#penziladadawakazi #dontatv #bongomovie #kelvinkhan TUNAPOKEA WASANII WA MAIGIZO KWA WALE WALIOPO DAR ES SALAAM PIGA NAMBA 0688638286 KWA MAELEZO ZAIDI TUFOLLOW KWENYE ACOUNT YETU YA INSTAGRAM / kelvinkhan255
Hongera kelvin nimejifunza mengi sana pia ninachokiona mbeleni mjomba atampokonya tina Mali zote baadaye atasema ni yeye alimuua mamake kelvin,ushuhidi ni ile recording amefanya
Nipo darasani mafunzoni mie yan kuna vitu navichora akilini mwangu kutoka qwenu moja baada ya nyingine, hongereni sana Brown, Kelvin na Victoria nko nanyi unyo unyo🥰🥰😍
Kelvin nakupenda sana i wish nigepata mwanaume kama ww barikiwa sana na team yako kwa mafuzo mema yanaelimisha sana asa kwa kizazi cha sasa mungu awape heri
Yaani Najikuta naangaliya hii movie mpk chaji inaisha mkojo umenibana nashindwa kwenda msalani na shindwa kuichaji cm Kwa huu mchezo ulivyo mtamu mzuri cn unafundisha mchezo❤❤❤gd
P1 san kelvin bdo ntaendlea kuw shabik wak lkn usiwe unachelewesha next epsode bhn tunazsubr kwa hamu hat ile penzi la malikia majin na binadamu naisubr kwa hamu kpenz❤❤
Waaaau very interesting story ❤❤❤ yea h it's true kuwa na aman kulko Mali ju Mali sku zte zinatafutwa hongereni 🙌🙏 xna team kelvin nyote may the lord bless you 🙏🙏🙏nawapenda xna❤❤❤🇰🇪
Brown hapo umeoge ukweli huyo mwanamke ni mnafiki sana unacho kipenda ❤ uaga wakituza kama boni la h jicho,huyo mwanamke alikua anampenda kelvin juu ya mali
Good job Kelvin, much love to you we appreciate you from Kenya naombeni Ata likes Kumi Kwa niaba ya kelvin❤❤❤
Hi
❤💕💕
Sawa tu
From Kenya too 😂😂 ucjali Mercy
Naku penda sana Kevin mungu akuongeze
Waaa kama tuko pamoja katika filam hi tamu yenye mafunzi gonga like tukisonga hongera sana team ya kelvin🎉🎉❤
Nimependa alivyo muoa victory
Tunaoangalia hii michezo na hatuna habari na tv tujuane kwa like🎉
Hahahahah
😁😁😁
Love
Me na itwa samson
😅
Hongera sana Kelvin na team yako kila mmoja amecheza vizuri kwa nafasi yake.🥰
A very good lesson from Kelvin, Amani ni muhimu kuliko vitu vyote duniani, congratulations ❤
Lakini hamani ya moyo...
Very true good lesson
Hongera kelvin nimejifunza mengi sana pia ninachokiona mbeleni mjomba atampokonya tina Mali zote baadaye atasema ni yeye alimuua mamake kelvin,ushuhidi ni ile recording amefanya
Pia mm naona baadae tinah atawekwa box na mjomba then akip record baadae ata akuwa mfugwa na mwisho wa game kelvin atakuja tu pata Mali ,,,,,,tugoje
Hongera Sana Kelvin nakupnd bureeeeeeeeeeee💓💓💓💓💓
ONGEREN WANA DONTA TV 😊😊😊MUCH LOVE FROM 🇰🇪🇰🇪🇰🇪NAWAPENDA MPK BC NA NMEKUWA WA KWNZA LIKE ZENU JAMN❤❤❤❤
Wakenya lazima tungeshout na Capital letters si ndio 😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪
@@maureenmarovo8619 Lazma iyo😂😂😂😂
Haha... Omefanya vizuri kutuwakilisha... Tuko huku kwa mpigooo 👏
Hongera sana Kelvin kwa fundisho zuri kuwa na Amani ni bora zaidi, vitu vingine vinatafutwa🎉
❤❤kma unaikubali donta tv kwa kazi zao nzur wape mauwa ❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ from Dammam Saudi Arabia
❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎊🎉🎁🎁🎁🎁
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Big up kelvin amaniii ya moyo ndio source ya vitu vyotee❤
Nipo darasani mafunzoni mie yan kuna vitu navichora akilini mwangu kutoka qwenu moja baada ya nyingine, hongereni sana Brown, Kelvin na Victoria nko nanyi unyo unyo🥰🥰😍
😂❤
❤❤karibu nichelewe,,, representing Kenya ❤❤
Niko hapa pia nishafika😂😂❤❤❤
@@KimKim-xs6sh 🙆😂u're late akii😅but Bora umefika🙏👍❤️❤️
Nimeskiaa neno kiparee km umexkia nip like znguu❤❤❤
Aya bhna mpare
ongera kwa mista brahun kwa kuweza kumuonecha lavness ukweli kuhusiana na abari ya yy kutembey nayule babu🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza kucomment anae kubaliana na mm kwamba Vicki ni mrembo anipe like hata Tano tuu
mm hapa wa kwanza nawapenda sana na Victoria na heshima zote❤❤❤
We mjomba ww acha upuuzi utaishia pabaya sanaa
Mjomba n tina watalala ndani
Congratulations kelvin I agree with you that all we need ❤️ 💜 💙 ♥️ ❤ party 16
Makopakopa ❤❤❤❤❤mchukue jaman mambo ni Moto Uku utamu zaid ya jana ongereni nawaona sana nawakubali mno ❤❤❤
Kazi nzuri sana...keep it up Kelvin and your team.
Wife material Victoria wow hongera kumjali kelvin ❤❤❤❤❤❤❤
Maneno mazito sana kwa mwenye akili ya kelvin ( Amani nibora kuliko mali na mali Zina tafutwa 2 saf sana kelvin
Amani muhimu kuliko vitu vyote duniani thanks Kelvin kwa kuwaambia
Kbs amani ni bora kuliko Mali Mali zinatafutwa
Kevine hatari kwa mafundisho
Nimekuwa wakwanza nipewe like zangu ♥️
Hongera san
Hongera 🎉🎉
Pig up sanaa
Hongera san kelvin ❤❤❤❤
@@fellst4159❤
Congratulations my dear brother kevoo ni bora kuishi kwa Amani,,,,pokea mauwa 🎉🎉🎉🎉❤
namuongezea maua mengne calvin💞💞
Kelvin unazingua huendi na muda nimepika chakula kibichi juu nawahi hiyo saa saba na umechelewesha😂😂😂😂😂
😂😂pole
Aloooh
Samahani😂😂😂
Akiiii nimecheka Kama falaaa 😅😅😅😅😅😅 Pole dear
Nimejifunza heri nikuwe na amani ya moyo kuliko Mali ya duniani❤❤❤
Ata mimi nimepokea hilo ty
Happiness is choices Hongera Mr Kelvin❤❤❤❤❤
Yes
Kelvin nakupenda sana i wish nigepata mwanaume kama ww barikiwa sana na team yako kwa mafuzo mema yanaelimisha sana asa kwa kizazi cha sasa mungu awape heri
Nimekusikia 😭 chako
Waliokuw wanasubir Kwa hamu gonga like❤❤
Wa kwnza kutoka kenya nipen like zangu ❤❤❤❤
Yaani Najikuta naangaliya hii movie mpk chaji inaisha mkojo umenibana nashindwa kwenda msalani na shindwa kuichaji cm Kwa huu mchezo ulivyo mtamu mzuri cn unafundisha mchezo❤❤❤gd
Ndugu yangu me at a simu ikiisha chaji naboeka sana
❤❤❤niliwahi leo number 1
Vitória nakubari ❤❤ naomba. Laiki zangu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Waah leo nimewai kweli.yani hapa kenya mimi niko ndani ya movie..jipe moyo kelvin ❤❤❤ni bora amani kuliko vyote daah
😂😂😂
Watu mpo serious balaa dakika hizi mbili tu coment zishajaa ... Kelvin unaweza kaza buti
Yupo sawa na team yake yote hongera kaka🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂Tena zitakuja zaidi yahizo nmependa xana hii movie broza k na sister v hongereni yani😘😘😘😘
Amani ya moyo kelvin I congratulate you, pia itaisha iyo kwa mikono yao
Kwakweli nina msiba😭😭ila nmejitahidi kutizama filamu hii ongereni Kelvin na team yako Kwa kazi zuri,,much love from Saudi Arabia
Por sana.
@@user-yq8je2pj1r asante Sana dear
Poleni
Natamani uitoe mpaka mwisho sasa hv nikeshe nayo aise, nzuri sana
Apo kwa aman umesema bro coz bila aman maisha ayaendi good
Kabla umkaribushe mwanamke KATIKA maishani mwako kweli fikiria kwAnza viumbe wanawake haviaminiki kabsaa🇰🇪
Nakupata kaka unatufunza mengi jinsi kuishi na wake zetu
P1 san kelvin bdo ntaendlea kuw shabik wak lkn usiwe unachelewesha next epsode bhn tunazsubr kwa hamu hat ile penzi la malikia majin na binadamu naisubr kwa hamu kpenz❤❤
Wa kwanza jamon nipen like izo😂😂❤
Wow nice one team strong from kenya tuned from Saudi Arabia
❤❤❤❤❤
@@lilimoswambu9934 🥰🥰🥰
😂😂tuko weng kumbe
@@user-ot3te6mj7b sana kwanza kaboom
Tupo fr dawa'lim saudi
Nawapenda nyote jmn ka kaz yenu🥰🥰🥰
Kelvin and Victoria pokeen maua yenu jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤️❤️❤️❤️ nawapenda nyote Kelvin na timu yako
Kelvin good job with Victoria 😊😊
Exactly❤❤❤❤❤❤❤ Mali saf itafte mwenye kuliko ya kurith
Kazi nzuli sana nawapenda bere tulete part 16❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza❤❤❤❤❤
Pambe braun umedamsh kwa macho 4 sambamba na wawi Pemba
Wa kwanza leo kama umeingoja kwa hamu ka mm gonga like jmni😊😊😊
Mi wakwanza kutoka uganda 🇺🇬🇺🇬 Nipeni like zenu hapa
Hongera calvin kwa mafunzo mazuri nawaenzi sana vic & calvin Mungu awatetee kwa kila jambo nilikuwa naongoja sana mkipatana
Waoo nawapata nikiwa nchin Oman kazi zuri kaka 🥰🥰
Good work kelvin we are learning something
Huyu rolmodel wake nani huyuu kelv?? Wenzie wa kwao hakimi
Mbona mtoto wa viki hatumuoni tena
Kazi nzuri kaka yangu khelvin munadupa mafunzo mazuli maichallah nabapenda sana nyinyi wote ❤❤❤🎉🎉
king 👑👑👑 from Kenya ❤❤
Wau daktary kelvin movie shwary babaa keep it up wanifunza jambo Kelvo
Heri ukose kila kitu lkn uwe na amani ya moyo ❤❤nice movie 😊
Waaaau very interesting story ❤❤❤ yea h it's true kuwa na aman kulko Mali ju Mali sku zte zinatafutwa hongereni 🙌🙏 xna team kelvin nyote may the lord bless you 🙏🙏🙏nawapenda xna❤❤❤🇰🇪
Ee vick wangu weee kumbe uko mrembo ❤❤❤❤❤❤❤Masha'Allah umepodolewa adi nakusahau jamani jamani ❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani nimewahiwa❤
Wow nice one ❤🎉 congratulations keivin na team yako❤
Nzuri sana, Amani ya moyo ndo kila kitu, pesa inatafutwa, kikubwa wasikuue Kelvin najua utapambana upya
Sijachelewa sana jamani😄😄😄
😂😂😂Tena zitakuja zaidi yahizo nmependa xana hii movie broza k na sister v hongereni yani😘😘😘😘l
Waooo 👏😳nawaelewa sana
Very impressive ❤❤❤kelvin ongera sana mauwa Kwak na brown bila kusahau vickie❤❤❤❤
Wow naomba niwe km victoria❤❤❤nawapenda sana kevo na vickie bla kumsahau brown anmwambia lovnes nyoko😂😂😂😂
Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤
Brown hapo umeoge ukweli huyo mwanamke ni mnafiki sana unacho kipenda ❤ uaga wakituza kama boni la h jicho,huyo mwanamke alikua anampenda kelvin juu ya mali
Brown good replying to loveness...Asahau kabisaaa😂😂😂...Anampigia mbuzi gita sio
Kelvin Mbna hukujipanga na mwanasheria...Sema kisichoriziki hakiliki hazitawafaidisha
Donta tv nawaelewaga maana hamnaga kazi chafu ❤❤💖
Leo nimewai mapema nipewe zangu like hingeren sna mungu awatie nguvu
I am just happy to see you releasing series
Nakukubali Kelvin , Amani ni muhimu kuliko Mali . Mali zinatafutwa . Hongera sana
Good work kelvin❤❤ am waiting part 16
Kwani weww brown na kelvin ni twins nawapenda pure
Hata mali upewe tina ila kama si haki utaridi chini sana kevn penda wewe na vick ❤❤❤❤ mungu awazidishie kipawa hiki
Kabisa Victoria Kwani pesa nn ❤u Victoria and Kevin good job
Brown,,,nyokoooo😂😂
Bom trabalho kelvin, 🎉🎉🎉🎉🎉
.du aise bro umetisha uko vizuri hongela Sana Wana ake tujirekebishe❤
Jamn na kak Braun ni rafiki nzuriii upewe maua yako❤❤
Jamani naona mambo ni moto haya tusubiri ya 16 ongereni Kelvin na Victoria ❤
Nimengojea sana hapa🎉🎉hongera sana kwa funzo nzuri
Wakwanza leo kutoka Kenya 🇰🇪
Tuko❤❤❤❤
Ongeleni San Kelvin and Vick chamuhim ni amani yamoyo kuliko mambo yote❤❤
Muna tuburudisha sanaaaa❤❤❤❤ tunawapenda❤❤❤
Today. I'm first to like and comment ❤❤❤❤team Kelvin oyah
Kazi as uhakika masha allah ❤❤❤
😅😅😅😅😅😅 Tina anafundishwa wizi na mjomba hahahahahahahaaaaaaaa noma sana😅😅😅😅
Skia nikwambie siwezi yanaingilia huku yanatokea huku icho kitu sahau
Brown.....!!!
Nyoko😂😂😂
Good job kelvn much love you ❤❤❤
Kuna kit najifunz hapo kaka kelvin
Wakwanza Leo naomba like plzzz ❤❤❤❤❤🎉