SIMULIZI: ALIHUKUMIWA KUNYONGWA, MKAPA, JPM WAKAMUOKOA "NIMEKIONA KITANZI, WENZANGU WALINYONGWA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2021
  • Ni simulizi ya maisha ya Mzee Hussein Khatibu Kifunza aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa mwaka 1985, huku akishuhudia wenzake wakinyongwa gerezani (+255688190217).
    Ayo Tv na Millardayo.com imezungumza na Mzee Kifunza ambaye ni mzaliwa wa Mzizima ambayo kwa sasa ni jiji la Dar es Salaam amable alisamehewa na Marais wawili tofauti ambao kwa sasa wote ni marehemu, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Dr.John Pombe Magufuli.

Komentáře • 379

  • @dullysimulizi
    @dullysimulizi Před 3 lety +62

    Tuliosikiliza huu mkasa huku machozi yakitoka gonga like hapa😥😥

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 Před 3 lety +41

    Allahu akbar. Ewe mola wetu tusamehe mazambi yetu na utuongoze katika njia yako... tukumbushe pale tunaposahau amri zako kwa ukumbusho ambao hauna mazara kwetu. Aaaamin.

  • @user-wv3th2ln4d
    @user-wv3th2ln4d Před 3 lety +22

    Ya Allah magufuli sinto kusahau maisha yangu yote wallah ntabaki kukupenda upendo wakwweli Haufi ntabaki kukupenda 💔💔😭😭 Allah akurehem huko ulipo

    • @user-df6ui9ro8s
      @user-df6ui9ro8s Před 12 dny

      Msamaha unatokag kila rahis akiingia madarakan wanaobahatik huy kabahatik zama za magu mama yangu mdog alihukumiw kifungo cha maisha alitok mwaka km sikosei 2007 au 8 alitok msamah wa kikwete

  • @SechelelaMnyangwila
    @SechelelaMnyangwila Před 21 dnem +2

    Pole sana Baba yangu kwayaliyo kukuta ,Mungu aendelee kukulinda katika umri wako wa uzee hukukosea pole mkasa unatisha ,Ungefanyika Utaratibu achangiwe Ili ajikimu.

  • @selinathomas2096
    @selinathomas2096 Před 3 lety +34

    Mungu mrehemu John Pombe Magufuli kusamehe adhabu ya kunyongwa sio Jambo dogo

  • @KenyaExposeTV
    @KenyaExposeTV Před 3 lety +55

    Tutaishi kumkumbuka hayati Magufuli❤️❤️

  • @sakinaramzu2878
    @sakinaramzu2878 Před 3 lety +24

    Mungu nijaalie mwisho mwema binadam wewe ni nani unae weza kuukumu na kukatisha maisha ya mtu eh mungu

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 Před 3 lety +19

    Hakika Mungu wetu ni mwema Sana huyo Mzee ni ushuhuda Mkubwa Sana Mungu alimuepusha Raisi Magufuli mikono yake kunyonga nchi inaweza kulaaniwa kwa Mambo mengi sana

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 Před 3 lety +6

    Mungu akufanyie njia aliye kuwekea mama yako hadi kukushuhudia mwanae ukirudi tena uraiani umenikumbusha story ya mwanamke mjane (Nabii mke) ktk Biblia Mungu alimwambia hutakufa hadi umuone mwokozi (Yesu ) na kweli umri wa miaka 80 akamshuhudia Yesu hekaluni. Utukufu kwa Mungu aliye juu. Da kwa history hii Mungu anakupenda sana

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 3 lety +51

    Magufuli ulale pema peponi tutakukumbuka Daima 🙏🙏🙏

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 Před 3 lety +31

    Subha Allah iv iyi dunia binadam wanaroho gani,mtu anafugwa miaka 35 alafu kwakosa lakusingiziwa inaumwa

  • @Abisto10
    @Abisto10 Před 3 lety +13

    Imani Imani Imanii Alhamdulillah Ma’sha’Allah * Assalama aleikum kaka

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety +10

    89dah mungu mpunguzie magu azabu ya kabri

  • @fadhilikawambwa1586
    @fadhilikawambwa1586 Před 3 lety +7

    Dunia ndio ijue sio kila mfungwa anahatia.pole sana mzee.mshukuru sana mwenyezi mungu.

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 Před 3 lety +9

    Jamani haya Maisha ni safari Sana kazi zingine ni ngumu Sana Mungu tusaidie

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 3 lety +11

    Mtangazaji kongole kwako kazi nzuri 🙏🙏🙏🙏

  • @ibrambele7725
    @ibrambele7725 Před 3 lety +5

    Pole xana mzeee kilio cha mateso ulichokipata mungu yuko pamoja na ww mungu ataendelea kukufuta machozi

  • @aminaabdallah9117
    @aminaabdallah9117 Před 3 lety +7

    Mungu siAthuman baba ona Haki aizami mzee mungu anakupenda Sana zidi kumuabudu mungu

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 3 lety +4

    Duuuhh pole babu mda kweli yani. hatakuzaliwa mm bado zijawazwa.daah kakupotezea ndotozako kweliyan.Allah kareem uwezijua nn kakuepusha.❤

    • @elinasanga9731
      @elinasanga9731 Před 3 lety +1

      Yaan acha tu hana mtoto wala mke inaumiza sanaa🙌😭😭😭😭😭

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před 3 lety +6

    Ila serikal wakat mwingine wawe wanasikiliza vizur sasa huyu Baba ana makosa gani daaah jmn pole Sana bab

  • @hbsolo5579
    @hbsolo5579 Před 3 lety +33

    Naomba milad ayo kma itaezekana kufungua account ya mchango ya kusaidia wazee kama hawa walo poteza maisha bila hatiya.. Inaskitisha sna.. Allah Kareem

    • @ManMan-sz8fy
      @ManMan-sz8fy Před 3 lety +1

      Hapo xafi waxo jema

    • @lubnalubna608
      @lubnalubna608 Před 3 lety

      Siamekutwa na hatia na mahakama.

    • @nooroman2535
      @nooroman2535 Před 3 lety

      Inalilai walnalilai rajiuni pole sana baba Mwenyezi Mungu hatakulipa

    • @nooroman2535
      @nooroman2535 Před 3 lety

      Inasikitisha sana pole baba mitihani ya dunia jamani

    • @nooroman2535
      @nooroman2535 Před 3 lety

      Jamani wapangaji tuwewakweri kwa wenyenyumba tutapata zambi nakuwapoza wazee kama uyu baba

  • @marianakapeller4699
    @marianakapeller4699 Před 3 lety +17

    Magufuli tunakukumbuka every second we are breathing, may God rest you in easy Sir.

    • @dadapechi
      @dadapechi Před 3 lety

      Akina babu seya pia

    • @enterenter1921
      @enterenter1921 Před 2 lety +1

      Rip mzee mkapa huyu mzee atakumbukwa daima Maan Hawa wakuhukumiwa kunyongwa wote adhabu ilibadilishwa,, kila Rais anamazuri yake namabaya kila utawala wafungwa huachiwa huru

    • @saidikobossa7489
      @saidikobossa7489 Před 2 lety

      @@dadapechi ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp0p

    • @OscarMgaya-sw3df
      @OscarMgaya-sw3df Před rokem

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 Před 3 lety +9

    Kakaayo tunaomba ufanye taratibu za number ya mawasliano, ikiwezekana usimamie tumuwezeshe mzee mwisho wake uwe mwema, maana Hana uwezo wa kufanya kazi kweri inauma mno jaman 😭😭

  • @burnmotto1876
    @burnmotto1876 Před 3 lety +5

    Pole Sana mzee mungu wetu mkubwa, nakushauli hiyo nyumba samehe mungu atakuzidishia pepo bora zaidi

  • @halimamimarich3799
    @halimamimarich3799 Před 3 lety +8

    pole bbngu...Allah atakulipa kwa yote😢😢😢naskiaa uchungu nathmn niko n uwezo nikawmle hao wanao jifnyaa ndio wakubwa kwenye hii dunia....ila Allah atawalanii ....

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7

    Pole Sana Baba😭😭😭zulma hii jaman

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před 3 lety +4

    Pole baba Mungu yu mwema upatiwe yu haki yako tunaye Rais mwema pia ataliangalia hili kwani miaka 37 si mchezo. Mwenyezi Mungu tupe mwisho mwema

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 3 lety +20

    Huruma jamani
    Anavyosimulia huruma
    Kosa la kusingiziwa
    Mungu mkubwa

    • @elinasanga9731
      @elinasanga9731 Před 3 lety

      Yaan we acha tu 😭😭😭😭😭😭inaumiza sana hii story

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 3 lety +8

    Bb yangu
    Mshtakie Mwenye i mungu
    Allah atakulipa kwa dhuruma uliyofanyiwa

  • @mundhiraliy1307
    @mundhiraliy1307 Před 3 lety +2

    Pole sana babu😥 Serekali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tz imezidi dhulma 😥 Kunawa2 miaka 9 sasa wanaadhibiwa bila yakosa 😭 Allah atawalaani kwarehma zake🤲 Nanyinyi muonje machungu yake kabla hamjafa 🙏

  • @ladymuna4945
    @ladymuna4945 Před 3 lety +2

    Pole sana ALLAH atazidi kukufanyia wepesi In sha Allah

  • @saidomari001
    @saidomari001 Před 3 lety +6

    alhamdulillah,kikubwa mzee wangu ukiweza waeza oa na zaidi kumuomba mungu maisha ya yaliobaki ,usikate tamaa baba

  • @aishamsemo5154
    @aishamsemo5154 Před 3 lety +3

    Daaah Maisha haYa....inauma Sanaa😭😭mungu tupe mwisho mwema

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 3 lety +8

    Inalilahi Wainailahi Rajeehun kumbe nchi yetu ina sheria ya kunyonga🥺🥺🥺🥺Allah awafanyie wepesi woote waliyopo magereza Ooooh my Lord moyo umenimuaaaa. Mashaalah mzee anakumbukumbu zote

    • @mirajimwango5763
      @mirajimwango5763 Před 3 lety +1

      Ilikua zaman, Marais wengine walikua hawatii SAINI

    • @enterenter1921
      @enterenter1921 Před 2 lety

      Ipo ila haitekelezwi iliwah tokea Enzi za Rais mwinyi tuu aliwah sain wafungwa wakanyongwa sikumbuki idadi lkn haijawah kutokea tena

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Před rokem

      ​@@enterenter1921😢😢 duuh kumbe mwinyi nae alisaini hiyo kitu innalilah waina ilah rajiun 😢

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 Před 3 lety +2

    Pole sana babu Allah akuhifadhi na akuongoze katika khaki ufanye yale yenye kumfurahisha Allah

  • @kimolankenyenge7158
    @kimolankenyenge7158 Před 3 lety +19

    Daaaah kipind cha mwinyi matatzo watu walikuwa wananyongwa sana sijuw kwa nini mbona uongoz wa jpm hakuna hata mmoja aliyenyongwa Rip John pombe magufuli

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před 3 lety +3

    😭😭😭😭hata sijui hawa Askari wanaonyonga huwa wanakua na roho gani mweee pole Sana Baba angu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 3 lety +6

    Pole babu mungu akulinde atulinde nasi na vizazi vyetu

  • @salhakristina9434
    @salhakristina9434 Před 3 lety +30

    Ukweli naumia sana 😭😭😭😭

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 Před 2 lety +2

    Duh machozi😭😭😭😭 yamenitoka ee, mungu wangu, watoto wetu vizazi vyetu,

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Před 3 lety +6

    Pole sana Allah atakusaidia inshaallah

  • @elinasanga9731
    @elinasanga9731 Před 3 lety +4

    Nimelia jaman🙌😭😭😭😭😭jela haina mwenyewe daah Mungu tu mzee wetu kutoka kwenye kitanzi

  • @mohamedaminah3448
    @mohamedaminah3448 Před 3 lety +3

    Daaaaaaaah akisimulia mambo yakunyongwa mwiliulinisisimka nakutetemeka .

  • @bakaribakari6444
    @bakaribakari6444 Před 3 lety +2

    Allah Ndio hakimu muadilifu..atawahukumu wote hao wanaojifanya mahakimu

  • @abdallahsaidi2942
    @abdallahsaidi2942 Před 3 lety +3

    Mungu akufanyie wepesi kwakila jambo

  • @kiluwaselemani4246
    @kiluwaselemani4246 Před 2 měsíci

    Ewe allah msamehe namakosa yake mzee wetu Joan Pombe magufuli kwa rehema zako inshallah utupe mwisho mwema😭😭😭😭

  • @kobanyawale3709
    @kobanyawale3709 Před 3 lety +1

    Asante Ayati Magufuli kwa hekima yako kumsamee uyu mzee

  • @mariamissa1528
    @mariamissa1528 Před 3 lety +9

    Inaumiza sana tuombe mwisho mwema

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 5 měsíci +1

    Hii nchi haki inapotezwa sana na wengi walio jela hawana hatia 😢 walio fanya makosa wapo tu nje wanapeta 😢😢😢

  • @faridamohamed3561
    @faridamohamed3561 Před 3 lety +1

    Mwenyezi Mungu atupe jicho la kuwajua marafiki wazuri na wabaya

  • @sittakibishi5019
    @sittakibishi5019 Před 3 lety +9

    Pole sana mzeee

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +2

    Al hamdulillah Rabil alamiin haki ya mtu haipotei.

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 Před 3 lety +5

    Pole baba mungu alihukumu hukumu yake ya kweli

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 Před 3 lety +16

    Daah Jaah bless. jela kweli haina mwenyewe

  • @omarymasukilawachawiiwamez8924

    Mungu alimtuma magu na katenda kazi kachukua mjaa wake bila ya magu inamana bila jmp Bado angekua gerezani

  • @jonathanjocksonmushi9518
    @jonathanjocksonmushi9518 Před 3 lety +5

    Pole sana mzee

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 3 lety +4

    Pole sana bb yng
    Pole sana

  • @jumakikwenga5803
    @jumakikwenga5803 Před 2 lety

    Polesana Mzee, mungu amekuongoa bac mchemungu Sana, ili mungu akupokee akhera na ukafurahie malipo mazuri inshaallah.

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 Před 3 lety +9

    Allah akbari, *ni kweli hakimu muadilifu ni Allah pekee*

    • @zurfashafii9531
      @zurfashafii9531 Před 3 lety

      Yani kuna binti yangu aipendi hii kazi ya uwakimu anakwambiya hii kazi ya lhana kesho kwa mungu uwezi fanya hii kazi mwanzo mbaka mwisho bira ya kumzurumu mtu haki yake

    • @marrowog8975
      @marrowog8975 Před 3 lety

      @@zurfashafii9531 masha Allah

    • @RioIpo
      @RioIpo Před 3 lety

      @@zurfashafii9531 Masha Allah

    • @RioIpo
      @RioIpo Před 3 lety

      Naam
      “Alaisallahu bi-ahkamil haakimin”

    • @zurfashafii9531
      @zurfashafii9531 Před 3 lety

      @@RioIpo shukulani

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 3 lety +12

    Wewe unamtamkia laana.hayati j.p.m.lakini wananchi wakawaida wengi.wamemwachilia baraka.tafakari ww unayemlaumu kila siku.unashindwa hata kulala

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 Před 2 lety

    Alhmndulillah umepata bahat mama mzazi bado yupo Hai jambo lakumshukuru Allah

  • @isayakibona2466
    @isayakibona2466 Před 3 lety +4

    maisha hyaa nikwamda tu pole sana mzee

  • @johnluyego9353
    @johnluyego9353 Před 2 měsíci

    Bado Mungu yupo kwa ajili ya wanyonge. Tuendelee kumtumania Mungu

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 Před 3 lety +12

    Maskini 💔 wakupe chako bhana

  • @ramadhaniamri3465
    @ramadhaniamri3465 Před 2 lety

    Mungu baba mwingi wa Rekhema mwenye kurehemu naomba uniondolee na mikosi nuksi na balaa,kwa mtu usiye fahamu jela siyo kuzuri,ogopa Maisha yakula kwa muda kunywa maji kwa muda kuoga kwa muda kulala napo ni kwa muda na ogopa unaenda jela kwa kosa ambalo hauja lifanya,Mungu baba mwingi wa Rekhema akulaze mahali pema peponi Raisi wetu Hayati John Pombe Magufuli Mungu akundolee adhabu za kaburi akupe kauli thabiti....Aamiin

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Před 3 lety

    Pole sana mzee m/mungu ashukuriwe ndiokilakitu

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 3 lety +2

    Dah 😢😢
    “Alaisallahu bi-ahkamil haakimin” Suratul TIN aya ya 8
    " Jee! Hakika Allah sio hakimu muadilifu?"

    • @habibahadithi5080
      @habibahadithi5080 Před 3 lety +1

      Umenifanya nitoe machozi kwa hii Aya ,kweli kila uweza na nguvu ni za Allah hakika Allah ni mmiliki wa kila kitu

    • @RioIpo
      @RioIpo Před 3 lety

      @@habibahadithi5080 Naam tunajiachia sana wanaaadam.. wakati wisest judge ni Allah

  • @suleimansalim7194
    @suleimansalim7194 Před 3 lety +2

    DUH,POLE SANA TANZANIA HII SIO MCHEZO

  • @isamony58
    @isamony58 Před 3 lety +3

    leo nimekubali waliyo jela ciote wenye hatiyaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🤲

  • @fatmaalaufi9073
    @fatmaalaufi9073 Před 3 lety +15

    Walonyongwa na wanyongaji tutakutana mbele uko kwa hakimu wa haki

  • @hassaniajaba1530
    @hassaniajaba1530 Před 3 lety

    Pole sana mzee du mungu anatisha jamani kama mungu kakupangia ufike ulaya utakwenda hata huskujuwe na mungu akupe uhai mkubwa du kifo hadi uhai

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih2815 Před 3 lety +3

    YAA RABBY TULINDE NA MASHARI YA DUNIAN

  • @issacktiibuza
    @issacktiibuza Před 10 měsíci

    Malanyingi penye ukweli MUNGU husimama!pole sana mzee!

  • @eshaomari6363
    @eshaomari6363 Před rokem

    Mungu ashkuriwe na vilivile baba wa taifa alie mtetezi wa wanyonge

  • @eddyjosephmagenge9658
    @eddyjosephmagenge9658 Před 3 lety +5

    Pole baba . RIP my JPM

  • @ombeniefata2239
    @ombeniefata2239 Před 16 dny

    Mungu hatunusuru

  • @faudhiahabibu9905
    @faudhiahabibu9905 Před 3 lety +11

    Pole Sana mzee 😭

  • @salimocassim6431
    @salimocassim6431 Před 3 lety

    Mashallaah pole sana

  • @evamakoi668
    @evamakoi668 Před 3 lety

    Pole sana baba mtangazaji ujamuoji vizuri

  • @ZiruuChejojr-zb7jr
    @ZiruuChejojr-zb7jr Před rokem

    Mungu nijalie baba insharah

  • @jhfgbn87hshswj17
    @jhfgbn87hshswj17 Před 3 lety +7

    Baba pore sana

  • @chingawadunia3621
    @chingawadunia3621 Před 3 lety

    Pole San alahhh amekuona Shee wanguu

  • @miriamsadalah6859
    @miriamsadalah6859 Před 3 lety +1

    Pole sana

  • @kobanyawale3709
    @kobanyawale3709 Před 3 lety +1

    Pole mzee wangu

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew3926 Před rokem

    Pole sana Mungu atakusaidia

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 Před rokem

    Pole Sana mzee MUNGU amekunusuru azabu ya kifo🙏🙏

  • @asyaamuhammed2408
    @asyaamuhammed2408 Před 3 lety +18

    Mbona wabakaji hawnyongwi Tena wanabaka watoto wa kiume

  • @samwelkyando1124
    @samwelkyando1124 Před 3 lety +3

    Allah akbar!

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 Před 3 lety +4

    katika story nilizowai kusikiliza nikaenjoy ni namba 1

  • @omarymasukilawachawiiwamez8924

    Ewee mwenyewe mungu tufanyie wepesii mwisho mwema mjarie mzee wa watu maisha haya hayana huluma

    • @kiangomorgan4761
      @kiangomorgan4761 Před 3 lety

      Dunia niuwanja wafujo.pole sana Baba hapo serikali ilitakiwa imlipe fidia.

  • @husseinhajji6984
    @husseinhajji6984 Před 3 lety +3

    Hawa watu wanaofanya Huuu Unyamaa Mungu Atawalipa Na Wao Malipo Yaoo Maana Inasikitisha

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 Před 3 lety +5

    Masikini kosa afanye mwengine adhabu apate mwengine kweli si wote waliojela wanahatia

  • @manahiljamal834
    @manahiljamal834 Před rokem

    Pole sana mzee wangu

  • @alhajbakary7337
    @alhajbakary7337 Před 3 lety

    God bless u

  • @alisenipeter4307
    @alisenipeter4307 Před 3 lety +1

    Dah Yani inauma sana hao maaskali walaniwe sana mzee hata hana hata hatia kwakweli

  • @alibomba3304
    @alibomba3304 Před 3 lety

    Napenda saana kuatili chaneli z Ayo Tv maanani zahukakika na anacho kiandika ndicho anacho kitangaza Mungu akuzidishie

  • @juneydillaziz4701
    @juneydillaziz4701 Před 3 lety +1

    Mungu atunusuru wallah

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 3 lety +6

    Bb yangu
    Sjikamana na ibada

  • @GladnessIsaya
    @GladnessIsaya Před měsícem

    Lakini kwakweli kufungwa ni kubaya mno ila najaribu tu kuwaza kama kusingekuwa na mateso gerezani nadhani ni sehemu ambayo inasaidia watu waepuke kula vyakula hatarishi kwa afya za watu,huyu mzee angekuwepo uraiani yaani hata asingekuwa na kumbukumbu nyingi hivyo maana haya maradhi ya sikuhizi yanatupotezea wazazi wetu,😢 ee Mungu mkuu tetea na samehe wafungwa wote na utufundishe kuishi maisha ya haki🙏

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 Před 3 lety

    Pole saana mzee