KOMANDO MADAFU AWEKA WAZI KILA KITU BAADA YA KUTOKA IKULU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 123

  • @jmm1840
    @jmm1840 Před měsícem +14

    This guy is very clever. He has a big secret that professionally knowing him will give you extra intelligence

  • @dr_englyandojunior6610
    @dr_englyandojunior6610 Před měsícem +14

    Wanahabari mnazingua ,iv kuna shida ukitumia kiswahili fasih bila kuchanganya lugha .. muangalie mnaongea na na nani ndio ufikilie aina ya lugha unayopswa kutumia

    • @dreamersonlinetv6496
      @dreamersonlinetv6496 Před měsícem

      czcams.com/video/Nv3FZwjlCew/video.htmlsi=h64eaA-lV7nFRXJD ingia hapa

  • @geofreygeorge9502
    @geofreygeorge9502 Před měsícem +2

    Uyu kweli kipensi komando

  • @Nablee_Offial
    @Nablee_Offial Před měsícem +2

    Kwann win anakuw mwanamke wa kwanza kwa wanaume wengi

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před měsícem +2

    Mtangazaji kichefu chefu weye mwenyewe umeanza kutiwa unaumri wa miaka sita na humjui aliyekutia hadi leo ushamsahau maana ulukuwa mdofo unatiwa ile mbaya. Wacha kuuliza mambo ya kishenzi shemzi. Huna mvuti dada Kakojoe ukalale.

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před měsícem +3

    Siyo Lazima umri bwana mnazingua sana

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 Před měsícem +5

    Huyu Malaya ikifanya kipindi na Mimi makofi yatamhusu! ana maswali ya kupuuz sana

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 Před měsícem +4

    Huyu jamaa Tusubirie Siku akiitwa na Skywalker SNS kuijiwa tutajua kilakitu huku Media Zingine wanao stress za Mapenzi huko .. Huyu Diva Anao Mastress Ya Mapenzi na kupunguziwa Mshahara Na Diamond...😡

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před měsícem +1

      Kabisa nakubaliana na wewe miongoni mwa watangazaji wangu bora ni
      1. Skywalker
      2. Millard Ayo
      Hawa jama wanahoji bila ku fake fake lugha Yani wanahoji kiuhalisia kabisa.

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Před měsícem +2

    Maswali ya kikoro@diva soon huna kazi wasafi uende crown sasa

  • @Wise1983
    @Wise1983 Před měsícem +1

    Mbona watu huwa wana taabu kusema miaka yao.Kwani ndo iweje.Hata kwa wanawake si kuzaliwa kukua kawaida tu?Kwani si hata masaa huenda kila dakika.kuzaliwa mapema au baadae ni jinsi mtu alivywo pangiwa Kuja Duniani.Old is Grace

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 Před měsícem +2

    Mwamba mpole sanaa

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem +2

    NIYEYE

  • @user-tw9wu2gz4g
    @user-tw9wu2gz4g Před měsícem +1

    Kabisa kasomea uandishi huyu khaaaaa.

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Před měsícem +6

    Yaani huyu dada hafai kuwa mtangazaji kabisa

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před měsícem +1

    Komando wa kigambon i❤

  • @russiababawakutokomezaushoga
    @russiababawakutokomezaushoga Před měsícem +3

    😂😂😂😂😂 jidanganyeni mtachea huyo ni komandoo

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166 Před měsícem +3

    Jamaa kashaenda mjin

  • @KiboshoNjenge
    @KiboshoNjenge Před měsícem +3

    This time tuwe makini

  • @user-yj4iw6pg8u
    @user-yj4iw6pg8u Před měsícem +2

    We mwandishi fara sana yaani unawaza ngono tu unashindwa kuwaza maswali ya muhimu na hiyo ni tatizo ya wanawake wasiyofikishwa.............

    • @nyumbanituthegendaheka7222
      @nyumbanituthegendaheka7222 Před 19 dny

      Utakuta ajasomea hata uandishi...amepata kazi kwa mwili wake...maswali ya kofia umenunua sh ngap ujinga tu

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 Před měsícem +2

    Swali zuri lilikua la miaka ambalo nalo halijafanikisha na hatujapata majibu😱

  • @enocklameck3808
    @enocklameck3808 Před měsícem +3

    Katikati ya hiyo miaka

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ Před měsícem +1

    😂😂😂 Eti Komando Madafu,,,,

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před měsícem +3

    Huwezi kuweka wazi umri wako anafahamu huyo weye mzungu lakini mshamba. Umri ni haki ya mtu si la,I'm kutaja wacha ushamba. Unajifanya lakini mambo muhimu hujui. Umri ni hilarious ya mtu tuutangaza huwezi kulazimisha uzungu wako wote kwa hilo umechemsha. Kula hiyo kama change tema.

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Před měsícem +3

    Kwa hiyo hakuna cha maana záidi ya kiki

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Před 21 dnem

    Mtangazaji ni wakiwango cha chini sana yan maswali na lugha za kuchanganya changanya mara kiingereza mara ki Swahili

  • @sam_ngulinzira
    @sam_ngulinzira Před 26 dny

    Homeboy yuko vizuri ila mtangazaji hajafanya poa! Pia kuzungumza maswala ya chama wakati wasikilizaji na washabiki wanatoka vyama tofauti inaweza kuleta picha mbaya kuwa Wasafi ni ya CCM.

  • @edwinmakingi3631
    @edwinmakingi3631 Před měsícem +5

    Nafikiri huyu mwandishi Ni mbobezi wa stori za mapenzi, si mwanzish wa habari professional!!?

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 Před měsícem +1

    Sauti ya Diva mpk Komando kalegea😅😅😅

  • @EmmanuelJoseph-eg3hs
    @EmmanuelJoseph-eg3hs Před měsícem

    Daaa!!!! uyu kweli komando: nimechoka alipo ulizwa, uliwai kwenda kwa mganga akajibu apana msikitini au kanisani akajibu mm ni muumini wa angrikana.

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Před měsícem

    Kimsingi uyo diva ana matatizo ya kimawasiliano

  • @prezyb1699
    @prezyb1699 Před měsícem +1

    Hiv huyo mtangazaji kasoma kweli?

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 Před měsícem +3

    nadhani kuna tatizo la msingi kuhusu watangazaji,hawana uwezo wa kuhoji, hawana mtiririko mzuri wa kuhoji, hawajui hata ni nini anachohitaji kuhoji.

  • @Commonwealth782
    @Commonwealth782 Před měsícem +3

    Bora angefanya mahojiano na kipindi cha goodmorning, zembwera, hando, na kitenge, hapo ndo ingenoga

  • @rashidhamid5437
    @rashidhamid5437 Před 26 dny

    Muhojaji hana sifa ya kuhoji na ina magna gani kutia kizungu kati ya mshojiano.wakati anohojiwa hajajibu kingereza ni bora ahamishiwe kuhoji watu kwa kingereza asitese wauza madafu😊

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Před měsícem

    😢

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 Před 27 dny

    Mtangazaji feilure

  • @harizondeya7771
    @harizondeya7771 Před měsícem +4

    Mahojiano kichefu chefu

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před 24 dny

    😁😁😁😁😁😁

  • @alisaadmohammed
    @alisaadmohammed Před 29 dny +1

    Mbona anaongea kama pacha wa mondi

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před 29 dny

    Hiyu jamaa anajua kuongea Sannah, alafu anaakili nyingi Sannah kiasi anaweza kujua kusudio la swali, hivyo anajua kukwepa maswali

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 Před 29 dny

    ovyo kweli huyu mdada

  • @adiliandidas
    @adiliandidas Před 29 dny

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @HamadiBwakame
    @HamadiBwakame Před 24 dny

    Mtangazaji tunajua unaweza kizungu lakini hiya mahojia no niyaya kiswahili kwanini mnatuchanganya yunoo niyingi ebullient kama mnahitaji kuongea lmambo azishen studio ya

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 Před měsícem +2

    Commando madafu😅

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 Před 23 dny

    Mwandishi zingatia (ethics) maadiliya Habari tafadhari unapomfanyia interview mtu yeyote uwe makini.

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 Před měsícem +3

    Muuza madafu ana manager😅😅😅

  • @ManenoHussen
    @ManenoHussen Před měsícem +1

    Mtangazaj una maswali

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 25 dny

    Umeulizwa mwakaaa, unajutetea. We ni kijeba tuu. Shida ndo zinakufanya uonekane mdogo.

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před měsícem

    Tanzania vitu vya hovyo ndo vinatrend saan, yaan mpk huyo mpuuzi tayari et keshapata Menejs🤔🤔😀😀😀😀

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Před 29 dny +1

    Taja umr wako kijana,,,harafu huyu jamaa ni mbabaishaji tu ,,,

    • @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb
      @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb Před 22 dny

      kwani wewe ni nani?? mimi sikujui
      WEWE NI NANI??
      mbona kwani mbabaishaji anakuaje na sio mbabaishaji anakuwaje ,imani yako inavyokutuma itakua uko sawa

  • @khamisimaallimtv8539
    @khamisimaallimtv8539 Před 29 dny

    Inabidi iandaliwe interview ambayo inawakusanya wote.

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k Před měsícem +1

    Mwamba wasikuhojitena usikubali wamezidi pigakazi uzamadafu

  • @bazeditv624k
    @bazeditv624k Před měsícem +1

    Class member we2

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 Před měsícem

    Una ulazima gani kung'ang'ania mtu akuambie umri wake kama hataki,waandishi wa habari jamani mmmh!!

  • @maxwell8007
    @maxwell8007 Před měsícem +1

    mwandushi unazingua umri wa mtu ni Siri ya mtu sio lazima akwambie kila kitu hata Leo wakuulize wewe utojibu

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Před 29 dny

    Watangazaji bhana!! Kama vile hawajasoma! Huyu anasema yule aliyeshuka kwenye helcopter ni soldier ,,huyu anasema hapana sio soldier ni commando😅😅 ,,sasa najiuliza commando sio soldier?

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Před měsícem

    Huyu dada anazingua

  • @gadiyemarciano1750
    @gadiyemarciano1750 Před měsícem

    Maswali ya hovyo kichizi😅

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 Před měsícem

    Huyu jamaa mmhhhh

  • @emmanuel_cs
    @emmanuel_cs Před 29 dny

    Huyu mchizi anaishi kwenye falsafa zake..
    Eti katikati ya miaka 20 au 21, dadeq

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Před 21 dnem

    Dada wewe unachanganya sana lugha hili nikosa la kiutangazaji elewa uko kwenye idhaa ya lugha gani

  • @laddymghana
    @laddymghana Před měsícem

    😂😂😂😂 Huyo ni komando kwan nyinyi hammwon huyo hataki maswali mengi 😂😂😂ngoja diva ayatimbe hapo na maswali yake😂😂😂

  • @MussaNamkoka-xz4mv
    @MussaNamkoka-xz4mv Před měsícem

    Dhu mbona komando madafu

  • @captainmwata9857
    @captainmwata9857 Před měsícem +1

    😂

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před měsícem

    Nchii hiii kwa kutuchezesha muvi mnajua cc mininga huyuuu jamaaa anatumikaaa huyu ndo yule komandooo wanatuzani cc maboya vyombo vya habariii ni shidaaa ndo mana konki master anawadis na anawajua mambo yenu endeelezeni muviiii zenu tushawajuaaa

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 Před měsícem

    Kumbe wa nyumbani kigoma

  • @jozetza
    @jozetza Před měsícem

    Mtangazaji ongeza ubunifu, watu wanakuchoka

  • @Commonwealth782
    @Commonwealth782 Před měsícem +1

    Huyo mtangazaji ni mbongo au ni wa ulaya, viingereza vingi....hata hawezi kuendesha interview...zero kabisa

  • @user-qq3fg3kq5j
    @user-qq3fg3kq5j Před měsícem +1

    Ametokea kwa makamu wa rais 😂😂😂

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s Před měsícem +1

    21 duuu

  • @MasanjangwesaJiganga
    @MasanjangwesaJiganga Před měsícem +1

    Ila huyo jamaa aty 20years Old

    • @user-vi8rt9db2q
      @user-vi8rt9db2q Před 29 dny

      Hapa tumepigwa na kitu kizito huy ni kama 33........

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před měsícem

    Hii nchi vijana tunasafari ndefu sana kujikomboa, tuna tatua matatizo kwa njia ambayo sio sahihi na ya muda mfupi kitu ambacho ni gharama kwa taifa ,Kipindi kama hichi kina Adolf Hitler walikua wanafanya mapinduzi na kina nyerere walikua wanajijenga kisiasa, vyombo vya habari ndio vinapalilia na kumwagilia maji ya ujinga kwene taifa wakishikiriana na wana music wao na utawala mbovu.

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m Před měsícem

    Muza madafua anaye meneja jaman ndoyeye komando madafu aliyeshuka na chopa

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 Před měsícem +2

    maswali ya kipumbavu

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh Před měsícem +1

    Muandishi mjinga,uyo niraia mnamtafutia kiki.... askari hajileti hadharani kwenye skendo kamahizo......wewe dada nyodo....miaka 40 hapo... unaonekana atandoa huijui....nasiku ukichukuwa mume wamtu nawewe jiweke hadharani utolewe busha...Sifa zakijinga....

  • @EliaMarco
    @EliaMarco Před měsícem +2

    Kwa waandishi kama awa tusaau maendeleo

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 Před měsícem

    Ni vyma ufanye interview na Madebe na chanuo

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před měsícem +3

    kingeleza cha nini ssa wew mtangazaji. si uongee tu kiswahili mbuzi wewe

    • @zaidihussein4311
      @zaidihussein4311 Před měsícem +2

      Matusi ya Nini kuwa mstarabu

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 Před měsícem

      hata hivyo hii kitu ina umuhimu gani hii nchi watu wameona mambo nyeti ya nchi kama kunywa kahawa,na hii inasababishwa na viongozi wetu wakuu,hawa vijana wengi kwenye hizi media uelewa wao mdogo,so mmewapa nguvu wakaitwa watu maarufu,unaona kila issue ya nchi wanajifanya kuijuvua hizi ni dalili mbaya kwetu,kwa nafasi yoyote aliyo nayo huyo kijana sisi kwetu ktk kazi zetu za kila siku inatuhathiri nini mpaka mumulete kumuhoji.

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk Před měsícem

    Miaka huyu 37

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana Před měsícem

    Kicheko chazadhalu

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Před měsícem +2

    Du sasa hayo maswali ndio uliotiwa hapo mwambie akaulize ofis za mabasi

  • @Nassor2377
    @Nassor2377 Před měsícem

    Mnamlaumu mtangazaji huyu mtangazaji hana kosa huwezi kukurupuka tuu kumuuliza maswala kumjua huyo muuza madafu ni nina lazima umtowe katka reli kwanza ili umtege huyo muandishi anamtega ndio maana anamuuliza miaka yake na tayari kamshika katka miaka alikua na demu miaka 11 nyuma it means alianza hahusiano akiwa na miaka 10 ?... dada hodari ila jamaa nae ni mbobevu kiasi katulia utazani sio muuza madafu

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 Před měsícem

    yaani sijaona swali lolote lenye professional yeyote ya uandishi demu ni wa jamaa flani alipewa mchongo wa kazi au?

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Před 24 dny

    Mwamba

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 Před měsícem

    Kipindi kimebuma . Utamuitaje Komando mchakarikaji kwenye kipindi cha Mapenzi😂

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Před měsícem

      hahahahahaha komandoo anaulizwa umebalee ukiwa na umri gani.. akasema kitaalamu mtu ana balee akiwa na umri wa miaka 12..

  • @xxl5239
    @xxl5239 Před měsícem

    UMEBALEGHE UKIWA NA UMRI GANI????? 😂😂😂😂
    HUYU MWANDISHI HEHEHEHE
    MASUALI YOTE ALIYOULIZA HAYAENDANI KABISA NA HUYU JAMAA ALIVYOELEWEKA KATIKA JAMII

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem

    Mtangazaj huna ujualo unauliza balehe unataka mkia sasa

  • @simonpeter5300
    @simonpeter5300 Před měsícem

    Mnaomkosoa mtangazaji mjitathmini!! Kipindi kinahusu mahusiano , nyie mnataka amuulize maswali yapi

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 Před měsícem +1

    Mhoji na mhojiwa wote hawajui interview

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry Před měsícem

      Anayehoji hajui kuhoji kuna vitu huwezi kumuuliza mtu eti umebaledhe umri gani. Hayo masuala binafsi jee wewe akikuuliza umetiwa kwa mara ya kwanza ukiwa na umri gani utaeema. Si utaona aibu maana umetiwa unaumri wa miaka visa hujabalekh. Nyoko weee. Ma hiyo kijana anaakili kuliko weye.

    • @angelnicholaus9248
      @angelnicholaus9248 Před měsícem

      Anayehojiwa yuko vizuri na anajibu kufuatana na mtangazaji ambaye anaonekana hajui kazi yake.

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914 Před měsícem +1

    Maswali ya kijinga kabisa mwandishi anauliza pia mwamba anauerewa mkubwa anajibu kwa kunyooka pia uyu jamaa ni mwamba

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 Před měsícem +1

    Maswali ya kijinga mwandishi jinga

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 Před 26 dny +1

    Maswali ya kijinga kabisa

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 Před měsícem +1

    Dogo muongo wewe una watoto pia una zaid ya miaka 23

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 Před měsícem

      Ni kwl n mkubwa ila kama uliskia alsema swala la umr hayupo tayar kulizungumzia leo kwahyo hawez kwambia ukwel

    • @didassadik8075
      @didassadik8075 Před měsícem

      Uncle mbona hivyo 😂😂😂😂😂😂 lkn

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 Před měsícem +1

    Huyu Malaya ikifanya kipindi na Mimi makofi yatamhusu! ana maswali ya kupuuz sana

  • @BalbinaKitambi
    @BalbinaKitambi Před měsícem +3

    Jinga Hill liandishi

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před měsícem

    We dada diva unaharibu jamii

  • @jarufuyahaya3338
    @jarufuyahaya3338 Před měsícem +1

    Huyo dogo maelezo yke yaonyesha ni usalama