"CONFIDENCE YA MWANAUME NI PESA, RAIS ATUPE WIZARA ITAKAYODILI NA JINSIA YA KIUME" MSAMBATAVANGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024

Komentáře • 106

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 Před 21 dnem +4

    Huyu mama ni very smart, hongera kwako mbunge kwa kazi nzuri 👍

  • @claudshuya3243
    @claudshuya3243 Před 21 dnem +6

    Hongera mama hayo ni maono kutoka kwamwenyezi mungu

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x Před 21 dnem +8

    wanaume mmeona mnatetewa na mwanamke 😢😢daah hongera mama

  • @amosmakabara3024
    @amosmakabara3024 Před 21 dnem +6

    Huyu Kigwangalla nae vp tukubaliane tu kwamba sisi hatufanyi kwa sera ya taifa tunafanya tu kusapoti walichoanzisha ndugu zetu wa ughaibuni ila ukirudi kwenye uhalisia 50/50 itakaaje kwenye nyumba japo ni nje ya mada lakini ni mule mule litafaa nn taifa lenye wanawake bila wanaume imara? Hongera sana msambatavangu

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 Před 21 dnem +3

    Huyu mama hatumtetei ila anafikiri nje ya box. Sio wa kukaririshwa. Hongera

  • @austorb.nyondo2708
    @austorb.nyondo2708 Před 21 dnem +8

    Naona idadi kubwa ya wanaume bungeni hawajui kuwa wao ni wanaume na vichwa vya taifa ndio maana hawaoni ujinga ulioko kwenye vipaymbele kwenye wizara hii. Na wanasababisha watu waendelee kusema na kuimba nani kama mama

    • @Az__2012
      @Az__2012 Před 21 dnem

      Ni ubinafsi ndo unawasumbua,, mtu akishapata yeye hana mda wa kufikiria wengine

    • @amosmakabara3024
      @amosmakabara3024 Před 20 dny

      Wengi hawana cha zaidi cha kufikiria bora wanapewa posho za kila siku kifupi hawana maono yoyote

  • @nankalavahamisi6697
    @nankalavahamisi6697 Před 21 dnem +5

    Wanaume wanapiga makofi badala ya kuchangia

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x Před 21 dnem +5

    huyu mama🙌🙌 anaongea point

  • @EliudNgonya
    @EliudNgonya Před 18 dny +2

    Huyu mam apewe hii wizara jmn cz yupo na hoja nzuri sana

  • @athumanimtamatale
    @athumanimtamatale Před 21 dnem +4

    Wanaume tumepata mama wa kweli,huyu mama ni mtetezi wa wanaume

  • @mobilebeats3086
    @mobilebeats3086 Před 20 dny +2

    Very bright huyu mama

  • @vitariamgimba7447
    @vitariamgimba7447 Před 19 dny +1

    Wewe mama mungu akulinde Kwa maaono Yako, ila amlinde mama Samia Rais wetu inshallah.

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Před 18 dny +1

    Bonge la Speech 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Před 21 dnem +7

    Makofi mengi sana kwako mh mbunge,na ndio maana ya usawa

  • @adamjlukas1696
    @adamjlukas1696 Před 21 dnem +3

    barikiwa sana mama kwautetezi

  • @kevinkatima4975
    @kevinkatima4975 Před 21 dnem +1

    AWAKENING,

  • @kulishaandry5730
    @kulishaandry5730 Před 21 dnem +2

    Mh. Jesca anatufaa, ikiwa Mh. Rais itampendeza kuunda wizara ya Ustawi na Maendeleo ya Wanaume.... Mama anatufaa sana, tangu ameingia mjengoni ni Mbunge anaewakingia kifua jinsia ya kiume,....
    Usawa wa kijinsia uwe chachu, utolewe bila kubagua makundi bali vipaumbele iwe ni kwa jinsia zote.

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana7974 Před 21 dnem +3

    Huyu mama ana akili sana

  • @wahabisambali37
    @wahabisambali37 Před 21 dnem +2

    Nimekubali mama your very bright

  • @batonbernald9164
    @batonbernald9164 Před 21 dnem +3

    Very strong speech

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Před 19 dny

    Wanawake mnataka 50/50 ukiangalia hata kwenye umbaji nilama mnamuambia Mungu kama kasosea mnamlekebisha

  • @IreneKitaa
    @IreneKitaa Před 21 dnem +2

    MUNGU akubariki sana wewe Dada.

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 21 dnem +2

    Serikali inaiga uzungu kutetea wanawake tu ila wanaume wanaachwa nyuma wapambane wenyewe. Mwisho wa siku serikali itasapoti ushoga kuunga mkono mizungu

  • @user-ss6ey3ge1d
    @user-ss6ey3ge1d Před 21 dnem +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 chukua mauwa yako mama umesema ukweli aswaaaa

  • @rozaliamwangwembe7115
    @rozaliamwangwembe7115 Před 21 dnem +1

    Jescar mama yangu pokea maua yako umenisemea sana. Ishi sana mh.

  • @emmanuelnyina1789
    @emmanuelnyina1789 Před 21 dnem +3

    Huyo kigwangala tangu anyofolewe uwazir kashachanganyikiwa anataka sana uchawa huyooo kwa rais

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před 21 dnem +2

    Hili li kingwangwara ni li chiziiii na watoto wake wote ni wakike tupu

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Před 21 dnem +2

    Mh. Mbunge zinamtosha. Budget ya kuua wanaume umeikataa kwa hoja

  • @hancemagembe6260
    @hancemagembe6260 Před 21 dnem +2

    Huyu mama anywe pespsi nakuja kulipa.

  • @JumaHamisi-iy2ei
    @JumaHamisi-iy2ei Před 19 dny

    Kweli huyu daktar n shag

  • @ganakoluxurylodge7663
    @ganakoluxurylodge7663 Před 21 dnem +1

    MITANO TENA FOR MADAM JESSICA

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 Před 17 dny

    Safi sanaa

  • @user-zw6hk9rl8d
    @user-zw6hk9rl8d Před 21 dnem

    Ubarikiwe sana mama, Mungu akupe wepesi katika maisha Yako na kazi yako na chochote unacho kifanya kisikilizwe Amen 🙏🤲👏👏👏

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Před 21 dnem +1

    Huyu jamaa nae 😂😂😂😂 enzi zangu ningesema kaa chini

  • @florianmsigwa
    @florianmsigwa Před 21 dnem +2

    Kigwangala jau

  • @HamisaShaban-zh2dp
    @HamisaShaban-zh2dp Před 21 dnem +1

    Nimekuerewa sana mueshimiwa

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 Před 17 dny

    Safi sanaaaaaaaaaaaaaa

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Před 21 dnem +3

    Huyu mbunge natamani awe waziri

  • @bonniegtmagabe2009
    @bonniegtmagabe2009 Před 19 dny

    Kigwangala anakatwa

  • @user-me3wn6ym3z
    @user-me3wn6ym3z Před 20 dny

    Kigwangara mbona haeleweki ana shida gan

  • @jamesmutabazi2114
    @jamesmutabazi2114 Před 21 dnem +1

    Asante sana mama wambie

  • @bahatimtatah5680
    @bahatimtatah5680 Před 21 dnem +3

    Inamaana wabunge wanaume wameisoma lakini mkabaki kimya tu Hadi mwanamke ndo anawatetea ...

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Před 18 dny

    Kamumalizaaa duuh Taarifa imetoka sehemu ya mwanaume kingwalla Haibu yake

  • @zakiaramadhan8284
    @zakiaramadhan8284 Před 19 dny

    Mama ni mama

  • @husseinmsuya4353
    @husseinmsuya4353 Před 19 dny

    Mama umeongea point sana nakuunga mkono 100

  • @sideKissinja-mj5bo
    @sideKissinja-mj5bo Před 18 dny

    🔥🔥🔥🔥

  • @user-bi3ky7vy2q
    @user-bi3ky7vy2q Před 16 dny

    Taarifa yake siipokei na nashangaa inatoka kwa mwanaume tena daktari:)

  • @hamzamfyagidzi6344
    @hamzamfyagidzi6344 Před 21 dnem +2

    Huyu mama apewe maua yake🎉

  • @UkengeBungara-je7tl
    @UkengeBungara-je7tl Před 21 dnem +1

    Kweli muheshimiwa wanawake wanapendelewa

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 Před 19 dny

    Mhe Jesca, Mungu akubariki.

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 21 dnem +1

    Hv kigwangwala ni doctor 😢?

  • @GloriaPaul-jz8tx
    @GloriaPaul-jz8tx Před 8 dny

    genious

  • @user-qy9qb9ul9z
    @user-qy9qb9ul9z Před 19 dny

    Kigwangwara ask ki zake jamani

  • @ombengodbless4708
    @ombengodbless4708 Před 18 dny

    Kingala aibu mama kakuzarauuuuu

  • @wanyalugendo4776
    @wanyalugendo4776 Před 20 dny

    Huyu mwanamke sijui ni mpe Nini, kula 100$

  • @angelabanzi8253
    @angelabanzi8253 Před 20 dny

    Hongera Mh, maneno mazito hayo

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 18 dny

    HIYO NDIO MIPANGO YA KUTENGENEZA SINGLE MOTHER

  • @ombengodbless4708
    @ombengodbless4708 Před 18 dny

    Uyu mama ni kina kingwangala kumi na na mbili

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 Před 21 dnem +2

    Hawa ndio viongozi sahii au munger sahii sio wabunge vilaza wanapoga tuu mabench hawajielewi kama baaazi yamawaziri

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 21 dnem +1

    Safi san be blessed naamin ipo cku haki itatendeka...Na huo mpango kazi waufanyie kazi c waandik kiini macho...kingwala umeyumba hapo...bas mbona hakun balance na kama wameshindwa kubalance bas ingekuwa ata 70/30

  • @jeremiakyomola4413
    @jeremiakyomola4413 Před 20 dny

    hongera Mhe. jesca

  • @user-qg3bw3gc9l
    @user-qg3bw3gc9l Před 21 dnem +1

    Safiiiiiiii,

  • @C.Ltv1
    @C.Ltv1 Před 20 dny

    Hongera saba mama Mungu anajua alipokutoaaa

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t Před 19 dny

    Na ndo maana madharau yamekua mengi kwa wanawake kwa sababu wao wanaamini wanaweza wenyewe bila mwanaume nasi tunaamua kuwaacha walee watoto wenyewe

  • @badruhote4607
    @badruhote4607 Před 21 dnem +1

    Mama umeongea katikati🤝

  • @hancemagembe6260
    @hancemagembe6260 Před 21 dnem +1

    Huyu kigwangala hafai kabisa

  • @mariamwiston
    @mariamwiston Před 21 dnem +3

    Upo vizuri mama, huwa unamadiniii sanaa

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Před 21 dnem +1

    Mama anaakili

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 21 dnem

    Inatia huruma sana kwa wanaume hii kauli alitakiwa kutoa mmbunge wa kiume

  • @richardmrosso976
    @richardmrosso976 Před 21 dnem

    Waziri aiwezi wizara ajiuzulu

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 Před 21 dnem

    Huyu Hamis Kigwangala mwangalieni kwa makin hana hata kidebu ni peupe kama batox la mtoto abaki na ushoga wake mama kaongea point sana

  • @ericdaniels2608
    @ericdaniels2608 Před 21 dnem

    Safi sana mbunge 👏👏👏

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga5686 Před 13 dny

    Huyu mama ni mbunge sasa ana hoja

  • @claudshuya3243
    @claudshuya3243 Před 21 dnem +3

    Ni kweli mama sisi wanaume hatuna wakutusemea huko bungeni jamani sisi wanaume tuna kazi nzito yakusomesha

  • @JoyceWilliam-mz4dk
    @JoyceWilliam-mz4dk Před 21 dnem

    👏👏👏

  • @alibinjuma793
    @alibinjuma793 Před 21 dnem

    👏

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 21 dnem

    Upo vzr sana mama jesca

  • @user-cu4er9oy2q
    @user-cu4er9oy2q Před 20 dny

    Bela ulongite dada

  • @paulshayo4641
    @paulshayo4641 Před 21 dnem

    sharaut nyingi kwa mh mbunge wa iringa hakika kaonyesha utofauti wa kipekew sana na Yuko kupigania haki ya wananchi ubarikiwe mama hakika confidence ya mwanaume ni fedha mana mwanaume ni producer mwanamke ni consumer.

  • @robertmsigalla9259
    @robertmsigalla9259 Před 21 dnem

  • @user-it7he1pz5j
    @user-it7he1pz5j Před 21 dnem

    Akili nyingi hii

  • @saidomary8796
    @saidomary8796 Před 21 dnem

    Ndio maana mo alikata kumkopesha pikipiki Ile ajari hakili haijakaa sawa huyo

  • @ramadhanihamadi6304
    @ramadhanihamadi6304 Před 21 dnem

    Mama unajielewa sana

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Před 21 dnem

    MAMA UKO VIZURI SANA KWA KWELI
    YAANI USAGAJI NA KUTOLEANA HAMU KWA WANAWAKE YAANI WATU WANAKULA MPAKA Mkongo MKONGO YAANI NI BALAAAA KABISAAA

  • @vannymokoca358
    @vannymokoca358 Před 21 dnem

    Uyo jamaa wamakoti atakuwa ni mzungu uyu mumutizame vinzur

  • @robertmsigalla9259
    @robertmsigalla9259 Před 21 dnem

    Hapo umuhimu wanani kama mama

  • @saidomary8796
    @saidomary8796 Před 21 dnem

    Kigwangara analaki jambo

  • @sketchbabu
    @sketchbabu Před 21 dnem

    Sasa huyu Mama ndio Kiongozi wa kweli. Usawa ni usawa

  • @Az__2012
    @Az__2012 Před 21 dnem

    Huyu dingiii nani sijui kingwangula,,, aache bangi ,, hayo ni mambo ya kukariri vitabu. Ila ukiangalia mambo yanayo zunguka jamii kwa sasa, mwanaume kweli yupo kwenye huo muhanga,, na ukiwezesha jinsia moja ni kweli mwanaume hawezi kuwa na confidence kabisa.Hadi wanawake wamekubali hili sasa, alaf Kingwangula analeta ugumu! Wauniiii ,,tumtoe nini huyuuuu?😂

  • @hamzamfyagidzi6344
    @hamzamfyagidzi6344 Před 21 dnem

    Mchangiaji wahovyo huyu

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Před 21 dnem

    Discrimination

  • @zuhuraomary2782
    @zuhuraomary2782 Před 19 dny

    Huyu mama katisha kwakweli wanawake siku izi ndo watakua waoaji kutukana na masera ya kijinga

  • @albinimichael1342
    @albinimichael1342 Před 21 dnem +1

    Nilishasema siku moja mwanamke atatutetea wanaume na sasa nashuhudia hapa

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Před 21 dnem

    Mama hongera sana,umetuwakilisha vema.
    Ila pumzika kidogo maana naona kama goiter