ASKARI ALIYESAFIRISHA BILIONI 1 ASIMULIA WALIVYOPIGWA RISASI NA MAJAMBAZI "KIKWETE ALIGHAIRI SAFARI"
Vložit
- čas přidán 29. 12. 2021
- AyoTV na millardayo.com imekutana Mkaguzi Mstaafu wa Jeshi la Polisi, Wallase Mmuni ambaye alinusurika kifo kuuawa na majambazi miaka 15 iliyopita, saa 6:30 Ubungo Mataa kwa sasa inafahamu Kama Daraja la Kijazi ni tukio lililotikisa jiji la Dar es Salaam kwa saa kadhaa, ujambazi ambao ulisababisha hadi Rais wa awamu hiyo, Dr.Jakaya Mrisho Kikwete kuahirisha ziara yake nje ya nchi.
Shujaa kwa kweli na kalitumikia jeshi kwa uadilifu, serikali imuangalie tafadhali na Mungu atamlipa kheri inshaallah 🙏.
2222
.see eggs gßgßgsgsgsgsgsgßgsgs
Pole sana ,mlikuwa mnalipwa sh.ngapi kusafirisha kiasi kikubwa kiasi hicho cha fedha.
Aisee naikumba hii siku ilikuwa ni ya kihistoria
Dar inaumiza Sana siku ya tukio nilikwepo km gari ya nane toka mataa atukuzwe mungu kwa uponyaji alio ufanya kwa tukio lile kwanza mm nilijua hamnaga alie nusulikaga maana heka heka zile nilikwepo natushukuru mungu kipindi kile wakati bajaji Wala bodaboda hazipo ilikua hatari niliruka juu ya fuso ninako elekea sikujui na mgeni nilijuta kuja mjini
Wewe nae mshamba tu
inasikitisha ila nimecheka kwa maelezo yako kuwa ulijuta kuja mjini na kipindi kile kulikuwa na vihaisi tuu
😀😀
@@Joseph-lu4yj nilitaka kusema ka ww nimecheka
Pole
Pole xna Kamanda ila mungu mwema alikupa uhai😭🙏
Mzee Muni nakukumbuka sana ulikuwa kituo cha Relwe station Moro then ukahamishiwa central police station pole sana Mzee. Sony hiyo tulikuwa na kipindi saa saba mchana chuo kikuu afu natokea mabibo hostel kweli Ya Mungi mengi
Dah pole sana mzee baba
Respect Sonja
Dah pole sana father mungu akubarik
Pole sana
THANKS FOR YOUR SERVICE
Nakukumbuka Sana Mzee Meja Muni, Mzee Wa Zima Taa😅, Kambi Yote Unazunguuka Ukiwatangazia Watu Wazime Taa, Na Hautoki Hadi Taa Zizimwe Ukiona Kimya Unaing'oa Taa Wewe Mwenyewe 😅 Mungu Akutunze Daima Baba, Pole Kwa Misukosuko Ktk Kazi, Mungu Akutunze Baba.
Kipindi hicho matukio kama hayo yalikuwa yanatokea karibu kila week, tunarudi enzi hizo taratibu.
Una matatizo ww sio bure.
Ona hizi bangi....
Nyie wapuuzi sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Mnadhani mkimjadili ndiyo atafufuka?
Au mnadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
@@nikodemuschachakuma la mama akooo
Sijui siku hizi, ila usafirishaji wa pesa wakati huo ulikuwa unafanywa kwa utaratibu mbovu sana ambao ulikuwa unawatangaza kuwa wana hela nyingi. Unakuta magari yanatoka benki kwa spidi kubwa sana na kuendesha kwa fujo kama vile wao ndio watumiaji wa barabara tu wakati huo. Jambazi yeyote mwenye silaha kali akiona hivyo tu anajua kuwa gari hilo lina hela.
Alioweza
Ujambazi ni Jemadari Raisi Magufuli
Kikwete aliondoa uhuni aliingia nchi ilikuwa na majambazi wengi
Musa chesa aliyekua miongoni mwa majambazi waliofanya hili tukio anasimulia hili tukio pale kwa @davistar mata media
Nzur xan
Pole saana Kaka.kweli umeumia saana..walifungwa tu?au WAMenyogwa
I was on the scene, tulikuwa tunatoka chuo tumepanda shuttle tunaenda mabibo hostel nlishuhudia kila kitu
Waliondoka na pesa?
Aisee!
@@motivationtv4437ndio, walifakiniwa kuondoka na kama millioni 200 hivi, kuna traffic ndio alipambana nao
Hii chanel ya millard itabakia kuwa bora hapa bongo,wana ubunifu mzuri sana,hii habari na mafunzo mengi sana,na ndo tunachohitaji sisi wananchi
Kbs ni kweli
Poleni sana Magufuli alikuja kukomesha ujambazi huo
Tunahitaji huyo traffic aliye okoa jahazi tunaomba millad
Anaitwa Solomoni kama sikosei ndio RTO wa Tanga
Kundi lile la majambazi likiongozwa na Mussa Chesa ndio lilipiga tukio lile,huyu Mussa Chesa ameshaokoka hivi sasa na ametoa shuhuda kibao sana kuhusu tukio hili na matukio mengine aliyoyafanya.
Eeeee na nimeisikiliza
Tatizo huwezi kusafirisha pesa bilioni na bunduķi za kawaida
Shujaa alipoteza fahamu, hakujua kilichoendelea!, Cha kumshukuru Mungu alitoka salama!,
Duh, shoo ilikuwa kali sio poa. Hao waliji panga kwa kwel
🤣🤣Tz nyie sihami eti show ilikuwa kali😀😀
Mambo ya mussa chesa hayo ujambazi wa kichawi
Pole sana tenasana
police bana wao ndy wasimamiz wa sheria lkn ndy wakwanza kuvunja sheria xx pale anayutan nn
Hahahaha
Investigation yake iliishiaa wap jmn watu walifariki wengine wamepata ulema wa maisha aisee
alikua trafic solomoni mwangamilo..mwamba aliziokoa pesa na azikuchukuliwa...alipanda cheo na sasa ni mkuu wa askali wa usalama barabarani mkoani tanga.
Kwasasa ni Arusha mkuu amesha
-hamishwa Tanga
Yule polisi alipewa zawadi aliokoa zaidi ya mil 800
Duh kumbe huyo traffic alikuwa sio mzembe.... Ningependa kuona akihojiwa
Hii ishu nilikua kwenye daladala ice natoka kibaha niliingia chini ya mvungu wa Gari ilikua ni kama tupo ukanda wa Gaza acha tu mpk Leo nimepata mstuko wa moyo
Pole kamanda,kula pensheni
Pole sana kwa maumivu ya gazi mshukuru Mungu upo salama . Millardayo hongera kwa kazi zako zote nzuri chaneli yangu pendwa millardayo tv All the best
Naikumbukahiisikuyatukio
Hiyo ni mpango wa wafanyakazi wa bank na majambazi
Yalimkuta ndugu yangu aliyoka bank na pesa nyingi mara majambazi wakaigonga gari yake ili asimame aiangalie wamvamie lakini hakusimama ila kituo cha police walimkosa alhamdulilah
Mbona me sijakuelewa
@@charlesthomas7457 Hata me sijamuelewa .. sijaelewa hapa #ila kituo cha police walimkosa
Sitaisahau hii siku niliiona live ubungo majambaz walikuwa na siraha za vita. Uwa naona kwenye movie. Usiombe kukutana kitu km. Kile maisha yako yote hapa dunian
@@charlesthomas7457 anamaanisha kwambaa hakusimama mpaka akafika kituo cha police ndo akasmama na majambaz walimkosa
@@heriethmuta2903 Mungu ashukuriwe, Nashukuru upo salama Mrembo wangu
Safi sana ayo 🙌🙌🙌
Serikali.iwaenzi hawa.siyo maraisi na.mawaziri wakuu.wanatunzwa na serikali.
Polen sana
Pole sn
Mambo ya fedha yameua wengi sana .Tatizo jambazi haitaki mwingine apate fedha linajua fedha kimetengenezwa lenyewe. Majambazi yana penda starehe hasa hasa wanawake na pombe ndio maana yao na ndio inayo yaua majambazi wengi .na haya majambazi Au wapenda fedha wametajwa sana ktk vitabu .
Sikuhizi mbona hawavamii majambazi hizo pesa kilasiku zinasafirishwa
Nauona uzembe Kwa kpindi hicho uzembe ulisababisha dharula!
Mimi police wakipata majanga sisistiki wanarohombaya sna kusingizia kesi watu
Umesema hamkuwa tayari , mnasindikisa pesa bila kuwa tayari? Mbona wakati watuhumiwa wa Ugaidi wanasindikizwa kwa silaha mzito.?
ukibakwa utasema ulijiandaa kubakwa???
Kuna kauzembe fuln pia. Maana kama hawakuwa wamejiandaa maana yake hawakuwa tayari kwa jukumu walikuwa nalo
Achana na kitu duniani inaitwa Ambush, kwa wenye uweledi wa jeshi watajua hili. Ambush hata uwe nani, kunusurika ni mungu tu na movie zisiwadanganye kuona wakinusurika. Walijiandaa ila fikiria mtu anakushambulia uko ndani ya gari akiwa na LMG, gari ya kufunika huwez hata kutoka haraka au kupata usaidizi na anaewalenga ni amewakusudia ninyi tu, acha masihara kaka. Hutoboi hutoboi hutoboi. Bora wangelikuwa katika gari ya wazi ila ya kufunika na ni ambush. Temea mate chini ndugu yangu
Hao walisha zoea kama wanafikaga2 salama kumbe wamechomeshwa
Mussa chesa ndo staring wa mchezo
Hii ni Movie Kabisa , ila bongo tunalala kweli movie mapenz na Uchhawi tu.
Poleni
Hamjui kuuliza maswali...sema ni watu wangapi waliojitokeza kuwashambulia? Walikuwa ktk hali gani walipokujieni? Sio pesa kiasi gani? Ni Fedha!
Kuna kitu kina miss kwenye hii story but dope story
Yeah..mfano huyu askari ndo anakumbushwa kuhusu traffic alosaidia. Na pia baada ya kutoka hospitali anaonekana hakufatilia kujua yule alowasaidia alienda wapi na kama pesa ziliokolewa au la. Labda anaficha anaogopa kumtaja muhusika alipo
Mnaambiwa hakuwa na fahamu za kujuwa Nini kilichoendelea. Mwamshushia lawama,,,,wabongo sie
Hahaha kikwete na Safari za nje
😂😂😂😂
Hiyo sound inazingua
Police mjifunze mnaposafirisha pesa chukueni silaha za kivita"na siyo kuwatumia waking wa vikampuni.
So wawewwnatembea na LMG,hiyo nisilaha hatari ya kivita
Hawa jamaa ni wazembe kwa pesa lazima uwe makini muda wote
Wewe wale majambazi walikuwa na silaha nzito, kama 2 hivi walikuwa wanajeshi
watu wengi wasio na hatia.walikamatwa sana ..serikal ibadilike namna ya proscute
Yaani mlkua mnasafirisha mzigo 1B na point kama mnasafirisha mapapai daaah! Mmebeba magobole! Itoshe kusema ilkua uzembe na ufala2
We mzee muongo ule ulikua mchongo kama walikuzulumu sema kwanini wenzako wfae we upone
Dah nimekumbuka Zaman nilikuwepo kama Mita Mia kutoka ulipokuwa mzani wa ubungo zamani
Daaah nakumbuka hiyo siku nilikuwa darasa la tano nikitoka shule ilikuwa Ni balaa aseee
" Chochote nitakacho kiona au kusikia ambacho ni siri kwangu au ambacho nimeaminiwa kwa kutokana na wadhifa wangu kitakua siri, ni siri ambayo sitaitoa kulinda maadili ya kazi isipokua itakapo bidi kwa mujibu wa sheria za nchiiii, ndipo siri itakapo fichuliwa ili kutekeleza wajibu wangu. "
Mimi nimeangalia hiyo gari 0:55 iliyokata kwenye mwendo kasi ikirudi ilikotoka au ni police? Ajali nyingine za Tanzania jamani sasa hapo nipakugeuzia kweli? Hata ngoja niendelee kutazama video husika
Nigari la pilice hilo..
@@farajastanley3480 oh
Maaskari wasiojua sheria nao wanavunja sheria na kuharibu miundo mbinu.
@@kambamazig02024 kabisa
Tena unaonekana ulikua mnoko
Kazini
Kama wewe unge kwenda fata nn pesa au mauti
Yule traffic alipandishwa cheo
Silahaa makini
Musa chessa ndo alifanya hili tukio mwamba amekil baad ya kuokoka
Nakupapole lakin mlikuwa wazembe sana ktka kujipanga kwenyeuliz
Sana2 mnasafirishaje mzigo kama huo kisenge namna hiyo kama machungwa halafu anasema kabisa hatukuwa na silaha kali sana wakati wana mzigo wa kutosha.Na kwa kauli hiyo hapo inaonyesha watu walichukua mzigo.
Huyo traffic aojiwe
Mashujaa mlionusurika!!!!!
Nasikia mmoja yupo segerea ndio mbabe wa jera nzima
Utakua unamuongelea Nazareth ambaye alisingiziwa, kashatoka toka 2014... Story yake iko hapa hapa kwa Millard,
😂😂😂
Tunasubiria mahojiano ya huyo trafiki shujaa mumtafute pia
Alishafariki Kwa ajali ya gari
@@deniseliuter8288 daah
Nakumbuka tukio hili
Mashujaa mlionurika mkapandishwa vyeo🤔
Apo mbona kijichi
Ingefaa nimtafute huyo traffic officer
Mh!sasa umestaafu??
Ndio kwa hiari.
Inasemekana piah hao waliovamia walikua ni askari walijua mchongo mzima.
Harmonize - Outside remix ft. Flaizy
Watch Out Now on CZcams
czcams.com/video/YiCaTWiBMSs/video.html
🤦♀️🙌🙌
Mwanaume hana maziwa cammanda we vipi?
Nalikumbuka tukio hili,ila kuna trafiki mmoja mwamba aliwasimamisha wale majambazi wakakimbia.
Kweli kabisa kaka lamadhani namimi nakumbuka ilikua ivyo ivyo nakumbu Mimi nilikua naumli wa miaka kumi nane kipindi hicho nanilikua naishi tabata mawenzi wakati huo alie pigania jambo Hilo ni traffic 🙏🙏🙏🙏
@@mosesmwailenge5192 ilikuwa kama movie ya wizi wa bank ya The Heat! Polisi wakarusha helkopta angani ila moto ukawa mkali ili kuepusha maafa ikabidi ishushwe, jamaa wakawa wanatoroka kwa staili kuteka magari,wengine wakatokomea kwenye makambi Fulani...!! daah, Ubungo ilitekwa.
Kwanini wasiwawekee wafanya kazi mishahara hiyo palepale ubungo
Nimeona nyumba ya shujaa so mchezoooooo
Ujapewa mgao wewe
Dah alf anaishi maisha magumu tuu
Hao walikuwa watu wa lipangwa watu wa Bank walivujisha siri
Kweli mana walijuaje hao majambaz
One billion cash…RISKY
Je walikamatwa waliohusika na tukio lile?
Mchongo wa wakubwa
Lengo ni Nini mbona haieleweki kama hiyo bilioni Moja kama ziliokolewa
Waliiba, ulikuwa na miaka mingapi wakati huo?
Sasa majambazi watawapa vipi taarifa kuwa watawavamia ? 😊
Kuna yule mwanajeshi ambaye alihadidhia kwenye channel ya ambwene mwasongwe kuwa alisingiziwa kwenye kesi ya kosa kama hilo, je ndio tukio hilo au jingine?
Nadhani ndio tukio hilo. Kumbe yule jamaa ni mwanajeshi?🤔
Ni hili hiliiiiiiiiiiii
Duuuh unakumbukumbu ndio yule mjeda jaman dunian Kuna matukio
Awam ya nne ilikuwa ya mateso sana..jamani hapana
Hebu muumtafute musa chesa Kama aliwah simuliia hii story
Kweli aisee kwene mawazo huru
Haaahaa
Hamkujiandaa na mnajua mmebeba hela?
Hapo sasa, Mzee ANASEMA hawakujiandaa,hivi hujui kwamba ukibeba hela ni sawa tayari uko vitani,na muda wote unatakiwa uwe tayari kwa lolote, Sasa mnakwenda kuchukua Pesa huku mkiwa na bastola, NYIE VP,mnatakiwa muende na Maguruneti,pia Pesa zisindikizwe ni Wanajeshi na sio polisi.
Jamani huu ujambazi kama mmesikia mussa chesa yule mwizi mchawi ndio alikuwa kwenye tukio hili
Ww umejuaje? Ropoka tu tukuulize umejua vp
@@sanimoclassic1917 Ingia you tube andika mussa chesa utasikia yote aliyoyafanya mpaka alijisalimisha mwenyewe serikalini amekiri na hii pia alisema alihusika na alikuwa akitumia ujambazi kwa nguvu za kishirikina
Anaitwa meja Muni daaah ktambo
Intellejensia ilikuwa dhaifu
Awamu ya nne ilikuwa ni mateso makubwa kwa Watanzania. Huyu jamaa angehudumiwa vizuri na serikali mpaka mwisho wa maisha yake. Kikwete kazi yake ilikuwa Safari tu za nje. Kulikuwa na uhalifu mkubwa kila kona. Na kwasasa uhalifu huu unarudi. Nafikiri serikali imeisha hata kumsahau . Na Tundu Lissu bado analalamika na risasi zake 16. Polisi wanapambana na uhalifu kama huu kila siku. Huyu hatujamusikia akimulaumu KIKWETE.
Acha zako wewe. Matukio kama hayo watu wa Benki huwa wanafanya njama na waharifu na wanavujisha siri. Sasa Kikwete amefanya nini kibaya hapo? Acha chuki ndugu, Ikiwa maadhura mwenyewe anamshukuru JK kwa kutambua mchango wao na hivyo kuelekeza wapandishwe vyeo kisha uchunguzi ukaendelea je wewe ulipeleka hata paracetamol? Kumbuka lawama ni Tamu pindi itokapo mdomoni lakini pekeyake haisaidii Katibu majeraha .
@@mrishojuma4857 Faru Joni na tembo waliokuwa wanamalizwa na pembe kukamatwa bandarini Malaysia? NI watu wa benki nao walivujisha? makinikia je..? Ni watu wa benki pia? NI kwa nini mwamtetea Kikwete? The guy was useless..!
@@mrishojuma4857 ningepeleka paracetamol wakati Rais fedha zote aliziweka kwenye briefcase kwenda Ulaya kupiga raha? Kulikuwa na uhalifu mkubwa sana awamu ya nne. Pengine wewe ulikuwa ukiishi ikulu kwenye ulinzi mkubwa. Wakati huo ulikuwa wenye madaraka ni kula bata. Masikini shauli yawo. Nidhamu ilipotea na wizi ukapamba moto. Na sasa tunaona historia inajirudia
@@mrishojuma4857 ee huo ndio ukweli SERKALI YA KIGOGO anacheza tu na hakili za wa AFRICA KILA SEKTA KAWEKA WATU WAKE WA OVU UKIENDA HOSPITALI KUNA MTU WAO WA KUUA WAKUBWA WA SERKALI WEMA UKIENDA USAKAMA WA TAIFA KUNA MTU WAO WA KUTOA SIRI ZA IKULU NA WAKULINDA MADAWA YA KULEVYA UKIENDA BANK KUNA MTU WAO WA KUTUFATULIA SISI PALE TUCHUKUAPO PESA ZETU KALIKA YAWEZEKANA HATA HILI ALILIPANGA PAHATI MBAYA YAKE HALIKWENDA APENDAVYO NDIO IME MBINI KUHAIRISHA SAFARI
@@mrishojuma4857 kama wana samini ulinzi wa huyu ASIKARI jee hadi sasa serkali wamempa nn baba huyu? Kama halikusukwa kwanini hawasikii uchungu na kumfanyia chochote?
Sasa hkun hat mmoj alie kmatwa
Daa aisee mungu Mkubwa sana!!