EXCLUSIVE: MKEWE LISSU AFUNGUKA, NGUMU KUAMINI (PART 1)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 11. 2017
  • Mke wa Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu , Wakili Alicia Magabe ameongea kwa mara ya kwanza baada ya mume wake kushambuliwa kwa risasi miezi miwili iliyopita njini Dodoma. Ameeleza jinsi alivyopokea taarifa za shambulio hilo hadi aliposafiri kuelekea Dodoma na hatimaye Nairobi nchini Kenya.

Komentáře • 104

  • @elizabethlujabiko8166
    @elizabethlujabiko8166 Před 6 lety +5

    Ninaamini Mungu aliyemuumba Tundu Lisu anazo spea za viungo vyake,Mungu ninazidi kukuomba na kukusihi tuma malaika wako washuke na spea za viungo vya Tundu Lissu ili apate kuwa mzima tena.Kama kila anacho tengeneza binadamu kina spea ninaamini kilichoumbwa na Mungu ni zaidi sana.Madaktari wanatibu unayeponya ni wewe YEHOVA SHAMA,asante Mungu maana umesikia kuomba kwangu.In Jesus name I pray. Amen!

  • @dernardchambwani671
    @dernardchambwani671 Před 5 lety +1

    Mungu ni mwenye ngumu damu hii Mungu anawajua waliojarib kukatisha Maisha ya MTU , lakin kwa sabab yeye ndie mwenye mamlaka akasema no you can't do that , shame on them, pole sana Mamaangu hakika Ukuu wa Mungu haupimiki

  • @salamamohamed9519
    @salamamohamed9519 Před 6 lety +2

    Pole sn Mama Lissu Mungu yuko pamoja na nyinyi ataweka wepec

  • @sameeral-ghafri627
    @sameeral-ghafri627 Před 6 lety +3

    This is very touchy n sad 😔 pole mama shujaa atarudi na kadi ya kura nahamisha next time

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 Před 4 lety

    Pole sana mke wa kamanda wetu

  • @mossesmlokozi3425
    @mossesmlokozi3425 Před 6 lety

    pole sana mwenyezi mungu ni mwema tuko pamoja KAMAnda wetu lissu tunamupenda sana

  • @matondomboje2704
    @matondomboje2704 Před 6 lety +3

    mama tuko pamoja tunampenda sana mume wako watanzania tutachanga hata mia mia zetu mpaka apone

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety

    Pole sana Mama Lissu, Mungu amekuonekania

  • @isaacmsekefu1752
    @isaacmsekefu1752 Před 6 lety +4

    pole sana mamaangu MUNGU yupo pamoja na nyie. atapona tu MUNGU atamsaidia

  • @fidelismponda9931
    @fidelismponda9931 Před 6 lety

    Pole sana

  • @stephanothomasmchenya9679

    MCL iko vizur Chanel yen naipenda

  • @eluzaberthkarugaba6375
    @eluzaberthkarugaba6375 Před 6 lety +3

    poleni sana. lakini hakuna silaha inayoweza kupambana na uamuzi wa Mungu.

    • @stella88244
      @stella88244 Před 6 lety

      We nawe unaongea kama mtoto anaejigunza kuongea mfuuuuuu! Ila pole yako sana Mungu yupo pamoja nae

    • @asiasalum7365
      @asiasalum7365 Před 6 lety

      Eluzaberth Karugaba
      pole sana mumy

    • @dorcasdominic9880
      @dorcasdominic9880 Před 6 lety

      amen

  • @julianabenedicto8462
    @julianabenedicto8462 Před 6 lety +2

    wewe ni mwanamke jasiri,mungu akusimamie.

  • @danielmgomo717
    @danielmgomo717 Před rokem

    Mahojiano haya yana mapungufu sana kwa sababu sio kive.Mwanfishi hajatueleza kama mke wa Tundu Lisu kwa sasa anaishi Mbinguni na hawezi kuonekana na yeyote.Dereva wa Tundu Lisu alishahojiwa lakini mwandani wa Tundu Lisu yaani mkewe

  • @agnessdaud6250
    @agnessdaud6250 Před 6 lety

    pole sana mama

  • @balozibalozi5257
    @balozibalozi5257 Před 6 lety +2

    Machozi yamenitokaa duh 😭😭

  • @jacksondamas8634
    @jacksondamas8634 Před 6 lety

    pole mama mungu ameonekana

  • @patrickkalengela4797
    @patrickkalengela4797 Před 6 lety

    Lisu"s wife is a strong woman, she deceives to be a leader in this country.I say so for what she said after her husband being terrorized Nanukuu " Kama baada ya haya utegeuka nyuma sitakuwa mke wako" hiyo ni Kauli ya mtu jasiri

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Před 6 lety

    very sad..

  • @kayenzehudumadldm1713
    @kayenzehudumadldm1713 Před 6 lety

    Mungu anaonyesha uwezo wake hakuna alieeamini kama bwana mkubwa atakuwa hai mpaka mda huu

    • @vickypoul9117
      @vickypoul9117 Před 6 lety

      Mungu ameonyesha ukuu wake kupitia tundu lissu

  • @baumbachogero9410
    @baumbachogero9410 Před 6 lety

    Mbona anaoongea kawaida tu jamani! Watu wengine mkoje?

  • @ishengomadeogratias1994

    Hii story inatia sana machungu na inaongeza chuki dhid ya wasiojulikana japo waweza kuwahisi!!

  • @crownpress5512
    @crownpress5512 Před 6 lety +1

    ni simanz kweli ila hii sauti cjaielewa kama ndo halisi au ni ya mtandaoni

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety

      Eim mia mume wale Ndo anaojua sauti ya mkewe ya kweli we inakukuhusu nini?

    • @crownpress5512
      @crownpress5512 Před 6 lety

      Happiness Mwaipopo nmetaka kuijua nawew inakuwasha nini?

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 Před 6 lety +3

    Ongea kiswahili tu jamani....

  • @ibrahimmwakasembe8681
    @ibrahimmwakasembe8681 Před 6 lety +1

    Hata mkula(magu) nae anachanganya lugha?? Na hata watanzania wengi kwa sasa sio wazalendo wa lugha ya kiswahili, hata ivo sio objectives ya hii view. Pole sana madam

  • @doriswilson4163
    @doriswilson4163 Před 6 lety +1

    Pole xanaaa..
    Ila nina wasi wasi saut yako na wadhifa wa marehem kwako kama haviendan vile yaan unaingea simple xanaaa au ni mtu unae ongea kwa niaba ya mke husika.!?
    Kama ww ndie mmmhhmhmhm..!!!
    Cna swali pole na MUNGU amtete kamanda wetu.

    • @heriethmakwetta7180
      @heriethmakwetta7180 Před 6 lety

      Doris hiyo ni sauti ya Mrs Tundu Lissu siku zote.. kila mtu ana sauti yake hata ww yako haifanani na ya mwingine

    • @doriswilson4163
      @doriswilson4163 Před 6 lety

      Herieth Makwetta duuh sasa kwa nn taarifa za huzun ivo anaongea kirahis na kwa mbwembwe hivyo au mm ndo mshamba jamaaan.!!?
      Mmmhhhhhmm MUNGU atusaidie xanaaa kwa kweli hata kama ni usomi khaaaa..!!!

    • @charleskatoto2017
      @charleskatoto2017 Před 6 lety

      Doris Wilson

  • @fubanjenjele2632
    @fubanjenjele2632 Před 6 lety

    So sad

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 6 lety +4

    kuchanganya lugha ni kutokuwa na uhakika lu lugha isiyoyako.

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 Před 6 lety +1

      Blandina Ruganisa Utakuwa na ka upumbavu kidogo tu. Sasa wewe hii uloandika ni lugha gani??? "Lu lugha" ni kitu gani???

    • @muyaf2051
      @muyaf2051 Před 6 lety +1

      Kama hujaenda shule kimpango wako boya wewe

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety

      Blandina Ruganisa huo sasa ni wivu Wa kijinga kwani umelazimishwa kumwangalia? Yaani watu wengine bwana

    • @dorcasdominic9880
      @dorcasdominic9880 Před 6 lety

      +Happiness Mwaipopo asante kwa jibu tamu maana ni mwanamke mwenzie yule alaf amejua kumponda si kumuhurumia

    • @zuhuraomary6041
      @zuhuraomary6041 Před 6 lety

      we unajua

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 6 lety +1

    lugha anayoichanganya haina mahusiano na sentensi😅😅😅😅

    • @tinajoe4
      @tinajoe4 Před 6 lety

      Blandina Ruganisa Jamani tujifunze kunyamaza

    • @jaberjohn7556
      @jaberjohn7556 Před 6 lety

      Blandina Ruganisa weird. Stop being mean.🙄

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 Před 6 lety

    mungu mkubwa kuliko ukubwa wenyewe

  • @stephanomacha9532
    @stephanomacha9532 Před 6 lety

    stefhno

  • @kyandomarry2015
    @kyandomarry2015 Před 6 lety

    Mume wako anaumwa ukapata na nguvu za kuendesha gari hee

  • @paulojohn7070
    @paulojohn7070 Před 6 lety

    Atakutombaje na kiuno chote kimevunjwa na lisasi?

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 Před 6 lety +7

    Ongea kiswahili mbwebwe zote za nn?

    • @laurentkimbatummassy8075
      @laurentkimbatummassy8075 Před 6 lety +2

      Acheni upuuzi, huu sio mjadala.

    • @nochanel5392
      @nochanel5392 Před 6 lety +1

      Kwani kakulazimisha kumsikiliza

    • @jisephmaganiko3859
      @jisephmaganiko3859 Před 6 lety +2

      robert laizer matatizo yako xhule c zipo unalalamika nn kasome

    • @knowledgeispower1118
      @knowledgeispower1118 Před 6 lety +3

      Jiseph Maganiko shule ninayoyakutosha naweza hata nikawa nimemzidi yeye lakini najaribu kujiuliza,inaama hajui kiswahili vizuri kwasababu mtu anaishi usukumani kijiji na hajasoma, hatamuelewa je?..ni ushamba tu.

    • @ishengomadeogratias1994
      @ishengomadeogratias1994 Před 6 lety +1

      robert laizer Huyo mama kakaa nje sana!

  • @mamahustru
    @mamahustru Před 6 lety

    Yaani hiyo lugha yake ndo lugha wanayotumia wanasheria wa bongo. Wote wamekaririshwa elimu ya mkoloni na wenyewe wanaitana ``WASOMI´´. Na sote tunajua nini maana ya mkoloni kumuita muafrika ``MSOMI´´. Wataelimika tu na wao siku moja.

  • @mbojayahya434
    @mbojayahya434 Před 6 lety +4

    sema lugha yako halisi ya Kiswahili usijihashue

    • @laurentkimbatummassy8075
      @laurentkimbatummassy8075 Před 6 lety +4

      wewe mwenyewe kiswahili hujui, swala la lugha sio zito kama huo ushuhuda, kama huna point ya kuongea nyamaza.

    • @salamamohamed9519
      @salamamohamed9519 Před 6 lety +2

      Badala ya kutoa pole unaleta mambo ya ruga co ubinadam huyo mama Lissu bado anamachugu mpka anataman kulia anavyo ongea uclichukulie Jambo hili jepec kwa kuwa liko kwa Mwezio huu ni mtihan mkubwa sn

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety +1

      Mboja Yahya unajuaje kama kiswahili ni lugha yake halisi? Kwani yeye ni mzaramo? By the way hujalazimishwa kumsikiza

    • @erastomwakalinga7079
      @erastomwakalinga7079 Před 6 lety

      Mboja Yahya ww ni mmoja kat wasio julkana???km ulikimbia shule na huelew lugha anayo iongea si mmbaya kukaa kimya na kama unataka kuelewa rud shule sio kuacha darasa la pil kwa kuwa unajua kusoma na kuandika unaona elim imefka mwisho afu unakuja kutuletea umbulula wako hapo ,,,,,,,pole sana mama lisu mungu amekupa kifua cha kustahimil hayo na hilo lilikuwa jarb lako na mpaka sasa umelishinda kwa kishindo ila aibu ni kwa walio tenda hao na wakidhan wao wataish milele lakin mungu yupo nawe

    • @zuhuraomary6041
      @zuhuraomary6041 Před 6 lety

      mwache

  • @tamzeeeconomy1637
    @tamzeeeconomy1637 Před 6 lety +1

    Ongea Kiswahili sanifu acha mbwembwe. Huu ni ulimbukeni wa juu ambao umepata Watanzania wengi kudhani unapochanganya Kiswahili na Kiingereza ndo unaonekana msomi na mtu wa kisasa. Ujinga mkubwa na kansa ya akili inayofanya watu kudharau vilivyo vyao na kuthamini vya wazungu. Mwenyezi Mungu atusaidie Watanzania na Waafrika kwa ujumla. Limbukeni hao ni wengi, mama huyu hayuko peke yake. Mkasa wenyewe unasikitisha ila namna yake ya kuonga inaleta kichefuchefu. Maneno anayosema kwa Kiingereza ni maneno rahisi mno kwa Kiswahili.

    • @mydiary39
      @mydiary39 Před 6 lety +3

      Mbona wewe povu limekutoka rafiki yangu.....Ni mazingira ambayo mtu anaishi inategemea Lugha ipi kwake ya kwanza kuzungumza hivyo siyo kupenda kwake.....Hebu vitu vidogo vidogo tuvipuuzeni

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety

      Fatuma Hamis Asante sana, umeeleza vizuri sana Fatuma.

    • @lilianmakanzo3855
      @lilianmakanzo3855 Před 6 lety

      Waliocomment kuhusu lugha wengi imewashinda Kwahiyo hayo maneno ya sizitaki mbichi hizi.. Acheni chuki binafsi

  • @ameriamasoud6718
    @ameriamasoud6718 Před 6 lety

    The

    • @veronicazacharia2080
      @veronicazacharia2080 Před 6 lety

      Pole xana Dada Alicia Mungu azidi kuibariki ndoa yako

    • @sillamnyawami7469
      @sillamnyawami7469 Před 6 lety

      Mama lissu God is good all the time,atapona tu mpaka sasa ni Mkono wa Mungu

    • @agnesjosephat7863
      @agnesjosephat7863 Před 6 lety

      kwani tatizo nn akiongea kingereza. acheni majungu.pole mama

    • @frankraymond2985
      @frankraymond2985 Před 6 lety

      mtu anae tumia lugha mbili anaonyesha ushamba watoto wadogo especill tu dem sio lika yako

    • @christopherkashumba2129
      @christopherkashumba2129 Před 6 lety

      Inawezekana kuchanganya lugha ndio mapigo ya wajanja. Lakini aangalie wale waliompiga risasi Mmewe wapi hukohuko CHADEMA( Sinajua tena mama uchaguzi Wa 2020).

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 6 lety

    Mume wake kapigwa risasi akawa na uwezo wa kuendesha gari looo

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety

      Blandina Ruganisa sasa ukitaka afanyaje? Tunatofautiana. Kama wewe huwezi wenzako wanaweza

    • @sundayulomi9547
      @sundayulomi9547 Před 6 lety +1

      Blandina Ruganisa we ni mpuuzi, mbona watu wanafiwa na wazazi wao na wanaendesha magari mpaka msibani???
      Kwa hiyo mtu akifiwa anashindwa kuendesha gari??

    • @fidelmbai3642
      @fidelmbai3642 Před 6 lety +1

      Blandina Ruganisa Angefanyeje?

    • @paultayari3676
      @paultayari3676 Před 6 lety +1

      huyu dada ajielewi kwahiyo alitaka afanyaje. we mpuuzi kweli.