H BABA ATAKA KUZICHAPA na MWANDISHI MSIBANI - AMSUKUMA ASIMUHOJI - AMLIPUA VIBAYA MWIJAKU...
Vložit
- čas přidán 6. 05. 2024
- H BABA ATAKA KUZICHAPA na MWANDISHI MSIBANI - AMSUKUMA ASIMUHOJI - AMLIPUA VIBAYA MWIJAKU...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hongera h Baba unaongea maneno mazima Allah azidi kukuongoza nimekupenda Kwa maneno mazuri Mungu akuhifadhi
Oyaa piga kazi hilo CHAWA lisikutishe😂😂😂
Hongera hb kwa maneno ya busara
Mwandishi big up sana kuwa mvumilivu... lakini uwajue tabia zao unaowahoji na usiwalishe maneno.
Acheni upuuzi mwandishi yupo sahihi lazima afanye kazi yake big up uandishi sio rahisi kutafuta habari sio kaz rahisi
H Baba hongera kwa busara na utashi
Mwandishi pia hongera sana kwa kutumiza wajibu wako
HBaba nimeshika moja kwamba ukimsindikiza mwenzio nawe jiandae
Ahsante
Mwijaku awe na subira na upendo
Rip to Khalfan
Hbaba umezama sana leo.
Kuhusu soil.
UDONGO UNATUHUSU
hivyo ndivyo mtangazaji ana paswa kuwa ni mependa sana Alivyo jishu sha ongera kwa kazi zuri,
Mwandishi kwani usichoelewa nini, heshimu mtu akisema hataki kuhojiwa! Acha upuuzi mtangazaji
Tuliosoma Cuba tunajua imepangwa hiyo
SIWEZI KUKUSAMEHE KWASABU MI NAKUSKILIZA😊,,
huyu mtaganzaji anasauti mbaya 💔
Hb anavyovimba sasa😂😂😂😂😂utasema international kumbe mbagalanational😂😂😂😂
Achana nae huyo makasiriko ya kitotoo
H BABA mwamzo ulikata autaki interview baadaye niulize kuusu kilio mwisho inakuwa nyadundo
H baba Kwa nn mnamfata uyo mi cmpendi
H baba Kila mtu yuaona katumwa na Konde😅😅
Lkn tambua ukubwa wa mwanza hauendani na pato la jiji hilo ni mkoa wa 12 kwa pato la taifa je vinaendana kweli wanastahili hakuna kipaji mwanza cha mvuto kaka
H.baba mbona auna msimamo mala umesame mala unadai VP kaka
Mi ukute nisha mpiga nahyo maik
Wewe mwenyewe ndiye mubaya kuliko harmonize .dogo iko sawa hana shida wenye matatizo na dhiki wewe huyo huyu H baba
😂😂😂😂😂😂
Bongo kila kitu ni Comedy, Yaani kila kitu ni sinema"
Kaz ya habari ni kutafuta habari sawa iyo ndiio kaz ya habari ni kutafuta habari huyu mwandishi lazima atafute habari
jamaa kaongea kiume
Kwani lazima jaman mnatia aibu
Sasa mikopo imeingiaje hapo!!
mwandishi nimjasiri,asingekomaa asingefaulu
Mtoeni huyu mwehu hatumkubali bangi zake aweke kwako he is just stupid and ignorant and arrogant shigongo toa wehu kazin kwako 🤡🤡🤮🐍🤧🤧💔💔
Mpige makofi huyo mtangazaji siye mchape makofi hana adabu mzabue akakojoe akalale.
Hakuna mtangazaji hapo ili ni mtu king'ang'anizi tu , anapenda kuforce kuhoji vitu na sauti ya kuonyesha kama yuko serious ila hana maswali yenye akili hata kidogo
Hm mindevukama paka unavimbia nani mumbwa 🐗🐒🦉 mume huji elewi