MAKOMANDO WATUA KWA HELIKOPTA KWENDA KUMUOKOA MWENZAO ALIVYOTEKWA, SILAHA NZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 01. 2024

Komentáře • 406

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 4 měsíci +12

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️

  • @DicksonBanda-cq6wm
    @DicksonBanda-cq6wm Před 4 dny

    This is so special deal of our Military personnel

  • @IsaacfilsUnefamille
    @IsaacfilsUnefamille Před 13 dny +1

    Mungu ni mwanzo na mwisho🙏🙏🔥

  • @BenMugo-tl9ef
    @BenMugo-tl9ef Před 8 dny

    Nice pitch here...

  • @user-vh2nk5gz5p
    @user-vh2nk5gz5p Před 4 měsíci +6

    Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂
    Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake...
    Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen

  • @arnoldtigerofficial1581
    @arnoldtigerofficial1581 Před 4 měsíci

    Kwa mwendo wa izo NDEGE si ingekuwa zimesha dunguliwa

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 Před 4 měsíci +2

    Hatari sana jeshi letu mungu azidi kuwalinde

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 4 měsíci +8

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana

  • @user-or3gu4qc9v
    @user-or3gu4qc9v Před 28 dny

    Bado tuko nyuma ela mnapeleka wapi maneno ming ma viffaaa ya kizaman

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 4 měsíci +5

    Hizi n comedy naona😂

  • @Kishilibenjamin
    @Kishilibenjamin Před 4 měsíci

    Je kungekuwapo na bomu la ardhini wangefanyaje kwa sababu hakuna ishara yeyote waliyoonyesha hususani upekuzi wa mabomu

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 Před 4 měsíci

    Wamejitahidi sana na hongeren majeshi yetu kwa kazi nzuri mmejitoa vilivyo

  • @arifali3942
    @arifali3942 Před 4 měsíci

    Wafany nn hawa sasa hivyo hericopt mpk ifik kutuw si ishatunguliw zaman akkaaaa hawa hasa wachekeshaa

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q Před 29 dny

    Mimi ni mburundi ila naipenda Tanzania sn

  • @user-ws6rw1fj3o
    @user-ws6rw1fj3o Před 2 měsíci

    Njoeni Mozambique mule chuma😂😂

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 Před měsícem

    Mko na mchezo nyinyi, polepole namna hiyo

  • @edesjackson2183
    @edesjackson2183 Před 4 měsíci

    Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ

  • @issayacharles9402
    @issayacharles9402 Před 4 měsíci

    Nilikua sipo sikia bodoo BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO sanaaa😆😆😆😆 Yani BADOOOOO

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 4 měsíci

    Hao watekaji Watakywa wapi HADI muingie kilaini hivyo

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274 Před 24 dny

    Kazi njema,Mungu azidi kuwatunza daima

  • @jamestatio-wo9nr
    @jamestatio-wo9nr Před 29 dny

    Ee mungu saidia inchi yetu

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Před 4 měsíci +1

    Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 Před 4 měsíci

    Wenzetu walishatoka uku ni aibu kuonyesha COMEDY kama hz nenden mkasome mje mlinde taifa kwa ustad co vituko vyenu hv

  • @jafarymsangi387
    @jafarymsangi387 Před 2 měsíci

    Harmonize ye alitua na makalio😢😢😢

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před 4 měsíci

    Wazee wa gaza wasinge waacha mnimginie hivyo

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 4 měsíci +17

    Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ❤

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Před 4 měsíci

      Kwa Izo Comedy zao😂😂😂

    • @abdulmnondo76
      @abdulmnondo76 Před 4 měsíci +1

      @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Fanya na ww hyo comedy
      Acha dharau
      Nyie ndo ambao mkiskia sauti ya risasi tu mnaanza kuhaha

    • @Bmsecret
      @Bmsecret Před 4 měsíci

      Muongo huipendi nchi yako no TANGANYIKA znz haikuusu

  • @KokoBidu-lu4qm
    @KokoBidu-lu4qm Před 4 měsíci

    Kuna kosa 3,ikiwaniya ukweli mutalizwa.

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před 4 měsíci

    Kwahyo hapo wapo kwenye anga ya kwako au anga ya adui??😂

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 4 měsíci

    Kama Osama alovyokamatwa... hao askari waende Israel kutafuta mwili wa Joshua

  • @user-ho8lh9ke2d
    @user-ho8lh9ke2d Před 28 dny

    Sasa mbn hawagawi wastan kwa idadi

  • @user-mj3un2iv6v
    @user-mj3un2iv6v Před 27 dny +2

    nataman kuwa mwanajeshi one day

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt Před 4 měsíci +12

    Nendeni Gaza mkafanyie practical😂

  • @HusseinNgendanyi
    @HusseinNgendanyi Před 4 měsíci

    Tuombe mechi ya kirafiki ya kivita na congo

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti2996 Před 4 měsíci

    M nlipenda wanajeshi ndo muigize muv za kivita tanzania ningezipenda sana

  • @yusuphissa8008
    @yusuphissa8008 Před 4 měsíci

    Ngoja waione parestina waje kutu test

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Před 4 měsíci

    Nawapenda Sana
    Naomba Mungu tu anipe mume mjeshi mimi❤

  • @Pira-gm4gr
    @Pira-gm4gr Před 2 měsíci

    Interesting. Love from Kenya

  • @richardmshiu5118
    @richardmshiu5118 Před 4 měsíci

    Bado sana,,kijeshi tupo nyuma Tanzania.serious investment inatakiwa,kila mwaka maonyesho ni hayo hayo,, fanyeni changes at least tuone improvement kweny this Independence day,, wawe wanaonyesha ugunduzi wa silaha nzito Kama makombora,, mabomu,, na silaha ambazo dunia itaelewa there is something different in Zanzibar,, other developed countries wanafanya new innovation like strategic weapons such as nuclear, balastic,and supersonic missiles,, and not games like this..,, 🙌🙌🙌

    • @elispiuselias1339
      @elispiuselias1339 Před 4 měsíci

      ukitaka kulijua jeshi vizuri kajaribu tukio la kiuhaini uone!

    • @richardmshiu5118
      @richardmshiu5118 Před 4 měsíci

      @@elispiuselias1339 wakapambane na magaidi au wenzao huko nje ya nchi alafu ndio tutajua wako vizuri au vipi,na sio kupiga raia ambao ndio wanalipa Kodi zinazowalipa na kununua silaha.Raia ukifanya kosa watakupiga lakini haimaanishi wako vizuri,, usimpige mnyonge ukajiona uko na nguvu,, waende wakapigane Vita nje ili tujue uwezo wao,, na sio vingine.

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz7071 Před 4 měsíci +3

    Yaan adui awaangalie bila kufyatua risasi😂😂😂

  • @bensonjohnsony8124
    @bensonjohnsony8124 Před 4 měsíci

    Korea kasikazin washatoka huku tubadilike jmn

  • @ZulfaMalya
    @ZulfaMalya Před měsícem

    Kama movie za kituruki😂

  • @user-dj5fo9fk9l
    @user-dj5fo9fk9l Před 4 měsíci

    Hongereni Wana jeshi letu la tz kwa kituonyesha uhodari wenu nawaponeza sana tu.

  • @user-me2nk2me9d
    @user-me2nk2me9d Před 4 měsíci

    Mbona wakati wa majanga hawaonekan na herikopta hazionekan

  • @YahyaOmary-yi5el
    @YahyaOmary-yi5el Před 26 dny

    Ni hatari na nusu

  • @JemsiMutukula
    @JemsiMutukula Před měsícem

    Sawa kabisa

  • @LovelyBurrito-xt5tu
    @LovelyBurrito-xt5tu Před 3 měsíci

    Mimi najiuliza izi herikopita mbona sikuziona kipindi ndege imezama bukoba ? Yaan Mungu atusaidie sana😢

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před 4 měsíci

    Waliokaa juu ya helkopta wamekaa Kama wanakunywa supu

  • @ibnukibhleting1474
    @ibnukibhleting1474 Před 4 měsíci

    Mumewahi pigana wapi,,, acheni chocha

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su Před 4 měsíci

    Sasa hapo si adui anakumaliza

  • @MarkDee544
    @MarkDee544 Před 4 měsíci

    with that slow mbatbalizwa na adui cimpletly

  • @kamanda007
    @kamanda007 Před 4 měsíci

    Movie za kihindi, uharibifu wa muda wa watu na pesa za walipa kodi, ovyo kabisa

  • @IssackMaingu-ng5lk
    @IssackMaingu-ng5lk Před 4 měsíci +2

    Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)

  • @perisfranklin2918
    @perisfranklin2918 Před 4 měsíci +1

    Tanzania mnakuanga na vituko sana, hiyo nn mnafanya kusema kweli?

  • @Billy-gz7sr
    @Billy-gz7sr Před 4 měsíci

    Nimefikiria Ni mchezo wa watoto

  • @ceasariomulumba5956
    @ceasariomulumba5956 Před 4 měsíci

    Mbona wanaangalia mbele tu??! Adui akitokea NYUMA si kwisha habari yao😂

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc Před 4 měsíci +2

    Ila wabongo hawajawah kuwa seriously

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Před 4 měsíci

    Mnatuchanganya2 si haitusaidii chcht

  • @YusuphHugugu
    @YusuphHugugu Před 4 měsíci

    Mbona kama utoto ivi huo siujinga asa huyo mateka ata Mimi sinawez kumkomboa ya wanajeshi kumi alafu adui mmoja hahahahhaha duuuh hii nchi inavituko yan paka helcomta inashuk na hao askal wanashuk wanajiandaa wao maadui wanakua wamelewa au

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd1590 Před 4 měsíci

    Kumbe walioteka waarabu koko😅😅😅😅😅😅😅 ila naipenda nchi yangu. Mapunduzi daima

  • @gilbertchebet7411
    @gilbertchebet7411 Před měsícem

    😂😂😂😂😂hii movie ya dj afro hapa kenya

  • @shaksboy-fs1pv
    @shaksboy-fs1pv Před 2 měsíci

    One day yes

  • @CarlosedwardMlaponi
    @CarlosedwardMlaponi Před měsícem

    😂😂😂😂😂wahuni 2 hawa😂😂😂

  • @SonkoMolle-if3tz
    @SonkoMolle-if3tz Před měsícem

    🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡❤️🤝🤝🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿naipenda sana taifa langu😊

  • @franklevison9477
    @franklevison9477 Před 4 měsíci

    Yaaaan hapo badooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi bwana tucheke tuongeze siku za kuishi

  • @hans_tech0015
    @hans_tech0015 Před 4 měsíci

    hii nchi bhana watu wanaonesha claha wao wanashuka na helcpter sas hyo c michezo kam michez mengne

  • @Danieldk24
    @Danieldk24 Před 4 měsíci

    Acheni kuigiza bro 😅😅 nendeni Congo muone vita vyakweli 😂 iyi niuongo 😂 kufuraishana tu.

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Před 4 měsíci

    Eti matek Matumizi mabaya ya rasilimali na kodi za wananchi

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Před 4 měsíci

    Duh😂 hapa mm nitakunya kuhara kutapika mwisho nitazirai nawaeshimu tena sana shikamoon wanajeshi

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Před 4 měsíci

    Ni kweli tumeona lkn kwa sasa nchi ipo mikononi mwa mabepali kwahiyo hata hatuyafurahii mengi ht km ni ya msingi cz nchi haipo salama

  • @abubakarbaraka2002
    @abubakarbaraka2002 Před 4 měsíci

    Harmonize kaona hii lkn?

  • @erickotieno988
    @erickotieno988 Před 2 měsíci +1

    very nice

  • @user-rl9jy5qy4o
    @user-rl9jy5qy4o Před 4 měsíci

    Sijazielewa hizo mbinu apana zilipendwa

  • @zaiduothmani5771
    @zaiduothmani5771 Před 4 měsíci +7

    Unataka tutangaze mbinu za siri ya nchi yetu ili ituumize iyo ni furaya yetu sisi tu wananchi ila sio kwasbb ya vita

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 Před 4 měsíci +1

    Tuko pamoja kwayote

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 Před 4 měsíci +7

    Mama yangu tuwaheshimu sana Askari wetu wanakazi kubwa sana JAMANI TUSIWASUMBUE TAFADHALI SANA🔥🔥🔥🔥

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 Před 4 měsíci +3

      Nawaza ao watekaj awajaskia saut ya helkopta😂

    • @emnanuelimtui1805
      @emnanuelimtui1805 Před 4 měsíci +1

      Kazi gani hzo zaidi ya kuonea wanyonge na kuwalinda waraji

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před 4 měsíci

      @@msafirimaulidi5054 acha vurugu 😀😀😀😀

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před 4 měsíci

      @@emnanuelimtui1805 wabora sana kwenye kuzuia maandamano sio kuokoa raia kwenye ndege iliyotua baharini

    • @AlwanKombo-hd3dt
      @AlwanKombo-hd3dt Před 4 měsíci

      Haya niadui gan utakae nkamata ivoo amba mchezo wa govinda

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Před 4 měsíci

    Nendeni somali mkakadwee😅😅😅

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Před 4 měsíci

    Sasa kama ni hivi basi ninunue mapanga yangu ya kutosha maana nina wasiwasi na usalama wng iwapo nchi hii tukivamiwa na adui. yahan mda mpo chini mnajifunga hayo makamba adui anawasubr tu mmalize😂😂😂😂

  • @user-ey8jl7el9z
    @user-ey8jl7el9z Před 4 měsíci

    Bonjour

  • @jackgodgivenzihindula
    @jackgodgivenzihindula Před 4 měsíci

    😂😂😂 DRCongo 🇨🇩
    Iyi onyesho iliwashinda jm

  • @DjreyBlackstar
    @DjreyBlackstar Před 3 měsíci

    Tanzania chi yetu tunaipenda lakini sio kwa ujinga huu

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 Před 4 měsíci

    Mhh lkn hiyo faili ya makomando inaenda wote wameangalia mbele, hakuna anaeangalia nyuma

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 Před 4 měsíci +3

    Mbinu izi msije kufanya tutawalilieni 😢😢😢

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 Před 4 měsíci

      kweeli broo ni it's very easy

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 Před 4 měsíci

      Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari

  • @abelialsen5383
    @abelialsen5383 Před 4 měsíci

    Kama mambo ndio hayo Kwa nini tusiombe vita ya kirafiki na Kenya Burundi ama Congo ?

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Před 4 měsíci

    Tuonyeshe pia, angekuwa ameshikiliwa na Hamas mngemwokoaje

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 Před 3 měsíci

    Natamani kujua KIGEZO Cha muda, umakini na Kasi katika jukumu la uwokozi ukitizama hii demo naona hivi VIGEZO vinapungua naomba kuelimishwa

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před 4 měsíci

    Daa

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 Před 4 měsíci +1

    Tanzania salama iko fulu kiulinzi

  • @izzahboe1442
    @izzahboe1442 Před 4 měsíci +16

    Kwa izi mbinu zetu waafrika na technology ya sasa tunaweza kuwa tunapigika kila siku maana toka kwa nyerere ni ivi ivi tuu😅😅

    • @user-jo1zp7fj7r
      @user-jo1zp7fj7r Před 4 měsíci

      Ahahahaha

    • @pennymahombo9528
      @pennymahombo9528 Před 4 měsíci

      Nunueni Black Hawk helicopter za Marekani zisizo na sauti,mwulizeni Osama kilichomkuta.

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 Před 4 měsíci

      ​@@pennymahombo9528😂😂😂😂kwn marehemu huwa wanaongea nowadays

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy Před 4 měsíci

      Kwenye mbinu za uokoaji type mbinu mpya tofuati na hizo za ndege au gari ? Au kuna nchi wanatumia roboti punguza ujuaji😂

    • @user-di9tm7el2r
      @user-di9tm7el2r Před 4 měsíci

      Awee watakufa saana tusiombee

  • @user-re6bk6cd6o
    @user-re6bk6cd6o Před měsícem

    "Daima naimpenda nchi yangu 🇹🇿♥️

  • @twahaissack7887
    @twahaissack7887 Před 4 měsíci

    Op entebee ,comoro walifanya hv hv,ongerenii

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz7071 Před 4 měsíci

    Yaan ndege ingelipuliwa mapema tu😂😅
    Yote kwa yote, tunapata tabu kutafuta movie za kivita za china kumbe ata bongo tuko vizuri

  • @erickotieno988
    @erickotieno988 Před 2 měsíci +2

    ❤ vipi

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Před 4 měsíci

    Yani Toka Nasoma Shule Ya Msingi Maonyesho Ni Haya Haya Adi nimemaliza Secondary Adi nipo Uraiani Sion Nilicho Badilika Kwenye Maonyesho Yani Ata tukiomba Mechi na Alshababu Watatupiga tu

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 Před 4 měsíci +18

    😆😆😆😆kama hivi ndivyo tunavyoweza kuokolewa kutoka mikononi mwa adui,
    Basi tutaokolewa sote tukiwa maiti.
    Ila Bongo kuna vituko

    • @JAYCLASSICMEDIA
      @JAYCLASSICMEDIA Před 4 měsíci +1

      Ukiwa hujui kitu usicoment

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Před 4 měsíci +1

      Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy Před 4 měsíci

      Nipe mbinu nyingine tofauti na hiyo inayotumika kuokoa watu ? Hawa kuna nchi umeona wanapeleka maroboti ? Punguza ujuaji😂

    • @simonmoneni6768
      @simonmoneni6768 Před 4 měsíci

      😂😂😂😂,,hizi ni vituko gani jameni

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před 4 měsíci

      ​@@AbdulatifSaidykuna mbinu nyingi sana, hii ni common mno among sf community huko dunian si kitu kipya

  • @binamutawa9637
    @binamutawa9637 Před 4 měsíci +1

    Ukilinganisha na wenzetu waluoendelea bado tunatakiwa kuwekeza zaidi kwenye ulinzi has a kuwa na vifaa tulivyovitengeneza wenyewe

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před 4 měsíci

      Ndugu yangu linganisha nchi yetu na majirani zetu ambao nguvu zetu za kijeshi zinafanana ,nchi zilizoendelea sio za kwetu na wala hatuwezi kupigana vita nao,do a fair comparison

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 4 měsíci

    Hatar juu yahatar

  • @user-di9tm7el2r
    @user-di9tm7el2r Před 4 měsíci

    😂😂😂😂sasa hapo walivyo lundikana kwenyehiyo kamba wanasubiria kidogo tu wapandishwe juu wanawatilinga kombora wanamwagikia chini kiurahisi tu

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 Před 4 měsíci +1

    Vizuri sana makomando

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m Před 4 měsíci +1

    Natamani waje na Idia nyingine mahana hii tumeizoea toka Enzi jk nyerere

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 4 měsíci

    Mhh naogopa jinsi halikopta jinsi inavuzunguka