 11 dny +2

    Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin