DADA WA KAZI 💞 | PART 15

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #penziladadawakazi #dontatv #bongomovie #kelvinkhan
    TUNAPOKEA WASANII WA MAIGIZO KWA WALE WALIOPO DAR ES SALAAM PIGA NAMBA 0688638286 KWA MAELEZO ZAIDI
    TUFOLLOW KWENYE ACOUNT YETU YA INSTAGRAM / kelvinkhan255

Komentáře • 758

  • @MercyMakokha-jf4fr
    @MercyMakokha-jf4fr Před rokem +131

    Good job Kelvin, much love to you we appreciate you from Kenya naombeni Ata likes Kumi Kwa niaba ya kelvin❤❤❤

  • @mercyngumbao
    @mercyngumbao Před rokem +99

    Waaa kama tuko pamoja katika filam hi tamu yenye mafunzi gonga like tukisonga hongera sana team ya kelvin🎉🎉❤

  • @user-wl2kd1jz7o
    @user-wl2kd1jz7o Před rokem +134

    Tunaoangalia hii michezo na hatuna habari na tv tujuane kwa like🎉

  • @FettyCoca-nb4gh
    @FettyCoca-nb4gh Před 9 měsíci +15

    Hongera sana Kelvin na team yako kila mmoja amecheza vizuri kwa nafasi yake.🥰

  • @wanjamurithi-ve2pn
    @wanjamurithi-ve2pn Před rokem +67

    A very good lesson from Kelvin, Amani ni muhimu kuliko vitu vyote duniani, congratulations ❤

  • @Esther-gn1lt
    @Esther-gn1lt Před rokem +27

    Hongera kelvin nimejifunza mengi sana pia ninachokiona mbeleni mjomba atampokonya tina Mali zote baadaye atasema ni yeye alimuua mamake kelvin,ushuhidi ni ile recording amefanya

    • @DorcasAlii-eu9vu
      @DorcasAlii-eu9vu Před rokem +3

      Pia mm naona baadae tinah atawekwa box na mjomba then akip record baadae ata akuwa mfugwa na mwisho wa game kelvin atakuja tu pata Mali ,,,,,,tugoje

    • @neemazephaniah574
      @neemazephaniah574 Před rokem +1

      Hongera Sana Kelvin nakupnd bureeeeeeeeeeee💓💓💓💓💓

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 Před rokem +22

    ONGEREN WANA DONTA TV 😊😊😊MUCH LOVE FROM 🇰🇪🇰🇪🇰🇪NAWAPENDA MPK BC NA NMEKUWA WA KWNZA LIKE ZENU JAMN❤❤❤❤

    • @maureenmarovo8619
      @maureenmarovo8619 Před rokem +1

      Wakenya lazima tungeshout na Capital letters si ndio 😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪

    • @fatumajuma9388
      @fatumajuma9388 Před rokem +1

      @@maureenmarovo8619 Lazma iyo😂😂😂😂

    • @maureenmarovo8619
      @maureenmarovo8619 Před rokem +1

      Haha... Omefanya vizuri kutuwakilisha... Tuko huku kwa mpigooo 👏

  • @ansigar1997
    @ansigar1997 Před rokem +61

    Hongera sana Kelvin kwa fundisho zuri kuwa na Amani ni bora zaidi, vitu vingine vinatafutwa🎉

  • @Lailaty973
    @Lailaty973 Před rokem +56

    ❤❤kma unaikubali donta tv kwa kazi zao nzur wape mauwa ❤❤❤

    • @scolas3134
      @scolas3134 Před rokem +2

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ from Dammam Saudi Arabia

    • @alexmuriuki432
      @alexmuriuki432 Před rokem +1

      ❤❤❤❤❤❤❤

    • @user-gc2rd8ln3v
      @user-gc2rd8ln3v Před rokem +1

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @everlinekenga437
      @everlinekenga437 Před rokem +1

      🎊🎉🎁🎁🎁🎁

    • @jumosahaabal5734
      @jumosahaabal5734 Před rokem +2

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-cs1gy3uj5k
    @user-cs1gy3uj5k Před rokem +34

    Big up kelvin amaniii ya moyo ndio source ya vitu vyotee❤

  • @Doreen254-up1mp
    @Doreen254-up1mp Před rokem +19

    Nipo darasani mafunzoni mie yan kuna vitu navichora akilini mwangu kutoka qwenu moja baada ya nyingine, hongereni sana Brown, Kelvin na Victoria nko nanyi unyo unyo🥰🥰😍

  • @youngmum3115
    @youngmum3115 Před rokem +43

    ❤❤karibu nichelewe,,, representing Kenya ❤❤

    • @KimKim-xs6sh
      @KimKim-xs6sh Před rokem +1

      Niko hapa pia nishafika😂😂❤❤❤

    • @youngmum3115
      @youngmum3115 Před rokem +1

      @@KimKim-xs6sh 🙆😂u're late akii😅but Bora umefika🙏👍❤️❤️

  • @ChugaGirl-vy9wg
    @ChugaGirl-vy9wg Před 7 měsíci +9

    Nimeskiaa neno kiparee km umexkia nip like znguu❤❤❤

  • @yaundeyaunde
    @yaundeyaunde Před 2 měsíci +2

    ongera kwa mista brahun kwa kuweza kumuonecha lavness ukweli kuhusiana na abari ya yy kutembey nayule babu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @doreenkamau8243
    @doreenkamau8243 Před rokem +13

    Wakwanza kucomment anae kubaliana na mm kwamba Vicki ni mrembo anipe like hata Tano tuu

  • @sabinasilivis6621
    @sabinasilivis6621 Před rokem +15

    mm hapa wa kwanza nawapenda sana na Victoria na heshima zote❤❤❤

  • @jacklineminja-fg9ji
    @jacklineminja-fg9ji Před rokem +6

    We mjomba ww acha upuuzi utaishia pabaya sanaa

  • @user-zc9xm6cc7x
    @user-zc9xm6cc7x Před rokem +12

    Congratulations kelvin I agree with you that all we need ❤️ 💜 💙 ♥️ ❤ party 16

  • @hafsahmassemoh3598
    @hafsahmassemoh3598 Před rokem +8

    Makopakopa ❤❤❤❤❤mchukue jaman mambo ni Moto Uku utamu zaid ya jana ongereni nawaona sana nawakubali mno ❤❤❤

  • @user-nc8du9ll8e
    @user-nc8du9ll8e Před rokem +17

    Kazi nzuri sana...keep it up Kelvin and your team.

  • @user-ze3kd7tx8p
    @user-ze3kd7tx8p Před rokem +10

    Wife material Victoria wow hongera kumjali kelvin ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ramadhanirashidi4175
    @ramadhanirashidi4175 Před rokem +44

    Maneno mazito sana kwa mwenye akili ya kelvin ( Amani nibora kuliko mali na mali Zina tafutwa 2 saf sana kelvin

    • @MayaCaro-ye7vm
      @MayaCaro-ye7vm Před rokem

      Amani muhimu kuliko vitu vyote duniani thanks Kelvin kwa kuwaambia

    • @JuniorZawadi-oz7im
      @JuniorZawadi-oz7im Před 11 měsíci

      Kbs amani ni bora kuliko Mali Mali zinatafutwa

    • @betha1472
      @betha1472 Před 10 měsíci

      Kevine hatari kwa mafundisho

  • @CareenTave-nb4rb
    @CareenTave-nb4rb Před rokem +220

    Nimekuwa wakwanza nipewe like zangu ♥️

  • @amali2571
    @amali2571 Před rokem +13

    Congratulations my dear brother kevoo ni bora kuishi kwa Amani,,,,pokea mauwa 🎉🎉🎉🎉❤

    • @selinaluoga
      @selinaluoga Před rokem

      namuongezea maua mengne calvin💞💞

  • @user-rg8fq8fc3k
    @user-rg8fq8fc3k Před rokem +13

    Kelvin unazingua huendi na muda nimepika chakula kibichi juu nawahi hiyo saa saba na umechelewesha😂😂😂😂😂

  • @faithnyambura-fo7fm
    @faithnyambura-fo7fm Před rokem +14

    Nimejifunza heri nikuwe na amani ya moyo kuliko Mali ya duniani❤❤❤

  • @Agnes764
    @Agnes764 Před rokem +29

    Happiness is choices Hongera Mr Kelvin❤❤❤❤❤

  • @user-dx2zz8uo4m
    @user-dx2zz8uo4m Před rokem +6

    Kelvin nakupenda sana i wish nigepata mwanaume kama ww barikiwa sana na team yako kwa mafuzo mema yanaelimisha sana asa kwa kizazi cha sasa mungu awape heri

  • @RoziDocta-cq6bb
    @RoziDocta-cq6bb Před rokem +19

    Waliokuw wanasubir Kwa hamu gonga like❤❤

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 Před rokem +10

    Wa kwnza kutoka kenya nipen like zangu ❤❤❤❤

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 11 měsíci +2

    Yaani Najikuta naangaliya hii movie mpk chaji inaisha mkojo umenibana nashindwa kwenda msalani na shindwa kuichaji cm Kwa huu mchezo ulivyo mtamu mzuri cn unafundisha mchezo❤❤❤gd

    • @ESTHERLAMECK-b1h
      @ESTHERLAMECK-b1h Před měsícem

      Ndugu yangu me at a simu ikiisha chaji naboeka sana

  • @mamakenajma3257
    @mamakenajma3257 Před rokem +7

    ❤❤❤niliwahi leo number 1

  • @Daidizz01chinga
    @Daidizz01chinga Před 2 měsíci +1

    Vitória nakubari ❤❤ naomba. Laiki zangu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @thabitharange-vz2ru
    @thabitharange-vz2ru Před rokem +9

    Waah leo nimewai kweli.yani hapa kenya mimi niko ndani ya movie..jipe moyo kelvin ❤❤❤ni bora amani kuliko vyote daah

  • @nuruurio8319
    @nuruurio8319 Před rokem +4

    Watu mpo serious balaa dakika hizi mbili tu coment zishajaa ... Kelvin unaweza kaza buti

    • @scolas3134
      @scolas3134 Před rokem

      Yupo sawa na team yake yote hongera kaka🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BesoonYusuph
    @BesoonYusuph Před 10 měsíci +1

    😂😂😂Tena zitakuja zaidi yahizo nmependa xana hii movie broza k na sister v hongereni yani😘😘😘😘

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Před rokem +6

    Amani ya moyo kelvin I congratulate you, pia itaisha iyo kwa mikono yao

  • @reginahmutuvi
    @reginahmutuvi Před rokem +3

    Kwakweli nina msiba😭😭ila nmejitahidi kutizama filamu hii ongereni Kelvin na team yako Kwa kazi zuri,,much love from Saudi Arabia

  • @furahaamon277
    @furahaamon277 Před rokem +1

    Natamani uitoe mpaka mwisho sasa hv nikeshe nayo aise, nzuri sana

  • @pantypanty3590
    @pantypanty3590 Před rokem +3

    Apo kwa aman umesema bro coz bila aman maisha ayaendi good

  • @christophersunguti8957
    @christophersunguti8957 Před rokem +1

    Kabla umkaribushe mwanamke KATIKA maishani mwako kweli fikiria kwAnza viumbe wanawake haviaminiki kabsaa🇰🇪

  • @user-ms9dy4bp5n
    @user-ms9dy4bp5n Před rokem +3

    Nakupata kaka unatufunza mengi jinsi kuishi na wake zetu

  • @user-sc4fw1fy7v
    @user-sc4fw1fy7v Před rokem +3

    P1 san kelvin bdo ntaendlea kuw shabik wak lkn usiwe unachelewesha next epsode bhn tunazsubr kwa hamu hat ile penzi la malikia majin na binadamu naisubr kwa hamu kpenz❤❤

  • @goodluckbrown9858
    @goodluckbrown9858 Před rokem +9

    Wa kwanza jamon nipen like izo😂😂❤

  • @user-yi8xw2lq3w
    @user-yi8xw2lq3w Před rokem +26

    Wow nice one team strong from kenya tuned from Saudi Arabia

  • @bintikombo1324
    @bintikombo1324 Před rokem +4

    Nawapenda nyote jmn ka kaz yenu🥰🥰🥰

  • @user-zn6co3ow8v
    @user-zn6co3ow8v Před rokem +2

    Kelvin and Victoria pokeen maua yenu jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @suzanakisusi9863
    @suzanakisusi9863 Před rokem +9

    ❤️❤️❤️❤️ nawapenda nyote Kelvin na timu yako

  • @user-pv4ip2sb1i
    @user-pv4ip2sb1i Před 7 měsíci +3

    Kelvin good job with Victoria 😊😊

  • @azizamdee5723
    @azizamdee5723 Před rokem +1

    Exactly❤❤❤❤❤❤❤ Mali saf itafte mwenye kuliko ya kurith

  • @mamathasimiani
    @mamathasimiani Před rokem +2

    Kazi nzuli sana nawapenda bere tulete part 16❤❤❤❤❤❤❤

  • @Vaishirima
    @Vaishirima Před rokem +8

    Wakwanza❤❤❤❤❤

  • @hamidmzale8402
    @hamidmzale8402 Před rokem +2

    Pambe braun umedamsh kwa macho 4 sambamba na wawi Pemba

  • @abbybby5982
    @abbybby5982 Před rokem +4

    Wa kwanza leo kama umeingoja kwa hamu ka mm gonga like jmni😊😊😊

  • @nahishakiyecedric9044
    @nahishakiyecedric9044 Před 6 měsíci +1

    Mi wakwanza kutoka uganda 🇺🇬🇺🇬 Nipeni like zenu hapa

  • @RaelSarange
    @RaelSarange Před 2 měsíci

    Hongera calvin kwa mafunzo mazuri nawaenzi sana vic & calvin Mungu awatetee kwa kila jambo nilikuwa naongoja sana mkipatana

  • @happyyohana9881
    @happyyohana9881 Před rokem +6

    Waoo nawapata nikiwa nchin Oman kazi zuri kaka 🥰🥰

  • @PatrickKyalo-zh9nx
    @PatrickKyalo-zh9nx Před rokem +16

    Good work kelvin we are learning something

    • @reginabosco-xi5rh
      @reginabosco-xi5rh Před rokem

      Huyu rolmodel wake nani huyuu kelv?? Wenzie wa kwao hakimi

  • @zainabalex9810
    @zainabalex9810 Před rokem +4

    Mbona mtoto wa viki hatumuoni tena

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Před rokem +2

    Kazi nzuri kaka yangu khelvin munadupa mafunzo mazuli maichallah nabapenda sana nyinyi wote ❤❤❤🎉🎉

  • @johnkamau2069
    @johnkamau2069 Před rokem +10

    king 👑👑👑 from Kenya ❤❤

  • @josephineachitsa
    @josephineachitsa Před rokem +1

    Wau daktary kelvin movie shwary babaa keep it up wanifunza jambo Kelvo

  • @lillykadzo2141
    @lillykadzo2141 Před rokem +2

    Heri ukose kila kitu lkn uwe na amani ya moyo ❤❤nice movie 😊

  • @haluwahavla9740
    @haluwahavla9740 Před rokem +1

    Waaaau very interesting story ❤❤❤ yea h it's true kuwa na aman kulko Mali ju Mali sku zte zinatafutwa hongereni 🙌🙏 xna team kelvin nyote may the lord bless you 🙏🙏🙏nawapenda xna❤❤❤🇰🇪

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih1164 Před rokem +1

    Ee vick wangu weee kumbe uko mrembo ❤❤❤❤❤❤❤Masha'Allah umepodolewa adi nakusahau jamani jamani ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @chiekhthiam980
    @chiekhthiam980 Před rokem +5

    Jamani nimewahiwa❤

  • @user-cc9lc5dq6x
    @user-cc9lc5dq6x Před 10 měsíci +3

    Wow nice one ❤🎉 congratulations keivin na team yako❤

  • @evamgaya8240
    @evamgaya8240 Před rokem +2

    Nzuri sana, Amani ya moyo ndo kila kitu, pesa inatafutwa, kikubwa wasikuue Kelvin najua utapambana upya

  • @naeematn-qn4os
    @naeematn-qn4os Před rokem +4

    Sijachelewa sana jamani😄😄😄

  • @BesoonYusuph
    @BesoonYusuph Před 10 měsíci

    😂😂😂Tena zitakuja zaidi yahizo nmependa xana hii movie broza k na sister v hongereni yani😘😘😘😘l

  • @Rahema123
    @Rahema123 Před rokem +3

    Waooo 👏😳nawaelewa sana

  • @Jacklinemwikali773
    @Jacklinemwikali773 Před rokem +2

    Very impressive ❤❤❤kelvin ongera sana mauwa Kwak na brown bila kusahau vickie❤❤❤❤

  • @GAUDENCIA009
    @GAUDENCIA009 Před rokem +2

    Wow naomba niwe km victoria❤❤❤nawapenda sana kevo na vickie bla kumsahau brown anmwambia lovnes nyoko😂😂😂😂

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 Před 9 měsíci +2

    Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤

  • @user-dx2zz8uo4m
    @user-dx2zz8uo4m Před rokem +1

    Brown hapo umeoge ukweli huyo mwanamke ni mnafiki sana unacho kipenda ❤ uaga wakituza kama boni la h jicho,huyo mwanamke alikua anampenda kelvin juu ya mali

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 Před 7 měsíci +1

    Brown good replying to loveness...Asahau kabisaaa😂😂😂...Anampigia mbuzi gita sio

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 Před 7 měsíci +2

    Kelvin Mbna hukujipanga na mwanasheria...Sema kisichoriziki hakiliki hazitawafaidisha

  • @RemmyJasson-vo7rq
    @RemmyJasson-vo7rq Před rokem +2

    Donta tv nawaelewaga maana hamnaga kazi chafu ❤❤💖

  • @mapezitune3678
    @mapezitune3678 Před rokem +6

    Leo nimewai mapema nipewe zangu like hingeren sna mungu awatie nguvu

  • @MOHAZBOY29
    @MOHAZBOY29 Před rokem +5

    I am just happy to see you releasing series

  • @Mummyummymillions
    @Mummyummymillions Před rokem +1

    Nakukubali Kelvin , Amani ni muhimu kuliko Mali . Mali zinatafutwa . Hongera sana

  • @EsterMueni-qr4sy
    @EsterMueni-qr4sy Před rokem +7

    Good work kelvin❤❤ am waiting part 16

  • @user-qj5yp4dm8m
    @user-qj5yp4dm8m Před rokem +2

    Kwani weww brown na kelvin ni twins nawapenda pure

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x Před rokem +1

    Hata mali upewe tina ila kama si haki utaridi chini sana kevn penda wewe na vick ❤❤❤❤ mungu awazidishie kipawa hiki

  • @fatuma2061
    @fatuma2061 Před rokem +2

    Kabisa Victoria Kwani pesa nn ❤u Victoria and Kevin good job

  • @user-fh6vu2fw8c
    @user-fh6vu2fw8c Před rokem +2

    Brown,,,nyokoooo😂😂

  • @GaitoneApatapata
    @GaitoneApatapata Před 11 měsíci +3

    Bom trabalho kelvin, 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-pn2iq1ji9e
    @user-pn2iq1ji9e Před rokem

    .du aise bro umetisha uko vizuri hongela Sana Wana ake tujirekebishe❤

  • @MerrryMerry-mo2en
    @MerrryMerry-mo2en Před 5 měsíci

    Jamn na kak Braun ni rafiki nzuriii upewe maua yako❤❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Před rokem +2

    Jamani naona mambo ni moto haya tusubiri ya 16 ongereni Kelvin na Victoria ❤

  • @joycejepngetich210
    @joycejepngetich210 Před 9 měsíci

    Nimengojea sana hapa🎉🎉hongera sana kwa funzo nzuri

  • @julzproperties3744
    @julzproperties3744 Před rokem +4

    Wakwanza leo kutoka Kenya 🇰🇪

  • @NizigiyimanaGaudence
    @NizigiyimanaGaudence Před 5 měsíci

    Ongeleni San Kelvin and Vick chamuhim ni amani yamoyo kuliko mambo yote❤❤

  • @cyriaquevizigiro1972
    @cyriaquevizigiro1972 Před rokem +1

    Muna tuburudisha sanaaaa❤❤❤❤ tunawapenda❤❤❤

  • @reginajoshua7458
    @reginajoshua7458 Před rokem +4

    Today. I'm first to like and comment ❤❤❤❤team Kelvin oyah

  • @ishladyishlady7897
    @ishladyishlady7897 Před rokem +4

    Kazi as uhakika masha allah ❤❤❤

  • @elizabethmlay5015
    @elizabethmlay5015 Před rokem

    😅😅😅😅😅😅 Tina anafundishwa wizi na mjomba hahahahahahahaaaaaaaa noma sana😅😅😅😅

  • @user-is8zw4vf7p
    @user-is8zw4vf7p Před rokem

    Skia nikwambie siwezi yanaingilia huku yanatokea huku icho kitu sahau
    Brown.....!!!
    Nyoko😂😂😂

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Před rokem +7

    Good job kelvn much love you ❤❤❤

  • @selinaselina3933
    @selinaselina3933 Před rokem +5

    Wakwanza Leo naomba like plzzz ❤❤❤❤❤🎉