Video není dostupné.
Omlouváme se.

MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2022
  • MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"
    MSANII kutoka Lebo ya WCB, Mbosso, amefanya mahojiano na kipindi bora cha burudani nchini 'REFRESH' na kufunguka mambo mengi ikiwemo kuvunjika kwa kundi la Yamoto Band, ukweli juu ya kupendelewa na bosi wake Diamond Platnumz na kubwa zaidi ni juu ya bifu lake na aliyekuwa msanii mwenzake wa kundi la Ya Moto Band Aslay.
    Mbosso pia ametaja baadhi ya kolabo alizofanya ambazo zimefanya vizuri sana na kusema wimbo uliondaliwa na Beka Fleva ili washirikiane haukuwa na viwango. Wasanii aliofanya nao kolabo ni pamoja na Zuchu (ambaye anatamba na nyimbo za JARO na FIRE), Tanasha Donna na nyingine nyingi.
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 329

  • @dereva0
    @dereva0 Před 2 lety +89

    mbosso ni msanii smart

  • @tida3727
    @tida3727 Před 14 dny

    Mbosso is humble,cool n smart...hana kiburi huyu mboso ..na talanta ako nayo kubwa❤❤❤❤

  • @norbertmakundi2305
    @norbertmakundi2305 Před 2 lety +34

    Smart sana mbosso, amakwelii nimeamini Mungu hagawi kwa mtu wa hovyo hovyo, daaah this man motivate me, gud interview

  • @dianabanga2625
    @dianabanga2625 Před 2 lety +15

    mbosso yuko poa sana yaan Smart mnoo🙌👏👏👏my favorite

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 Před 2 lety +29

    Mboso nampenda kwa nyimbo za mapenzi big up wanawake wananipenda kwa nyimbo zako hahahahaha big up

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 Před 9 měsíci +1

    Wow sawa mbosso ❤️❤️❤️😂😂😛❤️❤️❤️❤️👏👏

  • @doniamaratane8248
    @doniamaratane8248 Před rokem +1

    aslay mtoto sana kwako.mbosso kama ameamua kukinukisha we achana nae

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 Před 2 lety +33

    Yupo sahihi Sana mbosso ujuwe haya maisha bwana ni hatari Sana ukiona upo juu Sasa na mwenzakonaye akiwa juu usichukizwe dizaini Asley amekunja baada ya mbosso naye kushani hii nouma sana

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety +2

      @@rashidyally8715 don't judge book by its cover! Mnapenda kushadadia 🙄🙄🙄🙄🙄

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 Před 2 lety +1

      @@rashidyally8715 acha kulopoka kijana alimkujia kivp Sasa alifukuzwa au aliondoka mwenyewe!?

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety

      @@rashidyally8715 wewe mknd wako hauna kazi tayar Taft hela sio unaleta ushoga apa kenge maji wee

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety +1

      @@chrispinmkanda6097 hapo Sasa

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před 2 lety +1

      @UCoQVqdIyJuTtEKDYubIINYw labda unataka kukazwa kalio linakuwasha

  • @dereva0
    @dereva0 Před 2 lety +42

    ukubwa alionao bado hataki kuvimba kwamba ni mlaki zaid ya aslay...sisi mashabiki ndo tunasema sasa ww ni mkali

  • @dafaboymusic3437
    @dafaboymusic3437 Před 2 lety +5

    Namiss kuwaona yamoto wakifanya kazi pamoja furaha yangu

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 Před 2 lety +41

    This guy has no show off scandals, very cool guy!

  • @mosesnyongole2681
    @mosesnyongole2681 Před 2 lety +11

    Nimekuelewa mboso big up sana aslay alianza muda ila upo juu

  • @elogebigirimana5972
    @elogebigirimana5972 Před 2 lety +17

    Ambosso Mungu azidi kukubaliki kwa wazo lako ya kufanya kazi na yamoto nashuku saana

  • @badruabdulmuttwalib1533
    @badruabdulmuttwalib1533 Před 2 lety +5

    Banaa mbossoo n mwenye moyo wenye imani n roho yenye kupenda watu wote mbosso ONE LOVE MY BIG BROTHER🥺🤟🥰

  • @bablee0016
    @bablee0016 Před 2 lety +5

    Salute..Bro 🇰🇪🇰🇪 Mboso

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 Před 2 lety +9

    Big mind, akili kubwa mbossoGood Bro.

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 Před 2 lety +21

    mbosso ni mkweli sana namkubali

  • @khalidi39
    @khalidi39 Před 2 lety +7

    Nimekupenda sana mboss yan wasanii ote wangekua kama ww bs mziki wet ungefika mbali sana

  • @swabrnamwaka8554
    @swabrnamwaka8554 Před 2 lety +3

    Mbosso hana kiki kama wa sanii wengne nakupenda sana 💕❤️

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p Před rokem

    Nafurahia sn jinsi mboso anavyo jibu maswali anayo ulizwa😄🥰

  • @subirachuta8169
    @subirachuta8169 Před 2 lety +18

    Love you Mbosso a.k.a Tajiri wa mbegu.

  • @Auntybetty_tz
    @Auntybetty_tz Před 2 lety +4

    So Siri mwenyewe nakupenda sana kupitia kazi zako, ni shabiki damu kwako, Hadi watoto wangu wananitania kuwa mboso baba Yao mdogo. Pigs kazi dogo uko vizuri

  • @dontsto3865
    @dontsto3865 Před 2 lety +54

    Ni jealous bro WASWAILI wazito sana beka na aslay walidhani washashinda maisha

    • @isackbaton3686
      @isackbaton3686 Před 2 lety +1

      Yes hii ni kweli

    • @sihamnjagi
      @sihamnjagi Před 2 lety +2

      Hata hivyo na wao ndio waliotoka kwanza... Sasa wameona mwenzao yuko juu ndio wakaleta wivu.. Siku zote kutangulia sio kufika.. Lastly jealousy people will never win.

    • @mwanafalsafa3613
      @mwanafalsafa3613 Před 2 lety

      Nanni kati yao ndio mswaili?

    • @dontsto3865
      @dontsto3865 Před 2 lety

      @@mwanafalsafa3613 Wewe hapo

  • @wasikedenis
    @wasikedenis Před 2 lety +63

    We still love Yamoto Band

  • @AnnaPius-rv5md
    @AnnaPius-rv5md Před rokem

    Nakupend boss uk smart❤

  • @ramahusomore1374
    @ramahusomore1374 Před 2 lety +27

    Mbosso is real and humble

  • @denismongare3694
    @denismongare3694 Před 2 lety

    Brother inaweza

  • @mwanaidikhamis5430
    @mwanaidikhamis5430 Před 2 lety +6

    nimependa anavojieleza mbosso

  • @nba_fortunebello255
    @nba_fortunebello255 Před 2 lety +22

    King Mbosso 👑

  • @mohamedefranciscoxavier4440

    Wasafi media big up 🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @kbingwa8860
    @kbingwa8860 Před 2 lety +4

    We need to see you guys for one show ,,we as your fans have faith in you

  • @chazbway6573
    @chazbway6573 Před rokem

    Mimi niko uganda mwana kweri mbosso kazi zako noma Sana

  • @cosmasmakoyelubasha3858
    @cosmasmakoyelubasha3858 Před 2 lety +9

    Umetisha sana nimekuelewa sana

  • @ernestroman8264
    @ernestroman8264 Před 2 lety +1

    Nampenda sana mbosso yupo real sana....anasema enz yupo mbagala anakula MBILIMBI wkt aslay kaanza ku hit....

  • @alejpapsyoh809
    @alejpapsyoh809 Před 2 lety +5

    Napenda ulivo ba mkuu... Nenda songa mbali zaidi!

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 Před 2 lety +16

    Sema hii nyimbo ya moyo mbosso angeipiga mwenyewe au angeipiga na msanii wa taratibu kama marioo ama zuchu ingekaa pw sana hawa aliowashirikisha kuna ladha wameipoteza hii ni nyimbo ya kipwanipwani kabisa.

    • @zedekchamagogo1223
      @zedekchamagogo1223 Před 2 lety +3

      Kweli kabisa mwanangu hawa alio washilikisha dizain kama walitoka kwenye mstari hivi

    • @swalehesaad2692
      @swalehesaad2692 Před 2 lety +1

      @@zedekchamagogo1223 tunaomjua mbosso khan ndio tutaligundua hili hii nyimbo alitakiwa mtu wa taratibu na kama ni wa nje angekuwa dizaini ya reekardo banks

  • @nascentnoel395
    @nascentnoel395 Před 2 lety +18

    Tajiri wa mbegu ..nmecheka atar😂

  • @officialnifton
    @officialnifton Před 2 lety +8

    Great mind,, mbosso ❤️

  • @djkiwani9291
    @djkiwani9291 Před 2 lety +8

    But his music needs to grow beyond Africa

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya8911 Před 11 měsíci

    Kweli yamoto ningali nakumbuka ngoma zao

  • @rashhrs7144
    @rashhrs7144 Před 2 lety +8

    With me mbosso s the best musician in Africa 💯✅✅

  • @francissakwa7282
    @francissakwa7282 Před 2 lety +2

    mboso nawapenda sana ,how iwish to meet you infact simba mwenyewe

  • @joycechege5071
    @joycechege5071 Před 2 lety +3

    Mbosso hajaoa🙆‍♂️nko hapa nikujie hapa kenya tutingize mti😂

    • @tida3727
      @tida3727 Před 14 dny

      😂😂😂😂😂wewe tulia nawe

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Před 2 lety +3

    Mbosso khan mushedede🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sheemwakuyumba2969
    @sheemwakuyumba2969 Před 2 lety +3

    Wallah napenda sana mboso..huwa afichi uovu...na Siku zote interview zote huwa yuongea ukwel kabisa na sina wakika kma ana chuki na mtu...na nikwel beka aliongea tofauti xna chamsingi amuombe radhi to mboso to

  • @yuchaclassic6154
    @yuchaclassic6154 Před 2 lety +4

    mh mfano wa naz korona hahahaha all are the big aslay namuelewa sana it is my favourite artist and mboso

  • @farhyaabdallah2089
    @farhyaabdallah2089 Před 2 lety +4

    Uko vzr mbosso love 💕💕💕💕 so much

  • @naldotheprince7
    @naldotheprince7 Před 2 lety +5

    Perfect 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @asiakashonda1669
    @asiakashonda1669 Před 2 lety +1

    Mbosso umekua kaka..
    Huo ndio Ukubwa.....
    Nakukubali saaana

  • @mshindotv
    @mshindotv Před 2 lety +1

    Mboso Alipofikia kwa sasa Ana aina ya Mziki wake ambao tofauti akiutoa tuu unajua huyu Mboso.

  • @jimkimtv
    @jimkimtv Před 2 lety +2

    I love mbosso 💕💕,🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sweet10shorts33
    @sweet10shorts33 Před 2 lety +16

    God Bless You Mbosso

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Před 27 dny

    Noma😮 #tellaaxistz

  • @karinganireemmanuel4380

    Mungu aenderee kuku wezeza

  • @florianminja1127
    @florianminja1127 Před 2 lety +1

    Msanii ni mmoja tu bongp kwa sasa ni Konde boy

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus9962 Před 2 lety +1

    Smart boy wimbo na siyo wengine wanaosema nyimbo

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 2 lety +2

    Nakupata vzl sana
    #AVATASTAR255

  • @user-uq7px2ei1e
    @user-uq7px2ei1e Před 10 měsíci

    Mboso noma sana

  • @heartpain6226
    @heartpain6226 Před 2 lety +6

    Very smart #mboso

  • @318stars6
    @318stars6 Před 2 lety

    Siwezi kompea Aslay na Mboso, ni wakati wa mboso kushine,Aslay pia muda wake utafika...mungu hakosi mipango

  • @codenamerobiner3816
    @codenamerobiner3816 Před 2 lety +1

    amuache aslay apambane huyu mwizi aslay ni talent kukushinda

  • @PaschalWilliam-oi4kq
    @PaschalWilliam-oi4kq Před 9 měsíci

    On fire

  • @angelbb5217
    @angelbb5217 Před 2 lety +2

    Mbosso ❤️🥺

  • @doniamaratane8248
    @doniamaratane8248 Před rokem +1

    king mbosso

  • @furahinidaudi7851
    @furahinidaudi7851 Před 2 lety +1

    Maneno ya hekima mbosso be blessed

  • @othmanmohamed6346
    @othmanmohamed6346 Před 2 lety

    Hakunaga sehemu watu wakaa bila kukwanza,chukua hili neno we mjinga unaedhan mkae weng afu usikie watu wamepishana, nimekuelewa Sana babu mboso.

  • @mwanaashasoud8240
    @mwanaashasoud8240 Před 2 lety +5

    Mwanangu uko sahihi

  • @mchinaherry4231
    @mchinaherry4231 Před 2 lety

    Interview kali

  • @princelungu7571
    @princelungu7571 Před 2 lety

    tupo sawaa

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 Před 2 lety +1

    Mbosso wewe ati Tajiri wambegu😂😂👍

  • @EvansMovic
    @EvansMovic Před 8 měsíci

    Pia mimi najua kuimba bana

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 Před 2 lety +1

    Hongera mbosso uko sahihi sn mdg wng

  • @charlesyona1045
    @charlesyona1045 Před 2 lety +1

    Dogo unaweza pamban 🤙

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Před 2 lety +12

    Hawa yamoto Band hata sijui nn kilowasibu mpaka wengine wakapotea yani Nyimbo zao zote Hit-Song, kuliingia Jinamizi sijui gani.🤔

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho2199 Před 2 lety +1

    One of the nice guy

  • @stevenlenya5276
    @stevenlenya5276 Před 2 lety +4

    mboso uko juu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 2 lety +1

    Appreciate brother 💌

  • @princelungu7571
    @princelungu7571 Před 2 lety

    yupo sawaa dgo

  • @edwinfweni
    @edwinfweni Před 2 lety +1

    Smart Smart

  • @PItty322
    @PItty322 Před 2 lety +2

    Ila Bado naona Kuna kaukweli👍👌

  • @flyracetvkenya
    @flyracetvkenya Před 2 lety

    Mbosso mkali sana

  • @amani1316
    @amani1316 Před 2 lety +1

    Mhhh atary mbosso nakukubary sna

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Před 2 lety +3

    🗣🗣MBOSSOKHAAN ONE.NAMBA.MOJA☝

  • @bentaakoth4274
    @bentaakoth4274 Před rokem

    I still love yamoto band 🥰

  • @user-eo7ug2tg9r
    @user-eo7ug2tg9r Před 2 lety +1

    I love you mbosso😍😍😍

  • @mbagaboy9375
    @mbagaboy9375 Před 2 lety

    Uyu mbosso anajua

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili

    🔥🔥 🔥

  • @demaxbravemld2110
    @demaxbravemld2110 Před 2 lety +1

    Yamoto

  • @agustinorichadi1253
    @agustinorichadi1253 Před rokem

    Good 👍

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 Před 2 lety +2

    Hata goma lake Kali sana

  • @junelatifa2618
    @junelatifa2618 Před 2 lety +2

    Love you mbosso

  • @florianminja1127
    @florianminja1127 Před 2 lety +1

    Wapi Konde boy mfalme wa mziki wa bongo

  • @omanomani414
    @omanomani414 Před 2 lety

    Mboso anajitambua sana

  • @azizkipitu8968
    @azizkipitu8968 Před 2 lety +2

    Wazo la mboso lilikuwa sahihi kutaka kumsaidia Enock bela
    Ila kwakuwa wimbo ni wa beka na anataka awe juu kupitia mboso shida ilianzia hapo
    Beka alishauriwa vbaya na aslay tena vbaya mno

  • @LearnandcreategreatIdeas
    @LearnandcreategreatIdeas Před 2 lety +1

    Mbosso rohoyako Safi that's why Allah ana bless Miziki yako so mwenye ankuongelea mbaya lazima ana anamatatizo ya akili Kama unavyosema Ila bro usimuache nyuma Enock Bella please bro wewe ushakuwa msanii mkubwa Sana japokuwa unandoto zako binafsi Ila tafadhali msaidie Enock pia mziki umlipe vizuri just like diamond platnumz anavyo saidia vijana wenzeke kujulikana na kupata kipato kupitia mziki na njia zengine zakibiashara.

  • @nanaleetz
    @nanaleetz Před 2 lety +3

    Sio story ni ukwel Simba anampenda sana Mbosso 😃 kitoto cha WCB japo mkubwa ila ni kitoto

  • @scenepoint6317
    @scenepoint6317 Před 2 lety +2

    Mbosso mushedede blaza we ni mkali kinoma

  • @abednegomichael2419
    @abednegomichael2419 Před 2 lety +1

    Mboss Khan 🔥🔥🔥

  • @gama_liely
    @gama_liely Před 2 lety +3

    King khan🔥

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 Před 2 lety +5

    Nawapenda wadogo wangu nikirudi Tanzania nitawatembelea