EXCLUSIVE: MACHOZI YA LULUDIVA KUFIWA NA MAMA, AWAJIBU WALIOSEMA HAJAJENGA KWAO, KUNYANG'ANYWA GARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 725

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 2 lety +102

    Pole saana luludiva allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu🙏🥰🥰 wangapi wamefurahi kuona interview ya kijanjanja ya mirad ayo ♥ twakupenda kaka uyu ndiyo King 🤴 of interviews ♥ 👌 🇴🇲 🇹🇿

  • @theresiafrancis1343
    @theresiafrancis1343 Před 2 lety +98

    Pole lulu wewe Ni shujaa sana una baraka zote za mama yako …. Mungu amlaze mahala pema peponi amina Amina

  • @winfridapeter9455
    @winfridapeter9455 Před 2 lety +140

    Pole Sana 😭😭,tuliofiwa na mama tunaumia na mengi tukiyaelezea yao,pumzikeni mama zetu wote mliotangulia mbele ya haki na marehemu wote🙏🏽

  • @petronchalangi1033
    @petronchalangi1033 Před 2 lety +97

    Kwenye comments wengi wanalaumu Lulu kujibizana na hao waliomsimanga kuwa hajajenga kwao....lakini kiuhalisia hii story kwa upande wangu iko kifasihi Sana. Na ni story ya kitaaluma zaidi na Millard Ayo umeiendesha vizuri Sana. Kweli wewe umeiva kuinterview watu wa kila carrier. Kwa ujumla ukiisikiliza hii story Ina vitu vingi mno vya kujifunza. Mimi ninayependa fasihi nashauri Lulu kwa kushirikiana na Millard Ayo iwekeni kwenye kitabu ili jamii ijifumze zaidi. Nakupongeza Sana Lulu kwa kuamua kuleta hii story juu ya marehemu Mama yako. Inatufundisha mengi hata maisha yako ulimopita pia ni funzo tosha. Na yule atakayekuoa atakuwa amepata donge nono. Wewe ni malkia wa nguvu na ni wa mfano.

  • @rachelgeofrey1500
    @rachelgeofrey1500 Před 2 lety +20

    Napenda sana Diva akitabasamu anakua mzuri sana na anaongea vzr sana in short nampenda sana na Mungu amjalie maisha marefu na mazuri pia kajitoa sana kwa mamake

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 2 lety +68

    Nimekupenda kwakweli,sio kutamani kuzaa tu , Mungu akupe ndoa ktk jina la Yesu, mpate watt wazuri!

  • @mozam4496
    @mozam4496 Před 2 lety +21

    Pole sana Lulu wang Mungu akupe maisha marefu 🙏i love you 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @suzymakwawa5408
    @suzymakwawa5408 Před 2 lety +7

    Ata Sielewi Ni Andike Nini Lulu Ume jua Kuniliza Mdogo Wang 😭😭😭😭😭Mungu Afanyike Faraja Kwako Ww Ni Shujaa Sana Nakupenda Sana 💕💕💕💕

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Před 2 lety +29

    Duuuuh pole sana dada Diva, umemfanyia sana Wema mama ako malipo utayakuta mbinguni🙏

  • @sabrinahm5651
    @sabrinahm5651 Před 2 lety +57

    God will see you through Lulu . My prayers 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @carolineotieno8154
    @carolineotieno8154 Před 2 lety +49

    Take a heart Lulu, it's really painful and heartbreaking I feel your pain let's her soul rest in internal peace Pole Sana
    You're a strong woman according to what you passed through.

  • @joycemlwale5422
    @joycemlwale5422 Před 2 lety +14

    Weww ni shujaa wangu wa 2021 ulinipa hisia sana ktk kumuuguza mpk kufariki kwa mama yako.Mungu aendelee kumpa pumziko la milele.

  • @helgaaporinaly2811
    @helgaaporinaly2811 Před 2 lety +4

    Hongera dada kwa kumpambania mama. Mwenyezi Mungu akupe ujasiri wa kulikubali hili. Wewe ni mama jasiri na mbeba majukumu.

  • @luluukwaju8051
    @luluukwaju8051 Před 2 lety +24

    Pole sana wajna Lulu! Umeniliza wallah! Allah Amrehemu, Amsamehe Alipokosea na Amjaaliye jannat firdaus mama yako ameen. Nawe Allah Akuzidishie wepesi ameen

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 Před 2 lety +15

    Mirlad nakupenda saan kwaajili ya ALLAH 🥰 🥰 na Lulu umependeza mashaa Allah pole na 🤲🤲nakuombea

  • @salmahalfani6307
    @salmahalfani6307 Před 2 lety +10

    Pole mwanangu M/Mungu akupe Subra. Hio njia ni yetu soote.
    Kwake tumetoka na kwake ni marejeo.
    Kila nafsi itaonja mauti.
    M/Mungu akujaalie mume mwema wa dunia yako na akhera yako na pia akujaalie kizazi chema cha kike na kiume chenye kheri na wewe.

  • @aminaomy8139
    @aminaomy8139 Před 2 lety +17

    Pole Sanaa dadangu Lulu .... Allah atakulipa ujra wako na mamako Insha Allah huko kuugua kwake iwe ndoo msamaha wake kwa Allah na ndoo njia yake ya peponi ... Allah awasamehe wazazi wetu .. Allahuma Ameen

  • @mwabakabwe9733
    @mwabakabwe9733 Před 2 lety +37

    Millard ye so professional🙏I love yur sense of humor🙏Lulu may God bless ye ❤️I started following ye th day I spotted yur video n yur mom 👏I loved ye from that day 🙏❤️sending ye enough love from Zambia 🇿🇲

  • @sophialaurent2406
    @sophialaurent2406 Před 2 lety +20

    Pole sana dada Lulu, najua jinsi gan umeumia, umenitoa machozi 😭😭😭😭

  • @mohameddara1502
    @mohameddara1502 Před 2 lety +2

    Your strong woman lulu Mey Allah grant her in jannah

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Před 2 lety +9

    Ila binadamu tunajua kuongeaga sana na kutoa maneno mabaya bila kujua ni mangapi mtu kapitia na ni changamoto gani mtu alikua nazo , hakuna binadamu ambae anapenda shida au anapenda apitie mateso ! Dah pole sana Dada angu pole sana sana sana Nakupenda sana Lulu D

  • @shadrackvicent3711
    @shadrackvicent3711 Před 2 lety +7

    Usiombe yakukute,hapa utaona kawaida but ni hali ngumu,ngumu zaidi MUNGU AMSAIDIE SANA LULU DIVA NA ALLAH AMPOKEE MAMA YETU

  • @adolpheaoci5706
    @adolpheaoci5706 Před 2 lety +7

    Pole sana dada,
    Nina kumbuka shida nilio pitia kwaku mchunga Baba yangu alipo vunjika hip.
    Machozi ime toka sana. Jipe moyo dada

  • @tildahongkong6086
    @tildahongkong6086 Před 2 lety +3

    Daah pole sana luludiva umepitia wakati mgumu sanaa sio kazi rahisi MWENYEZI MUNGu atakufuta machozi na atakupa furaha ya moyoni MUNGu ampunguzie adhabu ya kaburi 🙏🏼❤️

  • @mohammedkombo3727
    @mohammedkombo3727 Před 2 lety +10

    Pole Sana Lulu Allah amlaze mahala pema insha allah napia Allah akupatie Afya njema naww napia umepata Baraka zote za mama amini utaishi Maisha Mazuri Sana hapa Duniani lolote utakalo kulifanya litakua bila kipingamizi kwa uwezo Wa Allah ila umenitoa machozi lulu 😭😭😭

  • @marlenezaina2196
    @marlenezaina2196 Před 2 lety +8

    Mamako alifariki siku moja na mamangu mzazi na pia wametoshana umri na waliuguwa kwa miaka sawa😢😢😢😢inauma sana Mungu awampumzishe marehemu wote kwa amani

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 Před 2 lety +5

    Kuna watangazaji alafu kuna "MILLARDAYO"... interview ni ndefu but unatamani isifike mwsho, kama ilivyo siku zote..hongera sana mtu wetu wa nguvu Millard, Mungu azidi kukupa nguvu. Kuhusu Lulu, pole sana sana kwa kumpoteza mama yetu hyo ni mipango ya Mungu ata ungefanya nn bado ingefika mda, so pole sana. Kuhusu wewe ni shujaa na malkia wa nguvu wala hahitaji kutumia nguvu nyng sana kuwaonyesha/kuwaelekeza watu ulichokifanya kwenye maisha yako na kwa mama kiujumla..ata ungefanya kipi sisi wanadamu hatujawahi kukosa la kusema..so..usikate tamaa endelea kupambana utafika unapopataka Kwa uwezo wa wake Mola. Jinsi unavyojieleza inatosha sana kuonyesha uwezo wako mkubwa wa kujitambua km kuna mapungufu hyo ni kawaida Kwa ss binadamu, hakuna aliyekamilka.

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 Před 2 lety +10

    lulu wewe ni jasiri hongera, pia pole Allah atakupa mume mwema na watoto wema

  • @pinahoscar6735
    @pinahoscar6735 Před 2 lety +15

    Lulu katika umri mdogo miaka 27 ila umepitia mengi Mungu ampumzishe pema peponi mama lulu
    Umempambania sana mzazi wako ila Mungu kampenda zaidi😭😭😭😭ila interview yako imeniliza sana

  • @chocolatedrop3968
    @chocolatedrop3968 Před 2 lety +6

    Pole sana Lulu 😢 Mungu yuko nawe na mama amekuachia baraka zake nyingi

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Před 2 lety +5

    😭😭😭😭story inaumiza jamani hakika umepambana Mdg Wang Mungu awapumzishe mama zetu kwa amani

  • @sintaibra355
    @sintaibra355 Před 2 lety +12

    Watu Wanazungumza Tuu Coz Midomo Hailipiwi Vat Hawatizami Hata Age Ya Mtu Wanatiririka Tuu Sasa Umri Wa Lulu Ni Wakujenga Kwao Amepambana Lini Na Ajenge Lini Jamani Tuwe Na Kiac👐👐👐

  • @ChristinaAloyce-pp6vj
    @ChristinaAloyce-pp6vj Před 4 měsíci +1

    Kumuuguza mama nakuindoka mikononi mwako huku ukimpambania hd mwisho niviwanja namajumba tisha. Hongera diva nakupenda sana natamani nikuone nikukumbatie tulieeee 😢😢😢😢

  • @casablancastudioarusha775

    Pole sana kwa jaribu ulilopangiwa kukutana nalo Duniani
    Mungu akubariki kwa yote uliyomtendea Mama yako.

  • @aishaomary3687
    @aishaomary3687 Před 2 lety +1

    Pole san. Kipenzi. Allah. Akujalie. Kheri

  • @dalhiyarashid2572
    @dalhiyarashid2572 Před 2 lety +6

    Kuna vitu vingi Sana nimejifunza kutoka kwako dada Lulu,umenifanya nimekuwa na nguvu ya kutokata tamaa, nimekupenda Sana na pole kwa matatizo kipenz🙏🙏🙏😓

  • @RajatSharma-uq7pz
    @RajatSharma-uq7pz Před 2 lety +7

    Mambo Uliyapitia na umri wako ni makubwa mno, Mwenye Ezi Mungu ajalie mema ya dhunia na akhera

  • @zamzamzamzam4898
    @zamzamzamzam4898 Před 2 lety +10

    Mungu atakuwezesha inshallah lulu inauma xnaa muombe Dua mama ilo ndo la muhimu

  • @marthadeogratius7913
    @marthadeogratius7913 Před 2 lety +8

    Pole sana Lulu Wewe ni shujaaa! Umepambana sana Mungu aendelee kukusimamia siku zote akupe mume mwema akujalie watoto♥️♥️♥️

  • @janetmwangombe6267
    @janetmwangombe6267 Před 7 měsíci +1

    Pole sana mrembo wetu ❤usijali mama amepumzika ameteseka sana mahali yuko hateseki tena.wewe pambana na maisha dadangu mwenyezi Mungu atazidi kukupa nguvu.

  • @rahimarahima7465
    @rahimarahima7465 Před rokem +1

    Pole sana DaDiva mungu ailaze roho y mama mahali pema

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 Před 2 lety +5

    Pole sana lulu ukilia namimi nalia nalia kwauchungu umasikini mbaya mbele zao nyuma yetu sote tusio na mama au tusio na wazazi

  • @silviaantony677
    @silviaantony677 Před 2 lety +5

    Pole lulu diva nakupenda kweli mdada unayejielewa mungu akutangulie katika shughuli zako upate watoto waige tabia yako

  • @agnessnkana8079
    @agnessnkana8079 Před 2 lety +10

    Chozi uliolimwaga mungu atakufuta kwa namna yake na hongera Sana umekuwa mdada jasiri na mwenye upendo na ninaimani upambanaji wako utakufisha mbali Sana pia unabaraka za mama hatuna cha kusema zaidi ya pole mungu akutie nguvu usimame imara kazi iendelee

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Před 2 lety +9

    dada kwa dini yetu umefanya kazi kubwa sana kwa mama yetu mzazi ni mfano wa kuigwa sana

  • @theresehakizimana6345
    @theresehakizimana6345 Před 2 lety +11

    She’s a Super woman 💪❤️

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji118 Před 2 lety +7

    Pole sana Lulu Diva hakika Allah atakulipa kheri Inshallah 🙏🙏🙏

  • @coletashirima2193
    @coletashirima2193 Před 2 lety +7

    Congratulation Lulu ..... Mama apumzike kwa amani ,,,,big up sana Millard nampenda one day ntafanyiwag interview na ww tu

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 2 lety +6

    😭😭😭😭😭pole lulu .insh mungu atakupa mume mwenye kheri na ww..🙏💟.dah umejua kumpambania mama ako.uko na pepo yko kesho insh.insh mungu atakupa mume bora .

  • @rodapaulo2090
    @rodapaulo2090 Před 2 lety +2

    Pole mamii.....Mungu alikupatia usingiz mzito....ili2 usishuhudie mama akikata roho pole sana

  • @mariammsolini7287
    @mariammsolini7287 Před 2 lety +6

    Pole sana lulu, Mungu atakulipa mema kupitia mazuri uliyomtendea Mama

  • @Polly-uj3ky
    @Polly-uj3ky Před 2 lety +1

    The interviewer, what a beautiful man and a great listener. Lulu is gorgeous. My deepest love and comfort sis. ❤️

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema5819 Před 2 lety +49

    This is really heartbreaking and ☹️ sad and painful to loss someone you love 💔 Pole da Diva

    • @sirahchocolate8508
      @sirahchocolate8508 Před 2 lety +1

      Lulu wangu Allah akupe afya njema na Umri mrefu InshaAllah ♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏

  • @CertifiedGavin
    @CertifiedGavin Před 2 lety +20

    The voice of truth says do not be afraid, u gonna be alright I promise ❤️

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 Před 2 lety +6

    Lulu natamani nikukumbatie kwa nguvu yu are so special lady Lulu

  • @mariamlymo6548
    @mariamlymo6548 Před 2 lety +6

    Kufiwa kufiwa kufiwa aisee hili neno lione na ulisikie kwa mwenzio omba yasikukute tena kufiwa na mama jamani nyie mama anauma 😭😭😭 niliuguza mama yangu hadi nikafikia hatua ya kukufuru naona bora afe apumzike mateso ya dunia ila leo hii natamani hata angekuwepo niwe namuona tu... Pumzikeni salama mama zetu😭😭😭😭

  • @neemajulius6249
    @neemajulius6249 Před 2 lety +5

    Ni maombi yang kwa Mungu ampe kila mwanamke mtoto wake hii interview imenigusa sana

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 Před 2 lety +10

    Lulu haustahili kulaumiwa kwa kweli pole sn Allah akupe nguvu kpnd kgumu unachoptia

  • @mimamum6506
    @mimamum6506 Před 2 lety +3

    lulu allah akupe subra dadangu nasi sote tuliopoteza wazazi wetu allah awarahamu wazazi wote waliotagulia najikuta2 nalia wallah kuondokewa nikuzito

  • @lizzygabriel9601
    @lizzygabriel9601 Před 2 lety +29

    Daaah Pole sana lulu 😢, umepambana sana , Mungu akupe faraja kwa kweli

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Před 10 měsíci +1

    Bless nyng mrembo wetu yamungu mengi Allah akupenda muombee inxhaallah huko aliko😢

  • @mercypeledawson1622
    @mercypeledawson1622 Před 2 lety +14

    I love you Lulu, no matter what they say nakuombea mamy

  • @subirachuta8169
    @subirachuta8169 Před 2 lety +11

    Lulu umeniliza sana coz nilipoteza mama kwa kushindwa kumudu matibabu, Hii ya kwako imenikimbusha mbali sana😭😭

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Před 2 lety +7

    😭😭😭😭😭Pole sanaa mamy, Allah akufanyie wepesi kwenye kipindi hiki kigumu.

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 Před 2 lety +3

    Pole sana lulu kufiwa na mzazi alafu ukiangalia
    U mezaliwa pekeako ni machungu sana wenye hali hii tunaijua vizuri ila nikumuombea kwa mungu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +6

    Polesana kwauliyoyafanya Allah atakulipa lnshallah Sasa ukae uswali umuombe Dua Allah. Amsamee amuingize peponi lnshallah

  • @lucybenjamin7205
    @lucybenjamin7205 Před 2 lety +9

    Pole sana mamy, Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kigumu🙏

  • @vumiliahamisi7046
    @vumiliahamisi7046 Před 2 lety +19

    Allah amrahamu mama na hakika unaradhi zake mutakutana kiyama

  • @adelinasanga6710
    @adelinasanga6710 Před 2 lety +3

    Dada lulu pole sana! Mwenyezi Mungu akutie nguvu!! Apumzike kwa Amani!!!

  • @lydiamvungi9989
    @lydiamvungi9989 Před 2 lety +28

    Mungu wa mbinguni pekee ndiye faraja yetu, mungu mpe faraja sana Lulu Diva

  • @florencekaranja8736
    @florencekaranja8736 Před 2 lety +7

    Pole sana lulu may God give u strength you are a strong woman

  • @awadhkhamis2592
    @awadhkhamis2592 Před 2 lety +13

    Mwamamke kama huyuu ukimpta rahaa kwasababu keshamaliza kila kitu na hana kigeni tena huyuu mke washoka lulu WEEE ntafutee 😂😂😂😂

  • @carolinaadolf6955
    @carolinaadolf6955 Před 2 lety +3

    Strong woman Luludiva ❤

  • @rahabmwaura3105
    @rahabmwaura3105 Před 2 lety +22

    Lost my dad 12/9/21 due to pneumonia, i know what Lulu is feeling... Ain't easy at all.. Mungu atupe nguvu sote jemeni

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 Před 2 lety +3

    Jaman me nakupenda sana kaka angu #Millard unamfariji mwenzio na kujitahidi kumuelewesha😊 na penda pia kazi zako and pole sana #Lulu kwa msiba wa Mama ww nimfano wakuiga japo kuna wazazi wengine sijui wapije unawafanyia wema hawaoni but Mungu atakulipa na nzuri zaidi ulikua unaelewana sana na Mama❤

  • @mwemajuma1431
    @mwemajuma1431 Před 2 lety +5

    Masha llah Lulu mdogo wangu umeongea vzr sana raha ya watt uwepo kwenye ndoa

  • @nannakhamis5350
    @nannakhamis5350 Před 2 lety +31

    Huyu msichana anapepo ya mama ake utaokuta Kesho Kwa allah my

  • @sharonnemartins2798
    @sharonnemartins2798 Před 2 lety +9

    Dah! Pole Lulu. Mama is in a better place and free from pain🙏🙏

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 Před 2 lety +50

    Malaika walikutoa nje uingie ndani kumuwekea mama Yasin akiwa kwenye sakaratulmait jazakallah kher

  • @consolatamaunde8967
    @consolatamaunde8967 Před 2 lety +5

    Pole sana lulu na mshukuru Mungu umemuuguza Mama yako

  • @elizabethmwalo8424
    @elizabethmwalo8424 Před 2 lety +9

    God will reward u Lulu. You did your part as a human, but God saw it good for her to rest.

  • @user-yy2fc8uz2x
    @user-yy2fc8uz2x Před 5 měsíci +1

    Duu pole sana lulu mwenyez Munqu azid kukutunza na kukufunqaa❤️

  • @agnethamsigwa3373
    @agnethamsigwa3373 Před měsícem

    Pole Lulu kwa msiba ..... Mungu akubariki kipenz Nakupenda wewe ni mwanamke shujaa

  • @samiraahmed8966
    @samiraahmed8966 Před 2 lety +3

    Tuliopitia hii hali tunakuelewa lulu mungu akupe nguvu zaidi

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 Před 2 lety +14

    Maskin inahuzunisha 😭 Allah akuzidishie subra na akupe faraja baada ya mtihani na allah akujaalie upate mume mwenye kheri na wewe naamini ukishazaa na ukawa na familia watoto wako ndo watakuwa wanakufariji,najua kusahau ni vigumu sana Allah akutie nguvu maskini 😭 Allah ampe kauli thabiti mama 😭 Allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna yaa kareem 😭👏

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Před 2 lety +4

    Ulimpenda sana mama yako Mungu akubariki sana sana

  • @sintaibra355
    @sintaibra355 Před 2 lety +7

    Pole Saana Kwa Yote Lulu
    M/MUNGU Aendelee Kukufunga Mkanda Ktk Nyakati Hizi Ngumu Kumpoteza Mzazi Mama Kwa Kweli Ni Zaidi Ya Maumivu

  • @ztvonline2523
    @ztvonline2523 Před 2 lety +2

    Brother Millard ni no one

  • @princeommy5793
    @princeommy5793 Před 2 lety +56

    O Allah, forgive Mwanaidi Ramadhan and elevate her station among those who are guided. Send her along the path of those who came before, and forgive us and her, O Lord of the worlds. Enlarge for her her grave and shed light upon her in it. ... Amin,
    Pole Sana dia Lulu

  • @bellahappy2119
    @bellahappy2119 Před 2 lety +9

    Lulu pole sana ulilopitia nakijua wanaosema awajui uchungu wa kufiwa na mama

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 2 lety +6

    Watoto wakike wanakumbukwa tu wakifanikiwa ili wapeleke maendeleo kwenye miji ambayo wala siyo yao. Urithi hawapewi lakini wanangojewa wajenge ili wataifishwe. Big up Diva usijenge kijijini kama hujapewa eneo lako hapo.

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 2 lety +1

      Huyu msichana ni mwema na mtiifu lkn wapo wasichana wengine wabaya na urithi kwa dini y kiislamu wanapata hata kama umri wake ni dakika moja

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 2 lety +1

      @@shifaaal-baity4503 Kuna mila hawazingatii dini.,mila nyingi za Kiafrica unakuta watoto wa kiume wanapewa, wakike wanaachwa

    • @trayfosaharrison9199
      @trayfosaharrison9199 Před 2 lety +2

      Hiki kitu sio kizuri, kama unapenda mtoto wako wakike akifanikiwa asaidie nyumbani muwape pia sehemu ya urithi. Kama ww ni wakike hujapewa urithi kwa vile ni wakike usipojenga kwenu na una uwezo hakuna laana. Wasaidie mambo mengine kama chakula, matibabu n.k. kujenga watajenga wanaume wao walioona wanapaswa kupewa urithi

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 2 lety

      @@trayfosaharrison9199 💯

  • @msasenathpotiphar1732
    @msasenathpotiphar1732 Před 2 lety +4

    Machozi yamenimwagika Lulu umenitonesha maumivu ya Mama hayaelezeki 😭, MUNGU akutie NGUVU kama alivofanya kwangu 💔😭 wapumzike salama Mama zetu 😭🙏

  • @naymadaniel3361
    @naymadaniel3361 Před 2 lety +6

    Lulu you make me cry😭 allah amlaze mama lulu mahala pema peponi inshallah 🙏🙏🙏

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 Před 2 lety +14

    tuloondokewa na mama ndo tunao jua chungu na mamumivu pole mamy hat mim imenigusa

  • @revocatuszabruza2795
    @revocatuszabruza2795 Před 2 lety +7

    Big up madame Wema

  • @saadabulanga6440
    @saadabulanga6440 Před 2 lety

    lulu unaakili sana m/mungu akuongoze ktk njia iliosahihi inayompendeza inshaallah nakupenda sana

  • @richardfilibert5411
    @richardfilibert5411 Před 2 lety +4

    Umepambna Sana Lulu mungu niwawote kilam2 anachance yake kwenye maisha🙏

  • @ashaulaya7412
    @ashaulaya7412 Před 2 lety +3

    Mpare mwenzngu karibu uparen 🤲🙏❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰💯💯

  • @devothastive8007
    @devothastive8007 Před 2 lety +13

    Daaaaah Mungu amtie nguvu huyu dada😭😭

  • @shabanijohn7755
    @shabanijohn7755 Před 2 lety +8

    Pol sana Sana mamy 😭😭😭😭 MUNGU akupe moyo waimani na alaze mahapema pepuni 🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮