Hili ni funzo Kwa degree holder wote mliobweteka magetoni mnamsubiria mjasilia mali kama huyu aje awape ajira,kauli ni moja TU TOKA MAGETONI KAJIPAMBANIE
Kweli MUNGU akiamua kukupa anakupa kwa wakati usiotegemea, nimefurahi sana kusikia walipewa pesa nyingi iliyoweza kulipa ada na kodi, mwenyezi MUNGU amzidishie rais wetu, ila huyu kijana kana kunamtu anaweza kumuwezesha ni heri amuwezeshe maana ni utashi mkubwa na ni juhudi kubwa sana anayoitumia hili kuipata elimu. Mwenyezi MUNGU amfanyie wepesi.🙏🏾
Watanzania kunyweni madafu na natural juices. Wacheni kunywa maji yaliyotiwa rangi na chemicals kama hayo aliyopewa muuza madafu. Hayana faida yoyote, bali madhara tu.
Huyu Mama ni best Raisi duniani, sio Tanzania, wala Afica wenzetu wanaomba wapate kiongozi kama huyu ni mcha Mungu na Mtu very simple Mungu Ambarik na Amkinge na kila ya shari Ameen
Na hawa uchunguz wao zaid walilenga wanaume na ndio maana waliuza madafu...Huyu naye kaachwa na nywele kusudi ili ajulikan mwanachuo na ndio hawa unawakuta chuo cku chache unashangaa katoweka
pongezi kubwa sans kwa mbu ge wangu pia wazoli wangu mkuu mh majaliwa kasimu majaliwa kws kuboleshs sekts ya elimu wilayani ruangwa hii itolia ya iyu kijana imenifunza jambo jambo kibwa ni kwamba elomu ya juu kapata kwetu mbekenyerawakati spo zymani azikuwepo izo shile
Huyu jamaa ni usalama bila shaka yoyote, muuza madafu smart, amesoma mpaka Advanced level na sasa yupo chuo mwaka wa pili. Hata majibu yake tu unaweza kujua ni mtu wa aina gani
Huyo ndio Mh Dr SSH, watu wauza dafu ikulu, hio ni gate pass ya mafanikio kwa hao vijana, hio ni baraka tayari👏👏👏👏
toka zako
@@idrisamapesa2732 Sasa hutaki😁😁😁
Rais wangu mungu akubaliki sana. Waone na wa chini wengine❤❤❤❤❤❤
Hili ni funzo Kwa degree holder wote mliobweteka magetoni mnamsubiria mjasilia mali kama huyu aje awape ajira,kauli ni moja TU TOKA MAGETONI KAJIPAMBANIE
Hakika huyu Mama, aaah ,bwee acha tu, namfurahia sana Mungu amtunze 🙏🙏
Allahuma Amin
Dr Samia MUNGU akujaile moyo wa upendo ulionao uendelee! Hongera sana mama
Dr Samia M/Mungu akujalie Maisha marefu Inshallah
Kweli MUNGU akiamua kukupa anakupa kwa wakati usiotegemea, nimefurahi sana kusikia walipewa pesa nyingi iliyoweza kulipa ada na kodi, mwenyezi MUNGU amzidishie rais wetu, ila huyu kijana kana kunamtu anaweza kumuwezesha ni heri amuwezeshe maana ni utashi mkubwa na ni juhudi kubwa sana anayoitumia hili kuipata elimu.
Mwenyezi MUNGU amfanyie wepesi.🙏🏾
Yaani kupata Ada tu Moyo wangu umefurahi
@@trophywilson7211 kabisa yan
Amin,Mungu amfanyie wepes ndoto zake zitimie
Mungu ni wa mahajabu endeles na madafu ila kesho yako ni nzuri
@@nyakatongongo4292 hakika MUNGU NI MWEMA
Watanzania kunyweni madafu na natural juices. Wacheni kunywa maji yaliyotiwa rangi na chemicals kama hayo aliyopewa muuza madafu. Hayana faida yoyote, bali madhara tu.
Kama wewe ni mtoto wa mama kizi mkazi Like yako Moja tu inatosha
Kama wewe ni mama ako ni wewe sisi wengine tuna mama zetu sio yatima
Kwendraaaaaa labda wewea akiwa wewe
Unajikweza na uyo Mama hakujui wala hata watto wake hawakujui unahis atakuteuwa uwe Rais au
Mama love you, piga kaz mama achana na watu wanaongea hovyohovyo. kazi iendelee
Acha upumbavu sisi wengine tuna mama zetu wa kawaida tuu lakini tunawapenda muno Yule ni raisi tuu
Huyu Jamaa nimesomaaa nae ADVANCE SHULE YA SECONDARY MBEKENYERA RUANGWA-LINDI
Ata wasemeje lakini mama ni mama tu mungu ampe maisha marefu
Mama Atuone nasie ambao hatukupata huo mualiko WA futari Atuone tukale na watoto in shaa llah
All the best wishes for a success future.
❤❤❤❤mungu ambariki mama yetu mpendwa ❤🎉🎉🎉🎉
Mimi nawaambiaga Mama ni mama. Anaupendo sana
Hakika
Amenunua lakini amefanya ni sadaka kwa kweli mama samia Ana ucha Mungu ingawa hatutakiwi kuhukumu
Mungu awabariki na huo ndio mwanzo mungu atawafanya kuwa watumishi siku za usoni.
Wow alhamdullha 🙏🏾
Woote walio hapo na baiskeli ni askali ,magufuli pekee ndiye alikuwa sio mwoga hakuwa na Comedy alikuwa anakula na maskini kweli sio hao waigizaji
Mungu Akubariki Mama
Mwenzako anakupa kitu natural ww unampa sumu.
Hahahahaa kwelii
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 imeenda hiyo
Kweli unayosema ndugu yangu
Kweli unayosema ndugu yangu daah anapewa kitu halisia yeye anampa mwenziwe sumu
Hongera Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ndoto za watu tena kwa mshangao wa hali ya juu
Mama anatisha,aendelee 2025-2030.Big up Mama.😮😮😮
Duh!!! Hadiraha mungu akuongoze upate mafanikio ccm. Oyee mi5 kwake
Urais ni Taasisi nyeti sana hamjui tu! Yaani Rais anywe Dafu hivi hivi tu na wewe unakubali eti ni kweli huyu ni muuza madafu....!!😂😂😂😂😂😂😂😂
Mashallah samia suluhu mungu akueke maisha marefu
Ukitaka kujua kuwa M'Mungu hana chongo/hana hiyana,mfano halisi ni kwa hawa vjn,kila jema ktk elimu/kupambania kesho yako.
Hakika ada yake amemtafutia wa kumlipia mwaka huu bila yeye mwenyewe hata kuplani
💪🙏
Dafu ni natural ,safi ,Afiya ni sumu tupu
Wabongo mnapigwa hao usalama
Muheshimiwa ubarikiwe sana mungu akuzidishie sana
Safi sana mama yetu
Mama Ana mpngo Gan Na Kijana Huyo Anayetoka familia Maskini?
Hongera kijana
Mmmmmhhhh kuna kitu hapo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mashallaah allaah akuzidishie kk inshallaah 🤲
Allah nijarie na me siku moja nikutane na mama
Allah sw humruzuku atakae kikubwa ni kumtegemea mola tu mungu ni mjuzi
Safi sana Mungu atakusimamia
Hongera san dogo, vijana wengine wakifikia hatua hiyo ya chuo huwa wanajiona hawawzi fanta vt kama hivyo , hongera san Mungu azidi kukupambania
Kupata nafasi kama hiyo ni point of view ya maisha
Mama hana ubaguzi safi san twakupenda mama
Alosikia "karibu wanangu" zaid ya mara tatu kwenye mazungumzo👍....sema utafika mbali kijana mwenzangu..keep pushing
Usije shangaa huuuu jamaaa usalama wa taifaa
huyu nyoka tu
Uhakika hapo hawez kuwa hapo kwa baht mbya
acha unafiki nyani wewe
Kwenye hizo picha yule aliye vaa likofia si alikuwa mlinzi wa magu enzi za uhai wake
Hongereni saana
Mungu yupo aisee na Kwa kwel tumtegemee yeye siku zote
Hawa wengine usalama wa taifa wauza madafu ..wauza ndizi ..kila kona wapo hao
Mbn siyo yeye aliyekuwa anauza madafu😢😢
Unazijua kamerw wewe🤣🤣haijawah kukusalit wee one day itakusalit na ukajikataa mwenyewe
Mmmmh haya bwana
Kaka hongera sanaaa utafika mbali, nakuona mbali sana
Mungu awajalie
Huwiiii we mkaka wa nyumban kwetu kabisaaa upande kisu kyitu!!!! ❤❤ Home boy pambana kaka angu nmekupenda Bure nyaq boy
Dakika ya 4:47 kuna kitu kimepita kula nyuma ni balaaa 😂😅🔥
Hahahahha we jamaaa😂
😅😅😅
Umenifanya nirejee kuangalia
Hongera mpambanaji❤
Mbekenyera ruangwa Kwa majaliwa karibu na namungo
Hengera samiaa Kama vjana umewatoa kimaishaa nakama umebisha beii hadi madafuu sioo poa
Mbekenyera boy✊
Huyu Mama ni best Raisi duniani, sio Tanzania, wala Afica wenzetu wanaomba wapate kiongozi kama huyu ni mcha Mungu na Mtu very simple Mungu Ambarik na Amkinge na kila ya shari Ameen
Wachaaa mbwembwe wew labdaaa raisi wako
Na hawa uchunguz wao zaid walilenga wanaume na ndio maana waliuza madafu...Huyu naye kaachwa na nywele kusudi ili ajulikan mwanachuo na ndio hawa unawakuta chuo cku chache unashangaa katoweka
Too emotional wallah❤
😅😅ukute uyo ana nyota 5 ikuru uwezi ingia kirahisi tena kuuxa kitu cha kura😅😅😅😅
Kweli maneno yako dogo ,kazi itayokuja basi ndio yatakuwa majaliwa
AOOO WAOLOALIKWA WALIKUA NA FUNGA
Hapo sasa
Huruma to sana wallah
Hongera sana Mic umekwiva kwenye camafourage!
Halafu anasoma tena yuko vizur
Mzee wa system
Mhh co huyo bhana
Mungu akupe hitaji lamoyo wako
Mbona na picha uyu tofaut au macho yngu tu
huyu jamaa sio yule kwenye picha
huyu jamaa pia n mzee
Anajitafutia riziki halali jamani❤❤❤❤
pongezi kubwa sans kwa mbu ge wangu pia wazoli wangu mkuu mh majaliwa kasimu majaliwa kws kuboleshs sekts ya elimu wilayani ruangwa hii itolia ya iyu kijana imenifunza jambo jambo kibwa ni kwamba elomu ya juu kapata kwetu mbekenyerawakati spo zymani azikuwepo izo shile
Sifa yamwanaue ni kupambana😊😂😂😂❤
Alieona kichwa Cha habari iyo bastora inausika vipi
Hii nayo imekua story dahh!!! Kweli tumeishiwa habari
Hiyo baiskeli yake mbona kama ipo sawa na umri wake aliipata wapi?
Waandishi wa leo hawajui wanachokifanya zaid ya hayo wakati vitu vinapanda bei😊
Well done
Kwahyo leo ndevu zimeota
Zaman Ayo nilikuwa nikiona habar zake nilikuwa nazifatilia sabbu ulikuwa unaleta Habari zenye mana ila siku hiz sijui umekwama wapi
Aa awo waongo na hapa ipo wasitudangany sisi tushasoma mchezi😂😂😂
Narudia huwezi kujaa furaha kuitwa ikulu kama huna izoefu wowote na ofisi kuu za serikali..
Nchi haitaji. Mambo madgo kamahayo nchi inaitaji kulindwA aclimalizake nausimamizi bola wa manunuzi ya uma ufsadi miundombinu bola
Uwezi kuwa na furaha kuambiwa ingia ikulu..Cha Kwanza razima ujae hofu na kujiuliza.kwahiyo bado hajatoa majibu.
Hizi habar mnatuchanganya sana. Kule kwa milard Ayo wanasema wanatokea kigoma, huku wanatokea mbeya, duu
Walikuwa wapo wanne jumla yao wale wa kule ni wawili wengine
Mama Samia naomba uje mlandizi pwan jmn Nina shida jaman mama yangu kipenzi
Usalama kasema kwn
Kwanza huyo sio yule kwenye picha na Samia acheni kufanya watu kama mazamwamwa
edric ukipata ela utasahaulika kumbe hujuy ela inabadilisha au 😅
Hujaelewa umeambiwa huyu ni miongoni mwa waliokuwa wakiuza madafu
Hawa tiss hawa usalama hawa
Pambana mdogo wangu
Sijaona mantiki kiivyo, Ayo media mnapoteza mvuto, tunahitaji taarifa muhimu zaidi.
Mnatuonyesh afia au mahojian
😂😂😂
Uliyemleta siyo yule aliyeuza madafu
Si walikuwa wengi
Huyu jamaa ni usalama bila shaka yoyote, muuza madafu smart, amesoma mpaka Advanced level na sasa yupo chuo mwaka wa pili. Hata majibu yake tu unaweza kujua ni mtu wa aina gani
Nipo kyela now umetisha dg
Sio huyu bhn! Tunamtaka Yule mwenyewe
ukikutana na mama na kuongea nae au akusalimie ujue umeshatoboa coz mama hana baya
Usikute wote ni undercover😂
Nani Kama Mama
Mbona mwenzako kasema madafu 300
Ako ka juice nakapenda mno Afyaaaaaaaa
Ndio lazima upende kemikali kwa maana akili yako ndio hivyo tena
Nakwambieni vipi jamaa ni usalama, majibu yake tu inatosha kumjua ni nani