Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo. Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️ Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
wewe msukuma kweli , hujamuelewa prof. msikilize tena vizuri. sio ujazo wa chakula kula ubora wa chakula , na aina yake. haya asbh uji, mchana ugali ,usiku wali/ugali tena kula kwa mwaka huku unalima au zaidi lazima mwaka unafuata unapiga hodi MNH unabisha endelea . na unachokilima kipo gharani halafu NHIF imeota miguu
Ni mawazo Yake na wewe unaweza changia. Lengo la msukuma siyo kupingana na janabi ila anajaribu kuconect swala la chanjo, madawa vyakula na kinywaji vinavyoingizwa inchini vifanyiwe utafiti.. wewe ndo hujamuelewa msukuma
Viwanda bubu ni vingi sbb Ya urahisi wake wa kutengeneza spirit na ladha ya chakula tu tayari pombe suala la kifo watu hawana huruma siku hizi,bora umewaeleza ukweli.
Hapo prof Janabi aliongelea hasa watu wa mjini lakini MTU WA kijijini .nchi za kiafrica tunaangalia fedha hao watakuja maliza watu eti wafadhili watu wa serikali wakisikia mradi wa Una fedha wapombele kukimbilia miradi u jinga
Msukuma mtani wangu Ukosawa. na hayo unayosema. Tatizo tunalo kubwa ni asilimia kubwa ya hao viongozi ni wanachama wa chama cha nchi za magharibi. Kwa hio wana tekeleza walio kubaliana ndani ya mikataba yao! Ujue msukuma hayo yanayo fanyika ni kwa rithaa ya mtu m'tu mmoja sio rithaa ya umma! Na utambue msukuma ni Mkoloni wa nchi za africa ni viongozi wa nchi za Africa!
Utafiti ni kitu muhimu na ukisubiri serikali ikutafitie utangoja sana na huenda utapitwa na wakati Kula kidogo hakuna madhara na kuna faida kubwa kiafya (one mill a day )na tutumie chakula kama dawa mboga mizizi na nafaka.
Msukuma we ni proffeser,madini unayoyatoa ni fire,sauti ya Magufuli ipo ndani tunaisikia big up
Uhakika babu
Msukuma Uko vizuri
Safi sana mh. Msukuma
Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
Msukuma. Allah akulinde. Maashaallah. Unajitambua sana
Wabheja sana nsukuma mwichane🎉🎉🎉love you 😍 ❤️ 💖
Daktari msukuma tumesha chelewa kaka ningumu Sana kwasasa
Tafti ya msukuma naikubari,, sarutttti
Mm mwenyewe namuelewa sana kwakweli Mr Janaby
Msukuma kwa hayo Mungu akubariki
Allah akuzidishie
Safi sana msukuma unatuwakirisha vyema
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo.
Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
Tusemee tusioweza kupaza sauti ikasikika.
Mwenye Sikio na asikie
❤❤
Hongera mh kasheku mtani wangu. Huwa nakukubali sana ndio wabunge ninao wataka waaina yako
Unawataka wewe kama nani ??
Asnt sana ubarikiwe
🎉huyu ndo msomi pekeee bungeni
Msukuma hoyeeee
Asante sana
Msukumu is very genius❤
Kiukweli wazungu wanaajenda mbaya sana kwetu tuaiposhituka tutakwisha hongera msukuma mungu azidi kukuongoza
Prof Janabi Said it Right! If you think it is a joke, Keep ignoring it as Ignorance is expensive than Education
Daaa! kwaupande waushoga watoto wetu wanangamia kwakweli bora hatamusukuma umesema
Ni kweli kaka chanjo zimezidi sanaa😢😢
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
Ndio lkn kwa kundi frani la wenye nacho hakuna faida kwa maskini kwa maelekezo yake
Msukuma ameeleweka kwa wenye akili kubwa tu, mafundisho ya Dr. ni general sana na yanatia hofu hata wasio husika! Awe mahususi!
@@judaspantaleo9779so kweli dada masikin hawez kosa maharage mboga za majani tena Mimi imenisaidia sanaa
Sanaaa
Dr janabi anafafanuw vzr kwa kila aina za watu na kazi zao vp waishi
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
Huyu jamaa jembe sana safi dah
Ndio shida yetu watalamu wetu hatwatumii , wazungu hawawezi kutupenda kama munavyokuwa munazani wataraamu amukeni .
Upo vizuri sana kweli
Huyu mzee n daktar kabsa
Wape ukweli chpsi mjini bwana,wakulima wapi na wapi
Unafaa kuwa waziri ❤❤
Sana ty
Mimi ni mpinzani ila msukuma kawapiga chini wasomi wa nchi hii maprofesa mpo tu mnapiga makofi bungeni.. Anahoja ya msingi.
Bunge limechangamkaaa fact kama hizi ndo tunazozihitajiii mtaani pagumu wakuu watu wako na hali ngumuuu😢🫶🏿
Tanga kuna watu bora sana,waaminifu sana,hawana tamaa, wataendelea kuchaguliwa kuwa viongozi wa nchi hii, ni watu sahihi. Amen
Hoja yako ya mahali inakujaje hapa
Yanga na Zanzibar tofauti yao ndoho Sana ubinafsi 😂😂😂
Mwamba huyu hapaaaa❤❤❤
Safiii
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️
Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
Safi.sana msukuma
Umenigusa sana kwenye swala la chanjo na kutahiri watu
Hata mimi aisee huyu jamaa ni mtu na nusu
Ila watu kama hawa ni kama hawathaminiwi, ila huyu kaka ni lulu kweli. Ameongea mambo kontu
Musukuma uko sawa, ila Janabi naye yuko byeee na elimu ya afya, muache atufun dishe afya
Hajamuelewa Prf. Janabi
❤❤❤❤❤
Mzee uyu yupo vzr
Aisee hii nimeipendaa..
😊😊
Naona wakevi mnakuwa wakali musuku kugusa pombe zenu.Mpaka mnamtukana,tena hizo pombe ziondolewe kabsa,hazina faida kabsa.
mimi ningekuwa mbunge nanipo bungeni ningeomba kiti changu kiwe karibu na msukuma😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤
Duuuu
We msukuma wee
Ni kweli kabisa lakini serikali,haichukui hatua hizo chajo ni nyingi muno
Wape vidongevyao
Hapoo chukua maua yakooo bila kificho umeongea vyema mnooo
Yaendelee kutolewa maelezo kwa kina juu ya madhara mbalimbali ya afya
Wewe ni Zaidi ya wabunge wote bungeni hongera sana upo vzr nchi inahitaji iwe na wakina msukuma Kama wewe mfike 100 tutafika mbaki
Msukuma ni msomi kweli kweli
Ni afadhali ya msukuma aliyesoma informal education
🎉
wewe msukuma kweli , hujamuelewa prof. msikilize tena vizuri. sio ujazo wa chakula kula ubora wa chakula , na aina yake. haya asbh uji, mchana ugali ,usiku wali/ugali tena kula kwa mwaka huku unalima au zaidi lazima mwaka unafuata unapiga hodi MNH unabisha endelea . na unachokilima kipo gharani halafu NHIF imeota miguu
Ni mawazo Yake na wewe unaweza changia. Lengo la msukuma siyo kupingana na janabi ila anajaribu kuconect swala la chanjo, madawa vyakula na kinywaji vinavyoingizwa inchini vifanyiwe utafiti.. wewe ndo hujamuelewa msukuma
😂😂😂 Msukuma oyeeeee
Viwanda bubu ni vingi sbb
Ya urahisi wake wa kutengeneza spirit na ladha ya chakula tu tayari pombe suala la kifo watu hawana huruma siku hizi,bora umewaeleza ukweli.
Kweli msukuma chanzo,na na hujo janabi hapana lazima tule tushibe na chanjo
Kweli mtani wangu tunakula na kunywa vitu vya hovyo sana siku izi yani magonjwa matupu
Kwa magufuli cooker hazikuepo alizifuta ndo viroba na double punch hz hzo
Ahsante sana maukuma.hizi chanjo zimezid balaa
Ushazingua 😂😂
Maukuma tena
😢
Yaani sasahivi watu tunaumwa magonjwa hayaeleweki!inasikitisha sana!
Huyo ni zaidi ya pr.
Wape msukuma😂
Taarifa 😅😮 Pombe 🍺 🤖 mteja 😂
Sema msuma
MSUKUMA HONGERA SANA. HIZI CHANJO NA POMBE ZIFANYIWE TAFITI
Msukuma ana akili sanaaaa
Kuku wa kisasa na mayai ya kisasa
Hilo nalo ni janga,kwa sababu dawa na sindano wanazolishwa hawa broilers na kukua kwa muda mfupi lazima mlaji utapata madhara.
Hiii nikweli kbs
Maziwa ndala😂😂😂😂
uuuwi na mbona Kuna sehemu zingine tunalipishwa mpaka mjamzito analipishwa kadi mtoto mfogo tunalipishwa
Hakika msukuma wewe ni mbunge wa taifa hakuna siku uliyofeli kwenye hoja za msingi, hongera kiongozi
akili kubwa
Kizazi cha sasa kimefunikwa uwezo wa kifikra kuweza kuchambua mambo ya kuambiwa..hivyo basi Miongozo iliyo bora inahitajika sana..
Msukuma yuko sawa! Misaada ya mabeberu ni ya kuogopa kama ukoma. Mingi ina masharti nyuma ya pazia inalenga matakwa yao ya kipepo!
sukuma 1
Musukuma na DP world oyeeeee
Huyu jamaa namkubali sasa
Ila huyu kaka jaman yuko vzur atafka mbali jaman kumbe dunia imekwsha hyo jaman TBS tusaidien tunakwsha😭😭
Hata mm nimekuwa na mashaka na hizi chanjo dawa ni sumu ndio maana unapewa kwa doz iweje chanjo inatolewa kwa msaragambo?
Hapo prof Janabi aliongelea hasa watu wa mjini lakini MTU WA kijijini .nchi za kiafrica tunaangalia fedha hao watakuja maliza watu eti wafadhili watu wa serikali wakisikia mradi wa Una fedha wapombele kukimbilia miradi u jinga
Acha kupoteza maana wewe prof:Janab anaeleza vitu vya ukweli.
Msukuma mbunge kula tano iyo ✊👊
Uyu msukuma siangekua President
Hizo ni agenda za utekezaji wa vizazi vyetu
Viongozi tunaomba msimamie uchunguzi ikiwezekana kuzuia kabisa
Kweli msukum ata rais samia mchaane,
Hv hawa sijui huwa wanajadili nn
Safi matiko
Wewe ndo progesq msukumq
Wazalendo wa taifa lao
Kadi zisipokuwepo hospital ,, watuwaandikiwe wapi huduma hizo? Kwani tunaziagiza haziji, mnatuhukum watoa huduma bure serikali Ilete kadi tukiagiza msd.
Chanjo zimezid
Msukuma mtani wangu Ukosawa. na hayo unayosema. Tatizo tunalo kubwa ni asilimia kubwa ya hao viongozi ni wanachama wa chama cha nchi za magharibi. Kwa hio wana tekeleza walio kubaliana ndani ya mikataba yao! Ujue msukuma hayo yanayo fanyika ni kwa rithaa ya mtu m'tu mmoja sio rithaa ya umma! Na utambue msukuma ni Mkoloni wa nchi za africa ni viongozi wa nchi za Africa!
Musukuma wewe nimtu muhimu sana kwenye hii nchi
Utafiti ni kitu muhimu na ukisubiri serikali ikutafitie utangoja sana na huenda utapitwa na wakati Kula kidogo hakuna madhara na kuna faida kubwa kiafya (one mill a day )na tutumie chakula kama dawa mboga mizizi na nafaka.
Mheshimiwa msukuma umegusa kipengele muhimu sana.