Napenda sana filamu zako.. Zina mafunzo mengi sana... Sehemu ya Tano . Tafadhali ... Someone like my comment I need to come back again... For this.. much love from Kenya.. 🥰🔥💕🙏🙏
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉 kaka kelvin i love you ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ nakupenda sana 😂😂😂oh my goodness hapo kwa shwali nimependa sana 😂😂😂😂😂😂😂 kelvin hauna haraka na bodaboda wa mkewako nakupendea hapo hauna mbambamba mungu akubariki 🤝🤝 kelvin ♥️❤️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ siku hizi kazi zamwarabu hazinyiki kwa movie zenu nzuri nzuri from 🇰🇪 Asante 💐💐💐💐💐
Mubarikiwe kwa filamu hizi nzuri. Napenda vitu viwili: 1. Kuficha tendo la ndoa. 2. Kutoa mashauri baada ya Filamu. Mubarikiwe nyote Mr Kevin na gundi lote.
Kelvin hongera kwako kwa mafunzo, love yourself enough to let go anything or anyone who ruins your happiness, never let anyone make u feel unworthy,much love from Kenya 💖💖💖
Daaah nimeipenda sana na nimejifunza, ingekua Mimi ile laana ya mama ingenipata maana Mimi Sina unyenyekevu huo hongera sana. High capacity of think movie kali kinoma imejaa hisia kali. Vp kuhusu Vick.
Cjawah kuelewaa bongo movie lakn ww kaka movie zako nazipenda zina mafunzo sana an nakupenda sana sana sana sanaaaaa aniiii❤❤❤ una kitu utafika mbalii❤
Wakwanza naombeni likes ata kumi good job mr kelvin ❤
🎉🎉🎉🎉😂😂😂
Kaka kelvin kazi yaki ni njema upewe maua yako lakin sehemu ya tano isichelewe plzzz nawapenda sanaa
(◍•ᴗ•◍)❤
Ok
Kaka yangu Kelvin tusumikumiye five partie
Unafunza wengi maana wapo wanawake wenye tabia izo so wenyeakili wataacha tabia mbaya kamaiyo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤ thanks kaka kelvin
Anayeona uyu kaka anafanana na kp like jaman
Kabisa mim kipindi sijawatofautisha nilijua ni mtu mmoja kumbe kevn na kp ila kaz zao nazikubali sana
Dhaaaaa,nashindwa la kusema.acha tu Mungu Akupe myaka mingi sana we kijana mzuri kicwa chako kina mengi mazuri
😂h
Nmefika kutoka Kenya! Nipeeni likes zangu
Kama unamupenda mr klevin mupe mua 🎉🎉❤yake ametisha kinomanona😅
Andika vizuli
❤🎉
Kelvin I love you so much
Umalaya ndo mingi dada
❤❤
Napenda sana filamu zako.. Zina mafunzo mengi sana... Sehemu ya Tano . Tafadhali ... Someone like my comment I need to come back again... For this.. much love from Kenya.. 🥰🔥💕🙏🙏
Xawa ndomaixha haya
Nimeipenda sana kaka
Movie nzur sana Kelvin ❤️, nakupa pongezi
MashaAllah Kelvin uko vizuri kaka wangapi tulikuwa tunaisubiri mwanamke mnafki sana wapo wengi kama hawa
Mungu huyu jamn
Wanawake hatuna huruma
Kabisa na ndio wengi 🥺
Na ukweli Kwa hayo mafunzo ya mwisho Yana mawaidha kiukweli ya kwamba mwanamke au mwanamke akiamua kuondoka muache akaende
Kelvin sipendi kukosa kuangalia movie zako maana zikona mafunzo sana Kwa wakati huu ninayo yapitia ni sawa na haya kabisa ❤❤❤❤ asati sana ❣️#kenya
Reality they are so good and interesting teaching alot
@@alicemutinda9754 that's true
Big up sana brother
Goood brother ❤💖❤🔥
😮
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉 kaka kelvin i love you ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ nakupenda sana 😂😂😂oh my goodness hapo kwa shwali nimependa sana 😂😂😂😂😂😂😂 kelvin hauna haraka na bodaboda wa mkewako nakupendea hapo hauna mbambamba mungu akubariki 🤝🤝 kelvin ♥️❤️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ siku hizi kazi zamwarabu hazinyiki kwa movie zenu nzuri nzuri from 🇰🇪 Asante 💐💐💐💐💐
L
Lll
DONTA 🔥🔥💪 Nyie washkaj mnajua sana, na tunawaomba msilewe sifa mzidi kutupatia vitu kama hivi
Haki mama akiingilia doa ya mwanawe hivi si ataweza jinyonga,, wazazi acheni kuingilia ndoa za wanao watakaliwa Sana na wake zao😭😭😭
Mm kaniuzi uyu Mama 🙂
@@rahimaaaaa5682 haki huyu mama MTU anajiskia kumchapa mafibo,, haki anaishi kabisaaaa,,mama fake, watching from Kenya,,,
Huyu mamah kanikeraa Sana nahc Kama vle ni kweli
Jamani Huwa so poa ata kidogo
Zuri braza.....wanaume funzo kwenu
Umejua kunifulahisha mungu awabariki sana katika kazi zenu
Good job 👌👌 bro.keep it up.💞💞💞 Kama unamkubali bro gonga like Apo💕💝💝💝💘💗💖💞💓🥀🥀
Mubarikiwe kwa filamu hizi nzuri. Napenda vitu viwili:
1. Kuficha tendo la ndoa.
2. Kutoa mashauri baada ya Filamu.
Mubarikiwe nyote Mr Kevin na gundi lote.
Tafathali sehemu ya 5 naomba isichelewe Khan. Mapongezi yangu yapo moyo si lazima nianike hapa😢. Naingoja part 5. La ziada sina!
Kabisaaaa,, part 5 faster, faster,,
nakupenda sana khelven napenda sana move
Asichereweshe jaman
Muwanamke malaya kweli
Muana mke Malaya kweri kervin aca mbizi mushenzi
Ahsante kaka kev unatufngua sana akili zetu mungu akibariki ishi miaka 💯
Kelvin hongera kwako kwa mafunzo, love yourself enough to let go anything or anyone who ruins your happiness, never let anyone make u feel unworthy,much love from Kenya 💖💖💖
Wow nice advice,, usi force mapenzi kwa mtu mwenye hakupendi mwishowe utajut,, watching you from 254🇰🇪 nice work guys
Nmekuwa wa kwanza naomba like zangu❤
💓💓💓🔥🔥mbn fupi kelvin Nimekuwa wakwanza Leo naomba like zngu
😂😂😂😂😂😂what was the work of the knife 😢😢😢 so enjoyable keep it khan we love u so much daah!!!!😂😂😂
Peeling 😂😂😂
Ndo mnaanza ama mumumaliza😂😂😂...love you so much kelvin
Very true Kelvin,, muache aede, baadaye ataweza Tu kukutoa uhai abaki na wengine,, kweli mapenzi huwezi yalazimisha😓😓
Unromantic kaka uko poa na muvi zako zina mafunzo tena sana endelea tu kutupa vitu va msingi ausio
You are not just handsome but very intelligent, much love from Kenya💖💖
Hahaha
Kweli kabisa
Achan na mkeo Malay broo
Kabisa watching from Mombasa kenya
Huyu bibi Malaya tu...pia huku inje wanafanya hivyo vivyo tu
Wau this is how we lose our lovely houseband.
From Kenya congratulations bro kevo🎉
Waiting another episode next
Daaah nimeipenda sana na nimejifunza, ingekua Mimi ile laana ya mama ingenipata maana Mimi Sina unyenyekevu huo hongera sana. High capacity of think movie kali kinoma imejaa hisia kali. Vp kuhusu Vick.
Jaman Vicky
😂😂😂na ingekupata kweli wewe
Was waiting for this part much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Part5 waiting.......so impressive 💝💝💝
😅
Sehem ya tano Khan unaekimisha Jamii asante mungu
NawapendA keip nazebuuu❤
My brother Kaz nzur sana nimekupenda bure broh good blessed❤❤❤❤
Kaka hapa umefunika sana daaaaah hongera sana kelvin kwa kazi nzuri ulipo nipo mungu awatie nguvu zaidi muweze kufika mbali na kazi yako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
kasi nzuri bro napenda sana movie sako bro😂😂
Yaan daaaah had unaenjoy na move za kelvin
❤❤❤❤
Mungu akubaliki sanaaa Kelvin kwa kazii nzurii tunasubulii sehemuu ya tanoo mambooo ni 🔥🔥🔥
Nic isan
Kwel mungu amubariki sana kev tunapata somo la kweriii
Naipenda sana filam zako kuwa najifunza mengi natamani nikutane na wewe live tatizo naishi mbali zaidi🇿🇲🇿🇲 am from Zambia
Leo njo kufuatilia kazi yenu🕑 daah! Inapendeza sana ❣️ nimeipenda kinoma yaani , part 5 twaomba isikawe sana
Wowh daah !!kelvin likes using the word
Kiukwerii kervin anaweza
Movie taamuuu ila ni fupi natamani niendelee guhangalia Asante sana kka yangu khelvin kwa kaz nzuri inamafunzo kwa kwel ❤❤❤
♥️ parabéns meu kerido Kelvin força pra sempre deus te abençoe sempre 💪🥰❤️ .por favor estou esperando parti 05 não demore muito ❤💋🙏😘♥️🥰💪💪🥰
Ahsante Kelvin ukovizri na Mungu akuba rikina hicho kipaji chako❤❤
Cjawah kuelewaa bongo movie lakn ww kaka movie zako nazipenda zina mafunzo sana an nakupenda sana sana sana sanaaaaa aniiii❤❤❤ una kitu utafika mbalii❤
Hongera sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 much love 💞 from Saudi Arabia nasubiri sehemu ya Tano
Hongera xna muvi zako nzur kweli
Kabisaa kumbe team strong tuko hapa 😂😂 hongera Kevin 🎉🎉🎉
Team strong oyaaa 😂
Nimeipenda sana dastardly ALLAH amekupea kipaji tupee elimu kadri ya uwezo wako ....... I LOVE U ❤️
Mafunzo mazur San Kelvin mungu akupe nguvu ktk Kaz yako
You are doing a great work Kelvin.... Congratulations🎉🎊🎉🎊🎉🎊🎉🎉🎉
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻 kelvin and all actors
Wawoo kazi nzuli kweli umecheza vizuli kelvin❤❤❤ funzo nzuli
Much ❤❤,Mr Kelvin unanfundisha mengi Sanaa brooo
Movie full of wisdom and educative to society...big up kelvin 🎉❤ from N.Sudan 🇸🇩 🫶
Waaa mafunzo mazuri sana nawapenda ❤❤❤sana kwa kutupea mafundisho mazuri
Kelvin eagerly waiting for part 5 pple should learn a lesson
Kazi jema Kevin l solute you keep watching you from Riyadh city ❤
Good work mr kelvin we need part 5 up to part 10 please congratulations 🇿🇲🇿🇲🇿🇲💯🌹🇹🇿
Movie tamu sana nakupenda kelvin ❤
Great lesson,part 5 plz ❤❤
Kaka nimekupenda bule ❤ hongera Sana kwa kazi nzuri nimejifuza kitu
Natoka 🇰🇪 shukran sana kaka unatoa elimu bure kabisa
part5 hisichelewe kazi nzuri mwenhe hakili hapa hanapata hilimu tena sana ❤❤🇲🇿
Maneno mazuri kweli .Kelvin Mungu akubariki uendelee na kazi nzuri.
Pole Kevin mmmmmmm'jamañi
Nikutakie ndoa kwawakati mwingine Kevin ññ mama ww sio kwa mwanao jamani mmmmmm'kevi ww Ni jasiri kweli ila pole Sana kijaña wg"
Nakumbaliana nawe doc Kelvin khan hayo maneno yako na mafunzo zaidi shukran
🎉🎉🎉wee ni wazimu juu wa zimu aki naipenda hii movie
CONGRATULATIONS MY BROTHER KELVIN ♥♥♥🌺❤❤💖🍑🌸 KWA KAZI NZURI SANA💖💖💖💖💖
Aaah huyu naye ni kanumba ajae❤❤❤khaaa much respect bro
Napendaga majina ya kelvin😂😂❤🙌🙌
Good job my favourite kelvin ❤❤❤
Great lesson part 5 nimeisubir kw hamu n gham❤❤
Daaa asanteee Kevin kwakaz nzuriii najifunza saanaa Toka kwakoo♥️♥️🔥🔥
Watching from Saudi Arabia so lovely 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂
Waaauh your films are so interesting it have a lot of encouragement I always enjoy be blessed whenever you are thank you
Ongera sana Kelvin kwa kazi nzur mungu azidi kkpa kipaji inshallah
Barikiwa sana kaka Kelvin kwani video zako Zina mafunzo mazuri sana, part 5 tafadhali naingoja Kwa hamu sana
Wooow what amazing advice ,I have learned something new today
Wow congratulations Kevin 👏
Iko wapi part 5. Aki woii
Muendelezo jmn 😊😊😊😊Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kelvin kaz nzur xna
That's true brother kelvin thanks so much. Am watching from Ugandan ❤️😀
Daaah! kazi nzur broo kev nakuelewaaaaa🎉🎉🎉🎉
tuwe maki mama wasichagurie watoto wao wake hii kaka habari ngumu Asante kwaujumbe huu barraaa
Waah hongera Sana kelvn kz nzuri Sana ❤❤❤
Wow!amazing,pia funzo lako ni la kweli kaka limeniguza asante🙏🙏❤
Ashante sana kelvin kwa mafundisho mzuri
Congratulations Kevin ❤, next plz 👏
Salute kazi safi sana Huwa najifunza mengi kutokana na maongezi yako good advice may God bless you abundantly
Yenyewe umenena good point kaka Kelvin 😋🙏mtu akiamua kwenda nibora umwache tu aende zake ..kwa sababu hujamufukuza
Hongera kwa kazi nzuri kelvin na nazipenda sana movie zako
MashaaAllah kervin wise words bila shaka ni tuko darasani Allah awazidishie na elimu tufaidike sote inshaaAllah ❤
asante sana Kelvin kwa mafunzo yako twaingojea sana part 5
Hili fundisho lamwisho limepenya mpaka kwa ubongo❤❤❤❤❤dk kv
Congratulations Kevin 🎉🎉❤
Daaaa kaka umenifundisha kiti jamni daaa ila hii movie nzuri iwe inawaishwa jamni 👍🙏
Kumbe lkuw Napitwa,, Kelvin Unajua bhnaaa🔥🔥🔥
Safii sana...Maamuzi ya Kibusara Sana...Ameingiliana kwenye 18 Mzinzi Asiyejielewa ...Haya Mama njoo umsupport tena kwa Uovu wake...Shenzi type
was waiting for this but God has done it , part 5 icome haraka pliiiz much love❤❤❤
Finally is out....nilikuwa naingoja sana
Walete next
Nikajua anachinjaa mtu nusu nilie story tam brother adiii rahaa,🎉❤
Mwanaume kama Kevin wamebaki kwenye film tuu😂😂😂😂 na wanawake kama Tina hawatabadikila hata ufanyeje😅😅😅
Nimafunzo kweli Kevin asante sana ❤❤❤
Nimewah Leo jaman ❤❤❤kazi nzuri
Ongera sana kaka kwa move zako ila inayo nikosha ni ya kijana masikini muuza maji
Keep it up Kelvin gd job
Nicee kelvin napenda kufatilia movie zako sanaa maana unamafunzo mazuriiii
Sehemu ya Tano💃💃💃💃💃💃💃💃💃❤️❤️❤️❤️❤️❤️mafunzo mazuriii napenda