Video není dostupné.
Omlouváme se.

Wastara aeleza kwanini ndoa yake na Mbunge imevunjika ndani ya siku 80

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2016
  • Mwigizaji Wastara anavyo vichwa vya habari Tanzania kutokana na ndoa yake kuvunjika ndani ya siku 80 akiwa kaolewa na Mbunge wa Zanzibar, hii ndio ndoa yake iliyowahi kukaa kwa muda mfupi zaidi.

Komentáře • 455

  • @leahpeter8815
    @leahpeter8815 Před 7 lety +7

    pole sana,bora kupata mume anayejua kubembeleza coz hela zinatafutwa..pole sana dada'ke

  • @fainerjabil5343
    @fainerjabil5343 Před 8 lety +7

    pole sana Wastara Allah akupe Subra na Akujalie Mme mwingine atakayejua thamani yako

  • @edinaedward9144
    @edinaedward9144 Před 8 lety +8

    Da wastara pole mungu akuepushie kila lililo baya nakupenda sana

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 Před 8 lety +17

    Wastara you need my kind of husband.
    Nimeshaoa na sitaongeza mke but tuko wachache sana INSHA ALLAH, Utapata.
    Utapata mwenye uwezo wa kawaida na mtashiriki wote kujenga Maisha.
    INNA LLAHA MAASWABIRIIN

  • @luckyasa3960
    @luckyasa3960 Před 7 lety +10

    pole saana Mumy mungu atkuonyesha njia RIP sajuki

  • @janetbernad5258
    @janetbernad5258 Před 8 lety +3

    pole sana wastara dada yangu nimekuona huruma sana .yote maisha .utazoea .ndo maisha ya kuolewa yalivyo

  • @mendeadui5111
    @mendeadui5111 Před 8 lety +2

    yaani wastra we kiboko...nimekuheshimu dadangu....kweli kabisa mume wa mtu who mtamu kabisa..hongera sana.

  • @sophiealexander8703
    @sophiealexander8703 Před 8 lety +6

    Muombe mungu akupatie mume mwema kama marehemu sajuki. Pumzika kwa amani kaka sajuki

    • @violamosha5802
      @violamosha5802 Před 6 lety

      Sophie Alexander kweli hakuna mume mwema kama Sajuki

  • @marciakassimkassim9275

    Katwa wasii wote bongo...wasatra nakupenda.....coz unajieshim ..sana...nii mvumilivu sjapata kuona....Masha Allah.....yote yalo semwa kuusu kuvunjka kwa ndoa sikuamn...kher umesema kwa kinywa chako..pole kwa mitian....Yataisha in sha Allah..Nakuomba wastra kaa umepona na unanguvu...nenda ukafanye Hajji..uenda Allah anaeza itikia dua zako...mitan ikaisha in sha Allah...

  • @sakinasheidhan4642
    @sakinasheidhan4642 Před 5 lety +2

    Pole sana wastara Allah atakusaidia utapata mume bora

  • @samsonpeter1891
    @samsonpeter1891 Před 7 lety +7

    aki pole wastara. sikujui sana but have followed your history. for sure its painful but trust in God

  • @janeedward8723
    @janeedward8723 Před 8 lety +14

    Mdogo wangu Wastara, wewe ni mzuri umeumbwa ukaumbika. Pole sana kwa story zako zote, zinatia huruma, zinafundisha na kwa ukweii mhhuuu! pole na hongera. Ila wewe ni simba jike simama mwenyewe maisha unayaweza. Usiruhusu kujipa maumivu tena! Maisha yako si ya kuwafanya wengine kutajirika kwa kuandika na kuuza story juu yako. You are unique my dear, you are worthy my darling. stop counting marriages. Let God be your husband kama neno lake lisemavyo yeye ni mume wa wajane na baba wa yatima... Nakupenda sababu uko na moyo mkuu stop matatizo katika matatizo yako allow God to take control over your life.

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 Před 5 lety +9

    Wasanii mnajua kiongea sana sikuamini 100% yafaa milad ayo tusikie na upande wapili

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 3 lety

      Upande wa pili tumeshasikia😁😁😁

  • @memoriserichard7193
    @memoriserichard7193 Před 8 lety +1

    nakupenda sana wastara n pole kwa yaliyokukuta dada angu Mungu akubariki

  • @38wahida
    @38wahida Před 8 lety +12

    sijui kwann wastara alikubali kuolewa na yule jamaa ,jamaa ana matusi yule kama barazuli ,tabia zake yaan nadhan hakumjua tabia zake .ila ndio maisha .

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 3 lety

      😆😆😆😆😆😆

  • @mariakarey701
    @mariakarey701 Před 8 lety +1

    pole Sana dada wastara Mungu yupo hutapata mwenye kukuthamini take time

  • @ashagrills1319
    @ashagrills1319 Před 8 lety +2

    duuuuuhhhh pole sana mungu atakujaalia utapata mume mwema

  • @annewetungumusuya9213
    @annewetungumusuya9213 Před 8 lety +3

    Wastara ulipata wapi ujasiri wa kuenda moja kwa moja kuonana Na mke wa huyu jamaa? I fear to be a 2nd yf really cz matokeo ni machungu.pole Dada Gods time is the best

  • @athumannambombe4334
    @athumannambombe4334 Před 8 lety +4

    Pole sana Ndugu ya Wastara unachopaswa kukielewa ni kwamba hizo ni Changamoto unazotakiwa Uzibadili ziwe Fursa, Usife Moyo!

  • @eunicehemed9097
    @eunicehemed9097 Před 8 lety +2

    pole sana wastara..poleee sanaaa

  • @mayadahassan357
    @mayadahassan357 Před 8 lety +1

    Pole sana Dada yng. Ndo maisha inshaallh allh atakuajaalia Mwenye kher na ww

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 Před 8 lety +1

    ooooooops!! 😢😢😢😢 am speechless! pole sana. wastara ww ni shujaa wangu! yaan ww ni kioo changu

  • @marthalazaro1719
    @marthalazaro1719 Před 6 lety

    pole Sana wastara uyomwanaume nijibu amekudhalilisha kwawatu kakufatamwenyewe alafuanashidwa kukuheshim. Mungu yupo usikurupuketena piausisikilize ushauliwawatu utakuponza.

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 Před 8 lety +1

    pole sana wastara. maisha ndivyo yalivyo na challenges zake

  • @jumakhamisi5588
    @jumakhamisi5588 Před 8 lety

    pole sana my dear sister Wastara. nimeumia sana saaana ila naamini Mola yupo pmja nawe na malipo ni hapa hapa duniani atakulipia In sha Allah. HUKUMU yake ataipata hapa hapa duniani kwakukudhalilisha, kukukashifu, kukunyanyasa nakukuumiza moyowako, hakika kuna Wanaume wengine hawajui kupendwa wanaipata bahati lkn wanazichezea. hakuna kitu kimeniuma km kukuita screpa hlfu kuja kukukashifu na kukusingizia uongo imeniuma sana kwani naamini hakuna binaadamu aliekamilika na hujafa huhaumbika na wala wewe hukuomba uwe hivyo. M/Mungu atakufariji habibty. atakupa stara km jina lko lilivyo In sha Allah. Love you so muuuch my sister. shukran Kaka Ayo kwakutujuza.

    • @ibrahimfilipo5489
      @ibrahimfilipo5489 Před 6 lety

      Alikuita skrepa
      Huyo
      Ni
      Mwanaume
      Kweli

    • @khadijatwahir9743
      @khadijatwahir9743 Před 5 lety

      Jaman tuelewe uwez kumlaumu wastara kadakia mume wa mtu wakati dini yake inaruhusu tujitahidi kumpa pole

  • @mickeyladyilikeyourvoice7851

    wastara twakuombea inshaallah Mungu atakujaalia upate mume unaemuhitaji kama sajuki inshaalla

  • @rosemsemwa2421
    @rosemsemwa2421 Před 4 lety

    Ushaur wangu kwa wastar hupaswi kumchukia uyo baba muombee maisha malefu ni mungu tu alikuunganisha nae ili upate sapota ya matibabu tu bas na sio vingine wacha maisha yaendelee

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 Před 8 lety +1

    Pole sana.mwenyezi mungu atakuletea mema.

  • @shamsakenya3093
    @shamsakenya3093 Před 8 lety +2

    Subhana'Allah.Pole sana Dada
    .Usijali mungu atakupa mume mwenye imani InshaAllah usikate tamaa.

  • @lasoitantoya4260
    @lasoitantoya4260 Před 8 lety

    Pole sana Wastara mimi nimekupata nikiwa Kenya kijijini Samburu.Nimejunza mengi sana .Huyo Mbunge ana mashetani ya mbunge pia anatatizo kubwa anahitaji si maombi tuu bali uhauri wa kimatibabu. Tafathali Millard huyu dada apewe Ulinzi wakutosha...huyo mbunge siamini aenda

  • @mariammahaba5661
    @mariammahaba5661 Před 8 lety +1

    mackini dadangu pole sana.hadi nahisi machoz.eti anakuita scrap?hukupenda ww uwe hivyo.ila hata yy ajafa ajaumbika.jipe moyo dada.na ulichukua uwamuzi wa sawa kabisa.ata MUNGU aliona.na in shaa ALLAH utayasahau yote hayo.pole sana kipenzi.

  • @janethjoseph5240
    @janethjoseph5240 Před 4 lety +1

    Pole sana wastara kwa janga hilo

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 Před 4 lety +1

    Wastara pole hata mie nilikiona hicho kwa mume wangu,,,yaaaniii anakuja anakuta wageni ndani, anaingia kwa dharau anasema zima TV ,,, yaaaniii Mungu nisimamie ktk hili,,,wanawake tunapitia mambo mengi sanaaaaaaaa.

    • @mamiibatenga617
      @mamiibatenga617 Před 4 lety

      😢😢😢😢wengi wanakuwa ni maskini wakubwa,wamepata pesa ukubwani

  • @amosnyanda7848
    @amosnyanda7848 Před 2 lety

    Pole njoo mm nikuowe mwaya

  • @fat-hiahuwel6206
    @fat-hiahuwel6206 Před 8 lety +1

    Pole sn dada Wastara Mungu yupo pamoja nawe

  • @angelsjg2683
    @angelsjg2683 Před 8 lety +3

    wastara na kupenda sana mama, pole sana

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 Před 8 lety +2

    subhanallah kweli majanga yani mpaka millard ameshikwa na baridi dooh

  • @marashtv8555
    @marashtv8555 Před 8 lety +1

    pole sana dada wastara mungu atakupa mwengine insha allah

  • @rehemakhamishassan9940
    @rehemakhamishassan9940 Před 5 lety +1

    Daah.
    dada pole sana my dia na hilo dada lilikukuta kwa kuwa una stress dada ndio maana hukuchagua.
    lakini pia heshima ya familia na kujiheshimu kwako ndo kulifanya ukubali kuolewa.
    Napenda kukushauri kuwa usikate tamaa yupo aliyepangwa na akakuoa na akawa zaidi ya sajuki Mola hakuondishei ila hukuwekea kilicho kizuri zaidi.
    Nakupenda sana dada
    Natamani niwe na namba yako ya simu

  • @sumaiyaabdi7078
    @sumaiyaabdi7078 Před 7 lety +9

    Eti ameanguka kwa pikipiki mara amekwaruzwa jicho hahahahaha. what kind of a man was he? Those were not good signs & Who is this guy by the way? Daah tanzanian politicians are entertainers & entertainers are politicians.Sio mume yule wallah what a mess!
    Thank you millard for letting Wastara tell her story without interruption.its the best thing ive watched on YT today

  • @michaelmasijah724
    @michaelmasijah724 Před 6 lety

    Wastara, you're a super woman kwa upande wangu nakuelewa sana!

  • @hawahamisi6237
    @hawahamisi6237 Před 8 lety +2

    pole sana my dada mungu yupa moja nawe 😭

  • @joycemartin5306
    @joycemartin5306 Před 4 lety

    pole Sana dada wastara.kiukweli Usio fichika Uyo mtu alitegemea kupata mafanikio kupitia ww. ila Mungu atakulipa kwa alio yafanya. namchukia Kiukweli maana yupo kama muuwaji hayo maneno sio kabisa

  • @anethlucas4045
    @anethlucas4045 Před 7 lety

    pole mpenz wangu wastara mungu akupe itaji lamoyo wako nalipo usijali hata

  • @mergorethshirima1681
    @mergorethshirima1681 Před 8 lety +1

    Pole sana dada nakupenda sana.

  • @serodaflorans9249
    @serodaflorans9249 Před 8 lety +1

    pole xana my dear mungu atakupatia wako just trust in God

  • @calvinmbwana1143
    @calvinmbwana1143 Před 7 lety +3

    dah wastara hakika wewe nimwanamke unayejitambua. nmeumizwa sana na maelezo yako.

  • @rafanasadiki1110
    @rafanasadiki1110 Před 8 lety

    Wastara my sister katika maisha tunakutana na watu tofauti Sana

  • @farajaalex1603
    @farajaalex1603 Před 7 lety +4

    Edith umenifurahisha sana safi sana ubaguz sio mzuri ikiwa sote ni watoto Wa baba mmoja

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 Před 8 lety +1

    pole sana.wastar kwakujari usijali

  • @deusijohn3863
    @deusijohn3863 Před 3 lety

    Pole sana kwa mkasa ulipitia dada mungu atakusimamia

  • @rizham6442
    @rizham6442 Před 8 lety

    Subhana Allah!!! Pole Sana Wastara wengine SI wanaume magumegume ndio kama hayo

  • @saadalacha8950
    @saadalacha8950 Před 8 lety +2

    Da!!! pole sana dada

  • @nasrayahya2885
    @nasrayahya2885 Před 6 lety +2

    du pole sana wasitala kiukweli unatia imani ktk hii ndoa yako ya huyo mweshimiwa kiukweli si wanawake tunapata mitihani sana ktk ndoa zingine tunazozipitia huyo hakuwa mwanaume bali nimtihani ulikufika hakuwa mwanaume wa thati kwako

  • @harunroyce161
    @harunroyce161 Před 8 lety +2

    pole sana wastara

  • @reginabwija1204
    @reginabwija1204 Před 8 lety +1

    Nakupenda sana dada wastara

  • @husseinkhassim5693
    @husseinkhassim5693 Před 7 lety +5

    hv wanaume wenye dini wamekosa kwelii au ndo hvo unatafta wat maarufu dada maisha hayana rewind tafta mume mwenye dini ukae ktk mising ya dini ili uendeleee kumuombea kwa allah sajuki amuepushe na adhabu ya moto lakini naona unatembea kichwa waz sjakuelewa kiukweli Allah akujaalie uishi ktk misingi ya dini

  • @lasoitantoya4260
    @lasoitantoya4260 Před 8 lety +1

    Hadi Saa Sita usiku12:00pm aah vipi mgeni alikuwa na shida kweli. Wastara your the Best#Kenya

  • @ashamohammedashamohammed7401

    pole my hakuwa mume huyo lilikuwa gumegume

  • @erickjohn9787
    @erickjohn9787 Před 8 lety +4

    duh huyo jamaa inabidi tumuite MIKWARUZO MAN.😀😀😀

  • @suleimanhega4982
    @suleimanhega4982 Před 8 lety

    Pole sana; Bi. Wastara.
    Lakini hupaswi kukataa ndoa na juwa kuwa Binaadamu wote sio sawa. Ndoa ni jambo la heri na baraka ikiwa Mume au Mke watadumisha mambo haya; Upendo, Imani, Kuthaminiana, Kujaliana na Subra.
    Ushauri wangu kwako, Bado unaomuda kwavile wewe bado kijana mrembo sana, unapendeza si busara kukaa bila ya kitulizo cha moyo na nafsi kitakachokupa faraja. "Nacho ni Mume" Pole sana. ..Kwa kawaida wenye pesa au wanaopata pesa 'Huharibika kwa Jeuri, Kibri, Dharau na Kutokujali' Inatokana na kutokujielewa, anachoona yeye ni pesa tu ndio kila kitu. Pole sana. ...
    Nakukaribisha nyumbani Zanzibar na mimi naitamani hiyo nafasi ya (5).
    Kosa la Mpumbavu asiyejielewa lisitukoseshe wengine wenye nia na upendo wa dhati.
    "Inshaallah Mungu Akubariki na akulinde na husda pia akupe afya njema" AMIN. ..AMIN (0777481516)

  • @fatmajakamwalela7842
    @fatmajakamwalela7842 Před 8 lety

    Pole sana dadaa mungu yuko pamoja nawe....wanao Sema mume wa mtu sumu sioni kama mko sawa kwani mume ana haki ya wake wa 4

  • @fredymdee7683
    @fredymdee7683 Před 8 lety +2

    Mmhm!!kama kweli haya yote yamekukuta pole sana dada angu.

  • @usnahbakary3770
    @usnahbakary3770 Před 6 lety

    pole.sana.dd.wastara.mungu.atakupa.mume.mwema.vumilia2

  • @sanayairani222love2
    @sanayairani222love2 Před 8 lety

    Pole sana wastara kwa mitihani inayokutokezea nausiache kumshukuru mungu kwani yote nimajaribio yake tu anatuangalia waja wake vp tutamshukuru au la

  • @carrenkapia3921
    @carrenkapia3921 Před 7 lety +6

    i love this lady so much

  • @barakalukosi2251
    @barakalukosi2251 Před 3 lety +1

    Sajuki ndo alikuwa mume wako tu mungu ampumzishe tu

  • @sabrinahkizzer5245
    @sabrinahkizzer5245 Před 8 lety +1

    Mungu yupo atakulipa tu usiumie sana Dada angu 👏👏

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 Před 4 lety

    Pole sana dadangu love u

  • @carenewera1709
    @carenewera1709 Před 8 lety

    Pole wastara God is there for you dear.

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 Před 8 lety

    pole my sister maisha ni safari ndefu usikate tamaa pia mtegemee Mungu kwa kila jambo

  • @alexurassa8045
    @alexurassa8045 Před 8 lety +3

    Hamna ch uheshimiwa hapo wewe dada yangu songa mbele na life yko

  • @everlinenkata3611
    @everlinenkata3611 Před 7 lety +7

    Dada Wastara ww bado ni jembe! mungu atakupa haja ya moyo wako

  • @mamashakira3580
    @mamashakira3580 Před 8 lety +1

    Usiwaze mamy mitihani tumeumbiwa mshukuru mungu kakuacha mzima

  • @hamedaabdultaleb635
    @hamedaabdultaleb635 Před 8 lety +1

    Mh pole Dada mungu akujaalie subrah IPO siku utapata kitulizo cha moyo wako

  • @francismwalukunga2117
    @francismwalukunga2117 Před 8 lety +1

    WOOOO UKOvizuri tabia za watu bana usipime ila maisha ni vita bahati nzuri ulikua maacho mapemaERA SANA

  • @saumuabdallah7484
    @saumuabdallah7484 Před 8 lety

    hkna dhiki wa dhiki @wastara kuwa na subra in shaa allah utapata alobora zaid ya uyo.muombe mola kwa sna.maamuzi yko sio mabaya coz unajitahidi kuepukana na zinaa allah akufanyie wepec

    • @zuhuraali9983
      @zuhuraali9983 Před 8 lety

      ishallah tunazidi kukuombea kwa allah take time ya kuolewa kwa allah hatupi mja wake

  • @marymugure2231
    @marymugure2231 Před 8 lety

    pole dada, mungu amekubariki dada tafuta kijana mwenye hana...hakuna ndoa tamu kama hiyo. ..bt umheshimu kama mme ata kama hana ...

    • @annewetungumusuya9213
      @annewetungumusuya9213 Před 8 lety

      Umenena my dia.Mume atabaki kuwa kichwa cha nyumba.awe maskini ama tajiri

  • @bihimomasemo4651
    @bihimomasemo4651 Před 8 lety +1

    pole sana dada wastara

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 Před 4 lety +2

    Kwani alikuaga kaolewa na muheshimiwa nani 😂😂😂

  • @dhatiaramadhani2200
    @dhatiaramadhani2200 Před 8 lety +1

    pole sana Dada wastara love u

    • @asmaamornassor3446
      @asmaamornassor3446 Před 3 lety

      Pole mummy insha allah kua na subira utapata mume mwema muombe sana mwenyezi mungu

  • @sophiatesha9696
    @sophiatesha9696 Před 7 lety

    pole xana Dada yangu mungu akupunguzie maumivu

  • @sophiamwambi5395
    @sophiamwambi5395 Před 8 lety +1

    pole sana that's life u will move on

  • @rashidarajabu7288
    @rashidarajabu7288 Před 8 lety

    pole sana wastara mola atakujaalia wako wa pekeyako ,unakila kitu umejaaliwaa

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 Před 8 lety

    Sajuki Sajuki!!!!! Lahaulaa, namani sana kuwa na mwanamke wa namna hii! duuuu God bless u my dia

  • @annananna7622
    @annananna7622 Před 8 lety

    duh pole sana my dear hiyo ni hali ya dunia and God gives you strength

  • @shinatamar9727
    @shinatamar9727 Před 8 lety

    pole sana ..mola yuko nawe dia wala usiwe na uchungu shukuru mola amekutibu hata kama sio pesa zake ipa ume tibika na kama aliona ata kuzazilisha basi aibu kwake maana hata mkewe mama watoto wake wame achana sebuse wewe nibora kwa mamuzi yako umefanya vyema sana

  • @rudphyneric1446
    @rudphyneric1446 Před 5 lety

    Pole sana dada wastara kaa t ulee watoto wak wanaume akili hawana

  • @twoten2547
    @twoten2547 Před 8 lety

    Its true am one of your new supporter....... get back on your feet and move on....life is very short to let such scenes pull you back. Also be happy you made him love his wife back... yaani haukuvunja familia yake, atleast mahali popote walipo sasa wanajua tu ni wewe ndio ulisuluhisha matatizo ya ndoa yao. I salute you Big

  • @kautharysalumngede8748
    @kautharysalumngede8748 Před 8 lety +6

    mume wako mkweli utakaejvunia ja aliejivunia kua nawe ni sajuki.pole sana n move on...!!

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 Před 8 lety

    duh pole sanaaaa usijali dada tunakupenda wewe una roho nzuri

  • @maggymm7302
    @maggymm7302 Před 2 lety

    Si hakuwah kukupenda kabisa ww ulikuaga project tuu kwake.

  • @sallykanze
    @sallykanze Před 8 lety +18

    Umeongea vizuri sana wastara,pole sana dadangu na nakupenda bure

  • @annkabbz8544
    @annkabbz8544 Před 6 lety +2

    She’s very truthful

  • @mayadahassan357
    @mayadahassan357 Před 8 lety +2

    Wastara Dada angu cku iz iyo ndo fashen kwa wanaume akikuowa mke wa pili jua ana tatzo na mke wake

  • @jasminmoshi6851
    @jasminmoshi6851 Před 4 lety

    Nakupenda bure dadangu,uko muwazi sana

  • @miriamfritsi9183
    @miriamfritsi9183 Před 8 lety

    pole,aunt nafurahi kwa kuwa unaongea kwa kujiamini sana,na kwa kweli wanawake yanatukuta sana kwenye ndoa zetu.hiyo ni changamoto kwenye maisha,muonbe sana mungu atakuletea mume wa ukweli,uchali ndugu yangu,wanawake kika kukicha tunajifunza mambo mengi sana ya wanaume.ila kitu kikubwa zaidi ni kuwa na afya bora,na maisha yaendelee mbele,wewe ni mwanamke shupavu .jiamini na utafanikiwa.29.4.16.

  • @leonardikaku6980
    @leonardikaku6980 Před 8 lety +2

    pole kwa yalio kukuta dada yetu jipe moyo utayashinda.

  • @machetemdudu5607
    @machetemdudu5607 Před 7 lety

    wastara dadaangu its long and sad story why ucfikirie kutoa movie kupitia story hii mana!! daaa pole sana

  • @salmazena7388
    @salmazena7388 Před 8 lety

    pole sana wastara uxijali mungu upamoja nawe dadaaa