IRENE uwoya ni mwanamke ambaye anastahili heshima Africa mashariki hasa katika Wana mchezo na mashabaki wote wa Rayon sport nahata wa Amavubi(Rwanda national team) ❤❤❤❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼💯💯💯💯💯% mapenzi ya dhati
Mmmh hapa kuna kitu kimejificha ata sielewi nani muuwaji hapa yaani hii no filamu ya pasua kichwa ata Pius hakai miiwaji basi sijui next episode Dj plz
waburundi mnaona je hii movie gonga like hapa✋
Wewe ni mrundi?
Muganga Wa kiinyeji ni murundi🇧🇮 nimegunduwa hilo tu😂😂🙌
Iren Uwoya never get old yaani hazeheki anabaki mtoto, lakini namupenda saaaaana❤❤❤❤
IRENE uwoya ni mwanamke ambaye anastahili heshima Africa mashariki hasa katika Wana mchezo na mashabaki wote wa Rayon sport nahata wa Amavubi(Rwanda national team) ❤❤❤❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼💯💯💯💯💯% mapenzi ya dhati
Great job my watu wangu penda sana 🇰🇪🇰🇪♥️
Watu wanguu hawa hemed na uwoyaa❤❤❤❤❤ kazii nzurii sanaa
Wawoo mmeigiza vizuri sana Hadi nimemkumbuka Kanumba jamn
Jaman kuna sisi wengine tunajua kuigiza please tunaomba mtuunue sisi vijana wenvine ambao tunapenda kuugiza
Nimeitafta sana hii movie, hatimae imejileta kirahisi sana duuuuuh naielewaga sana
Thanks soo much much appreciation from uganda
Mungu awabaliki san Irene & hemed na mm mniunge kipaji ninacho🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💖💖💖💖
😂😂😂😂😂
Story nzuri mno masha Allah Irene uwoya na hemedi sulleiman big up sana
Hongeren sana jamani Mungu awaongoze kwa kazi zenu
Wooow such an amazing and lit movie..much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ila huyu muusji sio mtu mzuri anaua hadi wafanya kazi sijapenda
Jamani mimi napenda kuigiza ila sina msanii wakunishika mkono,ila naomba Kaka Ahmed na Irene woman wanisaidie make tangia nikiwa mdogo nawakubali
Kazi nzur ❤❤❤ from 🇰🇪 Kenya
hamjawah kutuangusha kazi nzuri
HMD tuko nyuma Yako from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mziki mkubwa hatusikii vzr ila move ni kali big up ❤❤
kazi nzuri sana nimewamiss sana wakali wngu
Wawoooo mumeceza vizuri sana
Jaman hii movie c nliiona kitambo mm
Muv nzur sana jamn wandamu jifunzen kurudhika na kidg mlichopewa na mungu
Good job napenda movie yenu haswa hemed na irene hua najifunza Sana
Nawaomba hemed na irene mtuletee movie yengine napenda mkiact pamoja
hemed kaz nzur xna irene great you give flower my sistrr🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉and ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
PHD hemed congratulation bro
Leo nimeona niwafatilie watz wenzng msiniangsh ss
❤❤❤❤PhD kzi ndzuri 🎉🎉🎉
Mna fanya vizuli sasa
Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤❤❤
Please Dj too much music 🎶 please voice 🙏
Hakika mnaoigiza hzi move mnatuelisha sana mungu awabarik sana
Ci bing up movie's ni zuli xana❤❤❤❤❤❤ mwendelezo please tukajua chanzo cha mauaji nn vary nice brother wangu na family ❤❤❤❤
Kazi nzuri, mpo vizuri sana. Kenya Watching, twapenda
Irene na hemed pongezi Kwa kazi nzuri 🇰🇪
Boa história ❤
Nadhani the killer ni pius maana kwa nn watu wote wapigiwe simu na yeye asipigiwe😢
Fika haraka kituoni utoe shirikiano kweny upelelezi😅
@@alfredjohn5693 kwa kwly atasaidia sana😅😅😅😅
Wa burundi tuko poa movies ni tam sana❤
Next plzz sehemu ya 2
Love from Bangladesh🇧🇩🇧🇩.
I invite to watch Bangladeshi tv drama. They are just awesome❤
Jmn ❤❤❤
Vinxuri xana❤❤😊😊🎉🎉
Noma sana iko powa😘🥰
Punguzeni miziki
R I P ndikumana Hamad katauti the best defender of all time in east Africa 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼✅✅✅✅✅( Rayon sport fc)
Wooo were waiting for part too
Kazi nzuri
Pius analipa kisas vby lkn mpk walokua hawana hatia bt kaz mzr inaitajka part 2
Waiting
Asante sana ❤❤❤ tunawapenda dj wetu❤❤
Hongera Sana kwa kazi nzuri
Kazi nzuri sana❤❤🎉
Kazi nzuri nawapenda sana wote Irene na hemed
She's always young and beautiful ❤
😂😂😂uyo mkatamajan anetualibiaa ajakata jani ata moja kweliii
Ongereni kwa kazi nzur
Nakubali Sana
Niko na talent ya kuigiza anyone wa kunishika mkono
Mastar zangu wabongo move nzuri IRA mwanzo ujaanza vizuri ila move nzuri
🔥 ❤❤❤❤ party 2
Nakubali kz zenu ❤❤❤❤
Nice movie ❤❤
Great work ❤❤❤
Big up❤❤❤
Wow, napenda PhD anavyo makinika kwenye kazi zake,,bigup bro🎉🎉🎉
Hata na warundi walioko nje ya Burundi tunakufuatilia sana.
Love you from rwanda❤❤❤❤❤
He is professional
Kazi nzuri braz k nimechek
❤ Uwoya jamani nakupendaga❤❤❤
Good❤❤❤❤❤
From 🇨🇩 tuko pamoja
l'Afrique qui gagne ❤
❤❤❤❤❤Kazi nzuri
Burundi tunaiona safi Sana kalisana❤
Dania kunamambo tunajifuza mengi😢😢😢
Kazi nzur
Hemed breeng pati 2 please because this move so sweety
Mmuwali lazima yupo ndani na ni Pius ..
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉kazi safi
tumika tena sana audion za vidio
Irene amekuwa sasa amekuwa mzuri tena kaongea kwa ustalabu duh!
Nakubal wanang wa bongo muvi
Bom trabalho
Jamani brother k mganga
ParCy
Mozambique 🇲🇿
Mganga braza K hahahaaaaaaa asanteeeee😅😅😅😅😅😅
Part 2 pls
filamu nzuri sana
Daaah more than painful 😭
good movie
Mimi nipo dr Congo movie ipo fresh
Kaz nzuri
Mamb0
Bonjour wa ndugu nafurai sana
😢😢😢😢 inaskitisha sana
❤❤❤
Nakupenda sana❤❤❤❤❤
Wooo were wanting to part too
Mmmh hapa kuna kitu kimejificha ata sielewi nani muuwaji hapa yaani hii no filamu ya pasua kichwa ata Pius hakai miiwaji basi sijui next episode Dj plz
Tuchek part 2
Kaz nzur San nawakubal san