mm na binafsi nakubaliana na hilo kwanza mwonekano wake pili yupo siriasi alafu kofia anavyo vaa alafu tazama kifua chake ila sioni sababu ya kumfatilia ila ni komando
Jamaa alisema yye n mwana chuo wa NIT kwaiyo ana balance vipi muda wake wa masomo na biashara yake ya madafu kwa sababu vipindi vya chuo aviko constant vinabadilika badilika kutokana na siku za juma unaweza kukuta j3 kipindi saa 4 adi saa 7,j4 saa moja adi saa 4 siku nyingine saa 7 adi saa 10 na ukiangalia iyo biashara muda wwte anaweza akahitajika seheme apeleke hizo bidhaa inakaaje apo masomo yake na iyo biashara
Nacho kihisi jamaa atapotea kama 2 milwili au 3 harafu arudi nakusema kwamba Jeshi lilimchukua na kumpeleka kwenye mafunzo ili kumaliza maneno yote kama ukweli ni yeye.
Kwanza nyie watu ivi mtumishi waserekali awe komando au usalama utafika kumuhoji kisenge senge ivo ? Hawezi kukubali wala kukubalika huko kazini kwake .acheni kushughulisha watu
Hizi sisi wa Tanzania sijui tukoje Sasa hata kama ni ndio commando mwenyewe si mnamchoresha Sasa kwani akiwa commando si yupo kwa ajili ya kuilinda nchi yake acheni ushamba kwani huyo ndio commando wa kwanza dunian
RAIA Hawezi Kuuza Chochote IKULU
Ukimuona Mfanya BIASHARA IKULU Ujue yumo kwenye System.
Kwani akiwa ni yeye shida ikon wapi
Hadi mpenzi nae ni Siri ddkiiii
Moja mbili moja mbili mhuuu ya kijeshi shoto kul...
Huyo kijana wazee wamuoneana amauzalendo toka moyoni anatufaa lwa sisi wazalendo
Achaneni nae inasaidia nn hata ukijua kama ni commando au la.
Sijui unaona
mm na binafsi nakubaliana na hilo kwanza mwonekano wake pili yupo siriasi alafu kofia anavyo vaa alafu tazama kifua chake ila sioni sababu ya kumfatilia ila ni komando
Jamaa alisema yye n mwana chuo wa NIT kwaiyo ana balance vipi muda wake wa masomo na biashara yake ya madafu kwa sababu vipindi vya chuo aviko constant vinabadilika badilika kutokana na siku za juma unaweza kukuta j3 kipindi saa 4 adi saa 7,j4 saa moja adi saa 4 siku nyingine saa 7 adi saa 10 na ukiangalia iyo biashara muda wwte anaweza akahitajika seheme apeleke hizo bidhaa inakaaje apo masomo yake na iyo biashara
SIMBA MWENYE NJAA KALI BILA WINDO AWEZI KULALA, HII MISEMO NA MADAFU KWELI😁😁😁😆😆😆
machoyake yanaobgea do yeye uyoni komando madafu ikulu weeeeee
Nachokishangaa jamaa kavaa kabisa kofia zile zile za makomando ila watu awasutuki wanajali muonekano tu
Ya wezekana ni ndugu wasio Juana
mhuuu
Nacho kihisi jamaa atapotea kama 2 milwili au 3 harafu arudi nakusema kwamba Jeshi lilimchukua na kumpeleka kwenye mafunzo ili kumaliza maneno yote kama ukweli ni yeye.
Comando wewe acha kutudanganya bwana wewe mwwnyeichi bwana
Kwann haachi kichwani wazi?
KUCHEZEWA AKILI TU.., MUUZA MADAFU GANI ANAONGEA KWA UTULIVU, ANASIKILIZA KWA UMAKINI, MACHO YAKE YAKO SAMBAMBA NA AKILI,
Muacheni bhana
Kwani anazulu watu mbona mnamsakama sana
😂😂😂 Tz watu wanachimbua aisee haya bana
Ndo yeye
Ukishavaa suti sehemu spesho uwez kula dafu ovyo ovyo ,wale wale na mi yeye
Kwanza nyie watu ivi mtumishi waserekali awe komando au usalama utafika kumuhoji kisenge senge ivo ? Hawezi kukubali wala kukubalika huko kazini kwake .acheni kushughulisha watu
Bwana wanafanana kweli kweli
mbona sauti zinatafautiana
Ila ukiangalia vzuri ni wa2 tofaut
kwani hakuna watu wanaomfahamu kufanya nao bishara za madafu???au wamefungwa kimya?
Hata mmi siamini
Sio yeye!! Ila huyu jamaa ana akili kubwa sana
Niwewe acha kutuzuga
Hata kama ni usalama, hawezi kusema
Sijui unaona 😂
Ukija bila ya gadi nakugawa bila idadi kwa wastani
Ndo huyo huyo muuza madafu
Hakuna muuza madafu hapo.... Hiyo sura ni ya muuza madafu?😅😅
Sura ya kazi na hacheki😅😅
Sie huyo alie shuka na ndege yeye ni yule alie m beba mwanajeshi mwenzi pale kenye maonyesho
Wakulipe sio kila siku kwa ma camera kisha wasikilipe 😂😂
Wangapi wamesikia sijui unaona😂
😂😂😂
Yani kwa hiyo misemo ni wazi tu ni comando
Hakuna kitu hapa,usalama awafanyi kazi na camera wala picha huyu kutwa yupo kwene camera
Hizi sisi wa Tanzania sijui tukoje Sasa hata kama ni ndio commando mwenyewe si mnamchoresha Sasa kwani akiwa commando si yupo kwa ajili ya kuilinda nchi yake acheni ushamba kwani huyo ndio commando wa kwanza dunian
Yaan mm sielew huyu atakuwa komando wa mitandao, komando kila mara kuhojiwa ili iweje sasa
mtafuteni komando mwenyewe ili mutoe utata.
Huwezi pata ushirikino huo wakumpata mwenyewe ...ni Ngumu..
hapo wanatafuta kupotezea kwakuwa alishashtukiwa...kwahiyo litabaki hivyo kuwa tata
Tutaacha lini entertaining upuuzi?? Mnafahamu ethics za komando nyie?? Mpumzisheni huyu jamaa aendelee na shughuli zake.
Mnachukulia poa sana ukomandoo 😞
Nyie wandishi wajinga
Huyo ndie komando anachanganya watu
Huyo ndie komando anachanganya watu