CASSIAN AFUNUA UKWELI JUU YA KANISA LA EAGT ASIKOFU MKUU MWAKIPESILE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • #call0688199370 #call0688199370 #

Komentáře • 47

  • @user-pg6db8jl2y
    @user-pg6db8jl2y Před 3 měsíci

    Amen mtumishi Sema Kuna watu wanamitamaa na uongozi wanakazana sanaa kumchafua uyu askofu

  • @ZabroniMwakaniemba
    @ZabroniMwakaniemba Před 11 měsíci +1

    ❤❤❤ Hakika niukweli Sana na niwabalaka mno MDA HUU tupo naye Dar es Salam kinyerezi Park Hakika Hakika nimtumishi ambaye MUNGU anamtumia Sanaa sanaa

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe512 Před 2 měsíci

    Amen! May might GOD Bless u

  • @GraceLubasha
    @GraceLubasha Před 2 měsíci

    Amina mtumishi na mwinjilist wa bwana SEMA tusonge mbele

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk Před 6 dny

    Ubarikiwe Mwinjilisti, hivi Dhehebu Dhehebu nini.? Na Kanisa nini.? Ukisema Kanisa la Eagt unamaanisha nini.?

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z Před rokem +1

    Amen Amen 🙏 Mungu wa Amani na upendo awe pamoja nawe mtumishi.

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 Před rokem +2

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @YeremiaKitundu-sc4qj
    @YeremiaKitundu-sc4qj Před 7 měsíci

    Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Před 2 měsíci

    Ubarikiwe sana kasiani ,ubarikiwe mnooooo

  • @nyamagoryomary6958
    @nyamagoryomary6958 Před rokem +1

    Utukufu kwa Yesu aliye juu amen

  • @AsikofuZakaria-up3xr
    @AsikofuZakaria-up3xr Před 2 měsíci

    Amina mtumshi wa Mungu

  • @zachariakiondo3871
    @zachariakiondo3871 Před 4 měsíci

    GOD bless you

  • @YoeliChiwanga-dy3tb
    @YoeliChiwanga-dy3tb Před rokem

    Barkiwaa mtumish. Hakika, injili ya KRISTO na isonge mbele ..

  • @furahag3098
    @furahag3098 Před rokem

    Amen mtumishi 🙌

  • @esterandrea6726
    @esterandrea6726 Před měsícem

    Barikiwa mno

  • @godfreymasawe5753
    @godfreymasawe5753 Před rokem +1

    Ameen

  • @yohaneeliya1338
    @yohaneeliya1338 Před 28 dny

    ❤❤❤❤

  • @rhoidambajuka5747
    @rhoidambajuka5747 Před 7 měsíci

    Ukweli mtupu barikiwa sana

  • @user-ch2qb3mm2x
    @user-ch2qb3mm2x Před 9 měsíci

    Angalia sana frenk

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol Před 2 měsíci

    Ameeeeeen.

  • @urbanmission3072
    @urbanmission3072 Před rokem

    AMINA AMINA AMINA

  • @manoahmahuna6426
    @manoahmahuna6426 Před 6 měsíci

    Aisee umeongea point

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 Před rokem +1

    Amina. Sijaona mwenye amekosoa mavazi. Inamaana wamezoea ukivaa vile ulivyo, au kuna mwenye atakuuliza, wapi koti na tai? Haya madhabao tuyape heshima. Tusikilize anachohubiri Cassian ili kujichenga nayo, maana injili anayohubiri ni sahihi kabisa. Sijakua rahisi kufuatilia mahubiri online ila yeye, Cassian akihubiri anahubiri injili ya uhai.

  • @DavidMalimbegu-dq8tp
    @DavidMalimbegu-dq8tp Před 6 měsíci

    Kwanini ameacha katiba ya moses aliyo iacha kuweni makini sana maandiko yanasemaje nawo watahubili neno lilelile na wataamlu moto kutoka juu na utashuka, kwahiyo usiamini sana hao ndiyo walio mfitini enzi za uhai wake kuweni makini watu kama hao hawafanyi pupa wanaenda taratibu mfano nikama papa waromani hawakujua kama ataweza kuwageuka kwahiyo umakini nimhimu

    • @restitutashabo4823
      @restitutashabo4823 Před 5 měsíci +2

      Rafiki fanya utilities ujue katiba tunayotumia ni ipi? Pia elewa katiba lazima ibadilishwe kulingana na mahitaji husika ya wakati husika.

  • @user-lv8rj2xo4d
    @user-lv8rj2xo4d Před měsícem

    Duuuuh JAMAN

  • @JamesPesambili-yt2cm
    @JamesPesambili-yt2cm Před 3 měsíci

    Kwanini mmekuwa wa with wa hovyo, jaman tumien mtandao kuhubili neno, siyokuhubili na kusema watu, kama ukimuona mtu hayuko sawa je, nivema kumtangaza dunia yote tujue makosa yake? Ukweli hiyo siyo injir ni kutafta Kiki za duniani.

  • @mugishapeter1153
    @mugishapeter1153 Před rokem

    Ni.ukweri.tusimame.ndani.yaneno

  • @ErnestSaimon
    @ErnestSaimon Před 7 měsíci

    Hawez potea kama anatoa habali ambazo ni halisi hata moyo unaamini ni halis

  • @MarthaZabron-gg3uj
    @MarthaZabron-gg3uj Před 7 měsíci

  • @stunningtv8426
    @stunningtv8426 Před 3 měsíci

    Mr hapo ni busara tu za viongozi ziliyumba!

  • @chezariboy
    @chezariboy Před 5 měsíci +1

    MBona siku ZA MOSES KULOLA HATUKUONA EAGT LIKIGAWANYIKA NA HATUKUSIKIA EAGT KUWA NA MIGOGOLO MPAKA WENGINE KUJITENGA NAWAKIOESILE WAKAJIUGA NA MWAISABILA,, MPAKA SALIKALI IKAINGILIA KATI KUWEKA SULUHU, ASKOFU HUYO AKATUHUMIWA KUFANYA CHAGUZI BILA UPANDE MWINGINE KUSHIRIKI,, NK HUJUI MENGI WEWE NYAMAZA.

    • @manoahmahuna6426
      @manoahmahuna6426 Před 3 měsíci

      Aliyekuambia wakati wa kulola hakukua na migogoro ni nani pale shinyanga Kuna watu walijitenga wakati wa kulola lkn pia kina kakobe walihama wkt wa kulola na hata kina mpure na kina maboya walitoka wkt wa kulola

    • @felsonsanga8502
      @felsonsanga8502 Před 2 měsíci +1

      Mwakipesile yupo vizuri sana katika misimamo ya kuhusu dhambi anapinga sana, wote wako vixuri moses na brown mwakipesile🎉

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 Před rokem

    Umeanza kupiga kampeini za madhehebu pengine umepewa ela nyingi sana na huyo Askofu E.A.G.T ndo umeanza kupotea taratibu

    • @happinesskitali164
      @happinesskitali164 Před rokem

      Kuhusu suala linalohusu mtumishi wa Mungu au kanisa takatifu la Mungu usithubutu kutoa kasfa utalaaniwa wewe kama huna uhakika na haujui ni heri kukaa kimya kuliko kucheza na jicho la Mungu maana imeandikwa wachungaji ni jicho la Mungu kwahyo jifunze kukaa kimya

    • @kitambatv8363
      @kitambatv8363 Před rokem

      Umeambiwa kwa Yesu Kuna kampeni acha masiala afu mambo ya mungu hatukosoi ila muhukumu ni mungu ko Kama hujaelewa unamwacha na mungu wake Alie mtuma kusema ivyo afu namweshimu Sana uyu Kaka nikiangalia tu history yake ya nyuma Mimi ni Nani mpaka nikosoe ko mambo ya mungu tunanwachia mungu wapendwa

    • @GrolyDundus
      @GrolyDundus Před 11 měsíci

      Jaman kuziona mbingu kazi sana ukwer wake ndyo wageuza na kuita kapen muogope mungu,,,pima kaur zako usicoment kwa kufurahisha watu alafu madhara yakupate wewe,,,.chunga kauli na utubu umekosea.

    • @ZabroniMwakaniemba
      @ZabroniMwakaniemba Před 11 měsíci

      Ndugu usiamini mabaya tu amini Mema ndio kanuni kuu ya wokovu

    • @WorshippersofGodarmy-ot1mk
      @WorshippersofGodarmy-ot1mk Před 6 měsíci

      Wewe nilikwambia ni mchanga eleza ulichotumwa, mafuta vitambaa ni biblia na walitumia manabii na mitume, usiwe na injili ya mafungu mafungu soma vizuri biblia, acha uchanga uchanga, hao walioweka misingi ndio hao walitumia, mafuta vitambaa, fimbo, chumvi kudhihilisha ukuu wa MUNGU, ongea maoni yako sijui kama ni maoni au umetumwa kutukana wengine pasipo kujitambua, maana unasema tumejengwa ktk misingi ya manabii na mitume, sasa, yesu mwenyewe hakuponya na mikono tu, Bali na alitumia mate kutengeneza tope la kuponya mtu mitume walitumia vitambaa na mafuta manabii walitumia, fimbo chumvi, mafuta, hakuna mahali imeandikwa tusitumie kwa kudhihilisha ukuu wa MUNGU kwamba MUNGU anaweza kutumia chochote, manabii wa uwongo walikwepo Toka zamani hata waliomuuwa yesu ni wachungaji na maaskofu walikuwa wa uwongo, umeishiwa mahubiri au, hubili wezi Malaya walevi waokoke