#EXCLUSIVE
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2024
- #EXCLUSIVE: SARAH X wa DIAMOND ALIYESABABISHA ZUCHU AONDOKE - AFUNGUKA - ''HATUKUTAMKIANA KUACHANA''....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hamnanga privacy kwa maisha ya watu
15:01 u
😮❤😂😮😊😊😊😅😮😮@@moureentrizer3993
😊❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉I 🎉😮❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Yani nimetokea kumpenda huyu Sara na pia ananyota huyu❤
ndio mashallah huyu dada mzuri kila mtu anampemda
@@nadyasalim7956mmm! walimwengu wanafiki sana
Sarah msaharabu sana . Mungu akulinde
Sarah ndio mwanamuke anaemfaa diamond.. she's very mature...
Sarah is so beautiful and very humble ❤
Watangazaji😂😂😂....afu Sarah sister hizo interview zafaa uwe wafanyia Kwa duka lako ili ukuze
Sara nimekupenda sana ni starabu sana halafu unabusara sana❤❤❤❤
Zuchu yuko so insecure wakati sarah ameshasema kwamba hayuko na mahusiano na mondi😊
Hongera unajua kuongea point za kwenda ww kichwa ww ni kifaa Mungu akutunze baby gal..
Sara mzuri mimi nimempenda🎉🎉🎉❤ sanaa😊
Sanaaaa yupo vzr sanaa🎉
Achen uongo Hana uzuri wowote pua km babalevo😏😏😏hata km hamumpendi zuchu sio kwa huyo Sara na Wala hamzidi zuchu kwa uzuri! Walimwengu acheni unafiki na chuki za hovyo
@nasramohamedi4095 how do you recognize someone's beauty? I think you will say by face right? Forget about appearance she's respectful, wise, she doesn't have too many things very simple lady though.
@@nasramohamedi4095hana uzuri wowote wanaubaguzi tu pua na domo hilo zito na huyu zuchu nashangaa toka lini wazanzibar tukataka wanaume wabongo lol abajizalilisha tu wabara hatywaraki wala hatuwapendi bongo kuna wanaume wa maana
She's composed and very friendly
SARA USJARIBU KUJICHUBUA UNARANGI NZURI MNOOOO KA ELIZABETH MICHAEL. WANAO KUSEMA UNAJICHUBUA ROHO ZA KWANN WIVU. SARA WW MCUTE❤❤❤
Humble Sana uyu dada
Walitoana bikra hao hawawezi achana ❤
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
ITOSHE KUSEMA SARA NI MIMI. NAMPENDA SANA❤❤❤❤❤DAIMOND MKE HUYU HAPA. MDADA MZURI WA SURA MPKA UMBO AFU MSTAARABU TABIA ZAKE KA MIE. SPENDAGI KUMSHOBOKEA MWENYE NACHO AKINIPA NTAPOKEA HAJANIPA KIMYAA
Sarah mzuri
Sara mm nakupenda sanaa mpole mwenyewe hana majingambo
Asante Sarah ❤️👍💯
Kusema kweli Sarah mzuri yuponna mvutoo walah Mashallah then mstaharabu anapenda kujirusha pia😂😂❤
Sarah wewe ni mtu na nusu unaongea kistaarabu sana nimekupenda bure ❤❤❤❤
Shes very humble 👍🏽😘
Wote mnaomsema vby sarah kawakosea nini, jipi baya analoongea sarah achen usenge muachen salah mstaarabu sana sio mshamba kama mnavofikiria. Mnamfananisha nazuchu mara mbaya mara mzee jaman mzee kazaa dunia mbn mdogo tu uyu hapend kujikwaza huyu ni baby cute hana mambo mengi. sarah mwanangu mungu akubariki na ustaarabu wako mama
Sara anaongea vizuri sana Mashallah
Daa Sarah anajimini sana
Nakupenda bure Sarah
Ila Sarah nimpole sana hana makuu jamani dah ❤
Na Sara mwenyewe kafanana MamaDangote.
Mustarabu mashaallah🥰
Haki unao Sarah mungu awe nawewe
Unabusara sana nimekupenda bure
Beautiful sarah
Angalia hili smile la sarah 18:04 ❤️
Huyu ndo mke kama angetaka mke mwema ni huyu, ana busara anaongea vzur, mtulivu. Awali ni awali siku zote hakuna awali mbovu!
Kabsa
Sarah uko vizuri best
Dada mtema safi sana'unahoji vizuri sana.❤❤❤
Iyi njo true love
TATIZO MONDI PASUA KICHWA KITOMBI SANA ILA HUYU NDIO ALIKUWA BONGE LA MKE ASIYE NA TAMAA YAANI BILIONEA KAMA MONDI ANAKUTAFUTA LAKINI HAYA BAISKELI HUMUOMBI😍😍😍😍😍
U have beautiful eyes Sara
lakini kiuzuli huwezi kumfanananisha na zuchu huyu nimzuri bn
Imekuwa kizaza a nilijuwa himelda utaitwa kumbe umewa hi kumuona Sarah duh
Huyu ni mstaraabu sanaaa
Daa nimempenda bure huyu dada jamani.
Mapenzi yakweli hayaishi
Tuamie kwa barnaba si kwa kuchwambwa ivyo jaman n.mama mkwe
Sara ana shape nzuri sana. Miguu, sara mzuri
Dada anajitambua. Ndio mwamba anamkubali.
Ni,mctaarabu xana😊❤❤
Ana uzur gan pua kubwa huyo diamond malay tu
Mungu muokoe dada huyu wivu
Sara umaongea vzr kama shamsa ford nakpnda sn dear
Kafanana na darin
Mimi nashangaa hawa waandishi wa habari alie sababisha sara kujulikana afwatifwati akihojiwa kukicha wamemuandama uyu km vile kauwa jamani mpumzishe ili basi moja kero ss
Salah unaonekana umekula bata sana endelea kula bata mama umri bdo sanaa
yaaan mi nakuambiaje kuna mtu utakuwa naye kwenye mahusiano na mkiachana ni ngumu kumsahau walahi
Someone to explain in English please
Shida yako hio
Mme akufu na mke mmoja
Sarah Sarah eh Sarah we
Huyu Sarah anajitambua sana aliona kabisa yeye na diamond hawatafika mbali Couse jamaa anapenda sana nyapu
❤❤❤
Kwa sbb wewe ndo umeitoa bikra ya mond ndo maana akusahau. 😁😁😁
😊😊
Oya demu labda tabia tu ila sio mzuri walanini tuseme kweli tusiwe waongo wadau anatabia bomba sana.ipo ivo
Ndo maana walisema uzuri wa mwanamke siyo sura ni Tabia
@@khadijayusuph2634 saf iyo nzur
Hata mie nilikuwa na mwanaume wa kizungu muda huo huo wa sarah na diamond kwenye 2007 mpaka 2009, hawezi kunisahau. Hata akimuona mtu mwenye rangi za kwetu, basi ataongea nae amhadithie alikuwa na mie na ananipenda. Baada yangu kakutana na wanawake zao wa kizungu, lakini mara kwa mara hunipigia. Story yangu kama Sarah. Nahisi Sarah kaingia moyoni kwa Diamond, yupo ty akilini mwake
Wacha waseme achananao sarah we nicute wanaangaika hao wanajua uzur ni cream fanya uwezavyo mwanangu usifanye watakavo sio shida zako wanahaha tu
Akiwa na akili ajiongeze aombe ajira sababu mapenzi Sasa ivi hayawezekani tena
Sarah usiwe mpumbavu kwani miaka kumi na Mitano hakutaka kukujulia hali wala ya huyu mwanao ?wala kuwatambulisha kirasmi kwa familia hata yake Diamond!!!hapa wewe unatumika tu kuwa sababu mwafaka yule kupe aliyee kwama kwake bila ndoa aondoke zuchu kindly sing sugar sukari for me😅😅😅😅😅
Mtoto sio wa diamond,Sara amezaa na mtu mwingine kabisaaa
“NATHIBU”
Sara mwenyewe ssa sura kma nyani ngwengwe waja mnachuki nyie eti mzur kumshinda zuchu 😂
Nimeangalia mdomo wa Sarah alafu nikavuta picha na mdomo wa Chibu
Acha tuu ninyamaze.
Jamani huyu Diamond ni mpuuzi na nyie waandishi hamna kazi kutangaza mambo yake umalaya umekithiri na mumeufanya ni sifa sana subirini mafuriko yasafishe uchafu muogopeni Mwenyezi Mungu huyo sio msanii hata akiimba inakuwa kama nyani anaruka mti hadi mti balaa kubwa.
Sara❤❤❤❤😅
Kwaida tu lkn zuchu ana wivu atari
Kuna usemi wanasema kipya kinyemi....
Kosa alilofanya zuchu ni kufanyakazi na mapenzi kwanini ulikubali kua na mapenzi na boss wako? Ungepiga kazi mkaheshimiana tu yasingekukuta haya pole sana
Mapenzi na kazi havikuwah mwacha mtu salama....😂
Kwani diamond ama zuchu akisema chanzo zuchu
Ko alienda kwenye shoo ya x ustaaa bhan
Hayo makuchaaa😮... HAPANA SARA HAYAENDANI NA WEWE..U SEEMS SOO NATURAL...acha hiyooo
Ndio anatengenezwa bado hawajamaliza watayapunguza umeona hapo mbele panamtu anamtengeneza
Jamani mapenzi shikmo Sara puwa sasa Kama yababa Levo
Ungekua una akilitimamu usinge jirahisi hivyo,,hivi unakubali kutumiwa na mtu yajayo yanafurahisha
Akili finyu na wivu pia mwenzio keshakuwa na mashabiki sasa hivi na ametangaza biashara yake hana cha kupoteza hapo hiyo ni fursa imemfata acha aitumie
@@agnesjohn9382 wivu wanini hapo unao uongelea ? Kalala na Mume wangu au? Kanunua uwanja WA peponi wote kusema nitakosa kivuli Cha Pepo??Nakwabiashara ipi haswa ?? Kaenda Dubai ,turk , kaleta makontena ,,,kayashusha humu kutugawia sadaka niseme kanizidi swawabu ,,kwendraaa
@@faridamapogolo2892 kaa kwa kutulia huwezi kumwambia mwanamke mwenzio hana akili wewe mwenye akili unafahamika na nani acha nongwa mlaumu Daimond kwa kumpandisha stejini achana na huyo dada
Hakupanga kwenda ila alivofika akawa VIP 😂
Ayo mapua sasa😂😂😂😂
Kwa hiyo huyu Sara ndio WA kumzidi zuchu
Serah
fungua CZcams channel watu wanatengeneza kupitia wewe
Sara wewe ni mziru hakuna binadamu mbaya
Mbona mondi amumuulizi maswali au mnamuogopa
Mbona Sarah apo anasema anamtoto mdogo na mitandaon anasema anamtoto mkubwa wa diamond sasa tuelewe wapi
Mtoto wake ni mkubwa kazaa na diamond anamiaka kumi na tano anaona aibu tu kuongea ukweli 😂😂😂😂
@@khadijachacha3156wakike ao wa kiume
Alisema hajazaa na Diamond
Ajassema acheni uwongo
Mbona kama zuchu anamsuka sara apo
Kweli watu wanapenda recycling bin
Mungu akuhurumie
Sarah kawa star 😂
Sarah ni mzuri san
Mhh hyu mtu acha tyu
Hii story ni fake ni Kiki tu😊😊😅😅😅😅😅😅😅😂😂
Kuna interview ya diamond ya kitambo alikua yuaelezea kuhus sara ,kama hujui usishoboke
Dada imerida, mwambie sarah wa nasibu hvi nampenda sana sanaaa, anitafte tafadhali, mwambie hvi aingie youtube[Ephark fashion] nataka nimvalishe wew na yeye kwa intevee inayofata, maan dondi anamke alikua anateseka bule
😂😂😂😂😂😂😅
hee ama waandishi kiboko bado tuu anahojiwa sarah
Yupo vizuri
😂
Ashapata kiki uyu hana uzuri wowote
sara mwenyewe mbaya tu mnamshobokea nyooo
Wemwenyewee mzuri
Ujafa ujaumbika @Imeldaahmad we mwanamke bado unazaa
Ndo kipendacho roho chake roho isikutoke
Wewe mzuri?
Sasa wewe unauzuri Gani Imelda?mzigo wenyewe unanuka.
Sara ana mastory hahaha Yan anaonekana alikua wa moto