Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂 Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake... Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen
Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ
Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .
Bado sana,,kijeshi tupo nyuma Tanzania.serious investment inatakiwa,kila mwaka maonyesho ni hayo hayo,, fanyeni changes at least tuone improvement kweny this Independence day,, wawe wanaonyesha ugunduzi wa silaha nzito Kama makombora,, mabomu,, na silaha ambazo dunia itaelewa there is something different in Zanzibar,, other developed countries wanafanya new innovation like strategic weapons such as nuclear, balastic,and supersonic missiles,, and not games like this..,, 🙌🙌🙌
@@elispiuselias1339 wakapambane na magaidi au wenzao huko nje ya nchi alafu ndio tutajua wako vizuri au vipi,na sio kupiga raia ambao ndio wanalipa Kodi zinazowalipa na kununua silaha.Raia ukifanya kosa watakupiga lakini haimaanishi wako vizuri,, usimpige mnyonge ukajiona uko na nguvu,, waende wakapigane Vita nje ili tujue uwezo wao,, na sio vingine.
Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)
Mbona kama utoto ivi huo siujinga asa huyo mateka ata Mimi sinawez kumkomboa ya wanajeshi kumi alafu adui mmoja hahahahhaha duuuh hii nchi inavituko yan paka helcomta inashuk na hao askal wanashuk wanajiandaa wao maadui wanakua wamelewa au
Sasa kama ni hivi basi ninunue mapanga yangu ya kutosha maana nina wasiwasi na usalama wng iwapo nchi hii tukivamiwa na adui. yahan mda mpo chini mnajifunga hayo makamba adui anawasubr tu mmalize😂😂😂😂
Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari
Yani Toka Nasoma Shule Ya Msingi Maonyesho Ni Haya Haya Adi nimemaliza Secondary Adi nipo Uraiani Sion Nilicho Badilika Kwenye Maonyesho Yani Ata tukiomba Mechi na Alshababu Watatupiga tu
Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi
Ndugu yangu linganisha nchi yetu na majirani zetu ambao nguvu zetu za kijeshi zinafanana ,nchi zilizoendelea sio za kwetu na wala hatuwezi kupigana vita nao,do a fair comparison
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️
This is so special deal of our Military personnel
Mungu ni mwanzo na mwisho🙏🙏🔥
Nice pitch here...
Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂
Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake...
Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen
Kwa mwendo wa izo NDEGE si ingekuwa zimesha dunguliwa
Hatari sana jeshi letu mungu azidi kuwalinde
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana
Bado tuko nyuma ela mnapeleka wapi maneno ming ma viffaaa ya kizaman
Hizi n comedy naona😂
Je kungekuwapo na bomu la ardhini wangefanyaje kwa sababu hakuna ishara yeyote waliyoonyesha hususani upekuzi wa mabomu
Wamejitahidi sana na hongeren majeshi yetu kwa kazi nzuri mmejitoa vilivyo
Wafany nn hawa sasa hivyo hericopt mpk ifik kutuw si ishatunguliw zaman akkaaaa hawa hasa wachekeshaa
Mimi ni mburundi ila naipenda Tanzania sn
Njoeni Mozambique mule chuma😂😂
Mko na mchezo nyinyi, polepole namna hiyo
Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ
Nilikua sipo sikia bodoo BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO sanaaa😆😆😆😆 Yani BADOOOOO
Hao watekaji Watakywa wapi HADI muingie kilaini hivyo
Kazi njema,Mungu azidi kuwatunza daima
Ee mungu saidia inchi yetu
Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .
Wenzetu walishatoka uku ni aibu kuonyesha COMEDY kama hz nenden mkasome mje mlinde taifa kwa ustad co vituko vyenu hv
Harmonize ye alitua na makalio😢😢😢
Wazee wa gaza wasinge waacha mnimginie hivyo
Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ❤
Kwa Izo Comedy zao😂😂😂
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Fanya na ww hyo comedy
Acha dharau
Nyie ndo ambao mkiskia sauti ya risasi tu mnaanza kuhaha
Muongo huipendi nchi yako no TANGANYIKA znz haikuusu
Kuna kosa 3,ikiwaniya ukweli mutalizwa.
Kwahyo hapo wapo kwenye anga ya kwako au anga ya adui??😂
Kama Osama alovyokamatwa... hao askari waende Israel kutafuta mwili wa Joshua
Sasa mbn hawagawi wastan kwa idadi
nataman kuwa mwanajeshi one day
Nendeni Gaza mkafanyie practical😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣you pple you gonna kill me ooohh
Wapo congo sudan na kwengneko.
Tuombe mechi ya kirafiki ya kivita na congo
M nlipenda wanajeshi ndo muigize muv za kivita tanzania ningezipenda sana
Ngoja waione parestina waje kutu test
Nawapenda Sana
Naomba Mungu tu anipe mume mjeshi mimi❤
Interesting. Love from Kenya
Bado sana,,kijeshi tupo nyuma Tanzania.serious investment inatakiwa,kila mwaka maonyesho ni hayo hayo,, fanyeni changes at least tuone improvement kweny this Independence day,, wawe wanaonyesha ugunduzi wa silaha nzito Kama makombora,, mabomu,, na silaha ambazo dunia itaelewa there is something different in Zanzibar,, other developed countries wanafanya new innovation like strategic weapons such as nuclear, balastic,and supersonic missiles,, and not games like this..,, 🙌🙌🙌
ukitaka kulijua jeshi vizuri kajaribu tukio la kiuhaini uone!
@@elispiuselias1339 wakapambane na magaidi au wenzao huko nje ya nchi alafu ndio tutajua wako vizuri au vipi,na sio kupiga raia ambao ndio wanalipa Kodi zinazowalipa na kununua silaha.Raia ukifanya kosa watakupiga lakini haimaanishi wako vizuri,, usimpige mnyonge ukajiona uko na nguvu,, waende wakapigane Vita nje ili tujue uwezo wao,, na sio vingine.
Yaan adui awaangalie bila kufyatua risasi😂😂😂
😂😂😂😂😂
Korea kasikazin washatoka huku tubadilike jmn
Kama movie za kituruki😂
Hongereni Wana jeshi letu la tz kwa kituonyesha uhodari wenu nawaponeza sana tu.
Mbona wakati wa majanga hawaonekan na herikopta hazionekan
Ni hatari na nusu
Sawa kabisa
Mimi najiuliza izi herikopita mbona sikuziona kipindi ndege imezama bukoba ? Yaan Mungu atusaidie sana😢
Waliokaa juu ya helkopta wamekaa Kama wanakunywa supu
Mumewahi pigana wapi,,, acheni chocha
Sasa hapo si adui anakumaliza
with that slow mbatbalizwa na adui cimpletly
Movie za kihindi, uharibifu wa muda wa watu na pesa za walipa kodi, ovyo kabisa
Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)
Tanzania mnakuanga na vituko sana, hiyo nn mnafanya kusema kweli?
Nimefikiria Ni mchezo wa watoto
Mbona wanaangalia mbele tu??! Adui akitokea NYUMA si kwisha habari yao😂
Ila wabongo hawajawah kuwa seriously
Mnatuchanganya2 si haitusaidii chcht
Mbona kama utoto ivi huo siujinga asa huyo mateka ata Mimi sinawez kumkomboa ya wanajeshi kumi alafu adui mmoja hahahahhaha duuuh hii nchi inavituko yan paka helcomta inashuk na hao askal wanashuk wanajiandaa wao maadui wanakua wamelewa au
Kumbe walioteka waarabu koko😅😅😅😅😅😅😅 ila naipenda nchi yangu. Mapunduzi daima
😂😂😂😂😂hii movie ya dj afro hapa kenya
One day yes
😂😂😂😂😂wahuni 2 hawa😂😂😂
🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡❤️🤝🤝🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿naipenda sana taifa langu😊
Yaaaan hapo badooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi bwana tucheke tuongeze siku za kuishi
hii nchi bhana watu wanaonesha claha wao wanashuka na helcpter sas hyo c michezo kam michez mengne
Acheni kuigiza bro 😅😅 nendeni Congo muone vita vyakweli 😂 iyi niuongo 😂 kufuraishana tu.
Eti matek Matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi
Duh😂 hapa mm nitakunya kuhara kutapika mwisho nitazirai nawaeshimu tena sana shikamoon wanajeshi
Ni kweli tumeona lkn kwa sasa nchi ipo mikononi mwa mabepali kwahiyo hata hatuyafurahii mengi ht km ni ya msingi cz nchi haipo salama
Harmonize kaona hii lkn?
very nice
Sijazielewa hizo mbinu apana zilipendwa
Unataka tutangaze mbinu za siri ya nchi yetu ili ituumize iyo ni furaya yetu sisi tu wananchi ila sio kwasbb ya vita
Walansi za siri, ni very common
Hapo sawa nakubaari wapo sahihi kabisa
Tuko pamoja kwayote
Mama yangu tuwaheshimu sana Askari wetu wanakazi kubwa sana JAMANI TUSIWASUMBUE TAFADHALI SANA🔥🔥🔥🔥
Nawaza ao watekaj awajaskia saut ya helkopta😂
Kazi gani hzo zaidi ya kuonea wanyonge na kuwalinda waraji
@@msafirimaulidi5054 acha vurugu 😀😀😀😀
@@emnanuelimtui1805 wabora sana kwenye kuzuia maandamano sio kuokoa raia kwenye ndege iliyotua baharini
Haya niadui gan utakae nkamata ivoo amba mchezo wa govinda
Nendeni somali mkakadwee😅😅😅
Sasa kama ni hivi basi ninunue mapanga yangu ya kutosha maana nina wasiwasi na usalama wng iwapo nchi hii tukivamiwa na adui. yahan mda mpo chini mnajifunga hayo makamba adui anawasubr tu mmalize😂😂😂😂
Bonjour
😂😂😂 DRCongo 🇨🇩
Iyi onyesho iliwashinda jm
Tanzania chi yetu tunaipenda lakini sio kwa ujinga huu
Mhh lkn hiyo faili ya makomando inaenda wote wameangalia mbele, hakuna anaeangalia nyuma
Mbinu izi msije kufanya tutawalilieni 😢😢😢
kweeli broo ni it's very easy
Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari
Kama mambo ndio hayo Kwa nini tusiombe vita ya kirafiki na Kenya Burundi ama Congo ?
Tuonyeshe pia, angekuwa ameshikiliwa na Hamas mngemwokoaje
Natamani kujua KIGEZO Cha muda, umakini na Kasi katika jukumu la uwokozi ukitizama hii demo naona hivi VIGEZO vinapungua naomba kuelimishwa
Daa
Tanzania salama iko fulu kiulinzi
Kwa izi mbinu zetu waafrika na technology ya sasa tunaweza kuwa tunapigika kila siku maana toka kwa nyerere ni ivi ivi tuu😅😅
Ahahahaha
Nunueni Black Hawk helicopter za Marekani zisizo na sauti,mwulizeni Osama kilichomkuta.
@@pennymahombo9528😂😂😂😂kwn marehemu huwa wanaongea nowadays
Kwenye mbinu za uokoaji type mbinu mpya tofuati na hizo za ndege au gari ? Au kuna nchi wanatumia roboti punguza ujuaji😂
Awee watakufa saana tusiombee
"Daima naimpenda nchi yangu 🇹🇿♥️
Op entebee ,comoro walifanya hv hv,ongerenii
Yaan ndege ingelipuliwa mapema tu😂😅
Yote kwa yote, tunapata tabu kutafuta movie za kivita za china kumbe ata bongo tuko vizuri
❤ vipi
Yani Toka Nasoma Shule Ya Msingi Maonyesho Ni Haya Haya Adi nimemaliza Secondary Adi nipo Uraiani Sion Nilicho Badilika Kwenye Maonyesho Yani Ata tukiomba Mechi na Alshababu Watatupiga tu
😆😆😆😆kama hivi ndivyo tunavyoweza kuokolewa kutoka mikononi mwa adui,
Basi tutaokolewa sote tukiwa maiti.
Ila Bongo kuna vituko
Ukiwa hujui kitu usicoment
Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi
Nipe mbinu nyingine tofauti na hiyo inayotumika kuokoa watu ? Hawa kuna nchi umeona wanapeleka maroboti ? Punguza ujuaji😂
😂😂😂😂,,hizi ni vituko gani jameni
@@AbdulatifSaidykuna mbinu nyingi sana, hii ni common mno among sf community huko dunian si kitu kipya
Ukilinganisha na wenzetu waluoendelea bado tunatakiwa kuwekeza zaidi kwenye ulinzi has a kuwa na vifaa tulivyovitengeneza wenyewe
Ndugu yangu linganisha nchi yetu na majirani zetu ambao nguvu zetu za kijeshi zinafanana ,nchi zilizoendelea sio za kwetu na wala hatuwezi kupigana vita nao,do a fair comparison
Hatar juu yahatar
😂😂😂😂sasa hapo walivyo lundikana kwenyehiyo kamba wanasubiria kidogo tu wapandishwe juu wanawatilinga kombora wanamwagikia chini kiurahisi tu
Vizuri sana makomando
Natamani waje na Idia nyingine mahana hii tumeizoea toka Enzi jk nyerere
Mhh naogopa jinsi halikopta jinsi inavuzunguka