Video není dostupné.
Omlouváme se.
MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"
Vložit
- čas přidán 30. 06. 2022
- MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"
MSANII kutoka Lebo ya WCB, Mbosso, amefanya mahojiano na kipindi bora cha burudani nchini 'REFRESH' na kufunguka mambo mengi ikiwemo kuvunjika kwa kundi la Yamoto Band, ukweli juu ya kupendelewa na bosi wake Diamond Platnumz na kubwa zaidi ni juu ya bifu lake na aliyekuwa msanii mwenzake wa kundi la Ya Moto Band Aslay.
Mbosso pia ametaja baadhi ya kolabo alizofanya ambazo zimefanya vizuri sana na kusema wimbo uliondaliwa na Beka Fleva ili washirikiane haukuwa na viwango. Wasanii aliofanya nao kolabo ni pamoja na Zuchu (ambaye anatamba na nyimbo za JARO na FIRE), Tanasha Donna na nyingine nyingi.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
mbosso ni msanii smart
Yes Smart
@@slimmuhabesh2400 g
@@slimmuhabesh2400 fgggff
@@slimmuhabesh2400 ddghff
Tena sana
Mbosso is humble,cool n smart...hana kiburi huyu mboso ..na talanta ako nayo kubwa❤❤❤❤
Smart sana mbosso, amakwelii nimeamini Mungu hagawi kwa mtu wa hovyo hovyo, daaah this man motivate me, gud interview
Mboso moyo
Nac
mbosso yuko poa sana yaan Smart mnoo🙌👏👏👏my favorite
Mboso nampenda kwa nyimbo za mapenzi big up wanawake wananipenda kwa nyimbo zako hahahahaha big up
Wafurahisha🤣🤣🤣🤣🤣sababu ya kukupenda?
@@rehemashikeli961 nyimbo za mbosso 🤣🤣
🤣🤣🤣
India uwe
Wow sawa mbosso ❤️❤️❤️😂😂😛❤️❤️❤️❤️👏👏
aslay mtoto sana kwako.mbosso kama ameamua kukinukisha we achana nae
Yupo sahihi Sana mbosso ujuwe haya maisha bwana ni hatari Sana ukiona upo juu Sasa na mwenzakonaye akiwa juu usichukizwe dizaini Asley amekunja baada ya mbosso naye kushani hii nouma sana
@@rashidyally8715 don't judge book by its cover! Mnapenda kushadadia 🙄🙄🙄🙄🙄
@@rashidyally8715 acha kulopoka kijana alimkujia kivp Sasa alifukuzwa au aliondoka mwenyewe!?
@@rashidyally8715 wewe mknd wako hauna kazi tayar Taft hela sio unaleta ushoga apa kenge maji wee
@@chrispinmkanda6097 hapo Sasa
@UCoQVqdIyJuTtEKDYubIINYw labda unataka kukazwa kalio linakuwasha
ukubwa alionao bado hataki kuvimba kwamba ni mlaki zaid ya aslay...sisi mashabiki ndo tunasema sasa ww ni mkali
Namiss kuwaona yamoto wakifanya kazi pamoja furaha yangu
This guy has no show off scandals, very cool guy!
Khlb
Nimekuelewa mboso big up sana aslay alianza muda ila upo juu
Ambosso Mungu azidi kukubaliki kwa wazo lako ya kufanya kazi na yamoto nashuku saana
Banaa mbossoo n mwenye moyo wenye imani n roho yenye kupenda watu wote mbosso ONE LOVE MY BIG BROTHER🥺🤟🥰
Salute..Bro 🇰🇪🇰🇪 Mboso
Big mind, akili kubwa mbossoGood Bro.
mbosso ni mkweli sana namkubali
Nimekupenda sana mboss yan wasanii ote wangekua kama ww bs mziki wet ungefika mbali sana
Mbosso hana kiki kama wa sanii wengne nakupenda sana 💕❤️
Nafurahia sn jinsi mboso anavyo jibu maswali anayo ulizwa😄🥰
Love you Mbosso a.k.a Tajiri wa mbegu.
Unataka mbegu na wewe
@@Anitajoseph792 nimekuomba?????
😂😂
@@subirachuta8169 hahahahahahahah
So Siri mwenyewe nakupenda sana kupitia kazi zako, ni shabiki damu kwako, Hadi watoto wangu wananitania kuwa mboso baba Yao mdogo. Pigs kazi dogo uko vizuri
Ni jealous bro WASWAILI wazito sana beka na aslay walidhani washashinda maisha
Yes hii ni kweli
Hata hivyo na wao ndio waliotoka kwanza... Sasa wameona mwenzao yuko juu ndio wakaleta wivu.. Siku zote kutangulia sio kufika.. Lastly jealousy people will never win.
Nanni kati yao ndio mswaili?
@@mwanafalsafa3613 Wewe hapo
We still love Yamoto Band
Hio band karibu inivunjie ndoa wee wacha Tu but I thank God Niko na nyimbo zao zote
@@estherwasike7789 karibu ikuvunjie aje
@@estherwasike7789 🤣🤣🤣 Eeeeeh kumbe
@Esther wasike Eeh mwana wefwe pole,😂😂
Nakupend boss uk smart❤
Mbosso is real and humble
Brother inaweza
nimependa anavojieleza mbosso
King Mbosso 👑
Wasafi media big up 🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
We need to see you guys for one show ,,we as your fans have faith in you
Mimi niko uganda mwana kweri mbosso kazi zako noma Sana
Umetisha sana nimekuelewa sana
Nampenda sana mbosso yupo real sana....anasema enz yupo mbagala anakula MBILIMBI wkt aslay kaanza ku hit....
Napenda ulivo ba mkuu... Nenda songa mbali zaidi!
Sema hii nyimbo ya moyo mbosso angeipiga mwenyewe au angeipiga na msanii wa taratibu kama marioo ama zuchu ingekaa pw sana hawa aliowashirikisha kuna ladha wameipoteza hii ni nyimbo ya kipwanipwani kabisa.
Kweli kabisa mwanangu hawa alio washilikisha dizain kama walitoka kwenye mstari hivi
@@zedekchamagogo1223 tunaomjua mbosso khan ndio tutaligundua hili hii nyimbo alitakiwa mtu wa taratibu na kama ni wa nje angekuwa dizaini ya reekardo banks
Tajiri wa mbegu ..nmecheka atar😂
Great mind,, mbosso ❤️
But his music needs to grow beyond Africa
Kweli yamoto ningali nakumbuka ngoma zao
With me mbosso s the best musician in Africa 💯✅✅
mboso nawapenda sana ,how iwish to meet you infact simba mwenyewe
Mbosso hajaoa🙆♂️nko hapa nikujie hapa kenya tutingize mti😂
😂😂😂😂😂wewe tulia nawe
Mbosso khan mushedede🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wallah napenda sana mboso..huwa afichi uovu...na Siku zote interview zote huwa yuongea ukwel kabisa na sina wakika kma ana chuki na mtu...na nikwel beka aliongea tofauti xna chamsingi amuombe radhi to mboso to
mh mfano wa naz korona hahahaha all are the big aslay namuelewa sana it is my favourite artist and mboso
Uko vzr mbosso love 💕💕💕💕 so much
Perfect 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mbosso umekua kaka..
Huo ndio Ukubwa.....
Nakukubali saaana
Mboso Alipofikia kwa sasa Ana aina ya Mziki wake ambao tofauti akiutoa tuu unajua huyu Mboso.
I love mbosso 💕💕,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
God Bless You Mbosso
Very intelligent boy😇
Noma😮 #tellaaxistz
Mungu aenderee kuku wezeza
Msanii ni mmoja tu bongp kwa sasa ni Konde boy
Huyo ni mvuta bangi tu sio msanii
Jeshiiiii.....
Smart boy wimbo na siyo wengine wanaosema nyimbo
Nakupata vzl sana
#AVATASTAR255
Mboso noma sana
Very smart #mboso
Siwezi kompea Aslay na Mboso, ni wakati wa mboso kushine,Aslay pia muda wake utafika...mungu hakosi mipango
amuache aslay apambane huyu mwizi aslay ni talent kukushinda
On fire
Mbosso ❤️🥺
king mbosso
Maneno ya hekima mbosso be blessed
Hakunaga sehemu watu wakaa bila kukwanza,chukua hili neno we mjinga unaedhan mkae weng afu usikie watu wamepishana, nimekuelewa Sana babu mboso.
Mwanangu uko sahihi
Interview kali
tupo sawaa
Mbosso wewe ati Tajiri wambegu😂😂👍
Pia mimi najua kuimba bana
Hongera mbosso uko sahihi sn mdg wng
Dogo unaweza pamban 🤙
Hawa yamoto Band hata sijui nn kilowasibu mpaka wengine wakapotea yani Nyimbo zao zote Hit-Song, kuliingia Jinamizi sijui gani.🤔
Tatzo alilianzisha aslay kujiona mkubwa
@@azizkipitu8968 wewe nae mpumbavu nini kaa kimya
@@sifatiiman 🙏
One of the nice guy
mboso uko juu
Appreciate brother 💌
yupo sawaa dgo
Smart Smart
Ila Bado naona Kuna kaukweli👍👌
Mbosso mkali sana
Mhhh atary mbosso nakukubary sna
🗣🗣MBOSSOKHAAN ONE.NAMBA.MOJA☝
I still love yamoto band 🥰
I love you mbosso😍😍😍
Uyu mbosso anajua
🔥🔥 🔥
Mmmm?
Yamoto
Good 👍
Hata goma lake Kali sana
Love you mbosso
Wapi Konde boy mfalme wa mziki wa bongo
Mboso anajitambua sana
Wazo la mboso lilikuwa sahihi kutaka kumsaidia Enock bela
Ila kwakuwa wimbo ni wa beka na anataka awe juu kupitia mboso shida ilianzia hapo
Beka alishauriwa vbaya na aslay tena vbaya mno
Mbosso rohoyako Safi that's why Allah ana bless Miziki yako so mwenye ankuongelea mbaya lazima ana anamatatizo ya akili Kama unavyosema Ila bro usimuache nyuma Enock Bella please bro wewe ushakuwa msanii mkubwa Sana japokuwa unandoto zako binafsi Ila tafadhali msaidie Enock pia mziki umlipe vizuri just like diamond platnumz anavyo saidia vijana wenzeke kujulikana na kupata kipato kupitia mziki na njia zengine zakibiashara.
Sio story ni ukwel Simba anampenda sana Mbosso 😃 kitoto cha WCB japo mkubwa ila ni kitoto
Mbosso mushedede blaza we ni mkali kinoma
Mboss Khan 🔥🔥🔥
King khan🔥
Nawapenda wadogo wangu nikirudi Tanzania nitawatembelea