EXCLUSIVE: MAMA NA MTOTO HAWAJAONANA MIAKA 41,WAKUTANISHWA MOSHI "NILITUMA MALAIKA, NI KILIO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2023

Komentáře • 373

  • @cesilialucas2458
    @cesilialucas2458 Před rokem +25

    Mungu ni mwema anajibu kwa wakati sahihi

  • @gretagonga2966
    @gretagonga2966 Před rokem +24

    Jamani I know this lady, alikua jirani yangu.
    She is just a sweet soul.
    She has a strong faith jamani.
    Mama B nimefurahi kukuona tena sweetheart ❤️

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +28

    MUNGU WA MAMBO YASIO WEZEKENA 🙏🏿AMEN AMEN MAMA HUYU ❣️

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Před rokem +40

    Huyu mama mmmmh roho ngumu 🥲dada ww ni kupe hongera sana👏🏽👏🏽👏🏽

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Před rokem +1

      😂😂 kabisa mama roho ngum mi hata nigombane Vipi na Mzee siwez Acha watt wangu isitoshe Baba angle ni Baba mzuri mdada anahekima

    • @zurrychannel235
      @zurrychannel235 Před rokem +1

      Nilijua mimi tu ndio nimeliona ilo😃😃🤔

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před rokem +1

      Usiwe mwepesi kulaumu mpaka ukiona Mama kamuachia mtoto Baba mengi yalihusika

    • @maajabumaridadi8756
      @maajabumaridadi8756 Před rokem +2

      Ana roho ngumu sana yn sijui anachinja ng'ombe. Ila huyu dada anamjua sana Mungu ndy maana ana furaha na amani yn kasahau yote.

    • @aminamakobola7386
      @aminamakobola7386 Před rokem

      Hongera Sana angel

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +23

    Vitu kama hivi vikitokea huwa vina Ishara nyingi mfano inawezekana Mama ameishi kwa majonzi na amekuwa akimuomba Mungu kabla hajaondoka Duniani akutane tena na Binti yake. Huyu Binti afanye Ibada ya Shukrani pia afanye mpango yeye na Mama yake waende Tabora kumuona Baba yake ili Wazazi hawa waombane Msamaha. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 Před rokem

      Kweli kabisa

    • @kadokemarco9966
      @kadokemarco9966 Před rokem

      Ni kweli kabisa

    • @mengikiguruwe6750
      @mengikiguruwe6750 Před rokem

      Inawekana pia huyu binti alitaka kuonana na mama ili amuoneshe wajukuu na mkwe wake kabla hajatwaliwa; suala la kwenda Tabora si muhimu kwa sasa kwani mzee ana maisha mengine

    • @mercygibson1379
      @mercygibson1379 Před rokem

      Glory to Almighty Living God. Amen

  • @zawadizawadimussa23
    @zawadizawadimussa23 Před rokem +8

    Uyu mama ni mtata hakuwa na uchungu na mwanae

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +12

    Mungu ni Mungu asiyeshindwa, Mungu azidi kukuinua binti, umeinua imani za watu wengi, nimekupenda sana...na kulikubali hili Neno MUNGU WA YASIYOWEZEKANA...yale tunaona hayawezekani Mungu hufanya njia🙏🙏

    • @hubamwinyi2441
      @hubamwinyi2441 Před rokem

      Je huyu mama hakupata ht kujua ndugu za mtu aluyezaa nae au ht wafanyakazi wenzao...licha ya mawasiliano kuwa magumu ila miaka 40 ni mingi mno kutokujua kabisa habari za mwanao. Mtoto sehemu kubwa ni mama, hakuwahi ht kupata mshtuko kuwa kizazi changu hakiwezi kupotea, angetafuta ht bdugy au jirani ili apate kumuona na kujua kuwa mama yeye yupo. Ni huzuni kubwa sana hii...wajukuu utawauma mno wakikua na kujua. Ni ngumu kuunganisha udugu. Mungu tusaidie na utusamehe.

    • @magrethpastory4311
      @magrethpastory4311 Před rokem

      Mungu ashindwi yeye ni muweza wa yote.Hongera kwa ulilofanya kumtafuta mama ,hakuna kama mama

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Před rokem +14

    Huyu mama hakuwa anamuhitaji kwa sababu alikuwa na watoto wengine🤔. Namshangaa alivyomsahau mtoto wake kabisa😢

    • @saynabmohammed6263
      @saynabmohammed6263 Před rokem

      Pengine ameona din yke tofaut

    • @marthamungure1777
      @marthamungure1777 Před rokem +1

      @@saynabmohammed6263 Alimwacha akiwa mdogo. Hakuna sababu yoyote. Mtoto mdogo hajui dini. Alimtafuta mama alipojua wokovu.

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Před rokem

      Usishangae miaka 41 ni mingi jamani huez kumkumbuka mtu

    • @marthamungure1777
      @marthamungure1777 Před rokem

      @@mwitaagness455 Alikuwa wapi mpaka akafika miaka hiyo??
      Hata baada ya mwaka au miwilu hakutaka kwenda kumwona alipomwacha?

  • @yasmine937-so4mi
    @yasmine937-so4mi Před rokem +13

    Kuna wamama wanaroho mbaya miaka 40 hujui mwanao anaishi vipi looo huyu mama anaonekana anaroho ngumu kweli ata ongea yake kwanza anaona aibu looh😂😂😂
    Ahsante mama angu kwakutukuza watto zako nitakupe daima❤❤❤

    • @matridamwalyoyo1735
      @matridamwalyoyo1735 Před rokem +1

      Yani huyu mama Hana hata aibu

    • @michaelchristopher2452
      @michaelchristopher2452 Před rokem +1

      Bi mkubwa samahani lkn wew ni mtu mbad sana

    • @narlt229
      @narlt229 Před rokem

      ​@@michaelchristopher2452 😂😂

    • @maajabumaridadi8756
      @maajabumaridadi8756 Před rokem +1

      Huyu mama ana roho ngumu kwa sababu angekuwa na nia ya kumtafuta mwanae angeweza kwan mzazi mwenzie alikuwa ni mtumishi wa serikali ni rahisi sana. Na baba wa huyu Angel ni mtu mzuri inaelekea maana angekuwa nunda angemwambia labda mama ake alikufa siku nyingi lakini hajamficha kitu. Huyu baba akapewa maua yake.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před rokem +5

    Maskini🙏🙏🙏 hongera Sana kwa kumpata mama ako mzazi kweli una fraha kubwa moyoni.

  • @NextoHunter-rm3cs
    @NextoHunter-rm3cs Před rokem +19

    Dada unaimani kubw sana na mungu

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Před rokem +5

    Maombi Yana nguvu Sana Dada hongera kwa kumtanguliza MUNGU

  • @lovegodwine7868
    @lovegodwine7868 Před rokem +3

    Mama ana roho ngumu , sijui ni hasira daaah🥲🥲

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Před rokem +10

    Huyu mama alijitoa muhanga dah, Bora tu umeonana nae lakini amama yako ana roho ngum sana

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 Před rokem

      Inaonekana mama kweli anaroho ngumu hata mwonekano wake kwenye picture hachangamki

  • @uwinezajohara8362
    @uwinezajohara8362 Před rokem +8

    Maman ni maman tu hakukulea ila unatamani umuone .upendo wa mama na mwana ni wakipeke

  • @dominamsonge3088
    @dominamsonge3088 Před rokem +14

    Huyu mama anaonekana hasira ya mwenza wake aliihamishia kwa mtoto maana kama vile bado anahadira jamani. Mungu atusaidie wamama

    • @justinalyimo7966
      @justinalyimo7966 Před rokem

      Kahsmishiaje Sasa wakat baba alitaka mwanae

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 Před rokem +4

      Una psychology kali sana,hata mimi nimegundua hilo

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před rokem +2

      Yani pia naona HUYU mama hajafurahi

    • @memoryngambi7570
      @memoryngambi7570 Před rokem +1

      Unamaanisha yupo kama bibi Ester yaani wa kwenye CD ya teke la mama,umenifurahusha ndugu yangu.

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před rokem

      @@memoryngambi7570 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 Před rokem +2

    Huyu mama asamehewe tu... nawasihii wamama wale hizi roho achaneni nazo! Mnawatesa watoto wenu wasikuwa na hatia...

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před rokem +2

    Yesu nilijua movie. Big up sweet heart kumpata mama.

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs Před 8 dny

    Napenda kuwapongeza walezi wahuyu dd,,mmemlea vzr sn,,anamjua Mungu,, waooooooo hongeren walezi wote,pokeen maua yen🎉🎉🎉,,mama yak mh

  • @minamina8024
    @minamina8024 Před rokem +5

    Ila uyu mama kauzu sana

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +5

    Ila uwezo wa kila mtu kumtafuta mwezie ilikua inawezekana kabisa sema hawakutaka

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Před rokem +10

    Hawajafanana hataaaaa!!!!Ila binti ana Mungu ndani yake Walezi wake pongezi kwenu

  • @Neema935
    @Neema935 Před 3 měsíci

    Huyu mama , moyoni mwake, hamna furaha, sijuwi anakumbuka alicho fanyiwa na mwenza wake. Hongera sana dada.

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 Před rokem

    Mungu ni mwema Angel Barikiwa Sana na Mama,wabarikiwe pia waliokulea.

  • @muta-news2786
    @muta-news2786 Před rokem +28

    Ndugu zangu wapendwa,hizi story za kuachwa na mama kwa baba ukiwa mtoto mdogo zisikie kwa jiran isikupate eiseee. Mimi mwenyewe niliachwa nikiwa na miaka minne ila naisi mpaka Leo hii maumivu ayajawahi kuisha rohoni.
    Nimefurahi wamekutana ila lazima ukweli tuseme,wanawake wengi uwa wanaogopa kuogopa na watoto wa mwisho au wadogo Sana kuogopa usumbufu wa maisha.maana mtoto wa miaka 2 uwezi kumuacha kwa baba yake na kuondoka na watoto wakubwa iyo Nini Sasa.
    Of course mm siwez kudanganya hii kitu uwa inanisumbua akili Sana mpaka naisi ivi au nilikuwa sipendwi na mzazi wangu au tatizo ilikuwa Nini mpaka akaniacha na kuondoka na watoto wakubwa na kuniacha mm mdogo kiasi kile.
    But anyway tupendane tu na maisha yaendelee ndugu zangu.
    Ila tujifunze kitu wazazi tunawaumiza watoto kuwatupa wakiwa wadogo kiasi kile.but kitu Cha kumshukur mungu imenifundisha kuheshimu mke wangu na kuwapenda watoto wangu sitaman ata second kuishi mbali nao au mama yao kunitelekezea watoto km ulivyo kuwa kwangu.
    Kuna mda inanipa moyo wa uvumilivu Sana kwenye familia yangu.Nimeipenda hii story japo imeniumiza maana nimekumbuka mbali Sana.naisi tuna la kujifunza kwenye Aya maisha.

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před rokem +2

    Hakuna kama mama kwa kweli
    Hongera dear

  • @saurasoso1543
    @saurasoso1543 Před rokem +17

    Uyo mama mwenyewe Sasa ongea yake tu ana kiburi zarau na roho yake ngumu kinyama mbona haonyeshi kumfurahia mwanae khaa 😂😂😂😢

    • @annehk8185
      @annehk8185 Před rokem +2

      anasikitisha kwa kweli yaani hana furaha hata ya kuigiza ile ya kinafiki aibu tupu kwake kama mzazi

    • @fideahyera2599
      @fideahyera2599 Před rokem

      Aibu na kujickia mkosaji kwa mwanae

    • @joycemwankusye4872
      @joycemwankusye4872 Před rokem +1

      Hata mi huyu mama simuelewi duuu...

    • @namsamson3443
      @namsamson3443 Před rokem

      Alafu mtoto anamkumbatia yeye wala, ndugu zake Angel ndio wamefurahia ila huyu mama 😢

    • @lylianvegulla7555
      @lylianvegulla7555 Před rokem

      Ni aibu. Watoto wanaPotezaga Baba siyo Mama.

  • @halimamohammed7863
    @halimamohammed7863 Před rokem +15

    Mama mwenywe mbna hana raha na mtto wke 🙄🤔

  • @stellakusaga4916
    @stellakusaga4916 Před rokem +2

    Glory be to our God almighty

  • @user-we3mp7be4c
    @user-we3mp7be4c Před 8 dny

    Mama roho ngumu amegawa mtoto na kumsahau kabisa miaka yote inaima Dada Imani yako kwa Mungu ni kubwa ubarikiwe kabisa mm hana mapenzi na mtoto kabisa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před rokem +1

    Siqezi kuachia mtu mtoto wangu hata km niko na Hali gani we!

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před rokem +15

    Uyu mama ana roho ngumu sana miaka yote iyo umekaa hujui mtoto wako yupo sehem gani du

    • @waimani5550
      @waimani5550 Před rokem

      Nazani ndio sababu ya Mungu aliamua kumtenganisha na mtoto wake, vinginevyo binti angekuwa kama mama yake

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před rokem

      Yaani jamani

  • @ScollaLeba-qm3rv
    @ScollaLeba-qm3rv Před rokem +2

    Dah furaha ilitawala sana hongereni jamani ❤️❤️

  • @carolineelias5847
    @carolineelias5847 Před rokem +8

    Hakika Mungu ni mwema sana kwake yote yawezekana

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Před rokem +4

    Katika hii dunia mama ni kila kitu

  • @hildahtemu
    @hildahtemu Před rokem

    Nafrah sana mama angu yupo....mungu ahsante kwa ili ❤pia naiman baba yangu nawe utakuepo na wish nikuone ...mimi ni mzima na wishi nawe nataman nikuone baba ata sekunde moja❤....daaah sijui ntampata wapi mana najina moja tu nalolijua....Temu❤

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před rokem +5

    Pole kwa kutopata mapenzi ya mama udogoni na hongera kumpata mama yako ukubwani ingalau uweze kuonja mapenzi yake MMUNGU awalinde and continue to cement your relationship

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 Před rokem +3

      Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu.
      Japo mama ni mama

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 Před rokem +1

      Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu.
      Japo mama ni mama

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Před rokem

      😢😢mi nilikaa 7yrs bila mama na alivyorudi hakukaa akafa

  • @ifadatalizam8607
    @ifadatalizam8607 Před rokem +9

    Huyo mama wala haoneshi furaha kakalia kiroho mbaya

    • @mwajumahamisi2006
      @mwajumahamisi2006 Před rokem

      Kabisa

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 Před rokem

      Mimi nahis kama moyo wake umekufa ganzi sijui amini amin

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah

    • @sifaupindo
      @sifaupindo Před rokem

      Kakika, pia atakua Hana mapenzi nae sababu hajamzoea, na mazoea pia yanaongeza upendo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +2

    Mama Amejaa Asira Sijajua Kama Anajisikia Vibaya Kwa Kukaa Mbali Na Mtoto Bila Kumsaka Au Bado Yuko Na Asira Wenda Kati Yake Na Mmewe Awakua Na Mawasiliano Mazuli Sasa Bado Amejawa Asira

  • @LucyMwasu
    @LucyMwasu Před rokem

    Hongera dada kwa kuweka Imani kwa Mungu
    Ni kweli hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043

    Wapo wameru furani wakiona hii vedeo cjuwi wanajiskiaje kwa kweli maana hao wameru ninao wataja watupa mtoto wa miezi 6 kwa baba mpaka sasa huyo mtoto yupo zaidi ya miaka 23 na hawana hata muda wa kutaka kujuwa yupo au la 😊

  • @lovenessfrancis5547
    @lovenessfrancis5547 Před rokem

    Dah!mama komando professional ps but matendo commando jmn miaka 2-40 hujui Hali ya mwanao dah!! hongera dada nimekupenda bure

  • @habibaomarykiponda4036
    @habibaomarykiponda4036 Před rokem +2

    Sasa kwann alimuacha mdogo akachukua wakubwa mdogo simuach ht kwa dawa nitamuiba tu

  • @halimaabdul4805
    @halimaabdul4805 Před rokem +3

    huyu mama noma duu

  • @mariamnkenzi3651
    @mariamnkenzi3651 Před rokem +9

    Oh glory to Jesus❤

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 Před rokem +2

    Najifunza kuendelea kuwapenda wanangu sana sana Mimi ni wa maana sana kwao

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před rokem +1

    Dada anajua kujieleza,( anatiririka kama Mtangazaji)
    Conguraturations 🎉

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 Před rokem +27

    Kwa mtazamo mama haukuwa na mapenzi ya mwanao.kiukweli haiwezekan we miaka yote usimtafute mtoto

    • @rahmaidd1246
      @rahmaidd1246 Před rokem

      unajuaje wewe

    • @sifasanga7866
      @sifasanga7866 Před rokem +1

      Mimi ukweli nimeingia leba siwezi kuacha mtoto wangu Mdogo bila kumfuatilia

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Před rokem +2

      Sahihi angalia hata uongeaji wake amerilux Sana

    • @ChristianDondo
      @ChristianDondo Před rokem +2

      Kumbukeni mawasiliano ya miaka 40 iliyopita yalivokuwa, mtu akihama mkoa asiporudi yeye alipokuacha na ww ukawepo ngumu kuonana

    • @hamedhabsi2752
      @hamedhabsi2752 Před rokem

      Kwa mtazamo wangu Mimi Mtoto ndie atafutae wazazi wake. Yeye kafika Hadi umri huo wa karibu miaka 43 kutoka na stori iliyozungumza happy kua wametengana wakati akiwa na umri wa miaka miwili. Kea Nini hajamuuliza babake kuhusu Mamake?

  • @vumiliawambula1716
    @vumiliawambula1716 Před rokem

    Amen Amen Sana Mungu nimwema

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 Před měsícem

    Tenda wema wende zako. Mama ametoa pongezi Kwa binti yake na clouds TV akamuacha mzazi mwenzake alie kuza.Baba nakupa hongera Kwa kukuza binti yako jazza yako iko Kwa mungu.

  • @user-rx8pp8ql9p
    @user-rx8pp8ql9p Před rokem

    Hongera sana Mungu amejiinua na hakika ni Mungu wa yote yasiyowezekana,

  • @happyness577
    @happyness577 Před rokem +1

    Mungu ni mwema kila wakat

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 Před rokem +7

    Kwa kweli wanafanana hasa. Huyu kweli ni mama yake.

    • @user-li1wb6pu7h
      @user-li1wb6pu7h Před rokem

      Huyu mama ana roho ngumu mtoto wako wa miaka miwili unmuacha baba kweli umesema ilimuacha huyu ikaondoka wengine kwanini usiwaache hao wakubwa ikaondoka mauti mdogo?wewe mama noma

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 Před rokem +1

    Hongera bibi sahili Kwa kumpata mwanao

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před rokem +5

    Ila huyu mama mmmmh 41 yrs

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Před rokem +1

    Nilichogundua mama Amna hapa eti nilijua yupo kwa baba yk atakua salama mzima kweli ww mqwanao hata umuache kwa bilionea kumtafuta muhi dah we dada unamoyo Sana Kama mm mwenye roho ya kinyama sizani Kama ningekutafuta thubutuuuuui

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před rokem +3

    Mama mbona amkumbatii mtoto jamani huyu mama
    Amesema neno moja eti nilimwacha mtoto akae na baba yake kwa kuwa nina wengine. Lo hatausifanye juhudi ya kujua yuko wapi.

  • @user-cc5qs5wo3z
    @user-cc5qs5wo3z Před rokem +5

    Mungu Mwema😊, amejibu kwa wakati

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Před rokem +1

    Ni kweli wanacho kifanya clous Fm ni huduma ya Mungu

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 Před rokem +8

    Kweli mama ni mama hata hivyo furaha ya mtoto kumuona mamake imekithiri zaidi ya mama kumuona mwanawe nimeangalia kwa kina hata hivyo mungu azidi kuwapa mapenzi na muhitimishane kwa salama

    • @aishaulengesabry9672
      @aishaulengesabry9672 Před rokem

      Yaani. Soo painful but tumuachie Mungu, tusihukumu. Lkn how comes mama hakustruggle kumtafuta mwanae.

  • @ashuramhandoashuramhando6798

    Mashallah 🙏🙏 nimefurahi sana kusikia umeipata pepo yako🔥🔥🔥

  • @bahatimalundi3593
    @bahatimalundi3593 Před rokem +10

    Inaonekana mama wakati anakuwa alikuwa na hasila sana ndio maana ilitokea iyo changamoto pole sana dada

    • @michaelchristopher2452
      @michaelchristopher2452 Před rokem +1

      N sahihi kabisa mama kama angelikua ayupo na asira asingeshindwa kupata taarifa ya mwanae lkn yeye alisusa kwakweli bibi kazngua

    • @majaliwawilson9372
      @majaliwawilson9372 Před rokem +2

      Najiukiza sms za Jambo hil nizakibinaadam lakin Jambo hili angekuwa baba vingetawal matusi nalawama nyingi tujifize kujuwa makosa hufanywa naote Ila wanawake niwepec Sasa kutuhum wababa pale wanapo Bak nawa toto

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 Před 3 měsíci

    Inavyo onekana uyu mama sio poa kwake ajapenda afu anasema anaelekea kuwa mubibi wakati kishazeeka unamuachachia mwanaume mtoto wako eti yupo mikono salama duh dada pole sana pia onger

  • @NaomiMshana-lj4tc
    @NaomiMshana-lj4tc Před 10 dny

    Barikiwa sana dada enjo

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před rokem +1

    Mashaallah jamani

  • @evankya1955
    @evankya1955 Před rokem +1

    kuacha mtoto wangu na kufunga milango ya kumuona tena for 40yrs jamani hiyo ni roho ya namna gani? i feel for Angel

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale Před rokem

    Jamani ni jambo jema sana,,,,nami namtafuta baba yangu mzazi tangu nizaliwe sijawai kumuona naitwa Robert mwangomale ( ila Jina baba niliambiwa anaitwa mlewa A mlewa anaasili ya iringa na dodoma

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 Před rokem +15

    Hata anavyoongea huyu mama ana moyo mgumu sana.

    • @aishaulengesabry9672
      @aishaulengesabry9672 Před rokem +1

      Yaani dah. Sijui Mwanamke mwenzetu anakumbuka nini jamani. Hadi umtupe mwanao miaka yote hiyo

    • @annehk8185
      @annehk8185 Před rokem +2

      @@aishaulengesabry9672 labda anakumbuka aliyoyapitia akamtoa mtoto kwa baba maana hana furaha kwa kweli Mungu amsaidie asamehe

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 Před rokem

      Huyu mama mzazi ni changamoto

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 Před rokem

    Barikiwa San dada mama ni mama kns🎉❤🤲🙏👏🔥

  • @happymau2809
    @happymau2809 Před rokem

    Waoow Asante Mungu

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 Před rokem +3

    Hongera sana my dear kwa kuwa na imani kubwa sana

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Před rokem +1

    Mungu mwema Jamani

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před rokem

    Mmmmh, Mungu ni mwema.

  • @ElizabethEnock-ub5vv
    @ElizabethEnock-ub5vv Před 10 měsíci

    Namuomba mungu kila siku anifunguliy njia nikutane na mama yangu hakika nitafulai sana

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Před rokem

    Pole na ongera my dear

  • @NasmaSaidy-zt4ly
    @NasmaSaidy-zt4ly Před rokem

    Mashaallah

  • @esterkiyabo1329
    @esterkiyabo1329 Před rokem +2

    Mmmhh! Wewe mama! Muda wooote miaka 40?

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před rokem

    maa shaa Allah🤗🤗😍😍😍

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +1

    Mama Na Mtoto Wote Watata Miaka41 Eti Usisake Mama Mzazi Kweli Jamani Du Wote Wakosefu C Mama Wala Mtoto Wote Wakosefu

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      mama ndio alitakiwa kumtafuta mtoto mtoto toka anamiaka 2 unaakili wewe?

  • @user-rw8rw3ln9b
    @user-rw8rw3ln9b Před rokem

    Uyu mama mmmm

  • @brytonypeter5348
    @brytonypeter5348 Před rokem +1

    Mm nilitelekezwa na baba yangu nikiwa na miez mpaka Sasa Nina miaka 25 nimefanya jitihada za kumtafuta mitandao mpaka nikampata ila kiuhalisia waalimu Wana tabia ya kukimbia watoto alihama kikaz akahama mazima

  • @baghabaghaingwengwe1750

    Hakika cloud ni kiboko mno big up

  • @SelemanMuhamed-ir5zl
    @SelemanMuhamed-ir5zl Před 10 měsíci

    MUNGU NI MWEMA SANA. KILA KITU KINA WAKATI WAKE JAMANI. MAMA YANGU NAYE HIVYOHIVYO ALIACHWA NA MAMA YAKE AKIWA NA MIAKA 3 NA AKUFANIKIWA KUKUTANA NA MAMA YAKE . LAKINI KATIKA KUMUOMBA MUNGU NA KUMTAFUTA. 2022 AMEFANIKIWA KUMPATA MAMA YAKE AKIWA AMEZEEKA HUKO KIJIJINI MOSHI.

  • @eliachalamila2259
    @eliachalamila2259 Před rokem

    Mungu mwema

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před rokem

    Dah😭 miaka yote hiyo hatimae umempata Mama yako mungu mwema lakini pia baba yako ni mtu mzuri maana ingekua baba mwengine angekwambia Mama yako ashakufa haswa ili usimtafute

  • @florencemsigala6549
    @florencemsigala6549 Před rokem +1

    Huyu mama 🙌

    • @fatumastv
      @fatumastv Před 6 měsíci

      Huyu mama kama Astuki misijaona kufulai kwauo mama ila samahani

  • @rerisamba
    @rerisamba Před rokem +1

    Saa nzingine watu wanakua na siri utapata hakusema kama aliwachanga mtoto mahali

  • @roseodipo9868
    @roseodipo9868 Před rokem +2

    Mmh mama mbona bado ana hasira na ba mtoto sijui nisemeje?kama hana furah kivile🤷🏻‍♀️

  • @fathatsaid367
    @fathatsaid367 Před rokem +2

    Mtt anahaja na mama ila mama sielewi duu Allah atutie imani

  • @lilianmsafiri5392
    @lilianmsafiri5392 Před rokem +1

    Ongera saaana dada

  • @ummuaisha5559
    @ummuaisha5559 Před rokem

    Yani Hadi nimebubujikwa naachoz, mungu ni mwema

  • @nasramuhammad2046
    @nasramuhammad2046 Před rokem

    Niko na miaka 25 mamangu n tz kutoka moshi ila ako kenya tangu tuzaliwe ajawai kanyaga kwao kwa wajomba zng ata siwajui Allah atueke nikutanishwe na familia ya mamangu 😢 😢

  • @salltake4147
    @salltake4147 Před rokem

    Mungu yumwema jmn tumregeshee sifa na utukufu 😭😭😭🙏🙏🙏

  • @eashaeasha9776
    @eashaeasha9776 Před rokem

    Kwenye cm mama qlichangamka mno ile ck ile nashangaa live mama kapoa kiasi hiki hajachangamka sana haoneshi furaha

  • @stellakusaga4916
    @stellakusaga4916 Před rokem

    Hakuna linalo mshinda Mungu!!!

  • @hildahtemu
    @hildahtemu Před rokem

    Hello Clouds naomba muanzishe na ya kukutana na baba japo ni ngumu lakin tutawashukulu❤

  • @Aiuoex
    @Aiuoex Před rokem

    Uyu Maman siyo Maman muzuli ila dada Yangu Maman ni Maman tu njo Mungu amekupa ila kwa bingine Mmmmmmm ana roho ya Jiwe njo wa kwanza nasikia hana upendo wa mutoto !! Myaka kama iyo yote!! Apana sija kubali mimi

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 Před rokem

    Mungu yu mwema

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 Před rokem +5

    Na kwanini baba alikuwa hakupeleki kwa mama

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 Před rokem +1

    Ila huyu mama kiboko kabisa.