SEHEMU YA 2 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA
Vložit
- čas přidán 19. 04. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds
Best interview ever ,.. I didn’t see before 🥲Majority tupo hapa coz G ametutoka
Every Strong And Positive Man! Real Open Love It! RIP Brother.
Mungu akupumzishe mahala salama kaka Captain Gardner G Habashi ❤
Huyu mtangazaji huwa anaitwa nani..?anajitambua sana ......r.i.p G
Booooonge la interview, Mtangazaji katulia, maswali yanaeleweka, yanaulizwa kwa urahisi,na G, ametulia anajibu simple na straight, safi saaana.
Dunian bado kuna watu wazur,Tuzidi kumuomba Mungu atukutanishe nao, Nimependa interview and Rip Gadnar😢
Hongera kwako mtangazani, unauliza maswali ya msingi. Wote ni wa Mungu
Stanslaus Lambert my favourite media pesonality..... Keep it up
Yes very good journalist!
Host ametulia sana na Gadner anajibu vizuri sana hihi ndio maana halisi ya interview and professionalism, media na watangazaji wengine tujifunze kitu hapa smart mind,smart answer, smart move,perfect answer and kubwa zaidi utulivu
Jamaa anajua sana apumzike kwa Amani. Sio utaskia No comment 😏 ulikubali interview ya nini..?😅
Gardner alikuwa mtu mwema sana.,, pumzika Kwa Amani bro.. Kuna mambo mengi nimejifunza kutoka katika hii interview.
Rest in peace...
Best interview 🎉.R.I.P Captain
Wale celebrities uchwala wa no comments...jioni mjifunze kujibu hata kama swali unataka likwepa kuna the right way ya kukwepa inakuwa haiboi...SIMPLE AND CLEAR.
Kabisa
Pole Sana Caren
Kazi nzuri ksana kwa captain na mtangazaji
Mtangazaji uko vizuri🎉
Mwenyezi Mungu akupumzishe kwa amani
Rip Captain
Dunia mapito kabisaa
Yaani
this interview was amezing
Nime enjoy sana, bonge la interview
Mtangazaji uko vizuri
One of the best interview i watched
Hii interview ipelekwee makta R.I.P babu G😢
Big memory🙏🙏🙏🙏🙏
Interview Kali kinomaaa
Mtu safi
Pumzika kwa amani bro.
Daaaah Pumzika kwa Amani Gadna
Lov u Champion
your authoritative voice will be missed ! R.I. P brother
Bonge ya interview
Kweli kabsaaaa
Smart man rest easy
Duh Inauma sana jamani
Stanslaus Lambert & Skywalker S&S - nawafatilia sana ,Emphraem Kibonde video yake ya mwisho msibani kwa Ruge nnayo hadi leo , Ruge nilisililiza sana vipindi vyake ,Gardner interview hii imetoka kama true story, 😢RIP Captain 🧢
Aisee kweli life is too short.Mungu tupe mwisho mwema.
RIP Legend 🕊️
Innalllilah wainnalilah rajirun
Rip bro
Hii interview nimejifunza mengi 💔.R.I.P captain G
😢😢😢😢
R i p captain ulikuwa mtu poa sana my brother 🎉😢
Nani asieee 😅😅 na ajitokezee, RIP Captain Gardner G
😂😂😂
R I P captain G habashi nimejifunza kityu
R.I.P
Lala salama Gadner 😭😭 pumzika kwa amani
Mtangazaji anajielewa sana aiseee ametulia anauliza maswali kisomi saaan hakurupuki
Jamaa voice yake kama salim k
RIP brother G.
R.I.P brother
Mbona kwenye risala walisema ameacha mtoto mmoja na mjukuu mmoja. Kumbe ye mwenyewe kasema ana watoto 2?
R.I.P G
R.I.P 😢
Duh we host sio powa
RIP Gardner
Rest in peace Captain Habash.
😢😢😢😢
R.I P Gadner😭😭😭😭😭😭😭😭
Hio harusi jamani simungedumu kabisa mpaka mkawa na watoto
Nafurahi sana mtu km wewe ulikua wa pekee sanaaa.
Gadner nitakukumbuka mnooo
Uko km mimi
R.i.p Captaaain 😢😢
Rest in peace gardner😢
Rest in peace ✌️ champion