Jamani wakati mwingine lazima tukubali kazi ya Mwenyezi Mungu, huyu dada ni mzuri, utukufu kwa Mungu katika kazi yake ya uumbaji, ni fundi katika uumbaji!, that is all, si kila kitu lazima watu mkosoe!.
Mnzava Chris Bro ni wajanja wa kutokea mikoa mingne wanaoweza kuotea watoto wazuri km huyo, ndo mwenzio kapata tayari haina namna inabidi ukubaliane na hali
Wow hongereni sana.Umepata mke mzuri sana muombaji sana Mungu awabariki.Je mrembo kama nakujua je unamfahamu mama Kemi ,baba Kemi na Kemi pia.Hongera sana nimefurahi sana
Wanao mchamba pilipli eti anasifia umbo nakadhalika mko wrong, coz kitambo MTU ajikute amependa nikutokana na umbo na sura. Tabia utaijua ktk ile mdaa mtakua pamoja, ama kweli kuna msemo huwa inasema ishi na mtu ndio ujue tabia yake, kwaiyo pilipili uko sawa penda kaka tabia niyakuelewana Tu,
Da mc pilipili umemsifia sana mke wako kupita kias awafai hao n nyoka wenye sumu Kali awana dhamana kabisa anayekubaliana na mm gonga like yako twende sawa
Wewe sema umempenda n a ndio ulio pangiwa namungu usoponde uliko pita wakati walikustiri na ulikuwa mshamba nao ulikopita wazuri kushinda huyo namuona wakawaida
Jaman mimi nimempenda sana huyu dada sanaaaa Mungu awasaidie sanaa mc pilipili big up sana
Jamani wakati mwingine lazima tukubali kazi ya Mwenyezi Mungu, huyu dada ni mzuri, utukufu kwa Mungu katika kazi yake ya uumbaji, ni fundi katika uumbaji!, that is all, si kila kitu lazima watu mkosoe!.
Adam Daudi mambo
Kweli ni mrembo sn
Hongera sana mc pilipili Mungu awajalie ndoa yenye upendo na aman
Masha Allah dada mrembo wa sura hadi maongezi yake anaonekana ana tabia nzuri
Tukajua ni shetani, mda mwingi nakuwa ibadani, tukaingia kwenye maombi, ni maneno ya mtu anaemjua Mungu, endelea kumtumaini Mungu Phenomena
Unajua kuna interview inaamasa imenifanya niangalie up to end, Big up ayo pa1 na pilix2 na shemela pia mpo vizuri
Hongereni xana
Dah! ama kweli dada zangu wazuri kudadekiii, nani kasema wahaya wenye tabia nzuri na wanaokubalika hawapo?? Big up sana Mkodomi MC Pilipili
majigambo yapo kwl!
Mnzava Chris majigambo ya kweli lkn bro so ya uongo
Robert Evarist jadi yenu io siwezi chukuwa io kitu toka kwenu.
Mnzava Chris Bro ni wajanja wa kutokea mikoa mingne wanaoweza kuotea watoto wazuri km huyo, ndo mwenzio kapata tayari haina namna inabidi ukubaliane na hali
Robert Evarist wa kawaida bhana!
Mmmh Kaka Millard uko vizuri . Unavomchimba dada!!!!!
Mungu ailinde ndoa yenu Mc pilipili na dada Philomena
Wow hongereni sana.Umepata mke mzuri sana muombaji sana Mungu awabariki.Je mrembo kama nakujua je unamfahamu mama Kemi ,baba Kemi na Kemi pia.Hongera sana nimefurahi sana
Mungu akusaidie sana Kaka yangu!
Love this couple
kama umeona mofaya tupia like hapo
nimekapenda karangi kako mamy,,,,hongera!!
thanks Blathar hongera kwako unaipepe rusha vizur Dodoma........
BMW kirefu chake ni Be My Wife, all the best love from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Umetisha mbaba
i c
#kigwisimulindwa 😂😂😂
Huku kwetu ni Black Man Woman
@@JOHN16verse33 duu!
Pilipili umepata kweli mrembo
Ni mzuri kweli
Nawapenda sanaaa Msisikilize watu songeni mbele
Nice sana mnapendeza
Ni vizuri kukisifia chako, kila mtu anamzuri wake.
Dada apo uwezi nuna, 😂maana umepata mume asieweza kununa.
Congratulations May God protect your marriage
Wanao mchamba pilipli eti anasifia umbo nakadhalika mko wrong, coz kitambo MTU ajikute amependa nikutokana na umbo na sura. Tabia utaijua ktk ile mdaa mtakua pamoja, ama kweli kuna msemo huwa inasema ishi na mtu ndio ujue tabia yake, kwaiyo pilipili uko sawa penda kaka tabia niyakuelewana Tu,
Hongera sana Mc, wish you both all the best
Ayo nakupenda bureee aiseee una maswali matamu Sana
Naipenda sn hii couple Mungu awa bariki sanaaa
Hongera sana kaka utabli wangu kwa jinsi ninavo ona mtaish sana mtadum na mkeo
Dah,ndoa muhimu hadi maombi.
Kabisaaa
True Love!,, mungu awajalie… mwapendeza sana👍🏾👍🏾👍🏾
Nimekupenda jmn Dada ulivyomtu wa sala mwaaaa hongera sana Dada
Kweli hongera shemeji
Couple Safi sana hiyo
Ni mzuri kwa MC pilipili sio kwa kila MTU , ila mpenzi wako ni X kwa mwingine
Sana kaka ang mi dem namuona wa kawaida piah ni x wa mwngne
Leah Joseph 😀😀😀mapenzi upofu jaman moyo ushazamA
Acheni wivu.dada wa watu mzur wa sura mpka umbo.mc kajua kuchagua
Haya bhana
Dini haziamini mambo ya Mizimu, ila Mungu awabariki
Mashallah mpendane daima
Binti mzuri❤️ chaguo zuri👌🏾
Am kenyan, i dont both of them but she is Naturally beutuful no makeup and mature upstrairs
Kwel kabisa MTU chake,lakini kiukweli ni wa kawaida sana
Lovely, , wish you well in your next life, ylu are going far...sijawahi kuangalia such a long interview...its appealing
Saf pilipili mke nadhif mnaendana karembo 🔥🔥🔥♥️🙏🙏🙏
Clear
hongereni sana sana muowane muanze maisha yenu ya ndoa yawe mazuri
Mwanamke ni mwerevu hadi Adam akala tunda. I wish you guys all the best
Duka gani la posta ambalo linauza pete kwa USD😊
Mc hapo umewahi yani mke mrembo 💪💯anyway wish you the best
Sitak kuamin Kaduma tuko mpaka Nigeria
Mko vizur mpaka Raha😘😘😘😘
👊
🔥
Unakumbuka hata cku tuna graduate Eckerford ,mama alilia baada ya kutuburudisha
Na kukumbuka sana na wimbo wa Ichilindulindu
Big up mwl Emanuel
Wazuri wapo wengi zaid ndo hvy umpate mkweli
Da mc pilipili umemsifia sana mke wako kupita kias awafai hao n nyoka wenye sumu Kali awana dhamana kabisa anayekubaliana na mm gonga like yako twende sawa
Umezid
Mc Pilipili unajua kufanya Interview za Mmeshibana... oohooo My, God!!!!
Yonasi Mrope hata wanaume ni nyoka waliopitiliza
Wapi wewe nenda Sasa wewe. Ukaolewe bc japokwa wewe ni mwanaume
Hii ni nzuri sana
🙌🙌🙌
Dah unaongea vizuriii wee kadada nakupenda Sanaa dada angu
So nice
yaan pili pili hata sauti yenyewe tu inachekesha
yote mia ni sawa ila bwana harus sifa zako jmn zimezid hao waheshimiwa umewatamka sana tunaelewa una marafiki wakubwa ndio pumguza sifa bwana umezid
duu!
Sio wivu ila ukweli wa mung huyu dd hana uzur wowote sema t mt ukipenda unaona hakuna kama yy ila wakawaida sana
Shoga umeonaeeeh nilijua namimi tu
Yuko kawaidaa af mbele ya camera na makeup kibao
Zainab Omar onyesha wako acha roho mbaya
@@salmayusuph3469 bora n ww umknye!
@@jennyjma1563 ww umemzidi!
sijapenda mdada anavyomuita mc kila muda huyu everytime huyu! ! jaribu ata kumuita honey
JUDY MSULE jmn kumuita hone no bwana hawajaoana hawa bado
Demu anazingua
Safi
Ni mzuri Ila stara ya mwili mbaya...bado uzuri wake haujampendezesha mungu bila ya kujistiri
Jamani makanisa ya sikuizi. Umevaa nguo ya uchi ivyo ndo mana kanisa
Mc unaongea Sana, mpaka unaboa
Yaaaani anaongea mpaka anatia hasiraaa duuuu
Acha wivu libaya wewe
Mc mungu anakuona
Millard tunataka na ww tumuone wifi sio kila siku unahoji wenzio tu
Anae wifi sema ataki miosho kama wengine anafuata maisha ya boss Ruge
@@angelntandu4648 na kweli yupo makini sana millad
ww w kwko je
@@mnzavachris5423 Kwan wangu mie humjui
@@naamohamed9964 najitazama hapa, najiuliza na sisi twaenda lini kwa hiki kipindi?!
Hapooo wapoo gudaaa
Yani wamependeza ole kinoma ise
Ludwig Willa m
@@zakariaelinazi5712 naaaam...
safi sana
Unauzur wwte kawaida tu
Unafikiri ndoa ni rahisi karibu ndoani, wanawake bwana eti mimi nina misimamo yangu, wakati hata bikra hana!
Ndoa ya mitandaoni
Hahahahahahahahahahahahahahahahahhaha
Jobless Billionaire hapo sasa
😂 😂 😂 😂
Kwani bikra ndo msimano
Very nice
Nawapenda
Thanks
Hiyo sa saf sana mc pilipili hapo ndoa to hed to hed
Nakwamba hio maiki hapo imelowa mate wallahi maana huyo mvulana anongea khataree
Nmeikubali interview saafi
Pilipili Mungu anakiona
#presenter wa dunia nakubal sana mr count down
Tofautisheni kati ya uzuri na urembo,
Duh
Hii couple inapenda siifa
Mungu awatangulie, msisikilize maneno ya watu
Pc Kali kinyama ....pambana bosi BMW imekusave pakubwa...ungekuwa hauna sijui ungepitia wap
Naipenda couple hii bala wameendana
y kwetu yaeza kuwa nzr zaidi!
Nimemuelewa mc
Daah Kimdada kinapenda kuflah sn
Good
Nice couple!💑
Jmn msituangushe ninavyowapenda ntafurahi nikiona mnaowana
Waoanee Mara ngap we naee
Naimani Sasa umefurahia 😁
Imetuliaaaaa sana.....
Kweli binti nzuri sana Mungu akupe hekima ya kumtunza
Jaman adi raha
😆😆😆niko na BMW hapa😆😆
Jmn kutongoza ukoo duh😞😞
Kamanimimi nilieona picha alafu ninampango wakumuowa yange ishiya hapo mapenzi yetu nisingeweza kabisa
nimeitamani hiyo mooooo faya
Idd Jamal kaibebe
Wewe sema umempenda n a ndio ulio pangiwa namungu usoponde uliko pita wakati walikustiri na ulikuwa mshamba nao ulikopita wazuri kushinda huyo namuona wakawaida
Kupondana siyo vzr
Kweli ni wa kawaida sana jmn,
Midomo mizuri mena
Ndan amna kununa ni kucheka cheka tu had raha
ulitk wfnyaje
Yaan nacheka paka bac.
Maiki imelowana na mate MC pilipili anaongea sana
😂😂😂 yani ww
Mc pilipili kidogo afanane na benpol
Niko 😀😀😀 na BMw yangu apaa
Hii sura cyo ngeni . Naikumbuka niliwahi kumnunua uyu Dada nikamla😅😅😅
Acha kutafta kk shobo hizo
@@enocksuleiman2420 anaetakiwa kusoma comment na kuzijibu Ni Millard Ayo. Mwenye shobo Ni wewe, nna was was na marinda yako
Ni mawazoo yakee