Mimi mzazi wangu, baba yangu kipindi cha korona biashara yake iliathiriwa sana akakuta anabakia na deni karibia bilioni. Haki nilikuwa nawasi wasi sana kama hatafanya maamuzi magumu, alikonda sana akaisha, mwingine alimchukua akamtishia akamuweka gerezani. Ila hakujiuwa alijitia moyo alikuwa anasikiliza wimbo wa Christina Shusho ‘Nashusha nyavu’ anacheza anafurahi. Nadhani ulimtia moyo sana, korona ilivyoisha akaanza tena biashara yake, leo amelipa madeni yake yote hadaiwi tena. Ananitia moyo sana kuwa jasiri katika magumu
Ni kweli kabisa. Watumishi wa Mungu wa mbinguni wanapitia matatizo mengi inabidi tuwaombee. Mungu awape faraja wote washirika wa dhehebu la Methodist pamoja na familia kwa ujumla.
Haiwezekani.Nashauri Uchunguzi ufanyike.huenda kashinikizwa nawauaji wake aandike hivyo kupoteza ushaidi.Tumieni akili.angetaka kujiua angejifungia ndani ili mtu asimsaidie, mlango kuwa wazi maana yake wauwaji waliondoka.
Lakini naomba kuuliza hivi Tanzania kuna namba /call centers ambazo mtu anaweza kupiga kama mtu akiwa na suicidal thoughts…?kwasabab damn💔…kama ipo naomba isambazwe mitandaoni itangazwe redion watu wajue wapi wana piga au kufika kama mtu ako na suicidal thoughts…case zinakuwa nyingi za watu kujiua
Kuna siri kubwa hapo kuna kunyongwa au kujinyonga baada ya kutenda dhambi na moyo wake ukamtuma ajihukumu badala ya kutubu ibilisi kafanya kazi yake ndani ya nyumba ya ibada Allah atupe mwisho mwema atupe ufahamu wa kina wa kuliendea kila jambo wala hapaswi kulaumiwa bali kuombewa tuu Mungu mwenyewe ndio ajuaye yaliomo nafsini mwetu😢😢😢
Kwa dini yetu ya kikristo mtu akijitoa uhainmwenyewe huyo hawezi kwenda peponi Bali ni kotoni moja Kwa moja Wala ibaada haiwezi kufanya juu yake huyo aliyejitoa uhai mwenyewe,zaid tumwombee Mungu amusamehe na ampunguzie na adhabu ya kaburi😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Kiimani hii ni hatari sana alafu ndani ya kanisa hiyo Roho ya kujinyonga isibakie ndan ya kanisa BWANA YESU KRISTO MUNGU MKUU na aiondoe isiwafuatilie na wengine Ameeeen
Hapana hii ni roho ya yuda iskalioti ni mbaya sana mbeba maona au kiongozi muonyesha Njia akionyesha Njia kama hii ni hatari maana yake shetan umemruhusu mwenyewe akushinde na umempa kiti chako akikalie ndio maana nimemuomba YESU KRISTO MUNGU MKUU AIFUTILIE MBALI HII ROHO isikalie Hilo kanisa ingekuwa nje na Hilo kanisa sawa sasa ndan ya kanisa maana yake kiti cha kiongozi kikaliwe na roho yamauti haitawezekana
Watu mwanishangaza sana rest in peace wakati bible yasema do not commit suicide... Mungu atusaidie tuskfie mahal pakujinyonga maan sku ya hukumu ghadhabu ztakua 2 in 1
Tunashukuru kwakutujua mengi Millard, ila kelele nyingi za muziki kwenye taarifa za matukio mara nyingi hazipendezi. Muwe mnaondoa hiyo muziki , haifai kwenye taarifa kama hizi
Serikahli ichunguze hili isiishie kuwa eti ameoacha ujumbe, binadamu siku hizi tumekuwa na roho mbaya sana hili lichunguzwe, washenzi wanaweza kumnyonga na kutengenez a mazingira kuwa kajinyonga
Sisi wakristo inabidi tumwamini Mwanae wa MUNGU Kristo peke yake hili atusaidie kuyavuka majaribu Na sote tujitahidi kuingia katika kanisa lake Makanisa ya watu hayana uwezo Mtu akisema ana kanisa lake hataweza kukabiliana na majaribu yanapomfikia Inabidi tufahamu kanisa la MUNGU na mwanae BWANA wetu Yesu Kristo kupitia Biblia Hili tuwe na amani moyoni na kuyashinda majaribu.
Waya gani wa sim.ulioweza kunyonga mwanaume mzima? Hili suala lichunguzwe vizuri japo hata likichunguzwa hawezi kurudi ila naamini amenyongwa na kutundikwa
Kweli kabisa waya wa simu hauwezi beba mwili wa mtu mzima inakuwaje mtu ajinyonge kwa shuka ishindikane aje ajiue kwa shuka huyo kalishwa sumu wakamtundika
Kama unabisha waya wa SIMU haukabi mtu Basi usiyakuze mambo Nenda kachukue ujitumdikenao tukuone Kama haufi! Kamba ya manila inaua Isiwe huo waya!? 👺🥺🤔
Kuna kitu kinawafuatilia ma askofu nchi hii maana wamekuwa tofauti sana na utume walioitiwa , wengine wanakuwa wazinzi ,wengine wanajiua yaani kiongozi wa kiimani akifika hatua hii kuna kundi kubwa sana la watu wenye imani changa wanarudu nyuma ama kuanguka kabisa.
Utitiri wa Makanisa nao Unachangia kuwepo jamii za ajabu ajabu Miongoni mwa Waumini wa Makanisa hayo !! Askofu wa Kanisa anajinyonga Je hao Waumini alikuwa anawaaminisha nn kabla ya hapo? Ni heri hawa Macommedy kama akina Hananja na Mgogo wana Makanisa ya Kitchen Party !!
Mimi mzazi wangu, baba yangu kipindi cha korona biashara yake iliathiriwa sana akakuta anabakia na deni karibia bilioni. Haki nilikuwa nawasi wasi sana kama hatafanya maamuzi magumu, alikonda sana akaisha, mwingine alimchukua akamtishia akamuweka gerezani. Ila hakujiuwa alijitia moyo alikuwa anasikiliza wimbo wa Christina Shusho ‘Nashusha nyavu’ anacheza anafurahi. Nadhani ulimtia moyo sana, korona ilivyoisha akaanza tena biashara yake, leo amelipa madeni yake yote hadaiwi tena. Ananitia moyo sana kuwa jasiri katika magumu
Baba Yuko vizuri
Sasa kama amelipa madeni yote amejinyonga kwanini sasa
@@daudiayubu4464 soma vizuri comment wewe acha kurukia kujibu.
@@daudiayubu4464Soma vizuri upya
Duh ninyi mna pesa kweli
Daaaa inauma sana kbs haswa kuskia kama nimu méthodiste wetu,w🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Millard Ayo wewe ni gwiji la mtangazaji kuwahi kutokea Tanzania aisee!! Stejini uko gado sana big up
unaweza sema kajinyonga kumbe kanyongwa ila tusi judge sio kaz yetu mbele za haki kitajulikana🙌🙌
Kweli
Anyongwe na waya ya simu???
kama yule Askofu kwenye pipa la maji lichunguzwe zaidi
Anaweza pia kunyongwa broo
Hata mm niwaza sana hapo
Naye ni binadamu kama sisi ana moyo kama wengine ana maumivu kama wengine.inabidi tuwaombee sana hawa watumishi wa Mungu wanapitia vitu vingi sanaa.
Ni kweli kabisa inabidi tuelewe kuwa watumishi wa Mungu ni wakuombea
Ni kweli kabisa. Watumishi wa Mungu wa mbinguni wanapitia matatizo mengi inabidi tuwaombee. Mungu awape faraja wote washirika wa dhehebu la Methodist pamoja na familia kwa ujumla.
Haiwezekani.Nashauri Uchunguzi ufanyike.huenda kashinikizwa nawauaji wake aandike hivyo kupoteza ushaidi.Tumieni akili.angetaka kujiua angejifungia ndani ili mtu asimsaidie, mlango kuwa wazi maana yake wauwaji waliondoka.
Lakini naomba kuuliza hivi Tanzania kuna namba /call centers ambazo mtu anaweza kupiga kama mtu akiwa na suicidal thoughts…?kwasabab damn💔…kama ipo naomba isambazwe mitandaoni itangazwe redion watu wajue wapi wana piga au kufika kama mtu ako na suicidal thoughts…case zinakuwa nyingi za watu kujiua
Kuna siri kubwa hapo kuna kunyongwa au kujinyonga baada ya kutenda dhambi na moyo wake ukamtuma ajihukumu badala ya kutubu ibilisi kafanya kazi yake ndani ya nyumba ya ibada Allah atupe mwisho mwema atupe ufahamu wa kina wa kuliendea kila jambo wala hapaswi kulaumiwa bali kuombewa tuu Mungu mwenyewe ndio ajuaye yaliomo nafsini mwetu😢😢😢
Hapa ndipo ubinadamu hujidhihirisha. R.I.P baba askofu na mtani wangu. Yote ni njia za kuihama hii dunia.
Aisee hii imenipa huzuni mno kuisahau siyo rahisi. Jamani nini hii....!!!?
R.I.P. ASKOFU JOSEPH M.BUNDALA
Kun'lu nafsi dhaa'iqatul mauti,, sote ni waja wa Allah na kwake ndio marejeo yetu Allah atupe mwisho mwema
Innalilahi wainnailahi rajiun
Huyu askofu inawezekana alikuwa na huruma sana kwa waamini wake, hakutaka kuwapelekea michango mingi ya kiimani.
Rest in peace Joseph Bundala mbele Ako nyuma yetu.
Mungu awasaidie wanaopitia magumu Mungu hajawai kushindwa vumilieni jitieni moyo katika kristo mtavuka salama
Kwamba waya wa cm unaweza kuhilimi uzito wa mtu kulko shuka la kimasai!?
Aisee pole sana kwa kanisa 😢
Uchunguzi ufanyike. Yawezeka kauwawa
Dah Joseph Bundala rest in peace. SOTE NI WANADAMU NA MAPITO YANATUPITIA WOTEEE😢😢😢😢
sio kauliwa kwel, kupoteza ushaid wakaweka waraka
RIP Ask BUNDALA . WAZAZI PIA POLENI, UMEACHA MAJONZI KWA JAMII HATUA HIYO YA KUONDOA UHAI IKEMEWE KABISA ISIJIRUDIE. MADENI MI MABAYA MNOO.
Jamani mwali wangu na mwalimu wa mdogo wangu tangu wadogo oooh
Duuu mungu atuokoe namabaya
Ni habari ambayo imetushituwa Wana ipagala wote mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Kwa dini yetu ya kikristo mtu akijitoa uhainmwenyewe huyo hawezi kwenda peponi Bali ni kotoni moja Kwa moja Wala ibaada haiwezi kufanya juu yake huyo aliyejitoa uhai mwenyewe,zaid tumwombee Mungu amusamehe na ampunguzie na adhabu ya kaburi😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Nihatari kwakweli inasikitisha sana
Mtahani kwetu
Pole Sanaa Hua napita hapo meliwa Niko nzuguni
Background noise inasumbua
😮😮😮 pole kwa familia
Hapa kuna shida mawazo yangu huyu kauwawa ila hukumu ya Mungu n haki Mungu hashindwi kitaonekana tu
Aliipenda Kaziyake Akaamua ajiue ndaniyakanisa ambapo ndipo anapofanyia kaziyake BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINALAKE....🤲🙏
Katika uaskofu wake wote wa miaka na kusoma biblia kote hakusoma andiko Hilo kuwa kujinyonga ni dhambi😢😢😢😢
Katika uaskofu wake wote wa miaka na kusoma biblia kote hakusoma andiko Hilo kuwa kujinyonga ni dhambi😢😢😢😢
@@FurahaPetro-ly8jc Kaamua kuvunja andiko! Jambo lakujiua Lina MENGI Wengine wanamalaziyao wanaogopa kutesekea DUNIANI
Askofu wangu aisee
QADARA za Allah zimeamua khatma yake !! Innallillah WA ihhna ihhlai rwajiun
Poleni wanafamilia
Kiimani hii ni hatari sana alafu ndani ya kanisa hiyo Roho ya kujinyonga isibakie ndan ya kanisa BWANA YESU KRISTO
MUNGU MKUU na aiondoe isiwafuatilie na wengine Ameeeen
Ila atakuwa kajinyonga Ili msamehewe dhambi zenu wanakanisa😢
Hapana hii ni roho ya yuda iskalioti ni mbaya sana mbeba maona au kiongozi muonyesha Njia akionyesha Njia kama hii ni hatari maana yake shetan umemruhusu mwenyewe akushinde na umempa kiti chako akikalie ndio maana nimemuomba YESU KRISTO MUNGU MKUU AIFUTILIE MBALI HII ROHO isikalie Hilo kanisa ingekuwa nje na Hilo kanisa sawa sasa ndan ya kanisa maana yake kiti cha kiongozi kikaliwe na roho yamauti haitawezekana
Rip mu méthodiste wetu😢😢
MENTAL HEALTH IS REAL!!!!???? SIO KILA MTU YUKO SAWA HATAKAMA NIMSHAURI AU KIONGOZI WA KIDINI
Exactly 💯
Watu mwanishangaza sana rest in peace wakati bible yasema do not commit suicide... Mungu atusaidie tuskfie mahal pakujinyonga maan sku ya hukumu ghadhabu ztakua 2 in 1
Mmhh!
Ndo kuwah mbingun au😭😭
Kuna magari elfu hio ndo lake😢
Sawa maisha yana changamoto lakini huko mbali
Tunashukuru kwakutujua mengi Millard, ila kelele nyingi za muziki kwenye taarifa za matukio mara nyingi hazipendezi. Muwe mnaondoa hiyo muziki , haifai kwenye taarifa kama hizi
Duhh hata mie toka nizaliwe sjawak kuskia askof kajinyonga
RIP
Du ila amekufa na dhambi ya kujiua!!, 2004 ulkuwa mkubwa mbona unaonekana bado mdogo!!!
MM nipo class 4
Pesa
waya wa simu ufungwe dirishani na unyoge mtu mpaka kufa? Haiingii akilini
Rip😭😭😭🙏
Serikahli ichunguze hili isiishie kuwa eti ameoacha ujumbe, binadamu siku hizi tumekuwa na roho mbaya sana hili lichunguzwe, washenzi wanaweza kumnyonga na kutengenez a mazingira kuwa kajinyonga
Uchunguzi ufanyike tafadhari
Sisi wakristo inabidi tumwamini Mwanae wa MUNGU
Kristo peke yake hili atusaidie kuyavuka majaribu
Na sote tujitahidi kuingia katika kanisa lake
Makanisa ya watu hayana uwezo
Mtu akisema ana kanisa lake hataweza kukabiliana na majaribu yanapomfikia
Inabidi tufahamu kanisa la MUNGU na mwanae BWANA wetu Yesu Kristo kupitia Biblia
Hili tuwe na amani moyoni na kuyashinda majaribu.
Daaaaa lichunguzwe hilo jambo jamani 😭😭😭
Waya wa sim jmn mmh , niwaainagani huo
Kwani alisahau kama kuna kuzimu ambayo mwisho wake ni jehanam jamani hivi ameanza maisha mapia kuzimu milele na milele
Hiyo music ya ninii inatoa ladha ya habari yenyewe
😢😢
Waya gani wa sim.ulioweza kunyonga mwanaume mzima?
Hili suala lichunguzwe vizuri japo hata likichunguzwa hawezi kurudi ila naamini amenyongwa na kutundikwa
waya wa sim ya mezani au sim ya mkononi?hatuelewi
😢😢😢😢😢
Atakua kauliwa kiisha katengenezewa mazingira ya kujinyonga
Yah ilo nalo neno
Ninaomba namba za Ayo TV
Kwahyo waya wa simu sawa
Tupo duniani wapendwa changamoto ni nyingi
Daaaaaaaaaa
Nina maswali mengi saana.la kwanza ni kanyongwa au kajinyonga?
Ni kweli kbs
Mmmmh mitihani
Brooo una sauti ya kipekee alafu mbna hauzeeki upo vile vike tokea 68😂😂
Tuliyoko oman ni ngapi ngapi kaka
No comments
Dah sio poa kabisa yani inahuzunisha sana 😭😭
Sina la kusema
R.i.p dear uncle😢
Duuh!
Kama yuda eskariote Naye alipomsaliti Yesu alijinyonga hata yy Kuna alichomkosea Mungu
kweli kabisa
Tatizo.Ukishirikisha utasaidiwa au utachekwa?
Wanakulaga bange kimyakimya mwingine alijitumbukiza kwe tank la maji hapo posta dar,
We jamaa umenichekesha sana
😂😂😂😂
SaanaHatamieNimechekaKamaMazuriEti.kajitumbukiziKwenyeTankLAmajiKaah@@phinaphina3201
Duu nimecheka kama vile mazuri 😂😂😂😂
Siku yakikukuta ya kukuta utajua kuwa si wote wanaokula bangi
Wacheni uongo.
Mtu ni mzito hawezi kujinyonga kwa wire wa simu.
Huyo msadizi anapaswa kusaidia polisi.
Wanawaua watu wanasema wamejiua.
Kweli kabisa waya wa simu hauwezi beba mwili wa mtu mzima inakuwaje mtu ajinyonge kwa shuka ishindikane aje ajiue kwa shuka huyo kalishwa sumu wakamtundika
Kama unabisha waya wa SIMU haukabi mtu Basi usiyakuze mambo Nenda kachukue ujitumdikenao tukuone Kama haufi! Kamba ya manila inaua Isiwe huo waya!? 👺🥺🤔
@@YusufLubangula-yn6tq
Naam kila apingae akajaribu kama huo waya utakataa kumnyonga..
Jaribu waya wa ttcl uone matokeo
Jaribu waya wa ttcl uone matokeo
Kuna kitu kinawafuatilia ma askofu nchi hii maana wamekuwa tofauti sana na utume walioitiwa , wengine wanakuwa wazinzi ,wengine wanajiua yaani kiongozi wa kiimani akifika hatua hii kuna kundi kubwa sana la watu wenye imani changa wanarudu nyuma ama kuanguka kabisa.
Kilimanjaro mnapatikan je
Mwanadamu ni mwanadam tu tamaa ubinafsi
Waya wa simu ? Huo ni uongo wa mchana hapo maslahi yameleta shida
Punguza kelele tusikie vizuri!
Duuh shetan yupo kazn jaman tusichoke kuomba
Jamani mbona inasikitisha inaeza ikawa hajaji amenyo
Ichunguzwe lsije kuwa kanyongwa
😢😢😢mbele yetu nyuma yake 💔
Mbela yake nyuma yetu
Waya wa simu haya bwana yote kwa yote tutajua tukifika huko juu kwa Baba yetu
Aliyeleta soda asaidie upelelezi
Mbingu hatoiona labda azikwe kijiji cha mbingu morogoro
Uchunguzi zaidi ufanyike!!Si rahisi Mtumishi wa Mungu autoe uhai wake kirahisi hivyo
Kaka mirad kumbe wewe ni mkubwa kuliko mimi, mi 2004 nilikuwa nina miaka 8, ila upo vizuri hauzeeki
Alikua na miaka 18 kazaliwa 1986
Waya wa simu hauwezi ukashikilia kilo arubaini (40kg) lazima ukatike kwa haraka, haya Askof alikuwa na kilo 30? anyway Rest in Peace
Kifo kibaya Sana... Mara nyingi hua nikiongelea Swala la Afya ya Akili lakini hakuna anayenisikia.... Mungu atusaidie 😭😭😭
Ukiona watu kumi wamekaa pamoja wanacheka wamefurahi Kuna wtu nane sio wazima wa akili😢😢😢
Ukijiukumu unaenda motoni yeni mimi nibora unifunge lakini sijitoi uhai wangu
Maagizo gani
Majipatia uaskofu kiholela, afu mnadhalilisha ukrist
Hahahahaha, karibuni kwenye uislam jaman, ushasikia wap sheikh kajinyonga
Ajali,matukio kila siku kwanin
U hunguzi mhimu
Waya wa simu si ungekatika kabla ya mtu kufa? Mwandiko wa waraka ni wake?
Stone Town Iringa
Kihesa au wapi
Ukishangaa ya Musa utaona ya firauni
Apumzike kwa amani viongozi wanapitia mengi cha maana kuombeana tuu
Hatari
Nilikuepo jan maeneo hayo kanisa la wakolea
Innaalillahi. Mmungu amrehemu. Mbona Kimombo kingi Milliard pamoja na Kiswahili? Wengine wetu lugha ndogo. Tustawishe Kiswahili
Utitiri wa Makanisa nao Unachangia kuwepo jamii za ajabu ajabu Miongoni mwa Waumini wa Makanisa hayo !! Askofu wa Kanisa anajinyonga Je hao Waumini alikuwa anawaaminisha nn kabla ya hapo? Ni heri hawa Macommedy kama akina Hananja na Mgogo wana Makanisa ya Kitchen Party !!
Duuh….!!! Niatr Kweli Mchungaji Kafiya Kwa Kanis😭😭😭😭