Mbosso you will always be great nlichopenda zaid ni upendo kwa wazaz wako nashukuru saana kwa niyaba ya wazazi umewainua saana hongera saana mbosso khan
I like the way he explains about singing a Corona song. We need to continue with life though not fully normal but at least we need to feel like we're not so lost into the Corona pandemic menace.
Huyo mtangazaji ayejifunika sio level za wasaf anazngua interview nying..anakuwa hayuko systematic na Hana skills za kumsoma MTU coz watu wana mood swing IPO siku atapigwa
Mara nyingi ukimtanguliza Mungu na kuwa mwenye nidhamu mambo yako hunyooka. Nakuombea Mwenyezi Mungu akuzidishie, akuneemeshee na akulinde kwenye hii safari yako ya mziki... Mbosso much love from +254😘😘😘
Mbosso has been my crash ...I silently admire him generally ,his music , he's my number one bongo artist ,all that he has done or achieve is by the grace of Allah,Na Baraka sizidi kumfuata kwa kutosahau nyumbani kwao.baraka ya mzazi Ni Jambo la muhimu...he be my role model..I just like everything about Him simple personality humbled always and forcused may your intelligence yield more🙏🙏💕🌹
Aisee! Mungu hujibu kwa wakati! Uvumilivu ktk maisha ndio nguzo kuu! Uwezo wako wa kuimba ulionekana toka ukiwa Yamoto to be honestly mm nilikuona kuwa sauti yako iliwazidi wote! Pamoja na kutengana kwenu hukukata tamaa ! Big up! Yaani am speechless 😶! You nailed it!
Mbosso one of my favorites in WCB as well as Bongo flavour at large. Mungu aibariki kazi yako. Kongole Diamond kwa kukuza vipaji, huku Kenya twathamini WCB sana.❤🔥🔥🔥
@@shoshdehblessedtv2841 ni kweli, wewe ni sheitwan ndio maana unapenda mziki. Si unaona faida ya mziki, mbosso ana watoto wa nje ya ndoa na anajisifu, kwa hio kama hakutubia atafute jawabu la kwenda mjibu alietuumba na akatuekea taratiibu za kuishi. Nakuomba tena radhi kama nimekuudhi ila vumilia, ukweli lazima usemwe
Kazi kujifanya tu eti waislamu,na ishirikina ndio mama yenu,you will all rot in hell walking demonds,show me one upright islam i will change to islam,all these wcb ni waislamu waliopotoka they dont know what they know🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@shoshdehblessedtv2841 usome tu utaujua ni dini ambayo Allah (Mwenyezi Mungu) alowapa Mitume na Manabii, tangu Baba yetu Adam mpaka Nabii na Mtume wa mwisho Muhammad Swalla Allahu Alayhi Wasallam. Na kati ya hao pia yumo Issa ambae nyinyi mnamwita Yessu, sisi pia tunamuamini kwa yote aloteremshiwa kutoka kwa muumba ni haki, na tu naamini Mitume na Manabii wote waliharamisha ushirikina. Sasa sijui huo ushirikina uusemao wewe umeukuta kwenye kitabu gani?
Kijana mbosso si mtu wa kustarehe saaaana na mabinti kama vijana wengine. Ni kijana mwenye tabia ya utulivu. Heshima. Hekima na anajitambua anapoelekea. Anaipa heshima sana wasafi media kwa tabia hiyo.Mungu amsaidie aendelee na busara hiyo. Amenifurahisha sana nikuwa mzazi tena mama.
@@chunaamina8719 we uko na mboso muda wote? Unajua madem wa mboso ww? Ofcoz nakubaliana naww kuwa ni mtu poa sana, the same to dimond ni jamaa poa sana hata ukikutana naye mtaani hana ustaa anaongea na watu wote, ndo maana wny akili timamu walisema ndege wafananao huruka pamoja. Angalia maisha anayoishi dimond na mboso utadhani mtu na mdogo wake, dimond ni kioo cha jamii kwa dunia nzima na anatoa msaada kwa vijana wenzake hasa swala la ajira. Sasa mnataka aje malaika ndo muappreciate roho njema ya mond
Mungu akuzidishie.umeanza kuwafikiria wazazi wako kwanza na nyumba na usafiri.Mungu atakufikisha mbali sana kimaendeleo kama kaka yako au bosi wako Diamond.wasafi juu.
Hakuna kinacho shindikana chini ya jua ukiweka bidii ukiwa na subra na ukipambana kila kitu kinawezakana just Don't give up shukurn za peke kwa MWENYZI MUNGU kwasababu ninaamini yeye Ndo anayejua kesho yako my best actress in W_-C_-B=_-🔥🔥🔥
Nidham, Heshima,kukumbuka ulikotoka, Kufanya Muziki muzuri Kushukuru Na Kutomshusha mwingine ndivyo vitakupandsha mboso Is Just A Beginning Keep Humble Guy🙏
Mh?mwanang mbosso hicho noma maaana mwenzetu konde boy anafanya show ya mabodigad na magari meng mama yak anakaaa kweny nyumb hakuna umeme wala maji chooo cha mabati
Mbosso you will always be great nlichopenda zaid ni upendo kwa wazaz wako nashukuru saana kwa niyaba ya wazazi umewainua saana hongera saana mbosso khan
Mjumbe mdogo wangu mbosso Khan
Big up sana wazazi wamekuja baraka zote
WCB Label kubwa Hongera Mbosso zidi kutusua 💪
Hongera platnumz kwa kuwakuza vijana am proud of you.
Hongera dogo kwa kuwambuka wazazi wako mana ni vijaba wachache wenye akili hiyo
Mwenye ako na heshima na busura mboso keep going bro
Kinacho mfanya mbosso afike mbal na atazidi kufika mbal ni nidhamu,hekima,busara na uweledi ktk kazi yake...Mungu mzidishie inshallah
Kabisa, inshalah
Suma thedony, kweli!
True
True
Suma thedony Amina
I admire his personality he never gets offended. God bless you sana bro.
Nakupenda mnoooo
Mbosso mimi hapa Kenya nakupongeza bro it's all your efforts. .continue keeping your flag high .
Mbosso kuhusu corona umeongea vya muhimu sana kuliko mkuuu wa mkoa wa Dar,welldone brother keep it up
Mmh hatar
Good Kijana umejitahidi big up
Veto
madimakis
Vero aradini
Mashambiki wa Mbosso Kenya twagonga like hapa ! Hongera! Hongera ! Hongera ! Mbosso 🇰🇪
Hongera sana kaka inapendeza kijana ukipambana ufanyee mambo mazurii
Khadija
Omari
Gari fire Moto 🔥
Hongera Mbosso kwakutimiza Ndoto..
Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbosso Khan💪💪💪 nipo Zambia ila wasafi media naifatilia sana @WCB4LIFE
I like the way he explains about singing a Corona song. We need to continue with life though not fully normal but at least we need to feel like we're not so lost into the Corona pandemic menace.
Kweli
Kaka mbooso naomba kazi
Mbosso kipenzi cha wengi..mob love from Kenya.. I like your personality.. Usichange
julius murimi 👌👌
Wale wote wa mbosso Khan mshede tujuane gonga like twende sawa
Wenye wivu wajiuee
Umeoa eeeh watapa tabu sn sio ngoja tuinjoy na muindi wa kibiti
Ila kuna jamaa amefanana nae uyoo
Jamaa gn uyo?
Kwel discipline ndo kila kitu
Ilove mbosso he is so humble...
Wanao mkubali mboso naomba like zenu jaman😘
Hata wakati mgumu unapo msikiza mboso uko saww
Stella Tobiasi akika amepiga hatua kubwa mungu amujalie
Stella Tobiasi akika amepiga hatua kubwa mungu amujalie
Tupoooo
Hio ndio sifa y mond n kuzid kua juu kw kuwasogeza n wengne km hawa smart mboso big up simba kw kuwawezesha vijna
Alaf kuna fara anaitwa h baba akilewa anasemaga mondi anajipenda yeye tuu na hajali wengine... Inashtua
.
Hafidh Choi
Huyo mtangazaji ayejifunika sio level za wasaf anazngua interview nying..anakuwa hayuko systematic na Hana skills za kumsoma MTU coz watu wana mood swing IPO siku atapigwa
Level za clouds sio😂😂😂
@@iammusic3404 hahahaha
Kweli kbsa
Ni mjing auliza udaku tuu
Asingefaa wasingemtoa EATV, dulla ni talented
Mara nyingi ukimtanguliza Mungu na kuwa mwenye nidhamu mambo yako hunyooka. Nakuombea Mwenyezi Mungu akuzidishie, akuneemeshee na akulinde kwenye hii safari yako ya mziki... Mbosso much love from +254😘😘😘
MUNGU AKUBARIKI NASIBU Unainua vijana na mafanikio tunayaonaa...Hongera mshedede!!!
Chicharito Ronaldo wanapanga hao wanajifanya zao
Kweli my nasebu amewabeba nag waliobebwa wamejikaza
Mshedede umenyoosha mzee
@@jacoanania6358 daaah we bwege una wivu kama una mimba changa,panga na wewe basi🥴🥴🥴🏃🏃🏃
@@jacoanania6358 mashoga mpo wengi kumbe
Mbosso bna etiii ...unamuuliza UNAFURAHI EEEEEE
😂😂😂😂😂😂.....mo move✌
Obama kabisa
Mbosso has been my crash ...I silently admire him generally ,his music , he's my number one bongo artist ,all that he has done or achieve is by the grace of Allah,Na Baraka sizidi kumfuata kwa kutosahau nyumbani kwao.baraka ya mzazi Ni Jambo la muhimu...he be my role model..I just like everything about Him simple personality humbled always and forcused may your intelligence yield more🙏🙏💕🌹
Aisee! Mungu hujibu kwa wakati! Uvumilivu ktk maisha ndio nguzo kuu! Uwezo wako wa kuimba ulionekana toka ukiwa Yamoto to be honestly mm nilikuona kuwa sauti yako iliwazidi wote! Pamoja na kutengana kwenu hukukata tamaa ! Big up! Yaani am speechless 😶! You nailed it!
WCB label ya mafanyikiyo
Congratulations sn kwake Diamond platnumz kwakuwafanya vijana watimize ndoto zao
HIV meneja huwa ni mmoja kwa fundi zima la wcb au kila mtu nawake🙈
@@beatricetenywa4367 kila mtu na wake,mondi salam sk,lava lava Ricardo momo,mbosso sjui nani
@@Jitu_Lisilofikirika. babu tale ni wa nani aisee
@@Mwaikwasi najuaga ni moja ya kiongozi tuuu, though sinaga undani kabiiiisa
@@Jitu_Lisilofikirika. wa Rayvanny Ni makame juma lakini. Alafu Kaka subscribe kwenye channel yangu
Pongezi bosso mziki wako naupenda ata naskiza sai♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Hongera sana kaka mboso mungu azidi kukuinua kila unacho fanya
Mbosso one of my favorites in WCB as well as Bongo flavour at large. Mungu aibariki kazi yako. Kongole Diamond kwa kukuza vipaji, huku Kenya twathamini WCB sana.❤🔥🔥🔥
U know brother mbosso I really like ur word means unapenda kushauri watu kwakupiga kazi na video I like that
MASHA ALLAH...HONGERA..WAJALII WAZAZI WAKO..WAKIWA HAI
Na na Mungu akubariki kaka Mbosso uwe mtu wa hekima hivyo hivyo, maisha yako yote. Blessings
I really like this humble boy! He will go along way. May God bless him.
Wakwanza kukoment kutoka 🇺🇬 like zenu 🇹🇿 ziko wap
Nice job 👍
Mwambie mbosso atutolee behind the scenes ya tamba
Congratulations ndugu yangu mbosso. @mwijaku where are you now
Hahahhahha mwijaku come here now
Nakusikia tuu lakini ,welldone brother,l salute you God bless you mbosso
Mashaallah kkngu nakuombea baraka za mwenyezi mungu ziendelee kuwa nyingi namaisha marefu pia innshaallah
Waoyeshe kwamba unaweza
Kwanza hazifanani hata shape ya mbele
Big up Sana mboso mwanzo wa mateso mwisho ni furaha mungu akuzidishie. Umewafanyia wazazi jambo zuri mungu akubarikie
You're such a humble human being more blessings my brother from another mother🙏
Hongera saana bro. Umefanya jambo lamaana saana kwa wazazi wako. Allah azidi kukubariki kwenye kazi zako.
Q chila ajifunze SNA kupitia hawa watoto wa wasafi sio kutukanatukana hongeraboso😍
Mariam Ramadan ni kweli yule hana akili anapitwa hata na uyu mboso.
Ni H baba
@@sabrinabakari5908 siunajua alikuwa anatumia dawa za kulevya bado hajakaa sawa
Aiseeee don't talk about legend aiseeee
Marce Marco whose legend you talking about??? Q.chi ow!!! Don't let me down my friend
from kenya....the guy is very humble na mwenye heshima na upolee..zidi kuenda mbali mr mbosso...
Mbosso u a the hero of bongo actually you have made it & still u will be blessed mentor
Baraka za sheitwan, sio za M/Mungu. Allah kaharamisha mziki, kwa hio hawezi kubariki. Samahanini mashabiki wa mbosso. Twakumbushana tu
Kamati ya roho chafu,islam is just hypocrates,nachukia waislamu ni wanyama🤣🤣🤣🤣🤣
@@shoshdehblessedtv2841 ni kweli, wewe ni sheitwan ndio maana unapenda mziki. Si unaona faida ya mziki, mbosso ana watoto wa nje ya ndoa na anajisifu, kwa hio kama hakutubia atafute jawabu la kwenda mjibu alietuumba na akatuekea taratiibu za kuishi. Nakuomba tena radhi kama nimekuudhi ila vumilia, ukweli lazima usemwe
Kazi kujifanya tu eti waislamu,na ishirikina ndio mama yenu,you will all rot in hell walking demonds,show me one upright islam i will change to islam,all these wcb ni waislamu waliopotoka they dont know what they know🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@shoshdehblessedtv2841 usome tu utaujua ni dini ambayo Allah (Mwenyezi Mungu) alowapa Mitume na Manabii, tangu Baba yetu Adam mpaka Nabii na Mtume wa mwisho Muhammad Swalla Allahu Alayhi Wasallam. Na kati ya hao pia yumo Issa ambae nyinyi mnamwita Yessu, sisi pia tunamuamini kwa yote aloteremshiwa kutoka kwa muumba ni haki, na tu naamini Mitume na Manabii wote waliharamisha ushirikina. Sasa sijui huo ushirikina uusemao wewe umeukuta kwenye kitabu gani?
@@saeedabunajash6235 do islam practice nir respect other religions ooh nooo!they think they own the world,pride will take them down!
Huyu sio mtangazaji wa level ya wasafi
Kabisaaaaaaaaaaa
Hongella Mbosso mwenyezi Mungu akuzidishe hapo inshaallaah
Gang!!!! Eeeh bhana mboso respect saaana umeonyesha hatua kubwa sana ya kimaisha
Alakini mboso sungemusaidia enook Bela mulikua pamoja katika yamoto band+250🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Kabisa wamemsahau mwenzao
mwamba patrick wakisaidiwa/ baadae mazarau/ kila mtu afekivyake",siunaona hamo mazarau' kwa mond kibao
Ww umewasaidia wangap ulokuwa nao pa1
@@kenethmtweve3961 watato
Utuye ahagana se mwane wacu weee
Sasa me naswali apo,, apo mboso anaishi na falid too na uyo mmasai au
Kama unafamilia au mke sawa kama hana jua anaishi hvyo
Hahahahaaaaa sasa wew wengine wa nin jamaniiiii daaaaah nimefurahiiii hiii comment
Hyo kweli Raha ya nyumba kubwa hivyo uwe na mke na family
Jaman nampenda sana mbosso
Hongera sana mboso bidii yako, upole na tabia nzuri ndo nawezasema imekufikisha hapa. Uzidi kuenuliwa
Mbosso he's so humble big up mbosso
Mafanikio ya kwelii yanatokaa kweny nidhamu na uvumilivu ww n msanii mtulivuu xn be blesed
Nice interview
Kweli kabisa halaf Diamond anapenda sana vijana wenye bidii 👌
@@beatricetenywa4367 ukimueshm diamond lzm ufnkiwe
@@beatricetenywa4367 0747700433nichk sap tuwe mrfk
Hongera zake sana😊
Na kupa pongezi kwa kucomment kila video
Kijana mbosso si mtu wa kustarehe saaaana na mabinti kama vijana wengine. Ni kijana mwenye tabia ya utulivu. Heshima. Hekima na anajitambua anapoelekea. Anaipa heshima sana wasafi media kwa tabia hiyo.Mungu amsaidie aendelee na busara hiyo. Amenifurahisha sana nikuwa mzazi tena mama.
Mbosso Khan 🔥 🔥 🔥
Wngp wameona WCB ndo lable yakuingia sa kwengine wap tena gonga like twende sawa
God bless you for this
Congrats MBOSSO umefanya kitu kikubwa sana ambacho ni baraka tele ambazo zitafungua milango yako
Nakupenda sana mbosso khan mafanikio yako sistaajabu juhudi unayo penda sana mziki mzur👏👏👏
Congrats Mbosso Khan Mshedede 🔥🔥🔥
WASAFI 💪💪💪💪💪
KINGI Mboso, Liwakere Kweri Wenye Vihelele, Pia Utupige Mabusuu 👍👍😘
Daaamn mbosso kwani una mama watoto wangapi wewe🤣🤣anyway love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyo mtangazaji mwanamke si angevua hiyo Top kabisa 😢
Congrats tamba baba lao 🔥🔥🔥 WCB 4 lyf💯
Mbosso my best singer and writer..... Ila mtangazaji wa kiume hapo mzee naona haujakaa kitaaluma zaidi.
Mbosso ni mhandyy ata kushinda chibu by far... God bless u sana # kip pushing it's not a destination #254
Kivipi?
Acha Ww babalao tena
Kbsa n Muhandy kisha simple Na amecool hapendagi kuchezea madem Na kuwaacha tu, he is smart kenya we love u more than chibu
@@chunaamina8719 we uko na mboso muda wote? Unajua madem wa mboso ww? Ofcoz nakubaliana naww kuwa ni mtu poa sana, the same to dimond ni jamaa poa sana hata ukikutana naye mtaani hana ustaa anaongea na watu wote, ndo maana wny akili timamu walisema ndege wafananao huruka pamoja. Angalia maisha anayoishi dimond na mboso utadhani mtu na mdogo wake, dimond ni kioo cha jamii kwa dunia nzima na anatoa msaada kwa vijana wenzake hasa swala la ajira. Sasa mnataka aje malaika ndo muappreciate roho njema ya mond
More blessings
Napenda mboso akihojiwa
Ndugu zangu naomba support yenu...subscribe hapa: czcams.com/video/yykHYhHEnPE/video.html tafadhali.. SUBSCRIBE ndio nianze kupost vitu Kali zaidiiiiiiii..tafadhali nipeeni 1000 subscribers... Tafadhali...haigharimu hata senti kusubcribe.... tafadhali
Mwachen mungu aitwe mungu mbosso hongera sana mwanangu
Nyumba nzuri na gari nzuri. Hngr sn
Congrats mbosso
Nakumbuka mbosso alipokwa aki taka kuwenda mjini babake akuipenda...lakini mziki ndio hio unamsadia....Mungu akuwonekanie.kila mara
Mungu akuzidishie.umeanza kuwafikiria wazazi wako kwanza na nyumba na usafiri.Mungu atakufikisha mbali sana kimaendeleo kama kaka yako au bosi wako Diamond.wasafi juu.
Mbosso is such a being. Great guy
kaka unajua
Hakuna kinacho shindikana chini ya jua ukiweka bidii ukiwa na subra na ukipambana kila kitu kinawezakana just Don't give up shukurn za peke kwa MWENYZI MUNGU kwasababu ninaamini yeye Ndo anayejua kesho yako my best actress in W_-C_-B=_-🔥🔥🔥
Moja ya mafanikio makubwa ni kuwapa wazazi maisha tafauti MashaAllah 🥰
Mbosso oyeeeeeeeeee
Wewe Aliya kuwa navaa vizuri, ujuwe una nikeraga sana
Saleh Madjidu Mk Kabisa yaan
Mshamba
Kaangalie tbc
@@edwardmkweleleasante,ila niko mshamba kwa akili zako ambazo zimebebwa sana na dunia
Aim higher mbosso big fan from Kenya underground rappers
Nidham, Heshima,kukumbuka ulikotoka, Kufanya Muziki muzuri Kushukuru Na Kutomshusha mwingine ndivyo vitakupandsha mboso Is Just A Beginning Keep Humble Guy🙏
Diamond na mm ninunulie gari hata la milion 4 linatosha jamani nioshe nyota hata likuwa na label ya wcb sio mbaya.
😢😢😢
😂😂😂😂😂
😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
mwijaku.yupo wapi eti wcb wananyonya mboss wasije wakakushika masikiyo utoke wcb thafazali mungu akujalieee kaka nitakusapoti paka
Mbosso mshedede congrats endelea na kufanikiwa. Na uoe hara unapedwa na wengi wasikuaribu kaka. 254 twakukubali
Here from kenya...I really like mboso coz hana mringo
Good brother 🤣🤣
Mh?mwanang mbosso hicho noma maaana mwenzetu konde boy anafanya show ya mabodigad na magari meng mama yak anakaaa kweny nyumb hakuna umeme wala maji chooo cha mabati
Konde boy yuko mbele acha chocha...Mbosso ndo kwanza katoa zaka kwa wazazi.
Tuekee picha za choo tuproof acha wivu wewe
Harmonize muache kabisa yupo real kabisa hawezi kudownload maisha
Acha umbea na ww👌ataachaje kuwajali wazaz wake kondeboi ww😁acha zako
Umenibowa kweli nawew wazazi wako wanachooo namaji tusiseme yawatu tu
such a lovely humbe guy and the smile everytime the reporter is about to ask a question
I really hope he is not faking it. He deserves it all because he has the talent to back it.
Mo blessings bro
Kwa nidhamu ya mbosso na rayvanny lzm wafk mbali
No wonder now wanamburuza kande boy saiv
Mbosso stay cool be humble jah bless u
Hongera Brother mboso Mungu akutunze ufanikiwe zaidi uwakumbuke na walionyuma yako
Epuka matapeli wasijewakakununua WCB chama kubwa
Kujituma na dua.. Yote yawezekana
Big up sn mbosso khan Mungu aendelee kukupa hekima na busara na ufike mbali sn
I love your humility,bado unaenda mbali❤❤❤❤❤
Wewe dada unapenda kujiweka tupu na hata shepu huna 😤😤😤