Msukuma huna mchango mbaya.bigup sana Mungu akulinde,Mungu akuinue,Mungu akubaliki sana.Wanyonge tunaukubali mchango wako bungeni Siku moja Mungu atatuokoa mafisadi
Magufuli kwann ulikufa lakini ,, huko uliko hata ile barabara ya makambako songea mpaka leo mashimo tu, CAG huku lipoti nishoti tu magu msukuma wanamdharau bungeni eti hajasoma.
Mheshimiwa msukuma nipo mdogo wako hadhina ya taifa nasikitika Sana kwa hilo soon tutakutanaa huko tutasomana vema ndo maana wasukuma wanatuona wakaidi but brother soon ntafka mungu ainue utukufu wake tu
Hapa ndo tunaelewa msomi ni Nani Nadhani msukuma ni msomi kamili hachana na HAO wanatafakali usomi katika karatasi Ila nje wanayoyafanya hata haya....... Big up grandpa!!!!!!!!
Huyu kingmsukuma hana kura za maruhani anakura za wanainchi kias hata ikichukua chama ingine huyu hakosi kura za wanainchi maana ni mbunge wa wanainchi kwa tiketi ya ccm sio mbunge wa ccm kwenye jimbo alipo
Msukuma wew ni kiongozi bora kama magufuli mi ningependa sana ugombee urais tutakupitisha tunaona kazi zako nzuri sana
Good brother
Na Makonda
Mmmmmmmmh, urais????
Msukuma kama msouth africa au Mexico 🇲🇽 big up
Daaaa ubalikiwe musukuma
😂wewe kiongozi bora
Tungekuwa na wabunge kama msukuma 10 nchi yetu ingepiga hatua sana sana ,msukuma mungu akuzidishie maisha marefu
Jaman uyu Msukuma bas tu jaman anasema ukwel mtupu Mungu akutunze baba yetu tunakupenda mnoo🥰
Msukuma Yuko vizuri sana taifa mtumieni huyu mfanyabiasha atatuokoa Mungu akusimamie Msukuma
Asante Msukuma. Waambie BRT itumie UMEME acheni Disel. Msifunge uzalishaji wa ziada wa umeme, utumike BRT na mabasi ya mijini.
mmmh inatumia diesel?
kama inatumia diesel, basi tnahitaji katiba kama China
kiongozi akichakachua hukumu yake shaba
Uko vizuli sana we nikiongozi bora unafanya kazi nzuli natamani ungekwa Mbunge wetu asant
Upewe ulinzi ❤baba
Ubarikiwe sana kiogozi Bora mtetezi wa wanachi
Musukuma Ana uchungu na Tanzania 🇹🇿
Mungu akulinde ❤ msukuma,wewe ndo magufuri wa pili mungu akupe maisha marefu
Ndio kibsaaaaa
Mungu akulinde msukuma kama alivyowalinda wana waisrael jangwani
Hongera sana baba yetu mpendwa 🎉🎉🎉 long live
Wewe nikiongizi borasana mungu akulinde baba
Muskuma mungu akuzidishie uripo pungukiwa naakupe maisha marefu
Hongera sana Mh
Msukuma unanibarikj sana yaani barikiwa😍
Wachane wachane Msukuma. Hiv ndyo wabunge mnatakiwa muwe Siyo kumunguny maneno Mungu akuweke Mhe.Msukuma wetu
kama ulipagawa na hio cover photo ukafungua hii video😂 like hapa
Fala ww
Yaani waandishi niwatu wakuwasamehe tu
😀😀😃😁😄😂😂😂😂😂
Msukuma nakubali kwa unavyo licharua bunge
Mchango mzuri mno kwa kweli it’s too much!
Hahahahaha 😅😅😅😅😅😅😅 ametixha sanaaa
Msukuma hongera sana umeongea point sana tatizo la nchi hii utekelezaji. Naomba tuchukue fomu ya Urais wakuluma wenzako tutakupa kura
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
0:21 0:44
duh yaan wasukuma wana akili mno
Msukuma huna mchango mbaya.bigup sana Mungu akulinde,Mungu akuinue,Mungu akubaliki sana.Wanyonge tunaukubali mchango wako bungeni Siku moja Mungu atatuokoa mafisadi
Hakuna msukuma boya 😂😂😂😂😂
Inaumiza sana sana Sasa hao wafungwa wa somalia kosa lao nikuingia nchini kinyume na utaratibu sikuwarudisha kwao kuliko kuhangaika nao
Binge la Tanzania mi tofaut kabisa na mabunge ya nchi zengne Tanzania bdo Yuko nyuma san
Hahaha Eti mtoto wa kitaa msukuma oyeeeeee 😂😂
oyeeee🎉🎉🎉
Mungu mwenyezi akubariki
Duh umetisha msukuma 😁😁
Nimezimiss hiz moments
Msukuma bora ugombee uraisi
Good job 👍
Allah akulinde 🙏🙏🙏
Kanda ya ziwa stand up respect wanyoshe.😮😮😮😮😮😮
Uko vizuri baba
Very good
Sema ukwer 😂😂
Msukuma nitafute nikipe soda ,au beer 😂😂
Ase mimi sema ukweli uyu mzee wetu agombee urais tu 🤗🤗
Na lazima apite
Daaaah uko safi sana mzee wa kazi hurry up hurry up wizi mkubwa mimi sioni faida ya elimu wizi tu
Nchi yetu kila mtu anawaza madili tu ndo maana hatuendelei. Raisi wetu jpm pumzika kwa amani
Yaani tunaviongozi wa ovyoo sana!musukuma aliwanyosha tena wameibuka,mamma anakopa wanakula.😢😢😅😅
😅msukuma i love youuuuuu
Msukuma mh shimiwa hongera sana ❤❤
We ndo kiongz Bora
Mungu akulinde unatutea masikin wenzako
Msukuma sema utalipwa na Mungu.
Magufuli kwann ulikufa lakini ,, huko uliko hata ile barabara ya makambako songea mpaka leo mashimo tu, CAG huku lipoti nishoti tu magu msukuma wanamdharau bungeni eti hajasoma.
Hajasoma lakini anapoiti
Kusoma siyo Kila Kitu.....ubora wa kiongozi siyo kisomo tu....mambo ni mengi.
lait tukiwa na watu wa hivi kamaa 100 ingekuwa raha sana big up msukuma
Ongela. Sana mh.mbunge msukima nikweli eabunge we give nieezi.pia wapo kwa ajiri ya matumbo yao tuu hawapo kwa ability yakuwatumikia watu.
Uko vizuri mwakilishi wa wanyonge
Asante msukuma JPM Rest in peace inaumiza time will tell
Hiyo hatarii saanaaa
Msukuma uko vzr
Hiii ichiiii
Hongera sana king msukuma
Ila mungu alibariki bunge na viongozi tusonge Mbele ila hao wezi wakalime warudishe hela cc raia tunaumia sana .
❤msukuma
Kwa kweli kama kungekuwa na wabunge kama msukuma 20 tu tz tungesonga mbele sana
Mungu akulinde msukuma
❤msukuma nakukubali sana😅
Nakukubari sana weye mheshimiwa mpina piga kazi
Hongera sana msukuma,wape makavu,watu hawana woga..
Asaivi bunge la kichoko
Msukuma mungu akulinde undelete kusema ukweli
Good
Tunakupenda msukuma❤😂😂
hongera sana broo irifaa wotee humo bungeni waigee huo mchango wako daah
Msukuma na kishimba nawapendeni🎉🎉🎉🎉
Mheshimiwa msukuma nipo mdogo wako hadhina ya taifa nasikitika Sana kwa hilo soon tutakutanaa huko tutasomana vema ndo maana wasukuma wanatuona wakaidi but brother soon ntafka mungu ainue utukufu wake tu
Jamani kuweni na hofu ya Mungu hii nchi itabakia na hamtaondoka na kitu duniani ni mapito tuu.
Tunakupa pongez Sana gombea tutakupa kula 3:03
Asante sn mbunge wang mtetez wa wanyonge wew na makonda mumefuat mienendo ya anko magu
Hujui kufananisha inahitaji elim pia
( uskurupuke )
Kweli ❤
Wasukuma mna misimamo inayotakiwa katika taifa hili, hongera bro
Upo saws nakuombea kwa mungu akuongeze
Nice
Kweli kabisa umesems
Smagufuri lala salama musukuma omba uraisi ntakupa Kula yanguu
mungu akulinde msukuma baba wewe nikama baba magufuri
Umemuona na ww et
Kaka hua ukiwa hapo bungeni ninakuerewa sana sana
Mungu akulinde
Hapa ndo tunaelewa msomi ni Nani
Nadhani msukuma ni msomi kamili hachana na HAO wanatafakali usomi katika karatasi Ila nje wanayoyafanya hata haya.......
Big up grandpa!!!!!!!!
Asante sana msukuma
Wambie hao msukuma bungeni
Hakuna mwenye machungu na inchi ila wapo kwa ajili ya masirahi yao na familia zao tu
SI WANAIBANAEEEE
Big up sana msukuma
Yuko vizuri msukuma
Safi msukuma
Wao mbunge wetu sema
Ole siza bhabha🌷🥀🌹
Hongera msukuma
Huyu kingmsukuma hana kura za maruhani anakura za wanainchi kias hata ikichukua chama ingine huyu hakosi kura za wanainchi maana ni mbunge wa wanainchi kwa tiketi ya ccm sio mbunge wa ccm kwenye jimbo alipo
Uko vizuri
Mh, baadae gombea urais kura ya Kwanzaa ni yang, wasukuma hatushindwi kitu
Msukuma uko sahihi💯💯
Semasemaaaass
Mh.Unajua
Mzimu wa Magufuli umemuingia
Kabisa tena sana2 😅😅
Unaongea ukweli mtupu Sana