Pole mamii kwa kuondokewa na baba mzazi. Hii interview na top two zangu kwa ufasaha na hekima za kujieleza upo vizuri sana,Mungu akutangulie akupe haja ya moyo wako iliyo njema machoni pake
Kama umeonae hii interview ngumu kwa millard ayoo gonga like! 🤣 millard chukua huyo dogo! Alafu na wewe millard uwe unaweka maji ya kunywa maana unajikaza sana et 🤣🤣
Huyu dada nlikua namskia juu juu tu... Hapa ndo nmemjua.. af wimbo wake "tabu" nlikua nauskia redion na nkaupenda thou nlikua sjui umeimbwa na nan... BiG up Millard
uyu ndio mwanamke anaenivutia zaidi kuwahi kuwaona kwa wasanii .ana rangi nzuri ana sauti nzuri ..ila macho yake namfananisha na mwanamke ambae nilikua nampenda sn ...ana mapozi hayariiii ..i love you
Mtoto kakidagate😂😂 Ayo naye ana macho, Exclusive inakuwa ngumu, 2lokuwa mda tumeona lkn ndo challenge Za kazi hizi na hawa visura wa bongo Dar Es salama .👍👍
Pole sana Careen kwa kumpoteza Baba yako mpendwa ,ulimpenda sana lkn Mungu kampenda zaidi.Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P Gadner 🙏🏼
Aaaaah,, Karen big up sana kama uliwahi kwenda jkt ,,, jkt haijawah tokea kuamka SAA kumi na moja,,,, sema kama wew ulibahatika sana ,, maana mimi sikubahatika kuamka SAA kumi na moja
@@zaibonge7867 Kwa jinsi nlivyomtamani na macho yake ya kurembua. Nmemwangalia mara mia tayari. Wako tofauti, labda ki-interview wanafanana swaga ya kuongea na pozi
Wale tumekuja kuangalia hii interview baada ya captain kufariki tujuane kwa like, Anyway Caren pole sana kwa kuondokewa na father
Nipo apa
Apa tupo
😢
😢😢😢😢😢💔🌹
😢😢nipo
Binti anajieleza vizuri na kujiamini,pia anaelekea amelelewa vizuri,hajakaa ki wale wadada! Na hajisikii,
Mungu azidi kukutunza binti mrembo.❤
Kama umegundua kareen anaakili Gonga like nyingi....anampenda mama ake JAYD bila shida ...mwengine angemponda mama ake wa kambo
She is giving Nandy humbleness ❤.
Karembo kenyewe❤pole kwa kuondokewa na baba kipenz
Waoooo ka binti Kazuki jamaniii, pole sana Mungu akutunze ufanikiwe sana. Ila namuona kiongozi mkubwa sana wa nchi hii ya Tanzania.
Pole kipenzi kwa kuondokewa na baba mzazi😢
Pole mamii kwa kuondokewa na baba mzazi.
Hii interview na top two zangu kwa ufasaha na hekima za kujieleza upo vizuri sana,Mungu akutangulie akupe haja ya moyo wako iliyo njema machoni pake
She is strong and beautiful.big up kwa millard ayo gonga like yako hapa
❤pole sana mtoto mzuri mungu akawe faraja kwako jeshi pia imekusaidia kuwaa na akili mungu akutunze toto ❤
Pole sana binti kumpoteza baba
Tulimfahamu baada ya kifo Cha baba ake tujuane 🤔Mungu akutie nguvu mrembo 🙏
MaashaAllah mzuri sana...jitunze mwanangu uwe na heshima..usiwe kama wasanii wengine wa kike ambao hawajiheshimu
Kweli kabisa
Beautiful girl. God bless you🙏🏾😘
Brother mbonamunaee ndana nauyo mdada vp kuowa millard kamaunaona akokatoto kanamfaa millard like tujuwane bro tunatakatumjuwe shem
BEAST Hunter kweli bhanaa cyo minaaly Kareem ndoanamfaa achukue chombohchooo
Anamfaa wanaendana Kuna chemistry
Wewe je mimi simfai😋😋
Wanaendana coz mchaga na mmeru ni kabila moja so chemistry imekaa poa hata kwenye interview
Millard ana mke wake
Pole ndugu.yangu Kwa kumpoteza baba
I love the way anajibu maswali yake anajibu akifikili hakurupuki
Pole sana kipenzi kwa kuondokewa na baba yako mzazi ,Mungu akutie nguvu
Nimekukubali kamanda, umenikumbusha introduction to the camp
Karibu tena
Kama umeona millard anaonyesha hisia live za kimapenzi kwa karen na entevrwe inakuwa ngumu kwake like twende sawaaaaa
hahahagahahaha
Sio kweli ndivyo alivyo
🤣🤣🤣🤣🤣
Prince Henry hahahahaaa una mambo ww
Anaendana nae. Bado mdogo dogo.
Kanajibu vizuri jaman mungu akutie nguvu beby
Munaosema huyo Dada aolewe na Millard mwendeni ninyi Kwanza halafu badala mfocus kwny talent yake Nini mnazungumzia miwa
Kweli Marwa,waswahili wakiona jinsia tofauti ,wanawaza kuoana tu
pole sana kwa kumpoteza baba
Kama unaona Careen akitoa single na Lady Jay D itaenda.... gonga Like
Walishatoa inaitwa , kwetu
@@faridamlowe8398
@@faridamlowe8398 to l o 😣 on a
Kama umeonae hii interview ngumu kwa millard ayoo gonga like! 🤣 millard chukua huyo dogo! Alafu na wewe millard uwe unaweka maji ya kunywa maana unajikaza sana et 🤣🤣
🤣🤣🤣 kweli kabisa
Jamaa kalegea kinoma, Millard hoi hapo
😂😂😂
Pole Sana Kwa msiba 😢😢😢
Millard has a crash on her wala hafichi
jamaa hapo hapo uchumba uanze,bint mzuri sana tena yupo vizuri
She is sooo loving.
Ktk interview ngumu Kwa Mirrad Ayo ni hii, amejikaza lkn hisia zimeonekana, kama mbwai mbwai Tu, wewe sio jiwe damu inachemka so keep on keeping.
Hahaha
🤣🤣🤣
yaan macho yameongea
Hahahaha jicho limelegea.kama kala kungu
Hahahahaha!!!!
Huyu dada nlikua namskia juu juu tu... Hapa ndo nmemjua.. af wimbo wake "tabu" nlikua nauskia redion na nkaupenda thou nlikua sjui umeimbwa na nan... BiG up Millard
Msanii wa kwaza wa kike anaeongea lafudhi nzuriiii.❤✅
Good interview
Umeonaeee eee anajielewa saana
Yupo ble
Si msanii ni binti wa marehemu Gadner
Safiii sana Millard Ayo, interesting interview. RIP GARDNER HABASH GABRIEL.
Pole sana Mallkia kwa kumpoteza baba. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa Amani Amina 🙏
uyu ndio mwanamke anaenivutia zaidi kuwahi kuwaona kwa wasanii .ana rangi nzuri ana sauti nzuri ..ila macho yake namfananisha na mwanamke ambae nilikua nampenda sn ...ana mapozi hayariiii ..i love you
vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa
Nimekupenda bure Malkia na Millard muowane banah
Millard hana mrembo mpaka leo kweli..?! Na Karin nae ..?!
@@pascalmsechu6874 millard ayo kaona ana mke na mtt
Uko vizuri sn
upo vizuri love nimekumbuka jeshi daaaa love you
Pole mpenzi mungu akutie nguvu
She is very bright..anajua namna ya kujieleza
Careen anakakengeza kazurii kwa mbalii....so cute totoo
Hahaha
Kumbe kengeza ni sehemu ya urembo. Karembo aisee
Interview kali sana careen una vionjo vyakujielezea sana pia smile ucheshi nakujiweka kawaida kama father
Nampenda sana careen jamn kam unaona uo nd ukwel
Cute, smart,black beauty 😍😍
Millard MUOE HUYU MTOTO MNAENDANA SANA JAMANI
saitoti saitoti Millard anamke au ujui
Wamekutana makabila yanayoshabihiana ndo maana chemistry imeonekana kwa haraka, Millard mmeru, huyo Karen mchaga
@@arnoldmeyasi6217 hee sijui 😀😀
Anamimba
Utafeli,sio kila mwanamke ukiambiwa mnaendana uoe unaoa 😂
Pole careen Mungu akupiganie ❤
Pole my dogo langu Mungu akupe nguvu kwa kipindi hichi kigumu cha kuondokewq na bdba mzazi
Nmekupenda bureee kwa kweli.Una point.
Mtoto kakidagate😂😂 Ayo naye ana macho, Exclusive inakuwa ngumu,
2lokuwa mda tumeona lkn ndo challenge Za kazi hizi na hawa visura wa bongo Dar Es salama .👍👍
😂😂😂😂😂😂
Watu mnajua kumsoma mtu
Nakukibali sana Millard ayo kwa izi kazi
Beautiful Muimbaji msomi
Congrats kwa kupitia mafunzo ya ukakamavu na ulikubali kukunjua nafc tunasema!
Khadija Salum moyo kuweka kwenye tranka
Wewe Ni binti mzuri Sana wa sura naumetulia Sana, jitahidi uendelee hivyohivyo usibadilishwe na Dunia
Pole kwa kumupoteza baba yako dada mzuri
Pole dada kwa kumpoteza father🙏🙏🙏
Nani anapenda kumpoteza mtu wake? Lugha rafiki ni ""kuondokewa""
Sio kumpoteza
Dada una hekima sana hufeck life yako angekuwa mt mwngin mara ashike nywel mara nn nakupenda bure
Uko vizuri Careen mama yako hajambo? Mwanza
This is one of the best interviewer.He shld put English subtitles in the video for a much more wider audience
Mmmkim ki8k í ok I'm i8nkmkm8mkm my m88kkmmí join imm8 Kik oky í hi it I k k k ok 88 tyou likeTo u
Cute with loveable voice. .....love u for real.
Watu na macho yetu bwana😘😘
Karibu RoNeCa ututembelee. The school of choice.
Story za Jeshini zimechukua airtime mpka kero 🚶🕷️
Sasa unataka kuwapangia jamani
Aya
Maneno ya kuambiwa 86
Pole sana Careen kwa kumpoteza Baba yako mpendwa ,ulimpenda sana lkn Mungu kampenda zaidi.Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P Gadner 🙏🏼
A good JKT advocate.
Pole sana mtoto wa gadna g abash mungu akutangulie mi ni jafet andrea silayo nipo pande za tarakea rombo kikelelwa mi ni jirani wa gadna
Mbona kujitambulisha kwingi bro😅😅
Hongera bro kwa interview iko poa na malkia yupo real. Big up
Strong gall and beautiful
Unajua kujieleza
vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa
Pole sana karen kwa kupoteza baba
Itakuwa gumu sana kuzowea kuish bila baba😭😭😭😭😭pole Sana kwakuondokewa na baba,maumivu uliyonayo hayaelezek wala hayazoelek
Nakupenda bureeee💖💖💖💖💖
Inaonekana mzee Gardiner ni mzazi mwenye maadili mazuri. Hongera sana
R. I. P Gardner
Pole sana karen kwa kuondokewa na baba mzazi kiukweli inauma sana lkn kazi yake mola haina makosa
Mwanamuziki Safi Sana endelea ivo carlen 🤷🤷🤷
Aaaaah,, Karen big up sana kama uliwahi kwenda jkt ,,, jkt haijawah tokea kuamka SAA kumi na moja,,,, sema kama wew ulibahatika sana ,, maana mimi sikubahatika kuamka SAA kumi na moja
Pole
Pole sana
Beautiful 💕
Kumbuka kufanya kazi kwa bidii...Usikumbuke kuwa baba ataniwezesha...😊
Millard inaonekana kamuelewa huyu demu .muangalien vzuri
Asee kwel yaan millard kaishiwa mbinu kabisaa
Hhahahaahaaaaa😝
Anaendana nae. Bado mdogo dogo.
Watu mko makini kumsoma mtu
Haaa haaa kabisa aisee naona Millard anajimwaya mwaya
Story za jeshi zinaisha at 19:00 minutes na swali ya Jaydee ni dakika ya 30:00 huko
czcams.com/channels/Eg0KwwKxHmbghAdaLGU6pw.html naomba sapoti yako ku subscribe official channel by #GOLDBOY asante God akubless
Asante umenisaidia kwenda straight kwa nilichotaka kuskia
Careen ana hekima na busara kama za mama ake mdogo jide jay dee.....vizuri sana nakuelewa
Jmn nimependa tena asa icho kipengele cha jkt apo
Polee kwake mungu amtia nguvu🙏
Pole kwakuondokewa na baba mwenye upendo watofauti kwa Tz
Mamako bado yuko Mwanza? CAREEN. Ulikaa sana Mwanza KIRUMBA. na mama yako mdogo wake Sr Ex pide.
Nice
Pole sana kareen aise mwenyewe mpole sana
Wow
Pole sana sister careen kwa kumpotez baba
Msangeeeeeeee...2018...😘😘
Happy birthday caren
So cute na heshima zake
Km hujaowa hebu muowe huyu mtt pia utakuwa umemuenzi baba ❤
Pole sana mwanangu mungu akutie nguvu
Point zote
Kama umeona careen anafanana na Irene uyowa mbaka uongeaji nipe like😘kasoro rangi zao tu ..ila wapo copy rite 😜
Mh
@@samwelimoshi5614 mba😏
Mi sioni hivyo.
@@RuzoOwzy jaman angalia vizur🤗🤗🤗
@@zaibonge7867 Kwa jinsi nlivyomtamani na macho yake ya kurembua. Nmemwangalia mara mia tayari. Wako tofauti, labda ki-interview wanafanana swaga ya kuongea na pozi
Mzuriii
KWA HIYO NW NDIO 30, 2024
Kama unamuona millady anazeeka nipe like maana hataki kuoa huyu lol 🙄🙄cjui yupoje mena Ally yupo careen ndo HUYO millady unakwama wap broo🤔🤔🤔
Labda hapendi. Kama alivyokuwa isack gamba
@@annamwambosya8577 🧐🧐itakuwa. 🤨🤔
😂😂😂😂😂😂
😄 🤣 😂 😆 imebidi nicheke tuu maana umenifurahisha😅😅
Millady alishaga oa kimyakimya sema hamjui tyuu
Hongera Sana msange si kwa mchezo
Napenda interview zako broo hongerw
Kazuri mashallah
Msange Tabora......❤
Nampenda bure uyu mrembo 💥🕊
Ommie 36 Karen anajiamini hayo hongera na maisha yako
@@pitargamba9208 umeona sindio👊
Ommie 36 Carin namkumbuka kipindi cha chuchuchu nakuomba nyimbo Jide
I just love her expressions...she is cute and real..😍😍
True