Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 02. 2015
  • Ingekuwa shule ya msingi, ungemuita Toto Tundu, kwa jinsi mwalimu anavyopata shida kukubaliana nae, ila katika hali aliyopo sasa, si tofauti sana....Namzungumzia Mhe. Tundu Lissu. Mmoja kati ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alie mahiri kwa kusema bila woga, na mwenye sifa ya kusumbua kiti kwa hoja zake makini ila mara nyingi zenye kuchokoza na kuhamsha mijadala motomoto.
    Mtaalamu wa Sheria, na mmoja wa Mawakili wenye ruhusa ya kitaaluma kutetea katika mahakama zetu, Mhe Lissu amekuwa mmoja kati ya wabunge walioweza kuweka bayana utata wa kisheria unaoibuka katika hoja mbali mbali ndani ya Bunge, na pia amekuwa mstari wa mbele katika harakati mbalimbali za kisiasa na kijamii hasa pale msaada wa kisheria unapohitajika.
    Wanamkasi wameamua kumuita kikaangoni, tuweze kushiriki nanyi yale machache aliyonayo, kadri muda unavyoruhusu.
    Salama, Mubah na John ana kwa ana na Mhe Lissu kwenye Mkasi
    Yote kwa hisani ya Coca Cola, Tusker Tanzania na Airtel Tanzania.
    Follow MkasiTV on
    Facebook : / mkasitv
    Twitter : @MkasiTV
  • Zábava

Komentáře • 457

  • @philipkato6517
    @philipkato6517 Před 4 lety +181

    Kama unaangalia hii mwaka 2020 tujuane kwa like🤣😀

  • @yovitakayombo9724
    @yovitakayombo9724 Před 3 lety +14

    Ama kweli wewe ni Genius. Mungu azidi kukulinda na kukubariki

  • @samo5315
    @samo5315 Před 3 lety +16

    I love to listen when he talk. Hababaiki ni msomi mkubwa. Maneno safi hayana utata. You're the best Lissu. Allah blessings to you. Inshallah you will be our president.

  • @franaelmbise6594
    @franaelmbise6594 Před 3 lety +4

    Mh.Rais Mtarajiwa waoo very bright man foreal, Ni MTU kwenye akili nyingi Sanaa hakikaaa duuh I can't imagine
    Jaman wapendwa wenzangu Tumshukuru Mungu kwa kutupa zawadi hii ya mh.TunduALissu tuwalaani na kuwakanya vikali walijaribu kumuua wanataka kuzima taa ya Tanzania yaaan daaah jamb tafurahi Sana kuona tabasamu la FARAJA kutoka kwa #TunduALissu

  • @semanamitv898
    @semanamitv898 Před 4 lety +35

    Nimependa sana kwa the way anavyo jaribu kujibu kisomi zaidi. Exactly your the best and God may help you for the rest👏

  • @danfordkitwana6759
    @danfordkitwana6759 Před 3 lety +6

    ni miaka mitano imepita toka rais mtarajiwa afanyiwe interview hii. mwaka huu 2020 imekuwa dhahiri sana. TL is genious.

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed3577 Před 3 lety +2

    Maashaallah maashaallah maashaallah tundu lissu allah akulinde

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 Před 3 lety +28

    Lissu ni mpinzani wa kweli kuwai kutokea Tanzania.

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Před 4 lety +263

    Nani anaendelea kuangalia hii in 2020. Ebu gusa like

  • @alexteophil.c9293
    @alexteophil.c9293 Před 5 lety +21

    Huyu mtu ni maktaba yangu ya maarifa asee ..... i do appreciate the way he play his part in his right position.... Your one of the best aducated person in Tanzania with average level of education. We miss your presence in our lovely country... your wellcome back Tundu Lissu

  • @jacksondaud4957
    @jacksondaud4957 Před 3 lety +2

    Mdogo wangu lissu mwenyezi mungu akujalie maisha malefu

  • @philemonphillip3842
    @philemonphillip3842 Před 8 lety +21

    The great Tundu Lissu.. Genius . Keep up the same spirit ..my nmbr one Role model. Cheers champ.. Ur bttr than those low lives who milk money frm there own gvt and feel proud to be called rich while inthere heads there is nthng.. Continue leavng a legacy

  • @denischacha9104
    @denischacha9104 Před 6 lety +25

    Tundu noma

  • @romansuzana46
    @romansuzana46 Před 9 lety +52

    Mhe Lissu tunaona harakati zako na chama chako and we real appreciate,Mungu azidi kukulinda.

    • @deogrtiasmassawe2646
      @deogrtiasmassawe2646 Před 5 lety +1

      Suzana Roman kbs

    • @shukranrwesa7691
      @shukranrwesa7691 Před 4 lety +3

      Kama kuna mtu ninae mpenda wanasiasa bc ni tundu lisu

    • @kyambarungwematv6828
      @kyambarungwematv6828 Před 4 lety

      Msenge Sana wew ndiyo wale wale mabeberu

    • @romansuzana46
      @romansuzana46 Před 4 lety

      @Kyambarungwe ma TV Kuma la mamayako wewe,kwani umelazimishwa kukubaliana na Mimi.au ndio usenge uliousema maana ni wasenge tu ndio hawajui kuacha jambo liwapite.choko wewe

    • @gastordominic410
      @gastordominic410 Před 4 lety +2

      Mungu anamlinda kweli

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 9 lety +21

    Muheshimiwa lisu big up wewe ni mtetezi wawazanzibari

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 Před rokem +1

    Tar 6/2/2023 nimeirudia hii interview ya mwamba, dah! Mungu azidi kukubariki.🙏🙏

  • @mzuvendi
    @mzuvendi Před 3 lety +16

    Tunai angalia leo 1/9/2020! Hawa wenye kipindi cha mkasi bakhili hata mgeni hakupewa glasi ya maji!

  • @nancyisaiha5912
    @nancyisaiha5912 Před 3 lety +18

    Thank you Mr Lissu for elaborating a little about politics

  • @annefridakisesa4910
    @annefridakisesa4910 Před 9 lety +12

    I am absolutely impressed by Mheshimiwa Tundu Lissu's arguments, particularly on the issues of education and "special schools". Frankly speaking, compared to other countries which got independence at the same time as Tanzania, we have completely messed up on education. This will continue jeopardizing chances for national development by our future generations. If we didn't educate them properly, and give them much needed skills, what is the chance of this country being at par with other nations?? Can you believe that that this wonderful peaceful country has to be a recipient of WB grant for "Big Results Now in Education Program (BRNEd) Project", aiming to improve education quality in Tanzanian primary and secondary schools? This is after more than 50 years of independence? We really have to think seriously on electing right people, principled people with good governance.

    • @marccruz5765
      @marccruz5765 Před 2 lety

      I dont mean to be off topic but does someone know a trick to log back into an instagram account..?
      I was stupid lost my account password. I would love any tips you can offer me.

  • @fanaismmsianaf9352
    @fanaismmsianaf9352 Před 3 lety +6

    Lissu for President! Mwaka huu ni mwaka wa madiliko

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 Před 3 lety +24

    This is the best interview I ever watched,best interview all the time till this time 2020 ✌️✌️✌️✌️Go lissu this is your time 🥇

  • @elibarikilaizar5423
    @elibarikilaizar5423 Před 4 lety +1

    Tundu tunda la Tanzania Mungu akubariki Sana

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 Před 7 lety +30

    Lisu,your awesome men!! keep going.

    • @simbabbq4427
      @simbabbq4427 Před 4 lety

      Lisuu raisiwetu sisihatutaki mabarabara tupemaisha tule natuwehuru barabaravakajenge chato

  • @samiramdachi7101
    @samiramdachi7101 Před 4 lety +29

    Nakupenda sana kaka yangu lisu unaongea point🙏🙏🙏

  • @jafetzmwacha1503
    @jafetzmwacha1503 Před 4 lety +14

    Mzee una akili Sana Watu Gonga like apa

  • @sheikhshekuehamzamzonge1658

    Allah tupe mwisho mwema

  • @salehsaleh548
    @salehsaleh548 Před 4 lety +5

    Lissu ni more than president 🙌🙌

  • @thedonmassawe
    @thedonmassawe Před 9 lety +40

    I've been watching this show from day one. By far this is the best guest you've ever had on here. Politics aside this guy is brilliant. Note how forthright and upfront he was about politics. Take for example admitting the fact that opportunism is part and parcel of the game, but then he goes on to explain why it's not such a terrible thing. It's not about having a popular or an unpopular stance on issues it's how you defend that stance. Talk about kujenga hoja, huyu jamaa anajua! Of all the politicians you've had on here this guy is streets ahead of them, they all could learn a thing or two from him. You also get the impression he is in politics for the right reasons and not just to cater to his own ego. Mind you there is always a bit of an ego thing involved with people in such positions, but with him you at least get the sense that his ego and people's perception of him is not his main concern, and I don't think you can say that for any of his contemporaries that you've had on your program.
    I'm sure it's not the first time you've heard it before but dude! John and Muba you need to learn to let the conversation flow on its own, give the guests time to speak and don't rush them. It's not a race to see who gets in the most questions, it's a "conversation" which means "listening" to the other person before responding accordingly. So many cases, not only in this particular episode either, you sense a conversation is heading in a really interesting direction only for the guest to be asked a completely out of topic question that just kills the topic. Unajua saa nyingine mtu akinogewa anaweza kuongea (kuropoka) vitu ambavyo hajapanga ambapo ndo uhondo wenyewe wa interview ulipo, but if you interrupt the person talking atanogewa saa ngapi? But good work though, it would be unfair to not mention that you guys have gotten a lot better from the earlier days, so props for trying to improve.

    • @dct4lif
      @dct4lif Před 9 lety +2

      Your right tunaongea mambo ya afya ambayo i was very interested on hajamaliza wamerukia katiba there has to be a flow kama unavyosema and a transition. Inaboa sana. Nimependa aliyosema Lissu isipokua mambo ya muungano.

    • @kaizafulgence5415
      @kaizafulgence5415 Před 7 lety

      thank you for saying this. I am less polite when it comes to Muba and his friend's interruptions and I think Salama should always try to bring the speaker back from her fellows' misquestioning.

    • @keshenigabagambi9384
      @keshenigabagambi9384 Před 7 lety

      Donath Massawe.....

    • @officialadon1056
      @officialadon1056 Před 6 lety

      ,

    • @alutemughwai2185
      @alutemughwai2185 Před 4 lety

      Donath Massawe

  • @deodathkizito9637
    @deodathkizito9637 Před 4 lety +10

    TUNDU LISSU akili kubwa Sana karibu kwa nyumbani Tz.

  • @caindunke8526
    @caindunke8526 Před 3 lety +7

    October 2020 inakaribia ✌🏽

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 Před 9 lety +22

    Thank you Lissu..wanataka kumfanya Nyerere alikuwa kimungu mtu, Big NO
    You are the best Lissu....Kumbe Tanzania kuna watu kama hawa Aisee

  • @dareenali6086
    @dareenali6086 Před 4 lety +14

    Kura yangu unaichukuwa 2020

  • @oscarmmari5061
    @oscarmmari5061 Před 8 lety +22

    Tundu Lissu is a brilliant politician and we are missing out not having him running the government.

  • @stevenhaule87
    @stevenhaule87 Před 3 lety +27

    Unaisikiliza interview ya 2015 mwaka 2020 na still unamuona mwamba mwenye misimamo ileile. Yaani interview kama ya mwaka huu

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 Před 7 lety +67

    Lissu ni Akili kubwa..✌

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki9914 Před 9 lety +8

    Shukran Salama kwa kutualikia lissu tunakuomba na Jussa umlete. Muba hakuna lisiloshindikana mungu akijaaliya muungano wa serikali 2 hauna muda mrefu kaka yangu kama Nyerere,Hitler,Mobutu,Saddam,Gaddafi, Makaburu,Ussr. basi na hili lina mwisho kijana Ccm si lolote mbele ya mungu hawawezi kuishi miaka 500 kama yafirauni hizo ni akili za kikafiri kukipa kitu umri wa dumu daima

    • @obeidmpombwe9951
      @obeidmpombwe9951 Před 4 lety

      Mungu kweli alikupa kitu ndani yako uliongea Miaka kadhaa iliyopita kuwa tunakwenda kubaya kweli tumekuwa kubaya zaidi.

    • @selinaalbert8993
      @selinaalbert8993 Před 3 lety

      Waliona kizuri kisidumu wakasahau kuwa yupo mtetezi Yesu

  • @salimbwaya8243
    @salimbwaya8243 Před 3 lety +1

    Salama rudisha kipindi cha mkasi ni ktk ubunifu Bora kabisa uliowahi kuufanya maishani mwako

  • @topotachilemba9196
    @topotachilemba9196 Před 3 lety +50

    LISSU NI BINADAMU WA KIPEE. HAJAWAHI KUFELI

  • @enockheche5917
    @enockheche5917 Před 6 lety +49

    Nimeamini watu wana laana kama mtu anaweza kujaribu kuua mtu wa aina hii ambae ni hazina kwa taifa hili, hii ni laana kabisa

  • @godfreymarandu304
    @godfreymarandu304 Před 3 lety +3

    Huyu jamaa kweli ni kichwa sana

  • @englengaipaul6000
    @englengaipaul6000 Před 5 lety +4

    wewe ni taifa kubwa mh lisu mungu akulinde sana

    • @elisantennko7811
      @elisantennko7811 Před 3 lety

      Uko vizuri tindo letu na rais ajae tundu lisu ustishwe na wachache wanao rubuniwa na saani ya ubwabwa wa sku moja kesho walale njaa

  • @patrickmwakisyala4877
    @patrickmwakisyala4877 Před 3 lety

    Lissu your always the best miaka hyo ya uwazi imepotea Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu kuu ya kuendelea kupambana naiman ipo siku utaweza rudi na kuishi tena kwa aman tz

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani520 Před 5 lety +40

    Huyu mtu anatisha (anaakili nyingi Sana)

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 Před 4 lety +9

    Like Za Tundu Lissu 2020

  • @selemansombe4177
    @selemansombe4177 Před 4 lety +6

    And I watch today...still the best politician.

  • @ayubusikagonamo3875
    @ayubusikagonamo3875 Před 4 lety +3

    Mh. Rais kipenzi cha watanzania hakika wewe umebeba maono Mungu akulinde...

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety +33

    Hapo kwenye Elimu umenigusa sana

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 Před 3 lety +2

    Hakuna mtu ninaemwamini Kama huyu mwamba amekuwa msaada kwa watu miaka mingi, na amekuwa kimbilio katika kipindi kilefu yupo kutetea haki za watanzania huyu mtu anatufaa kutuongoza, ataongoza kwa haki mm naimani nae kwa kiasi kikubwa sana! Nimemfuatiria sana huyu atatutengenezea Katiba mpya na ndio msingi wa kizazi hiki na Cha kesho, tuache fitina za CCM, na tusipo itoa CCM mwaka huu, kamwe watu hawatapata haki tena, huyu Lissu tumchague atutengenezee mfumo mzima wa utawara, nchi hii itapigwa hatua na Wana nchi tutaona mafanikio makubwa, MUNGU akulinde tuvuke kwenye uchaguzi huu.

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 Před 3 lety +36

    Saa6 uck tarh 19-9-2020 Naangalia Mh. Rais Mtalajiwa Nani Kama Mimi

  • @japharytwaha8552
    @japharytwaha8552 Před 3 lety +1

    Ukweli Tundu Lisu ni mtu wa pekee sana Tanzania utakuta mtoto wa Shule hizo hajui hata maana ya well done pia hajui inasikitisha sana

  • @matheomatheo9286
    @matheomatheo9286 Před 9 lety +6

    siasa za kutenganisha watu walioungana ni hatari kwa raia kwa sababu watanzania wanapenda Amani kuliko kituchochote duniani mimi ningependa chama cha upinzani kishinde ili uwajibikaji uongezeke kivyama

  • @Evod-dd3kw
    @Evod-dd3kw Před 2 měsíci

    Hakika Mungu yupo kwa wale ambao hawaamini kua hayupo wa mwangalie kupitia Antipasi Lisu.watamuona Mungu baba aliye umba mbingu na dunia

  • @davidommassy2002
    @davidommassy2002 Před 6 lety +2

    Mubba na mwenzio in vilaza rudini shuleni, shule in muhimu sana, huenda mulisoma shule za kata

  • @jivavaherode6191
    @jivavaherode6191 Před 6 lety +40

    Anafaa kuwa Raisi wa nchi ya wanyonge wanao onewa

    • @shawnmichaels1893
      @shawnmichaels1893 Před 3 lety

      Ulikuwa unamaono aisee

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 Před 3 lety

      @@shawnmichaels1893 huyu jamaa ni jembe sana basi tu watu wanajiondoa ufaham et katumwa lakini alianza zamani sana kutetea wanyonge

  • @Raysam-ki1rc
    @Raysam-ki1rc Před 3 lety +5

    👇Tujuane hapa 2020

  • @freemasonkingdom2847
    @freemasonkingdom2847 Před 6 lety +19

    Iissu unajua siasa zidi kupakua madudu

  • @gadyjohn3815
    @gadyjohn3815 Před 3 lety +2

    Hichi kichwa binafsi nakikubali saaana....sijui mambo mengine ila namkubali

  • @setielmashok6087
    @setielmashok6087 Před 4 lety +2

    Nimekuelewa sana

  • @barackmwakilema920
    @barackmwakilema920 Před 3 lety +2

    Mungu anaona mbali sana dah tungempoteza huyu mtu tungepoteza kitu cha thaman sana

  • @erickrichard4516
    @erickrichard4516 Před 3 lety

    Mungu akupe maisha marefu lisu. hakika tunamsomi tanzania.

  • @nestrysondegod3499
    @nestrysondegod3499 Před 4 lety +8

    Kam unaangalia hii video 2020 gonga like tujuane

  • @maasaistudios7932
    @maasaistudios7932 Před 7 lety +7

    february 16 2017,, still watching this....

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Před 5 měsíci +1

    Nimerudi tena 2024 kuangalia hii kitu. Haichujiiiiii MIAKA TISA SASA!

  • @elishuakivuyo140
    @elishuakivuyo140 Před 4 lety +4

    2020 Bado nimekusikiliza nakukumbuka pia

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před 3 lety

    Naskia Kikwete alisema ni bora Dr. Slaa awe rais kuliko Lissu kuwa mbunge. The guy is talented. #NiYeye2020

    • @professamuddy5407
      @professamuddy5407 Před 3 lety

      Alisema hivyo kwakuwa anajua Lissu hua ana msimamo. Huyumbishwi kwahio wanamuogopa anawapa ukweliii!.

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 Před 4 lety +3

    Hichi ni kichwa aiseee

  • @jacobmoses2175
    @jacobmoses2175 Před 3 lety +1

    Naiangalia 2020 but ni kama mpya

  • @amoslameckshapagala2332
    @amoslameckshapagala2332 Před 4 lety +3

    Lisu 4rever

  • @fabiangabrielkidumya7284
    @fabiangabrielkidumya7284 Před 9 lety +3

    inatubidi tuwe na uwezo wa kufikiri na kutenda vema ili tutimize wajibu wetu katika siasa na uchumi wa nchi yetu.KUA MWANGALIFU ACHA KULA RUSHWA

    • @numbeshocknumber6258
      @numbeshocknumber6258 Před 4 lety

      Bona hojazako nizakurenganusga tu .watanzania?nikusema ina ahadi yoyote kwa wanaimchi?

  • @mweshimiwaraisshikiliahapo8405

    We Tundulisu kweli we ni shoga kwa sababu gani unavaa hereni

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 Před 3 lety

      Wapi kavaa hereni,una uoni hafifu au ni mhemko wa kipumbavu

    • @jastonelazaro5944
      @jastonelazaro5944 Před 3 lety

      Unaweza kumtusi hata mzazi maana unamhemko kama uko ovulation period

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 Před 4 lety +8

    Kiongonzi wetu mpya

    • @merlisapeter2522
      @merlisapeter2522 Před 3 lety

      Ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

    • @merlisapeter2522
      @merlisapeter2522 Před 3 lety

      Ppppppppppppppppppppppplpppplppppppplppppppppppplpppplpppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppplpplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppoppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppopppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppplppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp

  • @gottaboy4178
    @gottaboy4178 Před 6 lety +13

    mamae!!! yaani huyo muba alikua anazingua kwenye kipindi, sijui mlitumia kigezo gani kumuweka, bora mngeniita hata mimi

  • @GANG3MONEY
    @GANG3MONEY Před 4 lety +2

    Nimeipenda hyooo

  • @salehmadawa7035
    @salehmadawa7035 Před 4 lety +5

    Sjapata kuona msomi wa aina hii nimsomi wa hali hali ya juu

  • @stephenshayo734
    @stephenshayo734 Před 8 lety +13

    Mh Tundu Lissu aalikwe tena kwenye kipindi hiki cha Mkasi na kipindi kitangazwe vizuri kuwa kitakuwa lini ili wengi tusikikose

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 Před 7 lety

      Stephen Shayo hatumpendi msalit mkubwa

  • @samelychesham3309
    @samelychesham3309 Před 4 lety +2

    Tundu lisu

  • @MrLemunge
    @MrLemunge Před 9 lety +3

    yeah jamaa katisha !! kamanda lisu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 3 lety +1

    Duh...hii clip Naikumbuke Sana....

  • @zwwasost
    @zwwasost Před 9 lety +11

    Great interview. Asilimia 50 ya wabunge wetu wangekuwa na akili kama huyu mtu. Nchi ingekuwa mbali sana.

    • @immamlowe734
      @immamlowe734 Před 7 lety

      Kumbe hujui tundulisu niadui nambamoja anajitahid kuzuia maendeleo lakin hataweza.

    • @primuskiiza6403
      @primuskiiza6403 Před 3 lety

      @Meshack Mliwa unapenda kutukana. Sana. Basi. Inafikirika kuwa. Unatoka. Katika Nyumba. Za. Udongo/matope !!!!!!!?

    • @primuskiiza6403
      @primuskiiza6403 Před 3 lety

      Big. Up. Toooo

  • @ilejedistrict6136
    @ilejedistrict6136 Před 3 lety

    Sure this is a real deal indeed !! HAKIKA MUNGU NDANI YA TANZANIA NA AMETUPA MTU

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Před 4 lety +34

    Tanzania ni forth saddest Country in the World to be honest, lakini nimimsiliza tundu lissu najihisi furaha Inarudi tena. Msema kweli mapenzi wa mungu rudi uje ufanye kazi.

    • @tizzomushi4072
      @tizzomushi4072 Před 3 lety +3

      Umekubali eeeh!! Kuna wajinga lkw wanatoa matusi niliumia kweli nikawaambia je akija akawa rais na akawaongoza??

    • @linkreuben5804
      @linkreuben5804 Před 3 lety +1

      Tanzania ni nchi nzuri sana na tajiri, watu kama lisu wakiwa raisi, utajili wote wa nchi utaenda kwa wazungu. Lisu ni kibaraka wa mabeberu. Hata sasa inasemekana amepewa uraia ubeligiji, kwa mabeberu wanaongoza kuvuruga nchi za Africa, kuua watu na kuchukua mali.
      MUNGU awalaani katika Jina la Yesu. Ameni

    • @pascalfaustini9794
      @pascalfaustini9794 Před 3 lety

      @@tizzomushi4072 v

    • @almasiclassic3476
      @almasiclassic3476 Před 3 lety

      @@linkreuben5804 usiongee kitu huna uhakika nacho kausha

  • @mansurnguja7306
    @mansurnguja7306 Před 3 lety +3

    Salama na wenzako hamna uwezo wa kumhoj Mh tndu Lissu mnaulza chenga2, ulizen Mambo ya maana kama Dada Farhiya Middle.

  • @husseningurukuru730
    @husseningurukuru730 Před 3 lety +2

    Hasante lisuu uko sahii

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 7 lety +6

    Shule siyo jengo ni uwepo wa walimu. Vitabu. Maabara. Na vitendea kazi

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 Před 2 měsíci

    Hizi speeches zinaishi milele

  • @jodsonmbezi838
    @jodsonmbezi838 Před 3 lety +10

    Wewe upendi watu wafe na wewe aufi miaka yote nakupenda mweshimiwa Rais

  • @lingsonmasoud2946
    @lingsonmasoud2946 Před 6 lety +13

    Salama hahahaa huyo baba ako unamuhoj km mshkaj bn ila nmependa ilkua amaizng

    • @edwardvelidiana1864
      @edwardvelidiana1864 Před 4 lety

      Jamani!!!!!!

    • @primuskiiza6403
      @primuskiiza6403 Před 3 lety

      Nimegundua sana unapendwa. na Wasomi/ na wasio wasomi lakini wanajitambua. Congratulations. to you. Tundu. Lisu

  • @allyjuma1707
    @allyjuma1707 Před 3 lety

    Safiii saana lisu yaani huwa sichoki kukusikiliza kwenye mazungumzo yako, huwa najifunza vitu vingi saana kutoka kwako nataman siku moja uwe Rais wa hii nchi

  • @lengaymaida434
    @lengaymaida434 Před 6 lety +8

    Get like this soon mh.

  • @jonathanabsolom453
    @jonathanabsolom453 Před 9 lety +34

    Salama umejitahid sana kuuliza maswal mzurr
    Next time ukiita mtu kama lisu jaribu kutafuta kampan ya watu wenye akili kdgo ili interview iwe interested kdgo coz kina muba hao walizidiwa maji apo

  • @suysoni
    @suysoni Před 9 lety +20

    hahaha Lisu namkubali sanaaa 1:03:26, anakwambia anapenda sana kuchimba usiku ili kesho yake akawabane bungeni hehe

  • @peterlapae6287
    @peterlapae6287 Před 9 lety +1

    Mungu uturehemu na Maliki .

  • @agerpityswai1555
    @agerpityswai1555 Před 6 lety +6

    Zanzibar ni koloni la tanganyika💃💃

  • @gilbertmtoshu4334
    @gilbertmtoshu4334 Před 3 lety +1

    Love u bro 13/10/2020

  • @gentlemantesha4184
    @gentlemantesha4184 Před 3 lety +1

    Naukalibisha mwezi oktoba kwa kusikiliza madini kutoka kwa Mheshimiwa Rais 🇹🇿

  • @willymongeza7620
    @willymongeza7620 Před 3 lety

    The best TV station Mkasi

  • @twaibukihimbi1148
    @twaibukihimbi1148 Před 3 lety +1

    Pole mkuu

  • @abdullahmunish3988
    @abdullahmunish3988 Před 4 lety +4

    The genius

  • @selemanikisanga4424
    @selemanikisanga4424 Před 4 lety +5

    Tumpe kura huyu ndiye rais Bora Sana na amekusudiwa namungu

  • @emmanuelmsigwa7007
    @emmanuelmsigwa7007 Před 3 lety

    Safi sana point