WEMA SEPETU AMSIFIA SARAH WA DIAMOND ALIKUWA MTU POA SANA DIAMOND ALIMPENDA SANA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 04. 2024
  • East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
  • Zábava

Komentáře • 32

  • @fbr5113
    @fbr5113 Před měsícem +12

    Ndio sara kajishiba na hana papara na maisha na inaonekana amemkinai sana Diamond na pia hana time yakumchuna Diamond. Kitendo hiki ndicho kinamuumiza sana Diamond nahis raha ya Diamond nikumrudia sana nakumpiga matukio hadi adhalilike lakini bahati mbaya Sara hampi hiyo nafasi kwakuwa tayari alishampiga matukio huko nyuma alipokuwa hana pesa nyingi je sasa ni Bilionea itakuwaje. Lakini Sara kajifunza kutoka kwa wanawake wa Diamond na baby mamas wake maana wamepigwa matukio na kudhalilishwa kila siku hivyo sara anaona bora aendelee na maisha yake tu. Hili ni funzo kuu huyu Sara ametupatia wadada kwamba ukiamua kuachana na mtu endelea kujipigania maisha yako na usimtamani kwamaana kilichowaachanisha kama bado kipo hakiwezi kuwadumisha hata mkirudiana. Big up Sara na nakunda nakuombea upate utajiri sana kupitia hili isiwe Diamond kakutumia tu lakini utajirike pia nawewe upate madili ya pesa nyingi.

    • @efrahfarahahmed8960
      @efrahfarahahmed8960 Před měsícem +1

      Sarah anajitambua sana umesema ukweli

    • @matridasambali6432
      @matridasambali6432 Před měsícem

      Yani wema zamani watu walikua wanamungalia kwa macho yote lakini sasa hivi aatu wanamungalia kwa jicho moja kama mamaake alivosema kua alitegemea kua wema atakua barozi mzuri kama babaake akimaanisha angekua muongozaji mzuri katika jamii kama alivojiwakilisha mwanzoni lakini imekua sio hivo wema ametumia vibaya umaarufu wake hatima yake amebaki kama komedy hata Mimi nilikua moja ya watu waliomkubali lakini kwa mambo yake mh! Sina ham nae kabisa yeye aendelee na vibenteini vyake ndo kazi alobakiza kwa sasa.

  • @happinesswilliam2948
    @happinesswilliam2948 Před 25 dny +2

    Wema play store ndio hiyo moja Apps store acha kutuchanganya😅😅😅

  • @priscargodwel8333
    @priscargodwel8333 Před měsícem +2

    Nampenda wema jamn

  • @zuwenanduwimana7730
    @zuwenanduwimana7730 Před měsícem +2

    Wema utabakiaga kuwa wema tu. Hata wanao kusema vibaya ni wivu tu. Wewe ni mzuri sana❤

  • @dorcas4495
    @dorcas4495 Před měsícem +3

    Bjb film was based in Leeds mmm nice now it's in Tanzania

  • @cynthiadestiny358
    @cynthiadestiny358 Před 28 dny +1

    Wema alikaa aje na vile alikuwa smart

  • @memeniyonzima9343
    @memeniyonzima9343 Před měsícem +3

    Karma jamani iendeleeeeeeeeeee

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 27 dny +1

    Kwani kuziniwa imekuwa kama matangazo jaman weah yni adi naogopa

  • @faizaally347
    @faizaally347 Před měsícem +1

    ❤❤❤ tunaisubiria

  • @Siasavyanda
    @Siasavyanda Před měsícem +1

    ❤❤❤

  • @user-nc5vk5pu5z
    @user-nc5vk5pu5z Před měsícem +1

    Nc

  • @user-ty9tc1cy8u
    @user-ty9tc1cy8u Před měsícem

    ❤❤❤❤

  • @neemapius3686
    @neemapius3686 Před měsícem +1

    Nanyie Si mkonde mubakize makomweee🤣🤣🤣🤣

  • @AbdallahMohamed-wz8lc
    @AbdallahMohamed-wz8lc Před měsícem +4

    Sasa Sarah kaingiaje? Kwamba mngekosa views

  • @user-tf9gh8iu5s
    @user-tf9gh8iu5s Před měsícem +2

    Alikua kwaN sasa yuko wap

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Před měsícem +1

    Ila bado kazuri

  • @rosebeatrice8947
    @rosebeatrice8947 Před měsícem +1

    Gd

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702 Před měsícem

    Hii kitu kimkataba baadae italeta shida Tu juu ya mkataba WA awali

  • @gracekahunda
    @gracekahunda Před měsícem

    Wema umekonda mno mpaka unatisha kichwa kimekuwa kikubwa...hupendezwi na mwili mdogo

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema Před 28 dny

      Wema Akita kwa screen na movie za kanumba alikua slim chance kushangaza ni nini

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před měsícem +1

    Mwili wote umekwisha umebaki kichwa tu kimekuwa kikubwa.

    • @JulietMakena-kv4uj
      @JulietMakena-kv4uj Před měsícem +1

      Alikwabia anataka kunenepa nonsense

    • @dianaonesmo6951
      @dianaonesmo6951 Před měsícem

      Acha mmbo Ako kilaa mtu ana mapungufu yakee

    • @mycmeranyswai7957
      @mycmeranyswai7957 Před měsícem

      hiyo ndio raha ya pesa...mwili umeisha kwan alikwambia ni mawazo yamemkondesha hapana katumia hela kua hapo...tafuta hela utazeeka kwa viwu nyau

    • @AfsaAbdul
      @AfsaAbdul Před měsícem

      Jari shida zako

    • @AfsaAbdul
      @AfsaAbdul Před měsícem

      Uzur haishi kwenye pua zako

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Před měsícem +1

    ❤❤❤

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m Před měsícem

    ❤❤❤