EXCLUSIVE: GADNA NA MWANAE: Nataka mwanangu awe na ShugaDaddy/Siamini mahusiano

Sdílet
Vložit

Komentáře • 377

  • @Slama-jg9wn
    @Slama-jg9wn Před 24 dny +111

    Turio kuja kuangaria baada ya msiba tujuane 😭😭

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 24 dny +79

    Wangapi tumekuja kuangalia interview baadae ya mzee G kufarik
    Pole sana bint yangu kareen 20/4/2024 pumzika kwa amani mzee babu G

  • @naomicharles7426
    @naomicharles7426 Před 4 lety +53

    wangapi wameona kalen angelikuwa mtangazaji ingependeza zaidi kuliko kuwa msanii.

  • @diva_20162
    @diva_20162 Před 23 dny +16

    Hii ndo inaitwa Daddy and daughter,, Rest In paradise Captain 🕊️🕊️

  • @paulanelson5394
    @paulanelson5394 Před 22 dny +8

    Wale tuliokija kuangalia hii interview baada ya Gadina kafa tijuane😢 R.I.P Gadina

  • @catherinefortunatus8877
    @catherinefortunatus8877 Před 4 lety +29

    She is very humble girl and cute kwambali anataka kufanana na tess chocolate

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 4 lety +39

    Umemuelezea vzur Sana Ruge Rest In Peace Boss Ruge na marehemu wote wapumzike kwaamani dunia tunapita do what makes you happy

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 24 dny +6

    Kiswahili cha Tanga utakijua tu👍👌

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 Před 4 lety +19

    MASTAAA nnao wajuwa huyu karen namkubali wallahi mdada mzuri ranginzuri yani dah..nickuhusudu ngoja nkwambie Mashallah

  • @OscarVenance
    @OscarVenance Před 11 dny +1

    Somebody kaskilizeni tena dk ya 54😢😢 RestInPeace

  • @aishaomary7384
    @aishaomary7384 Před 4 lety +13

    Interview nzuri asante Zamaradi kwakweli kipindi chako hua siishii njiani kuangalia Bora Kama Nina ubusy nisiangalie tu nisubir god bless you.

  • @aminahmohammad5866
    @aminahmohammad5866 Před 4 lety +12

    Back kuna kelele zama plz shugulikia sauti

  • @mwanahamisibakari8442
    @mwanahamisibakari8442 Před 4 lety +17

    Karen rangi yake nzuri asijichubue

  • @hamidabaliyanga2584
    @hamidabaliyanga2584 Před 4 lety +1

    Asante dazama nakupenda sana

  • @titomneja844
    @titomneja844 Před 4 lety +7

    One of my best interview, ambayo imejaaa mafunzo,simanzi,sijawahi angalia interview ambayo imeshiba and very interesting,,🙌 kwel Gardner anahaki ya kumshauri mwanae anavyotaka awe that's ,wanaomshambulia eti kuhusu shuga dady washauri nao watoto wao kila mtu Ana nafasi yakutoa maono yake whether it's right or wrong to you,and members not every advice given to someone may be favorable to anyone thus ridiculous 🙉

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow6615 Před 4 lety +8

    Napenda mzazi anayesupport mwanae

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 Před 4 lety +19

    Nimependa interview sema baba kusema mbele ya mtt wako eti ss hivi unaweza det na wanawake tofauti tofauti siyo vizuri

    • @bahathmuro5714
      @bahathmuro5714 Před 4 lety

      Ni ukweli kaaamua kuuweka wazi sema tu ndio hivyo

    • @beatraceketto3880
      @beatraceketto3880 Před 4 lety

      Hata mm nimechukia kwamn anaongea jambo km hili hatakama ndo uo uzungu huuutaratibu siopoa

  • @MichuziTV
    @MichuziTV Před 4 lety +2

    Nice interview. Hongera sana Zamaradi, keep it up and continue making a difference.

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 23 dny +4

    Pole kareen kwa kumpoteza baba😢😢

  • @kalamustudio
    @kalamustudio Před 4 lety +46

    Good interview zama...ila sound quality iko cheni sana rekebisha hapo.

  • @musarichard2934
    @musarichard2934 Před 4 lety +5

    Karen yuko very simple with Dady..I love that life

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Před 23 dny +8

    Daah the guy was honest!! May his soul Rest In Peace

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 4 lety +13

    There’s an echo in the studio

  • @user-xo4pw2pw1o
    @user-xo4pw2pw1o Před 21 dnem +1

    Mh inauma sana pole kipenzi kwakumpteza baba una rangi nzuri sana

  • @zeidytheislandgirl7616

    Oooosheeeeey good interview g.kama anaona aibu hivi alafu anajikaza

  • @zaharawawa7243
    @zaharawawa7243 Před 4 lety +7

    😀😀😀😀 nimeipenda hiyo yakuwa na mahusiano mzee maana wanajua kulea

  • @mjsaidkeya822
    @mjsaidkeya822 Před 4 lety +9

    Interview moto sana

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 Před 4 lety +14

    Mungu awaweke maali pema kabisa boss ruge na kibonde na boss ruge mungu alimpa moyo wa kutoa na ndomana alikuwa ajifikilii yeye mwenyewe sana alikuwa na moyo wa uruma ndomana watu walilia wengi sana kwa ajili yake

  • @lilianboniphace7266
    @lilianboniphace7266 Před 4 lety +13

    Excellent interview.... ila mwangwi sana sauti inakuwa kwa mbali

  • @IlhaamMarshed
    @IlhaamMarshed Před 4 lety +1

    czcams.com/video/OhotjXUkDQQ/video.html Pitia page yetu upate kujifunza kuhusu mapishi. Natumai hutajutia 🤗 KARIBU.

  • @jamalali3875
    @jamalali3875 Před 4 lety +2

    Nakupenda Karen

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 Před 4 lety +7

    Big up Zama sauti control tu

  • @peacemusasa8864
    @peacemusasa8864 Před 4 lety +3

    Much love to Zama

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 4 lety +8

    Zamaradi nawe kua na mic km za wageni usikike vzr kazi iwe nzr hii inasikika km mpo chumba kilicho tupu sauti

  • @ulricamakalla5565
    @ulricamakalla5565 Před 4 lety +20

    The best daddy in the world 😘😘😘🙌

  • @jenifersamwel8990
    @jenifersamwel8990 Před 4 lety +9

    Polee gardna mm pia hiyo misiba ilinigusaa mnoo 😥😥😥😥

  • @neemanyahalu9678
    @neemanyahalu9678 Před 4 lety +5

    Safi sanaaaa baba nimekupenda gadna

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 Před 4 lety +11

    Heeee,,, mungu wangu kwa wazazi tena wa kiume nisingeweza kuzungumza chochote kile yn mayibu km yoteee nisingeweza ht kidogoo

  • @prisca2774
    @prisca2774 Před 4 lety +17

    Zamaradi is such a good show host! Ana potential kubwa sana kuwa mtangazaji maarufu in Africa. She does asks questions that no one would ask, she is giving me Oprah Winfrey kinda vibes!

  • @nsubisimwakaje7311
    @nsubisimwakaje7311 Před 4 lety +10

    Studio ina mwangwi halafu kuna watu nyuma sijui wanafungua fungua milango hadi misauti inasikika

  • @wardakasala8956
    @wardakasala8956 Před 4 lety +3

    Zama kazi nzuri sana ila sautiii mamaaa

  • @o.righty
    @o.righty Před 4 lety +3

    Dada Unapiga kazi nzuri bati sound ina mwangwi sana fanya marekebisho...

  • @jumaissa4148
    @jumaissa4148 Před 4 lety +2

    Fanya colabo na nandy it wil be fire,,,,

  • @niyimpabizoza2568
    @niyimpabizoza2568 Před 4 lety +8

    I love you zama

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 Před 24 dny +6

    Kiukweli karen alikuwa kipenzi cha baba yake yani walikuwa nataniana kama washikaji, duh pole sana karen kwa kumpoteza baba yako kipenzi 😭😭😭😭

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 Před 4 lety

    And veru beauitiful

  • @careencharlescharles9749
    @careencharlescharles9749 Před 4 lety +1

    pole sana kaka MUNGU akupe mke kabisa tena mwema

  • @Eipinternation
    @Eipinternation Před 4 lety +2

    She is cute..
    #Eipinternation

  • @brightonshakila6406
    @brightonshakila6406 Před 4 lety +2

    Pole Gadna my favorite presenter of all times

  • @aminahamza8750
    @aminahamza8750 Před 4 lety +8

    Sauti Ina haribu interview bhana

  • @jacklinekisoka4470
    @jacklinekisoka4470 Před 22 dny +2

    Mungu amtie nguvu huyu dada

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous6644 Před 4 lety +4

    The FACTS that your straightforward says it all !!!!’

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Před 23 dny +3

    Mmh hapo kwenye mirathi😢

  • @prisca2774
    @prisca2774 Před 4 lety +43

    This guy feels like he has a broken heart! Na ndiyo maana wanaume wengine wanaishia kuwa ma player because of their insecurities brought by their past relationships. Now, kwa culture ya Tanzania siyo mfano mzuri wa baba kuwa wazi kwa mtoto(especially wa kike) kama anavyosema ana zaidi ya mpenzi mmoja. I think he needs therapy! But this young lady is a smart one! She is very articulate and seems to be knowing what she is doing!

  • @nasramasimba3532
    @nasramasimba3532 Před 4 lety +7

    Aka katatzo kasaut kanajirudia plz jaribu kurekebish saundi kama ina mwangwi na yako kidogo iko chini ni tatizo tuubla adobe so plz jaribu rekebish ii kitu cc mashabiki wako tunatak ufanye vitu ki quality bana atutak ukosee ata kitu......

    • @anabmahmoud9072
      @anabmahmoud9072 Před 4 lety

      Duuuh sauti ni tatizooo kila Mara jaribu kurekebisha

  • @ednastephen2080
    @ednastephen2080 Před 4 lety +2

    Hili swala la Mirathi mimi tu kama mwanasheria lakini bado mzazi ukimwambia kitu kama hicho anahisi unataka kumuua. Well said brother, we need to change this mentality for the benefit of what and who you leave behind.

  • @agnetharenatus5073
    @agnetharenatus5073 Před 4 lety

    Much love zama

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 Před 4 lety +2

    Jamani!!! Nimemhurumia huyu baba! Dear Jide rudianeni mwenzio ameumia kutoka kwako!

  • @jescamaro6226
    @jescamaro6226 Před 4 lety +12

    Zama interview iko pwa ,lkn sound so nzuri kabsaa makelele mengi kunamengne hatuyasikiiii, naumia masikio tu

  • @pettydaudipetty6700
    @pettydaudipetty6700 Před 4 lety

    Hongera

  • @smartmussadozen3535
    @smartmussadozen3535 Před 4 lety +3

    King of interview zamarad napenda sana gadna anavyo jua kujielezea

  • @brendachibura6040
    @brendachibura6040 Před 4 lety +50

    Zama naomba mlete Wemasepenga please

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Před 22 dny +1

    😢😢😢 masikini Malika nampenda pole mama mwache baba apumzike salama

  • @simonsanga2129
    @simonsanga2129 Před 4 lety +1

    Mwisho wa hii Interview, unaumiza sana pia inakumbusha mambo mengi juu ya maandalio ya ulimwengu ujao tusiouona.R.I.P Ruge na Kibonde.

  • @amaraemeka7442
    @amaraemeka7442 Před 4 lety

    Nampenda sana Karen

  • @jujulizzy283
    @jujulizzy283 Před 4 lety

    @best eva

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 Před 4 lety +23

    I like the bond btn both watanzania tuache unafki kwasababu hata asipoongea ndo maisha anayoyaishi hakuna cha kuficha what matters the girl is above 18 anatakiwa ajue inavyokwenda huku kuficha ndo jamii yetu inaangamia kwa kukosa maarifa uwazi ni mzuri kwa watoto

    • @hadijabashil2680
      @hadijabashil2680 Před 4 lety

      Ni sawa lkn du vinatia aibu bwana

    • @catherinecharles932
      @catherinecharles932 Před 4 lety

      Hakika maana kunamda inabidi uwekewazi maana ndikomtoto aliko au anakoelekea afiche nini asa mtoto kaishakua so

  • @kilimanjarojjcarhire240

    Safiii sana gadn huuulu kupitiliza sana kila mtu anapenda hiyo ishi bila stress

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před 4 lety +3

    Jamaniiiii Gadner....ndio Mirathi umeshampa mwanae

  • @priscajohn6090
    @priscajohn6090 Před 12 dny

    Baba yako alikuwa wakishuwa sana' pole sana Caren!

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 23 dny +1

    Great interview
    I hope you will Rest Easy Bruh 🙏🙏

  • @hamisimsalapai962
    @hamisimsalapai962 Před 4 lety +8

    Sauti ni kikwazo

  • @ismailm325
    @ismailm325 Před 4 lety +5

    It's a very good interview but you need to work on a sound qaulity.

  • @ArafaMtangi
    @ArafaMtangi Před 11 dny

    Inauma sana RIP captain

  • @nasramasimba3532
    @nasramasimba3532 Před 4 lety +3

    Kitu kingine ni creativity I gues itakua vizuri kama ungewek challenge au puzzle or anything that kinawez kikanfany mm mtazamaji niangalie chap pale tuu npatapo notification.
    Or uwe unawauliza maswali kama vile vitu gani anapenda au hapendi or challenge kama vile unampa kinywaji anywe katika muda flani akishindwa unamtwanga maswali nyeti au yeye atuambie vitu kulingana na ss maviewers wako tunatamani kujua I mean tuulize maswali then achague lipi atajibu.....
    Itakua poa hii ni ushauri tuu sista zama... kwako mwal kashasha?

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 Před 4 lety +1

    Gardiner anaishi maisha ya kizungu zaidi though yeye ni Mwafrika. Ni mara chache sana kuona baba na mtoto wake wa kike, wako kwenye interview na kila mmoja akuwa huru kuzungumza mambo ya familia na private pia. Big up sana Gardner.Pia pole sana Gardner hususani ulipokuwa unawaongelea Boss Ruge na Kibonde. Ulionyesha hali ya kutaka kulia, lakini kama mwanaume ulijizuia though machozi yalikulengalenga kama mtu uliekuwa karibu nao. Naamini binti yake atajifunza mengi kupitia hii interview. Umeniacha hoi kuwa hutaki mahari au send off. Harusi je utaikubali kwa binti yako🧖‍♀️💁‍♂️?.

  • @geraldsahani5315
    @geraldsahani5315 Před 4 lety +1

    interview nzuri lkn zama sauti yako ipo chini sana. nafikir umbali wa mic ulivyoiweka. thanks

  • @BrakxxxBeatzAfrica
    @BrakxxxBeatzAfrica Před 23 dny

    Hio microphone imezimwa au?

  • @joycefelix9047
    @joycefelix9047 Před 4 lety +6

    Wacheni kumwambia Gadner eti amekuwa mfano mbaya kwa mtoto...Caren is not a child. Anajua kizuri na kibaya....mara Zama asiulize maswali ya aina fulani....jamani kuna mtoto hapo. Watu jueni this is 21st century

  • @a.856
    @a.856 Před 4 lety +2

    🙏

  • @antybabybintrashid2333
    @antybabybintrashid2333 Před 4 lety +3

    Zama ukiskia jna la ruge how do you filk dada

  • @tuntulusekelo4191
    @tuntulusekelo4191 Před 4 lety

    Zama Ulikuwa usikiki mwaya, I wish ningekuwa mkwe wa Gadna teh teh

  • @RehemaMbonde-zx1bb
    @RehemaMbonde-zx1bb Před 21 dnem +1

    Dah rip babu g

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 Před 4 lety

    The girl she is soo class

  • @Cherriechina
    @Cherriechina Před 4 lety +9

    I like their bond so powerful.😍🤗 plus both of them are very smart

  • @christinabenedictjacob9077

    best interview, your the best Zama

  • @masoudmasasi1801
    @masoudmasasi1801 Před 4 lety

    dah bonge la mahojiano safi sana

  • @upako4598
    @upako4598 Před 23 dny

    Angekuwa mtangazaji

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 Před 4 lety +2

    Brain!!

  • @velmaagwona1945
    @velmaagwona1945 Před 4 lety

    @55 the interview was saddening 😥😥😥😥

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 Před 16 dny

    Mm namuwaza Karen anahali gani jmn Mungu amtie nguvu 😢😢😢

  • @ashermzuzuri1617
    @ashermzuzuri1617 Před 21 dnem +2

    Mungu amjaalie uvumilivu karen jaman mapenz yake na baba yake yalikua makubwa sn😭

  • @Jizams
    @Jizams Před 4 lety +3

    Sound sio

  • @stellaivan9780
    @stellaivan9780 Před 4 lety +3

    Zamarad likebisha saund hapo haikai sawa kabsa

  • @rosejohn6818
    @rosejohn6818 Před 4 lety +5

    Gadner anaongea vzr bt kama anatatzo anahtaj kupata mshaur mzur

  • @ramadhanikibenga6317
    @ramadhanikibenga6317 Před 4 lety +2

    Interview nzuri sana maana wote wanajieleza vizuri sana hongera Gadner na mwanao, imenihuzuni sana mwishoni pole sana kwa kuondokewa na wapendwa wako kweli dunia tunapita

  • @talsbianca2374
    @talsbianca2374 Před 4 lety +1

    Hapo mwishoni imekuaje tena mbn sound iliyeyuka

  • @dianaketo2676
    @dianaketo2676 Před 4 lety +8

    zama your sound quality is too low. reason i can't watch your videos

  • @user-xo4pw2pw1o
    @user-xo4pw2pw1o Před 15 dny

    Allah akupunguzie adhabu ya kaburi captain daima utakumbukwa

  • @hasnaabduly4945
    @hasnaabduly4945 Před 4 lety +7

    Zamadi sauti inasumbuaaa