Hongereni xana kelvin najua mwanaume akipenda amependa yupo tayari kwa lolote pia kwa vumilivu kutoa hela hali umesikia kila kitu ila Mungu anamwona Mariam kwa dhambi zake.Nachukia xana wanaume wasiopenda kujishughulisha na kupenda kulelewa na wanawake.
Dah yani haea mafemu ndo wanavotufanyia hv yani unampa pesa kwa ajil ya kumsaidia kumbe ni mnaafiki anaenda kumpa danga dah,,,wanaokereketwa km mim na hii hali gonga like ❤❤ hapq
Hongera sana mnatoaa sana funzo kwa vijana wakitanzaniaa the way yakuitunzaa furahaa pale anapoipataaa na wanawakee mjaribu kuwa na huruma na wanaumee b'se tunayapitiaaa mambo mengi wakati wa utafutajii kwa mnao pendanaa pendanenii sana na mapenzi hayaishii kwasababu yakucheet Ana no mnaaachanaa baaada ya mioyoo yenu kuchokana!!.😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Aseeee na Bora umekuwa jina la mariamu😂😂😂😂😂 umetisha mariamu 😂😂😂 badilika wenye tabia Kama ya mariamu badilikeni😂😂😂😂 pole Sana kelvini jamani unae mpenda nae kampenda mwingine❤❤❤❤
Uyu mariam niatari wanaume chungeni sana Yaan anawes kuomba pesa wa mwanaume mingin ampatie mwanaume mingin dunia hii imebadilika wanawake wanaong a wanaume
czcams.com/video/2D7qNJwlenk/video.htmlsi=8hg05b8azPzwuW_8
LEO IMETOKA SERIES YETU MPYA YA MAPENZI INAITWA - VAMPIRE LOVE ❤ bonyeza link kuitizama
Movie tingisha
nakukubali sana kelvin na team yako mnatoa mafunzo mazur
Q😊
Q😊q
You kill it my bro kev🔥🔥🔥
Mariam tafadhal bona unafanyia Kelvin, nawe nelly hiyo tabia ya kulelewa na mke congratulations Sana kutoka Kenya ❤❤❤❤❤❤❤
Good job team Kevin much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
19:43 dauhgo Tfjkm
Msanii wangu kelvin!! Pole sana kaka!! Fun wako wa kids kupona kutoka Kenya 🇰🇪 like ZA kelvin!!
Much love kelvin from Kenya 🇰🇪❤❤❤nmewaona kelvin na brown kwenye mama yangu kichaa,,,by steve mweusi
Good work Kelvin we love you so much 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Donta tv mnanifanya kama chizi kwenye jalala yan mda ote nachungulia mmetupia kitu gan....kaz nzuri kwakwel hongeren
Nimejifunza kitu hpa asante sana Kelvin❤❤❤❤
Good job Kelvin much love from Burundi ❤❤❤
Asante sana
Pia nawakubali xana movie zenu zinamafundisho mnooo ❤❤❤🎉🎉🎉
Asante sana
Background music ni wimbo wa Nani Kelvin namanisha artist
Pia mm natamani kujua artist wa huu wimbo @@paschallameck4372
Good job team Kevin much love from burundi
Kelvin njooo huku mariam anakuchiti mariam sio poa jamanai kelvin polee i love you kelvin from Kenya 🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nakukumbali kelvin wewe ni kaa mentor kwangu manake nimejifunza mengi kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana
Iyi kali kabisa tunaipokeya kwa furaha natena tunafurai kwamana minutes ambayo metupa imeturizisha myoyo yetu❤❤❤❤❤one love one access
Sawa j5 inaendelea
😂😂
Congratulations kelvin with ur group
Hongereni xana kelvin najua mwanaume akipenda amependa yupo tayari kwa lolote pia kwa vumilivu kutoa hela hali umesikia kila kitu ila Mungu anamwona Mariam kwa dhambi zake.Nachukia xana wanaume wasiopenda kujishughulisha na kupenda kulelewa na wanawake.
Asante sana
Use the edit icon to pin, add or delete clips.
Hongera sana ila mimi huchukia wanaume wakupenda kulelewa kweli😢😢😢
Japo2 wanaigiza lakini me mwenyewe najisikiya vibaya
@@starnnystivini164 kabsa😏
@@starnnystivini164 sio to maigizo aya yapo sana kwenye jamii
Much love team Kelvin watching from saudi
Hata mm cjachelewa ❤❤❤ Ongeren DONTA TV pamoja 🎉🎉🎉🎉
🙌🙌
Na unavyojua kulia viky😂....Nawapenda sana from Kenya❤
Dah yani haea mafemu ndo wanavotufanyia hv yani unampa pesa kwa ajil ya kumsaidia kumbe ni mnaafiki anaenda kumpa danga dah,,,wanaokereketwa km mim na hii hali gonga like ❤❤ hapq
Hyo part mliompea Victoria ilikuwa mmpee Loveness au Tina ingekuwa powa but piaaa... Mmetisha good job.
Thank you
Kelvin na loveness mnaendana sana 🤗🤗
Tazani waowane live 😂
Hongera sana mnatoaa sana funzo kwa vijana wakitanzaniaa the way yakuitunzaa furahaa pale anapoipataaa na wanawakee mjaribu kuwa na huruma na wanaumee b'se tunayapitiaaa mambo mengi wakati wa utafutajii kwa mnao pendanaa pendanenii sana na mapenzi hayaishii kwasababu yakucheet Ana no mnaaachanaa baaada ya mioyoo yenu kuchokana!!.😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Safi sana Mnaongoza🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nawapenda sana niko Burundi 🇧🇮
Mapezinzi sio pesa mapenzi ni hisia kelveni pole sana love you DONTA TV family ❤
Lijana ume hovyo lakupenda kulelewa na mwaña mke😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😂na ndo ambao wamebaki dunia ya kisasa 😢😢😢😢yaan nimejikuta macho yananitoka wallah
Team Kelvin much love from kenya❤
Nimefika jamani, much love ❤❤ from 🇰🇪
Aisee Iko funzo kubwa ya maana love from kinshansa- Congo 🇨🇩
Mnaendana sana kelvin na loveness
Mapenzi ety wanawake akie wah ...Thanks Kelvin for your love...from Kenya
Thanks
Wimbo mzuriii jamani,nmeupenda
Kaimba nani
Munayuwa sna ❤ kabisa.
shukran sana blaza
vip kuusu hiopart yamwisho vizuri kama ungekaatu bila kuimba ndo ungekua mwonekano mzuri kwamba unaumia
Jaman Kelvin I love you ❤unajua Sana
Kaz nzur kaka
Wa kwanza kabisa leo 😂😂😂😂 duhh mpaka naonekana sina kazi
❤️🙏
@@Dontatv255❤ Nawakubali sana chama langu Donta tv 🤜
@@Dontatv255naomba tuonane kesho
1:06 @@Dontatv255LM kßi8❤
Jaman mbona nzuli nakupenda kelvin ❤❤❤❤❤
😂
Waaah kama mapenzi yanauma hivi shikamooo 😢😢
Aty ..haitambui Mambo yako hayapi kipa umbele wee ni yupi dume surwali ..wewe much love Kelvin ❤❤❤❤Bigup my G 🔥
Mhhhhhh
Aaaaaa true story jamani wanawake mungu anatuona vilevile waume kama hao pia wapo 😢😢mungu niepushe na waume kama hao 🙏🏻🙏🏻
😭😭😭
Naitwa anastazia nipo dar mhhh!!! Huyu mdada hana at a aibu
Yaani mwana wana wake nikama mdaktari hatakama unaumwa lazima wakuombe pesa😂😂
😂😂😂😂😂😂 hiyo ni kweli kwa sababu wana wake tuwesi kujitekemea
mapnzi ya kibongo utumwa penda uwee chuma ulete...baaadae ujue uwee mlinzi..wachache wanaotambua samani ya upendo...❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
If u Don't love the man, respect is work and money
Kelvin nyimbo ❤❤mashallh
❤❤kelvin nakupenda sana kwa kazi nzuri pongezi much love from kenya
Asante sana
@@Dontatv255 karibu
Kazi nzuri sana jamani mb zangu zinaisha kwaajili yangu
Good job team kelvn much love from keny❤❤
Asante sana
😢😢 ujiga wamapesi apana siwesi saudia Arabia tune from kenya
😂😂😂🤣🤣 Mambo ya kupika kubusi ni magum
Victoria wacha unafiki mbona unashobo namna iyo surely,wanawake hawabebeki kwel 😢❤
Haiko victoria wetu. Ni Mariam
Mazoea bwanaee
@@GraceVISAMAYANI-gj1xm🤣🤣🤣🤣
Waaah njoon Uku Victoria kaanza ukora haa imeweza banaaa❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂jaman
@@VictoriaMwigani umeanza tabia mbaya ww😂😂😂😂😂😂😂😂 kitakuramba
Good work 🔥❤
Thanks 🔥
Kelven nikweli mapenz ni uchizi ht mm niliwahi kuwa zaid ya hivo nilimpenda mwanaume ila yy alikuwa anampenda mwengine ahaaa ila mung ndie hakim
Pole
Wanawake tutafika mbinguni tumechoka sana 😅😅😅
Hayo sio mapenzi ni ujinga
Ok
😊😊
Aseeee na Bora umekuwa jina la mariamu😂😂😂😂😂 umetisha mariamu 😂😂😂 badilika wenye tabia Kama ya mariamu badilikeni😂😂😂😂 pole Sana kelvini jamani unae mpenda nae kampenda mwingine❤❤❤❤
Kazi zuri hii nayo imenipea funzo❤
Kelvin umerogwa nn
Kutoka Burundi Guys ❤❤❤
I Love You Very Much ❤❤❤
Thanks
@@Dontatv255nakupenda
Mapenzi bwana aixe niuchizi kweli bro polesana umepitia mengi xana ❤❤
Uyu mariam niatari wanaume chungeni sana Yaan anawes kuomba pesa wa mwanaume mingin ampatie mwanaume mingin dunia hii imebadilika wanawake wanaong a wanaume
Kabisa 😭😭
Napenda kazi zenu big up donta tv🎉🎉🎉
Sawa Asante
Waooh kazi nzuri Kelvin part 2 nasubiri mm yani 💟💟
Sawa inakuja
@@Dontatv255 inakua
Yaani ww mwanaume km unamapenzi ya kweli km hivyo unavo ekti bs upo vizur sana dah na mm pia nahitaj mwanaume km ww❤❤zanzibar
Daah good job nawapenda❤
Uwii wapenzi daah viki njooni muone haya anayo yafanya viki..pole kijana wa mwenyewe uzuri umempa hela,,hata mimi n wa kwanza😂😂🏃🏃😂😂
Kevin naomba unambie mwenye aliimba hiyo nyimbo nmeipenda sana
Hama q - hapo mwanzo
Wahooooo ,kazi nzuri
Pamoja sana najifunza mengi sana kutoka kwenu
Much love broo
Jamani huyo mariam natamani awe mdgo wangu nimpge😢😢😢
Mariam hii sio poa Kwakweli 😢😢😢😢 Wanawake wajifunze kupitia wewe waone kwajisi yanavio uma😢😢😢 ila pôle sana Kevin😢😢
Kweli Wanawake mnatuumiza sana😢😢😢😢
Good work❤
Mwanaume gan huyu ww unavaa heren na yy anavaa heren vip tn unamujonga unatuzalilisha wanawake wenzako
Haina tofaut na yaliyo Nikuta, hongera kervin
❤si wewe kevoh najikaza hapa Saudia natumia mpenzi wangu msaada kumbe anapea demu mwingine nioshe Choo 😭😭
Me nawapenda ❤❤sana team kelvin kuna vingi sana najifunza kutoka kwenu m.mungu azidi kuwabariki zaidi na zaidi 🎉🎉🎉🎉
Asanten sana kwa movie nzuri yenye mafunzo mungu awabariki🙏🙏🙏💯💯💯🔥🔥🎉🎉🎉🎉👍
Asante sana
Vick Leo huna akili kabisa Yan yy mwenyewe n maskini alafu ww wachukua pesa ukampe mwanaume mwingine kwel huna huruma ww
Tuna hamu jameni tunachoka kusubiri sehemu ya 2 mweshimiwa dondosha mzigo tafazali 💐💯🌹🇿🇲👁️💯🌷
Inakuja soon j5 inatoka sehemu ya pili
@@Dontatv255kote uko mbona mbali sana
Waaa pole Kelvin kma maisha iko hvo na Mariam mungu akuongose,juu Mariam anakuchit,
Mwanaume akipenda anapenda sana na anakuwa yupo tayari kwa lolote ila sisi wanawake ndio tunazingua sana
Hiyo kwel mdogo wangu
Umenens
Umenena
Kabisa yn
Uhakika
Naipataje Hiyo Nyimbo ..mara Yakwanza nilidhani Unanipenda
Good job kelvin
Thanks
Kelvin uko na moyo wa chuma😂😂😂😂
Kabisa
Aki wanawake tuhumie wanaume waaaah wanapitia kwa kazi gumu 😂😂😂😂
Kelvin uko vizur mwanangu kaz zako nazielewa sana
0:32 after upload mapema do best
❤️🙌
Kwa wakenya ni kusema kitakuramba😂😂
Mm hapa kutoka Kenya nimeioenda sana❤❤❤
Asante
wakwanza leo naombeni like zangu
Daah jamani wanawake tuta fika mbinguni tunajibuluza
Iko Kevo, uko vzr next kanumba alafu hio nyimbo imenigusaaa
nimejifunza kitu kwa hii move may God bless you guys munao watch hii move musitoke pure jifunzeni kitu jamani sana sana ss wana wake 😢😢😢
Kweli huyu ni mariam jaman huyu co vick wetu pole kelvin
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kweli ile
@@VictoriaMwiganiVicky
@@VictoriaMwiganijambo Vicky. Nipe namba yako
Tunajifunza lakini ndugu zangu
This is reality my friend
haijalishi nimekuwa wangapi ila bro kelvini anaweza sana sarute blood
Asante sana
😭😭😭😭😭😭😭😭 pole sanaa kelvin 😢😢😢😢😢so touching 😢😢😢
Asante tumejifunza❤❤❤
Huyo jamaaa chizi Zaid ya machizi kidume kafanye kazii💪💪💪💪
jaman alivo fanya mariam siovema
😮😮
Ongela brother kazi zako ni nzuri
Duuuuuuh kupenda nisumu sana akiamung mademu wanatupasua alafu anaenda kumpa mwanaume mwingine haahahah