Wueh!! 😳😳😳 Ndoa bila heshima ni bure kbs nheri kuiishi juu ya tawi kuliko kuiishi na mke mwenye Anapenda uwanasa tafadhali kevin mvumilivu ula bivu, Mwenyezi Mungu akujalie kipaji yako idumu Daima na milele Amina🙏🕊
Nmepata notification yahii movie ikiwa na 19 mnts kelvin ntk no yko iliukipost tu unipigie cm iliniwe wakwanza yaani nakupenda❤❤ kinoma yani ata kama nmechelewa naziomba hzo likes za kelvin
@@esthelamonica7022 saaana yaani msichana wa mtu mrembo lkn tabia loo, ndio huwa wanasema uzuri WA mwanamke sio urembo ni tabia apo naunga asilimia Mia Kwa Mia.
Mnatupa fupi fupi jmaani daaa movie inamafunzo manzuri sana jamani tupeni movie ndefu kidogo mweee jamani ♥️ kelvin brother angu please tupeni movie ndefu kidogo
Hapo hapo waende pamoja na babayake yessss sasa mtafute verooo Kisha ifanyenii long kidongo tamu Kisha fupi ❤❤❤❤ 7 Iko tayari au twangoja Tena nice film keep it up guys
kama unampenda kelvin na team yake eka likes nying hapa
Weee dada muogope mungu
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
jamani huyu dada kah!!! yan hadi shetani atakuwa anamshangaa
wooow. I like you kelvin
Namu kubali xan kelvin na team yake
Watu awachelewi jamn like ata5 tu
Am watching from Kenya, kevin hongera sana nimekukubali hiyo show iko juu sana❤❤❤❤ kama mnamkubali kevin mpe likes wakenya wenzangu
Kevin nakubali sana
Ndio inayo nifariji huku saudia arabia 🎉🎉namkubali sana kelvin
Love movie from 🇿🇲 Kama unaipenda movie hii nipe like😊
Jamn mim kam mim jamn mam karud chini bab uso hajui auwek wap uwiiii asant kelvin nimepat had rah naomb like zang kam zote❤❤❤
Jaman wanaume kma hawa n wachache ❤
Kama unampenda kelvin like
Interesting likes Kwa wingi
Waoooh,. Leo nimewahi kelv ahadi zako za ukweli❤ saa sita umetinga mjengoni.
ASANTEEE SAAAN
Kama umeipenda hii move nipe like
Jamani mm naipenda sana
Wueh!! 😳😳😳 Ndoa bila heshima ni bure kbs nheri kuiishi juu ya tawi kuliko kuiishi na mke mwenye Anapenda uwanasa tafadhali kevin mvumilivu ula bivu, Mwenyezi Mungu akujalie kipaji yako idumu Daima na milele Amina🙏🕊
Kevin fagia na nyayo za Tina aende kabisaaa ndoa iheshimiwe
Kama unaipenda hii movie nipe like
❤❤❤❤sana ak
Pamoj
Pamoja
Hongea kelvin kaz nzuri
Movie tam sana
Naomben like zangu wa kwanza kabisa leo🎉❤
Kama unamkubali kelvin Khan gonga like tuendelee❤
It's so interesting story
Pole sana Kelvin nakuombea utampata wa khr nawe, can't wait to watch part 7
Naomben like kumi 2 jaman leo nimewahi
Mshahara wa ubaya ni aibu good job
Naombeni likes 20 leo nimewahi
Umetisha kaka karbu tutazame dada wa kazi ndo uzalendo huu wa tz
Gyama uh v
Iko best bt unaitwaaa???😍😍😍😍
Nmepata notification yahii movie ikiwa na 19 mnts kelvin ntk no yko iliukipost tu unipigie cm iliniwe wakwanza yaani nakupenda❤❤ kinoma yani ata kama nmechelewa naziomba hzo likes za kelvin
Wuueeeeh 😂😂😂 naipenda sana, leo Mama kajionea mwenyewe🎉🎉🎉🎉. I can't wait for episode 7❤🎉
Valentine mlembo ukosawa?
Mama katisha na simu yake ya Tekno leo kauwa respect😂❤🫡
No comment yet
Jmn an paaah inafka natap nachek nyiee like za kutosha kwa kevyy 😘😘😘😘na me vilike bhc jmn nmekua wa kwanza😥
Leo nmewai 😘 upo kama mzungu kwenye muda
Much love kelvin from Saudi 🇸🇦
I can't wait to watch part 7,,much love from kenya
Nimechelewa kidogo to nimekua Wa mwisho maana kuna watu wanalala hapa Hapa 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣
💯💯💯💥💥💥💣💣💣💣🔥🔥🔥 twendenii nalo wadau wenzng ktk sekta ya thamthilia hii kutoka kwa donta tv,kama unaikubali series hii like apa tujuane 💯
Kazi nzuri Kelvin hongera.
Much love ❤from Kenya 🇰🇪 Kevin tunakuombea ifike ulimwengu musima adi kwa maisha magic bongo TV
Hizi filamu Zina mafunzo mengi sana... Kwa maisha tunayoishi Sasa.. 🙏🙊🤔 kama waipenda hii filamu nipe likes zangu.. 🙏🙏
I fill happy to see that movie kelvin go on and God bless your works
Kelvin mwanangu unafanya Kazi nzuri mungu azidi kukupa afya njema na maarifa🙏🏿
Watching from 🇰🇪 but too short kelvin ,waiting part 7 .hope will not take too long to be ready. Keep up the good work Kelvin
Big up
iko sawa
Ukovizur kerivn asante
Great job, keep it up ❤❤❤ part 7 please
Nimengoja kuona msichana wakazi akiwa mke wako cavin😂😂😂❤aende huyo Dina kabisa tusimuone tena 😂😂😂
Tina muongo mpaka anakera😅
@@esthelamonica7022 saaana yaani msichana wa mtu mrembo lkn tabia loo, ndio huwa wanasema uzuri WA mwanamke sio urembo ni tabia apo naunga asilimia Mia Kwa Mia.
Naomba mauwa yangu nimekuwa wa kwanza❤❤❤❤
Ponges kwenu nyote wauhsika ❤❤❤Kaka kelvin mungu akupe maisha marefu 🤲🤲🤲 Much love frm 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
Pamoja 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi mzr sana kelvin ❤ ilaa unatucheleweshea sana jamani❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤Kelven unaweza sana ila nimefurai sana ulipowafukuza tina 😂😂😂
Jaman mm ndo wakwanza ❤️❤️🥰
Kweli kelvin umefanya kazi nzuri sana mungu akulipe, na wazazi muda mwingine mutuache tuchukuwe maamuzi yaliyo sahihi kwetu
Much love from Kenya waiting for episode 7
Likes za kelvin jamani sijachelewa ❤❤❤
leo nimekua wakwanza naomben like zangu
This film is the best teacher to the married people
Jamani part seven teketeke tuone iwapo,Kijakazi Victoria atapatikana
Mashalaah kazi Bora sana
Nimeipenda sana kazi nzuri kaka kelvin much love ❤❤❤❤ from kenya
Naomba yakuanzia part 8 kwedelea mbele nyingine nishazicheki nimezikubari kinyama 😂😂😂😂😢😢
sehem ya sab jmn
Kelvin jitahid usicheleweshe mwendelezo ❤💞😍🔥🔥🔥
Much love from Saudi Arabia 😂😂 am here waiting for the next episode
Usisaha kumuonyesha na waiguruu
Team hamam 😅😅😅😅😅😅
Uuuuuuwiiiiiiiiiii kasanukiwa mama Kelvin amekubali mwenyewe
Kelvin yuko sawa ukipenda like
Maupendo kama yote kwenye hii movie from Kenya 🇰🇪🇰🇪🤸♀️🤸♀️🤸♀️ Kelvin nakupa kongole 💪💪💪❤❤❤❤
😅😅😅😅yan
Those are good stories...
Congratulations for Donta tv.
am watching in Mozambique.
Haki movie zenu n tamu sana ❤❤ part 7 Kelvin tafadhali😊❤
Wozaaaaaa big up kelvin and move on broooo,,,,nakukubali kinomaaa km na ww unamkubali gonga like hapooo mdau mwenzangu
Kelvib hongela sna movies nzuli sna 😘
Guys plz part 7. Watching from kenya much love ❤❤❤❤
Love so much from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😅😅 kelvin amefrahi jaman 😂 kama namwona dada wa kazi akimiliki mjengo na heshima zote 😋🤗🤗🤗🤗
Musuri sana aser😂😂😂
Yn patam hapoo nakimbia nikapaone 😂😂😂😂😂😂
Ni haki yake yule dada wa kazi kuichukua hiyoo nafasi, kelvin amtafte tu
Jamn naomben likes zenu bc
Much love ❤️ from Kenya
Victoria alundi kelvin sawa kaka achananaye ubwa waaaaooo victoria akuje safi sana❤❤
Mko vizuri jmn❤️🌹🌹🌹
Mimi hapa wa kwanza likes zangu jamani ❤
Much love from 🇰🇪 nawapenda bure you're the best act
So much love kevin from kenya
Kazi nzuri bro Khan
Woow🥳🎉✨msicheleweshe y 7 bx 👌Kelvin nakupenda baba kwa kazi nzur 🥰much love kwenyu 💕
Big up san brother kelvin ❤👊
Mach love from Qatar 🇶🇦 ❤️ 💕 congratulations Kevin
Much love❤ from Kenya 🇰🇪
Togetha mkenya mwenzangu 🇰🇪
Other Kenya here ❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤
Kenya 🇰🇪 pia ❤❤❤
❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kelvin asant kwa kazi nzuri
I can't wait for next episode good work keep it up broh❤❤❤❤
First one
Very nice cevoo. More more love for you. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤.
Good job kelvin khan..much love from kenya
Hi
Penina wee ukowapi?
Unaishi wap
Watu mmewahi daah
More love for kelvin 💓💓💓
Kelvin😂😂😂unachocheya kbs eti mufkuze wote na babaake😅😅 yani wamekuweka kichefuchefu kweli
Safi safi safi.❤❤❤❤✋ shikamooo ww mwanaume💥 allah akujaalie kheriiii bado niko na nyinyi 🤣
Very imperative waiting for the next part
Evelyne u'are okay? I'❤❤❤❤
Me najikuta nalia tu 😢😢😢😢
Yzleo ilikua ni😂🔥🔥mpaka naraha Kelvin ameshinda haya muendelezo haraka❤❤
Hahahahaha mpgee tyuu na uyo bab akee mam mpgee😂😂😂😂😂😂 nmchk xnaaa❤❤❤
Jmn cjachelewa sana love more dont tv❤🎉
Wa kwanza like 10
Much ❤ from 254 waiting episode 7
Much love from Kenya ❤❤❤
Wakwanza Mimi hapa
We kelvin ww mpaka baba apigwe duuh 😅😅😅😅😅 hongera sana kwakazi nzur unazo fanya
Kelvin am waiting for part 7 much love from kenya currently saudi❤❤❤
Mnatupa fupi fupi jmaani daaa movie inamafunzo manzuri sana jamani tupeni movie ndefu kidogo mweee jamani ♥️ kelvin brother angu please tupeni movie ndefu kidogo
❤❤❤❤ nimeisubili kwa hamu sana
So much love from Kenya 🇰🇪 congratulations
Much love from Kenya
Wa kwanza like zang
NAQUBALI❤❤❤❤❤
Waoh 🔥 amazing I love your wisdom kelvin
I Love it 💓💓💓
Love you Kelvin Mungu akuongezee kwenye kipaji chako napenda sana kazi zako ❤❤❤❤
😢😢😢😢❤❤❤❤ nawapenda😢 🖤
🎉🎉 pôle sana Kevin ule ni mshiba kubwa ulionawo na shukuru kwa kupenda mwana mke kama Victoria ❤❤❤
Hapo hapo waende pamoja na babayake yessss sasa mtafute verooo Kisha ifanyenii long kidongo tamu Kisha fupi ❤❤❤❤ 7 Iko tayari au twangoja Tena nice film keep it up guys
Good job kevo waiting next part hongera sana kaka ata mnipejo like ata tano tu aki👏👏👏👏
Much love Kelvin frm 🇦🇪
Jmnnn 😮😮😮😮duuuu nimependa xan jmn guysss mmefanya the good work 😂😂😂😂😂😂😂 congrats 2 all