GADNER AFUNGUKA MAISHA YAKE/ SIKUBAHATIKA/ NILIUMWA TB/ NILIKOSA DAWA KIBONDE AKAFA/ NDOA hahaha!
Vložit
- čas přidán 30. 04. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Gadna #cloudsfm #kibonde - Zábava
Gadner ametulia halafu yuko very humble!
Aise huyu presenter ni mtu mbaya sana ,he deserves something bigger
Mtafute mr Joel Nanauka
🎉R.I.P captain nakumbka the way natoka shule jion naskilza kipind kzuri kma hicho
A very humble man. Mungu akuzidishie
mwenyezi Mungu amjaalie huko aendeko kaka yangh Gadna g Habash..nimesikitika kabisa.Chidi beeny
Napenda confidence ya Lambati as a presenter, apply BBC upate nafasi ya Salim Kikeke you’re very good very professional
Kweli kabsaaa!!
Huyu mwamba apewe maua yake anajua sana
Kweli kabisa
anajua ila kwa kikeke hatoshii😀
Heshima Sana Kaka ghadina hua nakufatiria sana
Wakwanza kucoment leo nipe like zangu😂
Jamaan ana roho nyeupe kama mzungu.....
Halafu kuna vitoto vya 2000 vinasema jaiva ana sauti nzur msikilize marehemu enz za uhai wake😢
Jamaa yupo Smart sana aisee.
Interview nzuri sana.
Hiii imeeendaaaaa👏👏👏👏👏
Nice
Ule wimbo wa mbinguni hakuna bia ndiyo maana tunakunywa bia , hata ukifa leo rafiki zako tutakunywa zako bia😂 namkumbukaga Sana Kibonde nikisikiliza huu wimbo
Anae hoji Smart na anae hojiwa smart as well 😂😂
safiiii sana
Sura yake inaonyesha kuwa ni mtu wa tungi.
Kwa kifupi ni mlevi, lakini anahitaji kusaidiwa ili kuacha.
Yeye anaita ulevi ni starehe, anasahau pombe inaua akili, nafsi na mwili.
Kivipi
Weka sura yako tuone
😂 eti weka sura yako tuone 👍
Doo
Presenter upo vzr sana
Michezo ni muhimu Sanaa unaambiwa kisaikologia inakufundisha kushindana na kupambana ili ushinde maisha .
BABA KAREN PUNGUZA POMBE AU HACHA Kabisaa, we ni mlevi kupindukia kwa umri wako unayumba mzee baba
🤣🤣🤣
Mlevi sanaaaa yani ukimkuta kalewa hiyo sura yake inakua ya hovyo utasema mgonjwa woiiii
Umalaya sasaaaa ndio usipime hahahahaaaaa
@@nawechi4818 Apo kwanza ncheke 🤣🤣
Hawezi kuacha mpaka itumike nguvu Isiyo Onekana Kwa macho. Kunanguvu inayo mfanya anywe. Natamani kumsaidia bure natafuta mawasiliano yake.
Good interview
Huyu jamaa anajua muandishi best
Noma
Jaman sijasikia vzr analipwa ngap clouds??
Walevi wakarimu sana
Lambat unajua sana kaka nakufatilia sana tangu radio mwaka wa kwanza
He is very honest
Hapo kwenye amount mumepakata kwaiyo imebaki kuwa siri
kuuliza mshahara wa mtu publicly si sawa... 🤦♀️
Yaan nyie wehu kweli sasa kama mlikuwa hamtaki tuskie anacholipwa mlikuwa mnamuuliza kwa nini?
Kaka unajua sana kutangaza na unajua sana kuoji maswali mazuri na yenye mafunzo Kwa jamaa nakupongeza sana Kwa hilo!! KAMA HII CHANEL SIO YA KWAKO PLS PLS JITAHIDI UWE NA YA KWAKO MWENYEWE.
Unastahil yako flan kuhoji..safi sana...pia gadner amesema anakula milio ngp???
Sura yake kama baba yake masikini na ni mtu aliekuwa akimjali sana baba yake
Alillelewa na Tanrosse
Analipwa zaidi ya mil 10😢😢
Karibu Tumaini Counselling and Psychotherapy tuongeee
Iko wapi hii Tumaini Hospital?
Kwa hiyo tb alipata kwajili ya pombe au?
Gadner mlevi bhana, asiwadanganye hapoooo😅
Mnywaji bhana sio mlevi😂
Nakumbuka sana Pertner Wako Kibonde
Rip😢😢😢
RIP Gardner
Huyu kk anayelipa kodi ni kabila gani
Analipwa ngapi
Inna Lillahi wainna ilayhi 😢
Ndo mn alikuwacha mn pombe sn mwishowe ni marazi moyo tb na kazalika
Maendelezo uko wapi ...
czcams.com/video/_CiUOqdfZHE/video.html
Dar24 mnajua ku interview bigup
Mlevi sanaaaaaaa mpka sura imeharibika utasema mgonjwa ukimuona live mxiuuuu
yeah ngozi katutumka sauti teina mmmmmmh😢😢
Jamani chumbageni? Kwani Gadner ni Kaka yake Celina Habash? Tulisoma nae??
gadner ni mchaga huy sem amekuwa kwa mama yak
@@faidhamyovela179mmmm. Waliishi na wazazi wote wawili ( familia) Tanga.
Ila watangazaj wa tz wasipopata teuz uzeen wanatia huruma sana wewe lampast sijui una miakil ming jitahd uendelee kuwa smart hata kama hutokuja kupata teuz😂
Moja ya watangazaji wakubwa na wanafanya vizuri Kwa Sasa ni Lambati natamani kukuona kwenye media kubwa zaidi...
Ni dhahabu hii
WE MKAKA MTANGAZAJI HAPO KWA SASA HAKUTOSHI INGIA MKATABA BBC HARAKA SANA TUWAKILISHE WATANZANIA
Jmn kwan hamtaki afanye kazi Tanzania kwa BBC ndio nani?😅 acheni kwanza ajijenge hapa nyumban 😢
Mzee wetu anakiri hana nidhamu ya fedha
Kukiri udhaifu wako pia ni confidence, yaan unajikibali, no one is perfect
Mbona mmekata jibu la mshahara wake wakati yeye mwenyewe karidhia kuutamka????? Mmefeli
Kweli kabisa
Kasema analipwa zaidi ya milioni 10 mshahara wake
mUwe mnasikiliza mbk mwisho wa maojiano Kisha m comment please kajibu milion10 na kuendelea
Mashavu TU yanaonyesha kua ni mlevi mm sicheki ulevi maana babaangu analewa mpaka sitaki hata kurudi nyumbani niaibu jamani mpaka najiuliza mm nitaolewa kweli naumia sana
Pole my utaolewa tu ata sisi wazazi wetu ni walevi
Your coment is not relevant when it's clear Gardner is no more. Choose what to write on comments. We are all human beings, and it's not right to talk a weakness of a no more person.
Na afya yako vp?
Wapili
RIp jembe
Umeacha kwenda seeclif na serena ulipokuwa ukiendana marehemu rossi
Jee Tan Rose ulimuoa
Gardina jee Tann Rosse nae anakujia.akilini
Uko kama mimi nenda kwenye maombi kwa GeorDavie yataisha huyo ni shetani
@@merinakassembe118 mwizi Yule mzee
@@merinakassembe118 good
They will kill you
Wewe gadna sio mnywaji wewe ni mlevi sanaa tena sio utani
Haswaaaaaa mlevi sanaaaaaaaaaaa
Kumbe wasafi ni ya kusaga
Ya kwako😳
Wabongo bhana twapenda kukalili sana waeza dhania umehojiwa ukaisema kua wasafi ni ya Kusaga
Sio kusaga, ni partnership ya mondi na kusaga
sio ya kusaga n parterner kati ya diamond mke wa kusaga na jamaa mwingine ana asilimia mbili
Si kaongea ukweli jamaa mlevi anaga siri