EXCLUSIVE: DAKIKA ZA MWISHO ZA GARDNER NA BABA YAKE MZAZI "ALINIAMBIA USIPANIKI USIJE KUFA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 04. 2024

Komentáře • 349

  • @nurumbaraka
    @nurumbaraka Před 25 dny +139

    Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.

    • @ezytradeafrica2978
      @ezytradeafrica2978 Před 25 dny +9

      Kweli kabisa, Millard Ayo ana personality ya kutolea ndano! Poleni sana na msiba

    • @SaidNsyengula-rf3to
      @SaidNsyengula-rf3to Před 24 dny +6

      Milard ayo hongera kwa kufatilia taalifa za ukweli wewe nitofauti namedia zingine nakubali mwambaaaa

    • @africa7479
      @africa7479 Před 24 dny +3

      mama yake alisha fariki

    • @nurumbaraka
      @nurumbaraka Před 24 dny +4

      @@africa7479 Oohhhhh! Sikujua.
      Basi akapite hata kuzuri kaburi la mama yake na kumuombea maghfila kwa Allah Insha Allah

    • @elizabethsenyagwa6270
      @elizabethsenyagwa6270 Před 24 dny +1

      Poleni familia na Watanzania Mungu awape nguvu na tuendee kumuombea amen

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Před 25 dny +33

    Mungu akufariji baba na wana tanga wote hasa chumbageni tutakukumbuka daima bro G

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Před 25 dny +40

    Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.

    • @user-id8ys3lg5d
      @user-id8ys3lg5d Před 24 dny +2

      Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤

  • @crillarlawcmo2366
    @crillarlawcmo2366 Před 25 dny +25

    😭😭Mzee ni mwingi wa shukran ,hakika umejaa busara

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 Před 25 dny +58

    MZEE ANA BUSARA SANA NA PIA MTULIVU MNO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 HE IS SO HUMBLE.

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4s Před 25 dny +35

    Pole sana Baba Gardner. Mungu akupe nguvu na Faraja, katika kipi di hiki kigumu.

  • @salimsoyo8118
    @salimsoyo8118 Před 24 dny +10

    Mimi ni mkenya ila napenda sana kufatilia interview zako milard kwa hakika Mungu amekubariki big up sana

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před 25 dny +8

    Mahojiano mazuri yenye mengi ya kujifunza katika mapito haya ya dunia Millard ayo upo vizuri kwenye interview zako hongera sana brother 🙏.

  • @barikimoshi4443
    @barikimoshi4443 Před 25 dny +26

    Huyu mzee is very smart minded. Pole Sana baba, Mungu akutie nguvu. I wish ningekua Marangu nyumbani hapo tarakea ningekuja hata kwa bike.👏

  • @user-mf6vv1mf6x
    @user-mf6vv1mf6x Před 25 dny +42

    Millard una hekima sana katka mahojiano yako mungu azidi kubariki kazi yako

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před 24 dny +14

    Mwanamme analia ndani ya moyo,,,pole baba 😭😭

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 Před 25 dny +11

    Millard Hongera brother Kwa mahojiano Bora sana

  • @johnsondominick2089
    @johnsondominick2089 Před 25 dny +15

    Kuna watangazaji alafu kuna wewe millard ayo aisee unajua una ekima unajua unamhoji nani unapaswa kuongea nini aisee millard mungu aendelee kukuongoza bravo bravo

  • @olesterleonard9737
    @olesterleonard9737 Před 25 dny +6

    Daah polee sana mzee wetu kwa kumpoteza mtoto wako, Mungu awatie nguvu..Polee MillardAyo

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 Před 25 dny +6

    Pole Sana mzee wetu, Mungu awe faraja kwako na familia kwa ujumla.

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před 25 dny +7

    Pole sana Mzee , Allah akutie nguvu inshallah

  • @Afrikalove736
    @Afrikalove736 Před 25 dny +15

    Mungu akupe nguvu mzee kwa kipindi hiki kingumu kwa kufiwa na mwanao.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 25 dny +2

    Pole sana mzee wng,mungu akufanyie wepesi ktk kipindi hichi cha majonzi

  • @bensonkinjofu3377
    @bensonkinjofu3377 Před 25 dny +20

    Millard kuwa karibu na huyo mzee, inaonekana kama anafarijika sana kuwa karibu yako.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 25 dny +2

    Dah aisee Baba yuko vizuri sana Busara na hekima zimejaa,Pole sana baba Mungu awape faraja 🙏

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před 25 dny +1

    Pole sana Baba Mungu akutie nguvu Hongera sana Millardy kwa hekima uliyonayo una busara sana mshukuru Mungu kwa Neema hiyo aliyokupa Mungu Ubarikiwe

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 25 dny +5

    dah mzee yuko smart sana pole baba ndio maisha kila mtu hajui ataondoka lini duniani tunapita2 mungu amueke mahala pema peponi

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile53 Před 24 dny +4

    Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi.
    Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako.
    Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili Před 24 dny

    Big up @MillardAyo upo njema sana

  • @Rojajaynor
    @Rojajaynor Před 24 dny

    pole sana mzee wetu mungu azidi kukupa hekima na akupe umri zaidi

  • @happinesspessa9390
    @happinesspessa9390 Před 25 dny

    Pole Sana Mzee Habadh Mungu akutie nguvu

  • @DonaldMshani
    @DonaldMshani Před 22 dny

    Pole sanaa mzee

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge Před 25 dny +2

    Pole sana babuu Allah akufanyie wepesi sana 😢😢

  • @romanilyimo
    @romanilyimo Před 25 dny

    Pole sana mzee wangu na wajina wa baba yng mzazi mzee gabriel Mwenyenzi Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu. Amina

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 23 dny +1

    Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 Před 19 dny

    Milard kazi nzuri sana Brother!

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 Před 22 dny +2

    Gardner alikuwa very smart kama baba yake, hakika baba amepoteza jembe.R.I.P bro Gardner

  • @janehenry1730
    @janehenry1730 Před 24 dny

    Daah! pole sana baba na familia Mungu Roho Mtakatifu akawe faraja kwenu nyote.

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 Před 25 dny +3

    Pole mzee wetu sote njianimoja wete niwakupitatu apa duniani

  • @ngamugamahonzelosanga3316

    Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭

  • @brendashao36
    @brendashao36 Před 25 dny

    Pole sana mzee wetu mwenyezi mungu awe faraja kwenu. Tunawaombea

  • @khatijahayoub2105
    @khatijahayoub2105 Před 23 dny

    Pole sana mzee.MUNGU akutie nguvu zaidi na zaidi

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 Před 22 dny

    Millard congratulations🎉 unsijua kazi yako babaaaa❤❤❤❤

  • @pmpaga1063
    @pmpaga1063 Před 24 dny

    Pole sana kwa familia, pole sana mzee wetu Mungu awatie nguvu katika hili mnalolipitia!!

  • @avinrwegasira3448
    @avinrwegasira3448 Před 25 dny +1

    Pole sana

  • @MonickaMkasi
    @MonickaMkasi Před 23 dny

    Milliard you are on time,and you bring the best exclusive

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d Před 25 dny +12

    Mungu anatupenda sana nasi tuendelee kupendana kama yeye alivyotupenda...na Mungu ndivyo atakavyotukuzwa ndani yetu.

  • @albanombunju902
    @albanombunju902 Před 25 dny +10

    Daaah😭😭😭😭
    Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake.
    Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭
    Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi.
    R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před 24 dny +1

    Duh mzee bado yuko vizuri sana...

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Před 24 dny

    Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 Před 25 dny +12

    Big up home boy. Be blessed abundantly Ayo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 25 dny +4

      Amen Anande, nashkuru sana Homeboy

    • @anandemungure2500
      @anandemungure2500 Před 25 dny +1

      I am humbled brother. Your sizy from Ar. Stay healthy. Kazi nzuri 😘🙏

    • @BerthaRaymond-qv2zn
      @BerthaRaymond-qv2zn Před 24 dny +1

      Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka

  • @HappyMbise-fb3mc
    @HappyMbise-fb3mc Před 24 dny +1

    Millard una hekima brow mungu akuimarishe zaidi

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 Před 24 dny +1

    Aron aliwah kufanya kazi PIL namkumbuka sana hii familia wana moyo mzur mno Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @rehemaobbasy8409
    @rehemaobbasy8409 Před 24 dny +1

    Hekima kubwa sana, Mungu akutunze Baba yangu na akutie nguvu sana

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b Před 25 dny +1

    Pole Sana baba Kazi ya mungu haina makosa. Sote njia yetu nimeona yy ametangulia na sisi tuanfatia.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 24 dny

    Pole Sana Baba Mzee Habash! Mwenyezimungu akutie nguvu!

  • @robertlary6007
    @robertlary6007 Před 25 dny

    Pole sana mzee Habash, Mungu azidi kukutia nguvu. R.I.P Captain Gardner 😥

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Před 24 dny

    Pole sana mzee na familia milad pole sana hongera sana kwa mahojiano yako wakati wote mungu akuze kipaji chako mara dufu

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 Před 24 dny

    Pole sana babangu mwenyezi mungu akupe subira na nguvu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 25 dny +7

    Pole sana mzee wangu

  • @otarurosie
    @otarurosie Před 24 dny

    Mungu mtunze Baba yetu. Hongera Milard.

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 Před 25 dny +3

    Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏

  • @MathiasLyimo
    @MathiasLyimo Před 25 dny +3

    Millard unabusara sana mungu akubariki

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Před 24 dny

    Pole baba , kazi ya mungu haina makosa. Mwenyezi mungu akupe nguvu.

  • @agnessntiburella8816
    @agnessntiburella8816 Před 24 dny

    Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 Před 25 dny

    Pole sana baba mwenyezi mungu awatie nguvu muweze kumpumzisha katika nyumba yake ya milele🙏🙏🙏

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p Před 23 dny

    mzee mwenye hekma na busara masha Allah mungu akupe subra na imani

  • @maryobedi6807
    @maryobedi6807 Před 24 dny +1

    Pole sana baba Mungu akawe faraja yako

  • @allymganga3223
    @allymganga3223 Před 24 dny

    Pole sana mzee wetu mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu mungu amreem mpendwa wetu

  • @user-sj5jw1ry5k
    @user-sj5jw1ry5k Před 24 dny

    Pole sana baba G Mungu akutie nguvu

  • @christinewomanoffaith5479

    Baba ana Imani safi sana
    Mungu mwema

  • @user-lh4bb8mm8w
    @user-lh4bb8mm8w Před 24 dny

    Poleni kwa msiba Allah ametoa Allah ametwaa ... Innalilah waina ilaih rajiun....Millard Ayo napenda sana habari zako,,shabiki wako kutokea kenya

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f Před 24 dny

    Poleni Sana family, MUNGU mwema Sana,daima ntamkumbka kipnd cha jahazi pia alimpenda Sana baby malkia careen

  • @rebekakalondji2576
    @rebekakalondji2576 Před 24 dny

    Pole sana mzee

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Před 24 dny

    Pole sana Baba, Mungu pekee akupe faraja 🙏

  • @MonicaTemba
    @MonicaTemba Před 24 dny +1

    Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu.

  • @hashilijuma1331
    @hashilijuma1331 Před 24 dny +1

    Good talented Millard ayo 💯🙏🏻

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x Před 24 dny

    Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..

  • @MaryMmole-en9qz
    @MaryMmole-en9qz Před 24 dny +1

    Dah pole mzee unaumia sana

  • @hidaya95james53
    @hidaya95james53 Před 24 dny

    Inauma Sanaa mzazi kumzika mtoto wake..Mungu akupe nguvu Baba🙏

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 25 dny +1

    Pole sana baba 💔

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 24 dny

    Huyo babu nimempenda bure jamani 😊 pole babu kwa kumpoteza mwanao MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI AMINA

  • @user-zh6qj9kd9x
    @user-zh6qj9kd9x Před 24 dny

    Kati ya wanafunzi wa patandi uyu anafanya vizuri busara hekima ayo big up

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 25 dny

    Tunashukuru sana Milard Ayo kwa kutupa habari🙏

  • @halimaallyazizi4443
    @halimaallyazizi4443 Před 25 dny

    Mungu akutie nguvu mzee wangu amen

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 23 dny

    Pole Baba ndo duniani kazi ya mungu haina makosa mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema inshaallah

  • @sabablonde9189
    @sabablonde9189 Před 22 dny

    Pole sana Mzee. Kifo kisikie kwa mwenzako, that's true!!!

  • @paularinda6361
    @paularinda6361 Před 2 dny

    Kaka mirada ayo mungu akupe uzima mwiga sana na mungu amekupa kibati had now umefikia sehemu hiyo mungu akubaliki sana ila tu jitahid kuwafwatilia wenyee uhitaki kaka ila we mungu akubaliki please naomba usome text yangu

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 24 dny +1

    ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj

    Milard mungu akubariki Kwa mahojiano yako mazuri na Kwa utulivu, watangazaji wengine eti unamuuliza Mzazi msiba huu umekuumizaje kweli

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 24 dny

    Polee Sanaa baba msibamzito. Mungu atakupangu baba

  • @Msafirifimbo
    @Msafirifimbo Před 24 dny

    Duh pole sana mzee mungu akutie nguvu katika kipind kigumu

  • @zubedamagambo8139
    @zubedamagambo8139 Před 25 dny +1

    Pole sn baba, Mungu akutie nguvu.

  • @shanibaniyas6308
    @shanibaniyas6308 Před 24 dny

    Poleni sana😢

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx Před 23 dny

    Pole Sana mzee

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i Před 24 dny

    Pole sana Mzee habashi

  • @IsackKorongo
    @IsackKorongo Před 24 dny

    Broo milad nakupenda sana kaka

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Před 21 dnem

    Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...

  • @vediowkiritasi3163
    @vediowkiritasi3163 Před 24 dny

    Good Work Ayo

  • @stellaukovizurimtanku2744

    Poleni sana babaangu mungu ndie mwamwuzi wetu sisi si lolote tuendelee kumwombea

  • @magrethkapinga1811
    @magrethkapinga1811 Před 25 dny

    Pole sanaaa mzee wetu 😢

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před 25 dny

    Yaaani wacha kifo cha mtoto kimkute mwenzio
    Inaumaaaa
    Yaaaani inaumaaaa
    Pole sana baba GABASH

  • @user-ir3ne3by3n
    @user-ir3ne3by3n Před 23 dny

    Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před 24 dny

    Poleni

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 25 dny +3

    Pole sana Kakangu GABRIEL pole saana . MUNGU akupe NGUVU ya ziada.