😅😅😅😅😅 sekunde mbili tu heshma imerudi duuh! Atari na nusu funzo kwa wanaume majeuri kama huyu,pia kuna mwingine anangojea mpaka aumizwe ndo akubali,ni heri kukubali kabla ya hayo yote
Dada mimba imetoka imelud kwamwenyew 😂😂 bola hat ingekuaga ni ivyo kwel komesha kbs hat watot wamitaan wangekua wakuhesabu by the way nlimmic san loveness cjui kalikua wap
Mm pia nimesikia shikamoo kaka mara tatu lakini kelvin amemiss sambusa kelvin umeniumiza mbavu zangu aaakiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda Sana kelvin 🤣🤣🤣🥂 cheers bro ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹 from 🇰🇪 Asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂 mimba sio ya kwangu 😂😂😂😂😂😂😂💃💃 kelvin amesahau sambusa 😂😂😂😂😂
Kuna vtu wanatakiwa wajifunze hawa wasanii sasa huyu love nes ka ekti kama mwanafunzi lakini imemkataa kwasababu unafunzi wake haupo kwenye uhalisia nahayo matatuu sijui michoro ya shingon wanatakiwa waelewe hilo sana
Kama umesikia shikamoo kaka mara tatu kama Mimi gonga like kama zote
Hii ni kal mnoo
😂😂
Shkamoo Kaka shkamookaka shkamoo kaka
Kalii hiii jamani
Shikamo 😂😂😂 Allah
Tuachen masihara nyie love ni mzur bhana na kuact pia anaweza mnoo 🥰
Kelvin kuongea kwako hovyo kumeishia Kwa mimba kuibeba 😂😂😂😂😂😂❤❤❤very nice actor
Calvin anaupiga mwingi sanaa sema mtoto Loveness ni wa moto sanaa🎉❤
Utamu wa kubeba mimba uyooo😅 Mijinaume ya ajabu mjifunze maeno ya kelvn ni ya ukweli tunapatag shida sanaa love you move❤
Tunateseka kweeli na dhalau tunatwishwa pamoja nakusalitiwa juu!! Wanatuhukumu vibaya sana ila MUNGU hajawahi kuwaacha wanaume kama hawa
Ahahahahaha duuuuh pole Sana kelvin kazi nzur pia funzo kwa wanaume wotee lait ingekuwa hivo kwa wanaume wt weny tabia Hiyo safiii sanaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
love wee mzuriii jamaniiii nakupenda jamaniii unakasura kazuriiii
Me to nimesikia shikamoo kaka mara tatu
Ila ana benge la shimo
❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂 nimecheka jamani movie nzuri sana lait ingekuwa ivo wasingewai rudia kukataa watoto wao
nakupenda sana love ness ❤❤❤❤
Ooooh waoooow nimempenda natamani wanaokana mimbazao hili liwakute kamalililomkuta kelvin
Wow mashallah nimpenda hiyo 😂😂😂❤❤❤❤
Team Kelvin big up bro 👍 good job keep it up 💯
Alipotelea wap uyoo mwamba @@ lovnes @ Donta Tv 💪💪💪
Lovenes ww ni mazuriiiiiiiiiiii sanaaàaaaaàa nakupenda sana I love you
😂😂😂😂💃💃nimeipenda hyo wote wanaume wangefanywa hvi
Mimba alina baba 😂😂😂 movie tamu sana kalike tukisonga
Hhhh 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 kelv bana et mtoto mwenyewe kanielewa jamaa naye ana bana banaa mhhh!!! Aise movie tamu mno
Napenda hio loveness ingekua kwa wanaume wote wangekoma😅😅😅😅😅
Kimemlamba kelvin
Alaaaaaaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 Kevin leo amepatkana
😄 🤣 😂 kelvin utaniiiua na kicheko 🤣🤣ya leo imewezaa 👊🏽👊🏽keep up the good work 👏 💪 👍
Keep up the good work. 😮❤
Kelvin ananichekesha sana😂😂
Hili igizo kiboko,inatoa fundisho,big-up all
Lovenes mzuri san alaf nampenda kinoma
😂😂😂😂😂😂Asante sana kaka loveness Bora ingekuanga hivi
Kila kazi yako imekaa powa sana asee big up broo na tim yako yote
Brother wafundishe hao natmn uyo angekuwa kaka yangu 😂😂😂
Jamani wanawake nifunzo hillo kwa lavunes❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sambusa ya nyama tamu🤣🤣nakubali sanaaa🇰🇪🇰🇪
Dada usisahau kishika tumbo naumia nyoo kdg tyu unajaba vp sisi miezi harafu bado mnatusumbua👌👌
Kelvin na sambusa ya nyama watching you nikiwa saudi Arabia
Team strong eti
Tamu kwel 😂😅
Aki ww Kelvin na sambusa ya nyama sijua ilikugusa wapi wallah nadurudika n movie's nkiwa ndani ya Saudia 🇸🇦
😂😂😂uwii nimecheka mimi Kelvin jaman
Jamn kazi nzuri loveness na kelvin jmn Alf mnapendzana ukiwa kweli mnapendana atr
Mwemnajaribu kuect kama uhalisia jmn imagine miezi 6 loveness bado ananywele zile zile 😂😂😂😂
Unge funua nguo tuka onaiyo mimba yaukwer au lake dhangu😊
Bila kulogwa wanaume hamtabadilika safi sanaa😅😅😅
Kazi nzuri san 👏napenda movie zako ❤
Haaaa kali sana nimeipend😅😅😅
@@user-tm3io7lr1f 🥰🥰
❤😂🎉😢 haha kelvin Huwa anaua sana Kila akiigiza na loveness Big up boy
Nilimmiss loveness jmn mouv nzur ❤
Napenda your movie
😅😅😅😅😅 sekunde mbili tu heshma imerudi duuh! Atari na nusu funzo kwa wanaume majeuri kama huyu,pia kuna mwingine anangojea mpaka aumizwe ndo akubali,ni heri kukubali kabla ya hayo yote
Nawapenda sana mugu awabarki❤❤❤
Dada mimba imetoka imelud kwamwenyew 😂😂 bola hat ingekuaga ni ivyo kwel komesha kbs hat watot wamitaan wangekua wakuhesabu by the way nlimmic san loveness cjui kalikua wap
Miles
Mwanafunz malaya
😂😂😂😂wanapenda sana donta tv
Waaàaaa hiii yaleo Kali sana nimeipenda sana nyie mkonamafunzo mazuri sana nawapenda ndugu zangu ❤❤❤❤❤nikuwa huku Saudi
Woooow nilikuw nammiss loveness am Happy nimekuona❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Bro Kelvin unapenda sambusa ww😁
Kev weeee unanichesha kichomiii
🤣🤣🤣 jamn kelvin umenikosha sio kwa mtot huy kama anachez judo ha ha ha
Kazi nzuri sana matitu ❤❤❤
Hahahaha Kelvin ugeachwa tu ukazaa manake ulijikuta wewe bingwa wa mapenzi
😅😅Kevin jeuri yote kwisha 😅😅Jaman tukio kama Hilo LA keven ingekuwa kwa wanaume wote ingekuwa pw Sana 😅😅😅😅
😂sana 😂😂
Wwww
Kwaiyo miez 6 yote Lovenes hukuwahi kubadilisha hair style😂😂😂😂😂😂
Safi sana Tena ilitakiwa nikupe nazawad calvin
Sikia raha kelvin utamu wakubeba mimba😅😅😅😅😅 raha kweli 😂chukua mauwa hayo🌹🌹🌹🌹
😂😂😂😂 hii movie imenibamba sana chukueni maua yenu🌹🌹🌹🌹
Kevin sambusa ya nyama ishamtokea piani.....kakaako ndo nani😅😅😅😅😅😅
Nawapenda🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂kelvin jeur yote kwisha😂😂😂 jamani tukio kama hilo la keveni igekuwa kwa wanaume wote ingekuwa pw sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂
DONTA TV MNATUPENDELEAA... BONGE LA CONTENT
Wanaume iyo njo inawatsahiri ziwe nawarudiria
Kelvin na sambusa ya nyama kaka itakukondeshaaa😂
Kazi nzuri wapendwa asanteni 😅😅😂😂 tamu sana movies zenu
Ngoma nzuri
Baba hii mmetisha
😂😂😂😂😂😂jmni kelvin mtt wakutoa firigisi dah nimechka kweli 😅😅😅😅
Kelvin ndipo utawacha kula sambusa za nyama daily 🤣🤣🤣
Aaah jaman sijui nilie Wala nicheke mbna mwafuraisha nyinyi jaman
sambusa kweli 😅😅😅
😅😅😅😅😅😅😅😅 aaah Yan nimecheka mpaka sio poa movie tam kinoma 👍👍
😂😂😂 shule Zur sana wale wakukataa mimba sasa
😂
Alikuwa anataka nimsaidie kumulelekeza njiaa😂😂😂😂😂mm ni mtu mzimaaa
Shikamoo kaka shikamoo kaka shikamoo kaka it's very nice
Hahahaha kelvin yko na mimba! Haya ikaingia na wapi😂😂😂😂
Kaka hongera
😂❤😂😂wajaaa nmubebe,, nmecheka Kwa kweeeeliiiii,,, good job
Nampenda kuona couple ya kelvin na lovenes
Ongera sana kijana mwezangu
Ewaaaaaa ingetakiwa iwe hvyo kwa wanaume wote wanaokana mimba ilihal yakwamba niyakwake amemkomesha kwakwel nimeipenda iyo
Kevin wewe utamu wa kupenda kula samosa ovyo umeuona sasa 🤣🤣🤣wenye kucheka hadi wakalia kama mimi gonga like 😂😂😂
😂😂😂😂Kevin anajifungua sema mmenichekesha
Kelvin umependeze nakuombea ujifungue salama mtoto ntampa jina chukua maua🎉🎉🎉
Hii nimeipenda
Miez 6 Nywele zile zile😂👌 bongo movies.
We are watching, Kenya twapenda
Wow love job👌💃
Love ness unabalaaa ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Shikamoo mara tatu 🥰🤝🤗
😅😅😅😅😅😅 Kelvin anataka sambusa nyama
Nimemwelewa
Usipo sikia la mkuu huvunjika guu sasa loveness kavunjika guu maweeeeee😅😅😅😅😅😅
Kilanga komo love Na Kaka ake Wamempata Alie Mpa Mimba Livens😂😂😂😂
Well done broooo ❤
Kelvin movie zak mbn part 2 hazionekan
Goods job
😂😂😂😂hongera bibi kervin kabarikiwa na uja uzito🤣🤣🤣
napenda video zenu jamani mnapend3za kazi nzuri💕💕💕
Nimeshindwa kuvumilia ..nimeangua kicheko😂😂😂 chinsi Kelvin ameujutia msalaba wake
Mm pia nimesikia shikamoo kaka mara tatu lakini kelvin amemiss sambusa kelvin umeniumiza mbavu zangu aaakiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda Sana kelvin 🤣🤣🤣🥂 cheers bro ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹 from 🇰🇪 Asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂 mimba sio ya kwangu 😂😂😂😂😂😂😂💃💃 kelvin amesahau sambusa 😂😂😂😂😂
Nawapenda sana loveness na Kelvin ❤❤❤
Mnajua lkn mnazingua hammalizii move mnatoa p1 alf hamlizii
I wish it was like this no man can deny pregnancy
Nimecheka kama chizi Kelvin ako na mimba😅😅😅😅😅
Jmn nimepnd lov anavyocht hhhh n jibu lipo waziiii
Kuna vtu wanatakiwa wajifunze hawa wasanii sasa huyu love nes ka ekti kama mwanafunzi lakini imemkataa kwasababu unafunzi wake haupo kwenye uhalisia nahayo matatuu sijui michoro ya shingon wanatakiwa waelewe hilo sana
Love more loveness❤
Sijawai pitisha Siku bila kutizama movie zako🥰🥰🥰🥰🥰
Kelvin leo ujanja umeisha so nice keep it up