Huyu mama amenishinda tabia khaaaaa 😅😅😅😅 kwan ye ndy alikuwa anaishi nae mama wengne bhna ndy shida za kuchaguliana Allah awaepushie haya mabalaa kaka zetu
Kwa kweli movie hii imefundisha Sana, wanawake walioko kwenye ndoa, wazazi kwa ujumla na imewafundisha pia wadada wa KAZI kuwa upendo sehemu ya KAZI ni faida kubwa Sana.
Hapana kwa hapa huyu mama anakosea.kwamm ningepiga magoti nikaomba mungu kwa laan isinge nishine hata anivulie ngua mama kama radhi isinge nishika.hata kama ni mzazi ninge enda na shughuri zangu tu. Kutafuta maisha yangu mbele kwa mbele huko
Safi sana kaka kazi nzuri ujakosea simamiya msimamo wako ndio dawa ya mwanamke asie jitabuwa akae kwao ajifunze mama hajuwi unachopitiaa kaka simama na msimamo wako
Nakubali na hizi move zako kelvin zinafunza jamii vizur sana pongez kwako
N'a mu Ponge
Hakika sana
Movie zako zinafundisha na unajitahidi kuuweka uhalisia wa maisha yetu katka jamii hongera sana
Iyi filamu inamafunzo mengi sana tena mazuli🥰 kama unakubali gonga like apo tujuane 🤝
Nimeelewa sana
tufunzika wengine 😅😅😅😅
❤❤❤
Nakubali Sana kaka
Jamani hata Mimi nimeipeda
Asante Sana Kelvin mafunzohayanimzuri mungu akuongezeye zaidiyahayo uendelee kufunza taifa.
Wa kwanza nawapenda San like kumi kwang
Nakubali sana kazi zenu zinakua ndefu sana tunainjoy kama unakubaliana na hili like
Sio lazim
Ndefu uu? Kivipi yaani.
Kabisa hatafutwi
Much love from Kenya ila mama ndoa hailazimishwi
Jamni nzuri kelvin muvi zako nzuri San part ya tatu jmni naomba
Nafaidika Sanaa Na hii filamu je ww km unafaidika km mm piga like hapo❤❤❤
even me i like such film by mrs akwino❤❤❤
Only peaces there
very good history Kelvin quickly let's see part 3
Makofi kwenu nimependa sana movie zenu 👑💯💯💯💯
Hongera wahusika wote much love from 254 team strong lets gather here ❤❤
Team strong ndo gani haswa😂
❤❤❤
Thanks for this educative and teaching film
Ro
Yani movie imetuliya kila kitu hamuzikii hamuna mimgii 🎉🎉🎉🎉 mawapenda sana dije asant
Weee mama vp nimekuchukia bure mbona kelvin humpi nafasi yakuongea😂😢
Yeah ni kweli mama anazinguwa xana
Nikweli kabia ampi nafasi ya kuongia
Mama kisirani sana
Huyu mama amenishinda tabia khaaaaa 😅😅😅😅 kwan ye ndy alikuwa anaishi nae mama wengne bhna ndy shida za kuchaguliana
Allah awaepushie haya mabalaa kaka zetu
Yaaan anakera hatak hata kumsikiza mwanae😢
Congratulations 🎉🎉🎉 Kelvin
It's almost true
Ten san ata mm sjapenda kama mzazi
Mmetisha sana ❤ nimependa sana kazi zenu mungu awazidishie muwe zaid ya apo mlipo 🙏🙏🙏
Tina ni malaya afadhali viky
Nzur sna filam
Ameniiii
Amen 👏 🙏
🎉
KELVIN ONGERA XNA KAKA ❤❤❤❤MUCH LOVE FROM 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona kervin maman anamponda hivyo jamani wazazi na sisi tujiludie ❤❤❤😢😢
Nikweli kabisa maana mama anazinguwa xana
Mpaka nmekasirika
Mother in-law has a point but she is too harsh to Kelvin give Kelvin time to give his plea.
Nilikuwa nimesubiria hii sehemu ya pili .. sana... Naipenda zaidi 💕🥰😊🤗
😭😭😭😭😭
Kwa kweli movie hii imefundisha Sana, wanawake walioko kwenye ndoa, wazazi kwa ujumla na imewafundisha pia wadada wa KAZI kuwa upendo sehemu ya KAZI ni faida kubwa Sana.
Kaka kelvin nakuomba mwendelezo wa hii move umejitahidi sana kuitwngeneza
Kevin unaweza sanaa
Congratulations Brother Kelvin this episode is really educative to ladies and moreso to me as a young Lady who is looking forward to get married
Congrats
From Kenya much love series ❤
The true meaning of a wife material...quite amazing keep up the scrumptious work from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Kelvin my brother huwa nafuatilia kazi zako nikiwa marekani big up bro
Not bored with your acting, much respect
Mine too
msikilize mwanao mamaa,,mapenzi saa zingine zinachosha ,, 😢😢
Nimepata kujifunza mengi kutoka kwenu hongera sna.
Kelvin asante kwa mafunzo mazuri ❤️❤️
Haya ndio matokeo YA vifo yanayosababishwa na wazazi bila kujua
Nikweli kuna ule msemo hatuachani hadi kifo mwisho wa siku wanachinjana
Hongera kelvin hizi zinafundisha sana yaani nimezikubali sana like zenu
Iko vizuri Sana nimeipenda Sasa Kaka Kevin huyo mwana mke kiboko kwani ndio mke wako kweli au Mana kanishinda tabiaa 🙊
Kevin hongera sana hii inafundisha sana inapendeza
Tamu sana na yenye mafunzo mema big love from Kenya ❤❤❤❤
😢😢😢nyie huyu mama munamuelewa kweli nzuri sana
Huyu mama chiz hataki hata kumsikiliza mwanae aseme anayopitia
Simwelewi sijui yeye ndie anaoa 😂🤣
@@AmidaTweve-jf4sx ndio shida ya kutafutiwa mke si atafute mwenyewe
Huye mwanamke mwenyewe Sasa kiruka njia duhu wa mama wengine bwana Wana boo
Daaaah mumeupiga mwingiiiii sanaa nmejifunza kuwa mke mzur kw mume wangu hapo badae
Ni kweli kabisa wanajitahidi kuifundisha jamii yetu hongereni xana Kwa kufanya vizuri
Safi sana kazi zenu nzuri Kelvin ongela sana munadupa mafunzo mema kbs ❤❤❤
Maman Kevin mbona hausikiliza mwanao Kévin nikwanini? Umependa mukwe kuzidi mwanae🤦🤭🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Umetisha kino a Kelvin unstable maua yako🎉😂❤
Nimejifunza mengi sana kupitia hizi movie za kelvin because hiko na mafunzo mazuri sana3
I was once in this situation,,, Kenyans please nipe like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Siongeangi
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakubali San walai kazi zenu Zinakua ndefu San ❤❤❤❤ nazipenda San🥰🥰🥰
Watu wapole uwa tunaonewa sana daaaah ila Kelvin upewe mauwa yako2 🌹🌹🌹🌹🥀🌹🌹🌹
hongera san bro mam askushawsh ujng huo amchkue akae nae mwenyw km mkamwan ak aangalie tabia zake❤❤❤😂😂😂😂😂
Jamani napenda kazi yenu ikosaw 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Congratulations Kevin you know how to make a decision hii movie n funzo kweli
Sasa
Hapana kwa hapa huyu mama anakosea.kwamm ningepiga magoti nikaomba mungu kwa laan isinge nishine hata anivulie ngua mama kama radhi isinge nishika.hata kama ni mzazi ninge enda na shughuri zangu tu. Kutafuta maisha yangu mbele kwa mbele huko
It's good to all lady to learn from this ,,,I really like ❤
Jamn Leo wa kwanza yn ata second hazijamaliza nime angalia lkn stk like zenu😂
😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaaaa
Sema uyo dada wa kazi ameweza😂😂😂
Daah 😢hili ni funzo kubwa mno, asanteni sana gud job
Am happy with the boss,the way he treats the lady amazing much love
Yani pamba nkiwa Kenya 🇰🇪 😍 Good luck kelvin 💕🙏💕💯✔
Mm wakwanza kuona part 2 kama pia ww uko gonga like
N Ivo Ivo 2
Niko pia brother
Anza kunilike mm kwanza
Mapema sana napenda iyo iko kweli ❤❤❤❤❤
🤜
Big love from South Africa movie nimepokea mafunzo sana Tena asante sana kwanduku yenu amenifundisha kidogo
Waoooh, move nzuri sana na mnafurahisha maana ni ndefu
Fantastic episode, Kindly awaiting for the next one!!!!
Upo vizuri, na unajua episode nzuri. Namba yako please
Great work guys congratulations 🎉🎉🎉
Jaman kaka kelvin toa part three movie nzuri sana
Huyu mama wakwanz kumkubali mkwe 😂😂😂😂 mama mkwe anaboa
Aiseee changamoto ni mama.😅😂
Huyu mama angekua mama angu ningeondoka nimuache ili nisije nikamjibu vbaya coz hatak hata kusikiliza mtu anapitia nn
Ongera Sana dungu zangu watazania, iyi filamu nizuri sana inatufuza sisi wana wake kabisa Asante sana
Congratulations sana unatufunisha maisha yalivyo kwa wanawake wa sasa
Maisha ya ndani wanayajuwa wanandoa wenyewe. Naona mwanaume anaongea ukweli lakini mwanamke ndo anaonekana yupo sahihi😢hiyo sio
Napenda Movie Nzenu Kbx 🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇸🇦🇷🇼
Safe sana
Poleni saana kwa kazi kama na hii, Mungu awapa maisha marefu
Courage sana watu wangu ❤️nakubali mashauri yako kaka
uyu mama nae siamskize mwanawe mama kamahawa ndio wacha watotowao wakajiuwa😢😢😢
Mafunzo mazuri. Sn much love ❤️
Thanks for such amazing episode that's is really educative,as a young lady I have learnt alot.Big up kelvin
Very educative movies from voke keep doing well bro
Natoka TikTok npen kiti wakuu😅😅😅
WAKAWANZA WANYUMBANI LIKE KWANGU NA DONTA TV KITUO KIZURI WAI KAZI NZURI ZIKO APA
Good and educative..this young generation ❤❤❤mvumilivu hula bivu...
Huyu mke wa Kelvin muongo kweli yaani duuh😂😂😂
Kazi Zur kelvin endelea kadhana
Kelvin pambambana kama mtto wa kiume😂
Much love from 🇰🇪
Good work much love from Uganda 🇺🇬😍🖤💕
Wow so interesting am learning something from here ❤❤❤❤big up
N'a shukuru sana kwa kazi tenu n'a kutupatia mafundisho
Very educative napenda movies zako much love from Kenya 👍
Hiyo ni ukweli KBS ndodunia hiyo mzunguko ila mngu anaweza yote 🥰🥰🙌👏
Nice movie❤❤❤ Love from Burundi 🇧🇮🤌🏻😍🎉🎉❤❤
hiii
Kazi nzurisana Calvin 🥰🌹 dondosha na sehem ya nne
Nasubiri hiyoo part 3 nice movie ❤❤
ata na mimi inanifunza pia katika maisha yangu nitajifuza kumumiliki kwakila kitu chandani ya nyumba❤❤❤❤❤❤
Hongela kijana muvi ziko vizuri endelea kutufundisha
Safi sana kaka kazi nzuri ujakosea simamiya msimamo wako ndio dawa ya mwanamke asie jitabuwa akae kwao ajifunze mama hajuwi unachopitiaa kaka simama na msimamo wako
Daktarii nakubali sana kazii zako❤
Wanawake wengine mnatafuta kuachwa embuona hii .msisingizie dada wakazi😂😂😂😂😢😢
Mnafiki alfu churo sana uyo Tina...afu anapata support kwa mama mkwe...Anayestahili kuwa mke ni Victoria...Nice Movie Dogo Kelvin keep it up🎉
Nakukubari Calvin unabeba uhusika mzuri sana...... ✅✅✅✅✅✅
Aaah huyu mam 😢😢😢akh kwan hakun nafasi ya kujieleza jamni
Have learnt so many lessons from you movies ,,, much love from +254
Daaah shukurani san tunajifunza aisee ❤️❤️❤️❤️
Very very congratulation kelvin big up sana 15:57
Wow kaz nzuri sana kevin ❤❤❤
Naomba toa handle ya like yako hiii movie ni kali zaidi ya sana❤
Hii ni movie vzr sana inamafunzo mazuri san
Wanaume wengi wanapata shida na wanakosa nafasi ya kusema na kulalamika, nawapenda wanaume wote
Mpeni nafasi kjana ajieleze jamn