Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.
Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.
Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤
Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi. Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako. Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.
Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah
Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭
Daaah😭😭😭😭 Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake. Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭 Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi. R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.
Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.
Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka
Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito
Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..
Kaka mirada ayo mungu akupe uzima mwiga sana na mungu amekupa kibati had now umefikia sehemu hiyo mungu akubaliki sana ila tu jitahid kuwafwatilia wenyee uhitaki kaka ila we mungu akubaliki please naomba usome text yangu
ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI
Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...
Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi
Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.
Kweli kabisa, Millard Ayo ana personality ya kutolea ndano! Poleni sana na msiba
Milard ayo hongera kwa kufatilia taalifa za ukweli wewe nitofauti namedia zingine nakubali mwambaaaa
mama yake alisha fariki
@@africa7479 Oohhhhh! Sikujua.
Basi akapite hata kuzuri kaburi la mama yake na kumuombea maghfila kwa Allah Insha Allah
Poleni familia na Watanzania Mungu awape nguvu na tuendee kumuombea amen
Mungu akufariji baba na wana tanga wote hasa chumbageni tutakukumbuka daima bro G
Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.
Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤
😭😭Mzee ni mwingi wa shukran ,hakika umejaa busara
MZEE ANA BUSARA SANA NA PIA MTULIVU MNO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 HE IS SO HUMBLE.
Pole sana Baba Gardner. Mungu akupe nguvu na Faraja, katika kipi di hiki kigumu.
Mimi ni mkenya ila napenda sana kufatilia interview zako milard kwa hakika Mungu amekubariki big up sana
Mahojiano mazuri yenye mengi ya kujifunza katika mapito haya ya dunia Millard ayo upo vizuri kwenye interview zako hongera sana brother 🙏.
Huyu mzee is very smart minded. Pole Sana baba, Mungu akutie nguvu. I wish ningekua Marangu nyumbani hapo tarakea ningekuja hata kwa bike.👏
Millard una hekima sana katka mahojiano yako mungu azidi kubariki kazi yako
Amen, asante sana Ndugu yangu
Amin Amin Amin
MOR BLESSINGS 💝👐💝
Baba pole sana, Millard endelea hivyo hivyo mdogo wangu uko poa sana kwenye mahojiano
Hakika he is smart millad
Mwanamme analia ndani ya moyo,,,pole baba 😭😭
Millard Hongera brother Kwa mahojiano Bora sana
Kuna watangazaji alafu kuna wewe millard ayo aisee unajua una ekima unajua unamhoji nani unapaswa kuongea nini aisee millard mungu aendelee kukuongoza bravo bravo
Daah polee sana mzee wetu kwa kumpoteza mtoto wako, Mungu awatie nguvu..Polee MillardAyo
Pole Sana mzee wetu, Mungu awe faraja kwako na familia kwa ujumla.
Pole sana Mzee , Allah akutie nguvu inshallah
Mungu akupe nguvu mzee kwa kipindi hiki kingumu kwa kufiwa na mwanao.
Ameen
Pole sana mzee wng,mungu akufanyie wepesi ktk kipindi hichi cha majonzi
Millard kuwa karibu na huyo mzee, inaonekana kama anafarijika sana kuwa karibu yako.
sawasawa Benson
Dah aisee Baba yuko vizuri sana Busara na hekima zimejaa,Pole sana baba Mungu awape faraja 🙏
Pole sana Baba Mungu akutie nguvu Hongera sana Millardy kwa hekima uliyonayo una busara sana mshukuru Mungu kwa Neema hiyo aliyokupa Mungu Ubarikiwe
dah mzee yuko smart sana pole baba ndio maisha kila mtu hajui ataondoka lini duniani tunapita2 mungu amueke mahala pema peponi
Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi.
Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako.
Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.
Big up @MillardAyo upo njema sana
pole sana mzee wetu mungu azidi kukupa hekima na akupe umri zaidi
Pole Sana Mzee Habadh Mungu akutie nguvu
Pole sanaa mzee
Pole sana babuu Allah akufanyie wepesi sana 😢😢
Pole sana mzee wangu na wajina wa baba yng mzazi mzee gabriel Mwenyenzi Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu. Amina
Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah
Milard kazi nzuri sana Brother!
Gardner alikuwa very smart kama baba yake, hakika baba amepoteza jembe.R.I.P bro Gardner
Daah! pole sana baba na familia Mungu Roho Mtakatifu akawe faraja kwenu nyote.
Pole mzee wetu sote njianimoja wete niwakupitatu apa duniani
Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭
Pole sana mzee wetu mwenyezi mungu awe faraja kwenu. Tunawaombea
Pole sana mzee.MUNGU akutie nguvu zaidi na zaidi
Millard congratulations🎉 unsijua kazi yako babaaaa❤❤❤❤
Pole sana kwa familia, pole sana mzee wetu Mungu awatie nguvu katika hili mnalolipitia!!
Pole sana
Milliard you are on time,and you bring the best exclusive
Mungu anatupenda sana nasi tuendelee kupendana kama yeye alivyotupenda...na Mungu ndivyo atakavyotukuzwa ndani yetu.
Daaah😭😭😭😭
Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake.
Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭
Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi.
R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.
Duh mzee bado yuko vizuri sana...
Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.
Big up home boy. Be blessed abundantly Ayo
Amen Anande, nashkuru sana Homeboy
I am humbled brother. Your sizy from Ar. Stay healthy. Kazi nzuri 😘🙏
Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka
Millard una hekima brow mungu akuimarishe zaidi
Aron aliwah kufanya kazi PIL namkumbuka sana hii familia wana moyo mzur mno Mungu amlaze mahali pema peponi
Hekima kubwa sana, Mungu akutunze Baba yangu na akutie nguvu sana
Pole Sana baba Kazi ya mungu haina makosa. Sote njia yetu nimeona yy ametangulia na sisi tuanfatia.
Pole Sana Baba Mzee Habash! Mwenyezimungu akutie nguvu!
Pole sana mzee Habash, Mungu azidi kukutia nguvu. R.I.P Captain Gardner 😥
Pole sana mzee na familia milad pole sana hongera sana kwa mahojiano yako wakati wote mungu akuze kipaji chako mara dufu
Pole sana babangu mwenyezi mungu akupe subira na nguvu
Pole sana mzee wangu
Mungu mtunze Baba yetu. Hongera Milard.
Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏
Millard unabusara sana mungu akubariki
Pole baba , kazi ya mungu haina makosa. Mwenyezi mungu akupe nguvu.
Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito
Pole sana baba mwenyezi mungu awatie nguvu muweze kumpumzisha katika nyumba yake ya milele🙏🙏🙏
mzee mwenye hekma na busara masha Allah mungu akupe subra na imani
Pole sana baba Mungu akawe faraja yako
Pole sana mzee wetu mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu mungu amreem mpendwa wetu
Pole sana baba G Mungu akutie nguvu
Baba ana Imani safi sana
Mungu mwema
Poleni kwa msiba Allah ametoa Allah ametwaa ... Innalilah waina ilaih rajiun....Millard Ayo napenda sana habari zako,,shabiki wako kutokea kenya
Poleni Sana family, MUNGU mwema Sana,daima ntamkumbka kipnd cha jahazi pia alimpenda Sana baby malkia careen
Pole sana mzee
Pole sana Baba, Mungu pekee akupe faraja 🙏
Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu.
Good talented Millard ayo 💯🙏🏻
Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..
Dah pole mzee unaumia sana
Inauma Sanaa mzazi kumzika mtoto wake..Mungu akupe nguvu Baba🙏
Pole sana baba 💔
Huyo babu nimempenda bure jamani 😊 pole babu kwa kumpoteza mwanao MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI AMINA
Kati ya wanafunzi wa patandi uyu anafanya vizuri busara hekima ayo big up
Tunashukuru sana Milard Ayo kwa kutupa habari🙏
Mungu akutie nguvu mzee wangu amen
Pole Baba ndo duniani kazi ya mungu haina makosa mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema inshaallah
Pole sana Mzee. Kifo kisikie kwa mwenzako, that's true!!!
Kaka mirada ayo mungu akupe uzima mwiga sana na mungu amekupa kibati had now umefikia sehemu hiyo mungu akubaliki sana ila tu jitahid kuwafwatilia wenyee uhitaki kaka ila we mungu akubaliki please naomba usome text yangu
ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI
Milard mungu akubariki Kwa mahojiano yako mazuri na Kwa utulivu, watangazaji wengine eti unamuuliza Mzazi msiba huu umekuumizaje kweli
Polee Sanaa baba msibamzito. Mungu atakupangu baba
Duh pole sana mzee mungu akutie nguvu katika kipind kigumu
Pole sn baba, Mungu akutie nguvu.
Poleni sana😢
Pole Sana mzee
Pole sana Mzee habashi
Broo milad nakupenda sana kaka
Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...
Good Work Ayo
Poleni sana babaangu mungu ndie mwamwuzi wetu sisi si lolote tuendelee kumwombea
Pole sanaaa mzee wetu 😢
Yaaani wacha kifo cha mtoto kimkute mwenzio
Inaumaaaa
Yaaaani inaumaaaa
Pole sana baba GABASH
Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi
Poleni
Pole sana Kakangu GABRIEL pole saana . MUNGU akupe NGUVU ya ziada.