I love the way u ans the questions kwa utulivu n beautiful smile without interfer people should learn how to do interviews like the way u did 👌🏾 Bravo 👏🏾
Jmn why tunakufaaaaa😢😢so sad shame we real remain with pain indeed they feel it once but with us is too much may God bless this two kwa kilakitu they show us and contribute in our society
Ushoga ni kitu cha AIBU! LKN WAMEKUWA WA WAZI NA WANAJINADI, ZAMARADI GARDNA AMEKUULIZA SWALI GUMU LA HEKIMA SANA. KWAMBA NYUMBANI KUNA WATU KAMA HAO? UKAKANUSHA, BRAVO ZAMA. KIPINDI KIZURI WATATU HAWA.
I lv the way unaongea zama kiukwel nimekupenda bure mbali na hapo hofu ya mungu uliyonayo na kutaka kuwakuza wanao ktk uwepo huo wa mungu is wat most of as women we should knw o learn unajibu maswali vyema umetulia i think sociology real fits your kipind kizur KEEP ITS UP lv u
dada zamaradi nimekukubali wallah wewe nimkweli na watu hawakujua kusudio lako mimi nimekuelewa sana kifupi naimani wazazi kuto kuwachunga watotowetu vizuri ndio mtihani unao fikia hatua ya watoto kupotea
Uislamu unafundisha mtoto mwema ni yule mwenye kumuombea mzazi wake Duaa ,,Vipi ww mzee wako yuko mbele ya Haki hujistiri na hata kma unaswali swala tano bado stara yako ...Badilika muogope Allah act as a muslim by actions and Not by name
Sulaim Sameer hayo ndio yetu watanzania inawezekana huyu kutoa vibanzi kwa wenzetu wakati tuna maboriti kwenye macho yetu tujirekebishe mavazi hayaendi mbinguni matendo mema yatatupeleka
Beatrice Henry @ Imani yako na yangu sio sawa Tafadhali Uislamu unaeleza stara ya Mwanamke ilivyo Sister sasa nyinyi kwenu kama Mnaruhucwa kwa Waislamu is Harram huyo anatembea hvyo Anapata dhambii kibao usiku na Mchana ana Hasara
Sulaim Sameer hongera wewe uliye mzuri lakini mwenyezi wetu ni wa rehema na upendo ndo maana tunaishi tunataka, tunaiba, tunahukumu n.k bado anatupa uhai bure na mengine mengi naye ni mmoja tu aliyetuumba najivuna kwa hilo dini hainitengi na mwanadamu mwenzangu nampenda kila mtu sitahukumu nisijehukumiwa hakimu wa kweli ni mora tu sameer nakukubari pia maana sote ni. Wana wa. Adam
Beatrice Henry @Kafiri hawezi kumpenda Muislamu hata siku moja ni Pretending too ,, siwezi kumuhukumu yoyote bali nasema Zamaradi mrudie Mola wako Na ujistiri umaarufu haukusaidii kitu hii dunia tu dada Urudi Huna chochote mbele ya Allah na Ufunge ndoa una watoto wawil na Zinaa ni Harram ktk Uislamu u said ww ni Advisor kwa Watu So stop advicng watu ww jiangalie u need more Advce sister mrejee Allah
Kwa kweli nimeguswa sana vyombo vya habari vingetusaidia ss wazazi tungefurahi sana swala lote la zama na makonda vinafanana ninacholaumu vyombo vya habari havijasaidia hipasavyo zaidi ya kulaumu imetukatisha tamaa sn ss wabeba ujauzito miezi 9 na kuzaa kwa uchungu hongera. Zama ongera. Makonda
Dada u big up allah akulinde na pia mungu utapomuomba akusamehe kwa kosa ulilofanya mbona mara tu atakusamehe kwa tuliyoyakosa tumuombe mungu inshallah atatupa wepes
sameer usiseme hivyo Allah hapendi umuhukumu mtu hakuna dini inayosema uzae nje hata kanisani unatengwa mm nakumbuka zaman nlikua na rafiki yangu na alitengwa tena sijui sasa kwa haya makanisa ya biasharaaa
RIP kibonde, RIP Gardner HABASH GABRIEL. Shall meet there heavenly knows! Amen
Kibonde was my favorite presenter
I love the way u ans the questions kwa utulivu n beautiful smile without interfer people should learn how to do interviews like the way u did 👌🏾 Bravo 👏🏾
Best kipindi ever, umeanza vizury mama Juh juh, maintain it n make it more great. We support u😊
nice
One of the best I hv ever seen. Three of my best! Kibonde we will miss you.
Kwel dunian tunapita dah😢😢leo wote hampo kaka zetu😭
Nimetudi kutazama hii interview baada ya kufariki Gadner
Let me say it today.... I'm in love with your brain Zamaradi. You're smart!!! - Ezden J.
love u zamarad mungu akuweke
Very wise woman keep it up zama ❤️❤️
i do respect sana huyu dada, namkubali sana namna anapresent kitu ....anavyoongea ,yaani its real awesome ,ni mwanamke real wa kuigwa
Jmn why tunakufaaaaa😢😢so sad shame we real remain with pain indeed they feel it once but with us is too much may God bless this two kwa kilakitu they show us and contribute in our society
Great Zama unauwezo mkubwa wa kufafanua jambo haswa katika swala la bongo move...great my sister I wish you all the best
Daaaaah r i p
INNALILLAH WAIN ILEIHI RAJ.UN
Ushoga ni kitu cha AIBU! LKN WAMEKUWA WA WAZI NA WANAJINADI, ZAMARADI GARDNA AMEKUULIZA SWALI GUMU LA HEKIMA SANA. KWAMBA NYUMBANI KUNA WATU KAMA HAO? UKAKANUSHA, BRAVO ZAMA. KIPINDI KIZURI WATATU HAWA.
Daa huyu dada amenikosha sana, anaongea kwa ijasiri, confidently and consistently with genuine knowledge.
I lv the way unaongea zama kiukwel nimekupenda bure mbali na hapo hofu ya mungu uliyonayo na kutaka kuwakuza wanao ktk uwepo huo wa mungu is wat most of as women we should knw o learn unajibu maswali vyema umetulia i think sociology real fits your kipind kizur KEEP ITS UP lv u
Hongera Zamaradi, itapendeza watu wakiokoka na kufanya mapenzi Ya Mungu kimwili na Kiroho, tuanze na mavazi, ukataji. nywele kwa wanaume
Welcome back my number one show. Nakupenda Bure zamaradi with ur team "TAKE ONE"
Partners in crimes rest easy 😢🕊️
What do you mean
@@josephlorri431 they were more than friends every where walikuwa Pamoja kwa kila jambo
.
She's Very Smart Lady👌❤
Rip kibonde na gardina mungu awapumzishe kwa amani
lov u❤zamaradi❤ Hongera
episode 2 naitaka pia
RIP both Ephraim Kibonde and Gardner G Habash
😢
Can't Believe this
Mungu wetu atupe mwisho mwema na atujalie tuishi vyema na wanadamu wenzetu
Such a polite woman
jamani nime enjoy interview hii hatari yaaani ...zama b blessed sista angu ...
Matured enough
R.l. P kibonde
dada zamaradi nimekukubali wallah wewe nimkweli na watu hawakujua kusudio lako mimi nimekuelewa sana kifupi naimani wazazi kuto kuwachunga watotowetu vizuri ndio mtihani unao fikia hatua ya watoto kupotea
Rest In Peace KIBONDE, nilikupenda sana, Jahazi imepwaya mpaka Leo hii.
ofcz zamaradi ana biger brains si ndio mana hata alidate na Ruge
Very good mama zamaradi kwamajibu yako
Kwa nini navutiwa kurejea "interviews' za marehemu? W/end iliyoisha nilitumia kuwasiikiliza mzee Mkapa,Mwl Nyerere
I like u zamrad nimekuelewa kuliko kuna kitu umenifunza bila wewe kujua May Allah shine ur days always
Fatty Kurwa zama. M/. Mungu akubariki
Mashallah nice Zamaradi
RIP MIAMBA ALWAYS TUTAWAKUMBUKA DAIMA...
Rest In Peace Gadner Habash na Ephraim Kibonde Mungu awarehemu makosa yenu Amen
Kweli duniani sio kwetu
zama hongera Kwa kuwa mama bora na dada wa kujiamin sasaa mbona sijaona ya saida karoli? from u,s,a
R.I.P Kibonde na Gadner
Dunia tunapit 😭😭
Rest in peace Kibonde and Gardner until we meet again😭
😢😢😢
Nice job Zamaradi
Asante sana endelea kutusaidia saikolojia
Muda mwengine nataka kukulaumu ila cjui mawazo yako ila Allah atusameh kwa sote Zama ila turudi kwa Allah Love u😚
Rip kibonde
Uislamu unafundisha mtoto mwema ni yule mwenye kumuombea mzazi wake Duaa ,,Vipi ww mzee wako yuko mbele ya Haki hujistiri na hata kma unaswali swala tano bado stara yako ...Badilika muogope Allah act as a muslim by actions and Not by name
Sulaim Sameer hayo ndio yetu watanzania inawezekana huyu kutoa vibanzi kwa wenzetu wakati tuna maboriti kwenye macho yetu tujirekebishe mavazi hayaendi mbinguni matendo mema yatatupeleka
Beatrice Henry @ Imani yako na yangu sio sawa Tafadhali Uislamu unaeleza stara ya Mwanamke ilivyo Sister sasa nyinyi kwenu kama Mnaruhucwa kwa Waislamu is Harram huyo anatembea hvyo Anapata dhambii kibao usiku na Mchana ana Hasara
Sulaim Sameer hongera wewe uliye mzuri lakini mwenyezi wetu ni wa rehema na upendo ndo maana tunaishi tunataka, tunaiba, tunahukumu n.k bado anatupa uhai bure na mengine mengi naye ni mmoja tu aliyetuumba najivuna kwa hilo dini hainitengi na mwanadamu mwenzangu nampenda kila mtu sitahukumu nisijehukumiwa hakimu wa kweli ni mora tu sameer nakukubari pia maana sote ni. Wana wa. Adam
Beatrice Henry @Kafiri hawezi kumpenda Muislamu hata siku moja ni Pretending too ,, siwezi kumuhukumu yoyote bali nasema Zamaradi mrudie Mola wako Na ujistiri umaarufu haukusaidii kitu hii dunia tu dada Urudi Huna chochote mbele ya Allah na Ufunge ndoa una watoto wawil na Zinaa ni Harram ktk Uislamu u said ww ni Advisor kwa Watu So stop advicng watu ww jiangalie u need more Advce sister mrejee Allah
she z smart
God bless you all🙏
R I P Kibonde.
nice
Kwa kweli nimeguswa sana vyombo vya habari vingetusaidia ss wazazi tungefurahi sana swala lote la zama na makonda vinafanana ninacholaumu vyombo vya habari havijasaidia hipasavyo zaidi ya kulaumu imetukatisha tamaa sn ss wabeba ujauzito miezi 9 na kuzaa kwa uchungu hongera. Zama ongera. Makonda
Asante dada zamaradi
Zamaradi oyeee
😢
zamarad nakupenda sana kwa kua ni mwanamke unae jiamini na unajibu vixuri sana naomba nikija tz nije nikuone plz napenda kuongea na ww uso kwa uso plz
asante nmependa asee
Najifunz mengi kutoka kwako zamadi
da tuombee vizazi vyetu
Zama nakupenda
Pumzika kwaamani kaka
Zamarad rejea kwa mola jistr mtoto wa kiislam na uwaombee dua wazaz wko hakika waulizwa huko kaburin vyote uvifanyavyo.fanya mema bak ktk msimamo wako
R.I.P Gadna pia . Mzee mwinyi alisema Maisha ni hadithi
nakupendaga bureeee
Zamaradi wewe ni mwanamke wa shoka, nakukubali sana ila olewa mama, usizae nje tu
We saumu tujuane
Gud da zama nakupendaga sana
vizur xam
Daaah udongo huu unameza watu jamani
zamaradi naomba kuja kufuturu mwezi wa ramathani kwako.
Dada u big up allah akulinde na pia mungu utapomuomba akusamehe kwa kosa ulilofanya mbona mara tu atakusamehe kwa tuliyoyakosa tumuombe mungu inshallah atatupa wepes
sameer usiseme hivyo Allah hapendi umuhukumu mtu hakuna dini inayosema uzae nje hata kanisani unatengwa mm nakumbuka zaman nlikua na rafiki yangu na alitengwa tena sijui sasa kwa haya makanisa ya biasharaaa
basi wewe ni counsellor
RIP kibonde
Rip kibonde
Rip kibonde