Bro mbona nimekuelewa sana ebu ongeza mara mbili ya hapo naamini utafika kimataifa zaid na utajulikana dunia nzima kikubwa mtangulize Mungu usidanganywe na njia zingine njia peke ni Mungu pekeake kipaji unacho uwezo unao salute
Kelvin wafanya kanzi nzuri tena kufaavyo 👏 usimwache Victoria 😢... Kipindi chenyewe nakifuatilia kina mafunzo mengi sana.... Waiting for the next episode. Much love from Mombasa Kenya ❤
Kuna mahali videoshooter na director niwape ushauri...pale mwanzo anapoenda kubadili nguo, anapoenda ndani, anapogeuza mgongo, mzigo uonekane...mashalaah nyuma kwa huyo mdada....
Hongereni Mnafanya Kazi Poa 🎁
Asante sana my brother one Love ❤
Nawakubali
Nice
@@Dontatv255 namba 4 pls
Nice job
Please nipe likes zangu number one from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kiukweli tunajifunza mengine kama umujifunza gonga like
I'm waiting episode4. Wapenzi ❤❤❤❤ nawapenda yana love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤
Gabril
Wa kwanza leo kutoka zanzibar naombeni like zangu🥰
Like kutoka Nairobi Kenya 🎉
I love this movie from Kenya ... Someone like my comment please 😅
Karibu tuchanuke😂😂😂
From shakahola 😂😂
Ati from shakahola 😂😂shakahola wanakufa.wewe haujakufa😂😂❤😂
uko vizur sanaa hongera kelvn uximuach victoria mwana mk xahihi🌹🌹🥀🥀
Victoria unapatikana wapi wemwanmuke mjuli sijawahi wona kama wew
Dah😢 wazaz wetu sometimes wanatuumiza bila kutambua hii films nimeipenda sana Kaz nzur Boss🙋
Kelvin muoe tuuu dada wa Kaz huyo mke afai kabisa
Azin
Ip viz hii muv kapat mum anamchzea ila ndo tujifunze wanawk 😮
Bro mbona nimekuelewa sana ebu ongeza mara mbili ya hapo naamini utafika kimataifa zaid na utajulikana dunia nzima kikubwa mtangulize Mungu usidanganywe na njia zingine njia peke ni Mungu pekeake kipaji unacho uwezo unao salute
Huyo Victoria sio mke wa kuoa
Nakupenda sana kelvi🎉Kwa io acting yako Mungu akupeleke atua mbele kaka, nice Waka! Io ingine Sasa iwe moto
Wanaopenda Kevin amuoe Victoria Kwa hamu gongeni like
Broo upo vizur
Jameni Kevin anajuwa kucheza hi filamu jameni namupenda sana Kevin na Victoria ❤❤❤❤❤
Victoria ndo anambra kevin
Victoria ndo anamfa kevin
Bsr
Muendeshe mke wangu vizuri...kwenye pikipiki. Kelvin wewe. Kenya watching
Kaka ongera sana kwamafundisho mazuri naomba pesabila furaha nibure tafadhali Amuwa kumuowa dada wakazi
Kazi nzuri MUNGU awasaidie mfikembali ndugu zangu nawapenda nyote mnafanya vizuri sana ❤❤❤ from Kenya
Uyu mama anatetea nyoka
Hongereni filamu nzuri sana chukueni🥀🌹💐🌺 yenu
Kipindi kizuri, Kiswahili kitamu cha Tanzania 🎉mafunzo Tele nafuatilia kutoka Kenya 🤝
unajua sana mwanangu kelvin! GOD bless you
Part 4 twaisubiri kelvin 💕keep up the good work 👏
Añ
Congratulations 👏👏 Kelvin keep it up, much love ❣️❣️ from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Kaz yetu nimeipenda sanaaaaa
9
Moving zuri sana ina mafudisho
@@charlesmutisya7523❤😂😢😮😊😊
A😢zyu😅
Dah kelvin hongera saana kwq kazi nzuri na mwenyezi mungu akufanyie wepes ufannye vizur zaidi 💝💝💝💝💝🤞✌️🤞✌️🤞
Ndo nmefika sasa! Nipeeni likes zangu
Kelvin wafanya kanzi nzuri tena kufaavyo 👏 usimwache Victoria 😢... Kipindi chenyewe nakifuatilia kina mafunzo mengi sana.... Waiting for the next episode. Much love from Mombasa Kenya ❤
When is it broadcasted?
Mjinga 😂😂
kweli yatufunza mengi vile nimeifuatilia
Kelvin Big up saaana kwa kazi njema type muendelezo mapema saaana
Duuuu inahuzunishaa..😢 nice drama
Jamaa hii move ulijipanga vzrvsana daaah nimeipebda mpaka kupinfukia daaah Mungu azidi kujupa maalifa zaid ndg yang❤❤❤❤❤❤❤
Kelvin please part 4 ikuje kwa haraka...much love from Kenya❤❤❤
Kazi nzuri sana na inatoa fundisho zuri sana
Sisi kama 🇰🇪🇰🇪,Tumesubiri sana ,Like ya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
Kelvin ongera San kwa utendaji wako wa Kaz nzuriiii,lkn tunasubil kwa hamu part 4❤❤❤❤❤
Hongera Sana kelvin kwa kazi nzuri 🙏 ila huyo mama yako hatumwelewi kabisa kwanini anatetea maovo Kuna Nini kati yake na huyo mkeo😢 pole Sana Victoria
Hogera kelvin,,nasubiri part 4 kwa hamu
Hongera Sana Kelvin Kwa Kazi nzuri unayoifanya n Millie uyo 4rom Kenya
Kazi nzuri sana mr kelvin na timu yako mnatuburidisha sana
Kelvin usiwe naoga wakumuacha victoria iyo laana hitokufanya kituuu nawa❤❤❤ sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Anatosha kuwa na kevin❤❤❤❤❤
Jamani nzuri jitahidini kutoa kila siku
Aisee Bonge la movie hili🎉🎉🎉🎉
Congratulations 👏 broo Good job kwa kweli napenda sana movie zako ni ndefu unaangalia adi part ya mwisho 🎉🎉🎉 comment 🇸🇸
Kalvin hongara
Tunasubiri party 4 Kaka Kelvin much love and big up sana
Hongera kwa kazi nzurii kelvin ❤ ❤ ❤.
Ila mke wako MUNGU amurehemu.
Mam mwenyewe hamuna lolote ndo anamjaza mke wako tuu.
Vp
🎉l love this movie,iko fit Sana , from kenya.part 4 tunangojea
I love this movie from Uganda
Congratulation kelvin much love ❤️ 😍 💖 ❤❤❤❤❤❤
Ongera sana i love voyu❤❤❤❤
Nmesiktka sana kelvin kwan umekubar Victoria aondoke jaman
Congratulations Vicky and kelvin vipindi vyenyewe vina mafunzo mazuri❤❤❤
Wa kwanza like zenu tujuane wapenz wa hii mchezo ❤❤
😂😂😂😂😂
Congratulations 👏👏kelvin keep up waiting part 4
Hakika unakipaji Cha kipekee brother mungu akubaliki sana uelimishe jamii❤❤
Dah wekaka unajua tenaunajua Tena,aisee nimeipenda Sana hii movie inafundisha Sana,nasubili mwendelezo kwaham Sana Sana💕💕💕💕
𝐕𝐩
Kelvin nakubali sana kaka movie inanifundisha vingi
Kelvin barikiwa❤❤❤
Ulianza mahusiano linii????
Hii iko pouwa niko nimekaa nasubiri muendelezo insha-allah
Safi sana kaka mko vizur sana yan ❤❤❤niliisubir baraa yani
Kazi nzuri San bro muendelezo bas
Nampenda sana vctorya wakiwa na kelvin ❤❤
Nakubali sana brother khan nilikuw naisubiria hii move kwa hamu
Nmeipenda sana movie hii Kevin mungu akusaidie kwa kaluma hii ulipo nayo barikiwa sana
Isichelewee inayofuata wadau wengi
Lini tena mnaludia nyingine
Iko good sana
Kazi nzuri khelvin basi part 4 please ❤❤
Kazi nzuri sana kelvin naomba sehem ya nne
Brother umetisha sana ...bac tunaomba episode inayofuata maana n tam kinoma
Kazi nzuri sana na iko na mafunzo naangalia kutoka kenya ❤❤❤❤
Nimeipenda sana naomba part 4 nawatakiya kazi nzuri
Iko bomba sana bro vzr mbaya, sasa episode zisiwe nyingi sasa
Nimekuwa wa kwanza
Wow, nilisubir kwa hamu❤❤❤
❤❤❤waaa mko vizur part 4 twaingoja Kwa hamu
Kazi nzuri Sana Khan...mungu akupe nguvu na utashi wa kuelimisha jamii
Ila kelvin mama ako anatetea Nyoka next episode tunataka ajue huyo mwanamke anayemtetea ni waina gani plz
Much love from kenya bro waiting next part plzz❤❤
Daaah jaman inauma
Nmejifuza kitu kimoja
Kaz nzurii sanaaa kaka nasubir part4 ❤
Hakika kaz nzur 👏👏👏. God bless your talent
Kelvin ackudanganye m2 hakuna laana ya ivo kaka ucmuache Victoria aondoke kwa uyo mshenz wallah natamn ningal kuepo nipewe cni yakumzabua iyo mke wako😢😢
N huyo cyo mama yke mzazi laana inatoka wapy hii ndio shida ya kuishi karibu n mama mkwe cndi
Enda Victoria akuna laana
Huyo tina ni kaaba mkuu🙌
Jamn kaz nzur san ivi wapo wanawake kama victory nataka jibu like apo
Wapoo
Nani kasema ladhi inatolewa Kama nyanya sokoni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuna mahali videoshooter na director niwape ushauri...pale mwanzo anapoenda kubadili nguo, anapoenda ndani, anapogeuza mgongo, mzigo uonekane...mashalaah nyuma kwa huyo mdada....
Wow please uje kutupa next episode nawapenda sana
Next episode please
Kazi nzuri 👏👏👏.... from kenya
Safi sana brother Khani uko vizuri ila vero asiondoke bhana
Yaani dah maneno aloyaongea mamako yamwisho acha2 kaka yamekiacha kinywa wazii Elly hapa kutoka kenya nafatilia kazi nyuzi
Kazi ya moto 🔥🔥🔥 sana mashallah asanteni Kwa mafuzo mazuri nawapenda kutoka omani 🇴🇲 ❤❤❤❤
Big up sana chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks so much Kevin next pz😂😂
Nakukubali sana mwamba
It much educative, next part4 of it
Really good Kevo! Kazi nzuri sana mnafanya ndugu kule TZ, 1st time i must subscribe bro, from Kenya!
Mbona mamb yqmonoga
Léo nafika mapema naombeni hâta liké tano you From burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nawapenda sans
Igizo zur by wity
Woooiii tamu hii hebu tubwagie prt 4 plz kazi nzuri broo
Nyingin na iyo tunaiitaji jamani Khan 🙈🙈🙈🙈🙈🙈
Yaani hiki ki move ni kitamu sn kina mafunzo mengi mno barikiwa Kelvin 💯😍💕🔥🔥🔥
Mm wa kwanza nipeni likes❤
Tunasubr part 4 ongera Kelvin ❤❤❤much love frm 🇰🇪🇰🇪❤
Sofia
Kaka uko vzr Sana twaisubiria part 4
Nawapenda sna ❤❤ from Burundi
Watch from Kenya keep up the good work
Umetisha sana mzeee baba hongeleni.
Hakuna laana mbele yahaki....love move....
Waiting for part 4 please.... Very interesting
One love to Kelvin kma una mpend gonga like zako hpa
🫡
Ustaarabu a busara zako kelvin, zinapaswa kuigwa na vijana wengine.
Kaka uko vzr sana sema unachelewesha kutoa part nyingne
I love it❤❤❤❤❤❤
Very emotional,, anyway much love from Kenya.
Mnependa storyline 🇰🇪🇰🇪🇰🇪Nawatazama kutoka🇰🇪🇰🇪
Kelvin mnatupa mufundisho Bora. Ila hiyo siyo laana. Hakuna anae laani kile ambacho Mungu amebariki Mac love from Lusaka Zambia 🇿🇲
Daaaaah huyo mwanamke changamoto kweliiii
Congratulations Kevin much love from Kenya, love your job
Waiting for episode 4 much love from Kenya
Hongereni wapendwa kwa kaz nzuri Mungu awalinde nyote
Yani ni 🔥🔥from Oman, part 4 isichelewi