TUNDU LISSU AKABIDHIWA GARI LAKE NA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA, NAMBA ZA GARI YAKE ZATUMIKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024

Komentáře • 221

  • @gregoryogweyo4598
    @gregoryogweyo4598 Před 21 dnem +18

    Hatari sana, Mungu akujalie maisha marefu Mheshimiwa, uisha hadi waliotenda na kufadhili unyama huu wote wapukutike

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 21 dnem +10

    Tunaomba mlifanyie uchunguzi zaidi kama waliweza kuchukua Plat namba msitumie bila kulifanyia uchunguzi na kifaa chakugundua mabom sumu nk.jitahidini sana Mh Tundu Lisu pamoja na viongozi pole sana Lisu watesi wako watapokea malipo yao hapa hapa duniani yote kwa yote tunamshkuru Mungu🙏🤲

    • @user-xi2mf4xh7r
      @user-xi2mf4xh7r Před 21 dnem +2

      Mh Tundu antphas Lisu Mungu ni mwema atazidi kukubaridi na utafika kaburini kama mganda wa ngano ulivyo kwa wakati wake,siku za maisha yako zitazidishwa na miaka ya maisha yako itaongezwa ktk jina la Yesu.kristo.

    • @zebedayodiganyeck2046
      @zebedayodiganyeck2046 Před 21 dnem

      Amina.

    • @simonchristian6319
      @simonchristian6319 Před 21 dnem +1

      Na atashuhudia mateso yao

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před 21 dnem +52

    Mheshimiwa hiyo gari ungeiweka makumbusho .kizazi na kizazi kikumbuke maovu ya ccm

    • @OstakiaCornely
      @OstakiaCornely Před 21 dnem +3

      Kabisa

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 21 dnem

      Umeongea maneno mazuri Sana(Sahihi kabisa )

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 21 dnem

      CCM ndio waliotoa msaada wa kwanza kutoa ndege kwenda Nairobi. Ubaya ipo ulaaniwe kila unapotokea.

    • @Benj722
      @Benj722 Před 20 dny +2

      Unakichaa wewe. Chadema walikodisha ndege hakukuwa na ndege ya bure mpuuzi wewe

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 Před 20 dny

      ​@@hajihassan5433auna akili wew

  • @NimrodLeken
    @NimrodLeken Před 21 dnem +12

    Legends Never Die..just like in the movies..Long live Daktari

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 21 dnem +13

    Mungu ni mwema

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera9832 Před 21 dnem +11

    Mungu ni mwema..

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před 21 dnem +18

    Tundu lissu mungu anamakusudi na wewe,,,mwenye haki hafanyiwi hila.

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194 Před 21 dnem +5

    Mungu akubari Tanganyika ukiwa na akili hawamtaki mtu ila tupo pamoja

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 21 dnem +30

    Mheshimiwa weka gari hii kule Makumbusho.

  • @sarahjames2287
    @sarahjames2287 Před 21 dnem +15

    Vizuri kabisa Raisi wetu mtarajiwa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 21 dnem +16

    Mungu mwaminifu maana walitaka kutoa uhai lakini wamekupa tena

  • @ozld4864
    @ozld4864 Před 21 dnem +10

    Mungu akulinde daima @Mh Tindu Lissu

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p Před 21 dnem +10

    Mheshimiwa tengeza hii gari ili uweze kuitumia, ila usizibe hayo matundu na uitumie hii gari katika safari zako zote za kifamilia na za kisiasa ili watu wote tuone, wajue na tukumbuke ukatili ya hao jamaa. Pole sana

    • @mzarendo.com9624
      @mzarendo.com9624 Před 21 dnem

      Hiyo point
      👍👍✌✌

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Před 21 dnem +1

      Ni maoni mazuri sana ,,kwamba yasizibwe yawachwe hivyo hivyo ikiwezekana Gari liwekwe makumbusho,,,HUO NI UNYAMA WA MA CCM

  • @issayaamon5230
    @issayaamon5230 Před 21 dnem +7

    Hongera sana kamanda Lisu

  • @user-uz2ze7xn1c
    @user-uz2ze7xn1c Před 21 dnem +10

    Acha mungu aitwe mungu

  • @NimrodLeken
    @NimrodLeken Před 21 dnem +6

    Legends never die, just like in the movies,. long live mheshimiwa may
    God keep you safe and well for eternity to come. Amen

  • @rosegeraldlyimo1269
    @rosegeraldlyimo1269 Před 21 dnem +7

    Ushauri wangu ni huu.
    Hiyo gari iwekwe makumbusho kama ilivyo halafu ufanyike utaratibu wa michango ununue nyingine.

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 Před 21 dnem

      Wazo zuri

    • @gangan4618
      @gangan4618 Před 21 dnem

      AMINA

    • @gangan4618
      @gangan4618 Před 21 dnem +1

      Watanzania tunaweza kumchangia mh Lissu, ili linunuliwe gari lingine; hilo likae makumbusho huenda wameliwekea SUMU MAANA CCM NA DOLA YAKE HAWAAMINIKI.

  • @MichaelNyhasi
    @MichaelNyhasi Před 21 dnem +3

    Tuko pamoja kiongozi wetu, mungu akupe uzima.

  • @JohnMnzava-du2we
    @JohnMnzava-du2we Před 21 dnem +7

    Lisu husingeisema hiyo gari muikamate hiseme wametoa wapi

  • @PeterWilliam-mn5bh
    @PeterWilliam-mn5bh Před 21 dnem +2

    Polesana kiongozi wetu mtarajiwa.badotuna imanikubwa nawewe.na mungu aliekukoa na katika mikno waomajambazi bado yukonawe tena kwa wivu mkubwa.kaza buti twende mbele.wanana haibu hata kukuangalia. usoni

  • @thomsonmwakyanjala7536
    @thomsonmwakyanjala7536 Před 21 dnem +2

    Tafadhali weka hilo gari bila matengenezo yoyote! Nikumbukumbu ya historia ya Taifa.

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 Před 21 dnem +2

    Naam! Nakubaliana na idea ya Lissu

  • @conniesivaly8501
    @conniesivaly8501 Před 21 dnem +1

    Our God is very faithful! You are a living miracle Tundu Lissu! Long live

  • @zebedayodiganyeck2046
    @zebedayodiganyeck2046 Před 21 dnem +2

    MUNGU anabaki kuwa MUNGU na ataendelea kuwa pamoja nawe hata utimilifu wa dhahari. Mwenye utu,busara,hekima na ubinadamu hawezi furahia kitendo alichofanyiwa Lissu

  • @user-gd1yp1tu6g
    @user-gd1yp1tu6g Před 21 dnem +2

    Hakika Mungu ni mwema sana sana sana

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs Před 21 dnem +2

    GOD BLESS LISU GOD BLESS TANZANIAN

  • @Ezekiel-xz8dl
    @Ezekiel-xz8dl Před 21 dnem +3

    Mung akujalie afya njema tund

  • @alltanzania
    @alltanzania Před 21 dnem +1

    Ukuu na nguvu za Mungu vimedhihirika kupitia hili tukio. Hakuna binadamu anayeweza kuharibu mipango ya Mungu.

  • @user-kj6yc5bv8c
    @user-kj6yc5bv8c Před 20 dny +1

    Mungu wetu ana makusudi na Tundu Lissu wetu hakika

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 21 dnem +1

    Mmmh, pole sana

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 Před 20 dny

    Pole san baba angu

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 21 dnem +5

    Mungu ana manguvu yake

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před 20 dny +1

    Usibadili kitu, zunguka nayo kwenye mikutano tuione please.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 21 dnem +5

    Hakika mungu mkubwaaa

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Před 21 dnem +1

    Ipo Haja Yakumchangia Mh Lissu Gari Anastahili Gari Jipya

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c Před 20 dny

    Ipo cku mwenyez mungu atatenda kwako utuokoe

  • @AmiriNkungu-po7dy
    @AmiriNkungu-po7dy Před 16 dny

    Mungu akulinde san mh tundu lisu

  • @osodowilberforce
    @osodowilberforce Před 16 dny

    Congratulations Hon.Lissu.

  • @petermkumbo5094
    @petermkumbo5094 Před 21 dnem +2

    Ungepitishwa mchango tu ipatikane mpya,hii ikawekwe makumbusho .Wazo langu.

  • @evermbano5396
    @evermbano5396 Před 16 dny

    Hii gari asiitumie Tena tumchangie gar mpya ukakaae makumbusho

  • @alexbitakwate
    @alexbitakwate Před 5 dny

    Kamanda rpc dodoma ama kweli nilikuelewa vilivyo kwa namna ulivyoshugulikia suala la gari la kamanda lissu,lakini chanzo cha dhahama hiyo ndo bado.

  • @daviddsouza735
    @daviddsouza735 Před 11 dny

    Gari naomba liwekwe makumbusho

  • @HappyMountainGoat-wh8ko
    @HappyMountainGoat-wh8ko Před 21 dnem +3

    Gari imetoka, je! Uchunguzi wa lile tukio umefikia wapi?

    • @edwinmbelle4207
      @edwinmbelle4207 Před 21 dnem

      Uchunguzi unaendelea mlalamikaji alikataa kuhojiwa

  • @FilbertFissoo-pe2xm
    @FilbertFissoo-pe2xm Před 20 dny

    Mwenyenzi mungu akupe afya njema mtetezi wa wanyonge na haki uishi miaka mingi

  • @user-dh4xn4qc2d
    @user-dh4xn4qc2d Před 17 dny

    Nadhani kama Kuna yaliyotumwa uuwawe na yule muovu kibaka bsi Mungu atakuwa alishaliondoa hapa make lilikuwa jinga sana lile lilikuwa halifai kabisa

  • @user-pw8pi1ev9u
    @user-pw8pi1ev9u Před 21 dnem

    Mwenyezi MUNGU BABA MWINGI WA REHEMA NA NEEMA AKULINDE UWE NA AFYA NJEMA UZIDI KUFANYIKA BARAKA

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před 20 dny +1

    itumike kuzunguka nayo kwenye shughuli za kisiasa nchi nzima wananchi wajue uovu wa nchi hiii

  • @charleskingimwakasagule5752

    Ipelekwe makumbusho na matundu ya lisasi hivi hivo

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 19 dny

    Gari mpya kwa Lisu ndo haki na hili likae hivyohivyo watu waje walione na kukiri ya kuwa yupo MUNGU ANAYETAWALA.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 21 dnem +4

    Ili Neno litimie🙏🏿

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Před 18 dny

    Rais wetu

  • @AnordMgisha-on2mh
    @AnordMgisha-on2mh Před dnem

    Saf San baba 🎉

  • @silvesterrichardhelenya1319

    Nilichogundua hata polis wanampenda pia kwa Sababu Huwa anawatetea wakati mwingine Tanzania inatakiwa kuwa hivi

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda Před 21 dnem

    Uncle Lisu wewe zaidi ya chuma 🛠️ mungu akutangulie rais wetu mtarajiwa malipo ni humu humu 🇹🇿 tz ✌️✌️✌️

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq Před 21 dnem

    Mungu akulinde mheshimiwa lisu

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 20 dny

    Mheshimiwa Tindu Lissu , hilo gari tafadhali usitengeze wala kulitumia tena, ingekuua Tanzania ya mwalimu Nyerere , serikali ungekununulia gari jipya na hilo kuhifadhiwa kwenye makumbusho ya Taifa, watoto wetu na wajukuu wana somo nzuri la Democracy na haki kuwa inapiganiwa haipatikana kirahisi ni kama mapambano ya kupiginia uhuru wetu.

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 Před 20 dny

    It's really pathetic! Kuna binadam ni wabaya Sana! Kikubwa umepona Mheshimiwa. To God be the glory!

  • @ibrahimdavid6219
    @ibrahimdavid6219 Před 20 dny

    Mwakatobe mtata huyo😂😂😂

  • @enocepaulkumba9362
    @enocepaulkumba9362 Před 21 dnem

    Kamanda wa vita!.
    Mungu na akutunze.
    Katika nchi hii umefanyika baraka sana tena sana!
    Wewe ni wa pekee!
    Wenye nia ovu na maendeleo ya nchi hii walidhamilia kukuua lakini Mungu ni mwema akawaondoa wao!.
    Jina la Bwana lihimidiwe.

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před 20 dny

    Kwamaana iyo jeshi letu lapolisi limeshindwa kuwapata waalifu?

  • @deborahlagila6351
    @deborahlagila6351 Před 21 dnem +1

    Tutachangia mweshimiwa Lisu

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry Před 21 dnem +1

    Siku ya kwenda kualishwa kuwa Rais wa hii nchi gari hii ndiyo uitumie, na Nembo/ Ngao ya ikulu ibandikwe, kisha ndio iende makumbusho.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Před 20 dny

    Watz ni mbumbumbu...bado hawaoni sababu ya kuyakataa ma-ccm

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Před 21 dnem +2

    Achani matus uzima haununuliwi ipo siku yagtageukia kwenye familiza zenu

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 Před 21 dnem

    Mungu akulinde mheshimiwa

  • @stevenfrancis9115
    @stevenfrancis9115 Před 20 dny

    Wengine tunashindwa tuandike nn,enatisha

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 19 dny

    Mungu ndio anatoa uhai pole sana

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 20 dny

    Anapendwza kuwa Rais wa nchi yetu ya tanganyika

  • @lellodidass.6851
    @lellodidass.6851 Před 21 dnem +3

    Duuh binadamu hawajui Mungu ni fundi.

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 Před 19 dny

    Mkishinda uongozi hiyo gari ndo ukubebe kwenda kazini

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 Před 21 dnem

    Pole sana mzee wangu daaah kuna mda sijui niseme tulipitia Faida sijui hasara navuta picha tu mfano tundu ngekuwa baba yangu na akatendewa haya navuta picha familia yake ilipitia wakati gani haya mambo yangekoma kabisa si mambo ya kuomba yajirudie tena hii nchi ilifikia wakati ikaogopesha hata kujielezea tuu mtu unapata shaka

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 Před 20 dny

    inaonekana ulitakiwa uuwawe .dah pole sana

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Před 21 dnem +1

    Wana nchi tunapendekeza hili gari liende makumbusho . Kama ni gari tutachanga upate nyingine

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 21 dnem +1

    Nipo tayari kukuchangia kabisa

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 21 dnem

    Mungu akakupee kila neema kwa ujasiri uliokuwa nao! Hii ikawe kumbukumbu katika Tanzania hii!
    Vyombo vya usalama mnajisikiaje kwa kutofuatlilia kikamilifu hili jambo.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 21 dnem

    Pole sana Lisu, jamani Mungu ni mwema sana

  • @user-uk3eg3uo7s
    @user-uk3eg3uo7s Před 21 dnem

    Hukumu ya mungu aliye hai iwe juu ya wote waliohuska kutaka kumuua lisu amen.

  • @assenganews9435
    @assenganews9435 Před 21 dnem +1

    Nice

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 Před 21 dnem +2

    Pole sana ndugu yetu lisu mngu akulinde sana

  • @feliciankavishe6792
    @feliciankavishe6792 Před 21 dnem

    Mmnaona hiyo gari machine nayo tumchangie amateur gari mpya yakisasa

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 20 dny

    mkuu wa jeshi la polkisi dodoma hana kaz

  • @jacksonbohbahck6307
    @jacksonbohbahck6307 Před 21 dnem +1

    Mungu fundi xn

  • @sarahstopher6209
    @sarahstopher6209 Před 20 dny

    Makumbusho inayotembea

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 Před 20 dny

    Naona kama dirsha la upande wa kushoto kioo kipo chini ina maana mvua za miaka7 maji yalikua yanaingia ndani ama ilikua imefunikwa?

  • @matatamatatatours3237
    @matatamatatatours3237 Před 20 dny

    Hilo like kama
    Makumbusho
    Liache ivoivo
    Na matundu yake ya risasi

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 21 dnem

    Mungu ni mwema kwakweli
    Sema hili gari lijengewe liwe la makumbusho

  • @erickpallangyo1325
    @erickpallangyo1325 Před 21 dnem

    Duh😢😢😢😢 MUNGU nimwema sana

  • @SemuAmini
    @SemuAmini Před 21 dnem +3

    Hapo ndipo unapoiona nguvu ya MUNGU aliye hai .

  • @assenganews9435
    @assenganews9435 Před 21 dnem +4

    Mungu anasababu za kutoa hai na tunaziona sababu

  • @hamadimussa2119
    @hamadimussa2119 Před 18 dny

    Tundulisu wewe ni mwanasheria, hebu niambie nisheria gani ya Tanzania inaruhusu mwanaume kuvaa makachakacha hayo kama mwanamke

  • @WinfridaCreitus-bf3zn
    @WinfridaCreitus-bf3zn Před 21 dnem

    Sasa inakuaje gari iko polisi afu number zake zinatumika na gari nyingine sio uhalifu huo? Naomba hili life yiww kazi haiko sawa.

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953 Před 21 dnem +1

    Hii sasa imekaa sawa

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 Před 21 dnem

    I hope the car is safe
    Take care ka Lissu please ❤️🙏🏾

  • @mputamputaa5347
    @mputamputaa5347 Před 21 dnem +1

    AllahuAkbaruuuuh

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 Před 21 dnem

    Mwanadamu ni mnyama muovu sana hivi nikitu gani mh Lisu aliwakosea wakaamua wamuue?na Mungu akamkinga kwa upako na yupo hai lkn baado hawaoni utukufu wa Mungu juu ya tukio hili baado wanabishana na mpango wa Mungu aisee ishala zote hizo hamtambui utukufu wa Mungu mh Lisu ni mpangu wa Mungu acheni atimize ya Mungu hapa duniani kisha ataondoka mkimzuia mtapata ya maguful

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před 20 dny

    Dah!

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t Před 19 dny

    Pole sana mheshimiwa wetu

  • @maigekigendi6414
    @maigekigendi6414 Před 21 dnem

    Mungu ni Mkuu

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Před 20 dny

    Ila viongozi wa serikali ya CCM 😢😢😢😢

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 Před 21 dnem

    Tushukuru mungu kila wakati