MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? KATUONESHA ANAPOISHI “UKIJA VIBAYA NAKUKALISHA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2024
  • MAPYA YA MUUZA DAFU WA IKULU, JE NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"
    ALIYEUZA MADAFU IKULU AONDOA UTATA KUTUA NA HELIKOPTA MUUNGANO "UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"

Komentáře • 1,7K

  • @basitjuma6081
    @basitjuma6081 Před 23 dny +536

    Mnaotaka milard awakutanshe wawili hawa Gonga like

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee Před 23 dny +15

      Hatuna hata shida nao. waendelee na maisha yao na sisi tuendelee na yetu

    • @user-yn4di1lj7f
      @user-yn4di1lj7f Před 22 dny

      Mnachekesha nyny ndo nn ah 😅😅😅😅😅😅😅😅 upumbavu tuu hii nchi

    • @modekaijames
      @modekaijames Před 22 dny

      ​@@EdwardSamson-uf1eeewaaaah

    • @davisjuma5887
      @davisjuma5887 Před 22 dny

      haiwezi tokea ata sikumoja kiukweli

    • @user-hp7rx4zk4t
      @user-hp7rx4zk4t Před 22 dny +2

      Niyeye uyo mmoja

  • @Amani-kr9ln
    @Amani-kr9ln Před 23 dny +202

    Tunao tamani huyu jamaa akutane na yule comando tujuane hapa kwa like jamani

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Před 22 dny +88

    "ASKARI HACHAGUI KAMBI " pigia mstari hilo neno halafu twende sambamba na muuza madafu ikulu.

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 Před 22 dny +76

    Security top ukija vibaya lazma uka, Askar hachagui kambi, Raisi ajione yupo salma sanaa (kwa maana ya kwamba kila kona wapo) lugha ya mazungumzo inajielezaa - JAMANII SIO YEYEE ILA NA YY NI MIONGONI MWA WALIOMOO-. 2lio pata mafunzo ya kizalendoa JKT naomba tujiane kweny LIKE APOOH👇.

    • @MahmudSaidy
      @MahmudSaidy Před 21 dnem +2

      Huwez elewa kama haujasoma fasihii 😂😂😂

    • @samboy5033
      @samboy5033 Před 21 dnem +2

      Komando huyu

    • @sweetrayuzuwiya8375
      @sweetrayuzuwiya8375 Před 20 dny +3

      Bado hajasema, kwa nini auze madafu ikulu na kwa nini yupo fiti kiasi hicho na kwa nini afanane na komando kama mapacha na kwa nini yupo flexible kwenye pikipiki kiasi hicho?

    • @user-yb5hh9mr5q
      @user-yb5hh9mr5q Před 20 dny +4

      Tulopita jkt kauli kama hizo zipo kwa maafande ,Chengne muuza madafu gan wa nchi gan anaeweza kuongea kauli za kishujaa kama hvyo

    • @Askari22
      @Askari22 Před 20 dny

      @@sweetrayuzuwiya8375aiseee

  • @manp9091
    @manp9091 Před 23 dny +368

    Mnao taka Millard ayo aende kwa comando mpo gonga like hapa

    • @user-xy6ed7ve6r
      @user-xy6ed7ve6r Před 23 dny +12

      Sio aende tu, waitwe wote tuwaone kama ni watu wawili tofauti

    • @magneticofficialtz
      @magneticofficialtz Před 23 dny +4

      Akienda bila gadi ataambiwa akoroge mike iwe uji halafu anywe😅😅😅

    • @amiibinam7774
      @amiibinam7774 Před 23 dny +3

      😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 23 dny +3

      ​@@user-xy6ed7ve6rMILAD AYO MUWONGO WAWEKWE PAMOJA MDIO TUTAMUAMINI

    • @Ndenza
      @Ndenza Před 23 dny

      ​@@user-xy6ed7ve6rwewe ndo una skil

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 23 dny +70

    mnao taka Millard ayo aende kwa comando tujuane kwa kugonga lake

  • @simonbura7890
    @simonbura7890 Před 23 dny +39

    Huyo ni komando, na yule wa jirani yake pia anaitwa captain paul Elias, kama mlifatilia maonyesho jana ndo alimtaja kama kiongozi wa wale makomando

  • @CyprianBCTanzania
    @CyprianBCTanzania Před 22 dny +12

    Wakati wa Mungu kumketisha Mtu juu na Wakuu ukishafika basi amini imekuwa, Bila shaka kabisa ndio wakati wake huyu ndugu yetu kutimia ndoto yake katika maisha na hakika kupitia vinywa vya Watu pia hata kupitia tukio la kufananishwa na moja ya Komando wa JWTZ hii naiona kabisa katika jicho la KiMungu tiki kubwa na tayari imekuwa na zaidi ajiandae tu kupokea maana tayari fursa imeshamfikia mlangoni mwake.

  • @talents7934
    @talents7934 Před 23 dny +112

    Mmemsikia akisema "Hii ni security Top hazipitiki Njia" kwa wanaojua Hii ni kauli ya kijeshi jeshi

    • @tamisiliwano5291
      @tamisiliwano5291 Před 23 dny +5

      kwel kaka maana wana vibao vyao pia huwa wanaadika kuwa hakuna njia Amri😂

    • @nurumwangoka5924
      @nurumwangoka5924 Před 23 dny +5

      Na hapo wala sio kwake anazuga

    • @anoldmmari-mi7qg
      @anoldmmari-mi7qg Před 22 dny +6

      Ni sawa ila hizo quote anazotumia zipo kwenye wimbo wa Dizasta vina Tribulations diss track

    • @AbcD-bn1nz
      @AbcD-bn1nz Před 22 dny

      ​@@tamisiliwano5291😂😂

    • @peternguma9182
      @peternguma9182 Před 22 dny +2

      Iyo anamaanisha, security ya juu ya kulinda mipaka

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 Před 23 dny +19

    Safari hiyoooooo
    Majaliwa mwingine huyooooooo
    Nchi hii ALLAH akiamua kukutoa kwenye Hali Moja kwenda juu hakuna wa kuzuia

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im Před 23 dny +23

    Nchi yangu naipenda sana, watu wake wanalala muda wanaotaka, kuna watu wanafanyakazi muda wote! Tuendelee kulinda nchi yetu kila mmoja!

    • @vitalismushi1858
      @vitalismushi1858 Před 21 dnem

      Huyu atakuwa anafanya kazi muda wote. Kulala kwake ni kwa machale sana. Commando kutokulala kwa siku kadhaa ni jambo la kawaida kwao.

    • @dicksonmgoga-hj4im
      @dicksonmgoga-hj4im Před 21 dnem

      Watu wa hivi tunao wengi Sana, ndo maana kitu chochote kinapotokea kinachohatarisha nchi ni haraka Sana kukidhibiti! Pia alimhakikishia Mama Samia atembee kifua mbele Kwa jeshi letu liko macho!

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 20 dny

      Allahuma Amin

  • @sylvesterchisenga3707
    @sylvesterchisenga3707 Před 23 dny +16

    "Kama raia mnaacha kuuzima"
    Tumekushtukia
    Angalau ungesema"kama raia tunaacha kuuzima

    • @josephherman201
      @josephherman201 Před 22 dny

      Anajitahidi kuongea kwa kujiweka ndani lakini anajishtukia!

  • @issakimvuli2099
    @issakimvuli2099 Před 23 dny +81

    Inawezekana ikawa co yy,lkn yupo ndani ya system kwa mtazamo wng!

    • @raymrash
      @raymrash Před 23 dny +6

      hata mimi naamini hivyo..kwenda kuuza madafu ikulu sio jambo dogo

    • @itstwinshi2179
      @itstwinshi2179 Před 23 dny +2

      ​@@raymrash nenda kizembe, ukijua ni ordinary muuza madafu 😂

    • @MarthaTraceFrancis
      @MarthaTraceFrancis Před 22 dny +2

      Jamani ni yeye uyo msidanganywe

    • @AbcD-bn1nz
      @AbcD-bn1nz Před 22 dny +1

      ​@@itstwinshi2179😂😂

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 Před 22 dny

      ​@MarthaTraceFrancis kabisa ni yeye bana hivi hata macho yanashindwa kuona kweli?

  • @SamwelAngelile
    @SamwelAngelile Před 23 dny +25

    Hiyo ni code..watafutwe ili wakutane hiyo ni zuga zuga baada ya mda uyo atapoteah na kurud kambin kwake

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 Před 21 dnem +12

    muuza madafu , anauza madafu hadi anapata hela ya kwenda kulipia chuo cha karatee.., tunaolewana vzr gonga like😁

    • @jessemadullu2226
      @jessemadullu2226 Před 19 dny

      Ha ha ha! Jamaa wanatuona watoto Sana! Tanzania ya gizani imeshapita! Hatujui kusoma sawa, Ila picha tunaona. Muuza madafu wa kawaida hana ubavu wa kuongea hivi. Anajua zimamoto, FFU, polisi etc.

    • @IbrahimMohamed-of3sl
      @IbrahimMohamed-of3sl Před 15 dny

      Na ana bodaboda

  • @AYUBPAULMWANGOKA
    @AYUBPAULMWANGOKA Před 22 dny +2

    Kama nakosoa nitasifia pia.
    Hii ndyo Kazi ya Millard Ayo TV sio ule umbea siju aliposti mtandaoni mtapoteza uaminifu na Nita mshauri bosii wanotuletea udaku WA mtandaoni Awafukuze Kazi
    Umefanya Kazi nzuri Sana bro nitamshauri boss aongezo kipato chako usithubutu kutuletea udaku!🎉🎉🎉🎉

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 23 dny +69

    Kuna jamaa mmoja alikuwa secrets office. Akitoka nyumbani anatoka na suti bag ya lap top na gari. Sasa kuna rafiki ya mke wake akamwambia mbona anamwona mtu posta ni kichaa anafanana na mume wake?
    Huyo dada alishtuka mume wangu kuwa kichaa. Yule dada ilibidi waongozane naye kwenda posta. Walipofika waliona jamaa kichaa anafanana na mume wake.
    Basi walichukua baunsa wakamnyakua wakampeleka nyumbani wakamweka store.
    Wakaa kusubiri kama mume atarudi nyumbani mpaka saa tano za usiku alikuwa hajarudi. Baadae yule bwana kichaa alibidi aseme ukweli kwamba alikuwa kazini.

    • @magrethhillary5449
      @magrethhillary5449 Před 23 dny +1

      Duuuh

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 Před 23 dny +4

      Ndio zao Kuna rafiki yangu namjua vzr ndio kazi zake ivyo😂😂😂lkn kanambia ni sisemi watamuhua sababu Ana fichua siri za watu wengi

    • @magrethhillary5449
      @magrethhillary5449 Před 23 dny

      @@fatmamdihiri4164 kheee sas ua anapata faida gani

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi Před 23 dny

      😂😂😂

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee Před 23 dny +8

      kama huyoo secret service alishikwa mpaka na baunsa na kwenye usafiri akapelekwa basi alikuwa mzembe sana

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 23 dny +3

    Dunia wawili kweli... Tunaomba uyu kijana awezeshwe...atafika mbali anakitu....mama yetu .SAMIA. SULUHU HASSAN TUNAKUOMBA. inua kipaji cha uyu kijana wako.....NA MNGU. AKUBARIKI📌🙏

  • @DStvTz.
    @DStvTz. Před 22 dny +62

    Hana ndevu na commando Hana ndevu kama umegundua hili ebu gonga like tujuane

    • @frankdionis7700
      @frankdionis7700 Před 22 dny +1

      Anaweza kuingiza sana sela

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 Před 22 dny +1

      aliyekwambia komando hana ndevu ni nani, KOMANDO anaweza kuwa vyovyote kulingana na mazingira na hali

    • @amonymzawaaa8934
      @amonymzawaaa8934 Před 22 dny +1

      Umenipa akili😂

    • @jabiryyunus9782
      @jabiryyunus9782 Před 22 dny +1

      Makomando wana ndevu kama Osama sasa kama hujuii

    • @Denis_prudence
      @Denis_prudence Před 21 dnem

      @@jabiryyunus9782 unachosema ni kwel kaka ila huyu jaamaa anamaanisha komandoo aliyeshuka kwa helikopta siku ile hakuwa na uchebe na huyu wa hapa hana uchebe..

  • @josephevaristi8923
    @josephevaristi8923 Před 20 dny +20

    Walioshtukia jamaa ni muuza madafu wa mchongo,
    👇

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 Před 23 dny +28

    Leo anaongea tofaut na mwanzo mwanzo alikuwa anaongea kiha saiz anaongea vizur

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis Před 23 dny +42

    Security top hazipiti njia, askar achagui kambi, afu mwamba hacheki😂😂😂 i love Tz🎉

    • @shufaahmmmohamed1833
      @shufaahmmmohamed1833 Před 23 dny +2

      Umeelewa had ongea yake mmmh huwa hawasemi bana mi bado naona anakitu ndan yake

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 23 dny

      Ndio hivyo

    • @mad0060
      @mad0060 Před 19 dny

      Kackilizeni nyimbo za Dizasta vina..... mtaelewa

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 Před 22 dny +7

    Hiyo kofia naijua hongera Ndugu

    • @keagleeagle821
      @keagleeagle821 Před 16 dny

      Hii kofia nili search hadi mtandaoni.
      Nipe siri
      Maana imefanana na ya huyo commando

  • @HanceBablo-ot8sz
    @HanceBablo-ot8sz Před 22 dny +2

    God bless you guy

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Před 23 dny +28

    Mimi watanzania na wa amini Sana kwahiyo wengi wamesema ni yeye Aya na mimi nasema ni yeye😅😅😅

  • @user-id7lc7tk4d
    @user-id7lc7tk4d Před 23 dny +20

    Muuza madafu ajieleze vizuri namna iyo ata hakosei

  • @user-fs8kl1gd7u
    @user-fs8kl1gd7u Před 23 dny +4

    Cha kwanza kabisa suruali aliyovaaa angalia kwa umakini ndo utajua.pili buti alilovaa tatu mazungumzo yake.nne yupo fitness kabisa huyo yupo kwenye sesytem

  • @alicksinkamba3401
    @alicksinkamba3401 Před 22 dny +2

    Zingatia neno mama Samia awe na Aman kabisa Kwa lile jeshi aliloliona pale

  • @joshuajohn2668
    @joshuajohn2668 Před 23 dny +49

    Jamaa anakofia moja ya buku jero ila boot la laki na nusu

  • @collinstemba6040
    @collinstemba6040 Před 23 dny +50

    Huyu yupo kwenye system 😮

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 Před 23 dny +14

    Uyo jamaa ni usalama wa taifa asikudanganye by fossil nikiwa Nairobi Kenya

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 Před 22 dny

    Yeah God bless you

  • @Elisha-qn8rc
    @Elisha-qn8rc Před 23 dny +11

    Namba yako nimeisave nitakutafuta komando wangu❤🎉

  • @RichWise671
    @RichWise671 Před 23 dny +49

    Lakin Hii ni Security Top hazipiti njia 🔥🔥🔥

  • @user-qx6mm2lp2b
    @user-qx6mm2lp2b Před 21 dnem

    😂😂😂 safi sana nimependa mwamba huyu..yes huyu by mm ndiye yule ila taratibu haziruhusu kusema yess cz apo anakaz maalum..na yess be kwanza anahusishwa na yule mwamba alie kua muungano day.pili ana vitu vingi vinavyofanana na sifa ya komando mwenye mazoez maalum pia naye anyone mfano fighting skills..na sura plus mophology yan muonekano wanafanana so conclusion yess ndie..usalama wetu wa yaifa uko vzur safi sanaaaaa..❤❤❤❤❤

  • @vicentmichael5028
    @vicentmichael5028 Před 23 dny +2

    Ukiskiliza interview vzr utaelewa

  • @YAHAYAMTOO
    @YAHAYAMTOO Před 23 dny +5

    Mmmmh bwana watu ao nawajua vizuri umeona ilo buti na staili zake

  • @jastinj.joseph7577
    @jastinj.joseph7577 Před 23 dny +17

    Huyo ni afsa wa serikali

  • @samboarnold611
    @samboarnold611 Před 23 dny +8

    Usafi (ndevu ), nidham ya maneno, confidence ... Una juaje mixed martia art ( combat)

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před 23 dny +12

    Ni yeye

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před 23 dny +8

    Komando Kama komando picha limeanza ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 Před 23 dny +43

    HONGERA SANA MILARD AYO KWA KUFIKISHA SUBSCRIBERS 5ML

    • @user-yn4di1lj7f
      @user-yn4di1lj7f Před 22 dny +1

      Asifikishe Kwa upumbavu 😅😅😅😅😅😅

  • @saidihamisi4949
    @saidihamisi4949 Před 21 dnem +1

    Mungu anatisha! Duniani wawili wawili Bora mwenzetu wapili yake yupo hapo hapo. Wewe Sasa wapili wako marekani.

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Před 22 dny +11

    Kama ni komandoo na anauza madafu nampongeza anafanya kazi nzuri hongera sana bwashe

  • @VummyEdward
    @VummyEdward Před 23 dny +24

    Niyeye ila akiwakazini anajisafisha vizili namafuta mazuli naakiwa kitaa ana kua lafu Ili wasimjue tenauyo nimpelelezi waki kesho nawana mafunzo yakuweka miiliyao tofauti tofauti kulingana na mazingila aminini nawaambia

  • @josephandrea8266
    @josephandrea8266 Před 23 dny +37

    Jukumu la kulinda amani na kudumisha umoja ni la kila mtu . Rais Ajiamini yupo mikono salama

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 23 dny +4

      Umesoma hizo kauli

    • @rukiamkali2091
      @rukiamkali2091 Před 22 dny +3

      Hio ni kauli ya kujua kua huyo ni mtu wa............

    • @barakakomba6087
      @barakakomba6087 Před 20 dny

      Kaka hizo lugha za watu wa hitifaki umetisha kwa kugundua hilo 😅

    • @ajoseph31
      @ajoseph31 Před 18 dny

      Apo me mwenyew ndio nlistuka..

    • @user-zw4tf5os8b
      @user-zw4tf5os8b Před 14 dny

      Kauli ya kiume hiyo, huyo mwamba ndo yeye

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Před 23 dny +2

    Mama samia msappoti huyu kijana anaweza 💗

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 Před 22 dny +4

    Jamaa siyo yeye!! KWASABABU;
    1.Huyu jamaa anavindevu(sharubu) yule komando hana kabisa
    2. Muundo wa Pua huyu anapua ndefu kuliko yule komando

    • @ibrahtv5592
      @ibrahtv5592 Před 21 dnem

      Duuu yaa wee jamaa😂

    • @bullahrwabatika8014
      @bullahrwabatika8014 Před 15 dny +1

      Wauza madafu huwa wana visu vikali saaana vya Likatia madafu rais alienda kununua madafu bila bodyguard yoyote hii inawezekanaje?

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Před 22 dny +4

    Watu wawili tofauti, mapua

  • @christophermgaya4670
    @christophermgaya4670 Před 23 dny +29

    Muuza madafu anafanya mambo yote ya kikomando. Enewei😅😅😅

  • @oshaimuafrica8398
    @oshaimuafrica8398 Před 23 dny +22

    Gonga like Kama unamkubali komando chapu hapa tiwazidi wote humu

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co Před 23 dny +127

    Baas yule komandoo tuombe nayeye awepo kwenye interview na huyu nae awepo😂😂

  • @AZAM_MEDIA
    @AZAM_MEDIA Před 23 dny +9

    Wa kwanza

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 Před 18 dny

    Upo vzr Madafuboy kaz nzur
    Nimshaur kitu Achana Na Interview Piga kaz
    Kua nje ya Camera
    Kitengo watakuekea kitengo maalum so Kua makini
    Siri ibaki Sirini
    Mtaji utaongezewa na majukumu utayatimiza

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h Před 22 dny +2

    Jmn mama Samia sema neno bas kama sio yy mpe nafas jmn

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid Před 23 dny +12

    Huyo alikua asijioneshee yengelikua vizr zaid

    • @user-bh4up3dg5m
      @user-bh4up3dg5m Před 22 dny

      Sio yy wamefanana tu

    • @kiuje
      @kiuje Před 22 dny

      Kwanza mlitakiwa mitumie akili mboni aombi msaada😂

    • @charlessomi2506
      @charlessomi2506 Před 20 dny

      Asijioneshe aache kufanya majukumu yake kisa watu watamuhisi kua yeye n komando, halafu majukumu yake akayafanye nani

  • @HusnaSimbila
    @HusnaSimbila Před 23 dny +12

    securuty top haipiti njia

  • @user-mb2iq8ht3c
    @user-mb2iq8ht3c Před 22 dny +1

    Anamsikiliza sana Dizasta vina

  • @cheedinhoonlinetv7339
    @cheedinhoonlinetv7339 Před 22 dny +1

    Muuza madafu ghafra Kawa star mara kanunua piki piki mara bishoo mara anataman awe jeshi mara anataman awe mwanamichezo mara ooh mara anakosa pesa yakulipa pango ghafra muuza madafu anamiliki boxer saafi kabisaa daah hongera sana kwake 👍👏 kweli maisha ni bahati
    NB; huku mtaani hajanyoa mustach pale uwanjani kanyoa ndavu oya wanangu stukeni😅😅😅 ooh

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před 23 dny +6

    Ogopa sana mungu na teknollj

  • @sengiyumvaathanas8815
    @sengiyumvaathanas8815 Před 23 dny +27

    Security top hazipiti njiaa, ukija vibayaa lazima nikukalisheee sijui mnaelewaaaaaaa😀😀😀😀

  • @CuteMaryam818
    @CuteMaryam818 Před 23 dny +6

    Nikiangalia pua zao kama tofauti kidogo au itakua ni pacha wake 🤔🤔

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 23 dny

      Na mustachi kwa mbali. Uko vizuri.

    • @lightnessmsuya3170
      @lightnessmsuya3170 Před 22 dny

      Au Mama yao alizaa pacha mmoja akapitea enz hzo ila najiuliza tu maan mmh

  • @HamadAlex
    @HamadAlex Před 22 dny +1

    Hongera Millard you're now halfway to get another CZcams button

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 23 dny +43

    Hapo mngemfuata huyo mjeda na yeye ukweli ungejulikana huyo ni yeye anacheza na akili za watu

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy Před 23 dny +2

      Sas unasema ni yey unauhakik?kuliko yeye anaejisemea?kwamba wewe ndio unajifanya unamjua sana au khaaa achen kulazmisha vitu ambvyo huvujui chizi wewe

    • @SaidiAmiri-qv5ed
      @SaidiAmiri-qv5ed Před 23 dny +3

      Huwa hawaonekani ovyo,utampatia wapi hahahahhahahahha makomando

    • @naah884
      @naah884 Před 23 dny +2

      Sasa kama ni yeye itakusaidia nn

    • @SaraMathew-xd2vp
      @SaraMathew-xd2vp Před 23 dny

      Ten itakuwa vzuri kama wakitutanisha nao wote wawili ili tulizike

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 23 dny

      Usikatizie rizki yake tumpigie kampeini achukuwe jeshini

  • @ramadhanikashimbiri4851
    @ramadhanikashimbiri4851 Před 23 dny +12

    Najarib kuunganisha dots kwann atrend kwa madafu , mara komando alaf mwisho ni mpambanaji mashuat, boxing hapo ngoja

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Před 22 dny

      najiukiza hivo pia

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Před 22 dny

      Yaan umejiuliza km Mimi, yaan hizo dots ukiziunganisha unamalizia kwakusema "NI YEYEEEEEEEEE"😂😂

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 Před 23 dny +3

    He is very bright. Kama siyo Askari basi mama mwangalie huyu kijana!

  • @CharlesNdege-om5oe
    @CharlesNdege-om5oe Před 19 dny +1

    Huyo ndiyo huyo Komando na suala la kuwa pale Ikuru ni suala la kulinda usalama na upelelezi wa watu wabaya waingiao ikuru, Trust me guys

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co Před 23 dny +28

    Sawa kaka tuendelee kuuza madafu yetu,

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 23 dny +20

    Sasa wahojiwe wote wawili wakiwepo pamoja ndo tueze kuelewa vizuri.

    • @user-kg2tm2eq7q
      @user-kg2tm2eq7q Před 21 dnem

      Swadaktaaa umenena

    • @reubensileke1713
      @reubensileke1713 Před 21 dnem

      Wewe siri kama hizi haiwezi tokea hiyo

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 Před 21 dnem +1

      @@reubensileke1713 Hahahaha hii nchi unaweza kukuta mtu anauza makaa ukiona hana hata wateja, lakini bado anakomaa na makaa kumbe sio mwenzetu.

  • @tobiasantony3644
    @tobiasantony3644 Před 21 dnem

    Huyo niyeye. 1. Sauti zinafanana, 2. Wote wanavichogo, huyo komando pale jukwani aligeuka tazama kichogo na huyo muuza Madafu. 3. Mwili unene, kimo na rangi. 4. Swala la kuuza Madafu ikuru na kutumia pikipiki kuuzia Madafu, 5. Mazingira ya nyumba anayokaa na sifa alizonazo ni kweli anaekti kukaa hapo. 6. Huyo ni kamandoo lakini kitengo Cha usalama. Huyo ni mamba.

  • @smarteventtv232
    @smarteventtv232 Před 17 dny +1

    Huyu, anafaa apelekwe ata urusi watampokea sana, na mshahara mkuu pia nchi yetu itapata experience modern war

  • @official_vanchaz
    @official_vanchaz Před 23 dny +24

    Sasa Captain kashawaambia kabisa "hii ni SECURITY TOP HAZIPITI NJIA" bado mmekaza fuvu tu acheni UNANGA Ohoo!!

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Před 23 dny +33

    Ukiona tupo sarama kunawatu wanapambana kwa ajili yenu

  • @EdifonceSylvester
    @EdifonceSylvester Před 22 dny +1

    Angalia hayo macho mzee hyo ni hatari sana

  • @laurentndowa2304
    @laurentndowa2304 Před 21 dnem

    Huyu Kijana,kaka millard Ungempigia Promo, Natamani Angepata Hiyo nafasi ya jeshi akatimiza Ndoto zake, ningekuwa mtu mkubwa serikalini .ningempeleka jeshi huyu Kijana, MUNGU amsaidie Atimize Ndoto zake, Nawe Kaka Millard MUNGU ndiye atakae Kulipa,kupitia nyie Jamaa anaweza kupata nafasi serikali ikamuona. Ahsante

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před 23 dny +15

    Mpeni kazi huyu kijana naeeza anania halisi Rais sikilia ombi huyu kijana

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 Před 23 dny +14

    Uyo ni usalama wa taifa ata mazungumuzo ya ni usalama wa taifa by fossil nikiwa Nairobi Kenya 🇹🇿💪

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg

    WELL DONE

  • @ObedMaturo-bd2zr
    @ObedMaturo-bd2zr Před 23 dny +2

    Huyu jamaa muongo, yaan upate hel yakununua pkpk alaf ukose hela ya pango😂😂😂

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 22 dny +3

    Wapo tofauti kabisa,

    • @latifamuhunzi4061
      @latifamuhunzi4061 Před 21 dnem

      Na hasa ukiangalia pua zao ndio utaona utaona tofauti zao,ila wa bongo wakisha shupalia jambo si ujuwaga

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Před 23 dny +8

    Vitu vingine ni siri za kiusalama sasa wabongo tumekomaa na mwana aisee, mambo ya Ngonswe tumwachie Ngonswe mwenyewe, utulivu tulionao hapa mamaland Tz kuna watu wenye dhamana ambao ndo kazi zao sasa media zimekomaa na hii ishu ya jamaa

  • @joshuanassary5072
    @joshuanassary5072 Před 22 dny +2

    Kauli zake ni tata, very technical...

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd Před 22 dny

      Umeona eeeh kazi ya kulinda amani kudumisha umoja ni kazi ya kila mtanzania haya ni maneno ya kitaalam kabisa😂😂

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 Před 22 dny +1

    👏

  • @charlesmashaury1898
    @charlesmashaury1898 Před 23 dny +7

    Mwambieni atuache tumegoma kukubali kuwa yeye sio kitengo au commando

  • @hassanmasoud7891
    @hassanmasoud7891 Před 23 dny +15

    Uyu msenge kauli zake tata sana yn kumamake kuna usoldier ndan yake

    • @soundmale
      @soundmale Před 21 dnem

      Haha😂 we tukana2 atakupasua😅

    • @suzymichaely6938
      @suzymichaely6938 Před 21 dnem

      Atakukamata ukauze nae madafu ikulu😂😂😂😂😂😂😂

  • @wilget109
    @wilget109 Před 23 dny +1

    Siye kabx sema wamefanana tu🙌

  • @robertkizito8656
    @robertkizito8656 Před 22 dny +1

    Namjua huyu Jamaa sio Komando.....
    Kabla ya Kuishi Kigamboni alikuwa Manzese Tip top kwa mama Bonge....

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 Před 22 dny

      Sasa ulijuaje kuishi naye sio tatizo Sasa unataka Aishi wapi ili awe komando hayo si maisha ya kikazi?

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p Před 22 dny +3

    Alie beba namba ya comando, gonga like yako hapa chini

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před 23 dny +19

    TATIZO SURA MZEE BABA HUCHEKI MIE SITAKI KUAMIN KABISAAA KAMA MTU WA KAWAIDA 😅😅😅 MIE NIKIKUONA NITAPITA MBALI 😅😅

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 Před 23 dny +2

      😂😂😂😂😂wewe Wacha woga 😂😂😂 kua na karibu nae

    • @rogerstarofficial
      @rogerstarofficial Před 23 dny +2

      Huyu kashajua watu wamemjua sasa inabidi haendelee na kazi yake ya usalama inabidi ajifanye watu wawili tofauti 😂 alafu kumbukeni media ya millard ayo inasimamiwa sana na serikali maana isingekuwa rahisi millard kumpata huyo jamaa

    • @user-do4md7jo6x
      @user-do4md7jo6x Před 23 dny

      😂😂😂😂

    • @hasnakid
      @hasnakid Před 23 dny

      😂😅😅

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 Před 22 dny +1

      Na siku si nyingi atapotea atahama hapo anapoishi na ndio mwisho wa kazi yake ya uswahilini sababu ameshatambulika.

  • @Mirzah_tv
    @Mirzah_tv Před 23 dny +1

    Sawa la maana ungemuuliza kwa uelewa wake anadhani yule askari anacheo gani

  • @Gabriel-xf6fg
    @Gabriel-xf6fg Před 22 dny +1

    Kwa jinsi anavyo jieleza kwa ufasaha anaweza kuwa niyey

  • @jamesjjoseph5908
    @jamesjjoseph5908 Před 23 dny +6

    1,500,000 pkpk, infinix ya 200,000 imekuwa tabu 😌😌 🚶🏻🚶🏻

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před 23 dny +3

    Huyu mwamba alitakiwa kuwa kwenye vyombo vyetu sema ndio Ile.......

  • @comradejonasrwegoshoramwal5727

    Good interviewer

  • @user-iu2sg5fi6u
    @user-iu2sg5fi6u Před 23 dny +2

    Hongera sana Madam Mshupavu na Mama wa mfano time will tell, Samia 2025 tunaimani na wewe kubwa sana Mama.

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 Před 23 dny +3

    Hawa ni watu wawili tofauti...

  • @Trys6254
    @Trys6254 Před 23 dny +12

    Nilijua tu

  • @pendosospeter4807
    @pendosospeter4807 Před 17 dny +1

    Huyu ndo yeye ❤❤bhana

  • @JosephKifisha-ml7ju
    @JosephKifisha-ml7ju Před 22 dny +1

    Wote wa liopo maeneo ya ikulu ni askari ikulu sio Kila mtu anauza pale,ila ninyi jichanganyeni

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před 23 dny +6

    Kwani mfano akiwa ndie kuna shida au...Au kama sie itakuwaje...Any way kiukweli katika nchi zilizofanikiwa kwny SECTA ya ULINZI na USALAMA ni Tanzania...Nawapongeza wahusika ila waendelee kumpenda Mama pamoja nchi yetu kwa ujumla.❤