Majambazi sugu wakamatwa na polisi kwenye mpaka wa Burundi na Tanzania

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 09. 2019
  • Jeshi la Polisi la Burundi kwa ushirikiano na Jeshi la Polisi la Tanzania wamewakamata majambazi sugu ambao wamekuwa wakiendesha vitendo vya ujambazi na mauwaji katika nchi hizo mbili. Wasemaji wa majeshi hayo wameahidi kuendelea kushirikiana ili kukomesha uhali kwenye mipaka ya nchi hizo

Komentáře • 431

  • @MajaliwaBitomwa-qu7mc
    @MajaliwaBitomwa-qu7mc Před 11 dny +1

    Hongera sana sheji zetu kwakazi kubwa mlio ifanya Hao wafanyie serekali kazi mpaka kufa

  • @OmarSaidsaulSaid
    @OmarSaidsaulSaid Před 5 měsíci +1

    Asante ni sana jeshi la Tanzanie kwa hicho kitendo chenye muridufanyizia mwendelee n'a kazi kenye mulikabiziw n'a mungu verry good

  • @mwajumalugenja3895
    @mwajumalugenja3895 Před 4 lety +4

    Hongereni sana ushirikiano no jambo nzuri bgp kwenu

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 Před 4 lety +2

    Hongera Sana Mr. Otieno tiji ler.

  • @JonathanSamson-xf3oc
    @JonathanSamson-xf3oc Před 29 dny

    Hongereni San jeshi la ulinzi na usalama kwa kutimiza majukum yenu

  • @TokyobuckettsLive
    @TokyobuckettsLive Před 12 dny

    Tz pia iko na Otieno all the way from kenya

  • @tysonphilip2094
    @tysonphilip2094 Před 4 lety +5

    Kazi nzuri pande zote mbili

  • @AyubuJuma200o
    @AyubuJuma200o Před 23 dny

    kazi nzuri sana Mungu azd kuwapa maarifa

  • @raisaafrica0255
    @raisaafrica0255 Před 4 lety +7

    MUNG AWABARIK SANA KWA KAZ NZUR TANZANIA N BURUNDI MUKIWA HIVO AMAN ITAKUEPO

  • @ibrahimumatunda4449
    @ibrahimumatunda4449 Před 4 lety +11

    hongera pia jeshi letu la Tanzania na la jeshi la Burundi kwa ushirikiano

  • @thieriniyorukundo2365
    @thieriniyorukundo2365 Před 3 lety +2

    Ongera sana kwa ushirikiyano na undugu wema kati y'a serkali y'a Tanzaniya na Burundi kwa kuwanasa ayo majangiri,endeliyeni na musi-mamo uyo uyo

  • @LukascAmri
    @LukascAmri Před 3 dny

    Naipongeza sana jeshiraporisi kwakazinzry wanayoifanya

  • @johnmlaya
    @johnmlaya Před rokem +1

    Safi sana jeshi kaz nzuri,

  • @JailosuwezoDavid
    @JailosuwezoDavid Před 2 měsíci

    Mbalikiwe saana kwa kuilinda apya yetu❤ naushilikiano mzuri❤

  • @anyagenyekalangali-zt1xo

    Jeshi la polisi wanapaswa kupongezwa Kwa kazi nzuri wanayofanya

  • @lamecknelson8380
    @lamecknelson8380 Před 3 lety +1

    Asante sana na wakomeshe ili siku nyingine wasirudie tena

  • @JhumarMungala-ey3sg
    @JhumarMungala-ey3sg Před 9 měsíci

    Congretulations, burundi kiswahili limewapiga chenga ila no matter ndo ujirani mwema uo.

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před rokem +1

    Ukikutana nao mchana huwezi kuwadhania

  • @francinendihokubwayo7822
    @francinendihokubwayo7822 Před 4 lety +4

    You people should know that Swahili is not his first language. He tried.

  • @user-pv7xd6ko6q
    @user-pv7xd6ko6q Před 5 měsíci

    Asanteni sana watanzania, ndoa sasa ujirani mwema!!!

  • @shemahabonayo1287
    @shemahabonayo1287 Před 5 měsíci

    Towa Rwanda kinywani mwako we shenzi. Iyo ni mchezo wakubomowa kambi za watu wenye mulikimbiza nyie wawuwaji. Mutaka kuingiza roho mbaya TZ. Inchi imewashinda kuongoza kazi kutesa warundi na kutukana rwanda. Asie juwa ya kesho tesa binadamu mwenzie. Awo watu ni ma baba wa familia munawakamata tu juu mutengeneze mambo yakufuza wa kimbizi. Ila kuna mungu anawaona.

  • @magarindombe2304
    @magarindombe2304 Před rokem

    Hongeren policy kwa kuilisha usalama huko burund

  • @stelabenitho2315
    @stelabenitho2315 Před 3 lety +2

    Hongera sana

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 Před 4 lety +2

    Mzee wetu umeongea kiswahili kizuri 🤣🤣😳🙏🇧🇮🇧🇮♥️♥️♥️

  • @jamesmarwa-ch8vw
    @jamesmarwa-ch8vw Před rokem +4

    Many thanks from people's of Tanzania and Burundi.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 9 měsíci +1

    Vunjeni hiyo miguu mkifanya hivyo hayatakuja tena tanzania mnawachelewesha ondokeni na miguu mkiwaacha hawataacha wizi ndo kazi waliochagua

  • @kapayaomarry7783
    @kapayaomarry7783 Před 4 lety +1

    Kazi nzuri makamanda

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 Před 4 lety +4

    Rwanda wanapokea wezi polis Burundi kathibitisha

  • @munyemanavianney9454
    @munyemanavianney9454 Před 4 lety +2

    Kiswahili sio sana .mzhe watu . lakini bravo mumefanya kazi nzuri

  • @lazizerujanabose8802
    @lazizerujanabose8802 Před 4 lety +29

    Ongera Musemeaji wa police yetu Burundi kuyiongelea police na nina kupa 20/20 kwa kiswahili fresh umeongea

  • @nduwayoClaude-t7e
    @nduwayoClaude-t7e Před 14 dny

    Fanya kazi

  • @user-ty8ci5oi9m
    @user-ty8ci5oi9m Před 5 měsíci

    Hao wameibia watu wengi mpakani so mimi niliona kuna kingine hao Madeleva wanatoka Tanzania hawana vitamburisho vya babarabalani mpaka wanauza wasafili kwa ma polici watanzania kwakua hawana kalatasi zagutosha wakati wagutoa Rushwa wenyewe kesi inasingizia wasafili. Mimi niliyibiwa mpaka wakanipitisha njia mbaya kuvukaa mpakaa

  • @omarramadhani3054
    @omarramadhani3054 Před 4 lety +22

    Kibao cha mpaka nimeona kipo.chini ufanyike utarstibu kiwe juu kionekane vizuri

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 Před 4 lety +6

    Hawa waliwahi kututeka mliwa wa simba biharamlo walikua wanaongea kurundi walinipiga sana fimbo nashkuru mungu nilisalimika ila wametesa sana watu tanzania hata kuua tena sisahau ilikua siku ya kwanza ramadhani nimefunga na huku nafanyiwa unyama nilimlilia sana mungu kabla sijafika nilipokua naelekea niliskia baadhi yao wamekamatwa na kuuliwa asante mungu

  • @troubleboy2590
    @troubleboy2590 Před 4 lety +5

    Nimubarekure ntimwibagire Ko KIGOMA kariyuBURUNDI barundi barundikazi ntimwibagire

  • @lutenganokajeti937
    @lutenganokajeti937 Před 4 lety +4

    Jamani polisi waoongezwe maana majambazi ni wauwaji! 👐 🖐

    • @miamujohn6535
      @miamujohn6535 Před 3 lety

      Hongelen Askari kwa Kaz yenu nzuri

    • @thieriniyorukundo2365
      @thieriniyorukundo2365 Před 3 lety

      Ukiteteya,ukisema kama si wajambazi,wameshikwa na silaha nyingi ,masase na boom 2,wewe unaonesha ni wandugu zako majambazi

  • @amismuhitira507
    @amismuhitira507 Před 2 lety +1

    Ongeraa Sana Burundi natanzaniii tukopamoja

  • @cyondocomedicyondocomedi6290

    Kwizera Jean.Bosco

  • @MuhamedyMuhamedy
    @MuhamedyMuhamedy Před 6 dny

    Tuzidi kurinda mipaka yetu iri amani iyendere asateni kaushirikiyano muzuri wa mataifa mawiri kuwakamata madui kama hawa wanao vunja amani

  • @user-kj2xh6bt5y
    @user-kj2xh6bt5y Před 5 měsíci

    Ongera sana jeshiila burundii na tanzania

  • @MariaLyson-y7d
    @MariaLyson-y7d Před 9 dny

    Mungu awaponye

  • @bedomanjohnson8026
    @bedomanjohnson8026 Před 2 lety

    Sm keep it up

  • @SsebumaFrancis-fi4hx
    @SsebumaFrancis-fi4hx Před rokem

    Wajambazi wote muatafute muaeke magelezani
    Kunawatu tuliteseka mkulima lakini ukirudi batakwambia reta pesa zikikosa watakuwua

  • @andrewkimambo1581
    @andrewkimambo1581 Před 4 lety +9

    Viva Africa .. Thank you inspector.

    • @erickmwaihoba2464
      @erickmwaihoba2464 Před 4 lety

      Joseph nivizuli kuwakamata na kuwafikisha vyombo vya habar

  • @ashuraussein7582
    @ashuraussein7582 Před 4 lety +5

    Alhamdulillah kweli penye awakuwauwa mana warundi kwakuuwa wanajitaidi😔😔afu izoninjatu zinawasumbua jamani nkurunziza shenzi kbs 😏 😏 samekata kutoka kuutawala

    • @tatiya6883
      @tatiya6883 Před 4 lety

      urishudia wangapi mushenzi mbwa weee nyoko

    • @ashuraussein7582
      @ashuraussein7582 Před 4 lety

      @@tatiya6883 🤣🤣mbwa mamako babako adiukomzima mxiuu wauwaji wakubwa nyie mburu kengewe

    • @zabibuilovemycountryofburu9156
      @zabibuilovemycountryofburu9156 Před 3 lety

      Wewewewewewewewewewe Ashura komanaukomazike pumu pumuliachooni mende nainzi zikwigie mdomoni koma kuzungumzia ichiyetu vibaya Ashura Kwani warundi niwauanji kuliko zingine INCi Ashura yani uko tz hakunawauanji Ashura kwanini hua mnazungumzia lNCiyètuvibaya

    • @ashuraussein7582
      @ashuraussein7582 Před 3 lety

      @@zabibuilovemycountryofburu9156 🇫🇷👈

    • @zabibuilovemycountryofburu9156
      @zabibuilovemycountryofburu9156 Před 3 lety

      @@ashuraussein7582 nanyipia mkowauanji wakubwa nyie usitakikuzungumzia inci yetu vibaya ashura

  • @jeaninewalda493
    @jeaninewalda493 Před 4 lety +6

    Hawo majambanzi wataona mot watanzania

  • @simonkasato7617
    @simonkasato7617 Před 4 lety +2

    Hongereni

  • @rutibabaratheodore7828

    Rwanda wanawapa ma Hotels? hamuna uhaki yeyote bwana. hatupo malafiki nawajambazi, wende ujifunze Kiswahili na kusema sawa Politician.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 9 měsíci

    Wauliwe hao wabaya sana wakikukuta ndani wallah wanauwa watu majambazi sio watu bora ukutane nasimba kuliko hao

  • @user-hd4ry1mu2j
    @user-hd4ry1mu2j Před 5 měsíci

    Ushirikiano wa kulinda usalama ndo kitu muhimu zaidi ili raia waishi bila ya hofu

  • @user-wo4rc5gb3w
    @user-wo4rc5gb3w Před měsícem

    Chungeni usalama wa nchi yenu nyie warundi msituingize sisi wanyarwanda kwenye ujambazi wenu hatutaki hilo

  • @DizamngoniwambewuMtachi
    @DizamngoniwambewuMtachi Před 9 měsíci +1

    Tanzania ndi dziko labwino Pilirani apolisi athu timakunyadirani

  • @frankmalimba5539
    @frankmalimba5539 Před 4 lety +6

    Uweni hao maana wao wameua sa2 sio watu wazuri

  • @allysospiter5073
    @allysospiter5073 Před 4 lety +11

    Pongezi Sana endeleeni ivo ivo

    • @prophetprophesy7415
      @prophetprophesy7415 Před 3 lety

      Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name

    • @tachovenamembe9398
      @tachovenamembe9398 Před 3 lety

      Hongera sana kwa usilikiano

  • @cyondocomedicyondocomedi6290

    Kwizera Jean Bosco

  • @victajuliusimshong9469

    Mm kama mm ao watu waajibishwe iwe fundisho kwawatu wote tanzania pamoja na Burundi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 9 měsíci

    Yani kama unawapa kiburi hawa majambazi dungu hawaja kuingilia wabaya sana sikiaty kwajilani wanachinja kabisa wahukumiwe kunyongwa

  • @SupraBoy1994
    @SupraBoy1994 Před 3 měsíci +1

    Wow!

  • @user-nv5bb6zf3d
    @user-nv5bb6zf3d Před 9 měsíci

    Doh wizi umekithir sasa?msiwauwe isipokuwa kila jambazi moja apewe grass 3 za uice ya cement alfu waachilieni.hii itapunguza wizi.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 3 lety +1

    Hofu yangu isije kuwa Wapinzani huko Burundi

  • @OsseasJulius-wm5sc
    @OsseasJulius-wm5sc Před rokem

    Hao sio wa kuwaacha wapate hukumu inayowasitahili kisheria najua jeshi ra porisi navyombo vyote vya urinzi na usarama viko macho pande zote Tanzania na burundi shikamaneni kutokomeza uhalifu huu amani ienderee kuonekana hongereni Sana mungu awasimamie ktk majukumu yenu

  • @user-rp9wc4qn1f
    @user-rp9wc4qn1f Před 9 měsíci

    Duu hongereni kwakazi munanao Fanya

  • @zakiaally5319
    @zakiaally5319 Před 3 lety +2

    Hongera

  • @user-bm4fp5ui3v
    @user-bm4fp5ui3v Před rokem

    Wataishia usalama wa taifa adhabu ni kuwamaliza kwani wanaua wananchi wapigwe risasi hadharani

  • @lifemateus5283
    @lifemateus5283 Před 2 lety +1

    Lamentável isso

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 3 lety +3

    Safi makamanda wote wawili, ila Burundi wana Kiswahili kizuri saana, angekuwa kamanda wa kule angeongea Kimarekani huku yeye Ni Mkisii😎😎😎

  • @allysospiter5073
    @allysospiter5073 Před 4 lety +4

    Nendeni na kure buhigwe wana sumbua sana

  • @symonwanjohi3294
    @symonwanjohi3294 Před rokem

    Hapa Kenya majambazi kama hawa huwa polisi wanawapiga risasi na hiyo file inafungwa tunaenda kazi ya kusaka wengine.

  • @barakasaiboku9986
    @barakasaiboku9986 Před 3 lety +1

    Safi sana makanda

  • @EgidiMuando-mq3sn
    @EgidiMuando-mq3sn Před 4 měsíci

    Mungu awabaliki

  • @user-wo4rc5gb3w
    @user-wo4rc5gb3w Před měsícem

    Yaani nyie warundi sijui mtaritambua hili lini? Rwanda ni nchi ambayo inapenda amani sijui itakua na faida gani eti watu waue Burundi halafu wakimbilir Rwanda eti wapokelewe acheni uwongo wenu nyie

  • @user-wk8hc2kv2j
    @user-wk8hc2kv2j Před 5 měsíci

    Rwanda inawazidi usalama usafi n'a wema pia

  • @abelsuleimanshiliwa2150
    @abelsuleimanshiliwa2150 Před 4 lety +7

    Hivyo ndivyo inavyotakiwa, siyo kuwaua, mnawakamata na kuwafikisha mbele ya Vyombo vya SHERIA.

  • @NiyibiziEnock-vz7os
    @NiyibiziEnock-vz7os Před rokem

    Hao majambazi sugu wachukuliwe hatua kal ili liwe fundish hat kwa majambaz wengine

  • @obisikeclintonisraelamaoyo9696

    Mbaka is Right

  • @manirambonanorbert2689
    @manirambonanorbert2689 Před 4 lety +4

    Swali ninayo Wale watu munakamata kweny Camp yawakimbizi nimajambazi??? Police mufanyekaz Alakini Pia musije mukavuluge wusalama waba kimbizi plz Tanzania na Burundi so vizulu kuvulug wakimbizi! !!

  • @danielkoisulye3874
    @danielkoisulye3874 Před 2 lety

    Hongeren xan

  • @TEMBOWANIMSANII
    @TEMBOWANIMSANII Před 4 měsíci

    jamani Tanzania tufanyeni tuwe na amani kupendana

  • @HajiraRamadhani-jc4of
    @HajiraRamadhani-jc4of Před 7 měsíci

    Matokeo ya mtihani
    darasa la Saba

  • @user-tm4km1kw5h
    @user-tm4km1kw5h Před 5 měsíci

    Good work

  • @AbdalaJuma-d4t
    @AbdalaJuma-d4t Před 20 dny

    Abdallah juma
    Buruhdina

  • @AthumaniMilanzi
    @AthumaniMilanzi Před 8 měsíci

    Mbona kama saido yupo katika hao watuhumiwa

  • @brighton_pbeat5851
    @brighton_pbeat5851 Před 4 lety +2

    Good job

  • @piusnkwale
    @piusnkwale Před 4 lety +3

    Hongereni sana

  • @LexuxLezan
    @LexuxLezan Před rokem

    Beautiful songs

    • @AlexErnest-yx6ir
      @AlexErnest-yx6ir Před rokem

      Aw

    • @BizimanaDismas
      @BizimanaDismas Před 8 měsíci

      ​@@AlexErnest-yx6ir
      mj ljj'jj le} immopm/0 hhh(lkg mm) gj/hu ok je'kj ba hh hhh😊jk😊 je kb je ng hh+hh ilu- gjb n'n€n'n& l ne 0:13 +h

  • @benalex4960
    @benalex4960 Před 4 lety +5

    Uniform ya polisi ya bulundi inafanana na ya Kenya polisi

  • @failunaimba9774
    @failunaimba9774 Před 4 lety +2

    Anaongea vizuri nimependa

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 Před 2 lety

    Majambazi sugu mnawajua lkn?mnakamta wizi wa kuku eti jambazi sugu

  • @brighton_pbeat5851
    @brighton_pbeat5851 Před 4 lety +8

    Asante Tanzania

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 4 lety +3

    Safiiiii

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 4 lety +2

    Amen Amen. Barikiwa nyote. Amen.

  • @muzogasbreak7367
    @muzogasbreak7367 Před 4 lety +3

    Anyone to explain for me in English what is happening please

    • @issahhamadu6068
      @issahhamadu6068 Před 4 lety

      Muzo Gasbreak ur

    • @kinyoboy8439
      @kinyoboy8439 Před 4 lety

      MejaLavaLaLva

    • @ezekiambise2595
      @ezekiambise2595 Před 4 lety

      Robbers who doing robbering in both Tanzania and burundi,they do criminal in one country and escape to another country,they are finally arested by police.

    • @donnuele7693
      @donnuele7693 Před 4 lety

      Ezekia Mbise sentenced to which penalty?

  • @fideleshumbusha4590
    @fideleshumbusha4590 Před rokem

    Gooo

  • @primantipas
    @primantipas Před 9 měsíci

    Mbosso wimbo mpya

  • @massiamakassi6689
    @massiamakassi6689 Před 4 lety +1

    Vzr

  • @lucynickson2537
    @lucynickson2537 Před 2 lety

    Hizo bunduki ziliibiwa lini leo mnazikamata ..hatuwaelewi

  • @christiannsengiyumva6253
    @christiannsengiyumva6253 Před 4 lety +3

    Ewe akabi gatwengwa nk Akeza, hari ibisuma n abicanyi baruta abapolici bo mu burundi, amabi bamaze gukorera abarundi mu myaka cumi iheze ntayo twaribwabone kuva uburundi bubaho.

    • @motomoya8463
      @motomoya8463 Před 4 lety +1

      Acha domo wewe, rudi nyumbani ukaanze maisha.

    • @christiannsengiyumva6253
      @christiannsengiyumva6253 Před 4 lety

      @@motomoya8463 mbe wewe uvuye mu mwobo wahe? Nta kirundi uzi?uri umutanzaniya ko mbona benshi bigira abarundi?

    • @christiannsengiyumva6253
      @christiannsengiyumva6253 Před 4 lety

      @@motomoya8463 taha iwanyu muri tanzaniya wa mujinga w umuswahiri.

    • @motomoya8463
      @motomoya8463 Před 4 lety +1

      @@christiannsengiyumva6253 Uburundi buriko burater'imbere mutama.
      Tahuka gusa ugifitse umwanya.

    • @christiannsengiyumva6253
      @christiannsengiyumva6253 Před 4 lety +2

      @@motomoya8463 ntaha hehe kandi ndi ngaha buja?iryo tera mbere uvuga n ubukene abantu tubayemwo hamwe na cholera iriko irabica bigacika,amayarara yuzuye ama quartiers yo mu gisagara ,amahera y amarundi yacitse nka papier de toilette nivyo wita iterambere ?rya iyo misigazwa y aba dd utekereze ntawukeneye impanuro zawe kuko nawe ntuzi n ivyo uvuga.

  • @bakarikantyatya574
    @bakarikantyatya574 Před rokem

    hasikali...wa..bulundi...na...tanzania...wogeleni..sana..mm..bakali..kutoka...bunju..b

  • @shabanijuma1690
    @shabanijuma1690 Před 3 lety +3

    Mjukuu WA mwanamalundi

  • @SangwaTv250
    @SangwaTv250 Před 3 lety +3

    Mkuu wa police burundi amedanganyia Rwanda kwani Rwanda haina haha na pesa za kupatiya wajambazi wa Burundi ile ni udanganyifu mtupu