Bro mbona nimekuelewa sana ebu ongeza mara mbili ya hapo naamini utafika kimataifa zaid na utajulikana dunia nzima kikubwa mtangulize Mungu usidanganywe na njia zingine njia peke ni Mungu pekeake kipaji unacho uwezo unao salute
Kelvin wafanya kanzi nzuri tena kufaavyo 👏 usimwache Victoria 😢... Kipindi chenyewe nakifuatilia kina mafunzo mengi sana.... Waiting for the next episode. Much love from Mombasa Kenya ❤
Hongereni Mnafanya Kazi Poa 🎁
Asante sana my brother one Love ❤
Nawakubali
Nice
@@Dontatv255 namba 4 pls
Nice job
Dah😢 wazaz wetu sometimes wanatuumiza bila kutambua hii films nimeipenda sana Kaz nzur Boss🙋
Kelvin muoe tuuu dada wa Kaz huyo mke afai kabisa
Azin
Ip viz hii muv kapat mum anamchzea ila ndo tujifunze wanawk 😮
Kiukweli tunajifunza mengine kama umujifunza gonga like
I'm waiting episode4. Wapenzi ❤❤❤❤ nawapenda yana love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤
Gabril
Please nipe likes zangu number one from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamn kaz nzur san ivi wapo wanawake kama victory nataka jibu like apo
Wapoo
Jamani nzuri jitahidini kutoa kila siku
Dah kelvin hongera saana kwq kazi nzuri na mwenyezi mungu akufanyie wepes ufannye vizur zaidi 💝💝💝💝💝🤞✌️🤞✌️🤞
Wa kwanza leo kutoka zanzibar naombeni like zangu🥰
Like kutoka Nairobi Kenya 🎉
I love this movie from Kenya ... Someone like my comment please 😅
Karibu tuchanuke😂😂😂
From shakahola 😂😂
Ati from shakahola 😂😂shakahola wanakufa.wewe haujakufa😂😂❤😂
uko vizur sanaa hongera kelvn uximuach victoria mwana mk xahihi🌹🌹🥀🥀
Congratulations 👏👏 Kelvin keep it up, much love ❣️❣️ from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Kaz yetu nimeipenda sanaaaaa
9
Moving zuri sana ina mafudisho
@@charlesmutisya7523❤😂😢😮😊😊
A😢zyu😅
Part 4 twaisubiri kelvin 💕keep up the good work 👏
Añ
Kaka ongera sana kwamafundisho mazuri naomba pesabila furaha nibure tafadhali Amuwa kumuowa dada wakazi
Bro mbona nimekuelewa sana ebu ongeza mara mbili ya hapo naamini utafika kimataifa zaid na utajulikana dunia nzima kikubwa mtangulize Mungu usidanganywe na njia zingine njia peke ni Mungu pekeake kipaji unacho uwezo unao salute
Huyo Victoria sio mke wa kuoa
unajua sana mwanangu kelvin! GOD bless you
Nakupenda sana kelvi🎉Kwa io acting yako Mungu akupeleke atua mbele kaka, nice Waka! Io ingine Sasa iwe moto
Hongereni filamu nzuri sana chukueni🥀🌹💐🌺 yenu
Yaani hiki ki move ni kitamu sn kina mafunzo mengi mno barikiwa Kelvin 💯😍💕🔥🔥🔥
Aisee Bonge la movie hili🎉🎉🎉🎉
Muendeshe mke wangu vizuri...kwenye pikipiki. Kelvin wewe. Kenya watching
Wanaopenda Kevin amuoe Victoria Kwa hamu gongeni like
Broo upo vizur
Jameni Kevin anajuwa kucheza hi filamu jameni namupenda sana Kevin na Victoria ❤❤❤❤❤
Victoria ndo anambra kevin
Victoria ndo anamfa kevin
Bsr
Nakubali sana brother khan nilikuw naisubiria hii move kwa hamu
Nmeipenda sana movie hii Kevin mungu akusaidie kwa kaluma hii ulipo nayo barikiwa sana
Isichelewee inayofuata wadau wengi
Lini tena mnaludia nyingine
Iko good sana
Kazi nzuri sana na inatoa fundisho zuri sana
Kelvin Big up saaana kwa kazi njema type muendelezo mapema saaana
Kazi nzuri MUNGU awasaidie mfikembali ndugu zangu nawapenda nyote mnafanya vizuri sana ❤❤❤ from Kenya
Uyu mama anatetea nyoka
Kelvin wafanya kanzi nzuri tena kufaavyo 👏 usimwache Victoria 😢... Kipindi chenyewe nakifuatilia kina mafunzo mengi sana.... Waiting for the next episode. Much love from Mombasa Kenya ❤
When is it broadcasted?
Mjinga 😂😂
kweli yatufunza mengi vile nimeifuatilia
Nmesiktka sana kelvin kwan umekubar Victoria aondoke jaman
Nyingin na iyo tunaiitaji jamani Khan 🙈🙈🙈🙈🙈🙈
Kazi nzuri sana mr kelvin na timu yako mnatuburidisha sana
Ndo nmefika sasa! Nipeeni likes zangu
Jamaa hii move ulijipanga vzrvsana daaah nimeipebda mpaka kupinfukia daaah Mungu azidi kujupa maalifa zaid ndg yang❤❤❤❤❤❤❤
Kipindi kizuri, Kiswahili kitamu cha Tanzania 🎉mafunzo Tele nafuatilia kutoka Kenya 🤝
Hii iko pouwa niko nimekaa nasubiri muendelezo insha-allah
Congratulation kelvin much love ❤️ 😍 💖 ❤❤❤❤❤❤
Ongera sana i love voyu❤❤❤❤
Kazi nzuri sana kelvin naomba sehem ya nne
Tunasubiri party 4 Kaka Kelvin much love and big up sana
Kelvin please part 4 ikuje kwa haraka...much love from Kenya❤❤❤
Congratulations 👏👏kelvin keep up waiting part 4
Hakuna laana mbele yahaki....love move....
Hakika unakipaji Cha kipekee brother mungu akubaliki sana uelimishe jamii❤❤
Wow, nilisubir kwa hamu❤❤❤
Kelvin nakubali sana kaka movie inanifundisha vingi
Kelvin barikiwa❤❤❤
Ulianza mahusiano linii????
Kelvin usiwe naoga wakumuacha victoria iyo laana hitokufanya kituuu nawa❤❤❤ sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Anatosha kuwa na kevin❤❤❤❤❤
Nimeipenda sana naomba part 4 nawatakiya kazi nzuri
🎉l love this movie,iko fit Sana , from kenya.part 4 tunangojea
I love this movie from Uganda
Nampenda sana vctorya wakiwa na kelvin ❤❤
Nani kasema ladhi inatolewa Kama nyanya sokoni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kazi nzuri khelvin basi part 4 please ❤❤
Hongera Sana kelvin kwa kazi nzuri 🙏 ila huyo mama yako hatumwelewi kabisa kwanini anatetea maovo Kuna Nini kati yake na huyo mkeo😢 pole Sana Victoria
Hogera kelvin,,nasubiri part 4 kwa hamu
Hongera Sana Kelvin Kwa Kazi nzuri unayoifanya n Millie uyo 4rom Kenya
Congratulations 👏 broo Good job kwa kweli napenda sana movie zako ni ndefu unaangalia adi part ya mwisho 🎉🎉🎉 comment 🇸🇸
Kalvin hongara
Safi sana kaka mko vizur sana yan ❤❤❤niliisubir baraa yani
Kelvin ongera San kwa utendaji wako wa Kaz nzuriiii,lkn tunasubil kwa hamu part 4❤❤❤❤❤
Wa kwanza like zenu tujuane wapenz wa hii mchezo ❤❤
😂😂😂😂😂
Kazi nzuri sana na iko na mafunzo naangalia kutoka kenya ❤❤❤❤
Parabéns e muito sucesso mais força.
Congratulations Vicky and kelvin vipindi vyenyewe vina mafunzo mazuri❤❤❤
Kelvin ackudanganye m2 hakuna laana ya ivo kaka ucmuache Victoria aondoke kwa uyo mshenz wallah natamn ningal kuepo nipewe cni yakumzabua iyo mke wako😢😢
N huyo cyo mama yke mzazi laana inatoka wapy hii ndio shida ya kuishi karibu n mama mkwe cndi
Enda Victoria akuna laana
Huyo tina ni kaaba mkuu🙌
Brother umetisha sana ...bac tunaomba episode inayofuata maana n tam kinoma
Jamani movie tamu Tena tamu Sana!
Ustaarabu a busara zako kelvin, zinapaswa kuigwa na vijana wengine.
Much love from kenya bro waiting next part plzz❤❤
Daaah jaman inauma
Nmejifuza kitu kimoja
Nimekuwa wa kwanza
Dah wekaka unajua tenaunajua Tena,aisee nimeipenda Sana hii movie inafundisha Sana,nasubili mwendelezo kwaham Sana Sana💕💕💕💕
𝐕𝐩
Hakika kaz nzur 👏👏👏. God bless your talent
Ila kelvin mama ako anatetea Nyoka next episode tunataka ajue huyo mwanamke anayemtetea ni waina gani plz
Big up sana chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Safi sana brother Khani uko vizuri ila vero asiondoke bhana
Kazi nzuri Sana Khan...mungu akupe nguvu na utashi wa kuelimisha jamii
Kazi nzuri 👏👏👏.... from kenya
I love it❤❤❤❤❤❤
Amuowe Victoria bilashida kwasababu munguyeyepeke alimchaguliya.
Kazi nzuri San bro muendelezo bas
Wow please uje kutupa next episode nawapenda sana
Next episode please
Nawapenda Sana jaman❤❤❤
Kaka uko vzr Sana twaisubiria part 4
Duuuuuuuuuuh.. nakubali kaz nzur❤❤ next plz
Kazi ya moto 🔥🔥🔥 sana mashallah asanteni Kwa mafuzo mazuri nawapenda kutoka omani 🇴🇲 ❤❤❤❤
Léo nafika mapema naombeni hâta liké tano you From burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nawapenda sans
Igizo zur by wity
Sisi kama 🇰🇪🇰🇪,Tumesubiri sana ,Like ya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
Umetisha sana mzeee baba hongeleni.
Nakubali sana kazi zenu
Congratulations Kevin much love from Kenya, love your job
Nakubal saaaan movie zenu Burundi tuko pamoja na nyie
Duuuu inahuzunishaa..😢 nice drama
Nawapenda sna ❤❤ from Burundi
Really good Kevo! Kazi nzuri sana mnafanya ndugu kule TZ, 1st time i must subscribe bro, from Kenya!
Mbona mamb yqmonoga
Hongereni sana movie ndzuri sana yenye mafundzo
Kaz nzurii sanaaa kaka nasubir part4 ❤
Watch from Kenya keep up the good work
Waiting for part 4 please.... Very interesting
Hongera kwa kazi nzurii kelvin ❤ ❤ ❤.
Ila mke wako MUNGU amurehemu.
Mam mwenyewe hamuna lolote ndo anamjaza mke wako tuu.
Vp
Daaaaaah nakubari kali hii bas next episode
Niliisubiri ❤❤😊😊
Mambo sio ayo ❤❤❤❤
Tunasubr part 4 ongera Kelvin ❤❤❤much love frm 🇰🇪🇰🇪❤
Sofia
Yani ni 🔥🔥from Oman, part 4 isichelewi
One love to Kelvin kma una mpend gonga like zako hpa
🫡
Mm wa kwanza nipeni likes❤
kanzi zuri bro, mungu akuongoze
Nawakbal nilkuw nmewamic🎉🎉🎉❤❤