MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 03. 2022
  • MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
    Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.
    Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 974

  • @netlity5532
    @netlity5532 Před 2 lety +264

    Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kigoma! Tanga mnalipi la kusema hapa 🙌 sikiliza dakika ya 6:08 Hadi 6:16 halafu njoo unipe like hapa 😜

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 Před 2 lety +2

      Tanga umalaya

    • @lovenessfrancis9947
      @lovenessfrancis9947 Před 2 lety +15

      Tanga hakuna jipya siku izi ata mapishi kwisha

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 2 lety +9

      Aaaaah hivi tukio hili lingetokea Tanga mke angekimbia?

    • @netlity5532
      @netlity5532 Před 2 lety +6

      @@mashramadhani1989 hizo ..nge hatuwezi kuzijadili maana bado hazijatokea.... Watu wa kigoma Kwa sasa ndo wameshika usukani kwenye mapenzi ya kweli

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 2 lety +2

      @@netlity5532 aaaaaaah hatari sana kigoma

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 Před 2 lety +53

    Yn hiyo kaul imeniingia San yn kwamba sikuogopa bastola sabab nilijuwa kuwa mme wng asha kufa ckuwa na sabab ya kuishi dàaaaah 💪😭😢🤔

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 Před 2 lety +148

    Hii inaitwa self defense.kufa kupona Ni muhimu kujitetea.
    Nani amemkubali huyu binti Kama Mimi.Mungu awape ujasiri Wanawake wajue kujitetea Mungu.akiwa upande wao watashinda tuu.👆

  • @dorisurio8001
    @dorisurio8001 Před 2 lety +31

    Ni Mungu mwenyewe..hongera Sana mwanangu

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon81 Před 2 lety +50

    Hongera kwa ujasiri wako dada mrembo, Kaka umepata mke mwema

  • @gracapk10
    @gracapk10 Před 2 lety +18

    nimekupenda Sana dada... dumu kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.

  • @MilioneaTv
    @MilioneaTv Před 2 lety +90

    Una sifa zote dada mrembo mcha mungu una mahaba ya dhati pia jasiri wadada wa mwendo kasi mjifunze hapa

  • @musafrancis3584
    @musafrancis3584 Před 2 lety +135

    Saf Sana dada Ila wandishi mmekosea xn kumuonyesha sura hyu dd n hatar kwenye maisha yke kwa ss

    • @hamidmweusiii35
      @hamidmweusiii35 Před 2 lety +10

      Apo umesma kwl maan Hawa waandishi wambea sana Hawa unafkri hii clips wakiiyona majambaz na wanajua Kam mwenzao kauliwa tena alobabisha hyu dada na weshamuon heee siku znahesbika kw hy dada

    • @sulaimanomary6533
      @sulaimanomary6533 Před 2 lety +4

      Hii clip sio ile ya zamani kweli

    • @halimasulaiman3229
      @halimasulaiman3229 Před 2 lety +4

      Kweli kabisa wangeficha sura hatar kwake ila hongera kwa ujasir pia unamapedhi ya dhati kwa mumewako mungu awalinde katika ndoa yenu

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 2 lety +2

      Kwani unafikiri ndugu na marafiki wa aliyeuawa hawamjui huyu Dada?

    • @neema_mollel
      @neema_mollel Před 2 lety

      Kabisa

  • @aswileedson2978
    @aswileedson2978 Před 2 lety +37

    Wewe mwanaume una Deni la kumlinda na kumpa heshima mkeo. Anakupenda ameyatoa Maisha kwa ajili Yako, halafu kesho umzingue tutakunyooosha, Hongera mwanamke wa shoka.

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 Před 2 lety +14

    Wanawake wanapiga sana ukikaa na mke wako vizuri atakutetea kila kona

  • @witneywilly
    @witneywilly Před 2 lety +26

    Eeh Mungu mlinde huyu dada... kwann mmemuonesha sura huyu dada jaman. Si salama kwake

    • @FridaMmari
      @FridaMmari Před 8 měsíci

      kama ilikuwa si salama si salama tuu MUNGU ndie anamlinda, unazani wanaomfanyia mtu ubaya hawamjuii, mpaka wanaenda kwao wanamjua

  • @bengachuru1390
    @bengachuru1390 Před 9 měsíci +5

    Hongera sana kwa huyu mama. Mapendo iko kati yenu. Mungu abariki nyumba yenu. Poleni kwa mashambulizi.

  • @muonambali
    @muonambali Před 2 lety +15

    A definition of true love. MOLA awalinde na kuwaongoza katika maisha yenu ya ndoa, 💪🏿😍🙏🏿

  • @pendopendojoshua7624
    @pendopendojoshua7624 Před 2 lety +18

    Kwa kweli Mungu kakutetea mwanamke jasiri.

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před 2 lety +9

    Hongera sana dada kwa kulipigania penzi lako Mungu akulinde

  • @tabithamulwa8714
    @tabithamulwa8714 Před 2 lety +9

    Congrats my SIZ your are one in a million am proud of you with thank God for granting you life as a family be strong every thing happens for good for those who love the lord more grace in Jesus name

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Před 2 lety +6

    Hongera dada kwa kupata ujasiri ambao umesaidia kumwokoa mume wako,Mungu akusimamie.

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 Před 2 lety +5

    Masha Allah bro umepata mke mwema Mungu ambariki na aendelee kumpa mapenzi na ujasili

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 2 lety +24

    Maashaallah super women kama hawa ndio wanastair tuzo ,lkn pia nunuen silaha na nyinyi

  • @SakinaShaban-kl8fx
    @SakinaShaban-kl8fx Před 6 měsíci +2

    Mwenamke sehemu yyte anatakiwa awe jasri hata ktk bibilia wanawake tumefananishwa na jeshi ko ss ni majeshi wa kimwili na kiroho hongera sana dada yangu kwa mapambano mema

  • @biberpriyer330
    @biberpriyer330 Před 2 lety +17

    Kwa mapenz haya bado unamkuta mwanaume anatoka nje ya ndoa dah 😭😭huyu mdada ni wa kuzeeka nae kwakweli ameonesha upendo wa Hali ya juu

    • @latifaomary
      @latifaomary Před rokem

      Wanaume hawaridhikagi mbn ata wafanyiwe nn wanatoka nje tu

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 Před rokem +3

    Mungu akulinde Hongera sana Nimekupenda bure

  • @sophiamarco3839
    @sophiamarco3839 Před 2 lety +5

    Safi sana Mungu azidi kuwalinda wote na familia yenu.

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 2 lety +14

    Haya ndio mapenzi ya dhati sasa,,,, huyu ndie mwanamke wa shoka hakukata tamaa wala uoga wa kukimbia tukio ,, Allah amponye huyo mume wake arejee km awali na awadumishe kwenye upendo wao hadi wazikane

  • @carolineondabu4539
    @carolineondabu4539 Před 2 lety +7

    Dada wacha mungu akulinde sana hapo ulitumia zaburi 23:1...mungu hawalinde siku zote

  • @stellahemilian9168
    @stellahemilian9168 Před 2 lety +3

    Bastola ilikua na risasi moja tu walipompiga mumewe ikaishia hapo.mungu ni mwema alikujaza ujasiri, hongera.

    • @skuhenga
      @skuhenga Před 2 lety

      Hapana itakuwa ili jam..

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 Před 2 lety +19

    Huyu mwanamke ndiyo wanaitwaga wife materials, ana package zote za kuwa mke wa kuolewa, ni mwili mmoja kweli kwa mumewe.

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Před 2 lety +1

    Masha Allah Dada kwakujikita kutetea maixha ya mumeo.ww mwanaume umexhindaj sana mkeo ukija kumsaliti Mungu atakuadhibu

  • @mariamsamson2679
    @mariamsamson2679 Před 2 lety +2

    Hongera malkia wa nguvu,ni kwa neema ya Mungu ninyikuwa hai mpate kuyasimlia matendo makuu ya Mungu.

  • @queenkileo3698
    @queenkileo3698 Před 2 lety +18

    Palee pale......
    God is Goood!!!

  • @rehemaissa5689
    @rehemaissa5689 Před rokem +3

    Umempata mkwe mwenye mapenzi ya kweli Allah awajalie ktk maisha ya ndoa yenu

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Před rokem +1

    Hongera sana dada kwa ujasiri uliopigania mali yenu hlf kesho na kesho mume umuone mkeo hafai mungu awape upendo zaidi ktk maisha yenu

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter458 Před 2 lety +9

    Wewe Mungu atakuwezesha Sana zaidi umepambana hakika ni jasiri piga supu mama

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 Před 2 lety +4

    Mashaalah unaakili sana mwanamke zaidi ya mke

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Před 2 lety +11

    True love keep it up

  • @zainaseleman3043
    @zainaseleman3043 Před 9 měsíci +2

    Neema ya Mungu iko pamoja na wewe Dada Mungu akupe ujasiri zaid huu in mfano wa kuigwa

  • @agnesmagehema576
    @agnesmagehema576 Před 2 lety +6

    Hakika wewe ni mwanamke Jasiri Mungu akulinde na kukupigania na Mumeo akupende Daima

  • @eliaspeter1258
    @eliaspeter1258 Před 2 lety +34

    Huyu Mwanamke ni zaidi ya Mke

  • @user-vd7wy1sj1f
    @user-vd7wy1sj1f Před 7 měsíci +4

    Mwanamke Bomba 😂❤❤❤

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety +5

    Hongera dada mungu awabariki na mumeo uzidi kupata ujasiri

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +39

    Ila waandishi nyie mnafanya kosa kumtowa Sura yake Sababu hao majambasi ni wanaadam na mkumbuke mwenzao amefariki huyo aliefariki japo jambazi mkumbuke ana ndugu ana wazazi ana hao watu wake walioshirikiana nae hiyo kazi wanaweza kumvizia huyo Binti na kulipa kisasi angalieni msije mkawaponza hao watu

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 2 lety +3

    Mungu Akusimamie kwa kila Jambo Jema na Akupe Afya njema.

  • @gwamagobejosephat4376
    @gwamagobejosephat4376 Před 2 lety +1

    Jamani tunaunga mkono kumshukuru Mungu pekee aliyewatetea.Ushauri Mtunzane kltk maisha yenu huku mkikoseana msamaheane kwa kukumbuka tukio hilo(Kitunze Kikutunze)

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Před 2 lety +3

    Congrats my sister, you made it...

  • @kassimally5358
    @kassimally5358 Před 2 lety +6

    Mzuri harafu shujaa thx mamito

  • @user-zb5kc4rv7w
    @user-zb5kc4rv7w Před 5 měsíci

    Dah! Mwanamke jasili sana mungu awatie nguvu mdum ktk ndoa yenu na mshinde zaidi na zaid. Kigoma oyeeeeee❤❤❤❤

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 Před 2 lety +2

    Dàaaaah huyu Dada mzuri na anamapenzi halisi yaso changanyika na unafiki wowote yn me naomba Rais ampe nafasi jeshini huyu nimwanajeshi komandoo kabisa yn 💪💪

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 Před 2 lety +64

    Faida ya kuweka mawe nje ya nyumba yako,
    Jamani tuwekeni mawe ,yatakuja kutusaidia

  • @rahemaheri1615
    @rahemaheri1615 Před 2 lety +41

    Palepale imekuwa nyingi but hongera Sana mwanamkee jasir na unapendoo Sana Kwa mumeo

  • @zaisomji3897
    @zaisomji3897 Před 2 lety +2

    We kaka kama utamsaliti uyu dada mungu atakupa ukumu nzito maana wanaume kama mapaka amliziki

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 2 lety +4

    Hongera mama, nyie ndio wanawake wa kuoa sio wale wafuga kucha na wavaa mawigi, maslay queen wa mjini haya mambo hamuwezi

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso9479 Před 2 lety +11

    Adriana line ikifika ukomo fulani kuna nguvu hata mtoto mdogo anaamua kufa au kupona.
    Hali hii ikitokea binadamu anakuwa kama mnyama aliyejehiwa , tena uoga wala hofu hupotea, na ujasiri usionekana katika maisha ya kawaida hujitokeza.
    Point of no return.

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia3877 Před 2 lety +18

    juhudi zako ulizionyesha ulijitolea Kwa moyo mmoja na kupambana Kwa ajili ya maisha ya mumeo dada mungu aendelee kupambania umeonyesha moyo na mapenzi ya kweli

  • @Betawomen
    @Betawomen Před rokem +3

    a very strong woman❤❤

  • @aminakadala7676
    @aminakadala7676 Před 2 lety +15

    Kosa kubwa sana kumuonesha sura huyu dada tena mnooo

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Před 2 lety +6

    Nimekupenda dada unaalili sana

  • @lordofmercy9997
    @lordofmercy9997 Před 2 lety +14

    There is power in the name of the lord

  • @stephenkahindi8678
    @stephenkahindi8678 Před rokem +6

    Maneno machache yenye nguvu aliyoyasimulia huyu dada ni kwamba, "kama mume wangu amekufa, mimi na thamani gani "😳 ak dada una moyo mkuu kisha usio kifani.

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 Před 2 lety +4

    Safi sana nimependa ujasiri wako

  • @abdallajuma6262
    @abdallajuma6262 Před 2 lety +3

    Good job safi mm mungu awalinde na jengine kuwa tayari Kwa kibaya chochote dhidi ya mwenzako mbambania Hadi tone la mwisho

  • @user-hf2jo4hg8h
    @user-hf2jo4hg8h Před 9 měsíci +1

    Very true it's the Grace of God 🙏

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 Před 2 lety +1

    Mungu amlinde huyu Dada manake hao waliokimbia bdo watakua na hasira mwenzao hayupo Tena

  • @slimtaley1759
    @slimtaley1759 Před 2 lety +6

    Hongera Sana Sister M/Mungu akubariki katika Maisha yako unastahili sifa na Kuwa Mfano Bora kati ya wenye Mifano Bora Tanzania Hongera Sana .

    • @jumashausi8844
      @jumashausi8844 Před 2 lety

      Wanawake wa hivi kwenye hii dunia kabaki huyo mdada 2 ukimpata mwingine niite mbwa Niko pale

  • @fulgencendyamukama742
    @fulgencendyamukama742 Před 2 lety +3

    Amina, ubarikiwe kwa kutoa msaada mkubwa kwa mmeo.

  • @AmeenaTanzania
    @AmeenaTanzania Před 7 měsíci

    Ongera sana dada unamoyo wa kipekee sana 🎉🎉🎉mungu awalinde muendelee kuwa pamoja

  • @lewinersylivester1984
    @lewinersylivester1984 Před 2 lety +2

    Wewe dada Mungu akubariki sana

  • @crazyallien8335
    @crazyallien8335 Před 2 lety +20

    Mungu ni mwema 🙏🙏🙏

  • @ashamasoud969
    @ashamasoud969 Před 2 lety +5

    Hivyo mnavyoonyesha sehemu yake si mtaletea Hatari kwa waliobakia hao majambazi

  • @justinejohn7724
    @justinejohn7724 Před 2 lety +1

    Hongera sana dada. Na Mungu aendelee kuwatunza na kuwalinda.

  • @takrimanyangalima6764
    @takrimanyangalima6764 Před 6 měsíci

    Mungu husimama ktk kila jambo, hongera dadaang kwa ujasir kweli ninyi ni mwili mmoja, baba mheshim mkeo

  • @sagudamagerela3414
    @sagudamagerela3414 Před 2 lety +3

    Dada bastola haikuwa na risasi.Mungu akuepushe na majambazi

  • @vitalisonyango6708
    @vitalisonyango6708 Před 2 lety +3

    God bless you dear ❤️

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 2 lety +2

    Pole mdd
    Hongera. Mdd
    Mahaba kama yote😁😁

  • @user-lz7sb3we7z
    @user-lz7sb3we7z Před 8 měsíci

    Pole sana dada endelea kumtumainia Mungu na kumshukuru Kwa Kila jambo Ameni

  • @brightermwailolo3409
    @brightermwailolo3409 Před 2 lety +8

    Avalishwe gwanda tunahitaji wamama Kama Hawa. Apelekwe kozi aingie police...kifupi ni jasili

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro41 Před 2 lety +8

    True love, hongera Sana mwanamke wa nguvu🙏🙏🙏🙏

  • @getrudewillson308
    @getrudewillson308 Před 2 lety +1

    Hongera sanasana dada kwa upambania haki yako, wewe ndo mwanamke oomani

  • @user-jf9fk2kt5k
    @user-jf9fk2kt5k Před 5 měsíci

    Tunashukuru kwa ukomavu huo umemuokoa sana mwanaume mwenzetuu safii sana shemejiiii yetu❤

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Před 2 lety +3

    Hongera dada kwa ujari Mungu Ni mwema

  • @assankwale4434
    @assankwale4434 Před 2 lety +3

    Ubarikiwe mama mwema

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 Před 2 lety +2

    Brother hongera umepata mke jasiri

  • @catherinemutasi8340
    @catherinemutasi8340 Před rokem +1

    Mshukuru mungu sana AMEN BARIKIWA

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 Před 2 lety +5

    Mwambie Mungu asante maana bila ivyo ingekuwa story tofauti

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 Před 2 lety +4

    Big up malkia wa Nguvu 👍

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 Před 2 lety

    Hongera sn dd kwakupambana Allah akuzidishie subra yadhat moyon mwako

  • @hlimaabdullah9565
    @hlimaabdullah9565 Před 2 lety +1

    Amina dada ubarikiwe

  • @saidnasibu5803
    @saidnasibu5803 Před 2 lety +17

    Ficheni sura yake ndugu mana jambazi alie uliwa yuko na ndugu Na familia yake na wenzake wa kazi ya ujambazi pia wapo ssa mujue munamponza bure Uyo mama

  • @sagudamagerela3414
    @sagudamagerela3414 Před 2 lety +6

    Majirani wa kigoma mnachelewa Sana kufika kwenye matukio

  • @masagabulemela3228
    @masagabulemela3228 Před 2 lety

    Bora hata unadhani Angemuua si angebaki Mjane..Pole mama ila Hongera Kwa Ujasiri kuna msemo unasema"Kosea vyote ila sio kuoa au kuolewa"💪🏻

  • @tulisamwel41
    @tulisamwel41 Před 2 lety

    Hongera sana dada. Mungu ni mwema.

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před 2 lety +17

    Wanaopata wake kama huyu mdada, kwa kweli wamebarikiwa.
    Nimefurahia maneno yake ya kijasiri "Nilijua wameshamuua mme wangu, na kama wameshamuua, mimi nina thamani gani tena! wacha tufe wote!" Kisha akaingia kwenye uwanja wa mapambano

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 Před 2 lety +3

      Wewe kuweza kama unamapenzi na mwenza wako nae atakua na mapenzi na wewe so tupendane mm hata mwenza wangu akikamatwa na trafki mavi ya nanibana nakuanza kulia kiufupi tupendanee

    • @superwomanmwenyeheri.1367
      @superwomanmwenyeheri.1367 Před 2 lety

      Yaani we acha tuu.

    • @lindakim2292
      @lindakim2292 Před 2 lety

      Akaingia uwanja WA mapambano😃😃😃😃😃

    • @brightermwailolo3409
      @brightermwailolo3409 Před 2 lety

      Kwa kweli huyu anastaili pongezi wengi tunaishiwa nguvu na kunitetea wenyewe.
      Hataki hata kwenda kwenye biashara mpaka mume wake apone

    • @silasjoseph9033
      @silasjoseph9033 Před 2 lety

      😭😭😭😭😭😭

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Před 2 lety +6

    wanawake uchawi ni kumpa love' tu ya uhakika., ndio utayapata haya, sio fiksi kibaooo, kuchepuka, uwongo, n.k. mbofu mbofu.

  • @theresiagreyson9606
    @theresiagreyson9606 Před 2 lety +2

    Nikaandaa jiwe langu vizuri😂😂 big up Sana dada

  • @agnesyjoseph3906
    @agnesyjoseph3906 Před rokem +1

    Hongera kwa moyo mkuu, utukufu kwa Mungu

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 2 lety +11

    Allah kareem Azidi kuwalinda Inshaallah

  • @naturalhomemadeproduct3628

    Dada ww ni jasiri sanaa

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Před 2 lety +1

    Wanawake wa hivi bado wapogo kumbe duh mwanaume mwenzetu hongera sana umepata mke

  • @user-ig8cb6vu7v
    @user-ig8cb6vu7v Před 5 měsíci

    Jamani Waha hawafelikizembe. Mwanamke kama mwanamume.wote ni mashujaa. Napenda Sana mkoa wangu

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Před 2 lety +14

    Unaakili sana dada

  • @anithajoseph2110
    @anithajoseph2110 Před 2 lety +11

    Huyu dada ajengewe sanamu jamano ahhh yuko tyr kufa kwaajili ya mmewe Du!!!!