MSICHANA MDOGO ANAYEENDESHA MAGARI MAKUBWA NJE YA NCHI/NISHAZIBA NJIA PORINI/WANAUME WALINISAIDIA
Vložit
- čas přidán 15. 09. 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Super woman , hongera dada , whatever man can do woman can do better,wapi likes za Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I drove tractor-trailers for 24 years in the USA. Retired in 2017. Drove Freightliners, Mack’s, Volvo, Peterbuilt and started with a Cabover. All manual shift🤗
Wow!!! Can you connect me please... I'm Jack
I like it ✌️ please allow me to be in close contact
Allah akulinde mwajuma wetu,safi sana mdogo wangu uwe na maisha mema na marefu.
Hingera sana binti! Mimi pia napenda kumpongeza sana mwajiri wake kwa kumpa chance na kua na imani naye bila ubaguzi...kwakweli hongera sana mwajiri!
Kila la kheri Mdada,aki umeweza hongera kwa kila ufanyalo Mwenyezi akutangulie kwa kila jambo...Salute from....🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sister, dereva mwenzako hapa. Mi ndoto ilikua kazi ya baharia ila nikaishia kua dreva. Mola akulinde na misukosuko ya kazi hii na ajali za barabarani👊🏾
Nampongeza sana ameonyesha ujasiri na kuwaonyesha vijana wa kike kutokuwa waoga kufanya kazi ambazo zinachukuliwa kuwa ni za wanaume. Ila hao matajiri wake wangetafuta jinsi ya kumlinda wampe utingo mwanamke mwenzie asiwe peke yake! Ni hatari hata kwa mwanaume kusagiri peke yake sembuse! Hongera sana mwanangu Mwajuma! Mungu akutunze na kikuzidishia.
Hongera sana! Lkn kwa safari hizo ndefu ingependeza zaidi uwe unatembea japo na mtu mmoja
More love ❤ from Kenya 🇰🇪 Dada yetu, imagine tu kibahati upate visa ya kufanya hii kazi Marekani jameni wewe utakuwa katika nafasi nzuri kabisaa. Hongera sana na uzidi kutia bidii kwa kazi unayofanya....kudos 🙏🙏🙏
UK wanauitaji wa dereva,dada yetu afanye yake
@@jepkorirzipporah3777 uko na link ,am a good driver pia ,nikipata chance I will appreciate,Chepkorir😍
Yaani hizi akili mbovu tuziache...mawazo ya kukimbia kwetu.... turidhike kwetu na tujenge nchi zetu
Jenga Tanzania pia kuna pesa
@@ezekieljacob5795 kuijenga ww inatosha
Wanawake Oyee. Chapa kazi uje kuwa na Lori lako utoe Ajira Kwa madereva wengine.
Mwajuma The Truck Driver 🚛🚒
Hongera ssn
Hongera sana mwanangu
czcams.com/video/Smu7gj2od5Y/video.html
Kwa posho gani
Super girl am proud of you well done kazi ni kazi God bless the work of you hands
Hongera sana mdogo wangu Mwajuma kwa kuwa msichana unayejiamini hakika utafika mbali sana ,Mungu akuongoze ktk hatua zote za mapito yako🙏
Hongeraàa
She's very smart, I do appreciate those ladies who are hustling themselves
Hongera. Sana sana huu ni moyo mkuu mno.
@@isariamunis3944hongela sana bint lakini changamoto kubwa sana nikupata watoto happy hakuna cha watoto bwana kule Bibi kule kuna wajukuu hapo?
czcams.com/video/Smu7gj2od5Y/video.html
@@lukoslukos1331 hamna hiyo ni mawazo yako.mie ni deree wa bus naniko na wajukuu
Mungu amlinde kwenye SA safari zake big love gal from Kenya
Daaaa uyu shujaa aisee Kwa kwelii,,, tenaa anaendesha roli gum aswaa FAW double clutch....🔥🔥🔥🤟🏾
Masha'Allah, am proud of her, she is indeed a super woman. Congratulations
Congratulations kwa wewe Dada yangu mungu akusaidie kwa.kazi.yako.kila.siku.balabalani
Hongera mwanadada,upole wako sio wa kawaida,🙏,ujaliwemengi na Maulana, shukran kwa kampuni kukupa gari jipya 🙏🙏.
Piga kazi Mwajuma, Mwenyezi MUNGU yuko pamoja nawe...!!!
Hongera sana Dada wetu kazi niPowa
I shower you with Kenyan love🇰🇪💕🇰🇪
Mmh honger mdogo ilo gari unalibuluza wewe ❤️❤️❤️🙏🙏Mungu akuongoze
Waoooh msichana umebarikiwa sana, Mwenyezi MUNGU amulinde popote aendapo.
Wanawake tunaweza hongera sana dada mungu akutagulie
Namwonea huruma.
Namwombea salama yake..na Mungu amfanyie wepes
Amin
Sasa una mwonea huruma kwa lipi na akat ana tafta maisha
@@ilynpayne7491 Ana kosa vingi,yaani kimapenzi inatakiwa awe mke wa tatu au nne...Msaidizi tu...Maana sijui kama anampa haki mumewe sawasawa au ndiyo anamuachia majukumu house girl!!!
We unawaza mapenz tu
@@shakirasaidi7657 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Et Mke wa Nne Jaman Kuna watu Hawana Huruma Et
Huyu ndiye Mwanamke Nga'ngari, so simple lady.
Mrembo kazi ni Kazi...pesa ni pesa. Thanks for encouraging other girls..well done.
Nikujituma tu akuna kazi ngumu ukiitilia maanani 🤲🏾kaza mwendo ndugu utafikia marengo yako kwa uwezo wa Allah
Safi sana Mwaju!Kwanza unajiamini halafu unajua kujielezea.Good...stay blessed.
Dada hongera sana..Mungu akutangulie na akulinde..wewe ndio Best super woman ....Endelea kuvunja miamba
Anaweza Sana huyo,huwa siwaelewagi madem wengine wa kibongo, wanasema kila kitu hawawezi...binafsi kanikosha sna mwajuma..! Napenda wadada wenye uthubutu Kama yy💪
Woii, mi apa Nina ka rumion tuu kananishinda, nikitaka kutoka arusha kwenda moshi ni lazima nimlipe dereva anipeleke....😢
@@hildamatinga2249 hiyo ndo tunaita uthubutu ujaamua tu
@@ricksonlyimo5594 😨 sijui ata nifanyeje, yaani Mme wangu ana magari ya manual, nikasema ni magumu sana haya, wacha niagize automatic.....kiruuuu🙄
@@hildamatinga2249 ndo unapaswa ujifunze sasa ujue
@@ricksonlyimo5594 Asante kwa kunitia moyo😊
Anatisha mtoto wa kike mungu amtangulie katika safar yake ya maisha ana moyo wa uthubutu katika nafsi yake anastahili pongez na kama vp serikali inaweza kumpa kaz aendeshe gari ndogo malory changamoto sana mm nipo kwenye kampuni ya kilimo naona madereva wa kiume wanavyoumia na kukaza belt.
Hongera anti mwajuma,kwa kazi nzuri
🙏🙏blessing Sana sister anguu..... Mungu akulinde njiani....🙏🙏🙏
Hongera dada mwenyezi MUNGU akutangulie ukatimize ndoto zako😘😘😘🙏🙏🙏🙏
safi sana dogo botarde
Mungu akutimiziye ndoto yako tena Mungu akulinde chau
May God protect this lady forever and ever in Jesus name Amen Amen Amen Amen
czcams.com/video/Smu7gj2od5Y/video.html
Amen Amen
Amen
Vizuri sana mfano wa. Kuigwa
Amen
Safi sana dada lakee' MUNGU akubariki akuongoze ktk kazi ktk maisha yawe nimafanikio2"
Hongera.Mungu akuzidishie nguvu ya kazi🙏
Nakukubali sana sister angu (YOU ARE SUPERWOMAN)
Safi sana Mwajuma endelea kumuomba mungu utimize ndoto yako ya kuwa Baharia
God bless her
Mwajuma maashaallah hongera sana pia unarangi mzuri usihalibu ngozi yako
Maa shaa Allaah
May Allaah protect you lady
Ukweli lazima nimpongeze sasa Mwajuma ila namshauri asichokoke Mungu yupo na Atamsaidia kwa kila Jambo. Pia Namumbusha asisahau kumuabudu Mungu kwani Mungu ni Hakimu wa Yote.
Hakika namfagilia huyo dada Kuna aliyekuja kampuni ninae fanya dah niliacha kazi nikaenda kusomea udereva
MashaaAllah barakallah fiykum wajazzakullahu khaira ALLAH akulinde
Super woman... God bless you mammi.. May he protect you... Go girl
Wooow good garl nimempenda sana huyo mrembo kama mmi Pia dereva miaka kama yke by mi mkenya
My dear nipo Tanzania natafuta rafiki wa Kenya.
Hongera sana mwanangu mungu akutangulie ishalla
Je t'encourage ma sœur i love you so Mum
Hongera sana Dada wetu na Hapa kigali tuna Gupenda sana
Hongera sana Dada yetu, Mungu akujalie yaliyo mema na akupe ulinzi katika safari zako.
Ubarikiwe sana binti Mungu azidi kukupa ujasiri
czcams.com/video/Smu7gj2od5Y/video.html
🇯🇲🇵🇹👍💋💋😄❤
@@PendahlawKE km
@@PendahlawKE ppl
Big up mdog angu Mungu akufanyie wepesi jambo lako litimie.....!!!
Love so much driver mwenzangu mungu akuongoze vema
Wa mama tusilaale laale laale wa mama tusilale bado mapambano,, ongera dada Mungu akulinde kwenye kz yko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿
MashaAllah dada you're the real super woman💪💪🔥
Wanawake wanaondesha magari makubwa wapo wengi kwa sasa Ila nimependa kwauyu nimdogo Sana ongera Sana dada mwajey
MashaAllah binti yang nae anapenda hii kaz
She is blessed and well disciplined. God bless
I respect woman like you
Much love and respect from kenya,,,,super woman
Hnger
Safi Sana my big mama
Dada Mungu akujarie nimefurahi sana niko niko Missenyi bukoba Kyaka bwengabo
Our beloved GOD protect this lady all the way
She's 27 years old, driving a heavy vehicle. She is cool and smart.
When I arrived, Tanzania I will see you. Keep the courage
Uko vizuri Dada umejieleza vizuri chapakazi mungu akutangulie
Hongera sana binti Ila boss akupe Actros Benz. Hyo FAW inakuumiza bana
Kwakweli siongei mungu akujalie mama amgu
Congratulations super woman for showing girls that they can do anything they set their minds to and, do it with class at the same time! And on that note if she can make it to the US she'll make about $7,000 = Tzsh 14,700,000 per month in that retrospects. Hongera dada mdogo. 👏👏🙌🙌😊🇰🇪
And how much clear or take home....dont fool people yoon !!
Masha'allah.dah uyu dada anastahiki pongezi 💗
Wanawake Sai Hakuna kz tunashindwa kiraisi, mungu akuongoze ktk kz zako. Mashaallah tabaracka Rahman.
Kenyan girls take Mwajuma's challenge and venture into the field indeed it is a very inspiring story.I love the piece
🤣🤣🤣🤣🤣👋tuko nae mamaetu wa tiktok
czcams.com/video/Smu7gj2od5Y/video.html
Tuko kila mahali😂
Nawajua wakenya wengi mno.kwetu kenya hilo sio jambo geni
Ongera ndugu
Mashalaah safi sana WANAWAKE TUNAWEZA💪💪🙌
Huwezi ww anaweza yeye jifunze na ww si kila anachofanya mwanammke mwezako na ww uweze ujifunze utaweza huo ndio ukweli dada
@@alikhamis6326 kila mtu na kipaji chake
Huwez jua mie nafanya nn kakaangu
Tunawezaaaaa
From Kenya with love.....I also just got my class CE truck driving license natumaini tutapatana kwa barabara inshallah na bahati yako uko na kazi
Good.... Kila lakheri Mwajuma.... Mungu akusimamie..
Hapo Sawa dada, talenti n yako, well done, good motivation 🙏
I love the spirit in this lady.. much salute to Mwajuma
Hilo gari la kichina sawa na mwanaume Lina chosha
Hapo ndo napata picha wanao tekwa niwanaume tuu wanaendaga kwa michepuko😄😄😄😄 hongera Sana mwajuma👏👏👏
Nahitaji nambo ya hiyo dada jmn nimependa kaziyake
Big up sana mama
Maa shaa Allah wajina umenipa nguvu hata mm ya kuweza kupambania hiki ninachokiamini Allah Azidi kutupa nguvu nabujasiri in shaa Allah 🤲🤲🤲
Congratulations sister. Niko njiani kufika hapo dadangu.
That's so inspiring Mwajuma.. may God fulfil your future dreams. Thumbs up girl....
Benard, Nairobi.
Hongera sister mungu akulinde
Hongera Saaaana Mwanangu
Under
Very inspiring, you are one in millions. I like this lady doing her work passionately
Hongera sana my. Mungu akulinde sana my
Maa Shaa Allah, Hongera Bint.
Mwajuma Naamin Mungu ameskia ndoto yako, keep Going na utakuwa baharia!!🙏
Safi sana nimependa iyo kwanza anaelewa sharia yakazi yake kwachombo chake
Duuu hapo alipoanza kukagua mm naogopa na ukubwa wa gar maweeeeeee Masha Allah mwajey Allah akuongoze vyema na akubaliki akulinde na kila Baya Amin yaraby ♥️♥️♥️♥️♥️♥️💋🙏
May Good God continue blessings you mwajuma,, congrats,,
Big up Sister! Unasema ukueli hapa Mozambique Luga ni nkumi!.Jah bless
MAASHALLAH ALLAH AKUHIFADHI INSHA'ALLAH Dada
Mashallah, hongera sana *Mwajuma* Nimekupenda bure 💕
Dada mungu akubaliki Sana kwa kazi nzuri nimekupenda Sana namimi nataka mtoto wangu awe kama wewe
She's very smart,so I can get respect for you my sister
czcams.com/video/Smu7gj2od5Y/video.html
Congratulations
wow she's smart and beautiful, super woman 😘😘😘 congratulations.
Huu dada sawa kabisa nampenda yeye dada kwasababu yahio kazi anatumika mungu amuejeshe kwakazi yake tena amupe baraka mwahio kazi anatumika kweri hapo sawa kabisa
Hongerah sn my dada
Salute Mwajuma ur the hero
First of all love wat you are doing 🔥🔥
Mungu awe nawe kwenye safali zako zote
Hongela sana dada siku ukija tanga ukifika kijijicha Hale tuonane dada tupige stoli
Hongera dada pia sisi wakenya🇰🇪🇰🇪 tunajivunia.
Mashallah mwajuma mungu hazidi kukupa moyo katika kazi zako,watching from mombasa- kenya. Bidii ni maendeleo jipe moyo.
Respect 100%. Zidi kuwatia moyo wengine. Kiswahili chako pia kizuri. Kenyans are always amazed listening to the fluent swahili from Tz
Why amazed?
Pia sie Wakenya twakimanya Kiswahili, labda useme wewe mwenyewe.
Karibu sana ndugu,Mungu akubariki.
wow amazing just like one of my frd from Kenya .....she us now 30 and she has been driving for 9yrs now keep it up gal
Hongera mwadada
Very smart and intelligent girl I salute you 👏
Congratulations to mwajuma you make me feel so proud of being a woman ...what mana can do a woman can do much better .. kudos
Women are always multiple result oriented. You give her sperm she give you a child, a house 🏠 she give you a home, sorry Jacq