One of my best interview, ambayo imejaaa mafunzo,simanzi,sijawahi angalia interview ambayo imeshiba and very interesting,,🙌 kwel Gardner anahaki ya kumshauri mwanae anavyotaka awe that's ,wanaomshambulia eti kuhusu shuga dady washauri nao watoto wao kila mtu Ana nafasi yakutoa maono yake whether it's right or wrong to you,and members not every advice given to someone may be favorable to anyone thus ridiculous 🙉
Mungu awaweke maali pema kabisa boss ruge na kibonde na boss ruge mungu alimpa moyo wa kutoa na ndomana alikuwa ajifikilii yeye mwenyewe sana alikuwa na moyo wa uruma ndomana watu walilia wengi sana kwa ajili yake
Zamaradi is such a good show host! Ana potential kubwa sana kuwa mtangazaji maarufu in Africa. She does asks questions that no one would ask, she is giving me Oprah Winfrey kinda vibes!
This guy feels like he has a broken heart! Na ndiyo maana wanaume wengine wanaishia kuwa ma player because of their insecurities brought by their past relationships. Now, kwa culture ya Tanzania siyo mfano mzuri wa baba kuwa wazi kwa mtoto(especially wa kike) kama anavyosema ana zaidi ya mpenzi mmoja. I think he needs therapy! But this young lady is a smart one! She is very articulate and seems to be knowing what she is doing!
Aka katatzo kasaut kanajirudia plz jaribu kurekebish saundi kama ina mwangwi na yako kidogo iko chini ni tatizo tuubla adobe so plz jaribu rekebish ii kitu cc mashabiki wako tunatak ufanye vitu ki quality bana atutak ukosee ata kitu......
Hili swala la Mirathi mimi tu kama mwanasheria lakini bado mzazi ukimwambia kitu kama hicho anahisi unataka kumuua. Well said brother, we need to change this mentality for the benefit of what and who you leave behind.
I like the bond btn both watanzania tuache unafki kwasababu hata asipoongea ndo maisha anayoyaishi hakuna cha kuficha what matters the girl is above 18 anatakiwa ajue inavyokwenda huku kuficha ndo jamii yetu inaangamia kwa kukosa maarifa uwazi ni mzuri kwa watoto
Kitu kingine ni creativity I gues itakua vizuri kama ungewek challenge au puzzle or anything that kinawez kikanfany mm mtazamaji niangalie chap pale tuu npatapo notification. Or uwe unawauliza maswali kama vile vitu gani anapenda au hapendi or challenge kama vile unampa kinywaji anywe katika muda flani akishindwa unamtwanga maswali nyeti au yeye atuambie vitu kulingana na ss maviewers wako tunatamani kujua I mean tuulize maswali then achague lipi atajibu..... Itakua poa hii ni ushauri tuu sista zama... kwako mwal kashasha?
Gardiner anaishi maisha ya kizungu zaidi though yeye ni Mwafrika. Ni mara chache sana kuona baba na mtoto wake wa kike, wako kwenye interview na kila mmoja akuwa huru kuzungumza mambo ya familia na private pia. Big up sana Gardner.Pia pole sana Gardner hususani ulipokuwa unawaongelea Boss Ruge na Kibonde. Ulionyesha hali ya kutaka kulia, lakini kama mwanaume ulijizuia though machozi yalikulengalenga kama mtu uliekuwa karibu nao. Naamini binti yake atajifunza mengi kupitia hii interview. Umeniacha hoi kuwa hutaki mahari au send off. Harusi je utaikubali kwa binti yako🧖♀️💁♂️?.
Wacheni kumwambia Gadner eti amekuwa mfano mbaya kwa mtoto...Caren is not a child. Anajua kizuri na kibaya....mara Zama asiulize maswali ya aina fulani....jamani kuna mtoto hapo. Watu jueni this is 21st century
Interview nzuri sana maana wote wanajieleza vizuri sana hongera Gadner na mwanao, imenihuzuni sana mwishoni pole sana kwa kuondokewa na wapendwa wako kweli dunia tunapita
Turio kuja kuangaria baada ya msiba tujuane 😭😭
Tupo hapa,Mungu ampe pumziko la milele Gadner 😢😢
Tupooo
Tupo
Tupo ap
Pamoja
Wangapi tumekuja kuangalia interview baadae ya mzee G kufarik
Pole sana bint yangu kareen 20/4/2024 pumzika kwa amani mzee babu G
Ndonatizama tena😢
@@somoemchunga1654 acha tu yaaan nimesikiliza mbk mwisho Mali zote apewe bint yake amesema hapo km yeye akitaka kutoa Sawa Ila mirithi yote ya karen
Nimerudi tena
Nipo hapa
Tupo
wangapi wameona kalen angelikuwa mtangazaji ingependeza zaidi kuliko kuwa msanii.
Hii ndo inaitwa Daddy and daughter,, Rest In paradise Captain 🕊️🕊️
Facts indeed
Wale tuliokija kuangalia hii interview baada ya Gadina kafa tijuane😢 R.I.P Gadina
She is very humble girl and cute kwambali anataka kufanana na tess chocolate
Umemuelezea vzur Sana Ruge Rest In Peace Boss Ruge na marehemu wote wapumzike kwaamani dunia tunapita do what makes you happy
Kiswahili cha Tanga utakijua tu👍👌
MASTAAA nnao wajuwa huyu karen namkubali wallahi mdada mzuri ranginzuri yani dah..nickuhusudu ngoja nkwambie Mashallah
Somebody kaskilizeni tena dk ya 54😢😢 RestInPeace
Interview nzuri asante Zamaradi kwakweli kipindi chako hua siishii njiani kuangalia Bora Kama Nina ubusy nisiangalie tu nisubir god bless you.
Back kuna kelele zama plz shugulikia sauti
Karen rangi yake nzuri asijichubue
Asante dazama nakupenda sana
One of my best interview, ambayo imejaaa mafunzo,simanzi,sijawahi angalia interview ambayo imeshiba and very interesting,,🙌 kwel Gardner anahaki ya kumshauri mwanae anavyotaka awe that's ,wanaomshambulia eti kuhusu shuga dady washauri nao watoto wao kila mtu Ana nafasi yakutoa maono yake whether it's right or wrong to you,and members not every advice given to someone may be favorable to anyone thus ridiculous 🙉
Napenda mzazi anayesupport mwanae
Nimependa interview sema baba kusema mbele ya mtt wako eti ss hivi unaweza det na wanawake tofauti tofauti siyo vizuri
Ni ukweli kaaamua kuuweka wazi sema tu ndio hivyo
Hata mm nimechukia kwamn anaongea jambo km hili hatakama ndo uo uzungu huuutaratibu siopoa
Nice interview. Hongera sana Zamaradi, keep it up and continue making a difference.
instablaster.
Pole kareen kwa kumpoteza baba😢😢
Good interview zama...ila sound quality iko cheni sana rekebisha hapo.
Kweli
Karen yuko very simple with Dady..I love that life
Daah the guy was honest!! May his soul Rest In Peace
There’s an echo in the studio
Mh inauma sana pole kipenzi kwakumpteza baba una rangi nzuri sana
Oooosheeeeey good interview g.kama anaona aibu hivi alafu anajikaza
😀😀😀😀 nimeipenda hiyo yakuwa na mahusiano mzee maana wanajua kulea
Interview moto sana
Mungu awaweke maali pema kabisa boss ruge na kibonde na boss ruge mungu alimpa moyo wa kutoa na ndomana alikuwa ajifikilii yeye mwenyewe sana alikuwa na moyo wa uruma ndomana watu walilia wengi sana kwa ajili yake
Excellent interview.... ila mwangwi sana sauti inakuwa kwa mbali
czcams.com/video/OhotjXUkDQQ/video.html Pitia page yetu upate kujifunza kuhusu mapishi. Natumai hutajutia 🤗 KARIBU.
Nakupenda Karen
Big up Zama sauti control tu
Much love to Zama
Zamaradi nawe kua na mic km za wageni usikike vzr kazi iwe nzr hii inasikika km mpo chumba kilicho tupu sauti
The best daddy in the world 😘😘😘🙌
Polee gardna mm pia hiyo misiba ilinigusaa mnoo 😥😥😥😥
Safi sanaaaa baba nimekupenda gadna
Heeee,,, mungu wangu kwa wazazi tena wa kiume nisingeweza kuzungumza chochote kile yn mayibu km yoteee nisingeweza ht kidogoo
Zamaradi is such a good show host! Ana potential kubwa sana kuwa mtangazaji maarufu in Africa. She does asks questions that no one would ask, she is giving me Oprah Winfrey kinda vibes!
Studio ina mwangwi halafu kuna watu nyuma sijui wanafungua fungua milango hadi misauti inasikika
Zama kazi nzuri sana ila sautiii mamaaa
Dada Unapiga kazi nzuri bati sound ina mwangwi sana fanya marekebisho...
Fanya colabo na nandy it wil be fire,,,,
I love you zama
Kiukweli karen alikuwa kipenzi cha baba yake yani walikuwa nataniana kama washikaji, duh pole sana karen kwa kumpoteza baba yako kipenzi 😭😭😭😭
And veru beauitiful
pole sana kaka MUNGU akupe mke kabisa tena mwema
She is cute..
#Eipinternation
Pole Gadna my favorite presenter of all times
Sauti Ina haribu interview bhana
Mungu amtie nguvu huyu dada
The FACTS that your straightforward says it all !!!!’
Mmh hapo kwenye mirathi😢
This guy feels like he has a broken heart! Na ndiyo maana wanaume wengine wanaishia kuwa ma player because of their insecurities brought by their past relationships. Now, kwa culture ya Tanzania siyo mfano mzuri wa baba kuwa wazi kwa mtoto(especially wa kike) kama anavyosema ana zaidi ya mpenzi mmoja. I think he needs therapy! But this young lady is a smart one! She is very articulate and seems to be knowing what she is doing!
Prisca's Life, the baba is behaving like a mzungu
@@nahyialetomia9284 ,.
00 00
Aka katatzo kasaut kanajirudia plz jaribu kurekebish saundi kama ina mwangwi na yako kidogo iko chini ni tatizo tuubla adobe so plz jaribu rekebish ii kitu cc mashabiki wako tunatak ufanye vitu ki quality bana atutak ukosee ata kitu......
Duuuh sauti ni tatizooo kila Mara jaribu kurekebisha
Hili swala la Mirathi mimi tu kama mwanasheria lakini bado mzazi ukimwambia kitu kama hicho anahisi unataka kumuua. Well said brother, we need to change this mentality for the benefit of what and who you leave behind.
Much love zama
Jamani!!! Nimemhurumia huyu baba! Dear Jide rudianeni mwenzio ameumia kutoka kwako!
Zama interview iko pwa ,lkn sound so nzuri kabsaa makelele mengi kunamengne hatuyasikiiii, naumia masikio tu
Hongera
King of interview zamarad napenda sana gadna anavyo jua kujielezea
Zama naomba mlete Wemasepenga please
Brenda Chibura
Hapo utakuja kusikia no comenti nyingiiiiiii
😂😂😂
kwri amuulize kuusu kwenda kigoma
kwri amuulize kuusu kwenda kigoma
Kla ktu no comment Bora abak kwao
😢😢😢 masikini Malika nampenda pole mama mwache baba apumzike salama
Mwisho wa hii Interview, unaumiza sana pia inakumbusha mambo mengi juu ya maandalio ya ulimwengu ujao tusiouona.R.I.P Ruge na Kibonde.
Nampenda sana Karen
@best eva
I like the bond btn both watanzania tuache unafki kwasababu hata asipoongea ndo maisha anayoyaishi hakuna cha kuficha what matters the girl is above 18 anatakiwa ajue inavyokwenda huku kuficha ndo jamii yetu inaangamia kwa kukosa maarifa uwazi ni mzuri kwa watoto
Ni sawa lkn du vinatia aibu bwana
Hakika maana kunamda inabidi uwekewazi maana ndikomtoto aliko au anakoelekea afiche nini asa mtoto kaishakua so
Safiii sana gadn huuulu kupitiliza sana kila mtu anapenda hiyo ishi bila stress
Jamaniiiii Gadner....ndio Mirathi umeshampa mwanae
Baba yako alikuwa wakishuwa sana' pole sana Caren!
Great interview
I hope you will Rest Easy Bruh 🙏🙏
Sauti ni kikwazo
It's a very good interview but you need to work on a sound qaulity.
Inauma sana RIP captain
Kitu kingine ni creativity I gues itakua vizuri kama ungewek challenge au puzzle or anything that kinawez kikanfany mm mtazamaji niangalie chap pale tuu npatapo notification.
Or uwe unawauliza maswali kama vile vitu gani anapenda au hapendi or challenge kama vile unampa kinywaji anywe katika muda flani akishindwa unamtwanga maswali nyeti au yeye atuambie vitu kulingana na ss maviewers wako tunatamani kujua I mean tuulize maswali then achague lipi atajibu.....
Itakua poa hii ni ushauri tuu sista zama... kwako mwal kashasha?
Gardiner anaishi maisha ya kizungu zaidi though yeye ni Mwafrika. Ni mara chache sana kuona baba na mtoto wake wa kike, wako kwenye interview na kila mmoja akuwa huru kuzungumza mambo ya familia na private pia. Big up sana Gardner.Pia pole sana Gardner hususani ulipokuwa unawaongelea Boss Ruge na Kibonde. Ulionyesha hali ya kutaka kulia, lakini kama mwanaume ulijizuia though machozi yalikulengalenga kama mtu uliekuwa karibu nao. Naamini binti yake atajifunza mengi kupitia hii interview. Umeniacha hoi kuwa hutaki mahari au send off. Harusi je utaikubali kwa binti yako🧖♀️💁♂️?.
interview nzuri lkn zama sauti yako ipo chini sana. nafikir umbali wa mic ulivyoiweka. thanks
Hio microphone imezimwa au?
Wacheni kumwambia Gadner eti amekuwa mfano mbaya kwa mtoto...Caren is not a child. Anajua kizuri na kibaya....mara Zama asiulize maswali ya aina fulani....jamani kuna mtoto hapo. Watu jueni this is 21st century
🙏
Zama ukiskia jna la ruge how do you filk dada
Zama Ulikuwa usikiki mwaya, I wish ningekuwa mkwe wa Gadna teh teh
Dah rip babu g
The girl she is soo class
I like their bond so powerful.😍🤗 plus both of them are very smart
Gadner yuko vizur
chimpaye joram
Jasmin shoo sure 🤤
Yeees😌
best interview, your the best Zama
dah bonge la mahojiano safi sana
Angekuwa mtangazaji
Brain!!
@55 the interview was saddening 😥😥😥😥
Mm namuwaza Karen anahali gani jmn Mungu amtie nguvu 😢😢😢
Mungu amjaalie uvumilivu karen jaman mapenz yake na baba yake yalikua makubwa sn😭
Sound sio
Zamarad likebisha saund hapo haikai sawa kabsa
Gadner anaongea vzr bt kama anatatzo anahtaj kupata mshaur mzur
Interview nzuri sana maana wote wanajieleza vizuri sana hongera Gadner na mwanao, imenihuzuni sana mwishoni pole sana kwa kuondokewa na wapendwa wako kweli dunia tunapita
Hapo mwishoni imekuaje tena mbn sound iliyeyuka
zama your sound quality is too low. reason i can't watch your videos
Allah akupunguzie adhabu ya kaburi captain daima utakumbukwa
Zamadi sauti inasumbuaaa