EXLUSIVE: MAISHA YA BAMBO, NYUMBA ANAZOMILIKI, STAREHE YA KUHONGA NA KUTOKUINGIA DISCO TOKA AZALIWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024

Komentáře • 62

  • @antonymsalilwa7180
    @antonymsalilwa7180 Před 21 dnem +37

    Kama unakubali legendary onyesha ugwana hapa

  • @TAJIRI001
    @TAJIRI001 Před 18 dny +2

    BAMBO. Favorite wangu tangu enzi zile, kina Mtanga, Kingwendu, Yani OG's wote na support kazi zao always. Old is Gold.

  • @user-qm5nj7dg7p
    @user-qm5nj7dg7p Před 21 dnem +15

    Uyu mwamba hatariii ni fire

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Před 21 dnem +14

    Aisee namkubali sana Mr bamboo

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 21 dnem +10

    Bamboo Noma Xana Namkubali Legend Wangu

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk Před 21 dnem +6

    Juzi nime muona Mbagala kirungule ana tembea mchana jua kali sema jamaa anaishi maisha yake halisi hafeki life 💪🏻

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před 21 dnem +6

    Bambooo hazeek aisee mie nakua namuona kwenye matangazo ya SAbun ya Omo hiyo kabla ya itV😀😀😀 walikuwa na Mzee small ❤

  • @OSKACTZ
    @OSKACTZ Před 20 dny +3

    WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI #BAMBO ❤ Asante kwa kutuheshimiwa watu wa SONGEA

  • @SuleimanAbdalla-cn5ne
    @SuleimanAbdalla-cn5ne Před 19 dny +3

    Bamboo home boy

  • @herielmao3900
    @herielmao3900 Před 21 dnem +10

    Mwigizaji konki kabsa huyu, ukimweka mtanga pembeni ndio noma kabsa

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana650 Před 20 dny +3

    Huyu jamaa namukubalii sana

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Před 21 dnem +4

    Sound Engineer jitahidi kumaintain sound pitch maana inashuka sana na kupanda ghafla.

  • @segeospatialtechnology7482
    @segeospatialtechnology7482 Před 21 dnem +6

    Saiz Tid ameshayeyushwa na Bamboo 😂😂

  • @matugarecords
    @matugarecords Před 20 dny +2

    Mkongwe kwenye game 🔥🔥🔥

  • @BarnaBoy-uo2ht
    @BarnaBoy-uo2ht Před 20 dny +3

    toka najitambua namuona hivi hivi aisee

  • @Nobengaphotographer
    @Nobengaphotographer Před 21 dnem +4

    Huyu mzee na 2003 yake kila kituu mwaka huo huoo au ameanza kusahau miaka

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur

    Huyo ndio bambo,sema jamaa nitajiri kamsoma mtangazaji anamjibu kisaikolojia na mautani mengi ili asichimbwe sanaaa...nimeipenda iyo

  • @ProDJayOnDecks
    @ProDJayOnDecks Před 19 dny +1

    Hii interview mmezingua sana kuna wakati sauti inashuka sana kusikia inakua shida afu imepoa sana wakati bamboo tunamjua ni mchangamfu... The way mnamhoji presenter na mhojiwaji ni kama wote mnaumwa.

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 Před 21 dnem +5

    Anaongea kama hataki ila ndio anaenda hivooo😂😂😂😂😂ila bambooo

  • @harrsmgaya8141
    @harrsmgaya8141 Před 21 dnem +5

    Usipo toa hela ana nuno

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před 20 dny +1

    Jamaa anajua

  • @BANJO_MOULDING_DECORATION
    @BANJO_MOULDING_DECORATION Před 21 dnem +3

    Legend never die 🫡

  • @erickmbilinyi2056
    @erickmbilinyi2056 Před 20 dny +2

    😂😂😂 noma kama utoi hela mtu ananuna tu

  • @octaviantito
    @octaviantito Před 21 dnem +1

    Akapela bila beat...haupati kitu 😄

  • @EnzamaMohamed
    @EnzamaMohamed Před 21 dnem +1

    Millladayo ni family ❤

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 Před 17 dny

    Huyu jamaa nmempenda sana hadanganyi yan anasema ukweli kabisa

  • @nyamisimbaonlinetv9757

    2003 na mimi nilikua nimetoka nyumbani nilikua naisha na baba mdogo nili kidato 3

  • @adammayogho300
    @adammayogho300 Před 19 dny

    Ufanye featuring

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 21 dnem +1

    👊👍✌️.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 18 dny

    Karud kweny game😊😊😊

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před 20 dny +1

    Alf afyaa sio poaa

  • @mbavucomedy
    @mbavucomedy Před 20 dny +1

    Ety decimal ngap 😂😂😂😂

  • @TausAbasi-jf2xx
    @TausAbasi-jf2xx Před 21 dnem +1

    Disiko umeenda kwa sira ya pombe 😅😅😅

  • @kavisheonline2418
    @kavisheonline2418 Před 20 dny

    Unaraisisha mambo... mambo yasiwe mengi😅

  • @SamsonSony-yc3iz
    @SamsonSony-yc3iz Před 21 dnem +1

    Una mshifti😂😂

  • @abelhilonga1095
    @abelhilonga1095 Před 16 dny

    Mbuluu mpooo

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 Před 21 dnem +1

    Goma linaanza yy yanga ww simba😂😂😂

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před 21 dnem +5

    Uyu jmaa mpaka Leo sjaelew kwann anatrend anae jua anidokeze jamn

    • @erickmbilinyi2056
      @erickmbilinyi2056 Před 20 dny

      Click zake zilizofanya vizuri kwenye kazi zake za zaman nizimeanza kurudishwa recycling (nacheka laki naogopa), (mtanga mambo yakuniongezeu bili shit)

  • @erickmbilinyi2056
    @erickmbilinyi2056 Před 20 dny +1

    Savco shakamshubebe 😂😂😂

  • @user-yz1is3fi9h
    @user-yz1is3fi9h Před 20 dny

    Minywele sehem zisizo julikana

  • @erickmbilinyi2056
    @erickmbilinyi2056 Před 20 dny +1

    Bamba kwakwenda mbele

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 Před 21 dnem +1

    😂😂😂heeeee ananisikia

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Před 21 dnem +1

    😀😀😀😀😀😀

  • @yasiniselemani8672
    @yasiniselemani8672 Před 21 dnem +1

    .😅😅😅😅unamshifti

  • @johnngollo
    @johnngollo Před 21 dnem

    ONA NGUMI ZILIVYOPIGWA BUNGENI LINK HAPO CHINI

  • @assenganews9435
    @assenganews9435 Před 21 dnem +1

    😂😂😂

  • @suleimanrashid9393
    @suleimanrashid9393 Před 21 dnem

    Miaka ya elfu mbili then anasema alikuwa ana miaka 18🤔🤔🤔

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 Před 21 dnem

      Simiaka ya uigizaji au ni umri wake?

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 Před 17 dny

    Usimfoso mchumbi

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před 21 dnem

    😂😂😂😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 21 dnem

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @elymollel
    @elymollel Před 21 dnem

    Kwenye umri kama vile katupiga na kitu kizito, namkumbuka vzr toka nikiwa dogo.

  • @henrickmhule8895
    @henrickmhule8895 Před 20 dny +1

    😂😂😂😂😂Ila huyu jamaaa kuna vitu anaongea kama masihara ila ni vya muhimu sana kwenye maisha..
    "mbona ukiwahi hakuna kinachoendelea" 😂😂😂😂😂😂

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg Před 21 dnem

    Mtangazaji kama ujui kibisa basi we ni wa 2000 sisi wa 88 tunajua, henzi ya ngongoti na kijeba.

    • @vidovidox2632
      @vidovidox2632 Před 21 dnem

      Sio wa 2000 lakini Sijui yote wewe unayejua yote Hongera

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 21 dnem

      ​@@vidovidox2632vido usikasilike bwana😂😂😂