HANSTONE AFUNGUKA A-Z SABABU ZA KUJIONDOA WCB WASAFI! | NILIKOSA AMANI! | KUANDIKIA NYIMBO ZA WASAFi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • HANSTONE AFUNGUKA A-Z SABABU ZA KUJIONDOA WCB WASAFI! | NILIKOSA AMANI! | KUANDIKIA NYIMBO ZA WASAFi

Komentáře • 118

  • @bmbprocess2362
    @bmbprocess2362 Před 4 měsíci +7

    My favorite artist from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-jq1ny9lx4e
    @user-jq1ny9lx4e Před 4 měsíci +8

    This man is dangerous ,i encourage any one ainvest kwa huyu kijana anashauku kuonyesha umma uwezo wake anajua sana sana

  • @nyweleboy2832
    @nyweleboy2832 Před 4 měsíci +4

    Sijakuona siku nyingi adamu kumbe udingiiii tayari ushatukumba kaka one love

  • @shamsally6277
    @shamsally6277 Před 4 měsíci +3

    Good interview shout out,..goodboy hanstone usivunjike moyo kaka

  • @toneboytz6655
    @toneboytz6655 Před 4 měsíci +7

    Hanston nakubal san ❤❤❤🎉

  • @yasser_yosa255
    @yasser_yosa255 Před 4 měsíci +2

    Anaweza sana Wachia mangoma uone mwenetu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 4 měsíci +10

    Hanstone ana kitu kikubwa.. avumilie kama Jay melody.. his time is coming.. namtabiria makubwa.

  • @Cu_ltu_re
    @Cu_ltu_re Před 4 měsíci +3

    For the first ni ngumu kuzingatia mkataba the time unatoka mavumbini mtaani huna shilingi mia and you want the platform maybe second time 🎯

  • @online2288
    @online2288 Před 4 měsíci +4

    Ilikuwa bado mda wakutanganza ivyo ni vipimo vya watu kujua kama unauvumilivu mbn wengine wanaenda ma wengi kiliko wanao lalamila

  • @MJB-Africa
    @MJB-Africa Před 4 měsíci +3

    Focus,focus, focus

  • @Djugaripro
    @Djugaripro Před 4 měsíci +6

    sasa kuna ile mtu umemsumea mkata ukishamuelezea mkataba unasemaje ataona kama umatakihi liziki bongo sio watu wazuli yakishamkuta ya mkumkuta ndo anakumbuka

  • @kizzasadamj629
    @kizzasadamj629 Před 4 měsíci +4

    😂😂 alikua amesainia au alikua ameletwa kwanza aagalie kama anauezo😂😂
    Huyu kuna kitu kaficha😂😂

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 Před 4 měsíci +6

    Huyu asingefika popote Bora WCB walivomtema,angewasumbuwa sana discipline yake ipo chini sana ,huyu ndio wale shida ake asaidiwe alafu avimbe baadae sio wa kujuwa jinsi alivosaidiwa kutoboa

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto Před 3 měsíci

      Ashawahi kukuvunjia despline KWa style yeyote??

  • @silabtechnology
    @silabtechnology Před 4 měsíci +2

    Kwaio Toka ametoka io 2021 vp ameshatoboa au ameshatoa hits

    • @wizzykada9850
      @wizzykada9850 Před 4 měsíci

      Aliamia kutulia aondokane na Ile stress Nd maan hata interviews hakuzitafuta Kwa MDA ule

    • @svt3
      @svt3 Před 4 měsíci

      ​@@wizzykada9850Aston ni Rubby wa kiume na ni Q chief mtarajiwa

  • @radikallambo491
    @radikallambo491 Před 4 měsíci +4

    Bangi Zinamtesa

  • @napster2558
    @napster2558 Před 4 měsíci +2

    Nidhamu mtu wangu😂😂

  • @saidowsaidon4625
    @saidowsaidon4625 Před 4 měsíci +2

    Wasanii wote wa WSB wakisania ndo mda ule unatambulishwa kwa wew mbna ni tofauti huo itakua ni uongo😢😢😢

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Před 4 měsíci +21

    Hawa WCB wanachungulia nyota wakiona atafunika mtoto wao unavutwa unafyonzwa unatupwa

    • @wazinzatv3152
      @wazinzatv3152 Před 4 měsíci +2

      Mhhh😮

    • @MwinyidadiJuma-jl4gm
      @MwinyidadiJuma-jl4gm Před 4 měsíci +4

      Akili zako za usiku

    • @nasibuomary7981
      @nasibuomary7981 Před 4 měsíci +1

      Acha kuongea pumba ww hujitambui! WCB wanamtoto kusema kunifika mtoto wao? Wanachoangalia kipaji na uwezo...kuna wasanii wangapi pale mbn huwazi kama watafunikana? Kila MTU na nafac yake watu wanahitaji kuingiza pesa tu kupitia kipaji chako maswala ya nyota usenge huo acha ujinga bhn!

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 4 měsíci

      @@MwinyidadiJuma-jl4gm😂😂😂😂 na zako za asubui

    • @solomonadams6337
      @solomonadams6337 Před 4 měsíci

      you mean Zuchuuuuh¿

  • @josephmakuri5724
    @josephmakuri5724 Před 4 měsíci +8

    Kuna watu wanafanya kazi miaka mitano hawalipwi lakini leo wametoboa

    • @salessliquor9519
      @salessliquor9519 Před 4 měsíci +2

      Sasa miaka hiyo na familia zetu na maendeleo binafsi inakuaje kaka si mtakufa njaa

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar Před 4 měsíci

      Wewe Umekaa Miaka Mingapi Bira Kulipwa Embu Tuambie Mana Usiongee Tu Kama Shabiki Wa Wcb

    • @josephmakuri5724
      @josephmakuri5724 Před 4 měsíci +2

      @@salessliquor9519 kipimo cha maisha ni uvumilivu bro hakuna mafanikio yanayopatikana kirahisi keep it in your mind 🤨

    • @josephmakuri5724
      @josephmakuri5724 Před 4 měsíci +2

      @@officiallnobystar sijui hata nikujibu nini kwasababu kwa muonekano tu unaonekana wewe sio hasira ila bado hujapitia zile changamoto ngumu za maisha ukatamani hata ufe so nikikujibu ntakuwa nimekupa kitu cha ziada ambacho sio hata uwezo wako 🤔UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA WEWE ZAKO TIA MAJI 🤫LEARN.....

  • @jobizzotv2415
    @jobizzotv2415 Před 4 měsíci

    Ila wabongo Wana penda sana kuua ukweli na kuukuza uongo kua kweli..... stone boy ni kati ya ukweli 🎉

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md Před 4 měsíci +5

    Mtoto wakike unatakiwa urelax kidogo, unaingia kwenye kila anaeongea kuna kasauti chako kikali sana. Vizuri uelewe kuna vidume vitatu apo vinaongea just take your time sis. Relax 👋

    • @Jonathanmakhubela-kb6lz
      @Jonathanmakhubela-kb6lz Před 4 měsíci +1

      stop shit ameekwa kwa hilo wewe sio mwalimu wa waandishi wa habari wewe ni mtu tu na bando lake..
      😀😀

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před 4 měsíci

      Mina ally Ni mtangazaji mzuri kuriko ata ware wanawke

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před 4 měsíci

      Mina ally Ni mtangazaji mzuri Sana kuriko ata hao wanaume

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před 4 měsíci

      Na ikumbukwe mina Yuko kazini usirete mambo ya ushamba kishamba razima aongeye usimpangie

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDA Před 4 měsíci +4

    Mbn kama hajui anachojibu uyu dogo 😂😂😂😂

    • @ben_digital
      @ben_digital Před 4 měsíci

      Kuna vitu anakwepesha kuviongea

  • @arjunaking5595
    @arjunaking5595 Před 4 měsíci +2

    asee mbn jamaa wanauliza maswali ya kigombanishi

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 4 měsíci +8

    Nidhamu ni kitu muhimu katika kila kitu.kijana yuko sawa sema yuko na haraka kutoka.Awe mvumilivu tu bila hivyo atapotea.

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 4 měsíci +2

      Hiyo ndio shida yavijana wengi wasasa hat maofisn wapo mtu akifanya kaz mwaka tu anatak amilik nyumba gar n.k.

  • @lobistyprecoz4440
    @lobistyprecoz4440 Před 4 měsíci +5

    Uyu mtoto yupo vzr kuliko yule mwimba singer

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 Před 4 měsíci +2

      Lakini mwimba singeli anajina kuliko yeye,Ni watu tu walimdanganya kimoyoni anajutia maamuzi yake,Mziki bila hela hakuna kitu

    • @ricklandennis
      @ricklandennis Před 4 měsíci

      Ana jina je ana hela​@@frankngoloka2589

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 4 měsíci

      @@frankngoloka2589chono wana man leo mbna anatamba acha uwongo ww kipaji tu

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 Před 4 měsíci +1

    Kipaji unacho lkn WCB Ni kama Shule...kuna vitu ulikuwa umekosa kwny mziki so walitaka uwe Sawa kwny vipengele muhimu vya uimbaji then ndo wakutoe ....sio Leo wakutangaze unatoa heatsong 1 ndo BC Tena unatoa maboko...kiufupi ni lazima UPIKWE utengenezwe vzr uiveeee!

    • @rpynoel566
      @rpynoel566 Před 18 dny

      Sasa dvoice mbona Hana hata hit song moja

  • @kizzasadamj629
    @kizzasadamj629 Před 4 měsíci +2

    Na alijuaje vitu muhimu vyiko page gani kama hakupitia mukataba woote😂😂😂
    Clouds hivyo ndo munavyotaka wakia wanaponda WCB😂😂

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 4 měsíci +1

    Pole hans mungu atakukuongoza

  • @ndarnationsoundtz
    @ndarnationsoundtz Před 4 měsíci +2

    Nyie amna akili wote apo machoko tuu asa wavuta banging et ndo watangazaji

  • @mariajumaaa
    @mariajumaaa Před 4 měsíci +5

    bongo hapa wasani wa generation hii wanajua afu watu awawapi nafasi ni hanstone na ivorange

    • @Mhinaog
      @Mhinaog Před 4 měsíci +1

      Kabisa Ivorange ni noma

    • @neemacute
      @neemacute Před 4 měsíci

      ivorange alie imba nimekumis nae yuko moto sana

    • @neemacute
      @neemacute Před 4 měsíci

      kuna wasanii kama ao hanstone,Ivorange akina vanilla wakipewa nafasi na wafanzania kuna vipaji vikubwa vitaonekana

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před 4 měsíci +4

    Ww ulindwa uvumilivu bro, Leo ungekua Tajiri

    • @user-mb3xq1do3s
      @user-mb3xq1do3s Před 4 měsíci +1

      Miaka mitatu?

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 Před 4 měsíci

      @@user-mb3xq1do3s 2019 had 2021 sio miaka mitatu. just imag6 2019 mwezi wa 12 had 2021 mwezi wa kwanza ni mwaka mmoja tu. So hyo isikuchanganye. Na miaka mitatu sio Mingi kwa pale WCB , harmonize alisubr miaka mitatu leo ni namba mbl nchini Rayvany leo ni namba tatu kama sio nne, Waliowatanguliwa wapo wapi??

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 4 měsíci

      Lava lava Tajiri queen Doreen Tajiri? Acheni kujidanganya

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 Před 4 měsíci +1

      @@FahadAbubakari Sasa huoni huyu hanstone ana kipaji kuliko wao,?? Utamfananisha Hanstone na queen darling??

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Před 4 měsíci

      Zuchu alikua miaka minne​@@user-mb3xq1do3s

  • @swahilifoodtz6446
    @swahilifoodtz6446 Před 4 měsíci +2

    Muongo uyo kabisaa

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 Před 4 měsíci +2

    Sasa kijana anasema alikuwa hajaliwi kwamb it's means aliona anacheleweshwa kwan sahiz anapata nini😂😂😂😂

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar Před 4 měsíci

      Alijitoa Aishi Kwa Amani Tu Sio Hivyo Unavyo Fikilia Na Usiombe Ukae Sehemu Ina Pesa Alafu Wakuombe Pesa Useme Una Apo Utajua Ujui

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 Před 4 měsíci +2

    Ttz vijana tunayachukulia poa Sana mafanikio...mafanikio hayaji kwa haraka km Unavyotaka ikitokea n bahat 2 Mipango ya Allah! Mwenzio Zuchu amekaa miaka mingapi mpaka kutolewa? Wa2 mpaka wameona kipaji chako na wakakuhitaji kibiashara maanayake wap wenyew wanahitaji ufanikiwe na wap wapate pesa...so hawakuwa wajinga.

  • @online2288
    @online2288 Před 4 měsíci +2

    Haston akuwa na uvumilivu

  • @JoshuaNakonje
    @JoshuaNakonje Před 4 měsíci +2

    Azikiwe bila nidhamu uwezi finally popote

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 Před 4 měsíci

      Kupoteza muda pia ni ukosefu wa nidhamu, so yeye ananidhamu

  • @MateiPs-kr9tg
    @MateiPs-kr9tg Před 4 měsíci

    Hanston ile ngoma na abbah vp imeishia wap?

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 4 měsíci +1

    Kipaji unacho arakini ungevumiria mbona ibula amekaa kond geng kwakuvumiria,kipaji unamzidi ata dvoice sema ,ndo hivyo haraka zako, na saivi ndo hutasikika kabisa Kama mavoko na wengineo

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto Před 3 měsíci

      Ibrah ni ibrah na hans ni Hans halafu njia ziko tofauti za mafanikio ya MTU pia,,sio alichopitia Ibrah lazima na hanstone apitie inabidi utambue hiko pia

  • @amanichidyboy2900
    @amanichidyboy2900 Před 4 měsíci +2

    Tunapenda mdogo wetu

  • @Jostany
    @Jostany Před 4 měsíci +4

    Msieke comment za kumkandamiza Jamaa
    Muziki una mambo mengi

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 4 měsíci

      Sio muzk tu maisha kiujumla shida ni nyingi kuliko urahis muhim kuvumilia nakutafta namna yakutatua ila wengi tunajiangalia sisi tu

    • @svt3
      @svt3 Před 4 měsíci +1

      @Jostany sio music tu maisha kwa ujumla ina mambo mengi ila nidhamu na uvumilivu vinahitajika saaana

  • @zeelamaokoto001
    @zeelamaokoto001 Před 4 měsíci +1

    KAKA ANGEBAKI KWA ABBA NOW ANGEKUA MNYAMA SANA

  • @neziajoseph9726
    @neziajoseph9726 Před 4 měsíci +1

    Kama unataka kujua ukweli zaidi basi muulize Rich Mavoko namaanisha aulizwe msanii anayetoka nje ya wbc kuingia pale... jamaa Wana roho mbaya sana

    • @subo2667
      @subo2667 Před 4 měsíci

      We ulivyoongea naye alikwambiaje,,?

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Před 4 měsíci +3

    UkisikilizA vizuri utagundua hana adabu

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před 4 měsíci

      Nyinyi ndo wakanda mizaji mnauwa vopaji kwa wivuuu

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar Před 4 měsíci

      Acha Vivu Kk Wewe Unaweza Kaa Undel Sehemu Bila Malipo Ya Kujikimu Kidogo Ama Unakurupuka Kusema Kwasababu Ndio Team Wcb

  • @yasser_yosa255
    @yasser_yosa255 Před 4 měsíci

    Wcb wananyonya nyota

  • @Abby_Shawn_KE
    @Abby_Shawn_KE Před 9 dny

    😂 Muziki waleo bila ibilisi hutoboi bro, damu yako ilikataa wewe kuungwa kwenye Frimasoni zao ndio maana ukawa outnumbered pale,. Kama wakina SAJNA wapo beji wewe nani njoo tulime

  • @user-op1hc2ds8y
    @user-op1hc2ds8y Před 4 měsíci

    ARV Badala ya VAR😂😂😂

  • @GastonMkinga
    @GastonMkinga Před 4 měsíci

    Amn k2 apo

  • @arjunaking5595
    @arjunaking5595 Před 4 měsíci

    zuchu kakaaa miakaa sabaa

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před 4 měsíci

    Shida ya adam ni bangiii

  • @user-sz8ic2tm7n
    @user-sz8ic2tm7n Před 4 měsíci +4

    Huyu dogo kuna kitu anavuta km si unga bangi

  • @MohamedChenge
    @MohamedChenge Před 4 měsíci

    Hawa ndiomaana wanapuyanga , yaani majigambo ndo yanawakost

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 4 měsíci

    Huyu mtoto anakipaji Sana

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 4 měsíci

      Kipaji bila uvumilivu haisaidii hat huk maofisin kun miez yakuangaliw utendaj wak na utakuta wataokuchukia na watakaokupenda ww ndio ujue utaish nao vp akili kichwan mwako.

  • @Platwhite_Tz
    @Platwhite_Tz Před 4 měsíci

    Hakuna maisha mazuri bila uvumilivu usha feli kaka😅

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d Před 4 měsíci

    WCB ni taasisi kubwa, hawawezi tu wakutambulishe kumbe vile ni mtu wa tamaa, adabu yako mbaya, na hivyo ndivyo vijana wa siku hizi hawana.. kiufupi huyu HASTONE alikosa uvumilivu wa kukaa pale

  • @MarkSulle-yg5lt
    @MarkSulle-yg5lt Před 4 měsíci +1

    Me mtu mmoja aje anambie tu iyo background ni wimbo gani huo tafadhali

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 4 měsíci

    Hans unakula unamoka

  • @kizzasadamj629
    @kizzasadamj629 Před 4 měsíci +1

    1. Amesema hakupea chochote chakujikimu mbona D-voice alipea?
    2. Amesema aliandika nyimbo nyingi lakin hazikutolea, D-voice aliadika 30 songs lakin zilichagulia mbiri tu.
    Watu wigine mjaribu kukubari kwamba bahati haitokee kila wakati.
    Eti kibonge ilikua hiti song😂😂?

    • @wizzykada9850
      @wizzykada9850 Před 4 měsíci +2

      D voice miezi 6 kasainiwa Stone bway miaka mitatu sio riziki

  • @Bichukahassan
    @Bichukahassan Před 4 měsíci

    😂😂😂kwenda unaakili ww ujitambuiih bwenge ww ujuwi ata kuongeea yan usainiwe alafu ujuwi alikuwa anakusamamia duuh usiwe unaongea maana ujuwi unachafuwa lebo ya nasbu matako yako

  • @JoshuaNakonje
    @JoshuaNakonje Před 4 měsíci +3

    Maisha bila nidhamu uwezi fika popote

  • @ibthuutz
    @ibthuutz Před 4 měsíci

    Kijana anajua sana kuimba bt nidhamu yake ni ndogo!!!
    Media nazo zinajua kuvuruga asee!!!
    Shame on you Clouds!!!

  • @FawzaanMwemberi
    @FawzaanMwemberi Před 4 měsíci

    Inaonesha wcb awakumtaka au chuki binafs

  • @arnaldo7319
    @arnaldo7319 Před 4 měsíci +1

    WCB hawana kosa lolote,ila hanstone kakosa kuwa na suubira kwasababu kwake yeye anajiona ni star, kwaio kuto kua na jero mfkoni ni shita, chapa kazi utafika unaptaka, ila anakiburi sana swala la kwamba mama na mtoto wake ilo swala limekaa kijeuri sana

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před 4 měsíci +1

      Wcb jauuu wa binafii waleee chiziii weee adi uwe mramba lipsii

    • @arnaldo7319
      @arnaldo7319 Před 4 měsíci

      @@RomanMwinyi inawezekana sitaki kuamini wala kukubali kwasababu siwajui kiundani, ila Hanstone inabidi awe smart ajuwe kuongea vizuri maana ana kaujeri flani ambao utamwaribia kiasi flani na watu wengine kuogopa kumsaidia

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 4 měsíci

      wewe akuna asiye iuju WcB wale wanamabo ya kiwaki

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 4 měsíci

      @@arnaldo7319fatilia kwangwaru ilivyo kashootiwa utapata jibu kwann harmonize aliamua kusepa

    • @nelsonnyizi9798
      @nelsonnyizi9798 Před 4 měsíci

      Ndo apambane atoke sasa maneno hayata msaidia