Kutoka ndani ya moyo wangu naipenda sana interview zako dada @zamaradi imenigusa sana maongezi ya filena really amesimama kama mama na anajibu kwa uaminifu mkubwa na mapenzi yake yaantoka ndani hongeren sana katika hii life upo nayo @mcpilipili na dada zama weka tisue hapo watu wote wanakuja wanagusa mioyo ya watu wanalia sana ila wanajifuta wapi machozi yao haapna poresha kwa hili kwa kweli am so proud of you zamarad
Nitakua mchoyo kamasinto semachochote Mungu awapefuraha daima muishia maisha yenye kumpendeza Mungu nawanadamu japo kwasisi binadam kuturidhisha siwote
Your just like me,wema wangu ,Upendo wangu unaniponzaga sana...but never stop!!blessings always comes to us in ways we don’t understand,bcoz of ou hearts!!.
Zamaradi, we need more tissues & water for the guests; please and thank you. This was very emotional and powerful interview. God bless this couple for sure!
Zamaradi napenda namna unavyofanya interview zako zinaibua mengi ya kujifunza kwetu sisi watazamaji. MC Pilipili jiachie uwapo kwenye interview. umejaaliwa mke mzuri sana mwenye ufahamu mzuri na upendo. Mungu awajaalie mzidi kupendana na kudumu ktk ndoa yenu
Ama kweli MC PILIPILI unajua kumtunza mkeo Phelomena uliepewa na Mungu. Anaonyesha furaha ndani hadi nje kuwa na wewe. Keep it up and Phelomena hold him tightly.
Nimejifunza nimeburudika nimefurahishwa nanyinyi mahojiano mazuri majibu mazuri wanandoa mungu awatangulie huko muendako Nimewapenda 💜💜💜💜💜💜hongereni Sana zamani na wanandoa😘😘😘
Mim nawashangaa sana watu wanao mshangaa pilipili kulia aisee pilpili anampenda mke wake na philomena ni bonge la manzi aisee nimwanamke ambae yupo tayari daaah
Hta mtu unae angalia must utakuwa emotional mena you make some women's strong just unavyoishi na mc kama.mim yan am feel proudly no matter how people say kuusu mtu unae date nae wew ndo unaujua undan as mtu wako keep it up nimewapenda snaa sna sna kama.unamkubali mc pilipili na mkewe comment hapa the strong couple in Tanzania
very emotional but above all mungu, ni wa huruma and he has paid your goodness with a good wife.zamaradi asante kwa ujuzi wa maswali yaani mama na kuheshimu ya kazi yenye ladha mungu akubariki .
Zamaradi kma kweli unasoma comments zetu mbona hutekelezi na unajua maswali yko kwa wengine yako sooo... Emotion, bas jpo maji mtu ashukishe kile kitu kooni aendelee na maongezi
Mc pilipili umenifunza na kunikumbusha mengi imani yako ilikua kma yangu kuamini kila mtu na kuona kila mtu ni kma mimi na la pili mfano wa yakobo kuishi maisha yako na kutambua marafiki wakati wa dhiki na pia maombi juu ya mke/mume. Mbarikiwe kwa kweli
Mumenitoa machozi Ww mc pilipili nakusii na kuombea kwa mungu akuepushe na tamaa za kiduniya uyo mwanamke mueshimusana na usitende ukamuumiza kwa duniya ya sasa wapo wanawake wa chache sana wakubeba changamoto zako kujikabizi yy na kuzifanyika kazi akuweke uwe mtu wa fulatu.mungu awalinde kwenye maisha yenu .
Wow you're wife is a degree holder, no wonder she carries herself with decorum and dignity.. very decent and focused lady. Congratulations guys and keep supporting each other
Kweli kila mtu na uelewa wake.Nachojua kwenye mahusiano kila mtu anatakiwa awe huru kwa mwenzake mtaishi kwa raha kama marafiki.Sio kubanwa kama uko kwenye jela la mahusiano hamna nafasi . Kwenye mahusiano kikubwa kila mtu kujiamini na kujiheshimu
Poleee saana broo nakushaur usijekumtendea baya mena mke umepewa na mungu yaan ukipta mke mwenye kubeba hisia zko kama zake wachache sana bro nawapenda saaana nampogeza cute mena wngu jaman sichoki kumwangalia mungu awatangulie ktk safar yenu ya ndoa.
Mara ingine zama please do keep some tissues there,, just incase of vitu zingine hutokea tu na mtu a nashindwa kujizuia majonzi,, inakua so emotional kiasi cha kulia,,, wipes or tissues yaeza saidia,, mihufwata interview zako,, en most of thm Zinafika to a point of being emotional,, ama tumaji iiiseee,,,, Mungu azidi kubariki this blessed couple,,,, bigup zama
Dada Zamaradi I look up to you so much,nilivoanza video sikujua ntaimaliza,hongera sana kwa couple hii nmejifunza mengi mengi sana,I look up to them sana,the best thing I’ve watched today!
Hanoi Ainu anamuheshimu mkewe na anampenda Tena sana acheni wife namtangoja sana wabaya wa Dunia na hamuogopi wanapendana 🙏🏿❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿❤️❤️❤️❤️
Jmn mena anamiguu mizur jmn kam unakubal pita n like
Kutoka ndani ya moyo wangu naipenda sana interview zako dada @zamaradi imenigusa sana maongezi ya filena really amesimama kama mama na anajibu kwa uaminifu mkubwa na mapenzi yake yaantoka ndani hongeren sana katika hii life upo nayo @mcpilipili na dada zama weka tisue hapo watu wote wanakuja wanagusa mioyo ya watu wanalia sana ila wanajifuta wapi machozi yao haapna poresha kwa hili kwa kweli am so proud of you zamarad
Masha Allah
Kama umemuona huyu dada amenenepa like hapa zisipungue 5.
Kanenepa kweli
Amekuwa ni kama vile mwenye umri mkubwa Sana
@@zuweinaalhabsya8773 niumbo lake ndio lilivo
Yaaani kanenepa kweliii duuuh hongeraa sanaaa Kaka pili pili
Nihemedi huyo
Daaaaah....interview yakiwangoo.....mr en mrx pilipili mungu azid kuwaongoza nakuwpa maisha maref zaidiii ...💕💕💕💕nawapenda saan jamniiiii
I come, I like, I comment. ❤
Mena anahekima sana. Hopefully Pilipili will rise to the ocassion
Daaaaaah nimejikuta nalia ee Mungu bariki hii familia shika kikamilifu
Aamin
Shamburi sio peke yako tumelia wate, Mungu awabariki
hadi mm nmelia jmn
Pole saana pilipi. Allah ampemaisha marefu mama yako.na mwenyenzi mungu awape furaha daima
Mke umepata mzur sana safi sana nawatakia maisha marefu
Anae ikubar hii cp kama mie tujuane ap nawapenda sn Allah awape maisha ya bark Tele 😍😍😍😍
Mungu hawabariki sanaa
Hahahahaha acha unaa wew kaka inaonekana unapelekeshwa alafu ziki ndo zinakusumbua .mena mtot wa kishua mno lazma uwe msogo kma pilitono
Mungu kakupa mke pilipili jamani mungu awafikishe mbali sana mzikane
Mungu azidi kuwabariki Muishi maisha marefu yenye furaha siku zote za maisha yenu
Philomena she has class.Very class the way she talk,she seats,etc.She handles her self very well.Yupo tofauti na mume jaribu kumbadilishaaa.Atabdilika
Haswa
Sahihi kabisa lakini mtu kama anakupenda ni rahisi kubadilika bila kubadilishwa
Mwanake yuko vizuri sana kiuelewa.
Pilipili amekaa kikomed
Mungu huunganisha watu wawili wasio kamili ili wajikamilishe
Nikisikiaga sauti ya pilipili huwa nacheka,mc wa Taifa with qute mena be blessed
Dada amenenep hongera Mume anajua kulea
Leo ndy nimegundua kwa nn siku ile ulilia ulipokua unamvisha Pete kwa ,huyu Dada anamungu na ni mke.
😭😭pole Sana pilipili, ila huyo ulienae Ni mwanamke sahihi kwako nimempenda sana
Nitakua mchoyo kamasinto semachochote Mungu awapefuraha daima muishia maisha yenye kumpendeza Mungu nawanadamu japo kwasisi binadam kuturidhisha siwote
Uko vizuri,Philomena,I like you! Barikiwa!
Your just like me,wema wangu ,Upendo wangu unaniponzaga sana...but never stop!!blessings always comes to us in ways we don’t understand,bcoz of ou hearts!!.
Acha tu ndg, ila inauma
Zamaradi napenda sauti yako
Very true people tend to take advantage of our kindness..
Hapo kwenye kiss! Dah! Nawapenda sanaaa @mcpilipili na @qutemenapilipili😍😍😍😍😍
When you have a good heart people will take a good advantage of you. Broo hongera Sana tafuta hela kaka suala la mke umelimaliza🥺🥺😭😭🥰🥰❤️❤️🙌🏻🙌🏻
Zamaradi, we need more tissues & water for the guests; please and thank you. This was very emotional and powerful interview. God bless this couple for sure!
sijui kama anasoma comments ila ni kweli tissues na maji muhimu sana kwenye hizi interview
Tunatonga na bajeti
@@SblMz-kw5gk
Mjm
Mfx
Kunakuwaga na break katika kipindi kwa ajili ya matangazo labda ndio wanapewa
Hili swala tumesha muomba sana naona hasomagi comment zetu
Da zama wewe ni bonge la host yaan interview zako hazichoshi mtu unatamani uendeleee kuangalia na kusikiliza Big up sana
Huwa anakera akianza kuleta wasenge kwenye vipindi vyake
Jamani leo zam yangu namm naombeni like.
kwan like zinanenepesha ee
@@marygregory7566 😂jaman
Kakojoe ukalale
Ukipewa like na ww unatoa nini 😂
@@wisperfect1960 nakutoa ww kama sadaka
Kweli philomena unafura hadi umenenepa. MashaAllah
Twwnde mbele turudiii, ,, mke wa pilipil n mzurrrr jaman%%%
Amen
Sure
Tukienda mbele tukirudi nyuma tutachelewe maana huo ni mchezo wa kifufugombe
Umeonaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
The way mlivyoongea hapa ni tofauti kabisa na mwanzo before marriage....leo mko serious
Nice interview BT (Eco )
sauti ya hall iko juu kushinda sauti zenu
Zamaradi napenda namna unavyofanya interview zako zinaibua mengi ya kujifunza kwetu sisi watazamaji.
MC Pilipili jiachie uwapo kwenye interview. umejaaliwa mke mzuri sana mwenye ufahamu mzuri na upendo. Mungu awajaalie mzidi kupendana na kudumu ktk ndoa yenu
Ameen
Ama kweli MC PILIPILI unajua kumtunza mkeo Phelomena uliepewa na Mungu. Anaonyesha furaha ndani hadi nje kuwa na wewe. Keep it up and Phelomena hold him tightly.
NIMEGUNDUA KWANN MC 🌶NI MWEPESI WA KULIA....Sababu ANA ROHO NZURI-Kama Tulivyomsikia Mkewe Akisema!
Nikweli kbs
Nimejikuta nimeipenda hii couple, dah pilipili amepata mke Sana'a she is very smart
I love this lady she is very beautiful nd very loving, she loves her husband very much, may GOD bless your marriage
Daaah mpaka nimelia sanaa mungu awabariki sana umepata mke anaye kupenda kwa dhati yani zama kila kipindii watu wana lia
Zamaradi today you look good!! Nimekusifu Kabla sijaangalia interview!!
Mungu Wabariki Hawa wanandoa Nakupenda sana Philomena mpende mumeo daima
Nimejifunza nimeburudika nimefurahishwa nanyinyi mahojiano mazuri majibu mazuri wanandoa mungu awatangulie huko muendako Nimewapenda 💜💜💜💜💜💜hongereni Sana zamani na wanandoa😘😘😘
Umenene pa phimenah Mc pilpil ajua malezi shika sana ulicho nacho
😍😍😍
Mungu awatunze Sana Mc pilipili.. Atunze penzi lenu... Maombi yawe silaha kwenu mtadumu Sana... Mpk machozi yamenitoka but6 Mungu awe nanyi... Amen
She is very smart phelomena❤️and mc pilipili hongera kwa kupatamke
Wale wote wanaotazama hii interview na ku-comment have a lovely day na mwenyenzi mungu awabarik.
amen
( MKe mwema MTU hupewa na BWANA) ,hongera pilipili mungu amekupatia MKE mwenye hekima.
Nimelia mimi asante Zam kwa inteview ya kutufunza
Lovely and blessed couple nimewapenda sana
Mim nawashangaa sana watu wanao mshangaa pilipili kulia aisee pilpili anampenda mke wake na philomena ni bonge la manzi aisee nimwanamke ambae yupo tayari daaah
Umeona eeh hawajapenda hao mi sion tatizo kulia
Nomaaa
Nawapendaaa tu Philo na Pili pili.... Mungu awalindee mzeekee pamoja
Nakupenda sana Mena uko vizuri sana hongera mama i wish siku moja nikuone live nitafurahi sana huna dharau huna misifa na ww ni mzuri sana😘😘😘
Tenaaa sana sura umbo tall. Mi napenda mashavu yke nataman wazae.watazaa mtoto mzuri
Pole sana bro hakika Mungu alikupa mke huyo kutokana na Moyo wako akawe ndio furaha yako ktk maisha Mungu azidi kuwatunza sana 💕💕💕
Hta mtu unae angalia must utakuwa emotional mena you make some women's strong just unavyoishi na mc kama.mim yan am feel proudly no matter how people say kuusu mtu unae date nae wew ndo unaujua undan as mtu wako keep it up nimewapenda snaa sna sna kama.unamkubali mc pilipili na mkewe comment hapa the strong couple in Tanzania
Yes
very emotional but above all mungu, ni wa huruma and he has paid your goodness with a good wife.zamaradi asante kwa ujuzi wa maswali yaani mama na kuheshimu ya kazi yenye ladha mungu akubariki .
Nimelizwa kwa hii interview jmnii duuu Mungu asimame nanyi katika ndoa yenu nimewapenda bure❤❤❤😘dada zama hongera sana💪👏
Zamaradi kma kweli unasoma comments zetu mbona hutekelezi na unajua maswali yko kwa wengine yako sooo... Emotion, bas jpo maji mtu ashukishe kile kitu kooni aendelee na maongezi
ummu adam,haoni au dharau!unapoongea na mtu kwa muda mrefu maji na tissue ni muhimu sana.
Nice interview keep it up Dada zama
Ukweli wa mungu uyu dada nimzuri jaman mc pilipili kaokota dodo kwenye mtii wa mpingo
Kabisa kabisa mzur mpaka roho yake jaman uongo mbaya
Mc pilipili umenifunza na kunikumbusha mengi imani yako ilikua kma yangu kuamini kila mtu na kuona kila mtu ni kma mimi na la pili mfano wa yakobo kuishi maisha yako na kutambua marafiki wakati wa dhiki na pia maombi juu ya mke/mume. Mbarikiwe kwa kweli
So emotional I love this couple God bless them abundantly
I love this interview nmependa sana Philomena anavyojieleza na kuonesha mapenzi ya dhati kwa mumewe....Greetings from 🇩🇪
Ich bin auch in 🇩🇪
@@chiriechirie9331 schön dich zu kennen
Mumenitoa machozi Ww mc pilipili nakusii na kuombea kwa mungu akuepushe na tamaa za kiduniya uyo mwanamke mueshimusana na usitende ukamuumiza kwa duniya ya sasa wapo wanawake wa chache sana wakubeba changamoto zako kujikabizi yy na kuzifanyika kazi akuweke uwe mtu wa fulatu.mungu awalinde kwenye maisha yenu .
Naomba nicomment mara ya pili,,,mc pilipili umepata mke bora sana ambaye anathamini hisia zako,,,for sure nimempenda bure na Mungu awatunze sana sana
Mungu akubariki sana Pilipili na mkeo. Leo nimewaelewa sana! Mmenipa somo.
JESCA NGWAYA true
Tunataka mtt sasa kama ndoa mshafunga mungu awape kizaz chema inshallh
Mbona anao tayari
Mungu bariki ndoa hii, iwe na furaha na amani siku zote. Upendo utawale zaidi kwenye maisha yenu yote. 💑
Mc pili pili mungu awe na nyinyi nimewapenda bure mungu awape miaka mingi muishi Kama Bibi kidude
Pole sana na hongera kuwa na mke mzur 😢😢
I don't know what to say. I wish u guys Love And Long life. May God Protect You guys
This was very emotional and Zama thanks for letting them share their emotions to teach us bless you All
Dah! Mnanigusa! Upendo na huruma zilizopitiliza kwa waja ni mtihani sana....hongera una bonge la wife,Mungu awatunze ktk ndoa yenu.
MashaAllah pili pili umebarikiwa baba mkeo mwema huyo umeletewa na mungu🙏🙏
سعاد الشمري
Maskini wameniliza,whats wrong with Bongozi Interview no tissues /water
Hakuna meza,hakuna glass za maji👎
Maji na tissue ni muhimu sana kwakweli
Kila mtu na style yake ya kuendesha mambo yake,msikariri kua tissue na maji ni lazima kila sehem😕😕😕
Dah hongeren sana sana wanandoa pia Hongera kwa Bro mc pilipili mana umejua kuchagua mkeo ni mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kuitwa mume wangu or mke wangu raha sanaa❤️❤️💓💓M/Mungu awalinde muwez kudum kweny ndoa Inshaallah 🙏🙏
Mwalimu wangu huyo jamani mwalimu Emanuel shule ya msingi changa😄😄
Wow you're wife is a degree holder, no wonder she carries herself with decorum and dignity.. very decent and focused lady. Congratulations guys and keep supporting each other
Exactly
Mashaallaah mke amenenepa pilipili unajua kutunza uwe ivoivo daima
hivi wakiwa hapo hawaruhusiwi kuwa na kitambaa cha kufutia jasho au machozi? i love this couple god bless u forever
Ukiona upo kwenye mahusiano upo huru jua tu upo single hii kweli kabisa
Zama wangu nakupendaje sasa? Mimi sio mtangazaji ila natamani siku moja nikufanyie mahojioano
@@smartstationery5223 imo kali kuliko zote
@@rahillhamidu2544 🤣🤣🤣🤣mwenzetu kaamua kusema ya moyoni
Kwel lakini aisee...nimeipenda.Tupunguze kusemana bas
Kweli kila mtu na uelewa wake.Nachojua kwenye mahusiano kila mtu anatakiwa awe huru kwa mwenzake mtaishi kwa raha kama marafiki.Sio kubanwa kama uko kwenye jela la mahusiano hamna nafasi .
Kwenye mahusiano kikubwa kila mtu kujiamini na kujiheshimu
Woooh nampenda uyuu dada asante da zama kwa kumfanyia interview mu mtafute lulu akiwa na majizo sasa itanoga😍😍😍
mungu awe mtetezi wnu! mc hakika mungu kakupa kile unachostail mpende mkeo muheshimu!
Mtoto mashallah pilipili umewafunga midomo manyakunyaku na wanaojishauwa shavu dodo hongela kaka kwa matunzo yko
Zamaradi sio kila siku kuniliza, pilipili I feel you bro. May God awape we na mkeo furaha na future ndefu pamoja
Poleee saana broo nakushaur usijekumtendea baya mena mke umepewa na mungu yaan ukipta mke mwenye kubeba hisia zko kama zake wachache sana bro nawapenda saaana nampogeza cute mena wngu jaman sichoki kumwangalia mungu awatangulie ktk safar yenu ya ndoa.
Zamaradi uko unique! Hongera na kipindi chako,barikiwa!
Daa mmenilizaa.Pilipili na mkeo nimewapendaaa sana.Mungu awatunze jamani na awazidishie Upendo ktk maishayenu yote in Jesus name!
This is very touching, mena is a great woman.
Hongera sana Mc pilipili umepata mke haswaa mke anaejua wapi ulikotoka mtunze sana na umpende sana mkeo
Kuolewa kuzuli Mena umependeza sana umenenepa vizuli sana mdogo wangu,love youuuu
powerfull interview.Bravooooo
Hongera pilipili you have a wise wife 😍😍😍congrats Mina
Mc pilipili usije ukamtenda huyu binti...anakuelewa na kukupenda
Sanaaa
Nawapenda sana.mungu abariki ndoa yenu.iwe yeny furah,Aman na upendo
🥰
Mara ingine zama please do keep some tissues there,, just incase of vitu zingine hutokea tu na mtu a nashindwa kujizuia majonzi,, inakua so emotional kiasi cha kulia,,, wipes or tissues yaeza saidia,, mihufwata interview zako,, en most of thm Zinafika to a point of being emotional,, ama tumaji iiiseee,,,, Mungu azidi kubariki this blessed couple,,,, bigup zama
ALIYEONA MIGUU YA ZAMALAD AGONGE LIKE🤣🤣🤣
😁😁😁😁😁😁😁
Hivi kwenye kipindi hairuhusiwi kuvaa soksi?🤣🤣
Miguu haina nyama😂😂😂
mapito chanel MI staki hahaha alivyovikunja sasa Kama vimiwa
😆😆😆umenifanya nicheke kijinga kweli
Dah! Pilipili mungu awaongoze daima
❤😭😭👏nice mungu awabariki.
Dada Zamaradi I look up to you so much,nilivoanza video sikujua ntaimaliza,hongera sana kwa couple hii nmejifunza mengi mengi sana,I look up to them sana,the best thing I’ve watched today!
Nimevutiwa sana na hii couple, M/Mungu awalinde na kuwaimarisha kila siku
Hanoi Ainu anamuheshimu mkewe na anampenda Tena sana acheni wife namtangoja sana wabaya wa Dunia na hamuogopi wanapendana 🙏🏿❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿❤️❤️❤️❤️
Congratulations Zama. Maji kwa wageni, Tissue🔥
🤣🤣🤣🤣
Hongereni sana na hii ndoa yenu mpaka Mungu atakapowatenganisha....maisha yenu yana mafunzo mazuri sana, ahsante nimegain something
Jmn mmeniliza,,, mungu awasimamie ktk mapenz yenu yazid na mzidi kuelewana kwa kila hali mashaallah
Toooo emotional.......... Ooooohhh God bless youuu mc pilipili na mkeo....mena ni mwanamkeeee na nusu.... God bless you
Great couple.
The sound though Zama....
Mmeniliza jaman. Love u all Mungu awatangulie ktk yote.😘😘
Dada mzuri huyu mashaallah
Inaonekana ulitendwa sana na madem, that's way mungu kakupa mke mwema kwako
Nimewapenda sana wanandoa hawa mungu awatunze awabariki sikuzote