#EXCLUSIVE
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud
2.Nishaachana nae Ft Phina
3.Namuachia Mungu Ft Appy
4.Naskia Harufu ft Chid Benz
5.Nakuja Kwako ft One Six
big artistes in rap
Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️
Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.
Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉
Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10
Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.
11:28
❤
All the time = wakati wote
Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "
Yeah, that's Truthfully.
Love you kaka ❤❤❤❤
Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa
Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki
Rapa wa kawaid s
Bro 😎
dk 46
Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana
Super
tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.
Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti
Roma salute _$
Big up to you bro since day one hujawahi kukosea
Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea
Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan
Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote
HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA
Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji
Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara
Is name’s jay polly
Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂
Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks
an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing
Walioanza kukimbilia comment
Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu
Huyu ni mwamba na nusu
Huyu dogo anachokonoa hatari
Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani
Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?
Roma ameamza kuzeeka sikuizi
Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo
Kwani kuna shida gani? Yani uache sehemu yenye pesa.
@@angelsblackboard8008 ww Angels mbona majib yako na jina lako haviendani. Unatukana nakujib vitu visivyo.
Kwani hivi Roma ni mtu wa kwanza kuishi nje
Kwani kuna shiido
Umesahau alitekwa kupigwa karibu auliwe?
we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali
Wa kike au wakiume😂
Ramadhan na ww unauliza nn ss
Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe
Mwana, halakati huyoo!!
Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake
Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera
Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.
Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.
Ww 🎉❤mwamba
Tano nyingi mpaka sugu
Mwana harakati mmoja
Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha
Roma 💥
Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.
Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?
hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,
@@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎
Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga
Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia
IPO Moro na mwanza
BT remind you Roma mwana fa wanatoka Tanga😊
Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin
Acha uchawa ww kupinga jitihada gan
Bro are you mad
Bado bongo wasiojielewa ni wengi saaana aiseee
Musenge wewe
serikali inajitihada gani zaidi ya kutuendelezea umasikini na wenyewe ndo kubakia matajiri,au na wewe ni mjukuu wao?