Ukisikia kizuri hakidumu ndio hivi .... Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi umepambana sana Umewapigania sanaWasanii na wote Pumzika Kamanda Mwamba umemaliza mwendo RIP
Rest well Gardner kifo hakina Huruma,baada ya kifo na kuona ukubwa wako ndo naona nilikua nikimskikiliza mtu muhimu kuliko kupitia jahazi la clouds fm.
Kwa bahati mbaya nimechelewa kumjua Gadna, Nadhani ili tatzo sio pekee yangu ambae tunachelewaga kuwajua watu, tunakuja kuwajua tayar ayupo kwenye aya maisha, ata sielewi nikwanini?
Tunaotembealea kumsikiliza Gadna baada ya kufariki😢
Tupo wengi bado tunamlilia capteni wa gemu yetu😢
Daaaah Captain 😭💔. Legacy yako itaendelea kuishi moyoni mwetu. Rip Captain 😭🕯️
Ukisikia kizuri hakidumu ndio hivi ....
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi umepambana sana
Umewapigania sanaWasanii na wote
Pumzika Kamanda
Mwamba umemaliza mwendo
RIP
R.I.P Legend😢🕊️❤
Rest well Gardner kifo hakina Huruma,baada ya kifo na kuona ukubwa wako ndo naona nilikua nikimskikiliza mtu muhimu kuliko kupitia jahazi la clouds fm.
Salama Jabir ni kichwa yaani yy ni mfano uliohai wa kile mwanaume anaweza,mwanamke ana weza zaidi.Big up Salama
Kwa bahati mbaya nimechelewa kumjua Gadna, Nadhani ili tatzo sio pekee yangu ambae tunachelewaga kuwajua watu, tunakuja kuwajua tayar ayupo kwenye aya maisha, ata sielewi nikwanini?
Jomoni you will always be missed,Jemedari mnyenyekevu kwa Asili.....Pumzika kwa Amani
Gadna G kichwa sana nakukubali blood.
Hapa Ndio Nimegundua Gadna Ni Package
Du kama kufanana na Karen macho hadi poa
Alikuwa very bright
Nimefika tena hapa😢DAH nimeumia kwakweli mungu 😢😢reast easy bro🕊️
Nani ameona Gadner kafanana na Willy M Tuva mtangazaji wa kenya
Tuliorud hapa baada ya Gadner wetu kutuacha😢😢😢😢😢
gadina kumbe ni M tu wa kujishusha sana ongera sana kaka Ekima unayo
KISWAHILI SANIFU KABISA GARDNER RIP
Very handsome man
safi salaam huko makini katka maswali yanii nimekupenda sana we ni kiooo hasilia cha jamii
Frida Mbwambo ni kweli
May his soul continue to rest in 😢
muba muba unaboa unazunguka sana kuuliza swali.
R.I.P captain😭
😢😢😢😢
this guy iz very smart
R.I.P Legend 😢
Nice conversation, a lot of important things thats most of Tanzanian we have to lern from it...great job salama..
I guess it is pretty off topic but do anybody know of a good website to stream newly released movies online?
This tz very good...but tunaomba ya adam juma pliizzz
Namkubali Gadner saana
RIP. Umescha legacy kbw sana.
Ninacho shukulu nimekufaham na nimependa unacho fanya tangu ukiwa hai RIP gadna
Yeah you are so FREE brother, honest ya hali ya juu.
Smart guy
Tunashkuru kwa kulifanyia kaz sasa ngoja tumcheq bwana ablood
Irreplaceable# Rip bruda
Kapiteeeni
R.I.P
Rest easy kapteeeeniiii
asalam aleykum mr Gardner kaka nakukubali big up
😢😢
Captain
G habashi kaza buti kaka uko vizuri sana
😪😭
This guy was cool I did not know!
Ebwana namkubali Sana Dadner
26:13
ukovizuri mangi
Salama jabir wapi ?,mkasi nowadays..... pliz
Anayo show nyingine
@@editorfrank7471 ok
Rip
😂
Alikua handsome kweli lakini yale maji yalimharibu sura
Maji yalikoleza sura😂😂
Kapiteeeni Gadna anafanana sana na binti yake malkia Karen
Wamefanana sanaah
🥹
Wangapi tuna mu wish RIP gadna ?
R.I.P