#EXCLUSIVE
Vložit
- čas přidán 25. 04. 2024
- #EXCLUSIVE: SIMULIZI ya WAFUNGWA WALIOKUTANA GEREZANI WAKAOANA BAADA ya KUTOKA JELA - WANA WATOTO WAWILI....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hongera sana ndugu Abdalla mwenyezi Mungu azidi kukupa wepesi na kukulinda katika kazi yako.
Jamani poleni Sanaa
Kongole Mungu awabariki
Subhana Allah poleni wote na hongereni Allah awadumishe kwenye ndoa yenu Allahumma Aamiyn
Kafungwa kwa mambo ya ndoa aka toka Jela na Ndoa
Tanzania watu wengi wana fungwa jela kwa kesi za ku singiziwa😢😢
Hii story ya siku nyingi sanaaaa
Pole sana
Dah poleni sana
Poleni nyinyi wote wawili
Anajua maumivu yangu hii ni key point ya mahusiano yoyte yale
Dah unamfunga mtu kisa cha kipuuzi aisee ni kina Manara no 2 hao Subhannallah Mungu atatoa hukumu
Mbona ya mda sana hii
Awa watu atarii sana..
❤❤
Watoe movie ya walivyokutana gerezani mpaka wakafunga ndoa
Kifo cha dereva bodaboda huyu dada ame singiziwa nchi ina sheria za ovyo kmmke
Nimepiga simu hii wananibu mtandao kuwa imesitishwa nioigieni tafadhali
Nahitaji kutoa msaada kidogo tafadhali
Nimepata hamasa ya kuwa na hili kundi kwa ajili ata mi niliwahi kukaa jela nchini Zambia na kosa lililonipeleka sikuhusika nalo na nilikaa kwa miaka miwili kama ni mshukiwa
Daaa pole sana