Trial like Leal event, kiukweli mmejitahidi sana, hongereni kwa ubunifu huo. Namuomba mama SAMIA amuangalie kwa jicho la mama mbunifu aliyekaa na kubuni Hilo tukuo. Big up our lovely TANZANIA
Hii Millard Ayo KICHWA CHA HABARI INATAKIWA IWE MAZOEZI NA SIO TUKIO. WENGI TUMEFIKIRI NI TUKIO WAKATI NI ZOEZI UNAWEZA KUWAPA WATU HEART ATTACKED KWA SABABU WENYE NDUGU WANOSAFIRI WANAWEZA KUFIKIRIA VINGINEVYO.
Ila kwakweri makamanda wetu hongera kwa uigizaji jinsi nilivyoona ndege imeungua watu wanaweza kupona na kubaki nanguo zao duhu hii ni hatari sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haya bwana kazi nzuri
😂😂😂😢😢Ahaaaaaa jaman jaman mmeniliza kwani naumia kuona wa tanzania waki ingia katika shida ila. Asante kwakiwa nijalibio pia hongela kwakaz nzuli naomba iwehivyo kwenye uhalisia 😅😅😅😅😅
😂🤣😁hii nchi hii kikubwa uzima na bando tu stress zitatoka wapi bwahahaha ,, watu wanalia utasema wamepata ajali kweli vile kumbe wanaigiza dah sijui mazoezi ya utayari mi naona uchuro tu 😎😎
Nimepokea taarifa hizi kwa masikitiko mno, ila itoshe kusema poleni sana ndugu zangu ninamuomba Mungu awaponye kwa haraka majeruhi pia awape utulivu watanzania inshaallah
Jmn nyie ebu badilishen kichwa cha habar mbk nimelia na kupiga magoti kuwaombea wagonjwa wapone haraka kumbee ni majaribio daaa 😭😭😭😭😭😭 itoshe kusema mmetushtua mno
Mungu awape heri na maarifa tere, waokoaji na matabibu wanoenda kuwapokea na kuwapatia huduma hao j😮amaa majeruhi/wahanga wa ajari hiyo ya ndege. Tupoleni sote kama Taifa...
Innallillah wainnallillah rajuun 😭😭😭😭😭😭😭 Allah awasamehe walioigiza hv wote na tuombe dua inshaallah Allah asiangalie maigizo yenu si mngezima tu huo moto.
Mungu baba tunaomea watu wetu wa Tanzania walio pata hajali hii leo ya ndege wapata huponyaji wa harala Amina am from kenya
Poleni sana.. walioumia twawaombea uponyaji wa haraka.... Napenda mnavyopendana .... All the Love from Kenya❤❤....
Poleni sana ndugu zetu wa Tanzania,sisi wakenya tunawaombea mola awazidishie uzima na uponyaji kwa wale walioumia
Natoka pongezi kubwa sana Kwa majeshi yetu ya usalama hakika wamejitahidi mno👏👏👏👏😭😭😭
Trial like Leal event, kiukweli mmejitahidi sana, hongereni kwa ubunifu huo. Namuomba mama SAMIA amuangalie kwa jicho la mama mbunifu aliyekaa na kubuni Hilo tukuo. Big up our lovely TANZANIA
Kumbe ni movie nkt.
Movie
Poleni watanzania . Mko active kwelikweli, Mungu awabariki mandugu zetu. I salute Tanzania
Pole sana ndugu zang mungu atawaponya hongera kwa makamanda kwa kufika kwa wakati
Poleni sana mungu awaponye Form kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Poleni ndungu zetu mwenyezi mungu waokoe wanao baba
Subhanallah
Hii Millard Ayo KICHWA CHA HABARI INATAKIWA IWE MAZOEZI NA SIO TUKIO. WENGI TUMEFIKIRI NI TUKIO WAKATI NI ZOEZI UNAWEZA KUWAPA WATU HEART ATTACKED KWA SABABU WENYE NDUGU WANOSAFIRI WANAWEZA KUFIKIRIA VINGINEVYO.
Wanazingua wanaleta vichwa vya habari tofauti na uharisia
Yn wanaunguza main ya watu wallahi
Jamaa jau sana hawa aise asa ndo nn hvyo kama watoto
Safi apo ametuacha njia panda
Ujinga 😂kwahiyo wanaugiza wote awo
Yan mm nimelia mpaka kichwa kinaniuma mwishon mnasema majalibio haki hamjanitendea haki mje sasa mnipe dawa mana sio kwakulia uku😭😭😭
Umekunywa dawa za sh ngapi😮?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 Tz mpk raha
Ni hovyo kabisa 😂😂😂
He kumbe ndio ivyo
Kwa kweli mamejaribu sana hao wanajeshi madactari na hao zimamoto mungu awabariki na kuwapea nguvu ya kusaidia wenzao
Kwanamna ya pekee nixhukulu Jeshi kwajitihadazake kubwa za uokozi wa ndugu zetu Mungu awabaliki
Hili tukio ni la lini aisee
Poleni sana watanzania mungu alinde ulimwengu mzima
Poleni sana watanzania
Waokoaji wote mungu atawalipa kazi nzuli😪😪🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Poleni sanaaa sema bongo bhna yaani iyo fire ya pili inafika moto ushazimwa kabisa
Ndege iko wap walio ungua wako wap dah 😂😂 bongo sihami 😂😂
😂🙆
Wewe mi nikajua ajali kweli kumbe ni testing au😂
Ndo maana najiluza kama ndege imeungua hv mbona watu hawajaungua?
hii ni hatari kwakweli
Nilijua ajali kweli
Ila nilivoendelea kuangalia kabla sijafikia mwisho njajua tu nitukio la kutengeneza ili kuwapima jesh zima la ukozi 👏👏👏🔥🔥
KWA MAZOEZI KAMA HAYA TUTAPOTEZA SANA WATU WETU,,MUNGU TUSAIDIE YASITOKEE MAANA BADO HATUNA VIFAA VYA KISASA,,YAISHIE KUWA MAZOEZI TUU 🙏
Mwenyezi mungu awaponye water waliopa ajali ya ndege
Mungu saidia Kenya yetu
Pole Zangu kutoka 🇰🇪
Kueni Pole sana walioumia mungu awape uponyaji wa haraka mm ni mkenya nawapenda sana mwenzangu wa tanzania
Mnajipima sio Hongeren sana
Men.regret.sa.ki.pase.la.bondye.avek.nou.mwin.c.yon.haiten.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Polen sana ndug zetu
Daaa!,asanteni jamani Kwa HUDUMA ya uokoaji na HUDUMA ya kwanza MUNGU AWABARIKI SANA!,WOTE ASANTENI
Poleni sana wensetu wa Tanzania wacha mwenyesi mungu asimame pamoja nanyi
Du inasikitisha sana mwenyezi mungu awarehem
Waokoaji mbalikiwe Sana kazi nzuri
Ila kwakweri makamanda wetu hongera kwa uigizaji jinsi nilivyoona ndege imeungua watu wanaweza kupona na kubaki nanguo zao duhu hii ni hatari sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haya bwana kazi nzuri
😂
Watu wameungua na nguo zao safi kabisa lakini hii nchi mm sihami
😂🙆
Poleni Sana from Australia naumia Sana 😢😢😢
Poleni sana mungu awaponye halaka majeruhi
Subhanallah,polen san
Tanzania ndo nchi ya hovyo kuliko nchi yoyote dunian,, nchi ngumu sijawahi ona
😂😂😂uko na lawyer
Poleni sana Ndungu waokoaji Mungu atawlipa
Pole Sana aiseh pongezi kwa makamanda
Poleni sana ndungu zetu mungu yupo pamoja nanyie inshaallah
Poleni sana Akey Mungu awatie guvu tukiomba Mungu awaponye
Da mirad ss uwa tunapenda tarifa zako uwa za kwer sasa inakuwaje mazoezi alafu ww unatuaminisha tarifa za kwer na watu kwenye koment bd wanaamin kwer
Poleni sana walioumia
Polen sana mungu awatangulie wapone
INNA NILLAH WA INA ILEYHI RAJAIOON ALLAH awa saidia ni uchungu walahi poleni sana
Hili tukio ni la lini aisee
Mungu akutie nguvu awaponye
Yeesi saa kazi nzuri sana
Mpkeee uponyaji mungu Ako na nyinyi poleni sana
Eh Mungu Eh Mungu Poleni Poleni From Rwanda
Fake, it's not true... Wanafanya mazoezi tu... Siyo ajali
😂 hi niimetengenezwa siyo kweli
Alaa😂
@@thadeylyimo9772 oh ok
Pole my dear ni waongo sio kweli wafanya mazoezi
Poleni sana nduguzetu jmn tanzania yetu mungu ilinde
Ongeleni makamanda kwa kufika kwa wakati sehemu ya tukio mungu ni mwema atawaponya
Polen sana kwa kwel mungu awatie nguvu.pia awe pamoja nanyi kwa wakati huu mugumu.nawapa pole nikiwa niko Kenya
😂😂😂😢😢Ahaaaaaa jaman jaman mmeniliza kwani naumia kuona wa tanzania waki ingia katika shida ila. Asante kwakiwa nijalibio pia hongela kwakaz nzuli naomba iwehivyo kwenye uhalisia 😅😅😅😅😅
Poleni san nduguzangu mungu atawaponya
😂🤣😁hii nchi hii kikubwa uzima na bando tu stress zitatoka wapi bwahahaha ,, watu wanalia utasema wamepata ajali kweli vile kumbe wanaigiza dah sijui mazoezi ya utayari mi naona uchuro tu 😎😎
Poleni sana aki majirani wetu wapenda mpokee uponyaji aki
@ Ayo ulifika kabla ya Zimamoto .... Kazini kuna kazi😮
😂😂😂
Poleni sana eh mungu wasaindie
Poren saana Mungu awape wepesi wakupona
Nimepokea taarifa hizi kwa masikitiko mno, ila itoshe kusema poleni sana ndugu zangu ninamuomba Mungu awaponye kwa haraka majeruhi pia awape utulivu watanzania inshaallah
Sio ajali kama unavofikilia ndugu, ni mazoezi ya uokoaji endapo itatokea ajali ya ndege
Jmn nyie ebu badilishen kichwa cha habar mbk nimelia na kupiga magoti kuwaombea wagonjwa wapone haraka kumbee ni majaribio daaa 😭😭😭😭😭😭 itoshe kusema mmetushtua mno
Yani ningekuwa eneo la tukio ningetembeza mikwaju kwa wote hao waliolala chini na kujifanya majeruhi mijibwa ya kijerumani hii..
Kwakweli Yan hawana tofaut na bongo movie
Polen sana wapendwa mungu a wap
Onye
Hogera kwa Hilo idarazote santeni❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mnabipu kifoo eee!!! 😊 Ingelikuwa tukio halisi Wala hamfiki kwa wakati"Ila kwenye mazoezi mnajifanya Mko fasta
Mungu wanusuru wahanga walio pata ajari ya ndege kigoma
Bado Cjajuwa Chanzo Cha Kuunguwa Hii Ndege Ni Nni Ila Yote Kwa Yote Mungu Awanusuru Insha Allah Poleni Sana Manirani
Waaah makubwa haya mungu wangu we mwanadamu tumkimbilie wapi mahajali yamezidi kiwango woooi
Dah ee mwenyezi mungu walehemu wanja baba
heee Iseeh! polen Sana wapendwa
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu
Dear LORD 🙏🙏 may you take ur control coz without you we are Nothing
Poleni sana jmn mungu atawaponya ndug zangu
Ee Mungu wasaidia ndugu zetu Baba
We're Mungu wangu nakuomba wewe ndo ukawe dakitali Mungu ukagange majelaha yote nakuomba
Jaman mungu afanye wepes wawe salama
Poleni xanaa ndugu zetu
Mungu awape heri na maarifa tere, waokoaji na matabibu wanoenda kuwapokea na kuwapatia huduma hao j😮amaa majeruhi/wahanga wa ajari hiyo ya ndege.
Tupoleni sote kama Taifa...
Pole ya nini Mzee na watu wako mazoezini
😂😂😂@abasmwika3432
Polen sanaaa mung atawapony❤
Mungu wangu naomba tutee na manjanga haya
Hizikomenti zimenichanganya kwani hapa kilitokea nini😢😢
Baadae utasikia tumemaliza mazoezi ya utayari😊😊😊😊
Wanaharibu mafuta tu halaf mafuta yenyewe bei juu lkn ajali ikitokea anaeibuka kinara wa uokozi ni akina Majaaliwa pamoja na mazoezi ya utayari 😂😂😂
Kabisa mambo yakweli wanakuaga wazembe hata hawaeleweki@@suleimansalym7537
Hamna kitu
Kwani sio ajari kumbe
@@zawadismaili144😂😂
Leo 😂mnasema n mazoez sabb mmejiandaa lkn likitokea tukio gar zinaenda bila maji wa la wakuu wa vitengo wafike tukio lilisha isha😂😂😂bongo Rahaa Sana
Pole sana
Hongereni sana walio kuja kuokoa serikali red cross na wengineo
Daah poleni jamani mungu atawaponya
Innallillah wainnallillah rajuun 😭😭😭😭😭😭😭 Allah awasamehe walioigiza hv wote na tuombe dua inshaallah Allah asiangalie maigizo yenu si mngezima tu huo moto.
Mungu waponye baba ameen
Very risk 🎉
Am watching from saudi Riyadh 😭😭😭😭🤔
Poleni sana Mungu Wa Amani awaponye
Yani tatizo kwenye ukweli magari huwa hayana maji.Sasa mngeanza na magari hayana maji mnakuja kuangalia moto halafu mnaondoka kama mnavyofanyaga.
😂😂😂😂
Kweli aiseeeeeeee 😂😂 maana huwa wazito kinoma
Sasa utayali ndege inaungua bunduki za nn?
We nae bwege
Jaman kuuliza nako ubwege we nyumb yko ipungue ukashike panga why tusiulize@@ramajr3762
😂😂😂😂😂😂,mwenyewe nimejiuliza kwan kuna majambazi
Kumbe mazoezi...
Nikashangaa zimamoto leo wamekuja na maji full kwenye tank🤣🤣🤣
Mungu awatangukie
Poleni sana jamani.
Safi kabisa mko Imara jeshi letu
Poren Sana mrio patwa na ajari ya ndege kigoma
Mm nikajuaa ni reality kumbee ni training Kenya bhanaa
Waaah Mungu wangu tusaidie
God protect us and forgive us please have mercy on us hi Kenya inaenda wapi aki
Hii sikenya n tz
Awatakufa watapona katika jila yesu watangaze mwema wa bwana katika nchi ya walio hai amen
Mungu awaponyeee
Inauma sana poleni watu wote waathirika na ajali mbaya