ASKARI ALIYESAFIRISHA BILIONI 1 ASIMULIA WALIVYOPIGWA RISASI NA MAJAMBAZI "KIKWETE ALIGHAIRI SAFARI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 12. 2021
  • AyoTV na millardayo.com imekutana Mkaguzi Mstaafu wa Jeshi la Polisi, Wallase Mmuni ambaye alinusurika kifo kuuawa na majambazi miaka 15 iliyopita, saa 6:30 Ubungo Mataa kwa sasa inafahamu Kama Daraja la Kijazi ni tukio lililotikisa jiji la Dar es Salaam kwa saa kadhaa, ujambazi ambao ulisababisha hadi Rais wa awamu hiyo, Dr.Jakaya Mrisho Kikwete kuahirisha ziara yake nje ya nchi.

Komentáře • 220

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 Před 2 lety +51

    Shujaa kwa kweli na kalitumikia jeshi kwa uadilifu, serikali imuangalie tafadhali na Mungu atamlipa kheri inshaallah 🙏.

  • @bensonlucas7607
    @bensonlucas7607 Před 2 lety +7

    Pole sana ,mlikuwa mnalipwa sh.ngapi kusafirisha kiasi kikubwa kiasi hicho cha fedha.

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 Před 2 lety +24

    Aisee naikumba hii siku ilikuwa ni ya kihistoria

  • @josephataugustino231
    @josephataugustino231 Před 2 lety +37

    Dar inaumiza Sana siku ya tukio nilikwepo km gari ya nane toka mataa atukuzwe mungu kwa uponyaji alio ufanya kwa tukio lile kwanza mm nilijua hamnaga alie nusulikaga maana heka heka zile nilikwepo natushukuru mungu kipindi kile wakati bajaji Wala bodaboda hazipo ilikua hatari niliruka juu ya fuso ninako elekea sikujui na mgeni nilijuta kuja mjini

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 Před 2 lety +12

    Pole xna Kamanda ila mungu mwema alikupa uhai😭🙏

  • @petermangama330
    @petermangama330 Před 2 lety +9

    Mzee Muni nakukumbuka sana ulikuwa kituo cha Relwe station Moro then ukahamishiwa central police station pole sana Mzee. Sony hiyo tulikuwa na kipindi saa saba mchana chuo kikuu afu natokea mabibo hostel kweli Ya Mungi mengi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 2 lety +4

    Dah pole sana mzee baba

  • @paterandrea2146
    @paterandrea2146 Před 8 měsíci +3

    Respect Sonja

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Před 2 lety

    Dah pole sana father mungu akubarik

  • @enockkimaro9745
    @enockkimaro9745 Před 2 lety +5

    Pole sana

  • @robertservas1953
    @robertservas1953 Před 2 lety

    THANKS FOR YOUR SERVICE

  • @anithamuttassa8981
    @anithamuttassa8981 Před měsícem

    Nakukumbuka Sana Mzee Meja Muni, Mzee Wa Zima Taa😅, Kambi Yote Unazunguuka Ukiwatangazia Watu Wazime Taa, Na Hautoki Hadi Taa Zizimwe Ukiona Kimya Unaing'oa Taa Wewe Mwenyewe 😅 Mungu Akutunze Daima Baba, Pole Kwa Misukosuko Ktk Kazi, Mungu Akutunze Baba.

  • @leonelleo4425
    @leonelleo4425 Před 2 lety +33

    Kipindi hicho matukio kama hayo yalikuwa yanatokea karibu kila week, tunarudi enzi hizo taratibu.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 2 lety +1

      Una matatizo ww sio bure.

    • @muddyville
      @muddyville Před 2 lety +1

      Ona hizi bangi....

    • @nikodemuschacha
      @nikodemuschacha Před 2 lety

      Nyie wapuuzi sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Mnadhani mkimjadili ndiyo atafufuka?
      Au mnadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?

    • @revocatuspaulo6716
      @revocatuspaulo6716 Před 7 měsíci

      @@nikodemuschachakuma la mama akooo

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Před 2 hodinami

    Sijui siku hizi, ila usafirishaji wa pesa wakati huo ulikuwa unafanywa kwa utaratibu mbovu sana ambao ulikuwa unawatangaza kuwa wana hela nyingi. Unakuta magari yanatoka benki kwa spidi kubwa sana na kuendesha kwa fujo kama vile wao ndio watumiaji wa barabara tu wakati huo. Jambazi yeyote mwenye silaha kali akiona hivyo tu anajua kuwa gari hilo lina hela.

  • @mariamkansiimekaluganda7154

    Alioweza
    Ujambazi ni Jemadari Raisi Magufuli

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před 2 lety +3

    Musa chesa aliyekua miongoni mwa majambazi waliofanya hili tukio anasimulia hili tukio pale kwa @davistar mata media

  • @honekisebwa226
    @honekisebwa226 Před 2 lety +1

    Nzur xan

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před měsícem

    Pole saana Kaka.kweli umeumia saana..walifungwa tu?au WAMenyogwa

  • @ellymaduhu8668
    @ellymaduhu8668 Před 2 lety +7

    I was on the scene, tulikuwa tunatoka chuo tumepanda shuttle tunaenda mabibo hostel nlishuhudia kila kitu

    • @motivationtv4437
      @motivationtv4437 Před 2 lety

      Waliondoka na pesa?

    • @zolongOne
      @zolongOne Před 28 dny

      Aisee!

    • @zolongOne
      @zolongOne Před 28 dny

      ​@@motivationtv4437ndio, walifakiniwa kuondoka na kama millioni 200 hivi, kuna traffic ndio alipambana nao

  • @nasibukitwana3384
    @nasibukitwana3384 Před 2 lety +15

    Hii chanel ya millard itabakia kuwa bora hapa bongo,wana ubunifu mzuri sana,hii habari na mafunzo mengi sana,na ndo tunachohitaji sisi wananchi

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 Před měsícem +2

    Poleni sana Magufuli alikuja kukomesha ujambazi huo

  • @hassanabdalla7644
    @hassanabdalla7644 Před 2 lety +6

    Tunahitaji huyo traffic aliye okoa jahazi tunaomba millad

    • @najmasaleh9231
      @najmasaleh9231 Před 2 lety

      Anaitwa Solomoni kama sikosei ndio RTO wa Tanga

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Před 2 lety +3

    Kundi lile la majambazi likiongozwa na Mussa Chesa ndio lilipiga tukio lile,huyu Mussa Chesa ameshaokoka hivi sasa na ametoa shuhuda kibao sana kuhusu tukio hili na matukio mengine aliyoyafanya.

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo3408 Před 2 lety +5

    Tatizo huwezi kusafirisha pesa bilioni na bunduķi za kawaida

  • @daniellema175
    @daniellema175 Před 2 lety +8

    Shujaa alipoteza fahamu, hakujua kilichoendelea!, Cha kumshukuru Mungu alitoka salama!,

  • @imanijohn6069
    @imanijohn6069 Před 2 lety +18

    Duh, shoo ilikuwa kali sio poa. Hao waliji panga kwa kwel

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 Před 2 lety

      🤣🤣Tz nyie sihami eti show ilikuwa kali😀😀

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 Před 2 lety

      Mambo ya mussa chesa hayo ujambazi wa kichawi

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před měsícem

    Pole sana tenasana

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 2 lety +5

    police bana wao ndy wasimamiz wa sheria lkn ndy wakwanza kuvunja sheria xx pale anayutan nn

  • @mustajany689
    @mustajany689 Před 2 lety +4

    Investigation yake iliishiaa wap jmn watu walifariki wengine wamepata ulema wa maisha aisee

  • @masaulaharuni4025
    @masaulaharuni4025 Před 2 lety +16

    alikua trafic solomoni mwangamilo..mwamba aliziokoa pesa na azikuchukuliwa...alipanda cheo na sasa ni mkuu wa askali wa usalama barabarani mkoani tanga.

  • @yunusimchala9306
    @yunusimchala9306 Před 2 lety +8

    Yule polisi alipewa zawadi aliokoa zaidi ya mil 800

    • @ebinssports5377
      @ebinssports5377 Před 2 lety

      Duh kumbe huyo traffic alikuwa sio mzembe.... Ningependa kuona akihojiwa

  • @salhamadabida6786
    @salhamadabida6786 Před dnem

    Hii ishu nilikua kwenye daladala ice natoka kibaha niliingia chini ya mvungu wa Gari ilikua ni kama tupo ukanda wa Gaza acha tu mpk Leo nimepata mstuko wa moyo

  • @innocentkapwani4242
    @innocentkapwani4242 Před 2 lety

    Pole kamanda,kula pensheni

  • @halimasuddy9294
    @halimasuddy9294 Před 2 lety +2

    Pole sana kwa maumivu ya gazi mshukuru Mungu upo salama . Millardayo hongera kwa kazi zako zote nzuri chaneli yangu pendwa millardayo tv All the best

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před 2 lety +23

    Hiyo ni mpango wa wafanyakazi wa bank na majambazi
    Yalimkuta ndugu yangu aliyoka bank na pesa nyingi mara majambazi wakaigonga gari yake ili asimame aiangalie wamvamie lakini hakusimama ila kituo cha police walimkosa alhamdulilah

    • @charlesthomas7457
      @charlesthomas7457 Před 2 lety +1

      Mbona me sijakuelewa

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Před 2 lety +1

      @@charlesthomas7457 Hata me sijamuelewa .. sijaelewa hapa #ila kituo cha police walimkosa

    • @heriethmuta2903
      @heriethmuta2903 Před 2 lety +4

      Sitaisahau hii siku niliiona live ubungo majambaz walikuwa na siraha za vita. Uwa naona kwenye movie. Usiombe kukutana kitu km. Kile maisha yako yote hapa dunian

    • @nassorhamad5225
      @nassorhamad5225 Před 2 lety +5

      @@charlesthomas7457 anamaanisha kwambaa hakusimama mpaka akafika kituo cha police ndo akasmama na majambaz walimkosa

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Před 2 lety +1

      @@heriethmuta2903 Mungu ashukuriwe, Nashukuru upo salama Mrembo wangu

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 2 lety +7

    Safi sana ayo 🙌🙌🙌

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před měsícem +1

    Serikali.iwaenzi hawa.siyo maraisi na.mawaziri wakuu.wanatunzwa na serikali.

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 2 lety +1

    Polen sana

  • @rehemamkude6766
    @rehemamkude6766 Před měsícem

    Pole sn

  • @adammjomba7112
    @adammjomba7112 Před 2 lety +3

    Mambo ya fedha yameua wengi sana .Tatizo jambazi haitaki mwingine apate fedha linajua fedha kimetengenezwa lenyewe. Majambazi yana penda starehe hasa hasa wanawake na pombe ndio maana yao na ndio inayo yaua majambazi wengi .na haya majambazi Au wapenda fedha wametajwa sana ktk vitabu .

  • @halimakuju6076
    @halimakuju6076 Před 3 dny

    Sikuhizi mbona hawavamii majambazi hizo pesa kilasiku zinasafirishwa

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Před 2 lety +1

    Nauona uzembe Kwa kpindi hicho uzembe ulisababisha dharula!

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 28 dny

    Mimi police wakipata majanga sisistiki wanarohombaya sna kusingizia kesi watu

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 2 lety +4

    Umesema hamkuwa tayari , mnasindikisa pesa bila kuwa tayari? Mbona wakati watuhumiwa wa Ugaidi wanasindikizwa kwa silaha mzito.?

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 Před 2 lety +1

      ukibakwa utasema ulijiandaa kubakwa???

    • @wilsonkaseha2034
      @wilsonkaseha2034 Před 2 lety

      Kuna kauzembe fuln pia. Maana kama hawakuwa wamejiandaa maana yake hawakuwa tayari kwa jukumu walikuwa nalo

    • @kizeealex8999
      @kizeealex8999 Před 2 lety +2

      Achana na kitu duniani inaitwa Ambush, kwa wenye uweledi wa jeshi watajua hili. Ambush hata uwe nani, kunusurika ni mungu tu na movie zisiwadanganye kuona wakinusurika. Walijiandaa ila fikiria mtu anakushambulia uko ndani ya gari akiwa na LMG, gari ya kufunika huwez hata kutoka haraka au kupata usaidizi na anaewalenga ni amewakusudia ninyi tu, acha masihara kaka. Hutoboi hutoboi hutoboi. Bora wangelikuwa katika gari ya wazi ila ya kufunika na ni ambush. Temea mate chini ndugu yangu

    • @user-kd7mw6be5q
      @user-kd7mw6be5q Před měsícem

      Hao walisha zoea kama wanafikaga2 salama kumbe wamechomeshwa

  • @jamesjunior8641
    @jamesjunior8641 Před 2 lety +2

    Mussa chesa ndo staring wa mchezo

  • @issammanga123
    @issammanga123 Před 2 lety +1

    Hii ni Movie Kabisa , ila bongo tunalala kweli movie mapenz na Uchhawi tu.

  • @elinajamsuya9263
    @elinajamsuya9263 Před 2 lety

    Poleni

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před měsícem

    Hamjui kuuliza maswali...sema ni watu wangapi waliojitokeza kuwashambulia? Walikuwa ktk hali gani walipokujieni? Sio pesa kiasi gani? Ni Fedha!

  • @Eliabennet
    @Eliabennet Před 2 lety +1

    Kuna kitu kina miss kwenye hii story but dope story

    • @faithjonathan3845
      @faithjonathan3845 Před 2 lety

      Yeah..mfano huyu askari ndo anakumbushwa kuhusu traffic alosaidia. Na pia baada ya kutoka hospitali anaonekana hakufatilia kujua yule alowasaidia alienda wapi na kama pesa ziliokolewa au la. Labda anaficha anaogopa kumtaja muhusika alipo

    • @hamiskisime6973
      @hamiskisime6973 Před 2 lety

      Mnaambiwa hakuwa na fahamu za kujuwa Nini kilichoendelea. Mwamshushia lawama,,,,wabongo sie

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 2 lety +9

    Hahaha kikwete na Safari za nje

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Před 2 lety +2

    Hiyo sound inazingua

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před 2 lety +2

    Police mjifunze mnaposafirisha pesa chukueni silaha za kivita"na siyo kuwatumia waking wa vikampuni.

    • @davidcharles4412
      @davidcharles4412 Před 2 lety

      So wawewwnatembea na LMG,hiyo nisilaha hatari ya kivita

  • @AlphonceMrewa
    @AlphonceMrewa Před měsícem +1

    Hawa jamaa ni wazembe kwa pesa lazima uwe makini muda wote

    • @zolongOne
      @zolongOne Před 28 dny

      Wewe wale majambazi walikuwa na silaha nzito, kama 2 hivi walikuwa wanajeshi

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 2 lety

    watu wengi wasio na hatia.walikamatwa sana ..serikal ibadilike namna ya proscute

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před měsícem

    Yaani mlkua mnasafirisha mzigo 1B na point kama mnasafirisha mapapai daaah! Mmebeba magobole! Itoshe kusema ilkua uzembe na ufala2

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 28 dny

    We mzee muongo ule ulikua mchongo kama walikuzulumu sema kwanini wenzako wfae we upone

  • @Jumamabela
    @Jumamabela Před 8 měsíci

    Dah nimekumbuka Zaman nilikuwepo kama Mita Mia kutoka ulipokuwa mzani wa ubungo zamani

  • @jeremiahsanare8754
    @jeremiahsanare8754 Před 2 lety +3

    Daaah nakumbuka hiyo siku nilikuwa darasa la tano nikitoka shule ilikuwa Ni balaa aseee

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety +2

    " Chochote nitakacho kiona au kusikia ambacho ni siri kwangu au ambacho nimeaminiwa kwa kutokana na wadhifa wangu kitakua siri, ni siri ambayo sitaitoa kulinda maadili ya kazi isipokua itakapo bidi kwa mujibu wa sheria za nchiiii, ndipo siri itakapo fichuliwa ili kutekeleza wajibu wangu. "

  • @daimavlog
    @daimavlog Před 2 lety +4

    Mimi nimeangalia hiyo gari 0:55 iliyokata kwenye mwendo kasi ikirudi ilikotoka au ni police? Ajali nyingine za Tanzania jamani sasa hapo nipakugeuzia kweli? Hata ngoja niendelee kutazama video husika

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 28 dny

    Tena unaonekana ulikua mnoko

  • @keimwitu4975
    @keimwitu4975 Před 2 lety

    Kazini

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp Před měsícem +1

    Kama wewe unge kwenda fata nn pesa au mauti

  • @zolongOne
    @zolongOne Před 28 dny

    Yule traffic alipandishwa cheo

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 Před 2 lety +1

    Silahaa makini

  • @aboually2472
    @aboually2472 Před 2 lety +1

    Musa chessa ndo alifanya hili tukio mwamba amekil baad ya kuokoka

  • @user-vg9bu6zv8v
    @user-vg9bu6zv8v Před měsícem

    Nakupapole lakin mlikuwa wazembe sana ktka kujipanga kwenyeuliz

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy Před měsícem

      Sana2 mnasafirishaje mzigo kama huo kisenge namna hiyo kama machungwa halafu anasema kabisa hatukuwa na silaha kali sana wakati wana mzigo wa kutosha.Na kwa kauli hiyo hapo inaonyesha watu walichukua mzigo.

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 Před 2 lety +1

    Huyo traffic aojiwe

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 Před 2 lety +3

    Mashujaa mlionusurika!!!!!

  • @Baharia92
    @Baharia92 Před 2 lety +2

    Nasikia mmoja yupo segerea ndio mbabe wa jera nzima

    • @salumkibamba4768
      @salumkibamba4768 Před 2 lety

      Utakua unamuongelea Nazareth ambaye alisingiziwa, kashatoka toka 2014... Story yake iko hapa hapa kwa Millard,

    • @zolongOne
      @zolongOne Před 28 dny

      😂😂😂

  • @adamgereko1274
    @adamgereko1274 Před 2 lety +3

    Tunasubiria mahojiano ya huyo trafiki shujaa mumtafute pia

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 Před 2 lety +1

    Nakumbuka tukio hili

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 Před 2 lety +1

    Mashujaa mlionurika mkapandishwa vyeo🤔

  • @fredrickmwegole7841
    @fredrickmwegole7841 Před 2 lety

    Apo mbona kijichi

  • @loysaes2400
    @loysaes2400 Před 2 lety +1

    Ingefaa nimtafute huyo traffic officer

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 2 lety +3

    Mh!sasa umestaafu??

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 Před 2 lety +4

    Inasemekana piah hao waliovamia walikua ni askari walijua mchongo mzima.

    • @FadyFs
      @FadyFs Před 2 lety

      Harmonize - Outside remix ft. Flaizy
      Watch Out Now on CZcams
      czcams.com/video/YiCaTWiBMSs/video.html

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    🤦‍♀️🙌🙌

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem

    Mwanaume hana maziwa cammanda we vipi?

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Před 2 lety +4

    Nalikumbuka tukio hili,ila kuna trafiki mmoja mwamba aliwasimamisha wale majambazi wakakimbia.

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Před 2 lety

      Kweli kabisa kaka lamadhani namimi nakumbuka ilikua ivyo ivyo nakumbu Mimi nilikua naumli wa miaka kumi nane kipindi hicho nanilikua naishi tabata mawenzi wakati huo alie pigania jambo Hilo ni traffic 🙏🙏🙏🙏

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Před 2 lety

      @@mosesmwailenge5192 ilikuwa kama movie ya wizi wa bank ya The Heat! Polisi wakarusha helkopta angani ila moto ukawa mkali ili kuepusha maafa ikabidi ishushwe, jamaa wakawa wanatoroka kwa staili kuteka magari,wengine wakatokomea kwenye makambi Fulani...!! daah, Ubungo ilitekwa.

  • @mikeloy5635
    @mikeloy5635 Před 24 dny

    Kwanini wasiwawekee wafanya kazi mishahara hiyo palepale ubungo

  • @FarajiChande-wv5hd
    @FarajiChande-wv5hd Před měsícem

    Nimeona nyumba ya shujaa so mchezoooooo

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp Před měsícem +1

    Ujapewa mgao wewe

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 2 lety

    Dah alf anaishi maisha magumu tuu

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Před 2 lety +11

    Hao walikuwa watu wa lipangwa watu wa Bank walivujisha siri

  • @automotivetz1275
    @automotivetz1275 Před 2 lety +3

    One billion cash…RISKY

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 2 lety +3

    Je walikamatwa waliohusika na tukio lile?

  • @nyandapastory9420
    @nyandapastory9420 Před 2 lety +1

    Mchongo wa wakubwa

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem

    Lengo ni Nini mbona haieleweki kama hiyo bilioni Moja kama ziliokolewa

  • @rashidmwinyi6360
    @rashidmwinyi6360 Před 2 lety

    Sasa majambazi watawapa vipi taarifa kuwa watawavamia ? 😊

  • @nzumbimasanja
    @nzumbimasanja Před 2 lety +6

    Kuna yule mwanajeshi ambaye alihadidhia kwenye channel ya ambwene mwasongwe kuwa alisingiziwa kwenye kesi ya kosa kama hilo, je ndio tukio hilo au jingine?

    • @obedtusime181
      @obedtusime181 Před 2 lety +1

      Nadhani ndio tukio hilo. Kumbe yule jamaa ni mwanajeshi?🤔

    • @victorsomba867
      @victorsomba867 Před 2 lety

      Ni hili hiliiiiiiiiiiii

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Před měsícem

      Duuuh unakumbukumbu ndio yule mjeda jaman dunian Kuna matukio

  • @azizamvungi6203
    @azizamvungi6203 Před 2 lety +2

    Awam ya nne ilikuwa ya mateso sana..jamani hapana

  • @idanyahmed8701
    @idanyahmed8701 Před 2 lety +4

    Hebu muumtafute musa chesa Kama aliwah simuliia hii story

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Před 2 lety

    Hamkujiandaa na mnajua mmebeba hela?

    • @swahibually1723
      @swahibually1723 Před 2 lety

      Hapo sasa, Mzee ANASEMA hawakujiandaa,hivi hujui kwamba ukibeba hela ni sawa tayari uko vitani,na muda wote unatakiwa uwe tayari kwa lolote, Sasa mnakwenda kuchukua Pesa huku mkiwa na bastola, NYIE VP,mnatakiwa muende na Maguruneti,pia Pesa zisindikizwe ni Wanajeshi na sio polisi.

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 Před 2 lety +3

    Jamani huu ujambazi kama mmesikia mussa chesa yule mwizi mchawi ndio alikuwa kwenye tukio hili

    • @sanimoclassic1917
      @sanimoclassic1917 Před 2 lety

      Ww umejuaje? Ropoka tu tukuulize umejua vp

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 Před 2 lety +2

      @@sanimoclassic1917 Ingia you tube andika mussa chesa utasikia yote aliyoyafanya mpaka alijisalimisha mwenyewe serikalini amekiri na hii pia alisema alihusika na alikuwa akitumia ujambazi kwa nguvu za kishirikina

  • @chamsomc5526
    @chamsomc5526 Před rokem

    Anaitwa meja Muni daaah ktambo

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 2 lety

    Intellejensia ilikuwa dhaifu

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety +8

    Awamu ya nne ilikuwa ni mateso makubwa kwa Watanzania. Huyu jamaa angehudumiwa vizuri na serikali mpaka mwisho wa maisha yake. Kikwete kazi yake ilikuwa Safari tu za nje. Kulikuwa na uhalifu mkubwa kila kona. Na kwasasa uhalifu huu unarudi. Nafikiri serikali imeisha hata kumsahau . Na Tundu Lissu bado analalamika na risasi zake 16. Polisi wanapambana na uhalifu kama huu kila siku. Huyu hatujamusikia akimulaumu KIKWETE.

    • @mrishojuma4857
      @mrishojuma4857 Před 2 lety +1

      Acha zako wewe. Matukio kama hayo watu wa Benki huwa wanafanya njama na waharifu na wanavujisha siri. Sasa Kikwete amefanya nini kibaya hapo? Acha chuki ndugu, Ikiwa maadhura mwenyewe anamshukuru JK kwa kutambua mchango wao na hivyo kuelekeza wapandishwe vyeo kisha uchunguzi ukaendelea je wewe ulipeleka hata paracetamol? Kumbuka lawama ni Tamu pindi itokapo mdomoni lakini pekeyake haisaidii Katibu majeraha .

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 Před 2 lety

      @@mrishojuma4857 Faru Joni na tembo waliokuwa wanamalizwa na pembe kukamatwa bandarini Malaysia? NI watu wa benki nao walivujisha? makinikia je..? Ni watu wa benki pia? NI kwa nini mwamtetea Kikwete? The guy was useless..!

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@mrishojuma4857 ningepeleka paracetamol wakati Rais fedha zote aliziweka kwenye briefcase kwenda Ulaya kupiga raha? Kulikuwa na uhalifu mkubwa sana awamu ya nne. Pengine wewe ulikuwa ukiishi ikulu kwenye ulinzi mkubwa. Wakati huo ulikuwa wenye madaraka ni kula bata. Masikini shauli yawo. Nidhamu ilipotea na wizi ukapamba moto. Na sasa tunaona historia inajirudia

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 2 lety

      @@mrishojuma4857 ee huo ndio ukweli SERKALI YA KIGOGO anacheza tu na hakili za wa AFRICA KILA SEKTA KAWEKA WATU WAKE WA OVU UKIENDA HOSPITALI KUNA MTU WAO WA KUUA WAKUBWA WA SERKALI WEMA UKIENDA USAKAMA WA TAIFA KUNA MTU WAO WA KUTOA SIRI ZA IKULU NA WAKULINDA MADAWA YA KULEVYA UKIENDA BANK KUNA MTU WAO WA KUTUFATULIA SISI PALE TUCHUKUAPO PESA ZETU KALIKA YAWEZEKANA HATA HILI ALILIPANGA PAHATI MBAYA YAKE HALIKWENDA APENDAVYO NDIO IME MBINI KUHAIRISHA SAFARI

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 2 lety

      @@mrishojuma4857 kama wana samini ulinzi wa huyu ASIKARI jee hadi sasa serkali wamempa nn baba huyu? Kama halikusukwa kwanini hawasikii uchungu na kumfanyia chochote?

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 Před 2 lety

    Sasa hkun hat mmoj alie kmatwa

  • @thomasikombe5724
    @thomasikombe5724 Před 2 lety +2

    Daa aisee mungu Mkubwa sana!!